NJIA BORA ZA KUONGEZA HESHIMA YAKO
Vložit
- čas přidán 13. 03. 2023
- Katika dunia ya leo, ni muhimu sana kuwa na heshima kwenye jamii yako. Hata hivyo, wakati mwingine tunaweza kujikuta tukipambana ili kupata heshima hiyo.
Kwenye somo hili, tutajadili njia kadhaa za kuongeza heshima yako kwenye jamii inayokuzunguka. Tutaangalia mambo kama vile jinsi ya kujenga mahusiano mazuri na wengine, kushiriki kwenye shughuli za kijamii n.k.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#kuongeza #heshima #yako
Nimejifunza jambo hapa
Baraka llahu fiyka akhi
Asante kaka, pia kuwa mwepesi kutoa maelezo,mfano kuna dada presha ilimpanda akiwa njiani watu wakampeleka hospital akaambiwa apunguze nguo ili apate hewa yeye anavaa hijabu akatokea mtu anayemfahamu akamshangaa.Bila maelezo angeondoka na utata
Mashalaah ninapenda Sana mafundisho yako,Mwenyez Mungu akubariki Sana kaka
Be Blessed you and your family
Thank you!
Successful path network each one teach one Masha Allah tabarakallah
Dua Nene kaka eziden jumanne 📚💰
Aki we mkaka napenda video zako👌
Asante sana
KAKA NIWE MUWAZI SANA 😔MAFUNDISHO YAKO YANANIFUNDISHA SANA SASA NAJITAMBUA MIMI NI NANI NA NATAKIWA KIVIPI KUISHI NA JAMII
Nafurahi sana kupata huo mrejesho. Endelea kujifunza na kuongeza thamani kwa wengine
Kitu ambacho natamani kuskia kutoka kwako kaka kwny maamuz magumu ili kufaniwa au kuacha ukipendacho Yani ukweli unaokuumiza
Kaka mungu akulinde.
Habari.
Mada nzuri Sana mashallah
Hello, shukrani sana Maalim...
1. Be near God
2. Tell yours affirmation words.
3. Give yourself hi 👋 kwenye kioo asubuhi.
4.love your parents,old people, and orphans.
Hizi point pia can make you get more heshima in your life.
kaka endelea kutuelimisha, naomba utufanyie jinsi ya kuwa kiongozi bora na anaependwa na watu wake
Asante sana