NJIA BORA ZA KUONGEZA HESHIMA YAKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 03. 2023
  • Katika dunia ya leo, ni muhimu sana kuwa na heshima kwenye jamii yako. Hata hivyo, wakati mwingine tunaweza kujikuta tukipambana ili kupata heshima hiyo.
    Kwenye somo hili, tutajadili njia kadhaa za kuongeza heshima yako kwenye jamii inayokuzunguka. Tutaangalia mambo kama vile jinsi ya kujenga mahusiano mazuri na wengine, kushiriki kwenye shughuli za kijamii n.k.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
    Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
    .
    OUR SPONSOR’S DETAILS:
    Al-Rahmah Schools
    Location: Mkuranga
    Phone: 0673-52-66-44
    IG: / alrahmahschools
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @jewajua5506
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / voiceovertanzania
    .
    KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri
    Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #kuongeza #heshima #yako

Komentáře • 18

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před rokem

    Nimejifunza jambo hapa
    Baraka llahu fiyka akhi

  • @arafaselemani5033
    @arafaselemani5033 Před rokem

    Asante kaka, pia kuwa mwepesi kutoa maelezo,mfano kuna dada presha ilimpanda akiwa njiani watu wakampeleka hospital akaambiwa apunguze nguo ili apate hewa yeye anavaa hijabu akatokea mtu anayemfahamu akamshangaa.Bila maelezo angeondoka na utata

  • @neemaemanuel7715
    @neemaemanuel7715 Před rokem

    Mashalaah ninapenda Sana mafundisho yako,Mwenyez Mungu akubariki Sana kaka

  • @nyambevalentine8293
    @nyambevalentine8293 Před rokem +1

    Be Blessed you and your family

  • @nguvuyafikramedia1202

    Successful path network each one teach one Masha Allah tabarakallah

  • @bekammika7665
    @bekammika7665 Před rokem

    Dua Nene kaka eziden jumanne 📚💰

  • @washhjojo4840
    @washhjojo4840 Před rokem

    Aki we mkaka napenda video zako👌

  • @RenardKabart
    @RenardKabart Před 2 měsíci

    Asante sana

  • @ZASTAMWE
    @ZASTAMWE Před 6 měsíci +1

    KAKA NIWE MUWAZI SANA 😔MAFUNDISHO YAKO YANANIFUNDISHA SANA SASA NAJITAMBUA MIMI NI NANI NA NATAKIWA KIVIPI KUISHI NA JAMII

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 měsíci

      Nafurahi sana kupata huo mrejesho. Endelea kujifunza na kuongeza thamani kwa wengine

  • @aminaramadhani4226
    @aminaramadhani4226 Před rokem +1

    Kitu ambacho natamani kuskia kutoka kwako kaka kwny maamuz magumu ili kufaniwa au kuacha ukipendacho Yani ukweli unaokuumiza

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 Před rokem

    Kaka mungu akulinde.

  • @rimondmaalim6528
    @rimondmaalim6528 Před rokem +1

    Habari.
    Mada nzuri Sana mashallah

  • @abshirohassen5
    @abshirohassen5 Před rokem +2

    1. Be near God
    2. Tell yours affirmation words.
    3. Give yourself hi 👋 kwenye kioo asubuhi.
    4.love your parents,old people, and orphans.
    Hizi point pia can make you get more heshima in your life.

  • @saidmohd2665
    @saidmohd2665 Před rokem

    kaka endelea kutuelimisha, naomba utufanyie jinsi ya kuwa kiongozi bora na anaependwa na watu wake

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Asante sana