Huu mradi unapaswa kufanywa nchi nzima, itasaidia Sana kupunguza maradhi ya akili, na magonjwa mengine kwa watu wa kipato Cha chini Kama utalenga kusaidia kundi hilo
HIVI HAMNA MAMO MENGINE YA KUBUNI ZAIDI YA KUJENGA MAJUMBA MMPAKA UVUNGUNI WAVITANDA. MPAKA TUNAKOSA HEWAA. YAANI AKILI YA SERIKALI ZETU NI KUJENGA TUU. MNATAKIWA MBUNI MAMO YA MAANA. HAKUNA LOLOTE. UPUUZI MTUPUUUUUUU.
Hongereni sana nakuja kuziona kwanza
Taja bei ya kila nyumba sasa hutaji bei au ndo rushwa .45 mm kwa nyumba zote au
hakuna sehemu ya kufulia (laundry) pakuanikia maana balcony ni ndogo na wala hakuna stoo😢
Tunaomba number ya sim sisi tupo South Africa 🇿🇦 tutafanya jee
Wasiliana nasi kwa namba hii 255736114433
3 bedrooms bei gani?
Studio apartment bado zipo
Bei gani vyumba 3??
Mimi nahitaji nyumba ya kununua iwe peke yake sio gorofa naipataje?
Huu mradi unapaswa kufanywa nchi nzima, itasaidia Sana kupunguza maradhi ya akili, na magonjwa mengine kwa watu wa kipato Cha chini Kama utalenga kusaidia kundi hilo
Tumepokea maoni yako na tutayafanyia kazi karibu sana
Je ni lini mnategemea kumaliza mradi? Niliona pahali NOV 2023 lakini sioni mkitimiza hio deadline.
Mradi huo unategemea kuisha febuary 2024
Can foreigners buy one of these apartments?
I’m from US .
Yes. You can buy your welcome
Not really
Maneja masoko fukuza kazi hata sijui ulipataje kazi
Hyo 45mln ni vyumba vingapi?
Ni studio apartment
Na nyumba ya vyumba viwili ni ngapi?, kama hiyo 45M ni studio 🤔🤔
HIVI HAMNA MAMO MENGINE YA KUBUNI ZAIDI YA KUJENGA MAJUMBA MMPAKA UVUNGUNI WAVITANDA. MPAKA TUNAKOSA HEWAA. YAANI AKILI YA SERIKALI ZETU NI KUJENGA TUU. MNATAKIWA MBUNI MAMO YA MAANA. HAKUNA LOLOTE. UPUUZI MTUPUUUUUUU.