VIDEO: TAZAMA VIVUKO VYA AZAM VYAANZA KUVUSHA WATU KIGAMBONI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 138

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana7289 Před 2 lety +6

    Dah safi sana Azam mungu azidi kuwafungua na muende mikoa ya Kanda ya ziwa...

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Před 2 lety +4

    Angalia engines za hizi tax boat alafu angalia engines za panton zetu, yet serikali imekosa pesa ya kutengeneza hizi tax boat zinaziweza endeleza utoaji wa huduma kipindi cha dharura (where is business continuity plan ya temesa kwenye vivuko vya kigamboni?)
    Pia tujue hizi panton zetu zinakufa hasa kwasababu ya ukosefu wa oil. Oil hazibadirishwi kwa wakati yaan the time oil inakuja yaan Chombo kinakua tayari kimekufa prematurely.. sasa oil tu ya bei rahisi inafanyaa serikali inaingia kwenye garama za matengezo makubwa kwasababu ya processes za manunuzi ambazo ni bureaucratic in nature, na kua na viongozi wasio jua wanaongoza nini..

  • @saidmdoe2332
    @saidmdoe2332 Před 2 lety +5

    Shukrani zangu za dhati ziende kwa Mamlaka na usimamiz wa bhakhresa napia kushukur serikar kumuubga mkono ili kuendeleza uwekezaji huu.Kiufup nijambo zuri sana.🙂😁👏👏

    • @mwalimumstaafu8529
      @mwalimumstaafu8529 Před 2 lety

      Nchi kwa sasa fursa kwa wawekazaji. Hapo mnalipia kivuko bl bado serikali inalipia cha juu. Je mnajua kiasi gani analipwa? Na analipwa kwa kikotoo gani? Ukiwa kama mlipa kodi ina haki ya kujua. Tunataka wawekazaji sio kwa mchongo wa wachache. Mkiongezewa kodi mnapiga kelele. Wakati umefika sasa wa kuona kodi zetu zinatumika vizuri.

  • @paciensmartin6139
    @paciensmartin6139 Před 2 lety +2

    Nawakubali sana azam ndio tajili namba1 tz ametubeba sehem nyingi sana alafu hana Kelele yeye kimya kimya tu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety +1

    Azam ongera sana mwezi mungu akulinde sana wewe na familia yako na iendelee na moyo huo huo wakutusaidia.

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 Před 2 lety +6

    Mbona sielewi hapo. Yaani kuna gharama TAMESA wanamlipa Bakhresa. Kwa nini watumiaji wasipe yote tukajua moja. Na kama serikali wanalipa wanatumia formula gani. Hapa kuna ufisadi. Na hivi vivuko vilikuwa vinatumika wapi?? Watanzania tufungue macho. Hapa kuna mchezo mchafu wa kula kodi za wananchi. Naomba serikali iamue moja, kama mnabinafisha. Maana nchi imekuwa ya Wawekezaji. Sisi yetu macho 😵‍💫

    • @dazookman6417
      @dazookman6417 Před 2 lety

      kivuko ni huduma,ndio maana tunachangia kiasi kidogo

  • @raujohn8238
    @raujohn8238 Před 2 lety +3

    Aya ndio mliokuwa mnayataka kumuuwa magufuli hili mfanye biashara zenu kwa kujaza matumbo yenu na uyo mama yenu mungu hana muona sijuwi kama mwenyezi mungu hana yapenda hayo mambo yake

    • @HassanHassan-eb7oc
      @HassanHassan-eb7oc Před 2 lety

      Tutampa nchi baba ako ww atuongoze tuone km atawafurahisha watz wote km unavofikiria ww mpumbavu mkubwa usiejielewa

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa Před 2 lety

      @@HassanHassan-eb7oc 😂😂

  • @Tee-King
    @Tee-King Před 2 lety +4

    Tumetumia hivi vivuko kalb mwez 6 mkavitoa 2017 sasa mmevileta tena wapen wa2 binafs hizi kaz mana Sa hz panasumbua sana

  • @anwary_sultan
    @anwary_sultan Před 2 lety +3

    Maashaallah..hadhaa Minfadhir Rabbi...

  • @florianmangasini1269
    @florianmangasini1269 Před 2 lety

    Kumbe haya mambo yanawezekana. Mungu ibariki tanzania.

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu863 Před 2 lety +5

    Upigaji hoyeeeee ! Nawasalimu kwa jina la Zamani 🖐️

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před 2 lety +5

    Kwa watanzania walivyo corrupt watakuwa wanaviharibu vivuko vya Serikali ili wapate 10% , ni JPM tu alikuwa anajua jinsi ya ku deal nao mafisadi WaTanzania yaani ni kama nyani ukimchekea tu unavuna mabua

  • @tawboka5864
    @tawboka5864 Před rokem +1

    Yes

  • @zuwenamwambungu3982
    @zuwenamwambungu3982 Před 2 lety +1

    Dakika kadhaa tuu unakuwa umevuka !nimepanda Sana kwakel Leo Safar yangu nimeona fupi!🥰

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety +3

    Jengeni daraja lianzie Azania front lipite juu ya marine lishukie lango la jeshi chuo cha Mwalimu Nyerere ndo jibu na sio maferi. Bora daraja mtoze sh 200 watu watapita kwa wingi

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 Před 2 lety +10

    Frank ngoloka kwa nchi zilizoendelea huduma haitolewi na serekali.Bora hata hiviii serekali itafanya mangapi.Dunia ya leo serekali ikusanye kodi tuu.Sekta nyingi bora ziendeshwe na private kwanza ufanisi utakuwa mkubwa.Private ni efficiency ya karibu mnooo.Serekali ina mengi it's high time sasa serekali ipunguziwe mzigo.

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Před 2 lety

      Yan n kwel kabisaaaaa

    • @jambo3751
      @jambo3751 Před 2 lety +1

      Kweli kabisa inahitajika mambo mengi ya kihuduma yafanywe na private companies yaani umeliona hilo ndugu yangu na hapo ni kweli wataipunguzia mzigo mkubwa serikali na ufisadi utapungua kwasababu kampuni husika ndio zitashughulika na wafanyakazi wake katika suala la wizi. Lakini wapewe makampuni ya wazawa sio ya wageni na bahati nzuri Tanzania wapo matajiri wengi tu wazawa wanaoweza kutoa huduma mbalimbali za kijamii kutokana na uwezo wao.

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Před 2 lety

      @@jambo3751 na hajira ztaongezeka

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 Před 2 lety

      Sio kweli

    • @jambo3751
      @jambo3751 Před 2 lety

      @@uledimtumwa2406 sio kweli kivipi?
      Kwanza ujue hata Dar to Zanzibar ni ferry boat.
      Zamani ilikuwa meli za serikali mv maendeleo na mv mapinduzi lakini baada ya kuruhusiwa kampuni binafsi imerahisisha sana usafiri.
      Serikali kama yetu ya Tz ilikuwa iachane kabisa na huduma hizi kwenye bahari maziwa na hata mito mikubwa iachie makampuni binafsi.
      Serikali ibaki na meli au boti za jeshi,
      Mali asili, polisi na vyombo vyengine vya ulinzi na usalama kwasababu ni muhimu sana. Na pia serikali ijitahidi kujenga madaraja kwenye mito ili kuwarahisishia wananchi kwenda upande wa pili.

  • @fifilomo
    @fifilomo Před 2 lety +1

    Ni njema sana

  • @poperare6058
    @poperare6058 Před 2 lety +1

    Hiyo nayo ni maendeleo nzuri pia

  • @musason1680
    @musason1680 Před 2 lety +2

    Jaman Sasa idadi izingatiwe wanaweza ingia mpaka zaid ya idad maalum

    • @maulidmwegio5704
      @maulidmwegio5704 Před 2 lety

      JESHI Pekee Ndio Tegemeo La Wananchi Duniani Ktk Uzalendo, Kulinda,Kuzuia, Kuongoza, N.K, Kwa Hari Hii tunaomba liingilie Kati katika Kuangalia Masuala Mazima Ya Manunuzi Ya Serikari na Utunzaji na Matumiaji Wa Mali Serikali na Wananchi Maana hali Hii haiashrii Vizuri, Eti Boti zote Mbovu!! Eeeeh!!!

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Před 2 lety +6

    Hapo sasa tunakoelekea vivuko vya Serikari vitakufa vyote,ili Azam aendelee kuwekeza

    • @athanaswilliam6940
      @athanaswilliam6940 Před 2 lety

      😃😃 tusiwaze hivyo.. naamini haiwezi tokea maana hata yeye faida anayopata hapo Ni Kidogo Sana kulingana na uendeshaji kwa mtazamo wangu Lakini

    • @goodteam7890
      @goodteam7890 Před 2 lety

      Frank hujakatazwa ww pia unaweza kuekeza

    • @ummatchannel4300
      @ummatchannel4300 Před 2 lety

      Hata hapa napo husda imeingia. Akiendelea kuwekeza ni dhambi?

    • @triplea3463
      @triplea3463 Před 2 lety

      @@ummatchannel4300 Watu wa ajab sana wanadhani hivi vivuko uendeshaji wake kama boda boda au

  • @ngamanyajoshua839
    @ngamanyajoshua839 Před 2 lety +1

    TEMESA Mshindwa kuendesha hivyo vivuko.mnatupa tabu kila siku..Kwanini msimuachie Azam afanye hiyo huduma

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 Před 2 lety +2

    Unaona kwanza zilivyo frank zinaitwa sea taxi.Tuendelee

  • @wahapahapa3279
    @wahapahapa3279 Před 2 lety +1

    Nchi imefika pabaya sana hii yajayo mungu ndo anajua haiwezekani kwa miaka ya vivuko vilivyofanya kazi na pesa inayoingiza kila siku tangu vianze kufanya kazi hakuna mfuko ambao ulitengwa KWA ajiri ya kufanya matengenezo NI WIZI TU WATU WEUSI NA UBINAFSI #ripmagufuli

    • @williamkisaka9272
      @williamkisaka9272 Před 2 lety

      Acha tu.

    • @thegiv3711
      @thegiv3711 Před 2 lety

      True...

    • @omarymkamba3045
      @omarymkamba3045 Před 2 lety

      Hivi vivuko sio mara ya kwanza kufanya kazi 2017 viliwahi kufanya kazi hapo,halafu mwekezaji akifanya kazi hiyo kuna shida gani? Serikali itakusanya kodi tuache mitazamo ya kijamaa ya kila kitu ifanye serikali mbona meli kutoka dar hadi zanzibar na maeneo mengine wanafanya watu binafsi?

    • @nurualamoody4305
      @nurualamoody4305 Před 2 lety

      Wanachuki binafsi mbona huyo azam ameajiri watu kibao mbona awachukii. Kaja kuokoa kusaidia hapo kutokana na dharula maneno kibao. Mbona 2017 amkusema tena alikuwa anavusha kwa 500 na kulikuwa kimya. Leo mapovu yanawatoka. Acheni chuki binafsi kisa rais mama jamani

    • @wahapahapa3279
      @wahapahapa3279 Před 2 lety

      @@nurualamoody4305 hakuna anaemlalamikia bahkresa kwa kufanya anachofanya bhali serikali japokuwa kupokea MAPATO mengi kutokana na kivuko hivyo KWA miaka mingi ila imeshindwa kutenga PESA ZA ukarabati

  • @ajheemclassicaltv7608
    @ajheemclassicaltv7608 Před 2 lety +2

    Mziki upo hapo pale askari anaefungua lango abiria apite maana idadi hapo sio poaa

  • @NadeemKhan-zo8dc
    @NadeemKhan-zo8dc Před 2 lety +2

    Tangia mzee Magu amefariki nchi imeyumba inamaana serekali inshindwa kutengeneza vivuko shame

    • @h.rukuba7464
      @h.rukuba7464 Před 2 lety

      Pole sana kwenu mbezi stendi Kuna mabasi ya serekali yanaenda mikoani . Ukerewa mbunge aliwaambia meli mbovu serekali ya awamu 5 walimpuza adi meli ikazama ikauwa watu

    • @thegiv3711
      @thegiv3711 Před 2 lety

      Noma sana yaani 😤

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 Před 2 lety

    Kaz nzur mbarikiwee 🙏🥰🇹🇿🇹🇿

  • @azizakitele9165
    @azizakitele9165 Před 2 lety +6

    Hivi vivuko vya Azam mwanzo vilikuwa vinafanya shughuli gani? Maana isiwe ni mchongo wa watu kula 10% wakatulia!

    • @abdulkadirissamahmoud4236
      @abdulkadirissamahmoud4236 Před 2 lety +1

      Hivyo vilikua muda mrefu vimepaki mtoni marine na mwaka 2017 kilikuepo kimoja wakat mv magogoni lipo matengenezo

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Před 2 lety

      @@abdulkadirissamahmoud4236 serikali wangewaza maisha na maendeleo ya wananchi zile hela walizonunuwa ndege gharama ya kununuwa bombardier moja hata kama bomberdier ni ndege ndogo ingeweza kununuwa vivuko vingi sana na hela zingebaki hapo panahitaji vivuko 12 viwili KGMBN posta viwili KGMBN ferry viwili TIPA posta viwili TIPA ferry viwili kurasini posta,ferry, viwili mji mwema ferry posta viwili kawe ferry posta huku Australia 🇦🇺 wazungu wameendelea sana hiyo meli ntekundu ya baressa hiyo huku Australia 🇦🇺 ndio pantoni kama MV KGMBN tena ziko kibao tena kali kichizi

    • @AbdulHamid-qd9ji
      @AbdulHamid-qd9ji Před 2 lety

      Hivi vilikuwa vipo mtoni marine verde special kusafirishia watali kupeleka visiwani

  • @zulfikarali9945
    @zulfikarali9945 Před 2 lety +1

    Ni modifications ya boti za sea express ambazo zilikuwa zikioza Azam kaamua kuzigeuza kuwa taxi, serikali kweli inafeli hata kwa vitu vidogo kama hivi.

  • @nassormohammed8706
    @nassormohammed8706 Před 2 lety

    Wampe na mwendokasss serikali zao kodi na c biashara

  • @abdulsuleiman1244
    @abdulsuleiman1244 Před 2 lety +1

    Jengeni barabara chini ya bahari kama vile china na nchi zengine walivyofanya kwa makilomita tele apo tu mita chache inashindikanaje. Tz shida.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 2 lety

    Bora viwe kila ck kuliko hvy ambavyo kila ck unasikia vinatengenezwa lkn mambo hy hy hamna mabadiliko

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 Před 2 lety

    Mwaka mmoja tuu tangu aondoke magufuli nchi imerudi nyuma miaka 30 ,RIP magu wetu tz yetu inaendelea kuoza

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 2 lety +3

    Bakhresa akili nyingi kuliko serikali yetu

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 Před 2 lety

      Acha Ujinga.....fikiri kwanza kabla Ujaropoka...

    • @salmaathuman9156
      @salmaathuman9156 Před 2 lety

      @@husseinshabani9522 ebu nitokee hapa mwehu ww mm na ww hatufanani akili stupid kabisa mxueeee eboo

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 Před 2 lety

      @@salmaathuman9156 Na nikweli Atufanani...Coment yako inaonyesha Mwisho wa Upeo Wako....Pole.

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 2 lety

    Angalau maana kutoka kigamboni hadi posta ,hakukua na tofauri na kutoka tegeta posta....

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba Před 2 lety +1

    Ha ha ha, daraja la kigamboni vipi, Pia vivuko vya selikari vipi,, yetu macho na masikio, tangu lini mtu mmoja aizidibselikari ?

  • @yolenimocheng8745
    @yolenimocheng8745 Před 2 lety

    Duuuh angekuwepo Magu mambo ya kipuuz Kama haya asingeyakubali Kabisa,huu ni uvivu wa kufikiri kwa viongoz hasa wazir husika... Hapa ni mchongo wa kupiga pesa tyuuuu...

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před 2 lety +1

    Viongozi wa kiafrica awajitambui hii aibu sasa c bora mumpe uyo azam alete vyombo vya kisasa kuliko izo takataka kazi yao kwenda Nnchi za watu kusifia apo ata magari ayapiti ujinga mtupu

  • @ayoubbilal3319
    @ayoubbilal3319 Před 2 lety +1

    Sisi wenye magari inakuaje naona hiyo panton haiwez kubeba gari

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před 2 lety

    Ivyo ni vivuko au takataka za vivuko inna lilah wa inna ilaih rajiun em nendeni uturuki mkaangalie vivuko kama Ivyo aibu tupu jiji kama la Dar

  • @juliusmawimbi1789
    @juliusmawimbi1789 Před 2 lety +1

    Sasa ndiyo kilichokuwa kinatafutwa watu wale inchi hii kwa muchongo ninoma sana

    • @fauzimohamed5757
      @fauzimohamed5757 Před 2 lety

      We kenge sio kila kitu unaona ni uwizi kabla wewe kuja dar na fuso la ngombe hizi vikuku vya azam vilikuwepo hata kuna kipindi cha utawala wa jpm mv magogoni ikikuwa mbovu azam wakawa wana vusha watu

  • @vicentsagudasheyi564
    @vicentsagudasheyi564 Před 2 lety

    Fresh Sana hii

  • @rashidiwahi1533
    @rashidiwahi1533 Před 2 lety +1

    Nibora serikali imkabizi azam afanye kazi

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před 2 lety

    Nime ipenda hiyo vivuko vyaki SASA kama hivyo ndio Safi serikali yetu ijifunze kuleta vitu vya kisasa

  • @fashionkiller360
    @fashionkiller360 Před 2 lety

    Dope

  • @MULTNAIRE
    @MULTNAIRE Před 2 lety

    Huu wizi unaoendelea hapa, magufuri angekuepo asingeruhusu ili jambo kabisa, TEMESA wanamlipa Bakhresa kiaje? Af kama management anapelekeaje vivuko vyote vitatu kwenye matengenezo, ikiwa inajua wazi kabisa kua hakuna kivuko kingine cha kuwasidia wanainchi, mbona tunatafunwa mchana kabisa. TEMESA ameshindwa kua at na kivuko cha emergency kama hizi za Azam

  • @azizakitele9165
    @azizakitele9165 Před 2 lety +1

    Tujiandae nauli kupanda soon

  • @devidpanja115
    @devidpanja115 Před 2 lety

    Rip JPM

  • @batromeombogo297
    @batromeombogo297 Před 2 lety

    hivi kwanini asinunue na mabasi ya mikoani

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 2 lety

    Aya

  • @amourmdetele1498
    @amourmdetele1498 Před 2 lety

    Kwani serikali yaonaje kujenga daraja???

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety +1

    Vivuko vya nini nani kawaambia mjenge daraja mbali mnajenga kurasini badala ya kujenga feri.

    • @mathewdyzymaleyafrica9128
      @mathewdyzymaleyafrica9128 Před 2 lety

      MELI ZITAPIAJE SASA HAPO KATI KUBWAGA MAFUTA

    • @abdulabdul6370
      @abdulabdul6370 Před 2 lety

      Jay Z ni mambo ya muziki tu. mambo ya constractions achana nayo

    • @elite_nat8731
      @elite_nat8731 Před 2 lety

      Daraja la kujengewa apo ni suspension bridge ambalo meli zinaweza pita kwa chini ambalo nalo pesa yake ni ndefu kidogo

    • @triplea3463
      @triplea3463 Před 2 lety

      @@elite_nat8731 Exactly

  • @Directortomwillz
    @Directortomwillz Před 2 lety

    Kama ni vivuko vya mda co mbaya ila kama vikifanyw vya kudumu imekula kwe2 maan hizo ni sea taxi na hazina huduma zote yaan ht ukiwa na pikipiki haupand apoo ww zunguka kule daraja la nyerere

  • @masanjamasunga4019
    @masanjamasunga4019 Před 2 lety

    Hv kabla ya hapo vilikuwa vinafanya kaz wapi au vilikuwa vimepakiwa tu

  • @zuwenamwambungu3982
    @zuwenamwambungu3982 Před 2 lety

    Viko speed mpaka raha

  • @bekaashbai1781
    @bekaashbai1781 Před 2 lety

    Huku Zanzibar tuleteni japo 1 kuna visiwa vidogodogo Kama tumbatu inafaa

  • @azizahmwimbe8548
    @azizahmwimbe8548 Před 2 lety

    Yetu 😳😳macho vivuko vya serikali havifanye kazi, azam piga kazi🚣‍♀️🚣‍♂️🤸‍♂️🤸‍♀️🥳

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 Před 2 lety +3

    Ujinga mtupu, inchi imejaa majiz hii🤣🤣

  • @masundelwa
    @masundelwa Před 2 lety

    Serikali imkabidhi tu bakhresa hii kazi

  • @teresiapetro2548
    @teresiapetro2548 Před 2 lety

    Ndio walichokuwa wanataka.
    Yani vivuko vyetu vimekufakufa hovyo hovyo kumbe tulikuwa tunaandaliwa kisaikolojia.

  • @josephluvanga5233
    @josephluvanga5233 Před 2 lety

    Acheni Bakhresa atengeneze pesa

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před 2 lety

    Afazali.

  • @swahilimoves3348
    @swahilimoves3348 Před 2 lety

    Hao watu ni 250 tuu kwel

  • @abras3479
    @abras3479 Před 2 lety +1

    Usalama upo vipi? watu 250 akiwamwaga baharini ni bonge la ajali. Usalama wa hawa sabiria upo vipi?boti ni ndogo watu ni wengi, hii idadi ya watu 250/trip inafanyiwa ukaguzi wa mara kwa mara?

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Před 2 lety +2

    Tayari tumeliwa kwenye vivuko

  • @beatricemsophe9839
    @beatricemsophe9839 Před 2 lety

    Nchi imeuzwa

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před 2 lety

    Sioni tahadhari yoyote ikizingatiwa hata life jackets sizioni

    • @triplea3463
      @triplea3463 Před 2 lety

      Kwani yale ya serikali kulikuwa na life jacket 😲

  • @athanaswilliam6940
    @athanaswilliam6940 Před 2 lety +4

    250×200 =50,000.. serious??
    Naamini Temesa inabidi imlipe pesa ndefu Sana mwekezaji.. Kama anapata 50k tu kwa trip... Duuuuh kajitolea

    • @poperare6058
      @poperare6058 Před 2 lety

      Kwelie

    • @odhiaodhia9898
      @odhiaodhia9898 Před 2 lety

      Hata mimi nashangaa

    • @odhiaodhia9898
      @odhiaodhia9898 Před 2 lety +1

      Si kweli

    • @humphreypeter5641
      @humphreypeter5641 Před 2 lety +2

      Sasa ni umbali gani? Ulitaka apate ngapi per trip? Trip moja haifiki hata 1 kilometre urefu wa hapo ni kama 300 metre tuu na anaweza pata zaidi ya milion 2 a day kwa kila kivuko

    • @poperare6058
      @poperare6058 Před 2 lety +1

      Anatudanganya aisee

  • @johjohns4021
    @johjohns4021 Před 2 lety

    mimi yuleeee🤣

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 Před 2 lety

    Maashaallah

  • @franktangeki9342
    @franktangeki9342 Před 2 lety +1

    SERIKALI INGEKUWA NA WATENDAJI WENYE AKILI ISINGEACHIA ATA SENTI KUMI IENDE KWA WATU BINAFSI NA KUPOTEZA AJIRA ZA WATANZIA.HAPO NADHANI VIVUKO VYA SERIKALI NDIO KWAHERI VIMEENDA NA MAGUFURI

  • @abras3479
    @abras3479 Před 2 lety

    Hizi boti za bahresa zilikuwa wapi? kwa umbo lake haziwezi kwenda Zanzibar. Is it coincidence boti za serikali zinaharibika baada ya bahresa kuleta boti zake? Yaahhh Allah, ewe Mungu isaidie Tanzania

    • @allanandy2424
      @allanandy2424 Před 2 lety

      Lolote linawezekana,ila nadhani kuna kampuni Tanzania inatengeneza na kuuza boti....

  • @mathiasmageni8568
    @mathiasmageni8568 Před 2 lety

    Chaka lingine la kula

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 Před 2 lety

    Mwaka mmoja tuu tangu aondoke magufuli nchi imerudi nyuma miaka 30 ,RIP magu wetu tz yetu inaendelea kuoza

    • @saeedal-awen2190
      @saeedal-awen2190 Před 2 lety

      Wewe bila shaka ni sukuma gang.

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 Před 2 lety +1

      Magufuli sio mungu aliivuruga nchi akapora akajenga airport kwao sasa inamsaidia nani kwanini asiboreshe airport ya mafia ufisadi lkn kwa ujinga wa wajinga hawaoni madhara alioyofanya magufuli engekuwapo mpaka leo nchi ingekua taabani lkn mungu anajuwa kuwanusuru waTz hata uchaguzi alivuruga na kuuwa waatu leo unalia

    • @arubakarkada837
      @arubakarkada837 Před 2 lety

      Magufuli aliwahi kununua kivuko kigamboni au wewe wakuja

    • @captioncapition2574
      @captioncapition2574 Před 2 lety

      Kila kitu kwetu wa Tz ni makosa mh