NYUMBA YA MILIONI 600 INAYOUZWA PALM VILLAGE MIKOCHENI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 01. 2021

Komentáře • 664

  • @kessikigogo4955
    @kessikigogo4955 Před 3 lety +45

    Mgawanyo wa milioni 600 uko iv kwa uku kwetu LINDI... Milioni 5 kiwanja, Milioni 20 dangote cement, milioni 8 mchanga, Milioni 7 mafundi kufyatua matofali, Milioni 10 mafundi kujenga, Milioni 30 bati za msauzi, Milion 20 finishing na wiring , Milion 10 swimming pool, Milioni 5 fance, hapo nyumba itakuwa imeisha na bonge la nyumba jumla ni Milioni 115. Kwenye milioni 600 inabaki milioni 485. inayobakia xaxa milioni 85 V8 moja, hapo unakuwa na nyumba kali sana na unatamba kitaa na Maela yako yamebak benki kama mstaafu ubunge tu.

  • @hasyno9805
    @hasyno9805 Před 3 lety +42

    apo kwenye bafu milard nimecheka ulivyosema kuna space alafu ukajikuta umeshika ukuta

  • @selemanichiga5828
    @selemanichiga5828 Před 3 lety +66

    Dah! Na mimi Eti wakiitwa watu wenye nyumba nitoke hata kwa dawa sitoki Ila namshukuru mungu na mm nina pa kujistiri 🙏🙏🙏

  • @Zaikadena
    @Zaikadena Před 3 lety +10

    Cwez nunua kinyumba cha vumba nne kwa m 600 naenda jenga bangaloo moja matata

  • @brayanjames9953
    @brayanjames9953 Před 3 lety +10

    Ushawai miliki nyumba bila kiwanja tena ya milioni 600 .lakin kiwanja huna 😅😅😅😅😅 thanks brother Miradi.. wacha nitafute kiwanja kwanza nyumba nita jenga tu

    • @utaani1
      @utaani1 Před 3 lety

      Hiyo million 100 ni nyingi. Anaumwa sana ni kama kujenga nyumba ya chini ukiwa na kiwanja mbona unaweza ukajenga mjengo kama huo kwa million 100 tu

    • @rahmamollely5296
      @rahmamollely5296 Před rokem

      😂

  • @sumatanjunior231
    @sumatanjunior231 Před 3 lety +40

    600 million ni very overpriced kwa build quality hiyo. Hapo ni kwamba unanunua location. Ila nyumba, na finishing ni very basic.

    • @gregorychogelo2013
      @gregorychogelo2013 Před 3 lety +2

      Sasa utafanya pricing ya nyumba bila ku take into consideration location/plot..!!

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 3 lety

      @@gregorychogelo2013 😜😃😃😃🤔🤔 point

    • @gabrielsanga5313
      @gabrielsanga5313 Před 3 lety

      Nikitaka kuama naama napo au

    • @victormneney1475
      @victormneney1475 Před 3 lety

      Unauziw floor na vyumba vinne
      600 ukitaka yote x11 = ila itatofautiana bei kulingana na Floor specification

    • @ericknkonya5682
      @ericknkonya5682 Před 3 lety +1

      kweli kabisa the only thing you are selling me with the price is the location. otherwise the rest its pretty much way over priced. (Maoni ya maskini lakini)

  • @itsjonahfather7941
    @itsjonahfather7941 Před 3 lety +8

    Apartment ni nzuri kiukwelii, Ila kwa sisi mafundi kwa hiyoo Mill 600, unamvuaa mtu mjengoo kwa mill 300 pale mikadi beach pembeni tena barabarani na mia 3 iliyobakia unatoaa kitu cha laana , Ni mawazo tu maselaa

    • @mybrain8940
      @mybrain8940 Před 2 lety

      Sasa wewe huoni huko ni karibu na mbinguni, tena unaenda kwa lift 🤣 hicho ni kiota chini kuna shopping, hakuna uswahili, 🤣🤣🤣🍺

    • @itsjonahfather7941
      @itsjonahfather7941 Před 2 lety

      @@mybrain8940 Kumbee ww unatakaa Lift za kupanda na kushukaa sio luxury house, haya sawaa nimekuelewa ilaa kumbukaa mill 600 unaenda kuishi kwenye chumba na sebule na jiko, ilaa mimi nazungumziaa vyumba vitano na vyoote master bedroom pamojaa na ndinga iliyohifadhiwa laundery space/ parking space na swiming ya kwako kwa nyumaa ambayo ni simple tu, Hii ndo Nyumbaa ila hapoo unaishi kwenye chumba na sebule mzee kisa Lift

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Před 3 měsíci

      Kwel kabisaaa

  • @husseinjbigo3847
    @husseinjbigo3847 Před 3 lety +20

    Wengine tunaishi kwenye chumba kimoja kitanda hapohapo jiko unga kochi unaweza sema unalala sto lakin 1day yes inshallah tutamiliki

  • @anisiaaudax3708
    @anisiaaudax3708 Před 3 lety +20

    Mungu wangu unisaidie mm na mume wangu tukajenge yetu na tuweke mahitaji zaidi ya hayo

  • @kato_tz
    @kato_tz Před 3 lety +16

    Milard nimekundua una kipaji kingine kizuri sana cha kuwa dalali, Yaani ni vile tu hujatutoza 10,000/= ya kuona kama wale madalali wa maani ah ah ah ah ah ah ah ah h. Bless youu

  • @Imfura_Iriho
    @Imfura_Iriho Před 3 lety +12

    I am coming to buy this room. From Toronto 🇨🇦! I hope it will still available.

    • @johlet9212
      @johlet9212 Před 3 lety +5

      You are living my dream bro! Congratulations in advance... I wish I can comment like this one day

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Před 5 měsíci +1

      You can apply Iam in toronto too

    • @MwajumaRashidi-tx6ks
      @MwajumaRashidi-tx6ks Před 5 měsíci

      ​@@tanzcanmediatv4473😂😂😂

  • @antoinekatembo8520
    @antoinekatembo8520 Před 3 lety +10

    Uali gani hapo ulipo Millard! Napataje mawasiliano yako?
    Ahsante sana!

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 3 lety +44

    Dah hii inanipa hasira kutafta pesa 🤭🤗😕😕😕

  • @tittoskeysproject3651
    @tittoskeysproject3651 Před 3 lety +7

    Hapa ndipo ninapojuaga wasanii wetu miayusho kwa quarty hii ingekua mbele wasanii wangekimbilia ila huku tunaishia kuwaona insta na fake life yao pumbafu hakua cha simba wala chui 😊😊😊😊😊

    • @malikzafarani172
      @malikzafarani172 Před 2 lety

      Shuwa bro umeongea fact saana wanaigiza maisha tuh insta mie pia nawachekigi hv nabaki kucheka tuh wafafek maisha had bas 😄🇹🇿🇶🇦👊✌

  • @charotelimo5026
    @charotelimo5026 Před 3 lety +5

    Yani 600ml huku kwetu unanunua kiwanja na unajenge nyumba 15@ room3

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 3 lety +5

    kwa ela hiyo,siishi kwenye flats!!! ntachomea wapi nyama kwenye grill ya mkaa,hamna garden, watu wengine ni musiki wa nguvu kwa mbele,si nitagombana na block nzima?..hizo za mabachela..lol.They are nice though

  • @ndagiletv521
    @ndagiletv521 Před 3 lety +21

    one day Mungu atanipa nyumba kama ioo mirald ayo

  • @mohamy001
    @mohamy001 Před 3 lety +9

    Hongera sana Millard Ayo kwa kupewa nafasi ya kuifanyia advertisement hapo mahali kusema kweli you really inspire me and be blessed up. Alafu nauliza hivi mtu akinunua apartment kama hiyo value ya Tzs 600M atakuwa anaishi humo kwa mda ya miaka mingapi agreement yake

    • @R.Dickon
      @R.Dickon Před 3 lety

      Siku zote za maisha yako

    • @mussababu5623
      @mussababu5623 Před 3 lety

      Ukinunua inakuwa yako milele na hati unapewa.Hiyo ni hati pacha.sio kuwa unapangishwa hapana.Hizo n nyumba nzuri kwa ma CEO na Manager kwenye Big firms

    • @mohamy001
      @mohamy001 Před 3 lety

      Nilisema hivyo kwasababu wapangishaji watakuwa wengi na ni nani atakayemiliki Cheti cha kiwanja hicho

    • @taetommy8343
      @taetommy8343 Před 3 lety +1

      Jana niliwapa milion 400 wakakataa dah achana nao

    • @emmanuelmaembe9767
      @emmanuelmaembe9767 Před 3 lety

      @@mohamy001 hizi nyumba zinauzwa kwa mfumo unaitwa unit title. Na kila mmoja anakuwa na umilki wake. Na ni Sheria kwa wamilik kuanzisha umoja wao wa umilik na wanamwajili msimamiz mmoja atakaye kuwa anashughulikia jengo zima.

  • @jimboulaya
    @jimboulaya Před 3 lety +2

    Appartment Millioni 600 ghorofa ya 11? hio ni sawa na dola laki 2 sitini, najua ni sababu ya location ila kwa hela hio unaweza kununua nyumba na eneo kubwa private sio appartment, kumbuka ukinunua nyumba ama kiwanja ni kwamba unamiliki eneo, ila appartment huuziwi eneo ni jengo tu.

  • @omaryntagala3740
    @omaryntagala3740 Před 3 lety +33

    Milioni 600 najenga mtaa mzima

    • @samniza1763
      @samniza1763 Před 3 lety +9

      Ninajenga gorofa with a big garden, mil 600 with no garden? no bath for soaking your body, just shower? no thank you.

    • @charlesjonas4412
      @charlesjonas4412 Před 3 lety +2

      😂😂😂 kweli mkuu

    • @beatricemrisho8431
      @beatricemrisho8431 Před 3 lety

      Knsa yan

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před 3 lety +1

      @@samniza1763 agree

    • @utaani1
      @utaani1 Před 3 lety +2

      Hujengi mtaa mzima ila unaweza ukajenga nyumba yako nzuri na ukaweka mpaka umeme wa jua mkubwa na kisima cha maji pia na electric security fencing na swimming pool pia

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 3 lety +6

    Mashallah, Tunaziona kila cku, ila kumiliki sasa mmmmh 😜

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 Před 3 lety +12

    My dreams house dah pesa uko wapi😠

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Před 3 lety +26

    Hiyo hela mbona ndogo, sisi ni wazee wa migodini, huwa hatupigi hodi.

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 Před 3 lety +17

    Sasa basi una nunuaje milioni 600 sehemu kama hiyo kwasababu ya ya view ya mikocheni?unajua 600 millions nikijenga yakwangu natoa kasri?hebu acheni upuuzi

    • @frankdepiere2477
      @frankdepiere2477 Před 3 lety +3

      Zina wenyew hizo, wakitifuana wanajirusha hewani tu, 😂😂

    • @jamesswai1683
      @jamesswai1683 Před 3 lety

      Umemaliza KILA kitu..milioni mia nanunua kiwanja sehemu nzuri nitakayo..mia tatu najenga ghorofa..milioni mia unaweka KILA kitu cha anasa ndani...mia sita nyingi sana na huna hata sehemu wa kufanya shughuli

    • @fahmy3hamed799
      @fahmy3hamed799 Před 3 lety +1

      Yani ni kweli kabisa hawa wanaumwa sana 🤣

    • @razackkambi8318
      @razackkambi8318 Před 3 lety

      @@jamesswai1683 sehem ya kufanya shughuli hakuna 😂😂😂😂

  • @mariahshirima1229
    @mariahshirima1229 Před 3 lety +15

    million 600 af master room hamna Jacuzzi

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Před 3 lety +35

    Apartment million 600!!
    Najenga nyumba yangu sehemu kimya hakuna zogo ..

  • @hamisisha
    @hamisisha Před 3 lety +21

    Npo geto hapa punde nimekosakosa kumwaga unga wangu duh...haya maisha ya kuishi store sio😂😂

  • @deogratiushonest5122
    @deogratiushonest5122 Před 3 lety +3

    Hapo unanunua locacation, hiyo million 600 sehemu nyingine unaweza kufanya makubwa, unaweza kumiliki majumba ya kisasa zaidi ya matano.

  • @alexmihayo5723
    @alexmihayo5723 Před 3 lety +3

    ...Ni ngum saaana kufanya kaz kwa muhind kutwa unalipwa elfu8 kula kwako naul kwako, afu unawaza kuwa kutafuta mil.600 Aaaisee labda ubebe sembe. Kuwa km mm tu naangalia muundo mpya wa sofa niweke geto.

  • @Soccer_Life2
    @Soccer_Life2 Před 3 lety +2

    Nyumba ipo Good sana Duuh

  • @rosegaston6226
    @rosegaston6226 Před 3 lety +6

    Mchicha ntalimia wapi Meku?Unakaa juu ukiachia kitu kinabiringika down mjini noma sana.

    • @celinadulle4104
      @celinadulle4104 Před 3 lety

      Hapo sasa, m 600 nikakae mashambani na kulima mboga zote

  • @herosofthecentury
    @herosofthecentury Před 3 lety +10

    Million 600 najenga gorofa moja yenye vyumba 10 na yenye furniture kali,,,apo sijaona furniture yeyote kali inayoendana na pesa hiyo,,,,HII NI JANJA JANJA TU,,,Weka Like kama unakubaliana na mimi

  • @kelvinlucas97
    @kelvinlucas97 Před 3 lety +6

    I have nothing to say but to rate ⭐⭐⭐⭐⭐ nikiongea nitaongea mpaka mwakani/thank you!

  • @sarahnamwezi4704
    @sarahnamwezi4704 Před 3 lety

    Congratulations! I like it

  • @ibrahimmohamed1994
    @ibrahimmohamed1994 Před 3 lety +4

    Kunywa kikombe kimoja cha kahawa kila akisema AMAZING

  • @kelvindaudi7330
    @kelvindaudi7330 Před 3 lety +1

    Mhh nyumba kama hyo hata jirani yko humjui ,mnaonana parking na supermarket

  • @Womanseekingman
    @Womanseekingman Před rokem

    Synonyms of amazing
    surprising.
    startling.
    stunning.
    wonderful.
    shocking.
    incredible.
    awesome.
    astonishing.

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 Před 3 lety

    So beautiful l love it

  • @faustinebupamba271
    @faustinebupamba271 Před 3 lety +6

    milioni mia sita najenga gorofa moja yenye vitu bora na mwonekano mzuri zaidi ya hii...

  • @doreensamwely8740
    @doreensamwely8740 Před 3 lety +1

    Jamani daaah watu wanakula Bata had raha ,mungu nikumbuke maisha ya raha nipate na mm

  • @ernestmbwana6282
    @ernestmbwana6282 Před 3 lety +3

    Mimi Maskini wa bush part nimezoe nyumba yangu ni pande mipera,mapapai na makomamanga ..nyumba hizi za matajiri hazifai kuchinja kuku.wala mbuzi hazifai kula ubwabwa wakufunikia Wa mkaa
    Hapa full kula madude ya plastic surgery...

  • @AJGUNNER
    @AJGUNNER Před 3 lety +2

    OMG Dar es Salaam has changed by Leaps and Bounds since I was there in 1973.

  • @selekiwande64
    @selekiwande64 Před 3 lety

    Habar njema kibongo bongo. Hiyo ni hatua kubwa sana 'na Ya hari.hajuu sanaa wakulungwa tutafute hela tupunguze matumiz nas siku moja tuje kumiliki vilivyo bora

  • @feysalismail4768
    @feysalismail4768 Před 3 lety +5

    Ninunue nyumba m 600 Alf IPO ewani sijaribu

  • @michaelndabalinze1376
    @michaelndabalinze1376 Před 3 lety +10

    Milard inunue bana iko chini ya uwezo wako

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Před 3 lety

    Nyumba hamna garden wala hamna sehemu ya watoto kuchezea shida tupu alafu milion sita to expensive bado haijajitoshekeza Bora utafute kiwanja upate garden sehemu za watoto kucheza sio juu kama ndege kuandika nguo shida tushakaa nyumba kama hizi mashaka Tu subiri umeme uzimike heeee uwe chini alfu unamizigo utalia kupandisha juuu

  • @mirajiomarykilala9463
    @mirajiomarykilala9463 Před 3 lety

    safi kesho naja kununua hiyo kaka nmepa
    penda sana.

  • @fadhilifredrick4115
    @fadhilifredrick4115 Před 3 lety +2

    Wajanja tunaiba ramani tu 😂😂😂😂😂

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison Před 3 lety +3

    Beautiful house

  • @msetikebwasi1469
    @msetikebwasi1469 Před 3 lety

    Miladiayo ,mbona sijapata zawadi yangu ya simu baada ya kupata swali ulilosema limedhaminiwa na kampuni ya simu Samsung .swali lako liliuliza ni paka gani atakaye wahi kunywa maziwa ktk ule mchoro ?na tuliwasiliana kwenye face book ambapo ndipo swali lako liliulizwa .

  • @youngbilioners4631
    @youngbilioners4631 Před 3 lety +1

    Nipunguzieni nina200

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Před 3 lety

    Dah patam apo😋😋😋👌👌💕👌

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Před 3 lety

    Nice one 👍

  • @xiwuyan457
    @xiwuyan457 Před 3 lety +1

    600M Najenga Nyumba ya chini Ghorofa 2 Na Magari kadhaa na full ulinzi na viwanja nazungushia...kuliko kujibana huko juu eti kisa ni palm village....Unaweza kununua kwa ajili ya kukodishia lkn Mbona wao wauze 😒 wakodishe

  • @BarreMushi-yz4wt
    @BarreMushi-yz4wt Před rokem

    Wow! It's really exquisite

  • @fahmy3hamed799
    @fahmy3hamed799 Před 3 lety +2

    Mbona hiyo bei haifanani na hiyo flat kwakweli bai kubwa sana haifanani kabisa

  • @dotahamad6640
    @dotahamad6640 Před 3 lety +1

    Yaan nitoe mil 600 kisa mjini na ghorofa ama, kwa mm ningenunua viwanja kigambon ama mhagala nikajenga nyumba za maana na kupangisha baada ya miaka kadhaa pesa inazid ya hiyo ml 600

  • @khaleedahmedsaidkione5977

    Nyumba kama hizo hata wachawi hawaingii....😂😂

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Před 3 lety +1

    Hivi nikinunua au nakuwa nimekodi sehemu tu ya ghorofa?

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 Před 3 lety +1

    Mmmh ila kwa mimi apo harakaharaka nikipata milioni 600 nyumba yangu nagarimu milioni 20000 gari milioni 7 shamba na shamba la kulima milini 30 na nyengine najenga msikiti milioni 50 abayo itakua sadaka yangu kwa alonijalia riski hii ya milioni 600 uo ni mchizamo wangu kwa alonazo aaaa mbona ize nyumba ipo powa

  • @festomartin6170
    @festomartin6170 Před 3 lety +2

    Maji na umeme must be reliable short of that ni bonge la adhabu

  • @daudvedasto9809
    @daudvedasto9809 Před 3 lety +2

    Duh...! Naona umeanza kua Dalali..

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 Před 3 lety +4

    Kwa milioni 600 bado ni padogo sana interior designer hajafanya creativity ya kutosha but ni nzur haishtui sana

  • @vero57
    @vero57 Před 3 lety +9

    Hamna mmbu huko?? Mimi na mmbu sipendi, maji hayakatiki??

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 Před rokem +1

    Yani aptment zinauzwa ghali kuliko hata dubai

  • @selemanichiga5828
    @selemanichiga5828 Před 3 lety +6

    Thamani ya choo Cha pablic ni thamani ya nyumba ya mtu ashukuruwe mungu kwa yote.

  • @younglegit7194
    @younglegit7194 Před 3 lety +1

    The video gives a paid review vibe, unaweza jenga a villa 100 times better than that for 600 mil, tofauti ni location tu

  • @omanlovemirbat7572
    @omanlovemirbat7572 Před rokem

    waooo mashawa 🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 Před 3 lety

    Nimegundua kumbe mimi sina nyumba shikamoo pesa 🙌🙌

  • @ckosmah21
    @ckosmah21 Před 3 lety

    hv mil 600 siunatungua mjengo wa maan apo kitaan kwenu wanangu au mm ndo sielewi???

  • @Gody360
    @Gody360 Před 3 lety +1

    🔥🔥🔥🙌

  • @Jaycollection
    @Jaycollection Před rokem

    Jua kali metuweza alie gundu gonga like

  • @yakaramayaka1456
    @yakaramayaka1456 Před 3 lety +3

    Labda iwe investment, holiday apartment kwa ajili ya watalii.

  • @alexanderisinika1295
    @alexanderisinika1295 Před 3 lety

    Naomba niwekee nataka chumba kimoja Self

  • @khalidhamis5811
    @khalidhamis5811 Před 3 lety +2

    Ukiwa na pesa unaweza kufanya chcht utakacho ila mzee @millad ayo vyumba 4 kwa M 600 duh to much ila kwa sababu ya location Ni saw

    • @blambiapapa7188
      @blambiapapa7188 Před 3 lety

      Aisee hata kama location sio milioni 600,huu ni wizi aisee

  • @edwarddavid8076
    @edwarddavid8076 Před 3 lety +1

    Dah! starehe yake kuona bahari tu kwa millioni 600

  • @fredywesh1441
    @fredywesh1441 Před 3 lety +1

    I wish I had money,ningehamia tz kaka zangu

  • @vasifpasayev
    @vasifpasayev Před 3 lety

    Nice👍👍💜💜💜💙💛🧡❤😍

  • @thebarzbreaker3520
    @thebarzbreaker3520 Před 3 lety +1

    Kwa M600 unaweza kujenga Ghorofa kufuru na sio kujibana hivyo. PALM VILLAGE WANAUTANI SANA😂😂😂

  • @godympole367
    @godympole367 Před 3 lety

    Daaah!! Inapendeza Sana.

  • @kanjunior1019
    @kanjunior1019 Před 3 lety

    Ukinunua hii appartment vipi unapewa na hivyo vitu vyote vya ndani? au unaamia na vitu vyako?

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 Před 2 lety

    Ayo TV, ebu niulize, kuna uwezekano mkenya kununua nyumba Tanzania??

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 Před 3 lety +1

    Kwa 600 nañunua kiwanja cha million 10 najenga mjengo wa million 300 bonge la jumba eneo la bustani napanda miti na Magali nanuua na bado chenchi inabaki.

  • @mursallusinde9189
    @mursallusinde9189 Před 3 lety +1

    Ukweli unabaki pale pale pamoja na yote hayo nyumba uliyokuta ipo tyr kma hiyo huwez jua kuna nin kimewekwa humo bora ujenge yako kila kitu unakijua.. Unaweza kuta kuna camera kila sehem zinakufatilia kila unacho fanya na huwez kuziona

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 3 lety +3

    Siwezi kunnua sitakuwa huru siwez kulima bustan amna uwanza

  • @elinamigags4847
    @elinamigags4847 Před 3 lety +1

    Hivi unajuwa milioni 300 insjenga nyumba gani lakini 😂😂😂

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 Před 3 lety +3

    Kila siku nilikuwa najiuliza hizo apartments ni bei gani Kama ni hivyo kwaheri.

  • @ndewerio1
    @ndewerio1 Před 2 lety

    Why public bathroom ina shower?

  • @hamisiviga2750
    @hamisiviga2750 Před 3 lety +5

    Wa kwaza Ku comment like zenu ni hatari team millady ayo tujuane

  • @solomonichisaye8767
    @solomonichisaye8767 Před 3 lety

    Watu wanakula maisha ...lol🥂😎

  • @mussakinkon151
    @mussakinkon151 Před 3 lety +3

    Duuh pesa bwana

  • @babuupawa7876
    @babuupawa7876 Před 3 lety

    Hiyo bei unakuta furniture?

  • @rachelbahahazo6362
    @rachelbahahazo6362 Před 3 lety

    Ningenunua lakini milango haijanifurahisha😀😀😀😀😀😀🤣🤣🤣🤣

  • @mybrain8940
    @mybrain8940 Před 2 lety

    I need jakuzi 🤣

  • @sanurikibaya3254
    @sanurikibaya3254 Před 3 lety +6

    We milla unashindwa namilion 600 siungeinunua ww

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 Před 3 lety +1

    nyumba ziko ghali.

  • @abdillahissa5336
    @abdillahissa5336 Před 3 lety +2

    Hiyo inayouzwa 600m ni pamoja na furniture zake?

  • @mosesnyirenda6359
    @mosesnyirenda6359 Před 3 lety +13

    Million 600?halafu niishi kwenye hizo Hostel?

  • @simonitaagesti3657
    @simonitaagesti3657 Před 3 lety

    Kutokanq na eneo mbona bei mzuri sana

  • @rodinemahega9925
    @rodinemahega9925 Před 3 lety

    Nzuri Sana