Mgawanyo wa milioni 600 uko iv kwa uku kwetu LINDI... Milioni 5 kiwanja, Milioni 20 dangote cement, milioni 8 mchanga, Milioni 7 mafundi kufyatua matofali, Milioni 10 mafundi kujenga, Milioni 30 bati za msauzi, Milion 20 finishing na wiring , Milion 10 swimming pool, Milioni 5 fance, hapo nyumba itakuwa imeisha na bonge la nyumba jumla ni Milioni 115. Kwenye milioni 600 inabaki milioni 485. inayobakia xaxa milioni 85 V8 moja, hapo unakuwa na nyumba kali sana na unatamba kitaa na Maela yako yamebak benki kama mstaafu ubunge tu.
Hesabu zako hazipo sawa hakuna fence ya milion 5 ingawa uko sahihi kuhusu mil 600 vs mjengo. Mjengo haulipi kama ulivyosema naweza tumia mil 300 au 400 kutoa stand alone house ya kibabe
Ushawai miliki nyumba bila kiwanja tena ya milioni 600 .lakin kiwanja huna 😅😅😅😅😅 thanks brother Miradi.. wacha nitafute kiwanja kwanza nyumba nita jenga tu
kweli kabisa the only thing you are selling me with the price is the location. otherwise the rest its pretty much way over priced. (Maoni ya maskini lakini)
Apartment ni nzuri kiukwelii, Ila kwa sisi mafundi kwa hiyoo Mill 600, unamvuaa mtu mjengoo kwa mill 300 pale mikadi beach pembeni tena barabarani na mia 3 iliyobakia unatoaa kitu cha laana , Ni mawazo tu maselaa
@@mybrain8940 Kumbee ww unatakaa Lift za kupanda na kushukaa sio luxury house, haya sawaa nimekuelewa ilaa kumbukaa mill 600 unaenda kuishi kwenye chumba na sebule na jiko, ilaa mimi nazungumziaa vyumba vitano na vyoote master bedroom pamojaa na ndinga iliyohifadhiwa laundery space/ parking space na swiming ya kwako kwa nyumaa ambayo ni simple tu, Hii ndo Nyumbaa ila hapoo unaishi kwenye chumba na sebule mzee kisa Lift
Milard nimekundua una kipaji kingine kizuri sana cha kuwa dalali, Yaani ni vile tu hujatutoza 10,000/= ya kuona kama wale madalali wa maani ah ah ah ah ah ah ah ah h. Bless youu
Hapa ndipo ninapojuaga wasanii wetu miayusho kwa quarty hii ingekua mbele wasanii wangekimbilia ila huku tunaishia kuwaona insta na fake life yao pumbafu hakua cha simba wala chui 😊😊😊😊😊
kwa ela hiyo,siishi kwenye flats!!! ntachomea wapi nyama kwenye grill ya mkaa,hamna garden, watu wengine ni musiki wa nguvu kwa mbele,si nitagombana na block nzima?..hizo za mabachela..lol.They are nice though
Hongera sana Millard Ayo kwa kupewa nafasi ya kuifanyia advertisement hapo mahali kusema kweli you really inspire me and be blessed up. Alafu nauliza hivi mtu akinunua apartment kama hiyo value ya Tzs 600M atakuwa anaishi humo kwa mda ya miaka mingapi agreement yake
Ukinunua inakuwa yako milele na hati unapewa.Hiyo ni hati pacha.sio kuwa unapangishwa hapana.Hizo n nyumba nzuri kwa ma CEO na Manager kwenye Big firms
@@mohamy001 hizi nyumba zinauzwa kwa mfumo unaitwa unit title. Na kila mmoja anakuwa na umilki wake. Na ni Sheria kwa wamilik kuanzisha umoja wao wa umilik na wanamwajili msimamiz mmoja atakaye kuwa anashughulikia jengo zima.
Appartment Millioni 600 ghorofa ya 11? hio ni sawa na dola laki 2 sitini, najua ni sababu ya location ila kwa hela hio unaweza kununua nyumba na eneo kubwa private sio appartment, kumbuka ukinunua nyumba ama kiwanja ni kwamba unamiliki eneo, ila appartment huuziwi eneo ni jengo tu.
Hujengi mtaa mzima ila unaweza ukajenga nyumba yako nzuri na ukaweka mpaka umeme wa jua mkubwa na kisima cha maji pia na electric security fencing na swimming pool pia
Sasa basi una nunuaje milioni 600 sehemu kama hiyo kwasababu ya ya view ya mikocheni?unajua 600 millions nikijenga yakwangu natoa kasri?hebu acheni upuuzi
Umemaliza KILA kitu..milioni mia nanunua kiwanja sehemu nzuri nitakayo..mia tatu najenga ghorofa..milioni mia unaweka KILA kitu cha anasa ndani...mia sita nyingi sana na huna hata sehemu wa kufanya shughuli
...Ni ngum saaana kufanya kaz kwa muhind kutwa unalipwa elfu8 kula kwako naul kwako, afu unawaza kuwa kutafuta mil.600 Aaaisee labda ubebe sembe. Kuwa km mm tu naangalia muundo mpya wa sofa niweke geto.
Million 600 najenga gorofa moja yenye vyumba 10 na yenye furniture kali,,,apo sijaona furniture yeyote kali inayoendana na pesa hiyo,,,,HII NI JANJA JANJA TU,,,Weka Like kama unakubaliana na mimi
Mimi Maskini wa bush part nimezoe nyumba yangu ni pande mipera,mapapai na makomamanga ..nyumba hizi za matajiri hazifai kuchinja kuku.wala mbuzi hazifai kula ubwabwa wakufunikia Wa mkaa Hapa full kula madude ya plastic surgery...
Habar njema kibongo bongo. Hiyo ni hatua kubwa sana 'na Ya hari.hajuu sanaa wakulungwa tutafute hela tupunguze matumiz nas siku moja tuje kumiliki vilivyo bora
Nyumba hamna garden wala hamna sehemu ya watoto kuchezea shida tupu alafu milion sita to expensive bado haijajitoshekeza Bora utafute kiwanja upate garden sehemu za watoto kucheza sio juu kama ndege kuandika nguo shida tushakaa nyumba kama hizi mashaka Tu subiri umeme uzimike heeee uwe chini alfu unamizigo utalia kupandisha juuu
Miladiayo ,mbona sijapata zawadi yangu ya simu baada ya kupata swali ulilosema limedhaminiwa na kampuni ya simu Samsung .swali lako liliuliza ni paka gani atakaye wahi kunywa maziwa ktk ule mchoro ?na tuliwasiliana kwenye face book ambapo ndipo swali lako liliulizwa .
600M Najenga Nyumba ya chini Ghorofa 2 Na Magari kadhaa na full ulinzi na viwanja nazungushia...kuliko kujibana huko juu eti kisa ni palm village....Unaweza kununua kwa ajili ya kukodishia lkn Mbona wao wauze 😒 wakodishe
Yaan nitoe mil 600 kisa mjini na ghorofa ama, kwa mm ningenunua viwanja kigambon ama mhagala nikajenga nyumba za maana na kupangisha baada ya miaka kadhaa pesa inazid ya hiyo ml 600
Mmmh ila kwa mimi apo harakaharaka nikipata milioni 600 nyumba yangu nagarimu milioni 20000 gari milioni 7 shamba na shamba la kulima milini 30 na nyengine najenga msikiti milioni 50 abayo itakua sadaka yangu kwa alonijalia riski hii ya milioni 600 uo ni mchizamo wangu kwa alonazo aaaa mbona ize nyumba ipo powa
Kwa 600 nañunua kiwanja cha million 10 najenga mjengo wa million 300 bonge la jumba eneo la bustani napanda miti na Magali nanuua na bado chenchi inabaki.
Ukweli unabaki pale pale pamoja na yote hayo nyumba uliyokuta ipo tyr kma hiyo huwez jua kuna nin kimewekwa humo bora ujenge yako kila kitu unakijua.. Unaweza kuta kuna camera kila sehem zinakufatilia kila unacho fanya na huwez kuziona
Mgawanyo wa milioni 600 uko iv kwa uku kwetu LINDI... Milioni 5 kiwanja, Milioni 20 dangote cement, milioni 8 mchanga, Milioni 7 mafundi kufyatua matofali, Milioni 10 mafundi kujenga, Milioni 30 bati za msauzi, Milion 20 finishing na wiring , Milion 10 swimming pool, Milioni 5 fance, hapo nyumba itakuwa imeisha na bonge la nyumba jumla ni Milioni 115. Kwenye milioni 600 inabaki milioni 485. inayobakia xaxa milioni 85 V8 moja, hapo unakuwa na nyumba kali sana na unatamba kitaa na Maela yako yamebak benki kama mstaafu ubunge tu.
Hesabu zako hazipo sawa hakuna fence ya milion 5 ingawa uko sahihi kuhusu mil 600 vs mjengo. Mjengo haulipi kama ulivyosema naweza tumia mil 300 au 400 kutoa stand alone house ya kibabe
@@enamwangama4203 zipo fensi za makuti😀😀😀
😹😹 umetisha
Umetisha
Umetisha
apo kwenye bafu milard nimecheka ulivyosema kuna space alafu ukajikuta umeshika ukuta
😂😂😂😂
Yaani
Dah! Na mimi Eti wakiitwa watu wenye nyumba nitoke hata kwa dawa sitoki Ila namshukuru mungu na mm nina pa kujistiri 🙏🙏🙏
🤣🤣🙌🙌🙌
😂😂😂😂😂
Ndy maana hutakiwi kujifananisha na mtu🤣
Hahahahaha
Ndo la maana
Cwez nunua kinyumba cha vumba nne kwa m 600 naenda jenga bangaloo moja matata
Ushawai miliki nyumba bila kiwanja tena ya milioni 600 .lakin kiwanja huna 😅😅😅😅😅 thanks brother Miradi.. wacha nitafute kiwanja kwanza nyumba nita jenga tu
Hiyo million 100 ni nyingi. Anaumwa sana ni kama kujenga nyumba ya chini ukiwa na kiwanja mbona unaweza ukajenga mjengo kama huo kwa million 100 tu
😂
600 million ni very overpriced kwa build quality hiyo. Hapo ni kwamba unanunua location. Ila nyumba, na finishing ni very basic.
Sasa utafanya pricing ya nyumba bila ku take into consideration location/plot..!!
@@gregorychogelo2013 😜😃😃😃🤔🤔 point
Nikitaka kuama naama napo au
Unauziw floor na vyumba vinne
600 ukitaka yote x11 = ila itatofautiana bei kulingana na Floor specification
kweli kabisa the only thing you are selling me with the price is the location. otherwise the rest its pretty much way over priced. (Maoni ya maskini lakini)
Apartment ni nzuri kiukwelii, Ila kwa sisi mafundi kwa hiyoo Mill 600, unamvuaa mtu mjengoo kwa mill 300 pale mikadi beach pembeni tena barabarani na mia 3 iliyobakia unatoaa kitu cha laana , Ni mawazo tu maselaa
Sasa wewe huoni huko ni karibu na mbinguni, tena unaenda kwa lift 🤣 hicho ni kiota chini kuna shopping, hakuna uswahili, 🤣🤣🤣🍺
@@mybrain8940 Kumbee ww unatakaa Lift za kupanda na kushukaa sio luxury house, haya sawaa nimekuelewa ilaa kumbukaa mill 600 unaenda kuishi kwenye chumba na sebule na jiko, ilaa mimi nazungumziaa vyumba vitano na vyoote master bedroom pamojaa na ndinga iliyohifadhiwa laundery space/ parking space na swiming ya kwako kwa nyumaa ambayo ni simple tu, Hii ndo Nyumbaa ila hapoo unaishi kwenye chumba na sebule mzee kisa Lift
Kwel kabisaaa
Wengine tunaishi kwenye chumba kimoja kitanda hapohapo jiko unga kochi unaweza sema unalala sto lakin 1day yes inshallah tutamiliki
Hhhhhhhhhhhh umenichekesha
insha'Allah 🙏
🤜👊 kikubwa Dua🙏
Inshaallah
Milad nikihitaj kukupata nakupataje
Mungu wangu unisaidie mm na mume wangu tukajenge yetu na tuweke mahitaji zaidi ya hayo
Ameen
Ameen mung akusaidiy
Unajenga nzuri , kubwa na gari yako unaegesha mvungu wa kitanda 🤣🤣🤣🤣
Amen,. MUNGU awabariki mkidhi kiu ya ndoto zenu na mue na amani daima.
Amina
Milard nimekundua una kipaji kingine kizuri sana cha kuwa dalali, Yaani ni vile tu hujatutoza 10,000/= ya kuona kama wale madalali wa maani ah ah ah ah ah ah ah ah h. Bless youu
🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😃😃😃😃 wengine kuona kiwanja 20,000/ dalali
😂😂😂🙌🏻🙌🏻
I am coming to buy this room. From Toronto 🇨🇦! I hope it will still available.
You are living my dream bro! Congratulations in advance... I wish I can comment like this one day
You can apply Iam in toronto too
@@tanzcanmediatv4473😂😂😂
Uali gani hapo ulipo Millard! Napataje mawasiliano yako?
Ahsante sana!
Dah hii inanipa hasira kutafta pesa 🤭🤗😕😕😕
😂😂
Hahaaa aliyejaliwa kajaliwa
Kabsa kabda bro yan inaleta hasira ya kutafuta pesa
Hata wewe waweza kukopa kuwekeza, huyo kakopa kuwekeza
misingi Ni muhimu sana watu wako na raha ila wengine wako na shida sana Mungu atusaidie
Hapa ndipo ninapojuaga wasanii wetu miayusho kwa quarty hii ingekua mbele wasanii wangekimbilia ila huku tunaishia kuwaona insta na fake life yao pumbafu hakua cha simba wala chui 😊😊😊😊😊
Shuwa bro umeongea fact saana wanaigiza maisha tuh insta mie pia nawachekigi hv nabaki kucheka tuh wafafek maisha had bas 😄🇹🇿🇶🇦👊✌
Yani 600ml huku kwetu unanunua kiwanja na unajenge nyumba 15@ room3
kwa ela hiyo,siishi kwenye flats!!! ntachomea wapi nyama kwenye grill ya mkaa,hamna garden, watu wengine ni musiki wa nguvu kwa mbele,si nitagombana na block nzima?..hizo za mabachela..lol.They are nice though
one day Mungu atanipa nyumba kama ioo mirald ayo
Amiin na afya pia.
Amiin thuma amiin
Hongera sana Millard Ayo kwa kupewa nafasi ya kuifanyia advertisement hapo mahali kusema kweli you really inspire me and be blessed up. Alafu nauliza hivi mtu akinunua apartment kama hiyo value ya Tzs 600M atakuwa anaishi humo kwa mda ya miaka mingapi agreement yake
Siku zote za maisha yako
Ukinunua inakuwa yako milele na hati unapewa.Hiyo ni hati pacha.sio kuwa unapangishwa hapana.Hizo n nyumba nzuri kwa ma CEO na Manager kwenye Big firms
Nilisema hivyo kwasababu wapangishaji watakuwa wengi na ni nani atakayemiliki Cheti cha kiwanja hicho
Jana niliwapa milion 400 wakakataa dah achana nao
@@mohamy001 hizi nyumba zinauzwa kwa mfumo unaitwa unit title. Na kila mmoja anakuwa na umilki wake. Na ni Sheria kwa wamilik kuanzisha umoja wao wa umilik na wanamwajili msimamiz mmoja atakaye kuwa anashughulikia jengo zima.
Appartment Millioni 600 ghorofa ya 11? hio ni sawa na dola laki 2 sitini, najua ni sababu ya location ila kwa hela hio unaweza kununua nyumba na eneo kubwa private sio appartment, kumbuka ukinunua nyumba ama kiwanja ni kwamba unamiliki eneo, ila appartment huuziwi eneo ni jengo tu.
Milioni 600 najenga mtaa mzima
Ninajenga gorofa with a big garden, mil 600 with no garden? no bath for soaking your body, just shower? no thank you.
😂😂😂 kweli mkuu
Knsa yan
@@samniza1763 agree
Hujengi mtaa mzima ila unaweza ukajenga nyumba yako nzuri na ukaweka mpaka umeme wa jua mkubwa na kisima cha maji pia na electric security fencing na swimming pool pia
Mashallah, Tunaziona kila cku, ila kumiliki sasa mmmmh 😜
My dreams house dah pesa uko wapi😠
Hiyo hela mbona ndogo, sisi ni wazee wa migodini, huwa hatupigi hodi.
ayabwana
Karibuni hadi mkifika piteni hadi ndani kabisa!
Thaman ya nyumba ndo imekwamia hapo,
Kwani yeye kasema ni nyingi?😂😂😂
Usiwaogopeshe watu wape moyo wakutafuta
Sasa basi una nunuaje milioni 600 sehemu kama hiyo kwasababu ya ya view ya mikocheni?unajua 600 millions nikijenga yakwangu natoa kasri?hebu acheni upuuzi
Zina wenyew hizo, wakitifuana wanajirusha hewani tu, 😂😂
Umemaliza KILA kitu..milioni mia nanunua kiwanja sehemu nzuri nitakayo..mia tatu najenga ghorofa..milioni mia unaweka KILA kitu cha anasa ndani...mia sita nyingi sana na huna hata sehemu wa kufanya shughuli
Yani ni kweli kabisa hawa wanaumwa sana 🤣
@@jamesswai1683 sehem ya kufanya shughuli hakuna 😂😂😂😂
million 600 af master room hamna Jacuzzi
😂😂😂
Nataka
Jakuzi ya nini kuna swimming pool na bahari. Hivo vyatosha.
Apartment million 600!!
Najenga nyumba yangu sehemu kimya hakuna zogo ..
Kweli kabisa
😀😀😀
😃😃😃😃😆🤣
Anaumwa huyo nyumba hiyo rabda million 100 ikizidi hapo ghali
DSM ujenzi gharama Kama upo mikoani unaweza jenga
Npo geto hapa punde nimekosakosa kumwaga unga wangu duh...haya maisha ya kuishi store sio😂😂
😂😂😂😂
Hahaaaaa
😁😁😁
Pole😂😂😂😂😂
😀😀😀watu wanazungumzia M600 mzee Kama ya mboga tu.
Hapo unanunua locacation, hiyo million 600 sehemu nyingine unaweza kufanya makubwa, unaweza kumiliki majumba ya kisasa zaidi ya matano.
...Ni ngum saaana kufanya kaz kwa muhind kutwa unalipwa elfu8 kula kwako naul kwako, afu unawaza kuwa kutafuta mil.600 Aaaisee labda ubebe sembe. Kuwa km mm tu naangalia muundo mpya wa sofa niweke geto.
Hahahaha
Nyumba ipo Good sana Duuh
Mchicha ntalimia wapi Meku?Unakaa juu ukiachia kitu kinabiringika down mjini noma sana.
Hapo sasa, m 600 nikakae mashambani na kulima mboga zote
Million 600 najenga gorofa moja yenye vyumba 10 na yenye furniture kali,,,apo sijaona furniture yeyote kali inayoendana na pesa hiyo,,,,HII NI JANJA JANJA TU,,,Weka Like kama unakubaliana na mimi
I have nothing to say but to rate ⭐⭐⭐⭐⭐ nikiongea nitaongea mpaka mwakani/thank you!
Congratulations! I like it
Kunywa kikombe kimoja cha kahawa kila akisema AMAZING
😂😂😂🤣🤣
Mhh nyumba kama hyo hata jirani yko humjui ,mnaonana parking na supermarket
Synonyms of amazing
surprising.
startling.
stunning.
wonderful.
shocking.
incredible.
awesome.
astonishing.
So beautiful l love it
milioni mia sita najenga gorofa moja yenye vitu bora na mwonekano mzuri zaidi ya hii...
Nakubali
Unajenga gorofa 5 kwa hiyo milioni 600
Jamani daaah watu wanakula Bata had raha ,mungu nikumbuke maisha ya raha nipate na mm
Mimi Maskini wa bush part nimezoe nyumba yangu ni pande mipera,mapapai na makomamanga ..nyumba hizi za matajiri hazifai kuchinja kuku.wala mbuzi hazifai kula ubwabwa wakufunikia Wa mkaa
Hapa full kula madude ya plastic surgery...
Nimekuona kaka 🤣🤣🤣🤣 ujumbe umetugusa n ss 2naopenda kupanda mboga za majani 2tazipandia wapi
😁😁😁😁😁
OMG Dar es Salaam has changed by Leaps and Bounds since I was there in 1973.
Come back again so we can go and live together in Pam village
🤣🤣🤣🤣🤣 hii just saying hai
Habar njema kibongo bongo. Hiyo ni hatua kubwa sana 'na Ya hari.hajuu sanaa wakulungwa tutafute hela tupunguze matumiz nas siku moja tuje kumiliki vilivyo bora
Ninunue nyumba m 600 Alf IPO ewani sijaribu
Hahaha
Milard inunue bana iko chini ya uwezo wako
Nyumba hamna garden wala hamna sehemu ya watoto kuchezea shida tupu alafu milion sita to expensive bado haijajitoshekeza Bora utafute kiwanja upate garden sehemu za watoto kucheza sio juu kama ndege kuandika nguo shida tushakaa nyumba kama hizi mashaka Tu subiri umeme uzimike heeee uwe chini alfu unamizigo utalia kupandisha juuu
safi kesho naja kununua hiyo kaka nmepa
penda sana.
Wajanja tunaiba ramani tu 😂😂😂😂😂
Beautiful house
Miladiayo ,mbona sijapata zawadi yangu ya simu baada ya kupata swali ulilosema limedhaminiwa na kampuni ya simu Samsung .swali lako liliuliza ni paka gani atakaye wahi kunywa maziwa ktk ule mchoro ?na tuliwasiliana kwenye face book ambapo ndipo swali lako liliulizwa .
Nipunguzieni nina200
Dah patam apo😋😋😋👌👌💕👌
Nice one 👍
600M Najenga Nyumba ya chini Ghorofa 2 Na Magari kadhaa na full ulinzi na viwanja nazungushia...kuliko kujibana huko juu eti kisa ni palm village....Unaweza kununua kwa ajili ya kukodishia lkn Mbona wao wauze 😒 wakodishe
Wow! It's really exquisite
Mbona hiyo bei haifanani na hiyo flat kwakweli bai kubwa sana haifanani kabisa
Yaan nitoe mil 600 kisa mjini na ghorofa ama, kwa mm ningenunua viwanja kigambon ama mhagala nikajenga nyumba za maana na kupangisha baada ya miaka kadhaa pesa inazid ya hiyo ml 600
Nyumba kama hizo hata wachawi hawaingii....😂😂
Nimecheka jamn bongo kuna viruko
Hivi nikinunua au nakuwa nimekodi sehemu tu ya ghorofa?
Mmmh ila kwa mimi apo harakaharaka nikipata milioni 600 nyumba yangu nagarimu milioni 20000 gari milioni 7 shamba na shamba la kulima milini 30 na nyengine najenga msikiti milioni 50 abayo itakua sadaka yangu kwa alonijalia riski hii ya milioni 600 uo ni mchizamo wangu kwa alonazo aaaa mbona ize nyumba ipo powa
Maji na umeme must be reliable short of that ni bonge la adhabu
Duh...! Naona umeanza kua Dalali..
Kwa milioni 600 bado ni padogo sana interior designer hajafanya creativity ya kutosha but ni nzur haishtui sana
Hamna mmbu huko?? Mimi na mmbu sipendi, maji hayakatiki??
Yani aptment zinauzwa ghali kuliko hata dubai
Thamani ya choo Cha pablic ni thamani ya nyumba ya mtu ashukuruwe mungu kwa yote.
The video gives a paid review vibe, unaweza jenga a villa 100 times better than that for 600 mil, tofauti ni location tu
Kweli Kabisa👍👍👍
waooo mashawa 🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nimegundua kumbe mimi sina nyumba shikamoo pesa 🙌🙌
hv mil 600 siunatungua mjengo wa maan apo kitaan kwenu wanangu au mm ndo sielewi???
🔥🔥🔥🙌
Jua kali metuweza alie gundu gonga like
Labda iwe investment, holiday apartment kwa ajili ya watalii.
Naomba niwekee nataka chumba kimoja Self
Ukiwa na pesa unaweza kufanya chcht utakacho ila mzee @millad ayo vyumba 4 kwa M 600 duh to much ila kwa sababu ya location Ni saw
Aisee hata kama location sio milioni 600,huu ni wizi aisee
Dah! starehe yake kuona bahari tu kwa millioni 600
I wish I had money,ningehamia tz kaka zangu
Nice👍👍💜💜💜💙💛🧡❤😍
Kwa M600 unaweza kujenga Ghorofa kufuru na sio kujibana hivyo. PALM VILLAGE WANAUTANI SANA😂😂😂
Daaah!! Inapendeza Sana.
Ukinunua hii appartment vipi unapewa na hivyo vitu vyote vya ndani? au unaamia na vitu vyako?
Ayo TV, ebu niulize, kuna uwezekano mkenya kununua nyumba Tanzania??
Kwa 600 nañunua kiwanja cha million 10 najenga mjengo wa million 300 bonge la jumba eneo la bustani napanda miti na Magali nanuua na bado chenchi inabaki.
Ukweli unabaki pale pale pamoja na yote hayo nyumba uliyokuta ipo tyr kma hiyo huwez jua kuna nin kimewekwa humo bora ujenge yako kila kitu unakijua.. Unaweza kuta kuna camera kila sehem zinakufatilia kila unacho fanya na huwez kuziona
Siwezi kunnua sitakuwa huru siwez kulima bustan amna uwanza
Hivi unajuwa milioni 300 insjenga nyumba gani lakini 😂😂😂
Kila siku nilikuwa najiuliza hizo apartments ni bei gani Kama ni hivyo kwaheri.
Haaa khaaaa khaaaa
Why public bathroom ina shower?
Wa kwaza Ku comment like zenu ni hatari team millady ayo tujuane
Watu wanakula maisha ...lol🥂😎
Duuh pesa bwana
Hiyo bei unakuta furniture?
Ningenunua lakini milango haijanifurahisha😀😀😀😀😀😀🤣🤣🤣🤣
I need jakuzi 🤣
We milla unashindwa namilion 600 siungeinunua ww
😁😁😁😁😁😂
nyumba ziko ghali.
Hiyo inayouzwa 600m ni pamoja na furniture zake?
ndio
Million 600?halafu niishi kwenye hizo Hostel?
Ha haaaa
Unaweza kununua kwaajiri ya biashara
@@Donrugi siwez nunua ata kama ni biashara,, wew unaifaham ml 600
Hayo maisha huyawezi kausha
@@elinamilyatuu7493 aya maisha nayawexa ndo maana nimekujibu,,
You don't know nothing,,, idiot
Kutokanq na eneo mbona bei mzuri sana
Nzuri Sana