GOROFA YA ROOMS 4 SIKILIZA BAJETI HAPA ATA WEWE UNAWEZA KUSIMAMISHA GOROFA UKIACHA UWOGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 01. 2024
  • #gorofalamwijaku

Komentáře • 101

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 6 měsíci +9

    Ulijuwaje jaman nilikuwa nataka raman ya kagolofa simplo kama hili zur ❤

  • @fastonerugotwa3026
    @fastonerugotwa3026 Před 6 měsíci +2

    Habari yako Mkuu , Kumbuka Mirunda, Mbao 2*2, 4*4, 1*8, six na Marine board. Board moja 48*60=
    Wawekee watu kila ki2, Then sijasikia habari ya ring, grill, maji kwenye ujenzi na kumwagilia slab for 14 to 21 days , na basi kama ni 140*140 au 120*120 kitako cha maana.
    All in all mambo mengine umeyaweka vizuri.
    Binafsi niliongeza na pagola ya kupumzikia juu yaani sehemu ya floor ya pili ndo ikagusa 380.

  • @athumannambombe4334
    @athumannambombe4334 Před 6 měsíci +9

    NONDO KWA HIYO IDADI HAIFIKII HIYO GHARAMA HIYO ILIYOKADIRIWA KWA SABABU UTAAGIZA KWA TONE AMBAYO INAKUWA NA NONDO ZISIZOPUNGUA 90 NA HATA CEMENT UNAWEZA KUAGIZA KWA TONE 30 AMBAYO UNAPATA MIFUKO 600.

  • @ce-08
    @ce-08 Před 6 měsíci +10

    Bro Mungu akupe umri mrefu umenifanya nianze kujiamin kumbe naweza jenga nyumba ya maana hata kama sio ghorofa🤝

  • @jobuumwambelo2341
    @jobuumwambelo2341 Před 6 měsíci +3

    Mwambaa Mungu akuwekee kwa kadili apendavyooo 🤝🤝🤝🤝

  • @aploscoder4358
    @aploscoder4358 Před 6 měsíci +5

    wow wow wow UMETISHA MAN, TANGU NIMETUMIA VIDEO LEO NDO NMEKUTANA NA CHANEL YA BONGO YENYE VITU VYA MSING NA FONDESHENI

  • @yusuphHatibu-jy6kv
    @yusuphHatibu-jy6kv Před 2 měsíci

    Broo Allah akujalie sana mana unatupa ufaham na kujiamni kua tunaweza kufanya vitu vikubwa. Shukran sana

  • @bexy.
    @bexy. Před 6 měsíci +4

    Umetisha kaka sina kitu ila natamani nyumba kana hii walau hata baba yangu alalie tu

  • @jimmysantana3987
    @jimmysantana3987 Před 6 měsíci +3

    Umetishaaaaaa ndugu yng good insipiration

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Před 6 měsíci +1

    Very good explanations...umetumia bei halisia ya 2024,,, Nondo Tsh.23,000/= Cement 18,000/= Mchanga Lori 100k kwenda juu, Nondo 280K. Uko sahihi mkuu.

  • @samwelisamsoni6402
    @samwelisamsoni6402 Před 6 měsíci +1

    Asante kaka nmejifunza kitu Mungu akubariki saba

  • @user-dz9xg9ll1n
    @user-dz9xg9ll1n Před 6 měsíci +2

    Great job

  • @SalimhchialaAtilio-qj5cs
    @SalimhchialaAtilio-qj5cs Před 6 měsíci +2

    Thanks brother 🥰

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 Před 6 měsíci +2

    Bado iko juu sana

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h Před 6 měsíci

    Tutajenga. Ahsante kwa ushauri.

  • @jonasafumwisye6357
    @jonasafumwisye6357 Před 6 měsíci +3

    Mwamba nimekukubali nitakutafuta maana akina meinjaku wanatutisha sana

  • @eliyagervas8680
    @eliyagervas8680 Před 6 měsíci +1

    Thanks man

  • @babupiza641
    @babupiza641 Před 6 měsíci +1

    Nimekuelewa sana mzee

  • @chrizostomchristian1884
    @chrizostomchristian1884 Před 6 měsíci +2

    Ntakupa Kaz mwanza na bukoba uwe on line muda wote

  • @user-is9oc6ul8h
    @user-is9oc6ul8h Před 5 měsíci

    Uko njema bro

  • @mkwejonathan361
    @mkwejonathan361 Před 6 měsíci +1

    Uko vzr, ntakucheki tukae tuyajenge brother

  • @zaiboris9696
    @zaiboris9696 Před 6 měsíci +1

    Nice

  • @tonnyford5782
    @tonnyford5782 Před 6 měsíci

    Sawa bosi ngoja niandae nondo tofar na mchanga nataman sana hii kitu,nikiwa na 200m naanza ujenz❤

  • @ericmwakingili6746
    @ericmwakingili6746 Před 2 měsíci

    KAZI NZR KAKA NTAKUTAFUTA

  • @osoromageta3381
    @osoromageta3381 Před 6 měsíci +3

    Nakukubali sana upo vzr

  • @sheikhalumbalambala2655
    @sheikhalumbalambala2655 Před 6 měsíci +1

    Safi sana

  • @AalyahNassor
    @AalyahNassor Před 6 měsíci +1

    🎉🎉🎉

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 Před 6 měsíci

    Safi sana❤❤❤❤

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytz Před 6 měsíci

    Nakubari

  • @pendowilbert8808
    @pendowilbert8808 Před 6 měsíci +1

    Tatizo ukipigiwa simu una majibu ya kukatisha tamaa,unatuvunja moyo💔

  • @ChipakaJama-bi2jg
    @ChipakaJama-bi2jg Před 6 měsíci +19

    Et b moja hv yuele kichaa anazan wote ni wendawazimu kama yeye b moja kigorofa kimebana kama vile chiz sana yule

    • @julianaharrison4356
      @julianaharrison4356 Před 6 měsíci

      Ole gorofa ya Mwijaku ni nzuri ila kiwanja kidogo sana haina hata garden ya maana

    • @cuthbertmkemwa4903
      @cuthbertmkemwa4903 Před 6 měsíci

      hahaha, kaka mbona kama umemmind? kazidisha pale

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 Před 6 měsíci +2

    200M to 250M gorofa za billion 1.5M ni hotel za kitalii ghorofa 12 had 17 kwenda juu

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Před 6 měsíci

    saf sana

  • @starfordalex4139
    @starfordalex4139 Před 5 měsíci

    Uko sahihi

  • @christinainnocent3240
    @christinainnocent3240 Před 5 měsíci

    Unaweza kufika billion kulingana na nakshi ulimwende utaoweka na vitu vya thamani nk kama majakuzi swimming pool bustani ya sehemu ya kuchoma nyama na kufanya sherehe , ndani sehemu ya bar parking garage ya magari basement madirisha makubwa marefu ya za ajabu ajabu nk

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 6 měsíci +3

    Lile Ghorofa la marehem Mengi kule machame ni million 800 na ni ghorofa la maana sio poa vioo tupu limepanda hewani, Sasa uyu mpuuzi mwijaku anatuongezea namba kwa ghorofa gan pale Billion 1.3

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 Před 6 měsíci

    Mwijaku choko

  • @IsayaSamweli-pm4dd
    @IsayaSamweli-pm4dd Před 6 měsíci

    Safi sans no yako mkuu.

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 Před 6 měsíci

    mwijaku anatuona watanzania n mabwege

  • @user-pw4dx9hr1l
    @user-pw4dx9hr1l Před 6 měsíci

    Nimekukubali bro ntakucheki napapata malamba mawili

  • @stephenmwampondele7893
    @stephenmwampondele7893 Před 6 měsíci

    Saf nimekuelewa

  • @shomarisangari-rt6le
    @shomarisangari-rt6le Před 6 měsíci

    Ahsate sana

  • @user-my6vn6mp6g
    @user-my6vn6mp6g Před 6 měsíci +1

    Mwamba we mkweli sana

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 6 měsíci +3

    Hilo golifa juu lina sehem ya kupunzikia kama kwa mwijaku

  • @allanabdallah9124
    @allanabdallah9124 Před 6 měsíci +2

    Wapuuzi walinitisha nikajenga ya kawaida na nimeshatumia 110M. Halafu unakuja leo kusema 😠 9:30

    • @ginimbifamily3995
      @ginimbifamily3995 Před 6 měsíci

      Umeshatumia 110M ..Kwan aujamaliza?
      Kuna watu wanatafuta Kazi kiaina..watu wanachukulia kujenga gorofa ni makalio 😂😂😂

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 Před 6 měsíci +5

    Ile ghorofa nimeaingalia weeeh kisha nikaenda kwa nyumba ya msechu nikaoangalia weeh kisha nikaangalia ya Aristote jibu likaja wale walojenga za chini wametumiq gharama kubwa kuliko yy

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 6 měsíci

      Nalo Neno

    • @lucynoah1737
      @lucynoah1737 Před 11 dny

      Kazi nzuri sana unaenda kuwa mtu mkubwa
      Naomba kuona kama umejenga lodge yo yote kwa design ya hidden roof

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 Před 6 měsíci

    Umeelezea vzur sana

  • @joskimmaro1556
    @joskimmaro1556 Před 3 měsíci

    Hiv hiz hydraform block ni salama kwa ujenzi especial kwa mazigira yetu?

  • @KyandoSpareparts
    @KyandoSpareparts Před 6 měsíci +1

    Mm ata mil 100 haifiki nkiandaa ramani yangu kwenye cad

  • @user-wy3jv4ri7x
    @user-wy3jv4ri7x Před 6 měsíci

    Zanzibar unaweza kuja kujenga

  • @Mrpromotiongroup
    @Mrpromotiongroup Před 5 měsíci

    Apo bado ni bei ya kiufundi 😅😅 nikijenga kwa kusimamia mwenyewe bila mafundi kuiba cement na nondo nanunua mwenyewe tsh 20000/= gorofa la vyumba 4 na kila kimojaa choo ndanj na jiko ni Tsh 200M

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 6 měsíci +1

    Na hiyo ya nje ni swiming pul au

  • @dottosweetbert8879
    @dottosweetbert8879 Před 6 měsíci

    Sasa Mr House decorations, je watu wanaojenga maeneo magumu kama Mwanza (ardhi ni mawe tupu), gharama hazipungui hapo?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 6 měsíci

    Nataka kama hilo

  • @user-nb1lv9xw6m
    @user-nb1lv9xw6m Před 6 měsíci +3

    Big up uko sawa nitumie namba yako ya simu

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg Před 6 měsíci

      Namba mbona kazitaja pia hata kwenye hii kazionesha pia namba zake, rudia kuiangalia video hadi mwisho

  • @fridakipingu
    @fridakipingu Před 6 měsíci +1

    Ni nzuri asee ukiwa na milioni 150 usha maliza na usafi

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 6 měsíci +1

      M150 bora ujenge nyumba ya chini kali

    • @SallmaXg
      @SallmaXg Před 6 měsíci

      ​@@adkajisi4536kwani kwa hiyo 150M ukijenga nyumba ya chini itakuwa ya rooms gapi

    • @sarahkimambo5324
      @sarahkimambo5324 Před 6 měsíci

      😂

  • @yohaneskomba9559
    @yohaneskomba9559 Před 6 měsíci +1

    Nitumie namba yako brother

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 6 měsíci

    Huyu Mwenjaku Maarufu Majisifu Maarufu Mtu Anajifu Amsifia Mpaka Mkewe Hakuna Mwanake Mazuri Kama Mkewangu...???????

  • @AishaSaid-yx3jl
    @AishaSaid-yx3jl Před 6 měsíci +5

    Fundi bado upo juu kibajeti kwani tofari za chini TU elfu sita kwenye nondo upo vizur ila tofar upo juu kwisha kwa bajet hii nakubali kuwa mwijaku ikawa sawa maana hii sukwe thalasini milioni sitini je Ile yenye sukwea karibu mia mbili piga vizur hesabu zako naona kama hiyo ya fundi wako ndiyo galama za hiyo nyumba tupo pamoja wacheni tuendelee kutuliza nyumba za chini

  • @alaamarisaviel2979
    @alaamarisaviel2979 Před 6 měsíci

    Sasa wewe ndio umenipa motoooooo wa kuendelea kujenga gorofaaaaa

  • @kimandafukitefu2999
    @kimandafukitefu2999 Před 4 měsíci

    Ina square ngapi hiyo nyumba kabla ya budget yako?

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x Před 2 měsíci

    mwijaku? daah

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 Před 6 měsíci

    Wacha tujenge zetu za Million 5 tu huko tutaziona hata Barabarani

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 6 měsíci +2

    Room 4 kwa maana chini vyumba viwil na juu viwil

  • @WorldExploration381
    @WorldExploration381 Před 6 měsíci +1

    Bado mirunda na marine za kubebea zege,,,!

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Před 6 měsíci

      😂😂😂😂 Kigoma Moja hiyo njoo niko Mwanga kwa Mchaga

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg Před 6 měsíci

      Ujamsikiliza au bajeti ya kwanza kujenga Bola la gorofa alipata milioni 70 kasoro kidogo Ila ikasema we weka bajeti ya milioni 100 kwa Boma kwasababu ya vitu vidogo vidogo kama hivyo ambavyo akuolozesha!.

    • @WorldExploration381
      @WorldExploration381 Před 6 měsíci

      @@selemanmaganga-le4zg hivyo sio vitu vidogo kwenye ghorofa,,!

  • @Cruxtrend
    @Cruxtrend Před 6 měsíci

    Mimi nlijenga kama Hilo na Ksh 10m, sidhani inaezafika Tsh 1.5 b

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 6 měsíci

    Kiwanja cha robo heka iyo raman inatosha sema kanafas katabaki

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 Před 6 měsíci

      Robo acre sio ndogo ina m² 1012 so bado una nafasi ya bustani n.k

  • @oscarmwamlima93
    @oscarmwamlima93 Před 6 měsíci +2

    Hujasema vipimo vya nyumba ina sqm ngapi

    • @hallin9561
      @hallin9561 Před 6 měsíci

      ndio maana ameleta bajeti ya million 60 ila weka 40 pembeni. sikiliza kinachoongelewa kwanza

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg Před 6 měsíci

      ​@@hallin9561Ndugu yangu hawa watu sijui wanasikilizaga wapi mtu Katoa Maelezo mazuri yaliyojitosheleza lakini mijitu inaanza kulaumu, kweli hakuna kazi Ngumu kama uwalimu.

  • @jovitjonas8664
    @jovitjonas8664 Před 6 měsíci

    Hapo hakuna mbao, maji, bati,mbao za renta, milunda . Wewe ni muhongo haujawai Jenga nyumba ya kawaida boma si chini ya m 20,

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg Před 6 měsíci

      Hivi we umesikiliza vizuri video au ulikuwa na mambo mawilimawili, bajeti yake ya kujenga hilo boma bila kupaua alifika milioni 70 kasoro kidogo ila akasema inabidi uandae bajeti ya milioni 100 kwa ajili ya Boma tu ilikufidia vitu vidogo vidogo ambavyo ajaviolozesha kama hivyo ulivyoviolozesha na kuna vitu vingi kwenye ujenzi vidogovidogo ambavyo hata wewe ukuviolozesha ndio kategea hiyo M40 inayobakia kwenye 100

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg Před 6 měsíci

      We umeweka 20 mwenzako kaweka m 40 kwa ajili ya hivyo vitu vidogovidogo,

  • @sarabura8933
    @sarabura8933 Před 6 měsíci

    Sasa hapo mbona hakuna afazari duh

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 6 měsíci +1

      Kimsingi ghorofa la maana uwe Na m500 au zaidi. Hizi zngne tutaziba nyufa sanaa.

  • @florencemlay9333
    @florencemlay9333 Před 4 měsíci

    Please tupostie ramani ya Jaqueline Walper jamani

  • @ReuKakulima
    @ReuKakulima Před měsícem

    Xamahan bro nawez kupata raman yake maan natak kujua ndan ikoje

  • @josiahkulwa5318
    @josiahkulwa5318 Před 6 měsíci

    Great job

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před 6 měsíci

    safi sana