😂why should somebody say it is abandoned,while u can crystal clear hear and see people working?😂..We better agree that Tanzania is becoming a Hub of Africa
Barabara ya Mwai Kibaki itapanuliwa nadhani wameiweka kwenye mradi wa DMDP awamu ya pili.Na ya mbezi chini kutoka roundabout ya kawe nayo pia. Hizo barabara mbili zina magari mengi sana kwa sbb maeneo hayo wanakaa watu wenye uwezo sasa ukijumlisha na hiyo miradi pamoja na sports and culture arena ambayo itajengwa pale ililipo kanisa la Mwamposa Tanganyika packers itakua balaa bila kupanua barabara.Na hii itaenda pia kujengwa flyover pale Morroco.
Mimi nipo Durban kwazulu natal, Tanzania lmebadilika mazingira ni mazuri kidogo tofauti saaana na miaka ya nyuma yaani baada ya jpm au ujio wa jpm kuwa rais Tanzania ikaanza kubadilika r.l.p jpm wetu mzalendo
Nadhani Tanzania kwasasa tumepata Rais ambaye ni pro-business ever.Huo mradi mmoja wa Kawe 711 ulikwama kipindi cha Magufuli tangu mwaka 2017 kln sasa kaufufua.Ingekua kama ule wa Dege eco village kigamboni.Nadhani kama plans tunazoelezwa zitafanyika Dar basi utakua mji tofauti sana miaka si mingi ijayo.
Huwa nashawishika mno kuangalia video zako hata niwe katika mazingira gani. Kwanza image ya video ni nzuri, pili maelezo yako yanamfanya mtu yoyote kuelewa kile anachoangalia na tatu ni maeneo ambayo watu wengi huwa hawafikiri kufika, ila wewe unafika na kutuletea hapa tuangalie. Ndio maana wengi walioanza kama wewe wameishia njiani. Hongera sana.
It seems you are confusing these projects. There are two different projects being undertaken in the same area.The one that stalled for over 7 yrs is called Kawe 711 which is facing the ocean on its rear view.Magufuli era complicated it,but now construction is revamped. Another project is the Samia housing scheme which consists of 10 apartment blocks just adjacent Kawe 711.
Fuatilia taarifa zinatolewa mara kwa mara na NHC. Nyumba za Kawe 711 zilisimama toka mwaka 2017 lakini mwaka huu ujenzi umerejea.Na za Samia housing scheme ujenzi haujasimama toka umeanza.
Bertin ulipita kwenye nyumba ya rais mstaafu JK aliyojengewa na serikali nyumba ya huo mradi mkubwa wa Kawe 711 kuna jamaa alikua anafagia nje.Askari hawakukuzingua kuchukua video?Na hiyo lami ya barabara ilijengwa mahsusi kuelekea kwake pengine isingekuwepo kama sio nyumba yake kujengwa hapo.
Nowadays our leaders are very close to do extraordinary things thanks to mama samia fou your hard work
Nzuri sana
Congratulations Bertin
Ahsante mkuu
Wahoo am sure this was my request and u did it, many thanks to u bro
Thanks for watching
😂why should somebody say it is abandoned,while u can crystal clear hear and see people working?😂..We better agree that Tanzania is becoming a Hub of Africa
No it is nowhere near the top ten in Africa and it's only second in East Africa.
Waongeze barabara kawe foleni zitaongezeka sana
Kabisa
Barabara ya Mwai Kibaki itapanuliwa nadhani wameiweka kwenye mradi wa DMDP awamu ya pili.Na ya mbezi chini kutoka roundabout ya kawe nayo pia. Hizo barabara mbili zina magari mengi sana kwa sbb maeneo hayo wanakaa watu wenye uwezo sasa ukijumlisha na hiyo miradi pamoja na sports and culture arena ambayo itajengwa pale ililipo kanisa la Mwamposa Tanganyika packers itakua balaa bila kupanua barabara.Na hii itaenda pia kujengwa flyover pale Morroco.
Mimi nipo Durban kwazulu natal, Tanzania lmebadilika mazingira ni mazuri kidogo tofauti saaana na miaka ya nyuma yaani baada ya jpm au ujio wa jpm kuwa rais Tanzania ikaanza kubadilika r.l.p jpm wetu mzalendo
Nadhani Tanzania kwasasa tumepata Rais ambaye ni pro-business ever.Huo mradi mmoja wa Kawe 711 ulikwama kipindi cha Magufuli tangu mwaka 2017 kln sasa kaufufua.Ingekua kama ule wa Dege eco village kigamboni.Nadhani kama plans tunazoelezwa zitafanyika Dar basi utakua mji tofauti sana miaka si mingi ijayo.
Huwa nashawishika mno kuangalia video zako hata niwe katika mazingira gani. Kwanza image ya video ni nzuri, pili maelezo yako yanamfanya mtu yoyote kuelewa kile anachoangalia na tatu ni maeneo ambayo watu wengi huwa hawafikiri kufika, ila wewe unafika na kutuletea hapa tuangalie.
Ndio maana wengi walioanza kama wewe wameishia njiani. Hongera sana.
Ahsante mkuu
Kwenye upande wa videography yupo vizuri sana.Nakupongeza sana Bertin.
The projects should be put mainly in dodoma and to some extent mwanza to decentralize the country
There are a lot of such projects in Dodoma. I will explore them when I visit Dodoma
Nice video.
Thanks mkuu
Hongera sanaa brooo....
Ahsante mkuu
Wasn’t this project abandoned for many yrs? And now they’re just starting it again
Construction is going on
It's a new project
What you mean abandoned for many years? This project started on 23 December 2022!! Please explain me what’s the meaning of ABANDONED.
It seems you are confusing these projects. There are two different projects being undertaken in the same area.The one that stalled for over 7 yrs is called Kawe 711 which is facing the ocean on its rear view.Magufuli era complicated it,but now construction is revamped. Another project is the Samia housing scheme which consists of 10 apartment blocks just adjacent Kawe 711.
Huu mradi ndio ule wa 7 eleven au ni tofauti???
Nimeongelea mirado yote kwenye hii video
Kaka unajitahidi
Ahsante mkuu
This area looks like it's abandoned
Construction is going on
Labda huijui maana ya abandoned!! Hivi December 22 mwaka 2022 mpaka leo mwanzoni mwa 2024 yako hivyo. Haya hio KUTELEKEZWA ilichukua muda gani?
Haya majengo ni ya muda sana
Ujenzi umeanza tena
Toka December 22 mwaka 2022, tuko 2024 sasa!! Muda mwingi uko wapi na majengo yanaonekana hivyo?
Usidanganye watu bana hizo nyumba zipo hivyohivyo abandoned kila siku zinaonekana kama zinajengwa karibia 5yrs now.
Nadhani ni vyema utembelee mwenyew. Ukashuhudie ujenzi ukiendelea.
Fuatilia taarifa zinatolewa mara kwa mara na NHC. Nyumba za Kawe 711 zilisimama toka mwaka 2017 lakini mwaka huu ujenzi umerejea.Na za Samia housing scheme ujenzi haujasimama toka umeanza.
December 23 mwaka 2022 zilianzishwa na nyumba zinaonekana leo hivyo wewe unasema ABANDONED? Unaijua maana ya abandoned?
Bertin ulipita kwenye nyumba ya rais mstaafu JK aliyojengewa na serikali nyumba ya huo mradi mkubwa wa Kawe 711 kuna jamaa alikua anafagia nje.Askari hawakukuzingua kuchukua video?Na hiyo lami ya barabara ilijengwa mahsusi kuelekea kwake pengine isingekuwepo kama sio nyumba yake kujengwa hapo.
Oh! Sikujua..lakin camera yangu ni ndogo sana labda hawakuelewa. Wangeniita au ningejua ningefuta hiyo section ya video.
@@explorewithbertin Siyo ishu.Kwasababu kama ingekua si ruhusa kupiga picha maeneo hayo wangeweka kibao.
Just imagine the amount of money that's going to be spent until the end of the construction 🏗️
A lot of money
@@vusumuzi_mathumo and a lot😁😁😁