Nyumba nzuri sana sema bado miundo mbinu yake siyo mizuri majani mengi uchafu,sasa wanajenga nyumba nzuri Kisha miundo mbinu yake ovyo michafu kwanin msiweke lami sasa huwa hamtembei basi hata nje ya nchi muone wenzenu wanavyofanya wakijenga nyumba za complex kama hivyo au
miminaona mnawanyonyatu wafanyakazi nahela zao mimi ningefurahi kama mchangiaji /mfanyakazi anapostaafu wapewe hizo nyumba ilinaowafaidi mafao yao leohii mfanyakazi anapostaafu wengi hupoteza maisha tokana na msongowa mawazo kutokuwa na makazi wafikirieni kwanza wahusika wanaochangia mpaka mkajenga hizo nyumba wafikirieni
Ukisikia wazimu ndiyo huu Labda kama walengwa si WATANZANIA wenye nchi yao Baadhi ya nchi kama Afrika kusini wamejenga nyumba kama hizi na kuwapa raia wao bure... Sawa uzeni ila iwe reasonable price kwa mtanzania wa kawaida ili waache kujenga kiholela
MashaAllah TabarakkahAllah
Mnatuibia pesa zetu ,wanachama mnashindwa hata kuwakopesha viwanja ,mnajilimbikizia mimali nyingi tu
Nyumba nzuri sana sema bado miundo mbinu yake siyo mizuri majani mengi uchafu,sasa wanajenga nyumba nzuri Kisha miundo mbinu yake ovyo michafu kwanin msiweke lami sasa huwa hamtembei basi hata nje ya nchi muone wenzenu wanavyofanya wakijenga nyumba za complex kama hivyo au
Njooo uku oman tuongee vzr
Mimi ambaye ni mwana chama wa n s s f naomba kununua nyumba nifanyeje ilinipate ya kuishi😊
Nyumba hizo ni kwa ajiri ya matajiri na wakubwa wa serikali tu wanachama wa N s s f hawana chao
miminaona mnawanyonyatu wafanyakazi nahela zao mimi ningefurahi kama mchangiaji /mfanyakazi anapostaafu wapewe hizo nyumba ilinaowafaidi mafao yao leohii mfanyakazi anapostaafu wengi hupoteza maisha tokana na msongowa mawazo kutokuwa na makazi wafikirieni kwanza wahusika wanaochangia mpaka mkajenga hizo nyumba wafikirieni
Wapi tatupana namba zenu
Mbona mmeangalia matajilitu2 namaskini hamuwaangalii
Ukisikia wazimu ndiyo huu
Labda kama walengwa si WATANZANIA wenye nchi yao
Baadhi ya nchi kama Afrika kusini wamejenga nyumba kama hizi na kuwapa raia wao bure...
Sawa uzeni ila iwe reasonable price kwa mtanzania wa kawaida ili waache kujenga kiholela
Jaman nyumba za bei yakawaidaaa hazipo
Nyumba nzuri ila landscaping zero😊
Naomba n s s f kwanini munauza nyumba kwa bei kubwa sana je wanachama wa n s s f ikitaka nyumba ya kawaida atapata
Tufanyeje Wasikowska nje ya nchi😅
Je nitawa kiasi ngani cha down payment ya 160 million
Nyumba hizo ni kwa ajiri ya wakubwa tu huo si ubaguzi je mwanachama wa n s s f anafaidika na Nini kama meanachama
Mnajenga kwa ajiri ya wageni au kwa watanzania mili.400 what?
Je ulisema malipo ya down payment 10% ya bei inayohitajiwa
Nipo nje ya nchi nataka kununua nyumba. Inawezekana?
Je nyumba hizo ni kwa ajiri ya waku bwa na matajiritu ? Je mwanachama naye anaweza kumiliki nyumba kwa kutumia michango yake?
Mimi nipo nje ya nchi vp kuna vigezo gani ili nipate
Mtanzania? Inamilili bank account za bongo unapata fasta