MIRADI YA NYUMBA ZA NSSF

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2023

Komentáře • 22

  • @imanmohamed2215
    @imanmohamed2215 Před 22 dny

    MashaAllah TabarakkahAllah

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před měsícem

    Mnatuibia pesa zetu ,wanachama mnashindwa hata kuwakopesha viwanja ,mnajilimbikizia mimali nyingi tu

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 Před 11 měsíci +5

    Nyumba nzuri sana sema bado miundo mbinu yake siyo mizuri majani mengi uchafu,sasa wanajenga nyumba nzuri Kisha miundo mbinu yake ovyo michafu kwanin msiweke lami sasa huwa hamtembei basi hata nje ya nchi muone wenzenu wanavyofanya wakijenga nyumba za complex kama hivyo au

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx Před 7 měsíci

    Njooo uku oman tuongee vzr

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 11 měsíci +3

    Mimi ambaye ni mwana chama wa n s s f naomba kununua nyumba nifanyeje ilinipate ya kuishi😊

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 8 měsíci +2

    Nyumba hizo ni kwa ajiri ya matajiri na wakubwa wa serikali tu wanachama wa N s s f hawana chao

  • @user-dt9uv3hj6n
    @user-dt9uv3hj6n Před 6 měsíci +1

    miminaona mnawanyonyatu wafanyakazi nahela zao mimi ningefurahi kama mchangiaji /mfanyakazi anapostaafu wapewe hizo nyumba ilinaowafaidi mafao yao leohii mfanyakazi anapostaafu wengi hupoteza maisha tokana na msongowa mawazo kutokuwa na makazi wafikirieni kwanza wahusika wanaochangia mpaka mkajenga hizo nyumba wafikirieni

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364 Před měsícem +1

    Wapi tatupana namba zenu

  • @fassykibona7212
    @fassykibona7212 Před 2 měsíci

    Mbona mmeangalia matajilitu2 namaskini hamuwaangalii

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 6 měsíci

    Ukisikia wazimu ndiyo huu
    Labda kama walengwa si WATANZANIA wenye nchi yao
    Baadhi ya nchi kama Afrika kusini wamejenga nyumba kama hizi na kuwapa raia wao bure...
    Sawa uzeni ila iwe reasonable price kwa mtanzania wa kawaida ili waache kujenga kiholela

  • @user-kc6lr3pq2c
    @user-kc6lr3pq2c Před 7 měsíci

    Jaman nyumba za bei yakawaidaaa hazipo

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 6 měsíci

    Nyumba nzuri ila landscaping zero😊

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 11 měsíci

    Naomba n s s f kwanini munauza nyumba kwa bei kubwa sana je wanachama wa n s s f ikitaka nyumba ya kawaida atapata

  • @basilisashemetse7367
    @basilisashemetse7367 Před 9 měsíci

    Tufanyeje Wasikowska nje ya nchi😅

  • @basilisashemetse7367
    @basilisashemetse7367 Před 9 měsíci

    Je nitawa kiasi ngani cha down payment ya 160 million

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 11 měsíci

    Nyumba hizo ni kwa ajiri ya wakubwa tu huo si ubaguzi je mwanachama wa n s s f anafaidika na Nini kama meanachama

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 6 měsíci

    Mnajenga kwa ajiri ya wageni au kwa watanzania mili.400 what?

  • @basilisashemetse7367
    @basilisashemetse7367 Před 9 měsíci

    Je ulisema malipo ya down payment 10% ya bei inayohitajiwa

  • @Dr.Mo1510
    @Dr.Mo1510 Před 9 měsíci

    Nipo nje ya nchi nataka kununua nyumba. Inawezekana?

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 5 měsíci

    Je nyumba hizo ni kwa ajiri ya waku bwa na matajiritu ? Je mwanachama naye anaweza kumiliki nyumba kwa kutumia michango yake?

  • @user-hj1qs8hf7v
    @user-hj1qs8hf7v Před 7 měsíci

    Mimi nipo nje ya nchi vp kuna vigezo gani ili nipate