Bomu la Dege Eco Village sasa latafutiwa mwekezaji

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Dar es Salaam. Baada ya kusuasua kukamilika kwa mradi wa Dege Eco Village kwa thamani ya dola 653 milioni za Marekani (zaidi ya Sh1.3 trilioni), Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lililokuwa linautekeleza limetangaza kuuza kwa mwekezaji mwingine atakeyevutiwa nao.

Komentáře • 2