- 504
- 510 805
Shirika la Nyumba la Taifa
Tanzania
Registrace 12. 03. 2017
Karibu katika Televisheni ya Mtandao ya MAISHA NI NYUMBA TV inayoendeshwa na Kitengo cha Mawasiliano cha Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) karibu ujipatie taarfa za kina na za undani zinazohusu sekta ya uendelezaji miliki na ujenzi.
ENEO LA URAFIKI UPANGISHAJI UNAENDELEA, NA HIZI NDIZO TARATIBU ZA KUFUATA. FURSA HII HAPA
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba
Follow Us On:
INSTAGRAM: nhctanzania
TWITTER: nhctanzania/
FACEBOOK: nhctanzania/
Follow Us On:
INSTAGRAM: nhctanzania
TWITTER: nhctanzania/
FACEBOOK: nhctanzania/
zhlédnutí: 1
Video
AFISA MILIKI: NA HIZI NDIZO TARATIBU ZA UPANGISHAJI MOROCCO SQUARE
zhlédnutí 448Před 4 hodinami
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
NA HAYA NDIO MAREFU NA MAPANA YA MRADI WA MOROCCO SQUARE
zhlédnutí 100Před 4 hodinami
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
ENEO LA URAFIKI NI MOJA YA MAENEO YA UWEKEZAJI YA NHC
zhlédnutí 989Před 14 hodinami
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI KIKAO NA MAAFISA UGANI NA WANAUSHIRIKA IKULU CHAMWINO MKOANI DODOMA
zhlédnutí 53Před 21 dnem
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
MILIKI NYUMBA KUPITIA BENKI YA NMB KWA MKOPO NAFUU
zhlédnutí 370Před 21 dnem
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
WAZIRI MAVUNDE AIPA HEKO NHC KWA KASI YA UKANDARASI - MTUMBA
zhlédnutí 59Před 28 dny
Nichukue fursa hii kwanza kabisa kuwapongeza Shirika la Nyumba la Taifa [NHC] ambaye ni Mkandarasi wetu kwenye ujenzi wa jengo letu la Wizara ya Madini, kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na mabadiliko makubwa sana , binafsi nimeridhishwa na namna ujenzi huu unavyoendelea, mmezingatia ubora mkubwa sana na kwa matakwa na mahitaji yetu Wizara ya Madini, kwahiyo matumani yangu kama mlivyosema vifa...
MNAFANYA KAZI NZURI, WAZIRI NDEJEMBI
zhlédnutí 62Před 28 dny
Wizara ya ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeilitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), licha ya kuingiza faida nzuri na kuwa na ukwasi wa shilingi trilioni 5.16 kutosahau malengo ya kuanzishwa kwake mwaka 1962 ya kuwajengea Watanzania makazi bora kwa mpango madhubuti. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi, ametoa msisitizo kuhusu umuhimu wa Shirika la Nyumba l...
RAIS DKT. SAMIA ATEMBELEA MAONESHO, SIKU YA NANENANE VIWANJA VYA NANENANE JIJINI DODOMA
zhlédnutí 44Před 28 dny
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO
zhlédnutí 405Před měsícem
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Jamhuri ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya Kikazi tarehe 06 Agosti, 2024. CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FAC...
NHC YAJIKITA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAJENGO YAKE MKOA WA KATAVI. PART 02
zhlédnutí 1,1KPřed měsícem
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
NHC YAJIKITA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAJENGO YAKE MKOA WA KATAVI. PART 01
zhlédnutí 1,3KPřed měsícem
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
HOTUBA YA MHESHIMIWA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA MKUTANO WA HADHARA IFAKARA - MOROGORO
zhlédnutí 294Před měsícem
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
MOROCCO SQUARE - BUY | LEASE | INVEST
zhlédnutí 224Před měsícem
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
MKOA WA KIGOMA UMEFIKIWA NA MAISHA NI NYUMBA
zhlédnutí 135Před měsícem
CZcams: czcams.com/users/MaishaniNyumba Follow Us On: INSTAGRAM: nhctanzania TWITTER: nhctanzania/ FACEBOOK: nhctanzania/
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SIKU YA GAWIO TANZANIA
zhlédnutí 48Před 2 měsíci
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SIKU YA GAWIO TANZANIA
HOTUBA YA MSAJILI WA HAZINA, SIKU YA GAWIO TANZANIA
zhlédnutí 49Před 2 měsíci
HOTUBA YA MSAJILI WA HAZINA, SIKU YA GAWIO TANZANIA
UKARABATI WA NYUMBA ZA MAKAZI NA BIASHARA ZA NHC WAFIKIA MKOA WA TABORA
zhlédnutí 151Před 2 měsíci
UKARABATI WA NYUMBA ZA MAKAZI NA BIASHARA ZA NHC WAFIKIA MKOA WA TABORA
Mbeya ni ya Moto Maboresho ya Nyumba ....!!!
zhlédnutí 325Před 2 měsíci
Mbeya ni ya Moto Maboresho ya Nyumba ....!!!
Profesa Omary wa Mzumbe, asema nyumba za NHC siyo ghali kama inavyodaiwa...afafanua!!
zhlédnutí 278Před 3 měsíci
Profesa Omary wa Mzumbe, asema nyumba za NHC siyo ghali kama inavyodaiwa...afafanua!!
Wawekezaji wa Ndani Wanavyochangamkia Fursa Morocco Square..!!
zhlédnutí 2KPřed 3 měsíci
Wawekezaji wa Ndani Wanavyochangamkia Fursa Morocco Square..!!
Morocco Square, ni tafsiri ya Maendeleo
zhlédnutí 235Před 3 měsíci
Morocco Square, ni tafsiri ya Maendeleo
KAWE 711 - LIVE | WORK | PLAY | ENJOY
zhlédnutí 261Před 4 měsíci
KAWE 711 - LIVE | WORK | PLAY | ENJOY
HAPA MKOANI KILIMANJARO, UTARATIBU NI HUU TU
zhlédnutí 42Před 4 měsíci
HAPA MKOANI KILIMANJARO, UTARATIBU NI HUU TU
BENKI YA ABSA TANZANIA, KUTOA MIKOPO KWA WANANCHI, MASHARTI NI NAFUU
zhlédnutí 216Před 4 měsíci
BENKI YA ABSA TANZANIA, KUTOA MIKOPO KWA WANANCHI, MASHARTI NI NAFUU
AFISA MAUZO MWANDAMIZI WA NHC AELEZEA TARATIBU ZA KUMILIKI NYUMBA KATIKA MRADI WA MOROCCO SQUARE
zhlédnutí 437Před 4 měsíci
AFISA MAUZO MWANDAMIZI WA NHC AELEZEA TARATIBU ZA KUMILIKI NYUMBA KATIKA MRADI WA MOROCCO SQUARE
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AFURAHIA MUONEKANO WA MAJENGO YA NHC
zhlédnutí 66Před 4 měsíci
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AFURAHIA MUONEKANO WA MAJENGO YA NHC
Mmepambana sana ila Meneja awe anatabasamu basi kidogo. 😂
Amazing! Hongereni sana NHC, mmetuheshimisha sana.
As ante Sana kwa elimu ya umiliki wanyumba kupitia mkopo wa nyumba
Bei?
Mazingira ya nje ni Chakra waboreshe hata nje
Good work NHC
Nataka kupanga ndani ya shirika la taifa utaratibu ukoje
Kwanza dada unasauti nzuri watangaza kimataifa kabisa
Kwani ilipaswa kuisha lini?
Tqtizo mnaficha bei kaa na nyumba zenu
Mnaboa sana semeni bei
Story nyiiiiiingiiii bei.gani sema.acha story
Pandisheni msangi. Hizo.nyunba maua ikikazia maji.yanajaa.ndani
Ni Bei gani kwa nyumba?
MLIMANI CITY BAADAE INATAKIWA ITUMIKE KUFUGIA MIFUGO , ZIKIJENGWA MALL ZA MAANA MAANA NI KAMA VIBANDA VYA MAONYESHO
Kuna nini Kilimanjaro, Serengeti kote huko mbona sijasikia akina Albert, Getrude wanateuliwa kuwa katibu au mkuu wa mkoa huko Pemba na Unguja?
Kwanini msipangishe badala ya kuziuza ?
Hayo majengo 51 yapo wapi hata hayaonekani majengo ovyoooo mnajenga mikoa mingine huyo mkuu anafanyakazi kazi gani tunazidiwa hata na miji mingine midogo xn
Tusaidieni whatsap number wengine tupo injection ya inch.
Naomba namba ya shirika kwa maelezo zaid samahani
NHC hawana mpango na Mbeya sijui ni Kwa nini. majengo yote ni ya zamani hawana miradi mikubwa kama ya Mtwara ,Singida ,Mwanza, Dodoma na kwingineko Kiufupi Mbeya imesahaulika
Bei
Utaratibu gari kwa park mwisho mbili tu na razima kila nyumba iwe na park yake ata kama mtu hana gari lakini park yake iwepo pasipo muingiliano.
Nyumba zinatakiwa ziwe na lift uwezi kujenga ghorofa nne zaidi bira kuwepo na lift kuna waremavu na kuna wagonjwa pia sio kila mtu atataka kutumia ngazi, na ata Wakati wa kuamia ni tabu kupereka vitu juu.
KWA KWELI YALE MAJENGOBYENU PALE FIRE YANACHAFUA MJI. BOMOENI MJENGE MAJENGO MAPYA
But professora Omary the goverment need to impose the landscape architecture
Plz jaribuni kuweka maeelezo vzr ni kiwanja tupu au pamoja na nyumba
Hivi nyinyi NHC mnaona uchafu wenu pale fire kwanini msibomoe ile uchafu mjenge vitu vya maana
😂😂😂😂😂
Mbarikiwe saaana Shirika la nyumba la Taifa
Kazi nzuri 👏
Kwann shirka la nyumba msiwe mnaanzisha miji mfano kama magufuli city..Kama hapo Dar mnatafut eneo mnajenga mji wenye nyumba za design mbalimbal na za kuvutia hii kwang nahis itapendeza zaid na kuifanya miji iwe ya kisasa zaid hasa hizi za makaz na si kujenga moja moja labd pale penye uhitaji wa kufanya ivy...Sisi tuna maguful city ile ile ni utawala zaid...kenya wao wana konza city na lile ni mult-purpose...Bas na sisi tujenge miji hiy ambayo itakuwa na makazi, maduka, malls, hotel na mikahawa, viwanja vya michezo nk...Na hiy itakuz pia utalii wa ndan yan mtu anawez toka tu ngoj niend mfano Samia city...kile kitendo cha kutoka kuna nauli ya kipando au kuweka mafuta ktk kipando, atafik eneo hilo atakula labd na kula, atanunua mahitaj ya nyumban au vilivyomvutial nk..tyr keshakuz kipato cha mtanzania mmoja mmoja na mapato serikalin kupitia kodi...Hivy napend kushaur tusiwaz nyumba tu...tufikir zaid ya nyumba yan ata hao watalii mnawez mkabland hiy miji na wao wakawa wanaitembelea wanafurahia
wazo zuri saana natumai wahusika watalizingatia
akili hizo zipo sasa
Iyo tatu city akuna cha manaa
Nyumba bado zipo
Jengeni pale Mwanza kwenye Milima majumba ya Kifahari na Muingie Mikataba na Migodi kama GGM na Mgodi mpya wa Nyanzaga razima Watumishi wao watapanga na Kununua tu hizo nyumba na Wachimba wadogo wako na pesa sana iwe kama pale Cap town SA zile nyumba ziko juu mlimani bahari Iko Chini View Nzuri na hapo Mwanza inawekana kabisa munawalipa Fidia na kujenga nyie Nyumba za Kibiashara au munaingia Ubia na Harimashauri.Hata Majengo yenu ya hapo Mjini kati na Mwanza na Arusha ni ya Kizamani sana
Tofali moja bei gan
Good
Wekeni barabara za zege ama cabro sasa
duh siyo poa inapendeza sana
Acha kutuchanganya nyumba zipo au zimeisha?
Iko poa
Bei ya nyumba normal na duplex TSH ngapi?
Tatzo amtaji bei
❤❤❤
Nateseka sana nikiziona hizi nyumba😊Ee muumba mbingu na nchi shusha baraka zako ili nami nijikinge na mvua😂
Wajanja watauziana wenyewe kwa wenyewe/mabaniani ponjoro ndio watajaa hapo kama kariakoo.
Vip bado vip ama
Loved it, quite educative indeed.
❤🎉
Hbr, mashirika yetu yenye kuwezesha upatikanaji wa viwanja, wamekuwa wakijikita kupima viwanja na kuwaahidi wananchi wataweka huduma za jamii kama barabara, umeme, maji na usalama. Hadi leo, hakuna barabara, madaraja, maji, umeme n.k. Ukitaka kwenda huko hakuna njia rasimi inayokupeleka moja kwa moja kwenye eneo husika, hapafikiki kwa urahisi. Tuombe sasa NHC wasimamie ahadi zao kwa kuweka miundo mbinu mahususi badala yakuweka ahadi zisizokuwa na mashiko.
Kazi nzuri🦾🇹🇿
Daaah sema hivyo vibao vya mitaa aibu tupu
Liwe la mataaa eee ndio unavyotaka
@@davidcurtis175 bwege kama wewe c hujatembea ndo maana hujui kitu nonsense
@@abedomar5183 mpumbavu mmoja wee mpaka leo umekuwa mtumwa wa kifikra unaishi kwa kukariri maisha ya ulaya mwehu mkubwa kutembea unaamanisha kutumia miguu au kupanda ndege na kutembea unatakiwa kufika nchigani ili uwe umetembea, mimi nimebadili pass mara tano sasa nimesafiri kwa ndege kwa meli ndio usiseme vp wewe sio kama hawaoni hivyo vibao ila vinafanywa kinyumbani zaidi sio kuiga iga tu kila kitu.