Magu kakuta mradi, infact kati ya magu na huyu mama, mama katenda sana maana Magu miaka sita aliachia mradi bado Moro, huyu miaka mitatu kafikisha Mwanza
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo masaa 3, Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
Naaam, Tumefika hatua nzuri, Bei iwe rafiki ili wananchi wanyonge wafurahie matunda ya jasho lao, basi ni vyema hata uendeshaji wakapewa mashirika ya ndani, endapo serikali ikishindwa kufanya hivyo, suala la usalama dhidi ya matishio yote kwa ujumla wake lipewe kipaumbele kwani huu ni uwekezaji wa kimkakati. Mungu awe mbele yetu, ALUTA CONTINUA.
Tanzania mbona tunaweza sema kunamijitu haisikii yani wao kuiba tuu hawachoki na hawana hata huruma kwa maendeleo yetu sote yani wao wizi tuu kujilindikizia pesa nakufanya maendeleo ya nchi nyungine Rip mzee wangu Magufuli❤❤❤❤
Huu sasa ndio usafiri uliotakiwa kutangulia kuinua uchumi na utakaofikia wananchi wa daraja lililo na wengi na hatimaye uchumi wetu kupanda kama tu urasimu na ubinafsi utakuwa hakuna. Hongera kwa mtoa wazo na mtekelezaji
Itatumia mwingi zaidi sababu wanataka itembee chini ya speed yake, halafu hizo nisiasa tu umeme niwakwwtu wala hawahitaji kuanza kutuletea story za gharama za umeme ilihali niwakwetu wenyewe, hatupewi kutoka nchi jirani.
Hivi nyie viongozi ambao kila siku ni kusifu tuu Mh Rais Mh Rais je nafasi ya wananchi ambao ndio wanaomlipa huyo mnaemsifu iko wapi?! Naamini ipo siku watanzania wataipata nafasi yao.
Muunganiko huu wa usimamizi wa Maendeleo ya nchi ndio ulitakiwa ufuatwe tangu uhuru , sio kila anayeingia madarakani anaanzisha ya kwake na haikamiliki . Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu unastahili pongezi sana , umekamilisha Bwawa la Nyerere ,SGR na Miradi mbalimbali . Hongera sana pamoja na Wasaidizi wako. BE BLESSED MADAM PRESIDENT .
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo. Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
Ukiwa wewe ni mwalimu wa dini siku nyimgine, ukitoa maelezo, ongela kiswahili Moja kwa Moja, sisi wengine ni waswahili, hapa ni tz,, acha zalau ,mwalimu gani wewe,,,,,makini
mimi kama mkenya 🇰🇪
Nasema hongera kwa kazi nzuli ariofanya Magufuri,mbio za East ➡️ Africa ziendelee 🇰🇪🇺🇬🇹🇿
Tutamkumbuka Magufuli milele ametufungua macho Tanzania inaweza
Huu ni mpango wa Mkapa, Ila hitimisho ni hao wengine, ila mama katenda sana
@@birianination7097 mpango wa Nyerere huu
well said @birianination7097
@@birianination7097 Mpango kila mtu anaweza, ni sawa na kuchora tu ila mtelezaji ndiyo Mwamba. JPM your legacy is here to stay forever
Bibi mkubwa apewe maua yake,kwa kufanikisha zoez zima la SGR congole sana
JPM for maisha
Magufuli 💯
Rip baba magu.tumeona kazi yako😢😢😢
😂😂😂achana misimu ww
Nikweli vpofu viziwa vichaa nawasiojua nakuthamini chanzo chamto hawafkiriagi kua kunamaali ayo maji yalianzia.naww ni miongoni mwao
RIP Mzee Magu,maono Yako yameendelezwa na mama
RIP JPM,ulikuwa kiongozi moja na nusu
Dodoma ni samia
@@birianination7097 mradi ni wa mgufuli mama ni mwendelezo tu.
@@mwawekomiuda9779 mradi ni wa jakaya, wote ni mwendelezo
Magufuri nijuudi zako daima tutakukumbuka mzeewetu
hizoo nijuhudiii za mama yetu acheni chukiii na wala hatutorudii kbs enziii ya mwalimmmm😂😂😂😂
@@hemedrashid2921 Uongo peleka kwenu hata like aupat ushtuk
Wewe mfwate basi
mfuate huko alipo umpe pongezi
Acha afe tu katuachiaa bungee la hovyo sana
Pongezi zimfikie mjomba Magufuli
Hongera Jpm
Hongera magufur
Umeongea vzr sana ila bila magufuli hizo pesa mngezipeleka sana nje RIP Jpm 😥💪
Magu kakuta mradi, infact kati ya magu na huyu mama, mama katenda sana maana Magu miaka sita aliachia mradi bado Moro, huyu miaka mitatu kafikisha Mwanza
Mungu mpokee mtumishi wako Magufuli
Hongera Mh: Rais S.S. H Kwa kuendeleza Kwa Kasi miradi mliyoianzisha na Mwendazake J.PM. Kila la Kheri.
Unaweza ku edit ilo neno kwa kasi
Magufuli. Dreams
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo masaa 3, Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
Maono ya mwamba kutoka kijijini chato tunayaona endelea kupumzika kwa amani JPM
Sio kweli, alianzisha kikwetwe huo mpango, japo yeye hakua na wazo iwe ya umeme. Alicho ongezea hapo mafuli ni umeme.
@@martinisadru9899 kwani ukiukubali huo ukweli, ndio atafufuka?!!!! Magu alikua kichwa Mzee
Ameacha alama
VIVA JPM ULITHUBUTU BABA
MUNGU AKUBARIK SANA MAMA SAMIA UNAUPIGA MWING PIA UMEMUHESHIMISHA MAGUFULI KAMA UNGEUPUUZIA HUU MLAD KAMWE MAGU LEO ASINGEKUMBUKWA
Hii ndio tunachotaka mama uendelezaji wa mtangulizi wako mungu Akubariki kwa kutuandalia maisha ya mama Tanzania ya baadaye
Kazi nzuri...mwezi wa saba sio mbali tunahitaji huduma
Hongeraaa maguful uliyoyaacha yanaendelezwa
Naaam, Tumefika hatua nzuri, Bei iwe rafiki ili wananchi wanyonge wafurahie matunda ya jasho lao, basi ni vyema hata uendeshaji wakapewa mashirika ya ndani, endapo serikali ikishindwa kufanya hivyo, suala la usalama dhidi ya matishio yote kwa ujumla wake lipewe kipaumbele kwani huu ni uwekezaji wa kimkakati. Mungu awe mbele yetu, ALUTA CONTINUA.
Matunda ni ya walipa Kodi Ila usafiri ni WA public
Stareh gharama unataka kufika haraka, na luxury then uende moro kwa 15 elf, mnyonge atapanda la mkokoteni na kku wake na mafuta ya mawese😂
Tanzania mbona tunaweza sema kunamijitu haisikii yani wao kuiba tuu hawachoki na hawana hata huruma kwa maendeleo yetu sote yani wao wizi tuu kujilindikizia pesa nakufanya maendeleo ya nchi nyungine Rip mzee wangu Magufuli❤❤❤❤
yani huyu Mkurugenzi hana facts zake kabisa, eti piga hesabu apo, utajua..😂😂
Huu muendelezo mzuri wa rais Wetu
Mashallah...
Hongera Mama samia piga kazi
Good news
Oh wow!
Kile kichwa Cha magu kingepimwa Kwanza aisee🎉
Naona akija Rais kama jpm na hiyo yazamani inadilishwa itumie umeme
Hongereni sn viongozi wetu mnafanya vizuri chini ya uongozi wa Rais SSH
Jpm hata wasipo mtaja na kumpongeza Watanzania watampongeza, Rest in Peace Jpm
Inabariki sana
Allah ampe amlinde na ampe afyanjema raisi wetu
Tukumbuke kumshukuru Mungu.
Niceeee
Watanzania tuache kuzima data lazima tumpe maua kiongozi pia aliyeanzisha kazi na hasa umeme wa ziada RIP Magu
Hongera MAMA SAMIA KWA KUIWEZESHA RELI YA SGR NA KULETA MABEHEWA NA TRENI ZA KISASA ...
Bado umeme unatumika mwingi kunatakiwa kuwe na ubunifu zaidi kupunguza gharama za umeme
Nenda kaongeze ubunifu
Good
WAKENYA BADO WANATUMIA TRENI YA MAKAA 😂😂😂 WAAMBIENI WAJE KUJIFUNZA HAPA😂😂
😁😁😁😁😂😂😂
Point
OKE
UchaguZI UBAKARIBIA
Kadogosa amezungumzia umeme zaidi, kuliko kuzungumzia Reli. Mwananchi wa uvinza atakushangaa😅😅
Duh gharama kubwa mno but big up to JPM
chaajabu mzee wamsoga alitaka ajenge yamafuta😂
achaaaa fitinaa na uaduii wenu tunawajuaaa na wala hatutolalalaaa tenaa futa kichwaa ujingaa wakoo
Haya ndio mambo tunayataka Kwenye nchi yetu Tanzania.
Asante sanaaaaaa mama Samia, kazi unayoifanya tunaiona, mwenye macho anaona .
Duh 1.2 million 😮😮 so mchezo
Reli ya watanzania,umeme wa watanzania,tumpongeze alieanzisha pia anaendeleza,swali langu mbona nauli za SGR za kuu kukaribia za ndege?
Huu sasa ndio usafiri uliotakiwa kutangulia kuinua uchumi na utakaofikia wananchi wa daraja lililo na wengi na hatimaye uchumi wetu kupanda kama tu urasimu na ubinafsi utakuwa hakuna. Hongera kwa mtoa wazo na mtekelezaji
HONGERA KWA SERIKALI KUFIKISHA MRADI HUU HATUA KUBWA ILA IFANYWE KUMBUKIZI BASI YA MUANZILISJI WA HILI WAZO LA UJENZI HUU
Tujulishsni....nauli
Bei iwe rafik
Itatumia mwingi zaidi sababu wanataka itembee chini ya speed yake, halafu hizo nisiasa tu umeme niwakwwtu wala hawahitaji kuanza kutuletea story za gharama za umeme ilihali niwakwetu wenyewe, hatupewi kutoka nchi jirani.
Hivi nyie viongozi ambao kila siku ni kusifu tuu Mh Rais Mh Rais je nafasi ya wananchi ambao ndio wanaomlipa huyo mnaemsifu iko wapi?! Naamini ipo siku watanzania wataipata nafasi yao.
I'm in love with you 😍 masanja kadogosa
Hiyo test mnatumia tlain ya abiria badala ya tlain ya mizigo?!
Umeme wa mil 2 ,,kama faida IPO piga kazi kama hakuna faida piga chini
Faida ipo kubwa mno
Muunganiko huu wa usimamizi wa Maendeleo ya nchi ndio ulitakiwa ufuatwe tangu uhuru , sio kila anayeingia madarakani anaanzisha ya kwake na haikamiliki .
Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu unastahili pongezi sana , umekamilisha Bwawa la Nyerere ,SGR na Miradi mbalimbali .
Hongera sana pamoja na Wasaidizi wako.
BE BLESSED MADAM PRESIDENT .
Kama bwawa la nyerere limekamilika! Sasa mbona umeme bado unakatikakatika!!!????😮
Shida miundo mbinu ya kupokea umeme na kusambaza ndio mibovu hawasemi ukweli umeme mwingi unapotea bure.tu.
@@joycelinelyimo-fenske8745 una kichwa kigumu kuelewa itakua umepata zero formfour
MAGUFULI hoyeeeee
hoyee tena hoyeeee hata hiyo tren ingeitwa Magufuli
Daima tutakukumbuka Bulldozer, jembe, JPM ulikuwa na nia njema na nchi yetu hii TZ😢
#NASIMAMA NA SAMIA
Tanzania sasa imeanza kuonekana kwenye ramani ya dunia kweli tunaweza
Rip magu
Wangetumia mafuta ya milioni ngapi?
Rip uncle Magufuli
Dosho hilo treni
NA TANESKO WANAVYO KATA KATA STIMA MUNGU ATUSTIRI😅
Ukichanganya mwambie aweke free kupunguza gharama ya unit.
Hajui kuongea
Engineer na kuongea ni vitu viwili tofauti
Kwendeni uko kazi ya magufuri na mlimbeza leo anapewa sifa mwingine? Ivi mnafikiri mtawadanganya watanzania mpaka lini
Hata hawawezi kudanganya lbd tufe kwanza sisi tulioshuhudia mwamba akipigwa vita kila kona eti leo hongera mama duuh unafiki sio mzuri
Wakupongezwa mama samia
@@user-vw6er5rz2yBila JPM kumchagua Samia awe makamu wake hata usingemjua. JPM kwanzaaa
Million moja laki mbili subiri ianze kazi rasmi utaskia milioni 2
Kichwa Cha mchongoko kikowap tulion mlisema vimefika vikowap mbona hicho chakawaida
Wanaunganisha pale vingunguti
MAGUFULI BABA , ULIFANYA KAZI NZURI SANA, KWAHIVYO TANESCO WAKIKATA HAKUNA SAFARI?????
Acheni kumsahau aliyedhubutu wamepita wangapi RIP Magufuli
Yani kama nauli tu ikiwa chini yani tufanye sh 35000 kama Kila kichwa Cha TREN kikibeba watu 60 na vichwa 35000 mara 60 nipesa ndefu Haina mfano
JPM ulale salama!!
Hayati JPM hakika ww ulikuwa na maono tunakukumbuka sana
Magufuli😢😢😢
QttMlisema kichwa cha nyoka mbona sikioni 😂
Magufuli tunakupenda daima
Magufuli alikuwa kiongozi.
Rest in peace Jmp 🕊🙏
Ndan ya trein au mabehewa yana Wifer
Jpm
Njoo uchukuwe ubunge nafasi ni yako, hakika tunakuamini
Jamani njiani jaribuni kuwa makini na ajari maana mmm
Biashara za mabasi sasa basii😂
Sasa naizo treni za zamani zinatumia nin kamapesa haziendinje
Masaa maatatu na nusu hivi kutoka dar to dom
Ila inatakiwa iwe masaa mawili tu
Imebeba viongozi wa nchi pamoja na dini haiwezi kutembea mwendo huo + ni majaribio2 kwahyo wataongeza mdogo mdogo
Wanafanya majalibio kaka awawez kukuambia wabongo jaman umuishi kukusow
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo. Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
Ukiwa wewe ni mwalimu wa dini siku nyimgine, ukitoa maelezo, ongela kiswahili Moja kwa Moja, sisi wengine ni waswahili, hapa ni tz,, acha zalau ,mwalimu gani wewe,,,,,makini
Mbona bado wanatumia hivi vichwa walivyosema ni vya treni ya mzigo?? Na wakati vichwa vya mchongoko vilishafika!!
Subir tuliza moyo
Bila Magufuli mngevisikia tu huko nje wapuuzi nyie huwa nayashangaa majitu yanayomsema vibaya JPM, hao wote ni wapumbavu
Usimpambe saana mama apongezwe magufuli kuwa mkwel acha sela
Kama asingeendeleza ungefanya nn
Mbona amja muuliza wametumia muda gan dar to dom ndo memuogopa
Kaka kuwamakin kusikiliza
Hujaskiliza vizuri ni masaa 3 (Wameondoka saa 15:45 na kufika 18:45) hivo ni masaa 3 takriiban
Hujasikiliza vizuri na wewe amesema kwenye saa 9 na nusu hv hana uhakika na kufika saa moja kasoro. Masaa kama 3 na dk 15@hamadsuleiman5177
Tanzania hatujawahi kuwa wasimamizi wazuri wa miradi, hoestly speaking utakufa kama mingine iliyowahi kuwepo😂