TRENI YA UMEME YAFIKA DODOMA KADOGOSA AFUNGUKA "HII NGOMA NI NZITO,TUMETUMIA UMEME WA MIL.1.2"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 04. 2024

Komentáře • 196

  • @danogeto78
    @danogeto78 Před 2 měsíci +3

    mimi kama mkenya 🇰🇪
    Nasema hongera kwa kazi nzuli ariofanya Magufuri,mbio za East ➡️ Africa ziendelee 🇰🇪🇺🇬🇹🇿

  • @zakariamachinga151
    @zakariamachinga151 Před 2 měsíci +45

    Tutamkumbuka Magufuli milele ametufungua macho Tanzania inaweza

    • @birianination7097
      @birianination7097 Před 2 měsíci

      Huu ni mpango wa Mkapa, Ila hitimisho ni hao wengine, ila mama katenda sana

    • @herodiduma9906
      @herodiduma9906 Před 2 měsíci

      @@birianination7097 mpango wa Nyerere huu

    • @amanimeela1106
      @amanimeela1106 Před 2 měsíci

      well said @birianination7097

    • @clementhiddi1486
      @clementhiddi1486 Před 2 měsíci +2

      @@birianination7097 Mpango kila mtu anaweza, ni sawa na kuchora tu ila mtelezaji ndiyo Mwamba. JPM your legacy is here to stay forever

    • @bavonnyaulingo4188
      @bavonnyaulingo4188 Před 2 měsíci +1

      Bibi mkubwa apewe maua yake,kwa kufanikisha zoez zima la SGR congole sana

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 Před 2 měsíci +12

    JPM for maisha

  • @mopalmo5818
    @mopalmo5818 Před 2 měsíci +29

    Magufuli 💯

  • @user-xs6sh5wh4p
    @user-xs6sh5wh4p Před 2 měsíci +42

    Rip baba magu.tumeona kazi yako😢😢😢

    • @elibarikikivuyo5946
      @elibarikikivuyo5946 Před 2 měsíci

      😂😂😂achana misimu ww

    • @user-xs6sh5wh4p
      @user-xs6sh5wh4p Před 2 měsíci

      Nikweli vpofu viziwa vichaa nawasiojua nakuthamini chanzo chamto hawafkiriagi kua kunamaali ayo maji yalianzia.naww ni miongoni mwao

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 Před 2 měsíci +12

    RIP Mzee Magu,maono Yako yameendelezwa na mama

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b Před 2 měsíci +33

    RIP JPM,ulikuwa kiongozi moja na nusu

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Před 2 měsíci +51

    Magufuri nijuudi zako daima tutakukumbuka mzeewetu

  • @anwaritesal4695
    @anwaritesal4695 Před 2 měsíci +9

    Pongezi zimfikie mjomba Magufuli

  • @user-ys3gt8lp5h
    @user-ys3gt8lp5h Před 2 měsíci +4

    Hongera Jpm

  • @YugoAlly
    @YugoAlly Před 2 měsíci +7

    Hongera magufur

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 Před 2 měsíci +15

    Umeongea vzr sana ila bila magufuli hizo pesa mngezipeleka sana nje RIP Jpm 😥💪

    • @birianination7097
      @birianination7097 Před 2 měsíci

      Magu kakuta mradi, infact kati ya magu na huyu mama, mama katenda sana maana Magu miaka sita aliachia mradi bado Moro, huyu miaka mitatu kafikisha Mwanza

  • @fredrickmassawe2437
    @fredrickmassawe2437 Před 2 měsíci +6

    Mungu mpokee mtumishi wako Magufuli

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Před 2 měsíci +9

    Hongera Mh: Rais S.S. H Kwa kuendeleza Kwa Kasi miradi mliyoianzisha na Mwendazake J.PM. Kila la Kheri.

  • @kassebo
    @kassebo Před 2 měsíci +6

    Magufuli. Dreams

  • @nth3512
    @nth3512 Před 2 měsíci +6

    Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo masaa 3, Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 Před 2 měsíci +14

    Maono ya mwamba kutoka kijijini chato tunayaona endelea kupumzika kwa amani JPM

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před 2 měsíci

      Sio kweli, alianzisha kikwetwe huo mpango, japo yeye hakua na wazo iwe ya umeme. Alicho ongezea hapo mafuli ni umeme.

    • @martinndunguru6358
      @martinndunguru6358 Před 2 měsíci +1

      ​@@martinisadru9899 kwani ukiukubali huo ukweli, ndio atafufuka?!!!! Magu alikua kichwa Mzee

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 Před 2 měsíci +1

      Ameacha alama

  • @user-ts9lp4rm9j
    @user-ts9lp4rm9j Před 2 měsíci +5

    VIVA JPM ULITHUBUTU BABA

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 2 měsíci +5

    MUNGU AKUBARIK SANA MAMA SAMIA UNAUPIGA MWING PIA UMEMUHESHIMISHA MAGUFULI KAMA UNGEUPUUZIA HUU MLAD KAMWE MAGU LEO ASINGEKUMBUKWA

  • @abrahammollel3558
    @abrahammollel3558 Před 2 měsíci +4

    Hii ndio tunachotaka mama uendelezaji wa mtangulizi wako mungu Akubariki kwa kutuandalia maisha ya mama Tanzania ya baadaye

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Před 2 měsíci +2

    Kazi nzuri...mwezi wa saba sio mbali tunahitaji huduma

  • @user-kk6bf6bt6f
    @user-kk6bf6bt6f Před 2 měsíci +1

    Hongeraaa maguful uliyoyaacha yanaendelezwa

  • @ramadhanramadhan3698
    @ramadhanramadhan3698 Před 2 měsíci +7

    Naaam, Tumefika hatua nzuri, Bei iwe rafiki ili wananchi wanyonge wafurahie matunda ya jasho lao, basi ni vyema hata uendeshaji wakapewa mashirika ya ndani, endapo serikali ikishindwa kufanya hivyo, suala la usalama dhidi ya matishio yote kwa ujumla wake lipewe kipaumbele kwani huu ni uwekezaji wa kimkakati. Mungu awe mbele yetu, ALUTA CONTINUA.

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před 2 měsíci

      Matunda ni ya walipa Kodi Ila usafiri ni WA public

    • @MethodJulius-fu9hf
      @MethodJulius-fu9hf Před 2 měsíci

      Stareh gharama unataka kufika haraka, na luxury then uende moro kwa 15 elf, mnyonge atapanda la mkokoteni na kku wake na mafuta ya mawese😂

  • @HansChuma
    @HansChuma Před 2 měsíci +2

    Tanzania mbona tunaweza sema kunamijitu haisikii yani wao kuiba tuu hawachoki na hawana hata huruma kwa maendeleo yetu sote yani wao wizi tuu kujilindikizia pesa nakufanya maendeleo ya nchi nyungine Rip mzee wangu Magufuli❤❤❤❤

  • @Ben-gj6is
    @Ben-gj6is Před 2 měsíci +1

    yani huyu Mkurugenzi hana facts zake kabisa, eti piga hesabu apo, utajua..😂😂

  • @SuzanacMgonukulima
    @SuzanacMgonukulima Před 2 měsíci +15

    Huu muendelezo mzuri wa rais Wetu

  • @MikidadiSalim-xk9dc
    @MikidadiSalim-xk9dc Před měsícem

    Mashallah...

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 Před 2 měsíci +5

    Hongera Mama samia piga kazi

  • @potiyowatz836
    @potiyowatz836 Před 2 měsíci +4

    Good news

  • @t1910j
    @t1910j Před 2 měsíci

    Oh wow!

  • @MasoudyMichael-ox7xl
    @MasoudyMichael-ox7xl Před 2 měsíci +1

    Kile kichwa Cha magu kingepimwa Kwanza aisee🎉

  • @esromkanubo815
    @esromkanubo815 Před 2 měsíci +1

    Naona akija Rais kama jpm na hiyo yazamani inadilishwa itumie umeme

  • @malupex6299
    @malupex6299 Před 2 měsíci

    Hongereni sn viongozi wetu mnafanya vizuri chini ya uongozi wa Rais SSH

  • @bakarinondi6979
    @bakarinondi6979 Před 2 měsíci +1

    Jpm hata wasipo mtaja na kumpongeza Watanzania watampongeza, Rest in Peace Jpm

  • @mosesbuhilya4348
    @mosesbuhilya4348 Před 2 měsíci

    Inabariki sana

  • @user-mm4uy7cy9w
    @user-mm4uy7cy9w Před 2 měsíci +1

    Allah ampe amlinde na ampe afyanjema raisi wetu

  • @shedrackmutalemwa7310
    @shedrackmutalemwa7310 Před 2 měsíci +1

    Tukumbuke kumshukuru Mungu.

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před 2 měsíci

    Niceeee

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 2 měsíci +1

    Watanzania tuache kuzima data lazima tumpe maua kiongozi pia aliyeanzisha kazi na hasa umeme wa ziada RIP Magu

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 Před 2 měsíci +2

    Hongera MAMA SAMIA KWA KUIWEZESHA RELI YA SGR NA KULETA MABEHEWA NA TRENI ZA KISASA ...

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 2 měsíci +3

    Bado umeme unatumika mwingi kunatakiwa kuwe na ubunifu zaidi kupunguza gharama za umeme

  • @kelvinmgendwa1438
    @kelvinmgendwa1438 Před 2 měsíci

    Good

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 Před 2 měsíci +1

    WAKENYA BADO WANATUMIA TRENI YA MAKAA 😂😂😂 WAAMBIENI WAJE KUJIFUNZA HAPA😂😂

    • @Soon815
      @Soon815 Před 2 měsíci

      😁😁😁😁😂😂😂

  • @joshuajackson3827
    @joshuajackson3827 Před 2 měsíci

    Point

  • @sunsetstudioz
    @sunsetstudioz Před 2 měsíci

    OKE

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 2 měsíci +3

    UchaguZI UBAKARIBIA

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Před 2 měsíci

    Kadogosa amezungumzia umeme zaidi, kuliko kuzungumzia Reli. Mwananchi wa uvinza atakushangaa😅😅

  • @justice607
    @justice607 Před 2 měsíci

    Duh gharama kubwa mno but big up to JPM

  • @user-hn7uv4yg2q
    @user-hn7uv4yg2q Před 2 měsíci +2

    chaajabu mzee wamsoga alitaka ajenge yamafuta😂

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 Před 2 měsíci

      achaaaa fitinaa na uaduii wenu tunawajuaaa na wala hatutolalalaaa tenaa futa kichwaa ujingaa wakoo

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 2 měsíci

    Haya ndio mambo tunayataka Kwenye nchi yetu Tanzania.

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j Před 2 měsíci

    Asante sanaaaaaa mama Samia, kazi unayoifanya tunaiona, mwenye macho anaona .

  • @mhammadmahfudh1324
    @mhammadmahfudh1324 Před 2 měsíci

    Duh 1.2 million 😮😮 so mchezo

  • @PaulDavid-yk9xo
    @PaulDavid-yk9xo Před měsícem

    Reli ya watanzania,umeme wa watanzania,tumpongeze alieanzisha pia anaendeleza,swali langu mbona nauli za SGR za kuu kukaribia za ndege?

  • @hawaally2308
    @hawaally2308 Před 2 měsíci

    Huu sasa ndio usafiri uliotakiwa kutangulia kuinua uchumi na utakaofikia wananchi wa daraja lililo na wengi na hatimaye uchumi wetu kupanda kama tu urasimu na ubinafsi utakuwa hakuna. Hongera kwa mtoa wazo na mtekelezaji

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Před 2 měsíci +1

    HONGERA KWA SERIKALI KUFIKISHA MRADI HUU HATUA KUBWA ILA IFANYWE KUMBUKIZI BASI YA MUANZILISJI WA HILI WAZO LA UJENZI HUU

  • @husseinkombomwachikobe8828
    @husseinkombomwachikobe8828 Před 2 měsíci +1

    Tujulishsni....nauli

  • @user-xm2xi9qj9n
    @user-xm2xi9qj9n Před 2 měsíci

    Bei iwe rafik

  • @rajjoshua7328
    @rajjoshua7328 Před 2 měsíci

    Itatumia mwingi zaidi sababu wanataka itembee chini ya speed yake, halafu hizo nisiasa tu umeme niwakwwtu wala hawahitaji kuanza kutuletea story za gharama za umeme ilihali niwakwetu wenyewe, hatupewi kutoka nchi jirani.

  • @mariamjamali1444
    @mariamjamali1444 Před 2 měsíci

    Hivi nyie viongozi ambao kila siku ni kusifu tuu Mh Rais Mh Rais je nafasi ya wananchi ambao ndio wanaomlipa huyo mnaemsifu iko wapi?! Naamini ipo siku watanzania wataipata nafasi yao.

  • @JacklineswaniMakindo
    @JacklineswaniMakindo Před 2 měsíci

    I'm in love with you 😍 masanja kadogosa

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 2 měsíci

    Hiyo test mnatumia tlain ya abiria badala ya tlain ya mizigo?!

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před 2 měsíci +1

    Umeme wa mil 2 ,,kama faida IPO piga kazi kama hakuna faida piga chini

    • @Soon815
      @Soon815 Před 2 měsíci

      Faida ipo kubwa mno

  • @user-hm9bd8nv9h
    @user-hm9bd8nv9h Před 2 měsíci +4

    Muunganiko huu wa usimamizi wa Maendeleo ya nchi ndio ulitakiwa ufuatwe tangu uhuru , sio kila anayeingia madarakani anaanzisha ya kwake na haikamiliki .
    Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu unastahili pongezi sana , umekamilisha Bwawa la Nyerere ,SGR na Miradi mbalimbali .
    Hongera sana pamoja na Wasaidizi wako.
    BE BLESSED MADAM PRESIDENT .

    • @joycelinelyimo-fenske8745
      @joycelinelyimo-fenske8745 Před 2 měsíci

      Kama bwawa la nyerere limekamilika! Sasa mbona umeme bado unakatikakatika!!!????😮

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před 2 měsíci +1

      Shida miundo mbinu ya kupokea umeme na kusambaza ndio mibovu hawasemi ukweli umeme mwingi unapotea bure.tu.

    • @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
      @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 Před 2 měsíci

      @@joycelinelyimo-fenske8745 una kichwa kigumu kuelewa itakua umepata zero formfour

  • @nicodemusfidelis3772
    @nicodemusfidelis3772 Před 2 měsíci +1

    MAGUFULI hoyeeeee

    • @OmariHamza-eo8tq
      @OmariHamza-eo8tq Před 2 měsíci

      hoyee tena hoyeeee hata hiyo tren ingeitwa Magufuli

  • @justice607
    @justice607 Před 2 měsíci

    Daima tutakukumbuka Bulldozer, jembe, JPM ulikuwa na nia njema na nchi yetu hii TZ😢

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 Před 2 měsíci

    #NASIMAMA NA SAMIA

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 Před 2 měsíci

    Tanzania sasa imeanza kuonekana kwenye ramani ya dunia kweli tunaweza

  • @Manase_js
    @Manase_js Před 2 měsíci

    Rip magu

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 Před 2 měsíci

    Wangetumia mafuta ya milioni ngapi?

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 2 měsíci

    Rip uncle Magufuli

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Před 2 měsíci

    Dosho hilo treni

  • @tintin0019
    @tintin0019 Před 2 měsíci

    NA TANESKO WANAVYO KATA KATA STIMA MUNGU ATUSTIRI😅

  • @andrewbigambo6721
    @andrewbigambo6721 Před 2 měsíci

    Ukichanganya mwambie aweke free kupunguza gharama ya unit.

  • @sherallyabdallah248
    @sherallyabdallah248 Před 2 měsíci +1

    Hajui kuongea

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Před 2 měsíci +2

    Kwendeni uko kazi ya magufuri na mlimbeza leo anapewa sifa mwingine? Ivi mnafikiri mtawadanganya watanzania mpaka lini

    • @herrysonk.edward609
      @herrysonk.edward609 Před 2 měsíci +1

      Hata hawawezi kudanganya lbd tufe kwanza sisi tulioshuhudia mwamba akipigwa vita kila kona eti leo hongera mama duuh unafiki sio mzuri

    • @user-vw6er5rz2y
      @user-vw6er5rz2y Před 2 měsíci

      Wakupongezwa mama samia

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 Před 2 měsíci

      ​@@user-vw6er5rz2yBila JPM kumchagua Samia awe makamu wake hata usingemjua. JPM kwanzaaa

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz Před 2 měsíci

    Million moja laki mbili subiri ianze kazi rasmi utaskia milioni 2

  • @majaliwawilson9372
    @majaliwawilson9372 Před 2 měsíci +1

    Kichwa Cha mchongoko kikowap tulion mlisema vimefika vikowap mbona hicho chakawaida

  • @vero57
    @vero57 Před 2 měsíci

    MAGUFULI BABA , ULIFANYA KAZI NZURI SANA, KWAHIVYO TANESCO WAKIKATA HAKUNA SAFARI?????

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 2 měsíci

    Acheni kumsahau aliyedhubutu wamepita wangapi RIP Magufuli

  • @maternmkomange5389
    @maternmkomange5389 Před 2 měsíci

    Yani kama nauli tu ikiwa chini yani tufanye sh 35000 kama Kila kichwa Cha TREN kikibeba watu 60 na vichwa 35000 mara 60 nipesa ndefu Haina mfano

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 2 měsíci

    JPM ulale salama!!

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb Před 2 měsíci

    Hayati JPM hakika ww ulikuwa na maono tunakukumbuka sana

  • @SaimonAmedeusTenga
    @SaimonAmedeusTenga Před 2 měsíci

    Magufuli😢😢😢

  • @izack9191
    @izack9191 Před 2 měsíci

    QttMlisema kichwa cha nyoka mbona sikioni 😂

  • @laurenciamwalongo8165
    @laurenciamwalongo8165 Před 2 měsíci

    Magufuli tunakupenda daima

  • @asungushepatrick5414
    @asungushepatrick5414 Před 2 měsíci

    Magufuli alikuwa kiongozi.

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 Před 2 měsíci

    Rest in peace Jmp 🕊🙏

  • @OmariHamza-eo8tq
    @OmariHamza-eo8tq Před 2 měsíci

    Ndan ya trein au mabehewa yana Wifer

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 Před 2 měsíci +1

    Jpm

  • @ellenirelli4912
    @ellenirelli4912 Před 2 měsíci

    Njoo uchukuwe ubunge nafasi ni yako, hakika tunakuamini

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před 2 měsíci

    Jamani njiani jaribuni kuwa makini na ajari maana mmm

  • @wozanawewoz979
    @wozanawewoz979 Před 2 měsíci

    Biashara za mabasi sasa basii😂

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa6970 Před 2 měsíci

    Sasa naizo treni za zamani zinatumia nin kamapesa haziendinje

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Před 2 měsíci +1

    Masaa maatatu na nusu hivi kutoka dar to dom
    Ila inatakiwa iwe masaa mawili tu

    • @sibtwunyangeonlinetv7825
      @sibtwunyangeonlinetv7825 Před 2 měsíci +2

      Imebeba viongozi wa nchi pamoja na dini haiwezi kutembea mwendo huo + ni majaribio2 kwahyo wataongeza mdogo mdogo

    • @Adamadam-du5vx
      @Adamadam-du5vx Před 2 měsíci +1

      Wanafanya majalibio kaka awawez kukuambia wabongo jaman umuishi kukusow

    • @nth3512
      @nth3512 Před 2 měsíci

      Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo. Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana

  • @MzaziMzazi
    @MzaziMzazi Před 2 měsíci

    Ukiwa wewe ni mwalimu wa dini siku nyimgine, ukitoa maelezo, ongela kiswahili Moja kwa Moja, sisi wengine ni waswahili, hapa ni tz,, acha zalau ,mwalimu gani wewe,,,,,makini

  • @jameshoya2115
    @jameshoya2115 Před 2 měsíci

    Mbona bado wanatumia hivi vichwa walivyosema ni vya treni ya mzigo?? Na wakati vichwa vya mchongoko vilishafika!!

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 2 měsíci

    Bila Magufuli mngevisikia tu huko nje wapuuzi nyie huwa nayashangaa majitu yanayomsema vibaya JPM, hao wote ni wapumbavu

  • @omariathumani-em1lw
    @omariathumani-em1lw Před 2 měsíci

    Usimpambe saana mama apongezwe magufuli kuwa mkwel acha sela

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi Před 2 měsíci

      Kama asingeendeleza ungefanya nn

  • @conradruba1971
    @conradruba1971 Před 2 měsíci +1

    Mbona amja muuliza wametumia muda gan dar to dom ndo memuogopa

    • @Adamadam-du5vx
      @Adamadam-du5vx Před 2 měsíci

      Kaka kuwamakin kusikiliza

    • @hamadsuleiman5177
      @hamadsuleiman5177 Před 2 měsíci

      Hujaskiliza vizuri ni masaa 3 (Wameondoka saa 15:45 na kufika 18:45) hivo ni masaa 3 takriiban

    • @ngoshakulwa8348
      @ngoshakulwa8348 Před 2 měsíci

      Hujasikiliza vizuri na wewe amesema kwenye saa 9 na nusu hv hana uhakika na kufika saa moja kasoro. Masaa kama 3 na dk 15​@hamadsuleiman5177

  • @HoseaLeonard
    @HoseaLeonard Před 2 měsíci

    Tanzania hatujawahi kuwa wasimamizi wazuri wa miradi, hoestly speaking utakufa kama mingine iliyowahi kuwepo😂