Watu wamejitokeza kujinunulia majeneza baada ya punguzo la bei Moshi
Vložit
- čas přidán 12. 03. 2017
- Mwezi uliopita iliripotiwa habari ambayo iliibua mijadala kwenye mitandao kuhusu hatua iliyotolewa kwamba endapo utanunua jeneza kabla ya mtu kufariki utapatiwa punguzo la asilimia 30%. Mkurugenzi wa kampuni hiyo Macmillian Msiraki amesema tayari watu 7 wameshajitokeza kutoa oda.
kufa nilazima kujinunulia jeneza nijambo nzuri kwasababu unapunguza gharama
Waaaaaah!!!
haha lol Tz nomaa ......king majuto humpati apo
Mie nibebewe mkeka
Duuuu!!!
nyie mna hatari kweli
Duuh 😂😂🏃
mmmmmm amakwel dunia imekwisha