Watu wamejitokeza kujinunulia majeneza baada ya punguzo la bei Moshi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 03. 2017
  • Mwezi uliopita iliripotiwa habari ambayo iliibua mijadala kwenye mitandao kuhusu hatua iliyotolewa kwamba endapo utanunua jeneza kabla ya mtu kufariki utapatiwa punguzo la asilimia 30%. Mkurugenzi wa kampuni hiyo Macmillian Msiraki amesema tayari watu 7 wameshajitokeza kutoa oda.

Komentáře • 8