NAPE AKANUSHA VIDEO YAKE INAYOTREND "INAPOTOSHWA KWA KUKATA VIPANDE, NI UTANI TU WA GOLI LA MKONO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 108

  • @DesertTears
    @DesertTears Před měsícem +10

    Sawa mkuu unaona Watanzania ni majinga sana

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +8

    Ukweli wote umetolewa hadharani, ndio maana bunge limejaa wabunge wasio na uweledi, jenz inakuja TZ

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před měsícem

      Utasubiri sana, Tanzania wanaonekana waoga lakini siamini hilo, basi tu tumeamua kufanya kazi kwa uwezo wetu si tuliambiwa na mwalimu Nyerere tusitegemee serikali kutufanyia kitu ila tufanye kazi kwa bidii na kufiria tufanye nini kwa ajili ya nchi yetu, hivyo cha kufanya ni kazi tu tuache kulalamika na tukiona hawaeleweki basi tuwawajibishe kwenye kupiga kura hata kama tutakosa raisi kutoka chama kengine ila wabunge wawe wengi kupita wa chama tawala ndio mwanzo mzuri, tatizo la Tanzania ni tatizo la nchi nyingi Afrika hufiria uraisi ndio kila kitu hapo tunapokwama na kulalamika kuibiwa kura kila kukicha.

  • @maulidijselemani9392
    @maulidijselemani9392 Před měsícem +8

    Ki ukweli Mimi ningekua na mamlaka ya juu ndani ya chama cha mapinduzi ningemfukuza Nape uanachama kabisa. Ila sio mbaya wenye mamlaka wamesikia na wamemuona.

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 Před měsícem +7

    NAPE yuko sawa kasema kweli, pengine CCM wakunushe tu

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 Před měsícem +4

    Mmmh!!!!!!! Hawa watu hawaaa,AMEKANUSHA NINI HAPO WAKATI KILA NENO LIPO WAZI WAZI😢😢😢😢😢

  • @user-wp3fp9ts2q
    @user-wp3fp9ts2q Před měsícem +8

    HUYU NDIE YULE YULE ALIESEMA CCM ITASHINDA KWA BAO LA MKONO

  • @kakajaywakweli4543
    @kakajaywakweli4543 Před měsícem +5

    Hii inanifunza kwamba mtu akigombea nje ya ccm ili ashinde lazima awe amebeba marungu na Dumu la mafuta ya kuchomea.... Na wakati wa kutangaza awe ameshazingira nyumba ya mtangaza matokeo hapo halali itapatikana

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 Před měsícem +4

    haya bn unaona watz hatujielewi. ktk kauli hizo tyr inaonesha hamshindi kwa uhalali

  • @nuhumwaisanila2217
    @nuhumwaisanila2217 Před měsícem +5

    Huwo ndio ukweli nape umenena mema nchi ya kwenu

    • @LeoniaLyimo
      @LeoniaLyimo Před měsícem +1

      Lakini si kasema ukweli kwani si wanafanya hivyo anakanusha nini.sasa tumejua wanaiba kura . 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @evaristisdory6357
    @evaristisdory6357 Před měsícem +6

    Anaona hatujielew kbsa mjinga huyu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před měsícem +5

    Ndiyo maana majirani wanatucheka,

  • @AbubakariBausi-zd6xf
    @AbubakariBausi-zd6xf Před měsícem +2

    Dah madhalim makafili ya CCM mungu anayafanya yanasema mabaya Yao ili tuyajue makafili mafarisayo ma herode ma yuda iskaliyote na matumbo Yao yamejaa dhuluma na kula halam

  • @donaldelias2267
    @donaldelias2267 Před měsícem +2

    Apo ndo mjue ccm haina nguvu ila inatumia mabavu wizi kushinda chaguzi zote

  • @sarahburetta8547
    @sarahburetta8547 Před měsícem +1

    Sasa hapa tunapiga kura ili iweje? 😂😂😂 Woooooi

  • @user-kv1es7fw1b
    @user-kv1es7fw1b Před měsícem +3

    😢😢😢😢 haya bana sisi
    nimazuzu😭

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Před měsícem +1

    Nape amelewa na uongozi wa Samia, na wamempima Samia kuwa hawezi kuwafanya lolote. Na hii inaonyesha wazi kuwa Nape yupo kwa masilahi ya ustadi wa kuwa jukwaani na mbinu za wizi wa Kura. Haya na tumsikie mama Samia atatoa neno gani hapo kwani hicho ndicho kipimo chake katika democrasia ya KWELI.

  • @amanchao
    @amanchao Před měsícem +1

    "Mjanja wa uchaguzi" 😭😭😭wazee amkeni hii mambo siyo poa kabisa

  • @PaulSanga-m3p
    @PaulSanga-m3p Před měsícem +1

    Maneno ya nape ni ya ukweli hats ccm wakikanusha yeye anasema ni utani,Sasa kwakuwa siasa imewashinda,Sasa sikia Yale Mungu was mbinguni aliyonieleza Mimi mtumishi wake kufikia2025 Tanzania itagawanyika vipande vipande waombaji kaaeni mbele za Bwana was majeshi

  • @TheSalama2525
    @TheSalama2525 Před měsícem +1

    Nape una maadui wengi ndani ya CCM na Nje ya CCM.... be careful full... Lakin Anakuelewa vizuri Mwanawe.... Tanzania iwekeni Nchi Salama..

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 Před měsícem +1

    Kwenye Karne hii ya 21 ogopa Mungu na Teknolojia

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 Před měsícem +1

    Hapa unatuangusha.mnamchafulia Rais wetu .ulichofanya sicho.Mungu hadhihakiwi.tena unamtaja Mungu kiwepesi wepesi.unachafua CCM.hapo omba msamaha mbele za Mungu.UMEKOSEA KIONGOZI.

  • @namri_namri_namri
    @namri_namri_namri Před měsícem

    Ee! Bwana Mungu akusamehe muheshimiwa kwani hujui ulitendalo laiti ungejua usingesema hayo

  • @isakaokolonko2483
    @isakaokolonko2483 Před měsícem

    Mama samia huyu mbunge luaga mpina atakusaidia mambo mengi Sana USIMTENGE HATA KIDOGO ana vitu vizuri Sana katika kukusaidia

  • @user-ex8jm1wg6q
    @user-ex8jm1wg6q Před měsícem

    Mungu anawaona kwa wizi wenu wa kura

  • @user-pu5es2kq7t
    @user-pu5es2kq7t Před měsícem +3

    Wewe unashindwa kuelewa duniani tunapita tu shindeni shibeni kuleni vifo vina wasubili izo mali amtoenda nazo

  • @user-gg4ho7tw2u
    @user-gg4ho7tw2u Před měsícem

    Jamaa anaongea kama vile mtu ambaye hajakomaa upstairs 😢

  • @user-oh8ig2cy9q
    @user-oh8ig2cy9q Před měsícem

    Mwacheni jaman katumbuliwa sana saiz katulia kachoka kutumbuliwa

  • @ramadhaniyahaya7286
    @ramadhaniyahaya7286 Před měsícem

    Hakuna cha kuomba ladhi mlisha ona watanzania mlisha tuzalau na shine ya madalaka

  • @wisdomfolks
    @wisdomfolks Před měsícem

    Poa sisi mazuzu ila mtaelewa tu time will tell

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 Před měsícem +1

    Mzee baba 'JPM' hakika alikuwa na akili sana wale wajinga wajinga wote aliwafurumusha ktk serikali yake akiwemo huyu, cha ajabu leo hii wamerudishwa tena, yaani acheni Mungu aitwe Mungu leo hii kauli hii lazima itamchefua aliyewarudisha, hapo ndio ujue kuwa kweli JPM alikua jembe na kiongozi makini asiekuwa anataka upuuzi, kwa kauli hii angekua JPM zamani keshafutwa uanachama na kupoteza nyadhifs zote alizokua nazo - daah ! aisee hii ya leo kali, ila kauli hii ni kete nzuri sana kwa wapinzani kwani itawasaidia sana ktk kampeni za chaguzi mbalimbali, yaani mtu unalewa madaraka mpaka unakua Zuzu kabisa unaropoka ovyo, yaani hata mtu asiyeenda shule kabisa hawezi kutamka maneno hayo - CCM hata mfanyeje hamuwezi kuchomoka kwenye hii kauli, wapinzani hapo wameokota bonge la kete la kuwapigia bakora.

  • @melch3097
    @melch3097 Před měsícem

    Mungu atawaambua mtasema wenyewe yote, , bila kujua

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl Před měsícem

    Unamaanisha kwamba tume si huru,wizi upo ,asante kwa kutufunulia ubongo ,pia kuna maana gani kuchukua kodi za walala hoi kuandaa uchaguzi Ingali mnajua wapige kura wasipige kura ni lazima mlio mteua msha mpitisha, huyo Mungu unae sema akusaidie ata badilisha itakuwa kibogo cha kuwanyosha ,wakandamizaji wa haki za wananchi

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před měsícem

    Sijawahi kuona kiongozi wa serikali akiongea ujinga wa namna hii.

  • @bensonkaaya9214
    @bensonkaaya9214 Před měsícem

    Nafikiri Mungu kahamua liwe wazi zaidi

  • @EdmundMipawa
    @EdmundMipawa Před měsícem

    😂 dah .. hvi kukubali kosa ni dhambi eenh 🙌🏽🤸 Videographers tutoe comments video imekatwa wapi 😅😂😅😂😂 🙌🏽

  • @user-gb8hu6vb9i
    @user-gb8hu6vb9i Před měsícem

    😢

  • @augustinojob939
    @augustinojob939 Před měsícem

    Hivi mbona kma wa TZ tunaonekana kma hatuelewi. Sasa kuna nini ambacho anakanusha wakati amesema ukweli wote. Angekaa kimya tu baada y kuonekana amekosea kuliko kutaka kujitetea wakati, Mungu atawasamehe baada ya kuwasaidia

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Před měsícem

    Dhambi ni mbaya sana

  • @user-ez9vi4pf3g
    @user-ez9vi4pf3g Před měsícem +1

    Mshatuona sisi mazuzu

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu

    Ni kweli wtanganyika wanaojielewa wako wachache

  • @denisminja6242
    @denisminja6242 Před měsícem

    Daah mshenzi sana huyo Nape

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 Před měsícem

    Nape kashazoeya chama chake ni wezi wa kura waajiona miiungu watu

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před měsícem

    Nape mama anapenda madhambi yake no matter what ndiyo amesema ukweli, but mama hamtoi ng'ooo kwani ni hustler mmoja wapo.

  • @user-sb3hh3gc3k
    @user-sb3hh3gc3k Před měsícem

    Kwenye neno utani Kuna ukweli ndani yake,
    Acha kuchora watu,mbona umefafanua vizuri paka ukataka watu wakuelewe

  • @safielkabonda295
    @safielkabonda295 Před měsícem

    Kama anafata nyayo za Ndugai hivi, ngoja tuone

  • @kazimotomaswi9700
    @kazimotomaswi9700 Před měsícem

    Haki itakuja hata bila chama, bila uchaguzi waliochoka watachoka kungoja haki

  • @user-es2hl3bc7y
    @user-es2hl3bc7y Před měsícem

    Da

  • @georgedaniel4962
    @georgedaniel4962 Před měsícem

    Mungu sio wako tu,AfuMungu sio mzungu.

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl Před měsícem

    Kafanye hivyo kenya tuone matokeo yake

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 Před měsícem

    Anatoa Siri Za Ndani Aibu!

  • @salimkipuge4526
    @salimkipuge4526 Před měsícem

    Hivi hapa pakukanusha kweli? Ajiuzuru.

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl Před měsícem

    Tutasimamia kile tulicho kichagua na kukitagaza wenyewe

  • @kivumamwagilo5738
    @kivumamwagilo5738 Před měsícem +1

    Nape anadhani watanzania ni mazuzu?

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 Před měsícem

    mtungi hiyo ilikuwa inamfanya aropoke ukweli 🤣🤣🤣

  • @Joh-p9f
    @Joh-p9f Před měsícem

    Mtangazaji upo kama salim kikeke hivi..

  • @ramadhaniyahaya7286
    @ramadhaniyahaya7286 Před měsícem

    Laana zinawatafuna mnajisahau

  • @hashimposho-ju6nz
    @hashimposho-ju6nz Před měsícem

    Ili jamaa japo ni libunge langu lakin halijielewi kabisa

  • @katemachanda7035
    @katemachanda7035 Před měsícem

    Picha linaanza Yuko Tungi vibaya, tazama macho yake, sauti inavyobembea Kilevi halafu cheki hoja yenyewe ilivyo....
    Then anakanusha, very funny😂

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama Před měsícem

      Anatuona watanzania ni wajinga kumbe yy ndio mjinga utani kwenye Mambo ya msingi wa nchi utani gani huo kazoea kuiba pesa zetu za Kodi mpaka kwenye uchaguzi

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w Před 20 dny

    Nani atamuamini hiuyo..aache kutapatapa

  • @user-su2le6gw5o
    @user-su2le6gw5o Před měsícem

    Hakuna lisilo na mwisho.

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n Před měsícem

    Sawa sawa tumekusikia mkuu😢

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou Před měsícem

    Nape sjsi si watoto wadogo,,,Kwani uliongea kjluga au kiswahili.sasa ukisema sanduku halitowi matokeo anaehesabu ndie anaetowa matokeo na tume ya uchaguzi ndio yenu ,,sasa umekosea wapi,wakati uchaguzi wa 2020 hakuna asiejuwa mumepora ni sawa kusema mutafanya yale yale,,,,hongera nape kwa kusema kweli pengine ni mungu akikutowa Akili kwa muda ili useme ukweli,,tumshukuru mungu

  • @MwitaChacha-sx3po
    @MwitaChacha-sx3po Před měsícem

    Amejaribu kufumbua watu macho.

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 Před měsícem

    Magufuli alikuwa Sawa Kumg'oa huyu Mwamba.

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 Před měsícem

    Kwan wakati Anaongea ilikuwaje

  • @mcnyoka
    @mcnyoka Před měsícem +1

    😂😂😂

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před měsícem

    Nape wewe balaa😂

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau Před měsícem

    Baadhi ya watanzania wapumbavu wanaweza kumumaindi nape 😢wakati yeye kasema tusiyo yajua kuusu chama chake ni lahisi mjumbe hauwawi na ukimuua ww ni mjinga maana yeye anakuletea taalifa ili ujue namna ya kujihami😒

  • @wajinajecha5029
    @wajinajecha5029 Před měsícem

    Na ndio maana ukaona mama katufanyia mazingaumbwe kwa kujitengenezea njia ya wizi yeye na majambazi wenzie kwa eti kubadilisha jina la tume ya uchaguzi na kuiita huru si mtihani huu

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Před měsícem

    Tumekusokia nikweli uliongea

  • @madarakaempire4744
    @madarakaempire4744 Před měsícem

    Uyu nape Kasem ukwelii wa CCM 😅

  • @lilgicky484
    @lilgicky484 Před měsícem

    ndio ukwelii wenywee amesema uhalisia uliopoo

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 Před měsícem

    Tunategemea Rais Samia atamfukuza uwaziri huyu jamaa.Tunategemea CCM itamfukuza huyu anayeendekeza rushwa. Vinginevo itakula kwako Samia na CCM. Watanzania sio malofa.

  • @AyyanJambau
    @AyyanJambau Před měsícem

    Ccm haijawahi kushinda uchaguz kihalali toka kwa mrema hili mbona lipo wazi sisi wa TZ ni wapumbavu tu hatuna uthubutu wa kuwawajibisha hawa wahun na tutaendelea kulia mitandaoni wao wanatafuna tu nchi 😢

  • @ismailsanga3233
    @ismailsanga3233 Před měsícem

    Too much

  • @faustinemanota1198
    @faustinemanota1198 Před měsícem +1

    Sass wananchi wanashangilia nini Sasa? Ujinga

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Před měsícem

    Wezi wa kura na tunapoelekea kilimo kinaenda kuanguka kabisa Tanzania serikali ifanye biashara ya kilimo bei ndogo kuliko uzalishaji na gharama za kilimo . wangeondoa sheria ya kufungua makampuni wakawa waruhusu soko huria wao wakusanya kodi tu wakenya waje na waganda waje mashambani tufaidike wakulima

  • @daudimusoma3337
    @daudimusoma3337 Před měsícem

    Yaani hii ni hatari kuliko zote za kisiasa

  • @LameckMbele
    @LameckMbele Před měsícem

    Na mpumbavu sana

  • @vboytz8262
    @vboytz8262 Před měsícem

    😅

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter Před měsícem

    Mwanasiasa huwa hakosi cha kujitetea.

  • @robertmasanja66
    @robertmasanja66 Před měsícem

    2025 itaamua ningekuwa preso Leo hii asingekuwa waziri

  • @paschalmgassa6855
    @paschalmgassa6855 Před měsícem

    Muongo huyu, hii ni mara ya pili anarudia hiyo, 2015 alisema

  • @sharoshine9984
    @sharoshine9984 Před měsícem

    Hakuna video iliyo katwakatwa Wala nn hapo na Wala haijaeditiwa

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před měsícem

    ........

  • @luthermajoji7300
    @luthermajoji7300 Před měsícem

    HAKUNA CHA UTANI HAPO

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před měsícem

    😂😂😂😂😂

  • @erenwesmgeni4837
    @erenwesmgeni4837 Před měsícem

    Mwongo alikua siliaz

  • @JohnMagudi
    @JohnMagudi Před měsícem

    nape wewe ni mkweli sio muongo hata usiombe radhi ulichosema ndivyo ilivyo

  • @patymwita5834
    @patymwita5834 Před měsícem

    Unatuona wajinga sas hatujui tunatoka wap et

  • @muhamadsalim5295
    @muhamadsalim5295 Před měsícem

    Tanganyika wanaojielewa ni wachache sana kulikoni wajinga

  • @allyabdallah1776
    @allyabdallah1776 Před měsícem

    MKUDA HUYO

  • @giftotaru5808
    @giftotaru5808 Před měsícem

    Ndomana magufuli alikua ampendi uyu jamaa

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd Před měsícem

    Bure kabisa

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Před měsícem

    Daaaaaaaaha,
    Ila namuomba Mungu awabariki watanzania wote nanyie mnaosoma coments

  • @goodlucklutabila7527
    @goodlucklutabila7527 Před měsícem

    Ko sisi ni wajinga kiasi hicho.

  • @noekenny3771
    @noekenny3771 Před měsícem

    Mjinga huyu

  • @abibuhabibu9462
    @abibuhabibu9462 Před měsícem

    😢

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou Před měsícem

    Mungu mkubwa,ccm wanalanika,hata mama aliwahi kusema mkitaka msitake ccm itachukuwa dola

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq Před měsícem

    Alafu yanaenda makanisani Tanzania hatuendelei tuige kenyatu