Nape kaongea ukweli ila ingekuwa sahihi zaidi kama angekishauri chama chake kiache kuhujumu uchaguzi kwa kuiba kura na kibadilike kwa kuendesha chaguzi za HAKI.
Usifurahi pale baya linapomkuta mtu,kuweni wastaarabu,hiyo ni roho ya Wivu. Nyinyi ni wanafiki na pia ni mazuzu,kwa kuwa hamtachaguliwa nyinyi. Tumefundishwa kuwa”TUISEME ILE KWELI ILI BASI ILE KWELI ITUWEKE HURU KWELI KWELI”
Waandishi wa habari kazi Yao ni ukuda kwa kusemwa umepatia ni mara chache ila mabaya yanachambuliwa sana viongozi wajifunze kujitahidi kutenda mema ili wasishuliwe
Acheni undumilakuwili we kitenge huyo nape ni rafk ako na unajua kua anahamishiwa kwenye chama kwsbb ya kwenda kufanya manuva uchaguzi wa mwakani mtawaletea siasa za kitoto wasiojielewa
Nape cheo cha uwaziri kilimpa kichwa na kuwaona watanzania wote washamba kama alivyomuona Hayati Magifuli. Mwemye tabia yake haachi. Rais Samia kumpa uwaziri watamzania wengi ilituuthi sana
WANYONGE WANAO ZULUMIWA ARTHI WAMEKWISHA MTETEZI WAO SLAHA KESHA ONDOKA WATALIA WATANZANIA WALIO KUWA WANA PORA ARITHI WANAWATU WAO WAKO NA RAIS KARIBU KWAKWELI HAPO MKUWETU WA NCHI AGALIE RAIS ANAPO KOSEA HAKUNA MTU ANAE WEZA KUMTEGUWA RAIS SAMIA NA YEYE AFIKIRIE
Chalamila mast go huyu Baba ni maji Kupwa na kujaa Kauli zake hazina jasho ya mkuu wa mkoa . He doesn’t know the difference between yes and No Sometimes anaongelesha watu kama vile anaongea na watoto wake Ulevi wa madaraka/ matumizi mabaya ya mamlaka. Sometimes the leaders keep wondering why people hate Government so much ?! This kind of leaders are the reason
Shida kubwa awa vijana wamejiona nchi niyao Mimi nakushukuru mku make nape kakichafua chama changu kwKauri zake zakijinga umeiba arafu unamuomba mungu akusaidie apana bwana
Ukiitazama kwamakini sana Ile video nape haikumponyoka nawala haikua utani alizamilia kualibu Alijua kitakacho tokea .A..B nyuma yake Kuna agenda gan iliyo mfanya kualibu kazi kilahisi?
Hivi WASAFI media mbona ina WACHAFU humo ndani? Hivi mnaongea nini? Mmesomea hiyo kazi au mmekusanywa tu machawa?? Jifunzeni maadili ya utangazaji washamba nyinyi!!!😚
Nape kaongea ukweli ila ingekuwa sahihi zaidi kama angekishauri chama chake kiache kuhujumu uchaguzi kwa kuiba kura na kibadilike kwa kuendesha chaguzi za HAKI.
Waswahili Wanasema.! Kesho Ina Siri Kubwa Sana. Usimdharau Mtu Kwa Leo Yake🎉
Magu aliwagundua mapema akawatimua mama kawaludisha
Zembwela bhana yaani #Byabato baada ya kutumbuliwa leo hii anamuita ety "Yule bwana mdogo"😅😅 ila kipindi ni waziri alikuwa anamuita MH.
Umenifanya nicheke sana ndugu yangu 😅😂
Mbunge wa Mtama Nape Nauye ameridi jimboni kwake kula mtama😂😂😂😂😂🙌
Kama urais unaweza kupatikana nje ya Box, basi hata uwaziri unawezekana nje ya box 😂😂😂😂
😂😂😂
Sio nje ya boxi jamaa kaaga dunia mrisi anaendeleza kazi
@@alzawahirabdallah2299 🤣🤣🤣🤣
Jpm alikuwa sahihi Leo ndio mtamkumbuka kikulacho ukinguoni mwako
Watangazaji wadaku sanaaaa haya kazi kwenu Waziri wenu huyo
Wazee wambea hawaa duh😂😂😂😂❤
😅😅😅😅
Usifurahi pale baya linapomkuta mtu,kuweni wastaarabu,hiyo ni roho ya Wivu.
Nyinyi ni wanafiki na pia ni mazuzu,kwa kuwa hamtachaguliwa nyinyi.
Tumefundishwa kuwa”TUISEME ILE KWELI ILI BASI ILE KWELI ITUWEKE HURU KWELI KWELI”
Hata hawa walikuwa wanatania tu 😅
@@rabiusvm😂😂😂 anachukulia maisha serious sana huyu
Inategrmea ni mitu wa aina gani.
Ila nyie wanfki 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Hawa wazee wanafiki sana😂😂😂
Kweli wana habari sio watu leo mnamkejeli bosi wenu wa zamani Nape😂
ndugu yangu hii nchi wanafiki sana hata huyo waziri ni mnafiki alijiona nchi yake hii
Mbunge wa mtama amekula mtama. kitenge miyeyusho sana😂😂
Daaa!!!! Hatukueleweni ebu zungumzeni Kwa kupeana nafasi sio munapiga ukulele Tu mnatuchanganya kwenye kuwasikiliza
January koti analirudusha Jana la kuazima na
😅😅 Maulid Kitenge daah😅😅 unachokochoko sanaa daah hatari
Waandishi wa habari kazi Yao ni ukuda kwa kusemwa umepatia ni mara chache ila mabaya yanachambuliwa sana viongozi wajifunze kujitahidi kutenda mema ili wasishuliwe
😂😂😂aisee nyieee
Nyie msiwe mnadharau maono ya magu
Magu aliwapiga down wakarudishwa
Watoto wao hao, sasa ndo wameona hawawezi kazi. Magu alikuwa chuma
mwambieni tajiri atengeneze hiyo TV au mpiga picha abadili angle...WASAFI NI DUDE KUBWA SANA HATUJAZOEA HAYO MAMBO
Acheni undumilakuwili we kitenge huyo nape ni rafk ako na unajua kua anahamishiwa kwenye chama kwsbb ya kwenda kufanya manuva uchaguzi wa mwakani mtawaletea siasa za kitoto wasiojielewa
Kchwa cha habari sasa😂😂😂😂
Mbinguni mtapasikia tuuu😂😂😂
Ulikua utani tu.
Kazi nizaman 2 Kila m2 hatujui kesho yetu
Hawajamaa wanafki san
Kwani hamwezi kuongea bila kupiga makelele? Mnatuumiza masikio
Hivi nyie mmesoma kweli chuo cha habari?
Wapiìi zembwela au
Nape cheo cha uwaziri kilimpa kichwa na kuwaona watanzania wote washamba kama alivyomuona Hayati Magifuli. Mwemye tabia yake haachi. Rais Samia kumpa uwaziri watamzania wengi ilituuthi sana
WANYONGE WANAO ZULUMIWA ARTHI WAMEKWISHA MTETEZI WAO SLAHA KESHA ONDOKA WATALIA WATANZANIA WALIO KUWA WANA PORA ARITHI WANAWATU WAO WAKO NA RAIS KARIBU KWAKWELI HAPO MKUWETU WA NCHI AGALIE RAIS ANAPO KOSEA HAKUNA MTU ANAE WEZA KUMTEGUWA RAIS SAMIA NA YEYE AFIKIRIE
Chalamila mast go huyu Baba ni maji Kupwa na kujaa
Kauli zake hazina jasho ya mkuu wa mkoa . He doesn’t know the difference between yes and No
Sometimes anaongelesha watu kama vile anaongea na watoto wake
Ulevi wa madaraka/ matumizi mabaya ya mamlaka.
Sometimes the leaders keep wondering why people hate Government so much ?!
This kind of leaders are the reason
Leaders chosen by ........??
@@knight6757her excellence
@@knight6757😅
Ila Kitenge bhna😅😅😅😅 eti Mbunge wa Mtama amekula Mtama
Duu maskin poleyak
Kweli sipedi wadishi wa habri wa bongo wengi majawa
duuuuh mnajua kunyambua za ndan
Alisema bahari ni swari sijuwi sasa bahari imekuwaje
Dah 😂
Kamati kuu ya wanafiki Tanzania
Mbunge wa mtama amekula mtama nyie Tena 😂
Shida kubwa awa vijana wamejiona nchi niyao Mimi nakushukuru mku make nape kakichafua chama changu kwKauri zake zakijinga umeiba arafu unamuomba mungu akusaidie apana bwana
Kakichafuaje chama wakati ndo staili yao ya maisha? Sema katoa siri za ndani, kathibitisha tuhuma zinazowakabili hivyo kawaumbua!
@@festokemibala5832uko sahihi
Wanafiki wakubwa tu ninyi hamna lolote
Chief jiandae kuchukuwa jimbo la Bukoba mjini🎉🎉🎉 kwanza huyu Byabato alipitaga kwa wimbo wa Rose Muhando#Nibebee
Ila nye watangazaji mna dharau saana
Alichokikosea Nape ni kuongea ukweli wa yanayofanyikaga nyuma ya pazia
Kama hapo mnapiga umbea siwaelewi kabisa
😂
Ukiitazama kwamakini sana Ile video nape haikumponyoka nawala haikua utani alizamilia kualibu
Alijua kitakacho tokea .A..B nyuma yake Kuna agenda gan iliyo mfanya kualibu kazi kilahisi?
Bahari imekuw shari iyo kauli ilskika kutok mtama🤣🤣
Wazee wa minyama wanafiki sana nyie
Wamtama amekuala mtama😂😂😂 😂
😂😂😂
Hivi WASAFI media mbona ina WACHAFU humo ndani? Hivi mnaongea nini? Mmesomea hiyo kazi au mmekusanywa tu machawa??
Jifunzeni maadili ya utangazaji washamba nyinyi!!!😚
Heheheheeheheee
Woote ni walewale hamna jipya kúrap ngonjera tu
😂😂😂😂😂😂😂
😂
Amekula mtama
KALA MTAMA NA MBOGA GANI ?
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kakiiza chama uyo bora akae pemben atajfuza kpi cha kuongea
Nani ataiona Mbingu kupitia Chama? Acheni kudanganya watu hapa.
hahaà
MBUNGE WA MTAMA AMEKULA MTAMA🤣🤣🤣🤣🤣🤣