MBUNGE WA MTAMA AMEKULA MTAMA| BAADA YA KUTENGULIWA ALIRUDI VIPI NYUMBANI?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 83

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +12

    Nape kaongea ukweli ila ingekuwa sahihi zaidi kama angekishauri chama chake kiache kuhujumu uchaguzi kwa kuiba kura na kibadilike kwa kuendesha chaguzi za HAKI.

  • @kelvinmalahu3522
    @kelvinmalahu3522 Před měsícem +3

    Waswahili Wanasema.! Kesho Ina Siri Kubwa Sana. Usimdharau Mtu Kwa Leo Yake🎉

  • @user-vy9bl6ei2x
    @user-vy9bl6ei2x Před měsícem +6

    Magu aliwagundua mapema akawatimua mama kawaludisha

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před měsícem +9

    Zembwela bhana yaani #Byabato baada ya kutumbuliwa leo hii anamuita ety "Yule bwana mdogo"😅😅 ila kipindi ni waziri alikuwa anamuita MH.

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 Před měsícem

      Umenifanya nicheke sana ndugu yangu 😅😂

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem

    Mbunge wa Mtama Nape Nauye ameridi jimboni kwake kula mtama😂😂😂😂😂🙌

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 Před měsícem +7

    Kama urais unaweza kupatikana nje ya Box, basi hata uwaziri unawezekana nje ya box 😂😂😂😂

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 Před měsícem +2

    Jpm alikuwa sahihi Leo ndio mtamkumbuka kikulacho ukinguoni mwako

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem

    Watangazaji wadaku sanaaaa haya kazi kwenu Waziri wenu huyo

  • @almasabdul428
    @almasabdul428 Před měsícem +1

    Wazee wambea hawaa duh😂😂😂😂❤

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly Před měsícem +3

    Usifurahi pale baya linapomkuta mtu,kuweni wastaarabu,hiyo ni roho ya Wivu.
    Nyinyi ni wanafiki na pia ni mazuzu,kwa kuwa hamtachaguliwa nyinyi.
    Tumefundishwa kuwa”TUISEME ILE KWELI ILI BASI ILE KWELI ITUWEKE HURU KWELI KWELI”

    • @rabiusvm
      @rabiusvm Před měsícem

      Hata hawa walikuwa wanatania tu 😅

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Před měsícem +1

      ​@@rabiusvm😂😂😂 anachukulia maisha serious sana huyu

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 Před měsícem

      Inategrmea ni mitu wa aina gani.

  • @NurudinZuberi
    @NurudinZuberi Před měsícem +7

    Ila nyie wanfki 😂😂😂

  • @user-lm5fu5tu5z
    @user-lm5fu5tu5z Před měsícem +1

    Hawa wazee wanafiki sana😂😂😂

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 Před měsícem +3

    Kweli wana habari sio watu leo mnamkejeli bosi wenu wa zamani Nape😂

    • @emmanuelkanyela275
      @emmanuelkanyela275 Před měsícem

      ndugu yangu hii nchi wanafiki sana hata huyo waziri ni mnafiki alijiona nchi yake hii

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo Před měsícem

    Mbunge wa mtama amekula mtama. kitenge miyeyusho sana😂😂

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu6624 Před měsícem +2

    Daaa!!!! Hatukueleweni ebu zungumzeni Kwa kupeana nafasi sio munapiga ukulele Tu mnatuchanganya kwenye kuwasikiliza

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před měsícem

    January koti analirudusha Jana la kuazima na

  • @MachibyaGedi
    @MachibyaGedi Před měsícem

    😅😅 Maulid Kitenge daah😅😅 unachokochoko sanaa daah hatari

  • @vicenttarimo2203
    @vicenttarimo2203 Před měsícem

    Waandishi wa habari kazi Yao ni ukuda kwa kusemwa umepatia ni mara chache ila mabaya yanachambuliwa sana viongozi wajifunze kujitahidi kutenda mema ili wasishuliwe

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před měsícem +1

    😂😂😂aisee nyieee

  • @samsungtz9148
    @samsungtz9148 Před měsícem +10

    Nyie msiwe mnadharau maono ya magu

    • @Shokolokobango9385
      @Shokolokobango9385 Před měsícem +2

      Magu aliwapiga down wakarudishwa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před měsícem

      Watoto wao hao, sasa ndo wameona hawawezi kazi. Magu alikuwa chuma

  • @malindaugama6559
    @malindaugama6559 Před měsícem +1

    mwambieni tajiri atengeneze hiyo TV au mpiga picha abadili angle...WASAFI NI DUDE KUBWA SANA HATUJAZOEA HAYO MAMBO

  • @bilalabas9636
    @bilalabas9636 Před měsícem

    Acheni undumilakuwili we kitenge huyo nape ni rafk ako na unajua kua anahamishiwa kwenye chama kwsbb ya kwenda kufanya manuva uchaguzi wa mwakani mtawaletea siasa za kitoto wasiojielewa

  • @Official83640
    @Official83640 Před měsícem +1

    Kchwa cha habari sasa😂😂😂😂

  • @elardmassawe5513
    @elardmassawe5513 Před měsícem +1

    Mbinguni mtapasikia tuuu😂😂😂

  • @MdugiVumbi
    @MdugiVumbi Před měsícem +2

    Ulikua utani tu.

  • @daudlongho8947
    @daudlongho8947 Před měsícem

    Kazi nizaman 2 Kila m2 hatujui kesho yetu

  • @mussahussein4619
    @mussahussein4619 Před měsícem +4

    Hawajamaa wanafki san

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +2

    Kwani hamwezi kuongea bila kupiga makelele? Mnatuumiza masikio
    Hivi nyie mmesoma kweli chuo cha habari?

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před měsícem

    Nape cheo cha uwaziri kilimpa kichwa na kuwaona watanzania wote washamba kama alivyomuona Hayati Magifuli. Mwemye tabia yake haachi. Rais Samia kumpa uwaziri watamzania wengi ilituuthi sana

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Před měsícem +1

    WANYONGE WANAO ZULUMIWA ARTHI WAMEKWISHA MTETEZI WAO SLAHA KESHA ONDOKA WATALIA WATANZANIA WALIO KUWA WANA PORA ARITHI WANAWATU WAO WAKO NA RAIS KARIBU KWAKWELI HAPO MKUWETU WA NCHI AGALIE RAIS ANAPO KOSEA HAKUNA MTU ANAE WEZA KUMTEGUWA RAIS SAMIA NA YEYE AFIKIRIE

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian1503 Před měsícem +6

    Chalamila mast go huyu Baba ni maji Kupwa na kujaa
    Kauli zake hazina jasho ya mkuu wa mkoa . He doesn’t know the difference between yes and No
    Sometimes anaongelesha watu kama vile anaongea na watoto wake
    Ulevi wa madaraka/ matumizi mabaya ya mamlaka.
    Sometimes the leaders keep wondering why people hate Government so much ?!
    This kind of leaders are the reason

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před měsícem +2

    Ila Kitenge bhna😅😅😅😅 eti Mbunge wa Mtama amekula Mtama

  • @user-vl6hd4lb6s
    @user-vl6hd4lb6s Před měsícem

    Duu maskin poleyak

  • @mwitamwikwabe6611
    @mwitamwikwabe6611 Před měsícem

    Kweli sipedi wadishi wa habri wa bongo wengi majawa

  • @isambongo935
    @isambongo935 Před měsícem

    duuuuh mnajua kunyambua za ndan

  • @user-ge7hz3xf7q
    @user-ge7hz3xf7q Před měsícem

    Alisema bahari ni swari sijuwi sasa bahari imekuwaje

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule Před měsícem +1

    Dah 😂

  • @robertmasatu8423
    @robertmasatu8423 Před měsícem

    Kamati kuu ya wanafiki Tanzania

  • @TinnhaAlly-en7kq
    @TinnhaAlly-en7kq Před měsícem

    Mbunge wa mtama amekula mtama nyie Tena 😂

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm Před měsícem +1

    Shida kubwa awa vijana wamejiona nchi niyao Mimi nakushukuru mku make nape kakichafua chama changu kwKauri zake zakijinga umeiba arafu unamuomba mungu akusaidie apana bwana

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Před měsícem +2

      Kakichafuaje chama wakati ndo staili yao ya maisha? Sema katoa siri za ndani, kathibitisha tuhuma zinazowakabili hivyo kawaumbua!

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

      ​@@festokemibala5832uko sahihi

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 Před měsícem +2

    Wanafiki wakubwa tu ninyi hamna lolote

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před měsícem +1

    Chief jiandae kuchukuwa jimbo la Bukoba mjini🎉🎉🎉 kwanza huyu Byabato alipitaga kwa wimbo wa Rose Muhando#Nibebee

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Před měsícem

    Ila nye watangazaji mna dharau saana

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Před měsícem

    Alichokikosea Nape ni kuongea ukweli wa yanayofanyikaga nyuma ya pazia

  • @mwitamwikwabe6611
    @mwitamwikwabe6611 Před měsícem +1

    Kama hapo mnapiga umbea siwaelewi kabisa

  • @RamadhaniSalum-y4e
    @RamadhaniSalum-y4e Před měsícem

    Ukiitazama kwamakini sana Ile video nape haikumponyoka nawala haikua utani alizamilia kualibu
    Alijua kitakacho tokea .A..B nyuma yake Kuna agenda gan iliyo mfanya kualibu kazi kilahisi?

  • @emanuelmkama1325
    @emanuelmkama1325 Před měsícem

    Bahari imekuw shari iyo kauli ilskika kutok mtama🤣🤣

  • @mvanoissa9197
    @mvanoissa9197 Před měsícem +1

    Wazee wa minyama wanafiki sana nyie

  • @mussahussein4619
    @mussahussein4619 Před měsícem +2

    Wamtama amekuala mtama😂😂😂 😂

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly Před měsícem

    Hivi WASAFI media mbona ina WACHAFU humo ndani? Hivi mnaongea nini? Mmesomea hiyo kazi au mmekusanywa tu machawa??
    Jifunzeni maadili ya utangazaji washamba nyinyi!!!😚

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba Před měsícem

    Heheheheeheheee

  • @AminiMoshi-cn9wi
    @AminiMoshi-cn9wi Před měsícem

    Woote ni walewale hamna jipya kúrap ngonjera tu

  • @RayMakini
    @RayMakini Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @michaeljames3480
    @michaeljames3480 Před měsícem

    😂

  • @EnockNkamatwa
    @EnockNkamatwa Před měsícem

    Amekula mtama

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA Před měsícem

    KALA MTAMA NA MBOGA GANI ?

  • @azizajamary576
    @azizajamary576 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂

  • @ShakyBye
    @ShakyBye Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-xv7mo8tw7c
    @user-xv7mo8tw7c Před měsícem +1

    Kakiiza chama uyo bora akae pemben atajfuza kpi cha kuongea

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Před měsícem

    hahaà

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba Před měsícem

    MBUNGE WA MTAMA AMEKULA MTAMA🤣🤣🤣🤣🤣🤣