WATU WAWILI WAFARIKI KWA AJALI YA GARI NJOMBE, DEREVA ALIKUWA KASI, ZAGONGANA USO KWA USO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 85

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 Před měsícem +8

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَPoleni sana madereva tujitahidi kumuomba mungu na kuzidisha umakini 😢😢

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Před měsícem +8

    Dah😭😭😭😭aisee yarabi mungu 2epushe na ajali mungu wangu!! Marehemu pumzka kwa Aman!!

  • @user-qi5cv5gz6l
    @user-qi5cv5gz6l Před měsícem +10

    Na ninyi police taarifa zote mnazo hapo kwann mnamshikilia mtu ambaye hana makosa,

    • @josephatmakaranga
      @josephatmakaranga Před měsícem

      Wakati mwingine muwe mnaacha upumbavu. Kwahiyo aachiwe tu kwa maelezo hayo ya mdomon.

    • @user-qi5cv5gz6l
      @user-qi5cv5gz6l Před měsícem

      @@josephatmakaranga we vipi mzee kiswahili unakielewa kweli, kuna kwenda kituoni kuandika taarifa na kuna kushikiliwa sijui unaelewa hizo tofauti, afuuu, we ndo police au

    • @user-zw9mi8fn3w
      @user-zw9mi8fn3w Před měsícem

      Kumshikilia ni hatua za kisheria tu maana watu kupoteaza maisha hata kama makosa ni yao sio kitu kidogo.

    • @josephatmakaranga
      @josephatmakaranga Před měsícem

      @@user-zw9mi8fn3w asante nadhan huyo mchangiaji wa hapo juu atakua ameelew, maana pamoja na kudhan anakielew Kiswahili lakin hakielew kwa upana wake na ktk miktadha tofaut tofaut.

    • @josephatmakaranga
      @josephatmakaranga Před měsícem

      @@user-qi5cv5gz6l lakini pia unapozungumzia polisi ufikirie pia na Sheria kwa sabab polisi hawafanyi hivyo tu kwa matakwa yao wenyew bali kwa misingi ya Sheria.

  • @Gaudensiamuganga
    @Gaudensiamuganga Před měsícem +1

    Uwiii 😭😭😭😭Pumziken kwa Amani, mdg wangu Emmanueli sasa nimeamini Umepatwa na kifo kibaya sanaa, Tutakukumbka kwa mengi Ulikuwa kijana mdg, nyenyekevu na mwenye kupenda ibadaa Mbele yetu nyuma yako 💔

  • @JailosLuhanga
    @JailosLuhanga Před měsícem +5

    Pole sana kwa familia iliyopoteza wapendwa wao.

  • @user-mu1uf2rl4x
    @user-mu1uf2rl4x Před měsícem +4

    😢MUNGU NIPE ULINZI WA HALI YA JUU AMEEN

  • @latwibujuma
    @latwibujuma Před měsícem +2

    Innalillah wainna ilayhi raj uun yaani kila siku ajali watu wanakufa kila siku tumuombe Allah atupee mwisho mwema daah abilia kumbe ni wambahala mwenzangu Mungu amsamehe madhambi yake makubwa na madogo 😭😭😭

  • @FatumahUbwa
    @FatumahUbwa Před měsícem +2

    😢😢duh mambo haya ewe ALLAH tuepushe na haya ndugu wa marehem poleni kwakweli

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina Před měsícem

    daah rest in peace

  • @TinaMzava
    @TinaMzava Před měsícem +3

    Mungu tupe mwisho mwema

  • @meshackwegga
    @meshackwegga Před měsícem +3

    daaah pole kwa ndugu waliopoteza wapendwa wao

  • @user-ke2he9ni3u
    @user-ke2he9ni3u Před měsícem +1

    Daah Bahalun Siamin Kuwa Umeenda Bro

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw Před měsícem +1

    Inalilah wainalilah rajuuni poleni sana family

  • @AliMohamed-bp5ji
    @AliMohamed-bp5ji Před měsícem

    Inshaallah, mwenye izmuungu awajaaliemakazi mema, huko aakhera, aaa min. Pole wafiwa.

  • @MsJuniormjunyhandsomeboy
    @MsJuniormjunyhandsomeboy Před měsícem +2

    ilnalilahi wania illaha rajuun😭😭

  • @SliviajohnsimbaMarium
    @SliviajohnsimbaMarium Před měsícem

    Poleni sana munqu azilaze roho za Mareham maala pema peponi.

  • @imrannuhu2784
    @imrannuhu2784 Před měsícem +1

    Pumzika kwa aman dam yangu mfanyakazi mwenzangu ulininunulia maji na ukanitania kumbe ulikua unaniaga rest IP power rasta

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 23 dny

    R.I.P poleni sana wafiwa

  • @ulimbagakapange8172
    @ulimbagakapange8172 Před měsícem +1

    Mwanangu Emma mtoto wa dadaangu kweli umetuumiza babaangu

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Před měsícem +4

    Duuh, ila walioshuhudia tukio wangehojiwa wangesema ukweli.

    • @selemansaid9295
      @selemansaid9295 Před měsícem +1

      Ukwel gan unaoutaka? Ushaambiwa chanzo ni wrong overtake na Bado ujaelewa

    • @user-xh3bp4il8j
      @user-xh3bp4il8j Před měsícem

      Yaani 😂😂😂 ​@@selemansaid9295

    • @tinachaka
      @tinachaka Před měsícem +1

      Kiswahili kigum kwake

  • @linusmulokozi9347
    @linusmulokozi9347 Před měsícem

    Pole sana

  • @MudathirJamal
    @MudathirJamal Před měsícem +1

    Watakufa sana madera wengi wamagari madogo wanatabia hizo saana kuovertake hata gari 3 na zaidi kinachowakuta mara nyingi nikifo wanachokisababisha wenyewe

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před měsícem +1

    dah pore sana tumepoteza nguvu kazi ya taifa 😢😢😢

  • @muzikimtamumtakatifu897
    @muzikimtamumtakatifu897 Před měsícem +1

    Dereva wa lori aachiliwe

  • @lymsannouncement2321
    @lymsannouncement2321 Před měsícem +1

    Jaman si tuendeshe TU pole pole jaman

  • @jkomedikaduli
    @jkomedikaduli Před měsícem +2

    Kiukweli inauma sana hata huku wamekufa wawli abilia na dreva

  • @mariam-pu4kg
    @mariam-pu4kg Před měsícem +1

    Yarabby, mola.wangu wantu wanakufa kila siku

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před měsícem +2

    mwenye gari ndo basi tena madereva wa IT nawajua vizuri kabeti kabetishwa

  • @TABIA-o4t
    @TABIA-o4t Před měsícem

    🎉

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před měsícem

    😪😪😪😪😪 mungu azilaze mahali pema peponi 🙏🙏🙏🙏

  • @LovenessAnthony-o2f
    @LovenessAnthony-o2f Před měsícem

    Jmn 😭😭😭

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Před měsícem

    Hapo wanging'ombe kuna shida

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 Před měsícem

    bado watu wanapanda gar za IT

  • @pendo8082
    @pendo8082 Před měsícem +1

    Sasa huyu wa gari ndogo kwann alikua Andover take😢

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před měsícem +3

    Sasa mnamshikilia na ushasema kaingiliwa jamani sasa angepaa ili amkwepe mzembe au hizi sheria nyingine bunge badilisheni sasa

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA Před měsícem

      Nafikiri wanamuhoji ili kuweka sawa namna na taratibu za kiusalama ila ataachiwa kama leseni anayo

    • @josephatmakaranga
      @josephatmakaranga Před měsícem

      Asante, ila kuna haja kubwa ya kusambazwa elimu kuhusu mambo ya usalama kwa wananchi maana naona wengi bado wana mitazamo hasi kwa polisi.

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před měsícem

    Duh R.I.P WAPENDWA WOTE.

  • @gililwise
    @gililwise Před měsícem

    😢 haya magari siyo imara kabisa board yake ni nyepesi

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před měsícem

    😭😭😭😭

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938 Před měsícem

    Dereva wa lori mnamshikilia kwa kosa gani? Polisi wa Tanzania bwanah!!

  • @CuteGee-ni7oz
    @CuteGee-ni7oz Před měsícem

    R.i.p kakaang baharunii💔😥😭😭

  • @danielandrew9892
    @danielandrew9892 Před měsícem

    Wa IT ni kawaida yao

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před měsícem

    poleni sana familiy mungu awatie nguvu

  • @user-cn8ol6ro5z
    @user-cn8ol6ro5z Před měsícem

    Honda shato

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Před měsícem

    Nchi ngumu sana hii,yani kamanda mkubwa kama huyu anaongea hadharani kuwa,dereva wa lory tunamshikilia. Hivi kweli kuna haja ya kumshikulia na kuiendelea kumpotezea mtu muda,badala ya kumsaidia aendelee na shughuli zake mnamkwamisha tena.

  • @magesakhamis4808
    @magesakhamis4808 Před měsícem

    .wenye gari (IT) bafo anasubiri gari yake😢

  • @AliMohamed-bp5ji
    @AliMohamed-bp5ji Před měsícem

    Kutoka Kenya, 001. Huyu dereva, wahileo semitrela chonde chonde muoneni huruma, mumuachie.

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi Před měsícem

    Poleni waloli hunamatatizo niuzembe wagari ndogo

  • @franciseliya3876
    @franciseliya3876 Před měsícem

    Sasa mnamshikilia yy hana makosa ni gafra tuu

  • @samwelmwinyi1893
    @samwelmwinyi1893 Před měsícem

    Polen sana Ndg. Jamaa wa waliopoteza maisha! Maomb yangu haya!
    BWANA NAOMBA NIFUNGULIE FAHAM ZANGU ILI NIWEZE KUHESABU SIKU ZANGU NILALAPO NILALE KWA MATUMAINI, UJAPO KABLA SIKU ZANGU HAZIJAFIKA NAOMBA NIWE MIONGONI MWAO WATAKAO KURAKI KULE MBINGUNI😢😢😢

  • @faa9842
    @faa9842 Před měsícem

    Hii gari kama imesagwa na blenda

  • @LeonardKasanjala
    @LeonardKasanjala Před měsícem

    Duuh

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před měsícem

    Rlp

  • @Yeshuahamashia12345
    @Yeshuahamashia12345 Před měsícem

    Njoo ujionee Maajabu hawa wachungaji wa siku hizi 😂😂😂
    czcams.com/users/livep4L6_JwQmxQ?si=yMiR502CnEk__7oE

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Před měsícem

    Madereva wa IT wameanza tena kujisahau wanaleta tabia za boda boda ku-overtake kushoto. Polisi ongezeni udhiti wa hao jamaa msiwasahau madereva wa bajaji pia wapo wahuni wengi japo si wote lakini ni jambo linajulikana wazi

  • @ericraphael9653
    @ericraphael9653 Před měsícem +2

    Unajuwa siku zote aliyekufa ana aki uyu mwenye Loli akuaendesha udeleva wa kujiami angeweza kuhepusha ajali na yeye arikuwa na mwendo kasi

    • @user-qi5cv5gz6l
      @user-qi5cv5gz6l Před měsícem +1

      Better ukanyamaza,

    • @selemansaid9295
      @selemansaid9295 Před měsícem

      Angejiami kwa kuingia kwenye nyumba za watu akauwe wasio na hatia? Lori itawezaje kukimbia kuwa na speed ikiwa inapanda mlima ikiwa na mzigo? Akili kichwan mtu Wang

    • @erickmloge1052
      @erickmloge1052 Před měsícem +1

      Gari ndogo alikuwa na makosa hatukatai ila dereva wa Lorry angetoa kushoto(nnje ya mstari wa njano) kumsaidia amalize overtaking yake kuepusha vifo maana hiyo barabara ni pana tunaijua zinapita gari nne bila kugusana​ @selemansaid9295

    • @staritsolutioncenter7100
      @staritsolutioncenter7100 Před měsícem

      Unaweza ukatoa kushoto na ukafuatwa tena

    • @davidrweyemamu938
      @davidrweyemamu938 Před měsícem

      ​@@erickmloge1052Kama nawewe ni dereva napendekeza unyang'anywe leseni ya udereva mara moja!