LEMA AMVAA MAKONDA MKUTANONI, ATANGAZA KUTOKUOGOPA TENA "ANASUMBUA WATU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 231

  • @elviswebbo1164
    @elviswebbo1164 Před měsícem +28

    Bahati mbaya umekuwa mbunge wetu Kwa miaka 10 lakini hakuna Cha maana ulichofanya mzee Lema....hawa wanasiasa ifike mahali mjue tunajua mnawatafutia watoto wenu chakula.

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před měsícem +5

      Wewe jitambue at kifanyaa nn wakati yeye akiomba bajetii kwa ccm awa toi ela Kila ukiomba Wana toa haadii Sasa ata uwe mbunge Ina saidia nn sio lawama zakee izooo vip uliona mpina walicho mfanyia au uwangaaliii

    • @user-le1gv4wb1n
      @user-le1gv4wb1n Před měsícem +3

      amnaa kitu hapaa huyuu ni siasaa za njaaa tu

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf Před měsícem

      Mujinga ni Gabo hakuna mbunge yure, rema piga misumari

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 Před měsícem

      Akili yako imeganda yy ilikua kusimamia serikali itoe hela ambayo ni mapato ya kodi za wananchi yafanye utekelezaji wa miundombinu na serikali haitaki inapeleka kwenye misafara ya kichama na kiserikali iliyopo madarakani , mwananchiii amka utajikojoleaaa🎉

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 Před měsícem

      Kumbe basi bora apewe mbunge wa ccm ambaye atasikilizwa kwa maneno yako uliyoandika​@@RomanMwinyi

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Před měsícem +12

    Anasema kwamba et vijana wanakuwa wezi kutokana na maisha magumu kwani marekani wezi hawapo na marekani ni nchi tajiri?? Tabia ya wizi ni moyo wa mtu sio umaskini.

  • @user-ev5xw1ev6f
    @user-ev5xw1ev6f Před měsícem +12

    Rema hapo kwa makonda mtakaa chini tu kushindana na makonda ni sawa na kujilisha upepo hamumuwezi ni mtu mwenye kipaji na karama ya ajabu kutoka kwa MUNGU❤❤❤❤ makonda

    • @irenemollel4363
      @irenemollel4363 Před měsícem

      Makonda ana karama gani😂 mpuuzi sana wewe. Akili huna wewe

  • @Lushinge27
    @Lushinge27 Před měsícem +17

    Maneno mengi hamna hata Cha maana ww si ulikuwa mbunge hapo Arusha ?, umefanya nini Cha maana Cha kutushawishi

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před měsícem +1

      @@Lushinge27 chamaana kamuulize mamako

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf Před měsícem

      Kamuurize mtoto wako mubwa wewe

    • @Kalunirashidi
      @Kalunirashidi Před měsícem

      uyujama anawasaidi sana wakinamama mtaji wabisha

  • @frankndendu2570
    @frankndendu2570 Před měsícem +18

    Pigeni porojo mtuachie Makonda wetu

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga4348 Před měsícem +10

    Wewe muongo na ni mnafiki mvunjifu wa amani kazi zipo watu asie na kaz mvivu wewe unahamasisha vijana wasifanye kaz

  • @JacksonTemba
    @JacksonTemba Před měsícem +10

    Makonda mtu na nusu ❤❤

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 Před měsícem +1

      Huo umtu unaouona wew ni kwa sababu ya umaskini anaousema Lema , unayaona mamb kwa udogo kwa sababu unaangalia kushiba tuu

    • @JacksonTemba
      @JacksonTemba Před měsícem +1

      @@ayoubsanga315 unataka nani akuletee utajiri baba, piga kazi kama unaona boda sio kazi ni umasikini, jikwamue huko ufanye kazi zingine, hata kufuga, kulima pia ni kazi mkuuu

    • @JacksonTemba
      @JacksonTemba Před měsícem

      @@ayoubsanga315 jitahidi sana mtu asikufunze kuzarau kazi yako mwamba,

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před měsícem

      @@JacksonTemba mtu na nusu nyumbani kwenu

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz Před měsícem +10

    Huyuu anaongeaga tu halete tufanyeje? Anaangalia makosa tu! Nilionaga anaongea point kumbe ni ufala tu,nchi hii upinzani mtaisikia tu nchi.

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 Před měsícem

      Akili yako imeganda na aliyegandisha ni umaskini anaouongelea Lema ndo maana mtazamo wako umekua mdogo

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Před měsícem

      @@ayoubsanga315 wee unauonaje mtizamo Wang? Wakati mwisho wa mawazo yako ni ilipoishia chupi yako.

    • @jerominalfonce
      @jerominalfonce Před měsícem

      ​@@Sisopotashiumz umasikin huo ulio nao mpaka unatukana

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 Před měsícem +9

    We pumbavu sana achana na Makonda WETU pumbavu

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před měsícem +9

    Sasa ww ulifanya nini wakati ukiwa mbunge mbona muongo sana ww

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Před měsícem +11

    Yan hili lijamaaa kila cku sera yake n boda boda😂😂

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Před měsícem

      @@Ibrahim-ne3in lema mahubiri yake ni usenge tu haji na chakufanya anakuja na malalamiko tu?

    • @mlayson5281
      @mlayson5281 Před měsícem

      @@Sisopotashiumz -wanakufa sana hawa boda tunapoteza nguvu kazi ya kesho-nyie hamjui mnafurahia watu kufa wanaacha familia zinateseka..why serikali isitafute vuwanda vya kutosha waka ajiri vijana wetu -acha ung* wewe.

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Před měsícem

      Unaonekana ww hicho kichwa ni cha kukausha na mafuta ya moto saana,alikuja magufuli kaanza kutafuta umeme wa kutosha kufungua viwanda wakaponda sasa unaweza kuwa ma viwanda bila umeme???? Acha ulimbukeni wa kisikiliza na kubeba kila unachoambiwa mbwa wee

    • @Ibrahim-ne3in
      @Ibrahim-ne3in Před měsícem

      @@Sisopotashiumz panya kweli wewe

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Před měsícem

      @@Ibrahim-ne3in njoo na sera alf niambie umepata nini au kimefanywa kipi na wabunge wa upinzani,alf nipe maana ya kua mbunge?? Malaya mjane ww

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před měsícem +6

    Sasa ww umefanya nini hebu sema na ww ulisho kifanya wakati mbunge mbona unaongea pumba

  • @amonalexander1513
    @amonalexander1513 Před měsícem +8

    Wape suluhu Cha kufanya sio kupiga porojo zako,watu wanataka suluhisho sio kulalamika kiongozi gan wewe?

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Před měsícem

      Hujamsikia akisema tuondoe umaskini au unataka aseme nini

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Před měsícem

      ​@@Kwelihukuwekahuru mavi yakuondoa umasikini.anayo?

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Před měsícem

      ​@@Kwelihukuwekahuru eti kuondoa umasikini.nitajie nchi moja duniani watuwake wanasema wao matajili kwasababu ya mtawala alie madarakani.

  • @macksonimwandemele42
    @macksonimwandemele42 Před měsícem +8

    wakati wako ulisha pita waachie na wenzako

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před měsícem

      Co wakati wao ume pita ayo wanaongea Kwa Wana mnchiinmaisha magu eti au we ume pewa kiajila una pagawa

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před měsícem

      Machoko ya ccm

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 Před měsícem +7

    Lema hakikisha unasoma hizi comment za wenye nchi

  • @fidahusseinkassim9778
    @fidahusseinkassim9778 Před měsícem +6

    Lema magufuli huyo kimbia

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 Před měsícem +6

    Ni nchi gani ambayo haina maskini Duniani? Hata marekani kwenyewe kuna maskini tena umaskini uliokithiri, wanaitwa homeless, wanalala mabarabarani tu.

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 Před měsícem +1

      Hakika kabisa tatizo wanasiasa wanatuona wananchi wote ni wajinga pumbavu sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před měsícem +2

    Hahahaha kimeo kingine hiki zile zama za kuleta taharuki zimeisha, ulikuwa Mbunge hapo nini umefanya Zaid ya mapishano na marumbano, Lema kaaa kimyaaa tena utulie, hivi familia imerudi tokea Canada?

  • @user-qi7px6nb8r
    @user-qi7px6nb8r Před měsícem +5

    Uhuni mwingi sana.

  • @yusuphalinani5432
    @yusuphalinani5432 Před měsícem +3

    Mutuache na makonda wetu

  • @venaritovenance9468
    @venaritovenance9468 Před měsícem +3

    Uyu ana jipya anaongea utumbo ,tafuta sere zingine

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před měsícem +1

    Huna hoja wewe shoga, Mama Samia ndio chaguo letu wa Tz 2025 - 2530 pamoja na viongozi wasaidizi wake wenye kututatulia matatizo yetu kwa vitendo sio porojo. Umaskini ni wakujitakiamwenyewe kwa kutojiengeza. Arzi kupwa tonayo serikali haiwezi kuajiri raia wote milioni (67) serikali imewapa wakulima mbolea bure kwanini wasiende kulima na kuwapandishia bei mazao yao ?...

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před měsícem +1

    Kweli kabisa mheshimiwa lema sukar imepanda sh 4000 kilo moja, afu pombe Lita sh, 1000 Bora ninywe pombe

  • @yohanajackson4160
    @yohanajackson4160 Před měsícem +9

    Lema 😂😂😂 comedian

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 Před měsícem +2

    TUNAMSHUKURU RAIS SAMIA , SHULE KILA KATA, HOSPITALI KILA KATA, MAJI YAPO YAKUTISHA, BARABARA ZIMEBORESHWA, AJIRA ZINATOLEWA KILA SIKU, DARAJA LA KIGONGO BUSISI LIMEKAMILIKA, SGR INAFANYA KAZI BWAWA LA UMEME LIMEKAMILIKA NK, NK

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před měsícem +2

    Ww lema nchi gani haina wizi mbona unapotosha watu walio kuwa hawajawahi kusafiri nje ya nchi wakajionea wizi huku wanapiga bunduki ijekua huko wacha kupotosha watu ww wacha upuuzi huo

  • @perpetuamlula8567
    @perpetuamlula8567 Před měsícem +1

    LEMA IMEKUWA MBUNGE ARUSHA UMEFANYA NINI ACHENI MAKELELE MAKONDA YUPO POA SANA IMEKULA KWENU

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před měsícem +2

    Ww lema usidanganye watu sisi tupo nchi za watu huku ndio hayo hayo tu wacha uwongo

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 Před měsícem

      Liongo sana hili jamaa wanasiasa wanatuona watu wote wajinga maskini wapo kila nchi hata marekani wanalala nje homeless

  • @SimuliziDhahiri
    @SimuliziDhahiri Před měsícem

    Kwa mara ya kwanza millard kuposti upinzani😂😂😂😂

  • @user-hh4us7kb5q
    @user-hh4us7kb5q Před měsícem

    tnataka makonda awe rais, ukitaka kujua tnampenda Makonda, gombea naye uone moto

  • @BarakaKihongosi
    @BarakaKihongosi Před měsícem +1

    Huyu atakuwa alilewa maana ameongea utumbo

  • @balljmushi9599
    @balljmushi9599 Před měsícem +3

    Huna loloteee,,,wanaojiuza wapo dunia nzimaaa

  • @elimishanyamoga6797
    @elimishanyamoga6797 Před měsícem

    Una akili sana MUNGU akuweke achana na hao mashoga

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga Před měsícem

    Lema ,Lema,lema ulitawala miaka 10 ulifanya nini,Mimi ni Chadema Lakin mnazingua,Mnaongea mengi Lakin hamtoi ufumbuzi,Shenzi na Nusu

  • @user-qi7px6nb8r
    @user-qi7px6nb8r Před měsícem +11

    Lema hakuna kitu.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před měsícem +1

      @@user-qi7px6nb8r kitu anacho mamako

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Před měsícem

      @@emmapaul1766 hata mama hakosi ukikiona kwa wazazi wawenzako.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před měsícem

      @@Sisopotashiumz kitu anacho mamako choko la Samia wewe

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Před měsícem

      @@emmapaul1766 umehamia kwa samia sababu ww ndio unamshukuru samia badala ya mungu,choko ni yule baba ako ambae kashindwa kumtomba mama ako kama zamani

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před měsícem

      @@Sisopotashiumz choko wewe utandelea kuliwa huko ccm huku ukihongwa buku kwaajiri ya bando wakati wenzio wanakula matrillion ya Dpworld jinga wewe

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 Před měsícem

    Watanzania wengi walinyimwa elimu ya uzalendo ,wengi awaelew maskin awajui wajibu wa selikali

  • @AdamuJuma-tp1xr
    @AdamuJuma-tp1xr Před měsícem +3

    Yani wewe huna jipiy mropokajitu

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u Před měsícem +1

    Watu sasa hivi hawa angalii unatoka chama gani wana angalia jnafanya nn magufuli amebadilisha fikra za watu wengi

  • @habaccucisrael5328
    @habaccucisrael5328 Před měsícem +1

    Viwanda 🏭 kwa vijana 2025-2050

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Před měsícem

    Lema ndio Rais wa Arusha

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před měsícem +1

    Wakati ww ni mbunge arusha hakukua na bodaboda

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 Před měsícem +1

    Lema umepoteza radha umepwaya

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b Před měsícem +2

    Wewe ulitaka wafanye nini

  • @jacksonsulle6673
    @jacksonsulle6673 Před měsícem +1

    Unampigania nani Lema ,acha hizo blablaa.

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 Před měsícem

    Makonda kaja mda mfupi kwetu kafanya Mambo makubwa arusha wewe ulipo kuwa mbunge ulifanya nn huna jipya kwa makonda.

  • @hansbukuku762
    @hansbukuku762 Před měsícem

    Wajumbe ni noma sana aiseee, yaani wale wanaojaa kwenye mikutano ya Mkuu wa Mkoa na wanashangilia kwa kusema “SEMA BABA” na ndo hawa hawa wanaoitikia “PEOPLE’s, POWEEER.”
    Ukiwategemea wajumbe kuanzisha “VAGI” haki ya mama ndo utayastaajabu ya walimwengu utakapojikuta uko pekee yako eneo la tukio 😄😄😄

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 Před měsícem

      Umeona eeee 😅😅😅😅😅 yaani akili mkichwa

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před měsícem

    Kenya imemshinda Ruto wewe Tz utaiweza.,...kwetu smani ni bora kuliko ajira....chakula tumezoea kutafuta wenyewe

  • @BennihinnyHerman
    @BennihinnyHerman Před měsícem

    Jamaaa umechelewa sana, tatizo wakati umepita na ushawishi umepotea!!!! Wanasema kila jambo na wakati wake kama mlitumia wakati wenu kujitaftia basi kwa sasa ni Makonda time.

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 Před měsícem +1

    9:

  • @HarunaDanielmbanzeofficial
    @HarunaDanielmbanzeofficial Před měsícem

    Wew kama unasoma sms hii acha kusema mambo ya utoto kama hayo njaa nikwamtu na iko kila mahari duniani vitu vilipanda bei kote so acha kujichosha tafuta kura kwanjia nyingine mi nakuona uko nanjaa sasa ukipewa chakwanza sikujijenga nawako acha hio siansa niya kitoto

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Před měsícem

    Ww acha uongo kwan ww ukiwa rais utawapa ajila ote ulipokwa mbunge nn ulifanya ???

  • @mwasavevo
    @mwasavevo Před měsícem

    UTATUMIA NJIA GANI KUWAPA WATU AJIRA

  • @hawakassimu6120
    @hawakassimu6120 Před měsícem

    Hamna sera kwani wanao uza michicha hawana miili ya kuuza ?"eti boda boda wanaua watu watu wanakufa kwa ahadi ya Mungu ama kweli mmekosa sera
    Wamekosa ajira kuendesha boda boda ulitaka wakaibe ?ulitaka waje kuomba kwako ?

  • @geey7893
    @geey7893 Před měsícem

    Humjui mtu unayemuita Boya wewe😂😂umeyanyaga. Makonda ni chizi kuliko wewe, utajamba Moshi kumaninaa...unafkiri Mchaga mwenzio Yule😂

  • @eliudramale5075
    @eliudramale5075 Před měsícem

    Arusha kaisaidia nn huyu falaa amwachee mtetes wetu makonda kaishiwa sera boyaa huyooo

  • @boboonesmo5431
    @boboonesmo5431 Před měsícem

    Umeferi kk 😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    HUYU JAMAA NIMEMSIKILIZA VIZURI SANA KAONGEA VITU VYOTE PAFECT UBALIKIWE KIONGOZI KWA MANENO MAZURI ❤❤❤❤❤😢😢😢😢

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi Před měsícem

    kweli mmekwisha akuna jipya

  • @MarioNdanzi-kp9hp
    @MarioNdanzi-kp9hp Před měsícem +2

    Uhuni mtupu

  • @AzizMangara
    @AzizMangara Před měsícem

    Kwani Lema nchi Ya chadema au ya Ccm?! Nchi hii ni ya wananchi wa Tz, mkiona wananchi ndo tunaochagua, mnavyo sema wananchi wanawaangusha, si muache siasa na kung'ang'ania madaraka kama mbowe, kwani kunautamu gani wa kuwa madarakani !! Make mnataka kwa udi na uvumba. Akuna mjinga, binadamu wote atujakamilika ila tunaangalia mwenye Afazali, ndo tumeona CCM Wananafuu kuliko nyinyi😂😂🎺🎤

  • @user-mn2et2pf6z
    @user-mn2et2pf6z Před měsícem +1

    Kuhusu swala la mlo ukiona nigarama nenda shambani ukalime ili uondokane na garama za kupima robo ya Michele.

  • @user-kd3mk4to2h
    @user-kd3mk4to2h Před měsícem

    Kiukweli nchi hii inatakiwa watu shupavu ilintupate mabadiliko ya kweli. Tuwaombee Mungu sanasana

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Před měsícem

    Rema kweli Ccm wanazngua ila makonda usimguse utatoka maana

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 Před měsícem

    Ila lema Mtata sana Aisee

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Před měsícem

    Lema na mwenzako Gambo wote hamtakiwi tena ubunge Arusha mjini nendeni mkagombee mlipotoka maana nikama mnabeba watu ufala, hamna uchungu wowote na jimbo na mkoa kwa ujumla. Unamuwaza Makonda maana unajua anapata ushawishi kwa wananchi wengi maana ni mtu mwenye msaada kwa wengi.

  • @magdalenampanda1426
    @magdalenampanda1426 Před měsícem

    Acha mambo muda wote mkoa una watu wenye roho mbaya ulikuwa unaangalia tu, . Sema ukweli acha siasa Maya. Mmeshindwaaaaa

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 Před měsícem +1

    9

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Před měsícem

    Chefuuu

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před měsícem

    Toa kelele hapa tunajua wewe mwenyewe unatafuta ugali kupitia matatizo ya watu kwa ahadi za uwongo kuwa utayatatua

  • @selemanisalum7283
    @selemanisalum7283 Před měsícem

    Hapo kwa wanao jiuza mh umebugi ni tamaa zao Tu wala siyo kwa sababu ya maisha magumu

  • @jackxonmollel7984
    @jackxonmollel7984 Před měsícem

    Mpeni lema arudi aliko toka amwache makonda wa mungu

  • @hawakassimu6120
    @hawakassimu6120 Před měsícem

    Eti nawapiganieni mnanikatisha tamaa nooo thank u unapigania tumbo lako na watoto wako posho yako ya ukimbizi unayopewa huko canada unakula na mtu?si unakula na familia yako na watu wako wa karibu makonda kawashika pabaya

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 Před měsícem

    Leo ndio nimegundua kumbe Lema nae yupo kwenye kundi la waduduu

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla Před měsícem

    Milard ayo huyu fala msomee coment zetu maana akili yake imefyatuka

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b Před měsícem +2

    Faraa moja huyu

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před měsícem

      @@user-fl3fb5gh6b kafilwe na bashite choko wewe

  • @eliezamashimba4062
    @eliezamashimba4062 Před měsícem

    Kwa keel siasa ya tz bhana
    Huyu mwamba si alisha wahi kuwa mbuge huko je wananchi aliwapea nn hebu waache watu na ubinifu wao wafanye kazi basi mbona huhu jamaa mtukutu sasa

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Před měsícem +1

    Kwa hyo tufanyeje brother

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před měsícem +1

      We ujui chakufanya nenda shule ujitambuee

    • @stevenjackson4985
      @stevenjackson4985 Před měsícem

      Ndiyo mnavyowajibu wananchi ​@@RomanMwinyi

  • @SamsonJohn-mo7en
    @SamsonJohn-mo7en Před měsícem +1

    Kelele zenu,pingu zeni munkali

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi Před měsícem

    Kweli mnakosa lakuonge amna oja zamsingi kwann ata izonchizawazungu kama ufanyi kazi uli

  • @user-wy4fv9vd7w
    @user-wy4fv9vd7w Před měsícem

    achana na makonda boya wewe huna sera kalime kahawa

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 Před měsícem

    Wewe ten years yako ulifanya Nini pumbavu wewe

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk Před měsícem

    Wewe utawapa hizo ajira? Acha kudanganya watu wewe

  • @jomba6514
    @jomba6514 Před měsícem

    Acha kutupigia kelele na chama chenu cha upatu.Muulize mwenye kiti wenu lini atapisha na wengine ukipata ilo jibu endelea kupiga kelele

  • @patricknewguy8189
    @patricknewguy8189 Před měsícem

    Hivi huyu yupogo

  • @yorandayorandan4018
    @yorandayorandan4018 Před měsícem

    Makonda ni jembe mwacheni tu huyu baba

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před měsícem

    Sasa lema sera ya chadema? Ebu tuambieni utafanya nn mbona naona una lalamika sana. 😢

  • @ElishaKasambo-yu5jt
    @ElishaKasambo-yu5jt Před měsícem

    Makonda ana karama

  • @Mwigaa95
    @Mwigaa95 Před měsícem +1

    Lema ni mfanyabiashara na mwanasiasa Kwaiyo huwezi elewa labda uwe na D5 kwenye kichwa chako 🙆🏽😀😀😀 hana mchango wowote ule zaidi ya kupandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao iliyopo madarakani mwao

  • @gracemwakibolwa7910
    @gracemwakibolwa7910 Před měsícem

    Lema soma huku kwanza ndio utajua watu wanakuonaje.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před měsícem

    Lema usome na comment za watu

  • @user-ei6mm3go8w
    @user-ei6mm3go8w Před měsícem

    iiiiiiiiiii MAKONDA MWACHE KAMA ALIVYO TENA UKOME

  • @AgnessNesphory
    @AgnessNesphory Před měsícem

    Kwaiyo bodaboda siyo kazi kila nchi duniai kuna bodaboda mamantilie kila seem wapo akuna nchi dunian akuna masikini wala watu wa hali ya chini ujatembea dunian kumbe 😂😂

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před měsícem

    Muongo mkubwa hayo ndo maisha fatani mkubwa huyo

  • @ShafiiSoud
    @ShafiiSoud Před měsícem +1

    nilichogundua ukiitetea CCM kuna watu watakupinga, na ukiitetea Chadema pia utapingwa
    saf sanaa....tuendelee kula mtori nyama ipo chini😅😅

  • @jomba6514
    @jomba6514 Před měsícem

    Lema acha wivu wewe uliisha kua mbunge apo ulifanya nini?muache makonda ahudumie watanzaniana.na ujifunze kusifia pia sio kulia lia tu

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u Před měsícem

    Binafsi sipendi ccm sijawahi kuipenda lakini namkubali makonda kwa kile ninacho kiona siwezi kukizungumzia nisicho kiona lakini huyu leme ni zaidi ya mbwa mnafki kumatu huyu alipata nafasi hata kama nindogo lakini alikuwa ana nafasi yakuonyesha mfano lakini huyu nimbwa

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 Před měsícem

    Huyu jamaa ni fala sana..ila kwa ishara ya hawa watu wanaomsikiliza huyu pumba..tunasafari ndefu sana ya kuipata kizazi chenye akili..kawa mbunge kwa miaka 15,amefanya nini zaidi ya kuwapitìsha barabara hao wavuta bangi wenzeka alafu wanakufa na kuwa welemavu na kisha kuwaacha solemba

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před měsícem

    Badilisheni pointi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před měsícem

    Huna point ya kuongelea, tafuta kazi ya kufanya jimbo la Arusha sahau

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro Před měsícem

    Huyo Lema anacho sema ni pumba tupu