Acha wenge kijana zungumzia matatizo ya watanzania kama hali ngumu ya maisha , tozo , makato, kikokotoo kwa wastaafu, tatizo Sugu la ajira hususan kwa vijana, Ubadhirifu wa Mali ya umma kulingana na ripoti ya CAG, matatizo ya wafanyabiashara na ufugaji , deni kubwa la Taifa, utekaji, UHITAJI wa katiba na tume huru ya uchaguzi, sakata la sukari kulingana na hoja ya mh LUHAGA JOHNSON MPINA, n.k! Sasa hapo mh Mbowe na CHADEMA wanahusika vipi ? Acha kuzingua wewe kwanza bila CHADEMA ni nani angekujua wewe? Usifikiri Kila mtu ni boya wewe!
sasa kule kuna njia ipi ya uchumi mpaka kuwe na rushwa wanaokusikiliza nao wana kasoro hizo ripoti za CAG chadema wako safi sijui nao wanamwogopa mbowe
Halafu eti tuifananishe tz na kenya. Halafu eti uniite mimi kwenye maandamano na njieke mbele. Hawa si ndio walio wakituhamasisha tuingie bara barani subutu mungu anilinde na kushabikia siasa haswa hii siasa ya wachumia tbo
Hata Lowasa, membe, Sumaye, Nyarandu nao walikuwa makapi ya CCM baada ya kuchujwa urais lakini walipokelewa kwa mbwembe kama wafalme chadema na ACT wakapewa kugombea urais na wengine vyeo ndani ya upinzani. Mambo ya huko yakawashinda wote wakaamua kurudi nyumbani CCM.
Hongera huku ndiyo nyubani
Hongera dada kwa kujitambua
Acha wenge kijana zungumzia matatizo ya watanzania kama hali ngumu ya maisha , tozo , makato, kikokotoo kwa wastaafu, tatizo Sugu la ajira hususan kwa vijana, Ubadhirifu wa Mali ya umma kulingana na ripoti ya CAG, matatizo ya wafanyabiashara na ufugaji , deni kubwa la Taifa, utekaji, UHITAJI wa katiba na tume huru ya uchaguzi, sakata la sukari kulingana na hoja ya mh LUHAGA JOHNSON MPINA, n.k! Sasa hapo mh Mbowe na CHADEMA wanahusika vipi ? Acha kuzingua wewe kwanza bila CHADEMA ni nani angekujua wewe? Usifikiri Kila mtu ni boya wewe!
Dunia haifai usiamini mtu mwenye tamaa na msaliti asee dhambi hizii zitauaa watu
Why always Chadema? Is only opposition party is strong in country right now. Remember who shaped you all remember where you all come from. Yetu macho
Ungefanya siasa nchi km kenya wala usingapata wa kukupandisha jukwaan
Kama huko umefuata rushwa kule ulikosa rushwa njaa imeamia kichwani Sasa pole sana
sasa kule kuna njia ipi ya uchumi mpaka kuwe na rushwa wanaokusikiliza nao wana kasoro hizo ripoti za CAG chadema wako safi sijui nao wanamwogopa mbowe
Halafu eti tuifananishe tz na kenya.
Halafu eti uniite mimi kwenye maandamano na njieke mbele.
Hawa si ndio walio wakituhamasisha tuingie bara barani subutu mungu anilinde na kushabikia siasa haswa hii siasa ya wachumia tbo
Nakuonea huruma dada yaan unaongea bila aibu pole
Bado una kalafudh ka kichadema chdema dada, kakipungua hako itakua gud.
Wewe nimehu.
Mbuzi hiz zina tamaa sana
Watafuta nafasi ya uongozi upuuzi mtupu
Ungeongea hayo kenya ungefanywa hamna
We mnafiki sana
Wanaohama vyama tujifunze kwa Hayati Edward Lowasa kuzungumzia mambo ya tulikotoka yanadhihirisha kuwa tumeondoka wakati bado tunapenda!
Upendo acha kupambana na chadema kuwa na busara kama za halima mdee Bulaya ,matiko yatakushida tu
Chama cha CCM mmeshindwa kuelezea majukumu ya Wananchi badala yake mnahangaika na Chadema kisichokuwa na Dola!
Chakula cha mtu hapo
Mm bad nazidi kusema chadema haitashika dola abadani
Ananukaga mdomo hapigagi mswaki mafisiyemu hayasikii harufu maana yamekununua
Kagame in action
Hauna cha kusema ww
Njaa inakusumbua wewe
Chadema wamekwisha wagunge vilago vyao
Najua hilo la ubadhikifu na democrasia haipo ni sakosi ya mbowe
Ulaaniwe,Mnafiki mkubwa
Kweli malaya hana aibu leo unamsema Mbowe baba yako aliyekutoa shimoni huna akili ndo maana huna mme
Utopian politics
Hawa wapumbavu sana akili ndogo
Nondo
Siasa za kukashifiana haziokoi BANDARI ZA TANGANYIKA bali KATIBA MPYA
LOWASSA alivyohama hakusema kitu dhidi ya CCM na hata alivyorudi CCM alisema nimerudi nyumbani.
Why ninyi mnakuwa wajinga wajinga kiasi hiki?
Yani anavyojikakamua aibu tupu
Kwenda huko wewe
Rubbish
Yani makapi ya Chadema ndio mastaa ndani ya ccm
Hata Lowasa, membe, Sumaye, Nyarandu nao walikuwa makapi ya CCM baada ya kuchujwa urais lakini walipokelewa kwa mbwembe kama wafalme chadema na ACT wakapewa kugombea urais na wengine vyeo ndani ya upinzani.
Mambo ya huko yakawashinda wote wakaamua kurudi nyumbani CCM.