UPENDO PENEZA - ' CHADEMA IMEJAA RUSHWA /MBOWE ANA WAHADAA WANANCHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 40

  • @YohanacornellyEmmanuel

    Hongera huku ndiyo nyubani

  • @TeddyJames-l3o
    @TeddyJames-l3o Před měsícem

    Hongera dada kwa kujitambua

  • @BenardLucumay
    @BenardLucumay Před měsícem +2

    Acha wenge kijana zungumzia matatizo ya watanzania kama hali ngumu ya maisha , tozo , makato, kikokotoo kwa wastaafu, tatizo Sugu la ajira hususan kwa vijana, Ubadhirifu wa Mali ya umma kulingana na ripoti ya CAG, matatizo ya wafanyabiashara na ufugaji , deni kubwa la Taifa, utekaji, UHITAJI wa katiba na tume huru ya uchaguzi, sakata la sukari kulingana na hoja ya mh LUHAGA JOHNSON MPINA, n.k! Sasa hapo mh Mbowe na CHADEMA wanahusika vipi ? Acha kuzingua wewe kwanza bila CHADEMA ni nani angekujua wewe? Usifikiri Kila mtu ni boya wewe!

  • @BakariHamisi-y5m
    @BakariHamisi-y5m Před 24 dny

    Dunia haifai usiamini mtu mwenye tamaa na msaliti asee dhambi hizii zitauaa watu

  • @eliphasmlengu6331
    @eliphasmlengu6331 Před měsícem +1

    Why always Chadema? Is only opposition party is strong in country right now. Remember who shaped you all remember where you all come from. Yetu macho

  • @Gahii-s5q
    @Gahii-s5q Před měsícem +1

    Ungefanya siasa nchi km kenya wala usingapata wa kukupandisha jukwaan

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv Před měsícem

    Kama huko umefuata rushwa kule ulikosa rushwa njaa imeamia kichwani Sasa pole sana

  • @kirungekirunge5920
    @kirungekirunge5920 Před měsícem

    sasa kule kuna njia ipi ya uchumi mpaka kuwe na rushwa wanaokusikiliza nao wana kasoro hizo ripoti za CAG chadema wako safi sijui nao wanamwogopa mbowe

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 Před měsícem

    Halafu eti tuifananishe tz na kenya.
    Halafu eti uniite mimi kwenye maandamano na njieke mbele.
    Hawa si ndio walio wakituhamasisha tuingie bara barani subutu mungu anilinde na kushabikia siasa haswa hii siasa ya wachumia tbo

  • @innocentMallya-v4r
    @innocentMallya-v4r Před 17 dny

    Nakuonea huruma dada yaan unaongea bila aibu pole

  • @SweetBertMlinda-bq7mp
    @SweetBertMlinda-bq7mp Před měsícem

    Bado una kalafudh ka kichadema chdema dada, kakipungua hako itakua gud.

  • @danielmmasa4464
    @danielmmasa4464 Před měsícem

    Wewe nimehu.

  • @benjamalila9942
    @benjamalila9942 Před měsícem

    Mbuzi hiz zina tamaa sana

  • @AnjelicaBayyone
    @AnjelicaBayyone Před měsícem

    Watafuta nafasi ya uongozi upuuzi mtupu

  • @Gahii-s5q
    @Gahii-s5q Před měsícem

    Ungeongea hayo kenya ungefanywa hamna

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Před měsícem

    We mnafiki sana

  • @matesosamwel6685
    @matesosamwel6685 Před měsícem

    Wanaohama vyama tujifunze kwa Hayati Edward Lowasa kuzungumzia mambo ya tulikotoka yanadhihirisha kuwa tumeondoka wakati bado tunapenda!

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Před měsícem

    Upendo acha kupambana na chadema kuwa na busara kama za halima mdee Bulaya ,matiko yatakushida tu

  • @michaelmlyuka6032
    @michaelmlyuka6032 Před měsícem

    Chama cha CCM mmeshindwa kuelezea majukumu ya Wananchi badala yake mnahangaika na Chadema kisichokuwa na Dola!

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 Před měsícem

    Chakula cha mtu hapo

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Před měsícem

    Mm bad nazidi kusema chadema haitashika dola abadani

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem

    Ananukaga mdomo hapigagi mswaki mafisiyemu hayasikii harufu maana yamekununua

  • @costamasuba1099
    @costamasuba1099 Před měsícem

    Kagame in action

  • @KasamwaKaberelo
    @KasamwaKaberelo Před měsícem

    Hauna cha kusema ww

  • @josephemmanuel388
    @josephemmanuel388 Před měsícem

    Njaa inakusumbua wewe

  • @MichaelMgongolwa-w9n
    @MichaelMgongolwa-w9n Před měsícem

    Chadema wamekwisha wagunge vilago vyao

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw Před měsícem

    Najua hilo la ubadhikifu na democrasia haipo ni sakosi ya mbowe

  • @driss4957
    @driss4957 Před měsícem

    Ulaaniwe,Mnafiki mkubwa

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Před měsícem

    Kweli malaya hana aibu leo unamsema Mbowe baba yako aliyekutoa shimoni huna akili ndo maana huna mme

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 Před měsícem

    Utopian politics

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi Před měsícem

    Hawa wapumbavu sana akili ndogo

  • @hassanzuber
    @hassanzuber Před měsícem

    Nondo

  • @user-dk3ou5yk2f
    @user-dk3ou5yk2f Před měsícem

    Siasa za kukashifiana haziokoi BANDARI ZA TANGANYIKA bali KATIBA MPYA

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 Před měsícem

    LOWASSA alivyohama hakusema kitu dhidi ya CCM na hata alivyorudi CCM alisema nimerudi nyumbani.
    Why ninyi mnakuwa wajinga wajinga kiasi hiki?

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r Před měsícem

    Yani anavyojikakamua aibu tupu

  • @jumayahaya8609
    @jumayahaya8609 Před měsícem

    Kwenda huko wewe

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Před měsícem +1

    Rubbish

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r Před měsícem

    Yani makapi ya Chadema ndio mastaa ndani ya ccm

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 Před měsícem

      Hata Lowasa, membe, Sumaye, Nyarandu nao walikuwa makapi ya CCM baada ya kuchujwa urais lakini walipokelewa kwa mbwembe kama wafalme chadema na ACT wakapewa kugombea urais na wengine vyeo ndani ya upinzani.
      Mambo ya huko yakawashinda wote wakaamua kurudi nyumbani CCM.