DKT BITEKO ASHUHUDIA MTAMBO WA TATU KUWASHWA BWAWA LA MWALIMU NYERERE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 31

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa Před měsícem +1

    Safi sanaaaa ushauri wangu tekelezeni ahadi mlisema umeme utashuka bei pindi uzalishaji utaanza 👍👍👍👍👍

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem +3

    Ni jambo zuri sana lakini ndoto ya hayati ilikua kushusha bei ya umeme sasa macho yetu yote yako kwa raisi Samia je atashusha bei ya umeme?

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 Před měsícem +3

    Tupunguzieni bei.
    Bei ipungue ili tuweze kupitia Umeme majumbani.
    Hii itakusaidia kutunza mazingira

  • @Nick16697
    @Nick16697 Před měsícem +5

    Punguzeni bei ya umeme sasa,,,

  • @EdwardNdakidemi
    @EdwardNdakidemi Před měsícem +3

    Kwa maoni yangu, lilitakiwa liitwe Bwawa la J.P Magufuli.

    • @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
      @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 Před měsícem

      yeye ndie ameasisi hilo bwawa hujielewi

    • @EdwardNdakidemi
      @EdwardNdakidemi Před měsícem

      @@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 I don't normally argue with idiots but for your sake I would explain.
      Nimesema bwawa liitwe kwa jina la JPM kwa sababu yeye ndio ametimiza maono. Kila mtu ana mipango kwenye makaratasi ila wachache ndio wana uwezo wa kufanya mipango iwe reality.

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 Před měsícem

      ​@@EdwardNdakidemiHata lingendikwa jina gani,tunachotaka kwanza Ni umeme upatikane kwa uhakika na kwa Bei nafuu,kwisha!

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv Před měsícem +1

    Doto punguza bei ya umeme hii ni ahadi ya hayati JPM tekelezeni.

  • @JanethMkabenga
    @JanethMkabenga Před měsícem +2

    Unit zishukesasa

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 Před měsícem

    Jpm oyeeee

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před měsícem +1

    Ingekua fisadi Makamba bado mitambo ingekua haijawashwa

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před měsícem +2

    Ancle Magu alisema wakianza kuzalisha umeme unashuka sasa sijui shangazi Sammy anasemaje

  • @JoshuaMachela
    @JoshuaMachela Před měsícem

    Very good my Leander

  • @andrewkanwa2513
    @andrewkanwa2513 Před měsícem +1

    ndiyo tuunganishwe sasa maanaa mmmh.

  • @user-tc2ul3uk5o
    @user-tc2ul3uk5o Před měsícem +2

    Maamuzi magumu🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před měsícem

      Hakuna kucheka cheka, kama awamu za mafisadi

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 Před měsícem +2

    jpm

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh Před měsícem

    Hongera Tanzania kwa ndoto hii kuanza kutimia, tatizo langu moja je ndoto za mwenye maono, na aliyeamua kuitimiza kwa ajili ya watanzania wa kule Nyamuswa au ushetu, au kinamapula watapata umeme wa gharama nafuu kabisaa?, au ndio limepatikana chimbo la upigaji?, siku nne mara clutch imeungua, baada ya wiki brake shoe zimekwisha na bei iko juu sana inabidi tupandishe bei ya umeme?
    Hata tusipoingia mitaani laana yetu itawanyima furaha milele.
    Ukiwa trilionea peke yako hutapata wa kufurahi nao maana utajigeuza Mungu. Kumbe furaha ya kweli ni kuwafutahisha wanyonge kwa kuwafanya waweze kupata furaha maishani, wasihangaike saaana kujipatia mahitaji yao.
    Mie napita tuu niendako hata sikujui.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před měsícem

    WAOOO YAN SAIV NIKIMUONA MTU ANAIONGELIEA TANESCO VIBAYA NAKULA NAE SAHAN MOJA LABDA AWE N CHADEMA TU MAKE HAO WENYEWE KILA KITU N KUPINGA HAWAJUI KUPONGEZA😂😂😂

  • @manasengobei9968
    @manasengobei9968 Před 27 dny

    Bei ya umeme ishuke basi maana ndio ilikuwa ndoto ya uncle

  • @AbdillahSalimu
    @AbdillahSalimu Před měsícem +1

    TUnatakakusikia na bei ya unit imeshuka watu wana umia

  • @user-sr9js6rj5v
    @user-sr9js6rj5v Před měsícem +1

    Mliahidi kuwa umeme utapubgua bei kwa watanzania wote. Sasa fanyeni ukweli na mtimize ahadi zenu. Huo sio umeme wa kununua sasa tunatengeneza wenyewe na mto ni wa Tz umeumbwa na Mungu.

    • @rich-lr8tq
      @rich-lr8tq Před měsícem

      ulikuwa wapi siku Tanaesco waliposema hilo bwawa halitapunguza bei ya umeme?

  • @esromkanubo815
    @esromkanubo815 Před měsícem

    Bado umeme mikoni nichangamoto

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 Před měsícem

    Kuna jambo moja tuu linanitesa kila nikifikiria,Ukame umekuwa janga kubwa linalotatiza uzalishaji wa umeme kwenye mabwawa yetu kila mwaka,Je!?,Bwawa hili litapata wapi maji wakati wa ukame ikiwa mito yote maji hupungua!?

  • @lundalunda7544
    @lundalunda7544 Před měsícem

    🎉🎉🎉

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Před měsícem

    Bei ya umeme ishushwe sasa. JPM alitaka bei ishushwe nyie mnageuza biashara yenu. Shusheni bei na muongeze spidi ya usambazaji. Bado vitongoji vingi havina umeme. Serikali inajikosesha mapato kwa kuchelewa kuwaunganishia wananchi

  • @asungushepatrick5414
    @asungushepatrick5414 Před měsícem

    Hakikisheni mnapunguza bei ya umeme ni amri siyo ombi, umeelewa Doto?

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 Před měsícem

    Bado tu hamkakamilisha mbona tutafika tumechoka