BREAKING: MAHAKAMA YATENGUA URAIS WA INJINIA HERSI NA MAKAMU WAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 400

  • @Hancy_barrow
    @Hancy_barrow Před měsícem +59

    Hao wazee hata tukiwapa Yanga B hawawezi kuiyendesha kwahiyo wamuache Engineer miaka 1000 ukiamini hersi yupo sana Yanga gonga like hapa 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @bbclondonulimwenguwasoka6126
      @bbclondonulimwenguwasoka6126 Před měsícem +1

      Afuate katiba au wakubaliane wabadili katiba ili apate haki ya kuwa Rais, siyo kuingia ka Idd Amin Dadaa

    • @benjaminbruno2374
      @benjaminbruno2374 Před měsícem

      ​@@bbclondonulimwenguwasoka6126Hapo umenenaa

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před měsícem +1

      Engineer anafanya Kazi nzuri sana ila ni tapeli fulani

    • @fadhilngalanda7520
      @fadhilngalanda7520 Před měsícem

      ​@@bbclondonulimwenguwasoka6126katiba gani tena na walifanya uchaguzi hao wazee ndio walee wasiyopenda maendeleo watu wanataka mafanikio siyo figisu hao wazee wachawi tu hamna lolote

    • @andrewkaswagula3367
      @andrewkaswagula3367 Před měsícem

      Waachieni hao wazee wawili timu muone kama hawawezi kuongoza 😂😂😂

  • @user-od5mj7ze8l
    @user-od5mj7ze8l Před měsícem +29

    Yajayo yanafurahisha je uko tayar kama uko tayar gonga like apooo acha vyuma viumane😂😂😂🔥🔥🐸🐸

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 Před měsícem +42

    Bongo Upige Hatua Alafu Uachwe Wewe Sio Kweli,, Tuna Roho Mbaya Sana

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 Před měsícem

      Kaiingiza yanga hasara kubwa mno hafai

    • @gregory6165
      @gregory6165 Před měsícem

      ​@@joshuasamson9618 mavi wewe

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před měsícem

      ​@@joshuasamson9618😂😂😂😂😂😂

    • @pascalgasper403
      @pascalgasper403 Před měsícem

      @@joshuasamson9618 Haya Wasiongiza Hasara Walifanyia Nini Yanga Kabla Injinia? Roho Mbaya Watanzania Sisi Na Naomba Timu Zote Za Tanzania Zitolewe Kwenye Michuano Mikubwa Tuludi Tulipotoka,, Kwanza Hivo Vizee Vitakuwa Vichawi,,

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Před měsícem

      😂😂😂😂😂😂​@@joshuasamson9618

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc Před měsícem +28

    Nasemaje Mimi kama rais Wa Yanga naondoka Na wachezaji Wangu bakini Na wazee wenu😂😂😂😂😂

  • @luludot8341
    @luludot8341 Před měsícem +17

    Mhhh kuna watu hawajielewi ikiwepo hao wazee nimeamini hata wapumbavu wana zeheka 😢

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před měsícem

      Kwa kuwa Hujuwi undani wake unahaki ya kuwatusi😢

    • @officialaziry3305
      @officialaziry3305 Před měsícem

      Kwenye hiyo miaka miwli walikuwa wapi maka washitaki saiz kuwa yanga Raisi wake ni batiliiii​@@israelkisaila8401

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 Před měsícem +9

    Daah alafu ni kweli yanga ni ya wazee na ndomaana hata wachezaji wake ni wazee wazee,hayatena mpeni timu yake mzee Mpili

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 Před měsícem +13

    Hizo ni njama za watu hawataki kuona maendeleo yetu wapigwe mawe hadharani

  • @HamisiKulama
    @HamisiKulama Před měsícem +4

    Wazee asaiv wajiandae kupata laana za vijana. Alafu itakuwa wasaliti hao... Puppet Hao. Walkuwa wanafaidi asaiv wanakosa matunda wanaanza kelele.... Tushasahau mateso.. Wanataka tuingie stress tena.... Hatutaki hers kutoka... Kwa herufi kubwa

  • @wilsonjaphet5547
    @wilsonjaphet5547 Před měsícem +7

    Mimi ni mwanasimba lakini tunahitaji Maendeleo ya soka TANZANIA kwahyo sidhani kama ni sahihi uyu kiongozi kutoka

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před měsícem

      😂😂😂😂😂mwanasimba gani ww

    • @josephevaristi8923
      @josephevaristi8923 Před měsícem +1

      Upo sahihi,na mm nimwekundu wa msimbazi,,tuache roho za kutu wabongo

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Před měsícem +2

    Mafanikio hayawezi kuja bila ya changamoto na chuki kutoka kwa kundi/ watu fulani!
    Eng tupo pamoja na wewe na in shaa Allah utashinda
    Hasbuna Allahu waniimal wakeel

  • @DoreenTesha-kk2kw
    @DoreenTesha-kk2kw Před měsícem +5

    Wachawi hao jmni ,,injinia tumemkubali na ndo Raisi wetu iyo mahakama wamepewa rushwa😢

  • @AMOURMUSIC255
    @AMOURMUSIC255 Před měsícem

    Yaani Hao Wazee Wanatakiwa Wakusanywe Wapigwe Moto Mbele Ya Kadamnasi
    Wazee Huwa Ni Wachawi wanajali Matumbo

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh Před měsícem +8

    Kazi kwenu GEN Z wa Yanga🤸

  • @AUGENSYLIVAND-rq7hz
    @AUGENSYLIVAND-rq7hz Před měsícem +3

    Bado hawajasema mpaka waseme na watasema tuu😂😂😂😂😂

  • @allykk1459
    @allykk1459 Před měsícem +2

    Duh herufi H imefanya kazi

  • @zahiruhamisi4162
    @zahiruhamisi4162 Před měsícem +8

    Bado hawajasema,mpk waseme 😂😂😂

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem +1

    Njaa mbaya sana wazee wanataka nn wataweza kuongoza Awana akili timu ipo vizuri wanataka nn

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina Před měsícem

    wazee wangu mnatuchoma

  • @JacksonBayyo-uo3eg
    @JacksonBayyo-uo3eg Před měsícem +3

    Mwacheni eng hersi aongoze timu

  • @tamimuomulungi2102
    @tamimuomulungi2102 Před měsícem

    Hyo ndio wanasema tenda wema bnadam hawana shukran

  • @JayJay-iq1wc
    @JayJay-iq1wc Před měsícem +3

    We! We! We!
    Yaani apo bora afe mtu
    Hersi hatoki hata kwa sec moja
    Kwanza hao wazee jangwani wasikanyage
    Tutawa delete wooote kudadadeki wasituletee siasa za njaa zao kabisa team ni yetu na sisi ndo tunamtaka eng. hersi na hao wazee tukiwafaham wote tu wajuwe wamekwisha! shenzi kbs!!!

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 Před měsícem +1

      Amri ya mahakama

    • @frayy5595
      @frayy5595 Před měsícem

      Tulien dawa iwaingie😅

    • @JayJay-iq1wc
      @JayJay-iq1wc Před měsícem

      @@frayy5595 ndio ituingie ili tuwashuhulikie nyie makolo ipasavyo kudadadeki😅hata kwa miujiza eng. hersi hatoki tabu ipo pale pale kolo pakuhemea hamna tunanyinyi mpaka mseme sisimizi jike anaitwaje kwa kichina😂mamamamaee

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před měsícem +1

    Apo sasa kumeaza kunoga wapite ivi kama wameingia kinyemela

  • @kahamashinyanga
    @kahamashinyanga Před měsícem +5

    Kesi inayohusu michezo inafikaje mahakamani bila TFF wenyewe kuliangalia sasa TFF kazi yao nn ama vp TFF Nao waachie ngazi

    • @user-ex9xv4bl7u
      @user-ex9xv4bl7u Před měsícem

      Acha ushamba TFF ni uongoz kama ilivyo urahic na co mahakama ya michezo, jarib kusoma basi uje na hoja na co kuandka vitu ulivyovuelewa

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před měsícem

      😂😂😂😂😂ubaya ubwela

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Před měsícem

      Ubaya ubwela

    • @salehwaziri5062
      @salehwaziri5062 Před měsícem

      ​@@user-ex9xv4bl7ukwanzakuandikahujui utajuaje shelia

    • @NeemaJuma-os6uo
      @NeemaJuma-os6uo Před měsícem

      Naakitoka huyo basi mjue Simba tutawafunga kama maji Simba wenzangu mpooooooooo

  • @Cerkutay2024
    @Cerkutay2024 Před měsícem +1

    Wao kama hawamtambui sisi tuna mtambua na fifa inamtambua raisi wa vilabu 🌍 na hajatuangusha Hadi Sasa so sisi kama Wananchi tunamtambua Kwa kazi yake 🔰🔰🔰🔰🔰

  • @Hancy_barrow
    @Hancy_barrow Před měsícem +3

    Kwahiyo hao wazee wametumwa na upande wa pili sio Kwan aliyempa urais Eris Nani hatoki mtu tutapigana na tutamwaga damu Eris hatoki bado tunamuitaji mwandamiz wetu Hao wazee sindio walikua wanajinufaisha wao na matumbo Yao Leo tunafanya vizuri wanataka kutuchafua mda wao ulishapita wakutembeza bakuli now mwendo wa soft touch Engineer Eris viva 💪

    • @omanoman8700
      @omanoman8700 Před měsícem +1

      Unaushahidi kma wametumwa na upande wa pili na je ukiitwa utoe ushahidi unaweza kutoa ushahidi

    • @TedyElisha
      @TedyElisha Před měsícem +1

      Laana yamajini inawatafuna

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před měsícem

      😂😂😂😂eris ndio nani ubaya ubwela

  • @hapaupdates9277
    @hapaupdates9277 Před měsícem +2

    WAZEEEEE. 😂😂😂😂😂😂😂 HAO NI ENZIIIIII SASA JENZII WATAJUA IKOJE

  • @shahiidabdallah3579
    @shahiidabdallah3579 Před měsícem +7

    Mbona hiyo kesi haijawahi kutangazwa?inamaana mahakama ikipelekewa shitaka inaamua bila kusikiliza pande mbili?

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před měsícem +1

      Kesi ipo mahakamani tokea 2022.. kama huna habari itakuwa ulikuwa hujazaliwa😂😂😂😂

    • @rashidsalum7541
      @rashidsalum7541 Před měsícem

      Wasopenda maendeleo hao mamluki wa Simba hao wanatka kuvuruga ila mungu atawashinda sisi tunahitaji vitendo nasio maneno​@@ibrahimally8073

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před měsícem

      ​@@ibrahimally8073😂😂😂😂😂😂

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Před měsícem +1

    Wananchiii hatuna wasi wasi ....hersi akijiuzulu maana yake 2 alotuongoz inafutika maana ilibakia 2 kwenye 4
    Hivyo tunampa 4 mipya kabisaaa........ Ukolo ubwela ndo uo 😂😂😂😂
    Hersi in shaa allah ataongoza yanga miaka 10 ....
    Miaka 4 ya awamu ya kwanza
    Miaka 4 ya awamu ya pili
    Miaka 2 hiii ya ukolo ubwela ni bonus 😂😂😂😂

  • @kelvindendya3781
    @kelvindendya3781 Před měsícem +9

    Ngoja nikanywe bia😂😂😂

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Před měsícem +1

      😂😂😂😂me piah

    • @realdanilaizo
      @realdanilaizo Před měsícem

      😂 hata mi pia

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Před měsícem

      @@kelvindendya3781 ,🤣🤣🤣

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před měsícem

      Nitakunywa mpaka ulanzi!!! Onyeshen hiyo hukumu🤣🤣bongo mna shida sana kiakili,ndo maana sirudi,frm Cambridge mji wa wasomi UK

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 Před měsícem

    Enjinia kapishana maslahi na CCM.

  • @user-gz2sr2xf9w
    @user-gz2sr2xf9w Před měsícem +1

    Mtawaponza wenzenu wafungwe goli nyingi bureeee😅

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 Před měsícem +1

    Nacho jua mandunduka wanapohozesha kumi zijazo Injinia yupo sana yanga💚💛🔰✔️

  • @user-hj7nd6xw7t
    @user-hj7nd6xw7t Před měsícem +1

    Mmmmm yshakuwa mtiani huu😢

  • @anastahiliutawala3879
    @anastahiliutawala3879 Před měsícem +2

    Kazi kweli

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ Před měsícem +1

    Katiba gani?
    Sisi mashabiki wa Yanga tunachojua Heris ndio katiba yenyewe

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před měsícem +1

    Yanga bingwa adi 230🙏🙏🙏🙏

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před měsícem

    Yaani mpira bongo unasiasa mwingi sana mendeleo hakuna kwasababu ya upumbavu kama huuuu , Ila Mimi ni mnyama😂

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Před měsícem +2

    Safii sana

  • @AMOURMUSIC255
    @AMOURMUSIC255 Před měsícem

    Hao Wazee Wana Njaa Kali.Wanagombania Tonge

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 Před měsícem +1

    Ubaya ubwela🤣😂 si walitucheka kenge hawa sasa ndo mtajua kuimba kupokezana ,,kwanza uyo hersi kawasababishia mideni ,, kwa jinsi aziz k alivyokuwa anatakiwa na vilabu vikubwa ! Cjui hela ya kumbakisha katoa wapi ? Na inshu ya uwanja akiwajengea mniite Dog ,,

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před měsícem

    Ahsantee 😂😂😂😂😂 saba bola vyuma vigogane

  • @ChijaKisenya
    @ChijaKisenya Před měsícem

    Millard ayo mwenyewe ni msenge Tuu

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 Před měsícem +2

    Natamani kuiona iyo sura ya uyo mbwa Ally kamwe baada ya hilo sakata..

  • @JoyceKileo-o2z
    @JoyceKileo-o2z Před měsícem

    Mhhhhh mbona sielew😢😢

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Před měsícem +1

    Kumbe matapeli tu hawa

  • @sabasmichael7553
    @sabasmichael7553 Před měsícem

    Nyang'au tuu hao zee

  • @willyclassic9263
    @willyclassic9263 Před měsícem +3

    Sas mnataka wazee wakale wapi 😅😅😅 na ndo mchongo wao kukaa hapo yanga af anakuja mtu tu from no were anajiitaa rais

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před měsícem

    Wana Simba tujuane kwaili gonga Link apa,
    Washazoea kufanya uhuni😂😂

  • @mamar7958
    @mamar7958 Před měsícem

    HIYO KESI YA ZAMANI HATA HAO WAZEE PIA WANASEMA HERSI ASIONDOKE

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 Před měsícem +1

    Asante Mungu gari limewakia kwenye gia😂😂😂

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld Před měsícem

    Bila kusahau majinayao kwawanao wajua,namba ya mchango atakaekua tayari aniambie nimpe

  • @salhanassor5201
    @salhanassor5201 Před měsícem

    Wameona yanga tuna raha wanataka kuturudisha kwenye tabu nyau hawa..mungu awashinde..

  • @ayoubsanga315
    @ayoubsanga315 Před měsícem +1

    Tatizo ni Hersi Halinao wazeee😂😂

  • @JovianRichard-i5n
    @JovianRichard-i5n Před měsícem

    Hiyo imeendaaaa koma lyendegeeeeee❤❤❤❤

  • @nbwchannel4997
    @nbwchannel4997 Před měsícem +1

    Ubaya ubwelaaaaah😂😂😂😂😂

  • @daudibukwimba4226
    @daudibukwimba4226 Před měsícem

    Wazee bhna wanaharibu kila kitu vijana wakitengeneza mafanikio yakaonekana wanatafuta visababu mnarudi kulekule

  • @faidha23
    @faidha23 Před měsícem

    Yani humu makolo mengi yamefurah

  • @user-gx4if4dk3m
    @user-gx4if4dk3m Před měsícem

    Aende Simba tuu ubay ubwelaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @thescop1003
    @thescop1003 Před měsícem

    Yani machumia tumbo sijui Yana tatizo gani, hii club inaelekea kufa sasa

  • @AlexKanuya-fs2vr
    @AlexKanuya-fs2vr Před měsícem +3

    Napita tu me hapa !! Moto unawaka sasaiv utopolooooooooooo

  • @majatamsafiri5
    @majatamsafiri5 Před měsícem +6

    Ubaya ubwela😂

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 Před měsícem +3

    Yanga na Simba bana ,Simba imeanza kutulia ,Yanga kunaanza kufuka Moshi

  • @mnyamacollection
    @mnyamacollection Před měsícem +4

    Binafsi nimefurah sana 😅👍

    • @user-ng9bn3jj3x
      @user-ng9bn3jj3x Před měsícem

      Ndo mikundu ya msimbaz mlivyo mkidanganywa kidogo tu mnaamini kipigo Kiko pale pale mikundu nyie

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 Před měsícem

      Breaking news mtandao yote😂😂.. Bora uache matusi maana utatukana mitandao yote si utaokota makopo barabarani😂😂..ubaya ubwera kaa kwa kutulia

    • @user-ng9bn3jj3x
      @user-ng9bn3jj3x Před měsícem

      @@rexgodwill7353 ubaya ubwera,,tukishawatia Tena vitano tunawaimbia ubayaaa ubweraaaa, yaan ubaya wa gori saba zineludi tena

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      😂😂😂 ni Bora usifurahi , maaana ukiitishwa uchaguz anashinda Hersi Tena .... Uongozi ni miaka 4 hersi ameongoza miaka 2 bado 2 ... Ukiitishwa uchaguzi atapewa 4 mipya kabisa itakua tabuuu leeeeeee laaaaaaaaa

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před měsícem +1

      ​@@mwanangusana😂😂😂😂

  • @AshaHaruna-ie2iq
    @AshaHaruna-ie2iq Před měsícem

    Atutaki Wazeeee tunamtaka Hersiii wetuu

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m Před měsícem +1

    Hao wazee wasituvururuge haohao ndo waloipeleka yanga kwenye bakuli nasasa wanataka kuturejesha nyuma sikuzote hizo walikuwa wapi

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga Před měsícem

    Miaka yote hiyo walikuwa wapi kweli uchawi upo

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Před měsícem +2

    Bora hata yaliyomkuta ngungu boy kuliko hii ya ubaya ubwela.. vijana mnataka mle maokoto pekee yenu bila wazee..??? 😂😂😂😂😂

    • @isdorchuvu6280
      @isdorchuvu6280 Před měsícem +2

      Na wazee wanavyokuwaga na nongwa , apa Uto wameyakanyaga.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      Makolo ubwela
      Hersi ameongoza 2 kwenye miaka 4 ... Akijiuzulu atagombea tena na atashinda miaka mingine 4 mipya kabisaaa halaf atagombea 4 ya awamu ya pili itakua miaka 8 😂😂😂 + 2 miaka ya bonus = 10 kolo ubwela
      Tabu leeeeeeeeeee

  • @AshaHaruna-ie2iq
    @AshaHaruna-ie2iq Před měsícem

    Aoo wazee wachawii tuuuu

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 Před měsícem

    Aya bhana

  • @user-rj3cd2lh8w
    @user-rj3cd2lh8w Před měsícem +2

    Mambo ya mpira kwenye mahakama wapi na wapi

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Před měsícem +1

    Safiiii8...

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Před měsícem +2

    Aya tufanye Eng hensi ajiulizulu alafu tukafanye uchaguzi mwingine kulingana na iyo katiba Yao😅 waone kama hatumrudishi madarakani huyu huyu mwamba kipenzi Cha wanayanga Mr Genius president Eng hens said

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +2

      Akirudi anapewa 4 mipya wakati 2 ni bonus 😂😂😂😂 tabu leeeeeeeeeee,,,,,, acha makolo ubwela wafurahieee maumivuuuu 😂😂😂😂😂

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    WAZEE NJAA ZIMEWATOA PANGONI, ENGINEER YUKO SMART WAZEE NJAA ZIKO PALE PALE.., NIPE MUDA..!!

  • @officialisaiah3979
    @officialisaiah3979 Před měsícem

    Shida itakua imeanzia kwa hamisa mobeto😂😂😂

  • @user-tt2cx5ty9i
    @user-tt2cx5ty9i Před měsícem +1

    Ubaya ubwela

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 Před měsícem

    Wameanza Kuvurugana.... timu ina wanasheria wa mchongo 😂😂. Mtu kachukua watoto wa dada kawafanya wanasheria 😂😂. Wazee wawili tu wanatikisa timu nzima kuanzia wanaemwita Rais, Mpaka mashabiki wao nchi nzima..😂😂😂 wazee noma

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Před měsícem +1

    🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe huko wanapelekana mahakamani😂😂😂😂 ndiyo naisikia

  • @shikuhata
    @shikuhata Před měsícem

    Wameanza maana tz hatupendi maendeleo tunapenda malumbano

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 Před měsícem

    Unawezaje kuwa kiongozi bila kuchaguliwa

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Před měsícem

    Wametuma na mikia😊

  • @thomaslima921
    @thomaslima921 Před měsícem

    😂😂😂😂haaa wenyewe mnasema timu ya wananchi sasa wenye timu yao wameamua kuja juu,et mnawalaumu waacheni wenye timu yao waisimamie

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Před měsícem +1

    😂😂😂we injinia hersi unataka ule peke yako bila wazee😂😂😂.. mwenzio mo alitoa bil 20 wazee wakampenda wakampa na urais... Sasa we unataka utawale Bure Bure tu.. wazee wamekasirika sasa😂 😂😂

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf Před měsícem

    Hao wazee ni wezi jamaa kawabana sana wamekosa pakuiba na GSM nae aachane nayo tuone watafanyaje

  • @mandlasakhile9109
    @mandlasakhile9109 Před měsícem

    Kenya kuna Gen Z huku kuna baby boomers na generation x wamekiamsha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před měsícem +2

    Ama kweli nimeamini ule msemo unaosema kutesa kwa zamu

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema2302 Před měsícem

    Du mbona habar tamu hii

  • @deuslucas2256
    @deuslucas2256 Před měsícem

    Awo Wazee hawafai wanapaswa kutimuliwa

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Před měsícem

    Hahaha hahaha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 utopolo kumbe team iliibiwa

  • @hajikiame7551
    @hajikiame7551 Před měsícem +1

    Bora watimuane tubaki na amani

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Před měsícem +1

    Jamani ni amri ya mahakama msithubutu kuipinga mtapigwa mabomu na virungu mpate vilema Bure...
    Waachieni wazee timu yao.. 😂😂😂

  • @user-fc9yl5bz5v
    @user-fc9yl5bz5v Před měsícem

    Icho ni kikundi Cha wahuni.

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 Před měsícem

    Nawaona makolo wanavyofurahia

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Před měsícem

    Mi nacheka tu

  • @AnuaryShedafa
    @AnuaryShedafa Před měsícem

    Hahahah taburere laaaaa!! Utoporo mmeyakanyaga 😂😂😂

  • @salvinhosn3916
    @salvinhosn3916 Před měsícem

    Sasa si atachaguliwa tena tu...

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 Před měsícem

    Wazee mkowapi nawatafuta😂

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 Před měsícem +1

    Wazee hao si ndo waanzilishi wa timu ya Uto au ,,acheni wadai haki yao ,,Ubaya Ubwela tu apa.

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 Před měsícem

      Wanzilishi kivip wana umri gan na timu Ina umri gan wakwende kuzihangaikia familia zao zilizowashinda kudadeki

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn Před měsícem +1

    Ohooo washaanza kutupiana Virago kama shabiki wa simba piga kelele kidogo oyoo migogoro imehamia kwa😀😀😀😀😀

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      😂😂😂 mnakijua mnachokifurahiii ? Hersi akijiuzulu wakat ameshaongoza miaka 2 kwenye 4 ya kikatiba ... Itabidii anze upya miaka 4 ya kipindi Cha kwanza .... Kisha Kuna 4 ya awamu ya pili ... Ukijumlisha na 2 ya sasa itakua 10 ..... Na slogan ya yanga ni kuchukua 10 mfululizo
      Yanga Wanajua wanacho kifanya tabu leeeeeeeeeee leeeeeeeeee ukolo ubwela unakaziii 😂😂😂

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 Před měsícem

    Na wasi wasi mzigo umekuwa mkubwa kutoa pesa bila faida

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Před měsícem

    SEMA WOYO WOYO