MASANJA AKIMTAMBULISHA MKEWE UTACHEKA
Vložit
- čas přidán 25. 07. 2024
- MASANJA AKIMTAMBULISHA MKEWE UTACHEKA #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
Karibu Kanisani Free church siku za ibada ni
Jumatano saa9 -12 jioni
Ijumaa saa 9-12 jioni
JUMAPILI IBADA INAANZA SA4 MPKA SAA8 MCHANA
Kwa maombi / maombezi au jinsi ya kufika kanisani tupigie kwa namba
+255 713 855 855 MUNGU AKUBARIKI - Hudba
Naitwa kanaani Mkisi Naomba nifungulie tawi tuhubiri injili Hulu songwe Nakukubari dana Mtumishi Wa Mungu
Ubarikiwe mtumishi wamungu. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
You're blessed bishop Emmanuel Mgaya
Ubarikiwe mtumish🙏
Hongera kwa kusimama na Mungu kwa yaliyotokea
Barikiwa Sana masanja
Ubarikiwe sana
Kaka nyangu mungu akurinde
Na maman murituma najuwa mungu Asante
Ameen🙏🙏
Amen 🙏
MUNGU Akubariki sana Mtumishi kwa huduma
Looking good follow back done God bless you 🇰🇪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu nakuomba unifungue kiuchumi
Barikiwa bishop one day nitafika church
Barikiwa
Yaani Masanja ni Askofu, mh tunautani na kristo YESU
Amiina
Mama askofu kapungua sana mweh but kapendeza 😍
Thanks
Uduma inapendeza sana ukiambatana na mke
Ameni
Good is good...
Ubarkiw mtumish
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Mchungaji una vunja mbavu watu wasije Pata Maono kwa Mama Asikofu
Masanjaa😂😂😂😂😂
Yaani chinijuu juuchini
Nani akufunfulie?
Siku hizi jamani, Duh! Aya bwana ngoja tuaone kama kweli umeitwa.
Ubar
Zaburi 35
Kumbe masanja na mkewe wana watoto waliookoka!!! Askofu????
Askofu mkuu masanja czcams.com/video/aGZil3ddTDY/video.html
Mama askofu kachanga Kako wapi?
HAYO MAWIGI YA MKE WAKO MASANJA ASIPO YAACHA ATAENDA JEHANAMU YA MOTO, NA WW KAMA UNATAFUTA PESA SIO UTAKATIFU USIPO TUBU, UTAANGAMIA
Mungu ndiye anayejua
Eee kumbe wenye mawigi hawaendi mbinguni? Mimi nilikuwa najua yesu alikufa kwa ajili ya wengi!!! Bila ubaguzi kwani wigi na kilemba kunatofauti gani?
Miladi ya jpm mbonackhizi uioneshi?
Aonyeshe wamuuwe Kama Elisha Eliya
Masanja wewe ni nabii au nani ni wa comedy maana hueleweki kweli biblia agano la kale lilisema siku za mwisho kutatokea manabii wa uongo na magonjwa yasiyotibika ukimwi corona ebola kansa sukari nk sasa kweli yanatokea mungu tunaomba amani Tanzania
Amina
Veya wipihuma!
Looking good follow back done God bless you 🇰🇪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤