WADUDU NANE WA ARUSHA WAFIKA MAHAKAMANI LEO, WACHARUKA, ALIYEWASHTAKI KUCHEZA KAMARI HAONEKANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024

Komentáře • 40

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo Před 2 dny +2

    LUHA YA TZ ARUSHA MACHUDE MARA WADUDU MBANGA

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 2 dny +3

    Bass kamari zotee wasicheze watuu

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo Před 2 dny +3

    MAKONDA MUNGU AWE NAWE KAZI KWELI KWELI NDO ARUSHA HY

  • @DenisWilson-ii9fb
    @DenisWilson-ii9fb Před 2 dny +4

    Hii kesi itakuwa ya kwanza muheshimiwa hakimu kuomba mkalimani wa kiswahili kwa kiswahili Talalike nigani mchudee kinyama mbanga zangu talarika kombola kali chubinga krukochoo ni shendeli na kankra namachudee kinyama.....mkalimani nakusukiliza niendelee kuandika😂😂😂😂

  • @user-sv6zy3hc8o
    @user-sv6zy3hc8o Před 3 dny +7

    Yani Arusha wazazi hawana malezi mazuri hata kidogo mana asilimia kubwa vijana wamehalibika kabisa

    • @evakessy3282
      @evakessy3282 Před 2 dny +2

      Omba MUNGU akupe watoto wazuri kwasababu hakuna mzazi duniani anaezaa mtoto kwalengo la kuharibika

    • @emmanuelmduda2354
      @emmanuelmduda2354 Před 2 dny

      Ww malez ulopewa na wazazi wako n mazuri😂

    • @magdalena.dafu.masitcharle556
      @magdalena.dafu.masitcharle556 Před 2 dny

      Uciongee hivo ndugu maana hata vijana wote waliopo pale cio wazawa

    • @QhaweTau
      @QhaweTau Před 2 dny

      vaa sana condom.maana hujui litakalokukuta

    • @peterrulagora7403
      @peterrulagora7403 Před 2 dny +1

      Nimekaa Arusha,ni kweli chanzo ni malezi ingawa unaweza kumlea vzr lkn akabadilika

  • @joycemmbaga1740
    @joycemmbaga1740 Před 2 dny

    Sisi tunawaelewa karibuni chugani😂

  • @djamanitvonline3623
    @djamanitvonline3623 Před 2 dny

    💥💥

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata Před 2 dny

    Hao vijana hawali sharba hawamicho dashla hawategi chavec hawakati Baku nao ni viongozi wa dini hapo Kwa JAAH ni Kila daika1 Ile Selassie Selassie JAAH BLESS everyone halafu wa2 wana wachukia2 buuure kwanza Leo wapo Cha wap walau wale sacrament ya JAAH huku huku Riverside

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 Před dnem

    Alooo

  • @FrankGasper-eq2ui
    @FrankGasper-eq2ui Před 3 dny +3

    Dah inachekesha et mshtak ajaja

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo Před 2 dny

    HAKIMU POLE KUCHECHERE

  • @AbdulAwadhi
    @AbdulAwadhi Před 2 dny +1

    😂😂

  • @samoredelavida3782
    @samoredelavida3782 Před 3 dny +1

    kama hauna D mbili huwezi kuwaelewa

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo Před 2 dny

    SHIKA RABO TARARIKA

  • @MathewLeonard-n2b
    @MathewLeonard-n2b Před 8 hodinami

    Hawa jamaa wako Dunia nyingine kabisa wapewe haki mana tunaiman mahakama kuwa ni chombo Cha haki

  • @HildaPatrick-kr1wt
    @HildaPatrick-kr1wt Před 3 dny

    iv hawa wa dudu Ata Akimu wanamuongoley ivyo kweli

  • @bilakawaboynew978
    @bilakawaboynew978 Před 3 dny

    Et ni wastaarabu hao mhhhh

  • @user-yu3kg6zl8q
    @user-yu3kg6zl8q Před 2 dny +1

    machokoraa to Kwa Nini wasifanye kazi kama vijana wengine

  • @sadamissa5687
    @sadamissa5687 Před 3 dny +1

    Hii lugha ata mkiwa mnaongea ha hakimu mnaitumia??😂😂hii nigani

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 Před 3 dny

    ila iyo mahakama kaz ipo

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu Před 2 dny

    Hili jina litawasumbua sana

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Před 3 dny +1

    Hao ni wahuni tu hakuna cha wadudu wala nn, waswekwe ndani tu hakuna cha maan wanachokifanya

    • @user-tw9wu2gz4g
      @user-tw9wu2gz4g Před 3 dny +2

      Kisheria au chuki tu?

    • @NellyDibaling
      @NellyDibaling Před 2 dny

      C mwehu uyo

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b Před 2 dny

      KAMA NI HIVYO KAMARI ZOTE ZIFUNGIWE AU WASHITAKIWE WAKIHUKUMIWA HAO NI UONEVU NA SIO HAKI.WAACHWE WAKAFANYE SHUGHULI ZAO WACPOTEZEWE MDA MAHAKAMANI HAWAJALI MUDA UNAWEZA UKAKESHA ASIKWAMBIE MTU HAPAFAI.

    • @devisshirima6780
      @devisshirima6780 Před 2 dny +1

      Iwe ni wahuni au ni Akina nani kila mtanzania ana haki ya kuishi katika hii nchi, hii nchi ni ya vichaa, wenye akili timamu na wote wanatakiwa waishi cha msingi kama hawajavunja sheria wana haki ya kuwa huru haijalishi ni wahuni, kama uhuni wao haujamuathiri mtu wana haki kabisa.

    • @IgnasiaAmati
      @IgnasiaAmati Před 2 dny +1

      ​@devisshirima6780🤝🤝 kweli kabixa umeongea point ya maana