Hii kesi itakuwa ya kwanza muheshimiwa hakimu kuomba mkalimani wa kiswahili kwa kiswahili Talalike nigani mchudee kinyama mbanga zangu talarika kombola kali chubinga krukochoo ni shendeli na kankra namachudee kinyama.....mkalimani nakusukiliza niendelee kuandika😂😂😂😂
Hao vijana hawali sharba hawamicho dashla hawategi chavec hawakati Baku nao ni viongozi wa dini hapo Kwa JAAH ni Kila daika1 Ile Selassie Selassie JAAH BLESS everyone halafu wa2 wana wachukia2 buuure kwanza Leo wapo Cha wap walau wale sacrament ya JAAH huku huku Riverside
KAMA NI HIVYO KAMARI ZOTE ZIFUNGIWE AU WASHITAKIWE WAKIHUKUMIWA HAO NI UONEVU NA SIO HAKI.WAACHWE WAKAFANYE SHUGHULI ZAO WACPOTEZEWE MDA MAHAKAMANI HAWAJALI MUDA UNAWEZA UKAKESHA ASIKWAMBIE MTU HAPAFAI.
Iwe ni wahuni au ni Akina nani kila mtanzania ana haki ya kuishi katika hii nchi, hii nchi ni ya vichaa, wenye akili timamu na wote wanatakiwa waishi cha msingi kama hawajavunja sheria wana haki ya kuwa huru haijalishi ni wahuni, kama uhuni wao haujamuathiri mtu wana haki kabisa.
LUHA YA TZ ARUSHA MACHUDE MARA WADUDU MBANGA
Bass kamari zotee wasicheze watuu
MAKONDA MUNGU AWE NAWE KAZI KWELI KWELI NDO ARUSHA HY
Hii kesi itakuwa ya kwanza muheshimiwa hakimu kuomba mkalimani wa kiswahili kwa kiswahili Talalike nigani mchudee kinyama mbanga zangu talarika kombola kali chubinga krukochoo ni shendeli na kankra namachudee kinyama.....mkalimani nakusukiliza niendelee kuandika😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yani Arusha wazazi hawana malezi mazuri hata kidogo mana asilimia kubwa vijana wamehalibika kabisa
Omba MUNGU akupe watoto wazuri kwasababu hakuna mzazi duniani anaezaa mtoto kwalengo la kuharibika
Ww malez ulopewa na wazazi wako n mazuri😂
Uciongee hivo ndugu maana hata vijana wote waliopo pale cio wazawa
vaa sana condom.maana hujui litakalokukuta
Nimekaa Arusha,ni kweli chanzo ni malezi ingawa unaweza kumlea vzr lkn akabadilika
Sisi tunawaelewa karibuni chugani😂
💥💥
Hao vijana hawali sharba hawamicho dashla hawategi chavec hawakati Baku nao ni viongozi wa dini hapo Kwa JAAH ni Kila daika1 Ile Selassie Selassie JAAH BLESS everyone halafu wa2 wana wachukia2 buuure kwanza Leo wapo Cha wap walau wale sacrament ya JAAH huku huku Riverside
Alooo
Dah inachekesha et mshtak ajaja
😂😂😂😂
HAKIMU POLE KUCHECHERE
😂😂
kama hauna D mbili huwezi kuwaelewa
SHIKA RABO TARARIKA
Usicheze na Mungu
Hawa jamaa wako Dunia nyingine kabisa wapewe haki mana tunaiman mahakama kuwa ni chombo Cha haki
iv hawa wa dudu Ata Akimu wanamuongoley ivyo kweli
Et ni wastaarabu hao mhhhh
machokoraa to Kwa Nini wasifanye kazi kama vijana wengine
Kazi hakuna
Waajiri
Hii lugha ata mkiwa mnaongea ha hakimu mnaitumia??😂😂hii nigani
ila iyo mahakama kaz ipo
Hili jina litawasumbua sana
Unawaza mbali jina ni tatizo
Hao ni wahuni tu hakuna cha wadudu wala nn, waswekwe ndani tu hakuna cha maan wanachokifanya
Kisheria au chuki tu?
C mwehu uyo
KAMA NI HIVYO KAMARI ZOTE ZIFUNGIWE AU WASHITAKIWE WAKIHUKUMIWA HAO NI UONEVU NA SIO HAKI.WAACHWE WAKAFANYE SHUGHULI ZAO WACPOTEZEWE MDA MAHAKAMANI HAWAJALI MUDA UNAWEZA UKAKESHA ASIKWAMBIE MTU HAPAFAI.
Iwe ni wahuni au ni Akina nani kila mtanzania ana haki ya kuishi katika hii nchi, hii nchi ni ya vichaa, wenye akili timamu na wote wanatakiwa waishi cha msingi kama hawajavunja sheria wana haki ya kuwa huru haijalishi ni wahuni, kama uhuni wao haujamuathiri mtu wana haki kabisa.
@devisshirima6780🤝🤝 kweli kabixa umeongea point ya maana