SAKATA LA MGOMO WA WAFANYAKAZI, RC MTAKA ATINGA KIWANDANI AMBANANISHA MWEKEZAJI, WALIPENI MSHAHARA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024

Komentáře • 34

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina Před 6 dny +1

    aloo watu wa viwandani kwa africa ni mateso Mungu awasimamie

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 Před 5 dny +1

    Chai yetu ya Tz ni bora kuliko kenya na nchi nyingi duniani

    • @DesertTears
      @DesertTears Před 5 dny

      Kasema nani???😂😂😂 Ujinga ni kuamini vya kwenu ni Bora ila hamna chochote umasikini tu

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Před 6 dny +6

    Nilidhani wameanza mkesha wa mwamposa😅😅

  • @DesertTears
    @DesertTears Před 5 dny

    😂😂😂 wanajigaragaza chini sab ya kumuina RC😂😂😂 kumbe miezi minne hawana mishahara

  • @REUBENIMWAMBUJULE
    @REUBENIMWAMBUJULE Před 5 dny

    Kwanini hawa wakenya wanatusumbua sana nchini kwetu? Na serikali inaangalia tuh Wala ata hawana hofu

  • @IddiHasani-vq4rd
    @IddiHasani-vq4rd Před 6 dny

    Majina ya mway popp ni Cheng

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 6 dny

    Wakpata tenda ya chai kuagiza wanapewa kampuni ya simu, lkn mxhahara ukichelewa srkl iko macho

  • @EagerFriendlyRobot-qx2ui

    Hmeshimiwa anajua kudai

  • @objstv6976
    @objstv6976 Před 6 dny

    Sio kosa lao hao hiyo ni kosa la sukari kupanda bei na ndio maan watu hawanywi chai 😂😂😂

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 6 dny

    Wakati wa jpm!!!!!!

  • @caesar7745
    @caesar7745 Před 6 dny

    Wanalipwa na Reba au. This so sad. Hivi viongozi nao mishahara inachelewa

  • @himanmwalwala7569
    @himanmwalwala7569 Před 6 dny

    Mbona hao viongozi wanaonekana wanalipwa

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 Před 5 dny

    Watu wanasomesha hawa familia zinawategemea inauma hili limeniumiza na mimi hakuna tofauti na mtu mmoja hivi mwenye kampuni halipi mshahara wala NSSF.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 Před 5 dny

    Nilichogundua jina MTUMWA walilibadilisha na kuwa MFANYAKAZI, mtumwa na mfanyakazi hakuna tofauti yoyote.

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 Před 5 dny

    Waajiri wengi wanadaiwa sana.

  • @user-wk8yl6jp9i
    @user-wk8yl6jp9i Před 5 dny

    Jamani Yaani hata mshahara wananchi wanakosa? Hii ni kitu gani????

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 6 dny

    Wafukuzwe siyo wawekezaji ni wanyonyaji

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 5 dny

    Chai imeanguka ndiyo nini, kwani mnapopataga faida kubwa huwa mnawagawia? Wapemi hela zao haraka.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 5 dny

    jamani Mimi mshamba hebu Niambieni chai Ndio Nini

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Před 6 dny

    Namuona Mr Kasira hapo

  • @vom84
    @vom84 Před 6 dny

    Wakenya wanachukua sana ajira , na sielewi ni kwann

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Před 6 dny +1

      Elimu yenu haitwngwnezi competitive individuals

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 5 dny

    Lakini mhe. Mkuu wa Mkoa makampuni mengi wanalipa hela ndogo sana hasa wachina. Wananchi hawakui kiuchumi. Wawekeeni wawekezaji viwango vya kuwalipa wafanyakazi. Wanakuja huku wanarudi kwao wametajirika wanaacha wananchi huku wamedhoofika na umaskini wa kutosha. Afrika iamke Viongozi teteeni watu wenu.

  • @REUBENIMWAMBUJULE
    @REUBENIMWAMBUJULE Před 5 dny

    Asisikilizwe huyo kuma alafu hapo wanatabia ya kuwafukuza watu ambao wamehamasisha mgomo

  • @caesar7745
    @caesar7745 Před 6 dny

    Movie linaanza meneja mkenya. Miaka mbili😂

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka Před 6 dny

    Ss unatupa statistics Kwan mkataba unasemaadje? Nifany kaZ.nilipe kwishaaa

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 6 dny

    Huyu mkenya ni vipi mbona ananyanyasa watanzania

  • @martinurio6631
    @martinurio6631 Před 6 dny

    duuh

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 6 dny

    Walipwe

  • @faharikhamisi3091
    @faharikhamisi3091 Před 5 dny

    RC naomba ondoa huyo mkenya Wana roho mbaya sana hawa kila mahali walipo,hawa jamaa ni tatizo mbona wao wanalipwa vizuri bila shida

    • @emanuelnisetas7510
      @emanuelnisetas7510 Před 5 dny

      Usilaum mkenya bali tatizo latu ni viongozi watu hawajielew na maana unakuta kenye wanafuata sheria bongo kujuana hilondilotatizo