VIDEO: WANANCHI WAMTAKA MUSHI AONDOKE ARUSHA,ANASINGIZIA WATOTO WAKE WAMEBAKWA ILI APATE MILIONI 2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 06. 2023

Komentáře • 128

  • @udazakikoti3419
    @udazakikoti3419 Před rokem +13

    Huyu watoto wake kawatia mimba mwenyewe, ila anajificha kwa kuwasingizia watu kwa kukwepa aibu

  • @mboneamalaki5674
    @mboneamalaki5674 Před rokem +10

    Arusha kuna tatizo kubwa la kiroho,Vituko haviishi,ukatili na mauaji.

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel4205 Před rokem +7

    Huyu mzee ni msenge sana

  • @dorothysamwel2648
    @dorothysamwel2648 Před rokem +11

    Mama yao hayupo, huyu baba anawageuza watoto wake kuwa wake zake. Wawabane hao mabinti watasema.

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před rokem

      Funjeni chungu akafie mbali awezekani mnaka mnamfuga huyo mpumbafu hapo

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 Před rokem +5

    Sijui nieleze au chap chap 😂😂

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Před rokem +4

    Na watabakwa maisha Yao yote kama ni kweli anasingizia ni mbaya sana ,,yaani watabakwa kweli maisha Yao yote hawataami 😅😅😅 familia ya ovyo sana

  • @JulithapouloJulithapoulo-st9ih

    Baba anakaa Na watoto Wa kike bila Mama yawezekana baba amewapa wanawe mimba alaf anasingizia majiran maan shetani yupo kazin

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před rokem +5

    Kuna DNA watoto wakizaliwa wapimwe, kwa sababu ukweli anaujua huyo baba mabinti na mtuhumiwa na kama wanaweza kuwa na ujauzito basi ni wanajitambua, wahojiwe ukweli ujulikane,

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Před rokem +4

    Huyo baba atakuwa amewapa mimba wanae anashindwa hata kujielezea

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Před rokem +1

    Sio vizur,,,,,jaman fanyen haki,na mungu ataweka wepes ktk shughul zenu za maisha ya kila siku

  • @idrisapetto3234
    @idrisapetto3234 Před rokem

    Poleni Sana ndugu zangu

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Před rokem +4

    Eleza tu isiwe chap chap bhana aaiisseee mama wa kijana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před měsícem

    Huyo alie fungwa jela achiwe jamani sio vizuri 😢😢wamwachie haja kesi jaman JUSTICE FOR JACKIE

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi2935 Před 11 měsíci +1

    Nachooona uyo mama anapambaniwa na wananchinkwakua anapesa 😂😂ila huyonmzeee anasaidiwa na serikali hapo moto utawaka na swala lakubaka cyo lakumtetea mtu kisa yupo smart nilakuacha uchunguz ufanyike

  • @noelkaale5952
    @noelkaale5952 Před rokem +3

    Jamani hizi Sheria za nchi yetu ni zaaina gani inakuwaje mtu asingiziwe kubaka alafu hata mtoto hajazaliwa afanyiwe DNA idhibitishwe ni kweli mimba ni ya mbakaji mtu anafungwa maisha mbona watu wanacheza na maisha ya watoto wawatu hii nchi kwa sasa inataka katiba mpya mama angalia idara ya mahakama rushwa na ufisadi vimetanda huko watoto wa maskini wanafia huko kwa kukosa haki

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před rokem

      Hujajua kwamba mahakimu wa mchongo na matabibu wa michongo ndo wanaotamba kwa sasa !!

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 Před rokem +2

    DNA ndo itasema.kweli maana huyo bwana Mushi ni mkorofi na atatafuta pesa kwa kuwatumia watoto wake wa kike. Solutiwananchi muuweni maana amekuwa tishio na amefunga Vijana wa Watu bila hatia

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi Před rokem +1

    Kwa hiyo watoto wako wana mimba ndiyo ukawabambikize watu wengine kesi wafungwe bila makosa,huo ni uzembe wako na mke wako kutengana,sheria ichukue mkondo wake.

  • @hazard7157
    @hazard7157 Před 2 měsíci

    Jack akirudi kwenye huo mtaa ata waheshimu xana hao wananchi sijui atawaangakiaje wamemsaidia😊😊😊

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před rokem +4

    Watoto wanafundishwa na babayao wawatege wanaume mjini shule

  • @idrisapetto3234
    @idrisapetto3234 Před rokem +2

    Sijui huyu mzee anaongea nini hata sielewi kabisa

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 Před rokem +1

    🤪🤪🤪🤪 jamaaa kageukia mayai yake noma sanaaaa

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 Před rokem

    Ww ndio umewatimimba ww hapo kwann hukai na mkeo ww pumbavu zakao👍👍👍👍👈👈👈👈

    • @RahimaMct-ik8mr
      @RahimaMct-ik8mr Před 2 měsíci +1

      😂😂😂wa tz washa Fanya uchunguzi na umeshakamilika mimba za baba

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 Před měsícem

      @@RahimaMct-ik8mr😂😂😂😂😂

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 10 dny

    Huyo baba aache kuchukua hela za watu😢

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před rokem +1

    Mtihani duniya imefika ukingoni sikuizi kubaka imekua ni dili ukiwa na mtoto imekua ni dili lakini mungu yupo

  • @rodasanga1312
    @rodasanga1312 Před rokem +3

    Hizo mimba ni za kwako wewe baba

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Před měsícem

    Kuna kijana amefungwa kama utani Kwa mambo kama haya, anamtumia binti yake kujiingizia fedha kijana wa watu ameshahukumiwa miaka 30, ila Mungu atamsimamia tunaamini, maskini hana haki

  • @erickmanyeck3913
    @erickmanyeck3913 Před rokem +1

    Watoto wawili wote wawili wanaujauzito?

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 Před rokem

    Arusha ooyeee

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 Před rokem +2

    Kwamba hakuna mabinti wengine hapo mtaani?? Mungu ingilia kati

    • @mlamytz
      @mlamytz Před rokem

      Wapo lkn wakwake ndio wanatoa ofa

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d Před rokem +5

    Kama mmeshamjua anafanya biashara ya kuibia vijana kwa kisingizio hicho afu watt wake huenda wanafanya umalaya wao sasa kwann awe anaomba pesa!? Kesi ya uongo utakuja fanyiw kitu kibaya bure wew ongea na wanao kuhus tabia zao mbaya afu wanafunzi acha kusingizia vijana mtaani unawapotezea ndoto zao za maisha. Huyo ameamua kufanya hvy ili kujipatia pesa maskin itamponza na wanae mchaga ndio utafute pes kwa njia hiyo!? Ujinga tu na umaskin.

  • @isackeliphas690
    @isackeliphas690 Před rokem +1

    Serikali ya mama iko macho itawasaidia afu kumbe huu msemo ni wa kweli ( every problem is an opportunity)

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Před rokem +1

    Noel anauchungu mno,,,nikwel katiba mpya ni muhim sana ,,watu maskin wanateseka mno,jaman jaman,

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Před rokem

    Kwann asingiziwe kubak , subirn upelelez

  • @norahazan796
    @norahazan796 Před rokem +1

    Huyu baba usikute ujauzito ni wake alikuwa anawala kimyakimya

  • @geeva99
    @geeva99 Před rokem

    Huu ugoroko wa hela ni wa level za fisi wa mapangoni, mambo ya aibu sana

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před rokem

    Kikubwa hapo sio kumfukuza kijijini! Ni kukataa au kuzuia watoto wenu kwenda kwa mtu yoyote! Watoto wakae nyumbani na mtoto wako akitoka ana safari maalmu na sio kwenda kwenye mji wa mtu! Afu inakuaje watotp wake tu ndo wanabakwa mtaa mzima?

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 Před rokem

    Subuhanna Allah 😭

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před rokem

    Sasa niulize mbona watoto wako ndiyo wapewe mimba na kulawitiwa na watu tofauti ama unawatumia mwenyewe unajitetea upewe matumizi 😂😂😂😂

  • @josephmugala1970
    @josephmugala1970 Před rokem +1

    Hiyo ndo CCM
    Mmeipenda wenyewe
    Acheni muandamane eeee ccm mbele kwa mbeleeeee

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l Před rokem

    Ila.kilimanjaro Kuna jamboree litaanzia hapo matukio ni mentioned mnomno cjui Kuna Kosar gani

  • @glorymsopa4221
    @glorymsopa4221 Před rokem +1

    Huyu kaka nimmpenda hiyo ndio dawa

  • @mecksonjoseph2522
    @mecksonjoseph2522 Před rokem +1

    Ww una uza watoto uta juta kuzaliwa wananchi washa kukataa

  • @monerexshowz5200
    @monerexshowz5200 Před rokem +1

    Watu wa kaskazini na uongo du hawa husiwasikilize

  • @AmosYusuph-cj6gb
    @AmosYusuph-cj6gb Před rokem +1

    Serikali iweke sheria binti akibebashwa mimba nae aajibike maana kwa %furani nawao wanachangia sikuizi vijana wanategewa mitego mingi ili kuingizwa mtegoni pia ukiangalia hapa kuna janjajanja serikali litazameni hilo kwa Makin vijana tutaishia jera

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před rokem

      mama usiwe mthaifu kiasi hicho hizo ela zenge mtokea puani awezekani nchi iwe kama aina uongozi nenge mfanya kuku mpumbafu huyo mpumbafu

  • @telkilo1240
    @telkilo1240 Před rokem +2

    ndo tanzania 🇹🇿 iyo

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Před 2 měsíci

    Arusha Arusha Arusha mna nini jamani.Huu Mkoa unahitaji maombi

  • @pendo8082
    @pendo8082 Před 2 měsíci

    Huyu baba anawatumia watt wake ili apate pesa na usikute huo ujauzito wa watt wake labda ni yy ndio kawajaza mimba

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Před rokem

    Kuna wakati hila hutumika ili kumnyima maskini wa Mungu haki yake ila OLE WA MUNGU UKO JUU YENU mjue madaktari hawawezi kutoa majibu ya vipimo vya uongo

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 2 měsíci

    Umeona sasa nawambiaga wengi waliopo jela wamesingiziwa usione mtu anasema mtoto wake amebakwa sengi wao ni waongo

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 Před rokem

    Kwani sheria za Tanzania zikoje ushahidi uliotolewa mpaka kubaini kuwa watoto wamebakwa na huyo mtuhumiwa ni nini?

  • @talents7934
    @talents7934 Před 2 měsíci

    Kama kweli mtoto kabakwa Unataka hela za kazi gani?? Maanake unawauza au? Yani hao mabinti wakipepelezwa vizuri watasema huenda baba yao ndo anawabaka

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Před rokem

    Milady ayo isambaze tena iyo video viongozi waone walichukulie huzito huo

  • @augustkisaka5107
    @augustkisaka5107 Před rokem

    Hiili swala lina shida linaitaji uchunguzi ,au kamati ya uchunguzi navipimo vya dnA

  • @prince.eric_msemwa9732

    Kesi zake ziwe reviewed..zimrudi!

  • @Magdalene-er2ur
    @Magdalene-er2ur Před 2 měsíci

    Eti serikali itachikua nafasi yake nakati wewe ushakua serikali mwenyewe .Na kama ulichukua pesa

  • @lordymawoiya5818
    @lordymawoiya5818 Před 6 měsíci

    Au ni ndugu ya sambaya

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 Před rokem

    Subiri wajukuu waje wafananie na babuuu huyu Mzee mshenzii ata kuongea hawezi shenziii huyu Mzee

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Před rokem

    Mupeane nafas kuzungumza,,,,,,,hata wabunge wanatii hili suala lakuzungumza kila mtu kwa naras yake,,,,,😂,

  • @user-wr2pm7of5w
    @user-wr2pm7of5w Před 2 měsíci

    ngoja wazaliwe wapimwe DNA ndoutajua maana ya sheria

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před rokem

    Huyu baba kawala watoto wake afu anasingizia vijana wa majirani oneni alivokosa hayaa

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Před rokem

    Wapimwe DNA

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 Před rokem

    Apo inatakiwa uchunguzi wa kuna

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před rokem

    hao WATOTO WANA MIAKA MINGAPI

  • @monicambuya-sq9ms
    @monicambuya-sq9ms Před rokem

    Wewe watoto wako ulikula mwenyewe mimba zako hizo inawezekana ndio maana mama yao alikukimbia

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před rokem

    Huyu jamaa anaonekana kabisaaa kua mpigaji wa wanae 😅anakula mwenyewe huyu ila hao watoto 2 wana mimba na kama mama yupo mbalj basi huyu ndo anazagamua😅 anaonekana tu huyu sura yake😂

  • @flavy_kipps4025
    @flavy_kipps4025 Před rokem

    hiki kitu Arusha kipo sana

  • @user-gs1xl8nu1s
    @user-gs1xl8nu1s Před 2 měsíci

    Nyakati za mwisho ziko mlangani zinabisha hodi

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Před 2 měsíci

    Hawa watoto ningekuwa hiyo kidinga ningepiga wote makofi

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před rokem

    Acha kizazi chake sasa kibakwe na shetani hadi madakitari waliotoa ripoti ya uongo nao vizazi vyao vishughulikiwe na shetani.

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Před rokem

    Kwani nini hukuwaonya watoto wako??watoto wako wenyewe walikuwa wataka kuwafuata wanaume

  • @annaurassa7082
    @annaurassa7082 Před měsícem

    Fukuza kijijini

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 Před rokem

    Wewe baba ni mpumbavu

  • @user-sl7mi8vc9b
    @user-sl7mi8vc9b Před měsícem

    Wakizaliwa watoto wakapimwe DNA KATI YA WATOTO WATAKAO ZALIWA NA BABA HUYO

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l Před rokem

    DNA wapimwe mimba za nani

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Před měsícem

    Nyie Wachaga nyie kwanini hivi?

  • @givenmabena4950
    @givenmabena4950 Před rokem

    Huyo mjanja anazagamua

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Před rokem +1

    hao watoto wapimwe DNA, Huyu baba mwenyewe akili zake haziko sawa,

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před rokem

    Iyo ni kama yule mzee wa kiislam nae alie ambiwa hivyo hivyo

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před rokem

    wasubiri watoto wazaliwe NDIPO DNA IFANYIKE

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 2 měsíci

    SERIKALI INGOJE HIZO MIMBA ZIZALIWE NA WAPIMWE DNA HUWENDA NI VITOTO VINATABIA YA UCHAFU MAJIBU YA DNA YATASEMA KWELI.

  • @thinktwice7176
    @thinktwice7176 Před rokem

    NYIE ARUSHA NA MOSHI ACHENI TABIA ZA KUSINGIZIANA KESI ZA AJABU

  • @flackomasterbaddest4155

    Nchi imeuzwa

  • @RidhwanyIssa-nw9hz
    @RidhwanyIssa-nw9hz Před 10 měsíci

    Ww jamaa ungekua huku mh

  • @JumaMsukwa-bu5nt
    @JumaMsukwa-bu5nt Před rokem

    Shida isihalibu undugu

  • @saimonmloka8210
    @saimonmloka8210 Před rokem

    Uyo baba ni muongo ata akiongea tu unajua

  • @fettyramadhan622
    @fettyramadhan622 Před rokem

    Kupatia mimba mtu ni kumbaka

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 Před 2 měsíci

    Waarusha naitwa sijui nn mushi Rudi Moshi wewe

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před rokem +3

    Wachaga wana matatizo sana hawana utu hata kidogo wao pesa mbele ndio maana jamii zao zina migogoro mingi na mauaji, yaani wachaga wanaweza kuuwa hata ndugu mume mke kwa ajili ya hela .

    • @yorandayorandan4018
      @yorandayorandan4018 Před rokem +1

      Ww una matatizo sana heri yako ww jamii yako ipo vizuri

    • @jacklinmacha2964
      @jacklinmacha2964 Před rokem

      Hujielew jee familia yako ipo salama

    • @ireneshao7950
      @ireneshao7950 Před rokem

      Sio wote utakua unatukosea hiz shida ziko Duniani kote mpendwa tuombe tuu Mungu

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Před rokem

      @@ireneshao7950 wachaga mmezidi hamna utu nyie kwenu pesa kila kitu

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Před rokem

      @@yorandayorandan4018 wachaga mmezidi hamna utu nyie kwenu pesa kila kitu

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 Před rokem

    Kumbe ni matoto makunwa TU mjinga wewe unawauza watoto mbwa wewe

  • @mmbando
    @mmbando Před rokem

    Kidinga wa ujinga mwingi sana, mnao comment hapa hamjui, huyu jamaa yuko na mke wake, lakini mke hakai na watoto karibu,
    Hii kesi walitaka kumalizana nyumbani, baadae watetezi wa watoto ndio waliingilia kati, wakaendesha kesi, huyu jamaa hana pesa ya kumhonga hakimu amfunge mtu..
    Nanyi jiulize, unadhani hakimu hana akili, mpaka amfunge mtu maisha kirahisi.. mtoto aliyelawitiwa ni mdogo, hao wenye mimba ni wakubwa.
    Kidinga wanaujinga sana, wamezoea kesi za ubakaji wanarudisha nyumbani, sasa hapo wameshindwa.
    Elimu bado ni ndogo sana kwa jamii hii.. hao waliopewa mimba, wamepewa na vijana wawili, mmoja amekimbia, mmoja ndio anaendesha kesi..
    Mkisema amemsingizia, basi na hakimu wa serikali, ni mjinga kiasi gani amfunge mtu maisha..

    • @hemedyawadhi2935
      @hemedyawadhi2935 Před 11 měsíci

      Waty ndy walivyokuongea vitunwadivyo vijua kama wanajua

  • @JumaMsukwa-bu5nt
    @JumaMsukwa-bu5nt Před rokem +1

    Wewe mumwongo kwanni uslipot polisi

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Před rokem

    Yaani huyo kijana kosa lake siyo kubaka ni kumpa mimba mwanafunzi
    Huyo baba anaongea kwa uchungu hata mngekua nyie mtoto wako wakike anafanyiwe hivyo mngejisikiaje
    Ila alichokosea tu ki kuomba hizo pesa tena uchumi wenyewe wa shida

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Před rokem +2

    Waliobakwa wawe wanawekwa ndani pia,nawao ni wakosaji pia.Hiyo Sheria isipobadilishwa watoto wa kiume na wanaume sasa hivi wanasingiziwa sana kesi za kubaka.Huo ni mfano halisi.

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 Před rokem

      Hakika hilo litakuwa suluhisho , maana watoto wetu wa kike nao wamekuwa wa moto ,ikitokea mwanamke kapata mimba wote wawekwe ndani itakuwa suluhisho kubwa

    • @khalfanikimanta6663
      @khalfanikimanta6663 Před rokem

      @@neemamasimba2981 Na mfano wa maamuzi haya mwenda zake alijaribu kuonyesha mfano watu wanaojiita watu wa haki za binadamu wakaona mawazo yake hayafai

  • @augustkisaka5107
    @augustkisaka5107 Před rokem

    Alie bakwa na alie baka wote wakifinywa vizuri ukweli utajulikana tu, uwezi kusema ati mto wakwanza ametiwa mimba ,na mwingine tena ,ukiona ivyo mzee una malezi

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před rokem

    DNA ihusike tu hahahahaaaaa kawajaza mimba mabinti zake na pia yaonyesha ni wale wababa wa ovyo

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před rokem

    wasubiri watoto wazaliwe NDIPO DNA IFANYIKE

  • @fettyramadhan622
    @fettyramadhan622 Před rokem

    Watoto wako wenyewe ni wajinga unazani ukimfunga watu hovyo ndo awata zaa ao watoto wako ni wajinga mbona walikwenda kuzitega kama mimba ndo useme wamebakwa tamaa zao na ww baba ao tumia busara ww ni mtu mzima