Ongea zenu tu zinaonesha mnazarau hamna uchungu na wananchi wanavyoyeseka kama viwanda vmefngwa simuwalipe haki zao nanyie mfunge waangalie kazi kwngine. Mnapoendelea kuwaweka hapo mnamaana Gani,
Nyie wenye viwanda mnaingiza pesa sana iweje msiwalipe pesa zao, hawa mnaowaona wana watoto wanasomesha wanahitaji kila kwanini hamjali nguvu zao walizotumia hii sio sahihi,kwanza kishelia mlitakiwa mshtakiwe kwa usumbufu mnaowafanyia hao wafanyakazi, ingekuwa huku ulaya yani mngelipa tu usumbufu tatizo tz mnaleta mazoea kwenye muda wamtu muda nimali sana ktk maisha ya mwanadamu, africa kunawatu mnacheza sana na muda wawatu sana sana atuzingatii muda mnachukulia powa sana.
Asha ana balaaa sana
Njoo mjini asha uchangamsh riverside kumepoa
Nasikia moyo wangu kuwaka hasira kali sana ndani ya moyo wngu.Hivi kweli kweli kabsa,serikali yetu inashindwa nini ?
Ongea zenu tu zinaonesha mnazarau hamna uchungu na wananchi wanavyoyeseka kama viwanda vmefngwa simuwalipe haki zao nanyie mfunge waangalie kazi kwngine. Mnapoendelea kuwaweka hapo mnamaana Gani,
Natamani sanaa siku nipate hela niwasaidie wanawake 😢😢
Mwanamke yupi 😢
Nyie wenye viwanda mnaingiza pesa sana iweje msiwalipe pesa zao, hawa mnaowaona wana watoto wanasomesha wanahitaji kila kwanini hamjali nguvu zao walizotumia hii sio sahihi,kwanza kishelia mlitakiwa mshtakiwe kwa usumbufu mnaowafanyia hao wafanyakazi, ingekuwa huku ulaya yani mngelipa tu usumbufu tatizo tz mnaleta mazoea kwenye muda wamtu muda nimali sana ktk maisha ya mwanadamu, africa kunawatu mnacheza sana na muda wawatu sana sana atuzingatii muda mnachukulia powa sana.
Mh serikal mliangalie hili swala kama mwekezeji ameshindwa awaachie wanaoweza
Polenii jamani 😂😂😂😂mama alinizaa wa nini jamani asha kawa bibi
Bado hamjasema
Hakuna anaewaskia nchi inaliwa mtabakia wanyonge sana tu wakubwa wanakula
Duuh! Kali, jamaa kazimia kainuliwa kasimama😅😅😅😅
Awamu ya wawekezaji. Kauli za viongozi, wawekazaji wasisumbuliwe inawapa kichwa.
Pole sana
Sasa wanasema rais awa saidie kila mtu ana sema rais awa saidie du ina maana hakuna mkuu wa mkoa huko kwenu? Ama DC
Daah😢😢
Njombe yangu bhn eti shika ka ten😂
Apo nyeva makasi😂
Tz nchi yangu