SIKU YA TATU MGOMO WA WAFANYAKAZI KUDAI MISHAHARA KIWANDA CHA CHAI, "KIJANA AZIMIA MBELE YA DIWANI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024

Komentáře • 18

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo Před 8 dny +2

    Asha ana balaaa sana
    Njoo mjini asha uchangamsh riverside kumepoa

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 Před 7 dny

    Nasikia moyo wangu kuwaka hasira kali sana ndani ya moyo wngu.Hivi kweli kweli kabsa,serikali yetu inashindwa nini ?

  • @user-pw2rl5zs1v
    @user-pw2rl5zs1v Před 8 dny +2

    Ongea zenu tu zinaonesha mnazarau hamna uchungu na wananchi wanavyoyeseka kama viwanda vmefngwa simuwalipe haki zao nanyie mfunge waangalie kazi kwngine. Mnapoendelea kuwaweka hapo mnamaana Gani,

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 Před 8 dny +3

    Natamani sanaa siku nipate hela niwasaidie wanawake 😢😢

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Před 7 dny

    Nyie wenye viwanda mnaingiza pesa sana iweje msiwalipe pesa zao, hawa mnaowaona wana watoto wanasomesha wanahitaji kila kwanini hamjali nguvu zao walizotumia hii sio sahihi,kwanza kishelia mlitakiwa mshtakiwe kwa usumbufu mnaowafanyia hao wafanyakazi, ingekuwa huku ulaya yani mngelipa tu usumbufu tatizo tz mnaleta mazoea kwenye muda wamtu muda nimali sana ktk maisha ya mwanadamu, africa kunawatu mnacheza sana na muda wawatu sana sana atuzingatii muda mnachukulia powa sana.

  • @prosperiamdetele1421
    @prosperiamdetele1421 Před 8 dny +1

    Mh serikal mliangalie hili swala kama mwekezeji ameshindwa awaachie wanaoweza

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 Před 8 dny +1

    Polenii jamani 😂😂😂😂mama alinizaa wa nini jamani asha kawa bibi

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 8 dny +2

    Bado hamjasema

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Před 8 dny +1

    Hakuna anaewaskia nchi inaliwa mtabakia wanyonge sana tu wakubwa wanakula

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Před 8 dny

    Duuh! Kali, jamaa kazimia kainuliwa kasimama😅😅😅😅

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 Před 7 dny

    Awamu ya wawekezaji. Kauli za viongozi, wawekazaji wasisumbuliwe inawapa kichwa.

  • @LovelyFishingRod-ij7mk

    Pole sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 5 dny

    Sasa wanasema rais awa saidie kila mtu ana sema rais awa saidie du ina maana hakuna mkuu wa mkoa huko kwenu? Ama DC

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 5 dny

    Daah😢😢

  • @IssahNyamle
    @IssahNyamle Před 8 dny

    Njombe yangu bhn eti shika ka ten😂

  • @IssahNyamle
    @IssahNyamle Před 8 dny

    Apo nyeva makasi😂

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 Před 8 dny +1

    Tz nchi yangu