MTOTO WA BILIONEA MSUYA AFUNGUKA MAZITO, MAMA AANGUA KILIO, MGOGORO MALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 10. 2019

Komentáře • 924

  • @mamani6411
    @mamani6411 Před 4 lety +23

    Mama Ni Mama Hongera Mtoto wa Erasto👏Wewe Ni Shujaa

  • @protasshaban3714
    @protasshaban3714 Před 4 lety +95

    Sijawahi kuona mama kama huyu. Mkuu wawilaya plz tetea hawa watoto na mungu akubariki

  • @naomiherman1792
    @naomiherman1792 Před 4 lety +7

    👏👏 Nakupongeza Mh. DC
    What a Leader is, Encourager, relationship builder, problem solver and leadership involves loving and listening , attendance and accountability.
    Jamani Mh Muro amekuwa akitatua migogoro katika ofisi yake Arumeru , sijawahi kuona umati usiopungua toka amekuwa DC -Arumeru mpaka sasa, anatatua migogoro ya kutosha kila siku..kweli ni kiongozi wa kuigwa kwa uwajibikaji wa hali ya juu.
    Hiyo ya family ya Msuya cha mtoto, ila hajawahi kuchoka, anafanya kwa upendo wakati wote.
    Mungu akubariki sana Mh, una moyo wa pekee sana.

  • @mteulenyotamchana2623
    @mteulenyotamchana2623 Před 4 lety +1

    I love you man of wisdom may God our Father bless you your family and your friends. And that family be touched by the holy spirit to know how to forgive each other. That son I pray God to get space in his heart hes blessed of the Lord and he need God intervention.

  • @rmags8654
    @rmags8654 Před 4 lety +16

    Huyo mtoto anavyomtetea mama yake it’s so touching!!

  • @elizabeth3d565
    @elizabeth3d565 Před 4 lety +7

    Mtoto yuko sahihi uwezi nipenda mimi ukamchukia mamayangu we mama muogope mungu una upoteza mji wakona kizazi chako kwatamaa zako

    • @Do-it-yourself_at_home
      @Do-it-yourself_at_home Před 2 měsíci

      Sasa kama mama kaua kwahyo na mtoto hajaua kwahyo tumpende tuu mama kwasababu tunampenda mwanae?

  • @evamlay8997
    @evamlay8997 Před 4 lety +149

    Mungu atawachoma nyiee mnaotesa watoto wa marehem ila mtambue malipo nihapa duniani

  • @devotajafary6025
    @devotajafary6025 Před 4 lety +10

    Mama yke huyo billionea anataka Mali za mwanae nahis hana uchungu na kifo cha mwanae bali ana uchungu na mali za mwanae😢😢😢😢😢😢😢

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Před 4 lety +27

    Nyie ndugu acheni hizo wapewe Mali zao hata wakitapanya zao, kwani baba yao alipokuwepo mlikuwa mnampangia? Acheni Mali ni za watoto haziwahusu

  • @paschalm9849
    @paschalm9849 Před 4 lety +96

    Kama unaipenda awamu ya Magufuli gonga like👇🏾❤️

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 Před 4 lety +14

    Dah!.
    Hao watoto wana tia sana huruma.
    Mheshimiwa muro pambania haki ya hao watoto.

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan1750 Před 4 lety +46

    Nilikuwa natimaza tuu leo. Nimeumia saanaa. Kijana kuongea hivo. Yaani nae walimuweka ndani. Ili wachukue vizuri mali.subuhanallah.

    • @elizabethlukoo4662
      @elizabethlukoo4662 Před 4 lety

      Asha Zaharan Hawa ndugu ni shida
      Yani km waliombea ndugu yao afe 🙌

    • @ashazaharan1750
      @ashazaharan1750 Před 4 lety

      Elizabeth Lukoo. kweli kabisa mungu awape subira hawa watoto

    • @casttraining1575
      @casttraining1575 Před 4 lety +1

      Asha dunia ni pana mno na hisia hudanganya kifo cha billionear kilikuwa cha utata mno wamachame wanajulikana kwa tabia za kuungana na watoto kuuwa waume zao kwa ajili ya Mali. Na hata merciana Mengi aliwahi kufanya jaribio la kumuua marehem regnald mengi kwa sumu mdada wa kazi ndio alimuokoa. .wenye uchungu na damu yao ndio huumia. ..lakini sheria haiwatambui. ..

    • @nuurinkluge7584
      @nuurinkluge7584 Před 4 lety +1

      😥😥 so sad. Hizi zataka nini?? Mali wapatiwe watoto..hizo ndugu wakishapata jama

    • @ashazaharan1750
      @ashazaharan1750 Před 4 lety

      Nuurin Kluge .mwenyezi mungu ndie hakim kati yao na hawa watoto

  • @erickkimario6180
    @erickkimario6180 Před 4 lety +52

    Hyu mtto mpaka amenitoa machozi anavyomtetea mamake

    • @janethmadulu2746
      @janethmadulu2746 Před 4 lety +9

      Mama ni mama..na mtoto hawezi kukuelewa kama humpendi mama yake

    • @nuurinkluge7584
      @nuurinkluge7584 Před 4 lety +2

      Ohoo i feel pain..hawa watoto wanaonewa ,,but wako wakubwa wawapatie mali zao , ndugu haziwahusi jamani niwatoto tu..namama yao sijui hata huyo Mama yao atatoka lini jela?? Pia watoto niwakubwa wanauwezo wakuzimili mali wenyewe sababu washakuwa naumli mkubwa wao sio watoto tena.hata wakizitumia mali vibaya nizao.

    • @superwomanmwenyeheri.1367
      @superwomanmwenyeheri.1367 Před 4 lety +4

      Lakini kwanini mama take alihusika ktk mauaji?
      Hats wazaz was Erasto wana uchungu sana na watoto wao 2 waliouwawa!.....khaaa!

    • @minjashose2159
      @minjashose2159 Před 4 lety

      Erick Kimario hakuna kama mama jaman

    • @agreykayombo2782
      @agreykayombo2782 Před 4 lety

      KWA wazazi WAKAE kimya WAKATI wamepoteza watoto wawili??? Na huyo mama amekiri kuhusika kwenye muuaji ya wifi yake HALAFU mpumbavu mmoja anasema ujinga KUWA sipendwi eti mama YUKO mahakamani waondoe kesi.Jaribu kuchukua NAFASI ya hao wazazi uone kipindi wanachopitia.SHERIA IFUATE MKONDO WAKE .NA WEWE KELVIN JIONDOE HAPO KUEPUSHA MANENO.UNAPONG'ANG'ANIA INAONYESHA UNA MASLAHI BINAFSI HAPO.

  • @liyanakarzan182
    @liyanakarzan182 Před 4 lety +3

    😘😘😘😘nimeipenda sana serikali yangu kutenda haki ya kuonewa kwa wajane kisa mali

  • @agnesskiaka950
    @agnesskiaka950 Před 4 lety +5

    Asante sana kaka yangu Jerry muro Mungu akubariki sana

  • @streetboy6987
    @streetboy6987 Před 4 lety +17

    Naikumbuka ile nyimbo ya
    TUTATOANA ROHO YALABI

  • @azizahmkindi393
    @azizahmkindi393 Před 4 lety +21

    Watoto wamerehem wanadhalilika kwel mungu anawaona wanao fanya dhulam mali za marehem haki itendek watoto wapewe haki yao

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe3075 Před 4 lety +3

    Mungu baba tunaomba uwape watoto wako Wa pande zote amani na utulivu. Tunafaham hii ni hila ya shetani ameamua kuitesa familia hii. Tunaoshuhudia hali hii tunatubu Kwa ajili yao Bwana. Ninawaweka wote mikononi mwako Yehova. Ukiwashika wewe Yesu uchungu na mauaji kwao yatakoma. Babu, bibi, wajukuu, mashangazi, wajomba na mama yao. Bwana Yesu gusa na kuwaumbia kitu kipya miyoyoni mwao. Asante Yesu Kwa kumpa Mkuu Wa Wilaya kibali cha kuzungumza nao. Tumeona ulivyojifunua na hekima ikatawala. Mungu wetu tunakushukuru Kwa sababu ya huruma na rehema zako. Amen.

  • @brunonsungwe8389
    @brunonsungwe8389 Před 4 lety

    Mweshimiwa Muro uko vizuri sikutegemea kama ungeyatendo yote hayo. Mungu akufikishe mbali kwa kujali wajane

  • @lucygodlove8838
    @lucygodlove8838 Před 4 lety +4

    Safiii Murro.. família nyingi sana huwadhurumu wajane na watoto.

  • @emmanuelmwananzila776
    @emmanuelmwananzila776 Před 4 lety +87

    Siku zote mtoto amwachi mama

  • @Grandpamotivator
    @Grandpamotivator Před 4 lety +96

    Na zile hela za marehemu walizojigaia million 200 kila mtu wazirudishe. wanga kabisa

    • @evaomarymasinde262
      @evaomarymasinde262 Před 4 lety +4

      Wamechukuwa million 400.

    • @klaragreen7999
      @klaragreen7999 Před 4 lety +5

      Yaan waombe tu JPM asitamke kitu watazitapika bila kupenda

    • @thomasraiton7760
      @thomasraiton7760 Před 4 lety +1

      Hahaha wameonja utamu halafu warudishe? Hapo walitaka waendeleze kumega

    • @aminamasawe3221
      @aminamasawe3221 Před 4 lety +1

      Asante Muro kwa point yako muhimu sana ndugu tamaa zimewajaa hao

    • @khalekichambo2143
      @khalekichambo2143 Před 4 lety

      200 ni haki yao wameachiwa kimaandishi 40% ya pesa benki wapewe wazazi. Wazazi ndio wakawagawia wadogo wa marehemu 20%, 73 million kila mdogo wa kike

  • @upendomndeme9478
    @upendomndeme9478 Před 4 lety

    Dah mali hizi, Mungu awatetee hao watoto. Hongera Dc kwa kulisimamia hilo

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 Před 4 lety +1

    Safi sanaaa Dc wallah nimempenda gafla bini vuuuuu

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 Před 4 lety +70

    Laiti ingekuwa Ni sheria ya kiislamu Hilo nadhani lingekuwa limekwisha yaani Mana kitabu Cha mola kimeshagawa mirathi kikamilifu anajulikaana kila mmoja apate ngapi

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 Před 4 lety +3

      Ingekua taifa la Ki islam

    • @aboudmsonde886
      @aboudmsonde886 Před 4 lety +1

      @@bjzee1981 Mali c ya taifa

    • @eugenyurassa2183
      @eugenyurassa2183 Před 4 lety +4

      Dini haiwezi kuiondo haki ya wazazi na familia yangu kwa ujumla,siku zote Amani yakweli ipo kwa Mungu wetu.

    • @nuranzubail8134
      @nuranzubail8134 Před 4 lety +4

      @@eugenyurassa2183 hata dini haikuwaacha wazazi wana fungu lao

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 Před 4 lety

      @@aboudmsonde886 . Ndiyo lakini ikishafika mahaamani itafuatwa sheria ya serikali tu labda famila wenyewe wawe wa elewa wamalizie mambo yao nyumbani

  • @evamlay8997
    @evamlay8997 Před 4 lety +63

    Muro nakuaminia tete haki yahao watoto

  • @johnkyara2016
    @johnkyara2016 Před 4 lety +13

    Pesa hizi mungu alisema ni vigumu Tajiri kuona ufalume wa mbingu

    • @nuruemma7258
      @nuruemma7258 Před 4 lety +1

      Mali ni haki ya mke na watoto tu. Babu na bibi waache tamaa.

  • @chileshebwilya8967
    @chileshebwilya8967 Před 4 lety

    Hongera sana Mheshimiwa Muro.. Wewe ni kiongozi mwenye busara..

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před 4 lety +44

    Wazee hawa warafi mali haziwahusu pambaneni na hali zenu

  • @scarionrevelian
    @scarionrevelian Před 4 lety +3

    Jerry Mungu akubariki mama mzazi was Elasto jitagakari

  • @stevelayda8555
    @stevelayda8555 Před 4 lety

    Heri wapatanishi maana ufalme wa mbinguni ni wao. Ubarikiwe sana mhe DC Jerry Murro.

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Před 4 lety

    Dunia tunapita Atuishi milele.na Tutaacha kila kitu kilichopa Duniani.Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo.Tufanye Ibada na tutowe Sadaka kujenga kesho yetu Mbele za Mungu.Allah Atufanyie wepesi sote na tuwe na Mwisho mwema InshaAllah.

  • @frankmapesa4386
    @frankmapesa4386 Před 4 lety +3

    Mh. Na serikali kwa ujumla kazi nzuri mmefanya pongezi.. Lakini hakikisheni ulizi wa hawa watt masaa 24 . Kwa maana muharibifu lazima awe tu humo humo kwenye familia.. Na yupo kazini masaa 24

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 Před 4 lety +35

    We mama soma kutoka 22 Mungu atawaua wote wanao watesa yatima

  • @frankkimario1999
    @frankkimario1999 Před 4 lety

    Ongera kaka yangu wa kolila sec kwa kaz nzuri

  • @nachatvonline2996
    @nachatvonline2996 Před 4 lety

    MUNGU AKUBARIKI SANA MH. JERRY MURO, WEWE NI KIONGOZI MWONGOZA NJIA ARUMERU NA TANZANIA IMEKUONA

  • @WivianRich
    @WivianRich Před 4 lety +26

    Zile asilimia 40 si wameshapewa tayari mama million 200, baba million 200, na wadogo wa marehehemu million 75 kila mmoja kasaini na mgodi wanao. Sasa wanataka nn tena.?? Jamanii

    • @fatmaabdallah8743
      @fatmaabdallah8743 Před 4 lety +3

      Milioni 200 hazimtoshi huyo mama anaonekana ana tamaa sana ndio hawa kina mama wanaotembea na watoto wadogo kwa tamaa zao

    • @fatmaabdallah8743
      @fatmaabdallah8743 Před 4 lety +2

      Kama ni binadamu mwenye imani na kumjua mungu kwa misiba aliyopata ya watoto wake asingekuwa hata na hamu ya kutaka mali

    • @klaragreen7999
      @klaragreen7999 Před 4 lety

      Wanavuta bangi hao

    • @victorjames3730
      @victorjames3730 Před 4 lety +3

      Sisi binadamu hatuna jema 200milioni na mgodi wamepewa bado nyie ndugi mnataka nini??

    • @nuurinkluge7584
      @nuurinkluge7584 Před 4 lety +2

      That is true..sijui warataka nini..from germany hier twaona twashangaa🤔😥

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 Před 4 lety +41

    Yani mali za watoto mnataka ma-m-bwaaa nyieeeee!Shame on you....Acheni uroho

    • @biggiebonge4231
      @biggiebonge4231 Před 4 lety +1

      Hahahaha kabisa

    • @mercysamuel9290
      @mercysamuel9290 Před 4 lety +1

      Ml,miambili,kila,mmoja,wakati,minapambana,kutafuta,laki,tano,hadi,nakonda,kweli,kina,Msuya,shkamooni,tu

  • @furahakonde6259
    @furahakonde6259 Před 4 lety +1

    Magufuli nakupenda Sana unakarimu wako mungu akunguliye akupe uzee uzuri akulinde magonjwa na maadui wako washindwe kwa jina la yesu

  • @aishamawalla1839
    @aishamawalla1839 Před 4 lety

    Asanteee Mkuu wetu hata kwa maombi hayo mungu uyapokee

  • @barakaakyoo1905
    @barakaakyoo1905 Před 4 lety +3

    Safi muhishiwa wetu umezungumza maneno yenye busara sana

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    MWISHO KABISA UMEGONGA NDIPO JERU MUHURO 🙏🙏🙏🇰🇪🇨🇿

  • @dicksonmoshi7480
    @dicksonmoshi7480 Před 4 lety

    Katika hili Mheshimiwa jerry Muro umetenda mema sana hakika Mungu akawe baraka kwako

  • @nazirnoor4160
    @nazirnoor4160 Před 4 lety

    Hongereni.
    Mali si mali.
    Mali ni........
    Tajirika kwa wastani tu, sio ndugu, wazazi, watoto wala mke, wote wanaweza kua wabaya juu ya mali zako.

  • @hatibuathuman1178
    @hatibuathuman1178 Před 4 lety +55

    Mkeee yupo wototo wapo Leo eti ndugu acheni tamaaa wenyewe si wapo jaman

    • @elizabethlukoo4662
      @elizabethlukoo4662 Před 4 lety

      Apo sasa Yani ndugu ni shida

    • @fatmaabdallah8743
      @fatmaabdallah8743 Před 4 lety +1

      Huyo mama mtu mzima hana hata haya anataka kuwadhulumu wajukuu zake. Wana tamaa ya mali inawezekana walihusika kumuua mtoto wao Erasto kusudi wapate kurithi mali. Hawana haya! Hovyoooo

    • @husnauthman7609
      @husnauthman7609 Před 4 lety

      Wanaume kuwen makn has hao ndugu zako ndio wataitesa familia yako

    • @hamisimterela45
      @hamisimterela45 Před 4 lety +1

      @@husnauthman7609 wazazi pia wanahaki naujue pia mke anatakiwa apewe thumni yake aondoke maana mali niya watoto

    • @husnauthman7609
      @husnauthman7609 Před 4 lety

      @@hamisimterela45 yap cjakataa mzaz pia ana haki ila co ukoo mzma

  • @ramadhanihassani256
    @ramadhanihassani256 Před 4 lety +23

    Haya maisha bhanaa ukiwa tajirii shidaa ukiwa masikini utadharaulika mpaka nandugu sasa daaa weachaa mambo ya ndugu

  • @conradernest1435
    @conradernest1435 Před 4 lety

    Kaka jerry kazi nzuri

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Před 5 měsíci +1

    Mungu Awatangulie Awalinde ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai awape utulivu

  • @sadickrajabu1191
    @sadickrajabu1191 Před 4 lety +73

    Sasa si muwaachie watoto Mali zao

    • @klaragreen7999
      @klaragreen7999 Před 4 lety +3

      Aibu sn. Dada alia alianza kupat mali kabla ya kaka. Ss why unalilia hizi..

    • @yohanastephen
      @yohanastephen Před 4 lety +2

      sadick rajabu mali ni za watoto na mama kwani bado wapo

    • @yohanastephen
      @yohanastephen Před 4 lety +1

      mali ni za watoto na mama yao sio ndugu

    • @jicholafursa7058
      @jicholafursa7058 Před 4 lety

      .

    • @mkobainnocent2368
      @mkobainnocent2368 Před 4 lety +1

      Yaaaani wabongo kupenda mteremkoo, watoto wapo mke wa marehemu yupo,sasa nyinyi ndugu wa pembeni vip si watafute vya kwao? Na kwahali hiyo usikute hata huyo mama kachomekewaa kuuwaaa

  • @thobiaskayange9302
    @thobiaskayange9302 Před 4 lety +3

    Jerry moro kwa mala ya Kwanzaa kutokana na uzito wa jambo nmeona hekima zako za viwango namwaomba Mwenyezi Mungu akusimamiee napiaa ni fundisho kwetu turio baki duniani mali sio chochote tuombe mwisho mwemaaa

    • @vince_vinson.2083
      @vince_vinson.2083 Před 4 lety +1

      Kweli hii ya kwa ya kwanza Jerry Muro ameonesha busara.

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 Před 4 lety

    hongera xana Jerry Muro na mungu akubariki

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 Před 4 lety

    Hahahaha jerry muro mbona kama una leta malavi davi, hahhahha

  • @willylazarusmwaigwisya4306

    Hao wazazi wa erasto msiwalaumu tuu waoneeni huruma wameumizwa kupoteza watoto wawili kwa style moja alafu mtuhumiwa ni mtu wa karibu
    Ni watu wa kuwasamehe

    • @jameslaiser6276
      @jameslaiser6276 Před 4 lety

      Watu wanachukulia kiurahisi sana tu mambo haya hawajui kuwa Wazazi wana uchungu na Watoto wao 2 waliouawa…!!

    • @mariamkikula1614
      @mariamkikula1614 Před 4 lety

      Brother Willy kweli kabisa

    • @janethmadulu2746
      @janethmadulu2746 Před 4 lety

      Wanachokifanya wasipoangalia kitawafananisha na hao wauaji

    • @paschaziantiru1658
      @paschaziantiru1658 Před 4 lety +1

      Eventhough kwamba ameuliwa watoto still watoto ndio wanatakiwa warithi kila kitu cha baba yao yn kwenye sheria haisemi ivyo kwamba familia ya mume ndio iamue nan arithi wakati mke halali yupo na watoto pia wapo wao wapambane na maisha yao cha msingi hizo mil 400 watafte Nini cha kufanya kiwaingizie kipato

  • @johnsamweli6180
    @johnsamweli6180 Před 4 lety +8

    Hamakweli dunia mapito wote dungu mnatolea mach vitu dha mtu katafuta na mke wake leo mnatowa macho yaone nacho 😲😲😲 kama mnapenda ctafute vya kwenu

    • @jacklineerasto6920
      @jacklineerasto6920 Před 4 lety

      John laiti ungejua historia vizuri ya hii huu okoo wala usingecomment kitu usichokijua ungenyamaza kimya...

  • @thobiasmushangaki4735
    @thobiasmushangaki4735 Před 4 lety

    Asante kwa mh mkuu Wa wilaya kuumaliza mgogoro huu

  • @luganohenry6141
    @luganohenry6141 Před 4 lety +2

    poleni sana!Mungu ndiye aliyeruhusu ili awaaibishe wabaya!

  • @christinasolomon8156
    @christinasolomon8156 Před 4 lety +41

    Nyinyi MATAJIRI hilo ni funzo kwenu andikeni WOSIA mapema msisubri mpaka mfe.

    • @rahabumwakajoka6721
      @rahabumwakajoka6721 Před 4 lety +3

      Hiyo familia ilipewa chao mama wa msuya milioni 200 na baba wa msuya milioni 250na wadogo zake msuwa wote walipa eti kila mmoja milioni 70 na zilizobaki akapewa mke na watoto zake Lakini bado wanafamilia ya msuya wanataka na zile pia, inasemekana visa haviishi kwa mke na watoto wa marwehemu ni shda tupu.

    • @damianmakala2913
      @damianmakala2913 Před 4 lety

      Hilo nalo neno

    • @MrTmanU
      @MrTmanU Před 4 lety

      Mke ni halali wasimuelewe alileta maafa kwenye familia ya msuya so nae kisheria anastahili kunyongwa

    • @raphaelungani9024
      @raphaelungani9024 Před 4 lety +1

      Sio kwa matajiri tu

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 Před 4 lety +4

      Hata maskin tuandike pia vikombe arithi nan na makochi nan huku usweken watu wanauana kisa magodoro

  • @samwelkobe6455
    @samwelkobe6455 Před 4 lety +4

    Luv u my mom!! Mtoto wa erasto anauchungu sana na mamake...hao wengine tumieni busara hao watoto wamepoteza baba yao na pia mama yao you magereza na bado mnawapa changamoto kama hizo badala ya kuwaonea huruma jaman....

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV Před 2 lety +1

      Watoto wanahaki kumtetea mama yao rakini mama yao ameuwa wifi yake huyo kijana muongo huyo ndio fitna Sana

  • @juliethmtolela4896
    @juliethmtolela4896 Před 4 lety

    Hongera saaaaaana mhe.Jerry Muro

  • @stenara1
    @stenara1 Před 4 lety

    God bless you Dc

  • @alphaleahibrahim8904
    @alphaleahibrahim8904 Před 4 lety +6

    familia ya mwanaume ni wanafiki sana

  • @top20africamusics31
    @top20africamusics31 Před 4 lety +5

    kutoka kuwa msemaji wa Yanga, hadi mkuu wa Wilaya maisha yanaenda race sana 🙌

  • @brendakimaro3747
    @brendakimaro3747 Před 4 lety

    Mkuu wa wilaya...Murro Mungu azidi kukulinda...nakukubaligi sana ktk kusimamia haki.

  • @leahmedard1849
    @leahmedard1849 Před 5 měsíci +1

    Jerry uko vizuri kwakweli❤

  • @johnkyara2016
    @johnkyara2016 Před 4 lety +10

    Wachagga na wapare huko sio sehemu ya kuoa

  • @bernardmcabbeys9627
    @bernardmcabbeys9627 Před 4 lety +6

    Bibi anaumia huyu mama yao alimuua mtto wk jamani mtto anauma sna mtu asikwambia tuacheni ushabiki

    • @agnestemba8079
      @agnestemba8079 Před 4 lety

      Kweli kabisa watu hawajui hata stori imeanzia wapi wanashabikia tu, mi wasingepata hata mia wangepambana na mama yao jela

    • @reinaldagerodi1525
      @reinaldagerodi1525 Před 4 lety

      Usiyoyajua ni bora kunyamaza ,mtoto anauma ,mm anaumizwa na wanae aliowapoteza

    • @paschaziantiru1658
      @paschaziantiru1658 Před 4 lety

      @@agnestemba8079 kumbeee eeh omba yasikutokee yakikutokea utaona uyo mama na mwanae hawana kosa hatukatai inauma lkn kumbuka siku zote tajiri anamaadui ila watanzania tushazoea mwanaume akifa ameuliwa na mwanamke so muacheni mtoto arithi Vitu vyake

  • @marthamollelloth7673
    @marthamollelloth7673 Před 4 lety

    Kila penye gumu Mungu hukumbukwa. Asante Mungu kwa huruma zako

  • @mako331
    @mako331 Před 4 lety +1

    Mimi namuonea huyu mtoto huruma ila kuna hawa watoto kuwa brain washed hapa na wajomba zao hapa kuchukia upande wa Baba, kumbuka hawa wazazi wamepoteza watoto wawili kwa vifo vya uchungu sana, Kijana kauwawa tena msichana kauwawa kinyama tusiparamie tu kuwalaumu hawa wazazi tena huyo Mama huyu kijana anayemsema ndio mshukiwa mkuu wa mauaji ya msichana, umakini unahitajika hapa, safi DC kwa kumaliza na maombi

  • @benbenedict2720
    @benbenedict2720 Před 4 lety +5

    Funzo kubwa kwa wazazi, mnapopambana kupata mali mna tabia za kuwapa kipaumbele watoto wa kiume. Watoto wa kike mnawaweka daraja la chini. Wainueni watoto wenu wote kwa usawa kwani hamjui nani atakuja kusimama nanyi wakati wa uzee. Kweli ni mali za watoto wa bilionea lakini inaonekana wazi baba wa bilionea ndio alimfungulia mwanae pekee wa kiume milango ya utajiri huku watoto wa kike waki sacrifice kaka apande juu. Pia inauma sana pale mtu unapoteseka na mwanao kuchuma mali from scratch, ukamkabidhi ukiamini nguvu zake kama kijana, halafu unaona mwanao anauawa kwa risasi baada ya kujiongeza, halafu binti yako anachinjwa, na wanaoshutumiwa kumuua binti yako ndio wanasimamia mali. nadhani mambo yalikwenda sawa hadi pale mke wa bilionea aliposhukiwa kumuua wifi yake.

  • @user-wk8sd2lq6c
    @user-wk8sd2lq6c Před 4 lety +40

    Greedy grand parents.

    • @casttraining1575
      @casttraining1575 Před 4 lety +1

      No am on contrary what if by any chance had involved in killing bilionaire erasto for the fotune..hope the parents have something bitter which cannot be understood by law and emotional feeling..there is something hidden there. .
      .

  • @ashaslaa3185
    @ashaslaa3185 Před 4 lety

    Hongera sana mheshimiwa watoto wapate haki yao

  • @aisatahaisatah2612
    @aisatahaisatah2612 Před 4 lety

    Mungu akubariki muheshimiwa kwakutetea hao watoto

  • @hopennko5242
    @hopennko5242 Před 4 lety +5

    Inakuwaje mtu unagombania mali ambazo hujazichokea, Mtu aliangaika akiwa hai ili watoto wake waishi kwa amani alafu leo wazazi, ndugu mnawanyanyasa watoto walio tafutiwa na baba yao, kwanini baba zenu na nyie wasingekuwa matajiri.Hakika inauma yaani laiti kama marehemu angeweza kufanya kitu asinge wasamehe kabisa
    Mnang'ang'ania kupewa mali isiyo yako igawanywe,mtu akitaka kukupa kitu si anakupa tu kwani lazima

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 4 lety +4

    Yani miaka 10 . Duh

  • @jenifamuia2286
    @jenifamuia2286 Před 4 lety +1

    Jerry wewe ulichanguliwa mungu kwa hio kiti.tunakuitaji kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 Před 4 lety +2

    daaah limepita alhamdullha watt wabaki na mali zao lakini mana yao si alikubali kwamba yeye ndo muuwaji

  • @klaragreen7999
    @klaragreen7999 Před 4 lety +5

    THE RICH ALSO CRY..SHEM ON YOU NONSENSE

  • @ramadhanmaulid4088
    @ramadhanmaulid4088 Před 4 lety +24

    " Rich also crying in front of poor"
    THE STORY BOOK

  • @tukuswigaikasu5227
    @tukuswigaikasu5227 Před 4 lety

    Mungu akubariki Jerry Muro umelimaliza jambo hili kwa haki

  • @rajabumwenesano2038
    @rajabumwenesano2038 Před 4 lety

    Saf sana mkuu wa wilaya mungu hakupe moyo uwo uwo

  • @zolongOne
    @zolongOne Před 4 lety +5

    Pesa sio mchezo

  • @jeniphermassawe3037
    @jeniphermassawe3037 Před 4 lety +4

    Hawa watoto wanahitaji ulizi wa m/mungu hao ndugu cyo

    • @klaragreen7999
      @klaragreen7999 Před 4 lety

      Kabisa hasa huyo rich aliye kuwa analia..halooo rich also cry

  • @lucymacha1853
    @lucymacha1853 Před 4 lety +1

    Shangazi maakaa ya mawe yanakusuburi loo au hujazaa mtoto wa kaka yako ni wako du hufai mungu watangulie hao watoto

  • @claudkanyorota2411
    @claudkanyorota2411 Před 23 dny

    Huyu Mh. DC Muro ni Kichwa, ame lipeleka hili jambo vizuri kwa kuwa alilielewa vizuri.Yani viongozi Wote wangekuwa hivi ,tungekuwa Paradiso.

  • @mercysamuel9290
    @mercysamuel9290 Před 4 lety +10

    Hakika,sasa,nimekuelewa,muheshimiwa

    • @janengowi3011
      @janengowi3011 Před 4 lety

      Huyo nae analilia nini mwachen mama na watoto Mali ni zao

    • @mercysamuel9290
      @mercysamuel9290 Před 4 lety

      @@janengowi3011 anaekti,tu kulia hana lolote ,Mali za mama nawatoto ,mama,mkwe,kama,huyu,bibi,Mungu,aninusuru

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 Před 4 lety +9

    Hao wazee wanatamaaa tu ifungwe wakae wapi sasa

    • @abdallahsaidi3709
      @abdallahsaidi3709 Před 4 lety

      Temkasha jenu mbhashingheni mbhana mbhale petha jakwe babambho honkomwe

    • @janethmadulu2746
      @janethmadulu2746 Před 4 lety

      Sijui kwa nini hawakuwauliza kuwa mlipoifunga, mlifunga ili hao watoto wakae wapi?

    • @seifmohamedseif9467
      @seifmohamedseif9467 Před 4 lety

      @@janethmadulu2746tamaa tu mali mbaya na hii vile muhusika hakuweka wazi vzr mali yake ndio imepelekea mwanya hawa kuingilia angeiweka wazi kimandishi A to Z haya yasingetoke cha kushangaza hapa ndg mali ina wahusu nn haswa kikao cha ndg ndio kipange mali ya mtu alie na familia nyuma nn wagawane hawajatosheka walicho pewa bado wanataka hadi mwisho kieleweke bibi ndio anaonekana anatamaa sana babu km anapelekwa tu 🤣🤣 ila kwa wachaga kwa pesa noma watatoa roho hawa wataendeana kwa waganga hata km watapewa hawataridhika tu

  • @petermwantole9433
    @petermwantole9433 Před 4 lety

    kwa kumtanguliza Mungu mbele hakika mheshimiwa jambo hilo litabarikiwa,, amen

  • @mullerrbn4852
    @mullerrbn4852 Před 4 lety

    Duuu Mungu aingilie kati kwa kweli inaumiza sana nikiwa kama baba. Roho inaniuma sana kwa ajili ya watoto hawa

  • @bensonhamis3303
    @bensonhamis3303 Před 4 lety +3

    Haya Ni Mambo ya ndani ya familia ya watu si sawa kuyasuisha kwenye media sio sawa kabisa kuaddress haya Mambo na camera. It's unfair and illogical

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 Před 4 lety +4

    Huwezi kuondoa kesi mahakamani kwasababu wewe sio mwanasheria. Mahakama ndo chombo cha mwisho, hao wazee ma mafia

  • @hopennko5242
    @hopennko5242 Před 4 lety +2

    Acheni kabisa mnatafuta laana kwa Mungu.Ni wazi kabisa kwamba tunaishi katika ulimwengu usio na upendo.

  • @evamlay8997
    @evamlay8997 Před 4 lety +4

    Bibi waachie wajukuu zako plz bibi

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Před 4 lety +6

    Watoto wameshakua wapewe mali zao, wazee wazima mnakuwa wezi hiyo laana itawatafuna

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 Před 5 měsíci +2

    Mungu ingilia kati amen

  • @consesamallya9763
    @consesamallya9763 Před 4 lety +1

    Sasa kama mke na watoto wapo wanagawa nini.Mtoeni kwanza huyu mama gerezani jamani Mungu awaone

  • @nancymartin3376
    @nancymartin3376 Před 4 lety +7

    Sasa nyiee vikongweee mnataka Mali za nini wapuuzi nyiee wazeee hvyo mnakuaa na tamaa za Mali wachawi nyieeee

  • @najmarajabu4127
    @najmarajabu4127 Před 4 lety +3

    Hata mama yang mkubwa alifiwa na mumewe wakataka kuleta upuuz sema upande wa mwanamke walikuwa wakali

    • @lainocentre7426
      @lainocentre7426 Před 4 lety

      Mimi ninachomwomba dc afuatilie kesi ya huyo mama kuna tatizo hapo!

    • @najmarajabu4127
      @najmarajabu4127 Před 4 lety

      @@lainocentre7426 kweli kabisa nawanaweza kusema yameisha kumbe wanavinyongo vyao moyon

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 Před 4 lety +1

    Nyie wazee Mungu anawaona mnataka kutapeli Mali za watoto zitawatokea puwani duh.

  • @musamagot6013
    @musamagot6013 Před 4 lety

    Daah jery muro kubali sana kaka ktambo sana

  • @angelntandu661
    @angelntandu661 Před 4 lety +4

    Huenda hata huyo mama hahusiki mungu awasaidie bila hivyo kisasi kitamaliza watu kisa hela