👏👏 Nakupongeza Mh. DC What a Leader is, Encourager, relationship builder, problem solver and leadership involves loving and listening , attendance and accountability. Jamani Mh Muro amekuwa akitatua migogoro katika ofisi yake Arumeru , sijawahi kuona umati usiopungua toka amekuwa DC -Arumeru mpaka sasa, anatatua migogoro ya kutosha kila siku..kweli ni kiongozi wa kuigwa kwa uwajibikaji wa hali ya juu. Hiyo ya family ya Msuya cha mtoto, ila hajawahi kuchoka, anafanya kwa upendo wakati wote. Mungu akubariki sana Mh, una moyo wa pekee sana.
I love you man of wisdom may God our Father bless you your family and your friends. And that family be touched by the holy spirit to know how to forgive each other. That son I pray God to get space in his heart hes blessed of the Lord and he need God intervention.
Asha dunia ni pana mno na hisia hudanganya kifo cha billionear kilikuwa cha utata mno wamachame wanajulikana kwa tabia za kuungana na watoto kuuwa waume zao kwa ajili ya Mali. Na hata merciana Mengi aliwahi kufanya jaribio la kumuua marehem regnald mengi kwa sumu mdada wa kazi ndio alimuokoa. .wenye uchungu na damu yao ndio huumia. ..lakini sheria haiwatambui. ..
Ohoo i feel pain..hawa watoto wanaonewa ,,but wako wakubwa wawapatie mali zao , ndugu haziwahusi jamani niwatoto tu..namama yao sijui hata huyo Mama yao atatoka lini jela?? Pia watoto niwakubwa wanauwezo wakuzimili mali wenyewe sababu washakuwa naumli mkubwa wao sio watoto tena.hata wakizitumia mali vibaya nizao.
KWA wazazi WAKAE kimya WAKATI wamepoteza watoto wawili??? Na huyo mama amekiri kuhusika kwenye muuaji ya wifi yake HALAFU mpumbavu mmoja anasema ujinga KUWA sipendwi eti mama YUKO mahakamani waondoe kesi.Jaribu kuchukua NAFASI ya hao wazazi uone kipindi wanachopitia.SHERIA IFUATE MKONDO WAKE .NA WEWE KELVIN JIONDOE HAPO KUEPUSHA MANENO.UNAPONG'ANG'ANIA INAONYESHA UNA MASLAHI BINAFSI HAPO.
Mungu baba tunaomba uwape watoto wako Wa pande zote amani na utulivu. Tunafaham hii ni hila ya shetani ameamua kuitesa familia hii. Tunaoshuhudia hali hii tunatubu Kwa ajili yao Bwana. Ninawaweka wote mikononi mwako Yehova. Ukiwashika wewe Yesu uchungu na mauaji kwao yatakoma. Babu, bibi, wajukuu, mashangazi, wajomba na mama yao. Bwana Yesu gusa na kuwaumbia kitu kipya miyoyoni mwao. Asante Yesu Kwa kumpa Mkuu Wa Wilaya kibali cha kuzungumza nao. Tumeona ulivyojifunua na hekima ikatawala. Mungu wetu tunakushukuru Kwa sababu ya huruma na rehema zako. Amen.
Laiti ingekuwa Ni sheria ya kiislamu Hilo nadhani lingekuwa limekwisha yaani Mana kitabu Cha mola kimeshagawa mirathi kikamilifu anajulikaana kila mmoja apate ngapi
Dunia tunapita Atuishi milele.na Tutaacha kila kitu kilichopa Duniani.Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo.Tufanye Ibada na tutowe Sadaka kujenga kesho yetu Mbele za Mungu.Allah Atufanyie wepesi sote na tuwe na Mwisho mwema InshaAllah.
Mh. Na serikali kwa ujumla kazi nzuri mmefanya pongezi.. Lakini hakikisheni ulizi wa hawa watt masaa 24 . Kwa maana muharibifu lazima awe tu humo humo kwenye familia.. Na yupo kazini masaa 24
Zile asilimia 40 si wameshapewa tayari mama million 200, baba million 200, na wadogo wa marehehemu million 75 kila mmoja kasaini na mgodi wanao. Sasa wanataka nn tena.?? Jamanii
Huyo mama mtu mzima hana hata haya anataka kuwadhulumu wajukuu zake. Wana tamaa ya mali inawezekana walihusika kumuua mtoto wao Erasto kusudi wapate kurithi mali. Hawana haya! Hovyoooo
Yaaaani wabongo kupenda mteremkoo, watoto wapo mke wa marehemu yupo,sasa nyinyi ndugu wa pembeni vip si watafute vya kwao? Na kwahali hiyo usikute hata huyo mama kachomekewaa kuuwaaa
Jerry moro kwa mala ya Kwanzaa kutokana na uzito wa jambo nmeona hekima zako za viwango namwaomba Mwenyezi Mungu akusimamiee napiaa ni fundisho kwetu turio baki duniani mali sio chochote tuombe mwisho mwemaaa
Hao wazazi wa erasto msiwalaumu tuu waoneeni huruma wameumizwa kupoteza watoto wawili kwa style moja alafu mtuhumiwa ni mtu wa karibu Ni watu wa kuwasamehe
Eventhough kwamba ameuliwa watoto still watoto ndio wanatakiwa warithi kila kitu cha baba yao yn kwenye sheria haisemi ivyo kwamba familia ya mume ndio iamue nan arithi wakati mke halali yupo na watoto pia wapo wao wapambane na maisha yao cha msingi hizo mil 400 watafte Nini cha kufanya kiwaingizie kipato
Hiyo familia ilipewa chao mama wa msuya milioni 200 na baba wa msuya milioni 250na wadogo zake msuwa wote walipa eti kila mmoja milioni 70 na zilizobaki akapewa mke na watoto zake Lakini bado wanafamilia ya msuya wanataka na zile pia, inasemekana visa haviishi kwa mke na watoto wa marwehemu ni shda tupu.
Luv u my mom!! Mtoto wa erasto anauchungu sana na mamake...hao wengine tumieni busara hao watoto wamepoteza baba yao na pia mama yao you magereza na bado mnawapa changamoto kama hizo badala ya kuwaonea huruma jaman....
@@agnestemba8079 kumbeee eeh omba yasikutokee yakikutokea utaona uyo mama na mwanae hawana kosa hatukatai inauma lkn kumbuka siku zote tajiri anamaadui ila watanzania tushazoea mwanaume akifa ameuliwa na mwanamke so muacheni mtoto arithi Vitu vyake
Mimi namuonea huyu mtoto huruma ila kuna hawa watoto kuwa brain washed hapa na wajomba zao hapa kuchukia upande wa Baba, kumbuka hawa wazazi wamepoteza watoto wawili kwa vifo vya uchungu sana, Kijana kauwawa tena msichana kauwawa kinyama tusiparamie tu kuwalaumu hawa wazazi tena huyo Mama huyu kijana anayemsema ndio mshukiwa mkuu wa mauaji ya msichana, umakini unahitajika hapa, safi DC kwa kumaliza na maombi
Funzo kubwa kwa wazazi, mnapopambana kupata mali mna tabia za kuwapa kipaumbele watoto wa kiume. Watoto wa kike mnawaweka daraja la chini. Wainueni watoto wenu wote kwa usawa kwani hamjui nani atakuja kusimama nanyi wakati wa uzee. Kweli ni mali za watoto wa bilionea lakini inaonekana wazi baba wa bilionea ndio alimfungulia mwanae pekee wa kiume milango ya utajiri huku watoto wa kike waki sacrifice kaka apande juu. Pia inauma sana pale mtu unapoteseka na mwanao kuchuma mali from scratch, ukamkabidhi ukiamini nguvu zake kama kijana, halafu unaona mwanao anauawa kwa risasi baada ya kujiongeza, halafu binti yako anachinjwa, na wanaoshutumiwa kumuua binti yako ndio wanasimamia mali. nadhani mambo yalikwenda sawa hadi pale mke wa bilionea aliposhukiwa kumuua wifi yake.
No am on contrary what if by any chance had involved in killing bilionaire erasto for the fotune..hope the parents have something bitter which cannot be understood by law and emotional feeling..there is something hidden there. . .
Inakuwaje mtu unagombania mali ambazo hujazichokea, Mtu aliangaika akiwa hai ili watoto wake waishi kwa amani alafu leo wazazi, ndugu mnawanyanyasa watoto walio tafutiwa na baba yao, kwanini baba zenu na nyie wasingekuwa matajiri.Hakika inauma yaani laiti kama marehemu angeweza kufanya kitu asinge wasamehe kabisa Mnang'ang'ania kupewa mali isiyo yako igawanywe,mtu akitaka kukupa kitu si anakupa tu kwani lazima
@@janethmadulu2746tamaa tu mali mbaya na hii vile muhusika hakuweka wazi vzr mali yake ndio imepelekea mwanya hawa kuingilia angeiweka wazi kimandishi A to Z haya yasingetoke cha kushangaza hapa ndg mali ina wahusu nn haswa kikao cha ndg ndio kipange mali ya mtu alie na familia nyuma nn wagawane hawajatosheka walicho pewa bado wanataka hadi mwisho kieleweke bibi ndio anaonekana anatamaa sana babu km anapelekwa tu 🤣🤣 ila kwa wachaga kwa pesa noma watatoa roho hawa wataendeana kwa waganga hata km watapewa hawataridhika tu
Mama Ni Mama Hongera Mtoto wa Erasto👏Wewe Ni Shujaa
Sijawahi kuona mama kama huyu. Mkuu wawilaya plz tetea hawa watoto na mungu akubariki
Barikiwa sana umenena kweli!!
Wez hawa ,nimewachukia
BIBI ANAONGEA KAMA CHIRIKU..NA M.400 WALISHA KULA.
Kaka wake wengine siyo, wanakumaliza ili wachukue Mali,,,,,sasa mzazi anakuwa na uchungu anabaini hilo
Protas shaban
👏👏 Nakupongeza Mh. DC
What a Leader is, Encourager, relationship builder, problem solver and leadership involves loving and listening , attendance and accountability.
Jamani Mh Muro amekuwa akitatua migogoro katika ofisi yake Arumeru , sijawahi kuona umati usiopungua toka amekuwa DC -Arumeru mpaka sasa, anatatua migogoro ya kutosha kila siku..kweli ni kiongozi wa kuigwa kwa uwajibikaji wa hali ya juu.
Hiyo ya family ya Msuya cha mtoto, ila hajawahi kuchoka, anafanya kwa upendo wakati wote.
Mungu akubariki sana Mh, una moyo wa pekee sana.
I love you man of wisdom may God our Father bless you your family and your friends. And that family be touched by the holy spirit to know how to forgive each other. That son I pray God to get space in his heart hes blessed of the Lord and he need God intervention.
Huyo mtoto anavyomtetea mama yake it’s so touching!!
Mashangaz tunashid upande wa kaka akiwa na hel
Mtoto yuko sahihi uwezi nipenda mimi ukamchukia mamayangu we mama muogope mungu una upoteza mji wakona kizazi chako kwatamaa zako
Sasa kama mama kaua kwahyo na mtoto hajaua kwahyo tumpende tuu mama kwasababu tunampenda mwanae?
Mungu atawachoma nyiee mnaotesa watoto wa marehem ila mtambue malipo nihapa duniani
Kabisa watafute zao dunia hii
Eva Mlay nakwambia haya mazazi mengine hapana aisee
Aliezitafute kaziacha loooh
NGOJA JPM AINGILIE KATI. WAONE KM WATAAMBULIA..FAMILIA ACHENI NJAA
Mambo ya ajabu sana
Mama yke huyo billionea anataka Mali za mwanae nahis hana uchungu na kifo cha mwanae bali ana uchungu na mali za mwanae😢😢😢😢😢😢😢
Nyie ndugu acheni hizo wapewe Mali zao hata wakitapanya zao, kwani baba yao alipokuwepo mlikuwa mnampangia? Acheni Mali ni za watoto haziwahusu
Kama unaipenda awamu ya Magufuli gonga like👇🏾❤️
Ww ndio tunaekutaka
Safi sio kila kitu Mahakamani mengine kijamii yanaisha
Dah!.
Hao watoto wana tia sana huruma.
Mheshimiwa muro pambania haki ya hao watoto.
Nilikuwa natimaza tuu leo. Nimeumia saanaa. Kijana kuongea hivo. Yaani nae walimuweka ndani. Ili wachukue vizuri mali.subuhanallah.
Asha Zaharan Hawa ndugu ni shida
Yani km waliombea ndugu yao afe 🙌
Elizabeth Lukoo. kweli kabisa mungu awape subira hawa watoto
Asha dunia ni pana mno na hisia hudanganya kifo cha billionear kilikuwa cha utata mno wamachame wanajulikana kwa tabia za kuungana na watoto kuuwa waume zao kwa ajili ya Mali. Na hata merciana Mengi aliwahi kufanya jaribio la kumuua marehem regnald mengi kwa sumu mdada wa kazi ndio alimuokoa. .wenye uchungu na damu yao ndio huumia. ..lakini sheria haiwatambui. ..
😥😥 so sad. Hizi zataka nini?? Mali wapatiwe watoto..hizo ndugu wakishapata jama
Nuurin Kluge .mwenyezi mungu ndie hakim kati yao na hawa watoto
Hyu mtto mpaka amenitoa machozi anavyomtetea mamake
Mama ni mama..na mtoto hawezi kukuelewa kama humpendi mama yake
Ohoo i feel pain..hawa watoto wanaonewa ,,but wako wakubwa wawapatie mali zao , ndugu haziwahusi jamani niwatoto tu..namama yao sijui hata huyo Mama yao atatoka lini jela?? Pia watoto niwakubwa wanauwezo wakuzimili mali wenyewe sababu washakuwa naumli mkubwa wao sio watoto tena.hata wakizitumia mali vibaya nizao.
Lakini kwanini mama take alihusika ktk mauaji?
Hats wazaz was Erasto wana uchungu sana na watoto wao 2 waliouwawa!.....khaaa!
Erick Kimario hakuna kama mama jaman
KWA wazazi WAKAE kimya WAKATI wamepoteza watoto wawili??? Na huyo mama amekiri kuhusika kwenye muuaji ya wifi yake HALAFU mpumbavu mmoja anasema ujinga KUWA sipendwi eti mama YUKO mahakamani waondoe kesi.Jaribu kuchukua NAFASI ya hao wazazi uone kipindi wanachopitia.SHERIA IFUATE MKONDO WAKE .NA WEWE KELVIN JIONDOE HAPO KUEPUSHA MANENO.UNAPONG'ANG'ANIA INAONYESHA UNA MASLAHI BINAFSI HAPO.
😘😘😘😘nimeipenda sana serikali yangu kutenda haki ya kuonewa kwa wajane kisa mali
Asante sana kaka yangu Jerry muro Mungu akubariki sana
Naikumbuka ile nyimbo ya
TUTATOANA ROHO YALABI
Watoto wamerehem wanadhalilika kwel mungu anawaona wanao fanya dhulam mali za marehem haki itendek watoto wapewe haki yao
Mungu baba tunaomba uwape watoto wako Wa pande zote amani na utulivu. Tunafaham hii ni hila ya shetani ameamua kuitesa familia hii. Tunaoshuhudia hali hii tunatubu Kwa ajili yao Bwana. Ninawaweka wote mikononi mwako Yehova. Ukiwashika wewe Yesu uchungu na mauaji kwao yatakoma. Babu, bibi, wajukuu, mashangazi, wajomba na mama yao. Bwana Yesu gusa na kuwaumbia kitu kipya miyoyoni mwao. Asante Yesu Kwa kumpa Mkuu Wa Wilaya kibali cha kuzungumza nao. Tumeona ulivyojifunua na hekima ikatawala. Mungu wetu tunakushukuru Kwa sababu ya huruma na rehema zako. Amen.
Ameen
Mweshimiwa Muro uko vizuri sikutegemea kama ungeyatendo yote hayo. Mungu akufikishe mbali kwa kujali wajane
Safiii Murro.. família nyingi sana huwadhurumu wajane na watoto.
Siku zote mtoto amwachi mama
Kabisaa
Daima mtoto huwa kwa mama ake, hakuna kama mama
Ila hilo limama limekiri kumuua wifi yake na pia mume wake
Na zile hela za marehemu walizojigaia million 200 kila mtu wazirudishe. wanga kabisa
Wamechukuwa million 400.
Yaan waombe tu JPM asitamke kitu watazitapika bila kupenda
Hahaha wameonja utamu halafu warudishe? Hapo walitaka waendeleze kumega
Asante Muro kwa point yako muhimu sana ndugu tamaa zimewajaa hao
200 ni haki yao wameachiwa kimaandishi 40% ya pesa benki wapewe wazazi. Wazazi ndio wakawagawia wadogo wa marehemu 20%, 73 million kila mdogo wa kike
Dah mali hizi, Mungu awatetee hao watoto. Hongera Dc kwa kulisimamia hilo
Safi sanaaa Dc wallah nimempenda gafla bini vuuuuu
Laiti ingekuwa Ni sheria ya kiislamu Hilo nadhani lingekuwa limekwisha yaani Mana kitabu Cha mola kimeshagawa mirathi kikamilifu anajulikaana kila mmoja apate ngapi
Ingekua taifa la Ki islam
@@bjzee1981 Mali c ya taifa
Dini haiwezi kuiondo haki ya wazazi na familia yangu kwa ujumla,siku zote Amani yakweli ipo kwa Mungu wetu.
@@eugenyurassa2183 hata dini haikuwaacha wazazi wana fungu lao
@@aboudmsonde886 . Ndiyo lakini ikishafika mahaamani itafuatwa sheria ya serikali tu labda famila wenyewe wawe wa elewa wamalizie mambo yao nyumbani
Muro nakuaminia tete haki yahao watoto
Pesa hizi mungu alisema ni vigumu Tajiri kuona ufalume wa mbingu
Mali ni haki ya mke na watoto tu. Babu na bibi waache tamaa.
Hongera sana Mheshimiwa Muro.. Wewe ni kiongozi mwenye busara..
Wazee hawa warafi mali haziwahusu pambaneni na hali zenu
Jerry Mungu akubariki mama mzazi was Elasto jitagakari
Heri wapatanishi maana ufalme wa mbinguni ni wao. Ubarikiwe sana mhe DC Jerry Murro.
Dunia tunapita Atuishi milele.na Tutaacha kila kitu kilichopa Duniani.Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo.Tufanye Ibada na tutowe Sadaka kujenga kesho yetu Mbele za Mungu.Allah Atufanyie wepesi sote na tuwe na Mwisho mwema InshaAllah.
Mh. Na serikali kwa ujumla kazi nzuri mmefanya pongezi.. Lakini hakikisheni ulizi wa hawa watt masaa 24 . Kwa maana muharibifu lazima awe tu humo humo kwenye familia.. Na yupo kazini masaa 24
We mama soma kutoka 22 Mungu atawaua wote wanao watesa yatima
Wezi wakubwa hawa
Kuibia yatima na wajane ni dhambi jamani awa vipi?
Ongera kaka yangu wa kolila sec kwa kaz nzuri
MUNGU AKUBARIKI SANA MH. JERRY MURO, WEWE NI KIONGOZI MWONGOZA NJIA ARUMERU NA TANZANIA IMEKUONA
Zile asilimia 40 si wameshapewa tayari mama million 200, baba million 200, na wadogo wa marehehemu million 75 kila mmoja kasaini na mgodi wanao. Sasa wanataka nn tena.?? Jamanii
Milioni 200 hazimtoshi huyo mama anaonekana ana tamaa sana ndio hawa kina mama wanaotembea na watoto wadogo kwa tamaa zao
Kama ni binadamu mwenye imani na kumjua mungu kwa misiba aliyopata ya watoto wake asingekuwa hata na hamu ya kutaka mali
Wanavuta bangi hao
Sisi binadamu hatuna jema 200milioni na mgodi wamepewa bado nyie ndugi mnataka nini??
That is true..sijui warataka nini..from germany hier twaona twashangaa🤔😥
Yani mali za watoto mnataka ma-m-bwaaa nyieeeee!Shame on you....Acheni uroho
Hahahaha kabisa
Ml,miambili,kila,mmoja,wakati,minapambana,kutafuta,laki,tano,hadi,nakonda,kweli,kina,Msuya,shkamooni,tu
Magufuli nakupenda Sana unakarimu wako mungu akunguliye akupe uzee uzuri akulinde magonjwa na maadui wako washindwe kwa jina la yesu
Asanteee Mkuu wetu hata kwa maombi hayo mungu uyapokee
Safi muhishiwa wetu umezungumza maneno yenye busara sana
MWISHO KABISA UMEGONGA NDIPO JERU MUHURO 🙏🙏🙏🇰🇪🇨🇿
Jéri wewe ni mwamba
Katika hili Mheshimiwa jerry Muro umetenda mema sana hakika Mungu akawe baraka kwako
Hongereni.
Mali si mali.
Mali ni........
Tajirika kwa wastani tu, sio ndugu, wazazi, watoto wala mke, wote wanaweza kua wabaya juu ya mali zako.
Mkeee yupo wototo wapo Leo eti ndugu acheni tamaaa wenyewe si wapo jaman
Apo sasa Yani ndugu ni shida
Huyo mama mtu mzima hana hata haya anataka kuwadhulumu wajukuu zake. Wana tamaa ya mali inawezekana walihusika kumuua mtoto wao Erasto kusudi wapate kurithi mali. Hawana haya! Hovyoooo
Wanaume kuwen makn has hao ndugu zako ndio wataitesa familia yako
@@husnauthman7609 wazazi pia wanahaki naujue pia mke anatakiwa apewe thumni yake aondoke maana mali niya watoto
@@hamisimterela45 yap cjakataa mzaz pia ana haki ila co ukoo mzma
Haya maisha bhanaa ukiwa tajirii shidaa ukiwa masikini utadharaulika mpaka nandugu sasa daaa weachaa mambo ya ndugu
Noma sana
Ramadhani Hassani Pamoja na yote kila mtu anapenda utajiri.
Kaka jerry kazi nzuri
Mungu Awatangulie Awalinde ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai awape utulivu
Sasa si muwaachie watoto Mali zao
Aibu sn. Dada alia alianza kupat mali kabla ya kaka. Ss why unalilia hizi..
sadick rajabu mali ni za watoto na mama kwani bado wapo
mali ni za watoto na mama yao sio ndugu
.
Yaaaani wabongo kupenda mteremkoo, watoto wapo mke wa marehemu yupo,sasa nyinyi ndugu wa pembeni vip si watafute vya kwao? Na kwahali hiyo usikute hata huyo mama kachomekewaa kuuwaaa
Jerry moro kwa mala ya Kwanzaa kutokana na uzito wa jambo nmeona hekima zako za viwango namwaomba Mwenyezi Mungu akusimamiee napiaa ni fundisho kwetu turio baki duniani mali sio chochote tuombe mwisho mwemaaa
Kweli hii ya kwa ya kwanza Jerry Muro ameonesha busara.
hongera xana Jerry Muro na mungu akubariki
Hahahaha jerry muro mbona kama una leta malavi davi, hahhahha
Hao wazazi wa erasto msiwalaumu tuu waoneeni huruma wameumizwa kupoteza watoto wawili kwa style moja alafu mtuhumiwa ni mtu wa karibu
Ni watu wa kuwasamehe
Watu wanachukulia kiurahisi sana tu mambo haya hawajui kuwa Wazazi wana uchungu na Watoto wao 2 waliouawa…!!
Brother Willy kweli kabisa
Wanachokifanya wasipoangalia kitawafananisha na hao wauaji
Eventhough kwamba ameuliwa watoto still watoto ndio wanatakiwa warithi kila kitu cha baba yao yn kwenye sheria haisemi ivyo kwamba familia ya mume ndio iamue nan arithi wakati mke halali yupo na watoto pia wapo wao wapambane na maisha yao cha msingi hizo mil 400 watafte Nini cha kufanya kiwaingizie kipato
Hamakweli dunia mapito wote dungu mnatolea mach vitu dha mtu katafuta na mke wake leo mnatowa macho yaone nacho 😲😲😲 kama mnapenda ctafute vya kwenu
John laiti ungejua historia vizuri ya hii huu okoo wala usingecomment kitu usichokijua ungenyamaza kimya...
Asante kwa mh mkuu Wa wilaya kuumaliza mgogoro huu
poleni sana!Mungu ndiye aliyeruhusu ili awaaibishe wabaya!
Barikiwa sana umenena kweli!!
Nyinyi MATAJIRI hilo ni funzo kwenu andikeni WOSIA mapema msisubri mpaka mfe.
Hiyo familia ilipewa chao mama wa msuya milioni 200 na baba wa msuya milioni 250na wadogo zake msuwa wote walipa eti kila mmoja milioni 70 na zilizobaki akapewa mke na watoto zake Lakini bado wanafamilia ya msuya wanataka na zile pia, inasemekana visa haviishi kwa mke na watoto wa marwehemu ni shda tupu.
Hilo nalo neno
Mke ni halali wasimuelewe alileta maafa kwenye familia ya msuya so nae kisheria anastahili kunyongwa
Sio kwa matajiri tu
Hata maskin tuandike pia vikombe arithi nan na makochi nan huku usweken watu wanauana kisa magodoro
Luv u my mom!! Mtoto wa erasto anauchungu sana na mamake...hao wengine tumieni busara hao watoto wamepoteza baba yao na pia mama yao you magereza na bado mnawapa changamoto kama hizo badala ya kuwaonea huruma jaman....
Watoto wanahaki kumtetea mama yao rakini mama yao ameuwa wifi yake huyo kijana muongo huyo ndio fitna Sana
Hongera saaaaaana mhe.Jerry Muro
God bless you Dc
familia ya mwanaume ni wanafiki sana
kutoka kuwa msemaji wa Yanga, hadi mkuu wa Wilaya maisha yanaenda race sana 🙌
TOP20 AFRICA MUSICS 😂😂😂😂😂😂
Mkuu wa wilaya...Murro Mungu azidi kukulinda...nakukubaligi sana ktk kusimamia haki.
Jerry uko vizuri kwakweli❤
Wachagga na wapare huko sio sehemu ya kuoa
Bibi anaumia huyu mama yao alimuua mtto wk jamani mtto anauma sna mtu asikwambia tuacheni ushabiki
Kweli kabisa watu hawajui hata stori imeanzia wapi wanashabikia tu, mi wasingepata hata mia wangepambana na mama yao jela
Usiyoyajua ni bora kunyamaza ,mtoto anauma ,mm anaumizwa na wanae aliowapoteza
@@agnestemba8079 kumbeee eeh omba yasikutokee yakikutokea utaona uyo mama na mwanae hawana kosa hatukatai inauma lkn kumbuka siku zote tajiri anamaadui ila watanzania tushazoea mwanaume akifa ameuliwa na mwanamke so muacheni mtoto arithi Vitu vyake
Kila penye gumu Mungu hukumbukwa. Asante Mungu kwa huruma zako
Mimi namuonea huyu mtoto huruma ila kuna hawa watoto kuwa brain washed hapa na wajomba zao hapa kuchukia upande wa Baba, kumbuka hawa wazazi wamepoteza watoto wawili kwa vifo vya uchungu sana, Kijana kauwawa tena msichana kauwawa kinyama tusiparamie tu kuwalaumu hawa wazazi tena huyo Mama huyu kijana anayemsema ndio mshukiwa mkuu wa mauaji ya msichana, umakini unahitajika hapa, safi DC kwa kumaliza na maombi
Funzo kubwa kwa wazazi, mnapopambana kupata mali mna tabia za kuwapa kipaumbele watoto wa kiume. Watoto wa kike mnawaweka daraja la chini. Wainueni watoto wenu wote kwa usawa kwani hamjui nani atakuja kusimama nanyi wakati wa uzee. Kweli ni mali za watoto wa bilionea lakini inaonekana wazi baba wa bilionea ndio alimfungulia mwanae pekee wa kiume milango ya utajiri huku watoto wa kike waki sacrifice kaka apande juu. Pia inauma sana pale mtu unapoteseka na mwanao kuchuma mali from scratch, ukamkabidhi ukiamini nguvu zake kama kijana, halafu unaona mwanao anauawa kwa risasi baada ya kujiongeza, halafu binti yako anachinjwa, na wanaoshutumiwa kumuua binti yako ndio wanasimamia mali. nadhani mambo yalikwenda sawa hadi pale mke wa bilionea aliposhukiwa kumuua wifi yake.
Kumbuka ni tuhuma sio ukweli
Greedy grand parents.
No am on contrary what if by any chance had involved in killing bilionaire erasto for the fotune..hope the parents have something bitter which cannot be understood by law and emotional feeling..there is something hidden there. .
.
Hongera sana mheshimiwa watoto wapate haki yao
Mungu akubariki muheshimiwa kwakutetea hao watoto
Inakuwaje mtu unagombania mali ambazo hujazichokea, Mtu aliangaika akiwa hai ili watoto wake waishi kwa amani alafu leo wazazi, ndugu mnawanyanyasa watoto walio tafutiwa na baba yao, kwanini baba zenu na nyie wasingekuwa matajiri.Hakika inauma yaani laiti kama marehemu angeweza kufanya kitu asinge wasamehe kabisa
Mnang'ang'ania kupewa mali isiyo yako igawanywe,mtu akitaka kukupa kitu si anakupa tu kwani lazima
Yani miaka 10 . Duh
Jerry wewe ulichanguliwa mungu kwa hio kiti.tunakuitaji kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
daaah limepita alhamdullha watt wabaki na mali zao lakini mana yao si alikubali kwamba yeye ndo muuwaji
THE RICH ALSO CRY..SHEM ON YOU NONSENSE
" Rich also crying in front of poor"
THE STORY BOOK
Nimekuchkia wew.mamAaaa
Mungu akubariki Jerry Muro umelimaliza jambo hili kwa haki
Saf sana mkuu wa wilaya mungu hakupe moyo uwo uwo
Pesa sio mchezo
Hawa watoto wanahitaji ulizi wa m/mungu hao ndugu cyo
Kabisa hasa huyo rich aliye kuwa analia..halooo rich also cry
Shangazi maakaa ya mawe yanakusuburi loo au hujazaa mtoto wa kaka yako ni wako du hufai mungu watangulie hao watoto
Huyu Mh. DC Muro ni Kichwa, ame lipeleka hili jambo vizuri kwa kuwa alilielewa vizuri.Yani viongozi Wote wangekuwa hivi ,tungekuwa Paradiso.
Hakika,sasa,nimekuelewa,muheshimiwa
Huyo nae analilia nini mwachen mama na watoto Mali ni zao
@@janengowi3011 anaekti,tu kulia hana lolote ,Mali za mama nawatoto ,mama,mkwe,kama,huyu,bibi,Mungu,aninusuru
Hao wazee wanatamaaa tu ifungwe wakae wapi sasa
Temkasha jenu mbhashingheni mbhana mbhale petha jakwe babambho honkomwe
Sijui kwa nini hawakuwauliza kuwa mlipoifunga, mlifunga ili hao watoto wakae wapi?
@@janethmadulu2746tamaa tu mali mbaya na hii vile muhusika hakuweka wazi vzr mali yake ndio imepelekea mwanya hawa kuingilia angeiweka wazi kimandishi A to Z haya yasingetoke cha kushangaza hapa ndg mali ina wahusu nn haswa kikao cha ndg ndio kipange mali ya mtu alie na familia nyuma nn wagawane hawajatosheka walicho pewa bado wanataka hadi mwisho kieleweke bibi ndio anaonekana anatamaa sana babu km anapelekwa tu 🤣🤣 ila kwa wachaga kwa pesa noma watatoa roho hawa wataendeana kwa waganga hata km watapewa hawataridhika tu
kwa kumtanguliza Mungu mbele hakika mheshimiwa jambo hilo litabarikiwa,, amen
Duuu Mungu aingilie kati kwa kweli inaumiza sana nikiwa kama baba. Roho inaniuma sana kwa ajili ya watoto hawa
Haya Ni Mambo ya ndani ya familia ya watu si sawa kuyasuisha kwenye media sio sawa kabisa kuaddress haya Mambo na camera. It's unfair and illogical
Ila siyo vzur
Huwezi kuondoa kesi mahakamani kwasababu wewe sio mwanasheria. Mahakama ndo chombo cha mwisho, hao wazee ma mafia
Acheni kabisa mnatafuta laana kwa Mungu.Ni wazi kabisa kwamba tunaishi katika ulimwengu usio na upendo.
Bibi waachie wajukuu zako plz bibi
Mali za watoto Bibi,babu mfie mbaliiii. kwendraaaaaa
Watoto wameshakua wapewe mali zao, wazee wazima mnakuwa wezi hiyo laana itawatafuna
Mungu ingilia kati amen
Sasa kama mke na watoto wapo wanagawa nini.Mtoeni kwanza huyu mama gerezani jamani Mungu awaone
Sasa nyiee vikongweee mnataka Mali za nini wapuuzi nyiee wazeee hvyo mnakuaa na tamaa za Mali wachawi nyieeee
Hata mama yang mkubwa alifiwa na mumewe wakataka kuleta upuuz sema upande wa mwanamke walikuwa wakali
Mimi ninachomwomba dc afuatilie kesi ya huyo mama kuna tatizo hapo!
@@lainocentre7426 kweli kabisa nawanaweza kusema yameisha kumbe wanavinyongo vyao moyon
Nyie wazee Mungu anawaona mnataka kutapeli Mali za watoto zitawatokea puwani duh.
Daah jery muro kubali sana kaka ktambo sana
Huenda hata huyo mama hahusiki mungu awasaidie bila hivyo kisasi kitamaliza watu kisa hela