HOUSE GIRL EP 40 || love story💞💕

Sdílet
Vložit

Komentáře • 871

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Před 23 dny +217

    Mwendo wabandika bandua kma unamkubali mama candy kua mkweli weka like hpa from Oman 🇴🇲

  • @ministerlightnessrobert5342

    Wale tunao ona ndowa ya zuu na kahi itafungwa like apa😊

  • @CarolineMurugi-bt5dz
    @CarolineMurugi-bt5dz Před 23 dny +48

    From kenya guys,,,mwenye anaona kendo anamfanyia mamake vibaya ngonga like hapa jamani😅

  • @lovnell6462
    @lovnell6462 Před 23 dny +73

    Mm kama shabiki naombeni likes ata Tano tw❤

  • @Mwanamvua-ze5ls
    @Mwanamvua-ze5ls Před 23 dny +35

    Wangap wanamkubli kendi kuitwa shida 😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂gonga like apo

  • @JacksonVicent-i1t
    @JacksonVicent-i1t Před 23 dny +32

    ❤ hii tamthilia cjalala nilikua nakusubir hiki kipande brothers mnajua sana

  • @YohanaKagundo
    @YohanaKagundo Před 23 dny +41

    Wakwanza Leo Mimi naombeni like 10 kwajili ya dada wa kazi

  • @kalambonews
    @kalambonews Před 23 dny +7

    Mbona dada wakazi ajawai like comment yangu au Hana smart phone adi sasa 🤔🤔🤔

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t Před 23 dny +98

    Nimewahi naombaeni like kidogo please 😢😂😂😂❤❤❤

  • @user-qd7ey5cp5s
    @user-qd7ey5cp5s Před 23 dny +33

    Watu wa kuomba likes hapa kama watoto ni lini mtakuwa watu wazima sasa😏😏hakuna siku mtawahi ongea mambo ya muhimu kupitia hii filamu na mjifunze kitu hapa....acheni utoto😏😏😏mnaboo sana

  • @user-yp7qy2qf7k
    @user-yp7qy2qf7k Před 23 dny +4

    Mama ni mama hata kama unamzidi elimu candy mamako na unamfanyia hivo 😢😢😢😢😢

  • @brendakhasiala7343
    @brendakhasiala7343 Před 23 dny +7

    Tangu EP 1 adi hii Leo Wacha ni comment aki nime fell mamake shida wah kweli kabisa hiyo ni uchungu, kumzaa adui yako 😢, like zi come basi

  • @Mariam55-hz8if
    @Mariam55-hz8if Před 23 dny +4

    Huyu candy kiboko sana yaan mama ake anamjibu kama mke mwenzake na huyo masozi saut kama kaweza sabufaa😂😂😂😂😂kudangia vilema hii noma sana

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 Před 23 dny +3

    Hongeren San Kwa Kaz nzur Mung awabarik sana nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @JoselyneMutama
    @JoselyneMutama Před 23 dny +3

    Yani sijui nisemeje kunawtu wnajua kucheza kbx nimepata funzo kbwa kbx.kazi nzuli sana.naw penda mno.

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f Před 23 dny +28

    Leo130 naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @AdelaLudovick
    @AdelaLudovick Před 23 dny +4

    Wanaoniunga mkono kuwa waongeze dakika like zenu tafazali

  • @user-ti5mt6cr7v
    @user-ti5mt6cr7v Před 23 dny +3

    Wanao mkubari mam cendy kusema ukweli weka like

  • @UpendoHussein-k7t
    @UpendoHussein-k7t Před 23 dny +6

    Busati tv mambo ni moto MR TASHA umetisha sana

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 Před 23 dny +33

    Yaani comment zilizojaa ni kuomba like tuu !! Hebuu kuweni watu wazima basi acheni utoto. Mnakeraaa😏😏😏😏😏

  • @MizeMatano-nb9pj
    @MizeMatano-nb9pj Před 23 dny +21

    Wenye tumeisubiria kwa hamu tujuane hapa mnipe like ata tatu🎉🎉🎉

  • @mauamshindo2558
    @mauamshindo2558 Před 23 dny +9

    Sehem ya comment ni yakutoa mawazo na mlichojifunza nyie mnaomba like😂😂😂🙌

  • @UniceMsomi
    @UniceMsomi Před 23 dny +10

    Naona watu hamlali duh sio pw jaman Ata dakika1 haijaisha ila watu mpo😂😂😂Aya bana kutoka zanzibar apa ❤

  • @user-jr1qx1sj8t
    @user-jr1qx1sj8t Před 23 dny +7

    Ucmdharau mzazi ata kama ana magumu kumbuka yy alikulea akiwa na maisha hayo hayo ya dhiki 2heshimu sana wazaz 2uangalie kisa cha candy na kai 2kielwe nawapenda wote❤❤

  • @SleepingEyes-ej3ir
    @SleepingEyes-ej3ir Před 23 dny +9

    Wa Kwanzaa nipeni like wapenzi much love from Canada ❤❤

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Před 23 dny +9

    Cendi Wwe Aya Kma Ndio Maisha Kweli Cjui Ungekuaje Maana Naona Mtto Uliepatikana Kwa Shuda Ungekuwa Unamfita Mmako Machozi Aliopitiya Yuma Nawe Ila Funzo Zuri❤❤❤❤

  • @user-mq3zd9vk2p
    @user-mq3zd9vk2p Před 23 dny +3

    Pole sana mama candy waaah hii movie ina Mafunzo mengi sana big up sana 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-xn7ru6fl6q
    @user-xn7ru6fl6q Před 23 dny +16

    Wa tatu leo like zenu

  • @Emeraldlady16920
    @Emeraldlady16920 Před 23 dny +10

    Wawooooh hatimaye mama lend kuonyesha ukweli kuhusu kandy

  • @user-dn3sn2fk9v
    @user-dn3sn2fk9v Před 23 dny +8

    40 ep house girl here we go❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I wish isiishe iendelee Tu at ad 1000ep😂😂😂

    • @juma3473
      @juma3473 Před 23 dny +1

      Kweli kabisa nzuri sana sana usimalize jamani iwe kama ya kihindi ❤❤❤❤❤❤❤

    • @user-os3tt6ru7k
      @user-os3tt6ru7k Před 23 dny

      Hahahaha

  • @RehemaSospeter-vu4ms
    @RehemaSospeter-vu4ms Před 23 dny +9

    Yan kwenye tamthilia zingine watu hawaombi like km humu jmn....hemu acheni

  • @user-or7bm5ui5f
    @user-or7bm5ui5f Před 23 dny +9

    Wa kwanza jaman naomba like 2

  • @MR_RAMSABOYTZ
    @MR_RAMSABOYTZ Před 23 dny +79

    Nyie watu sio WAZURI mmeshafika kumbe ila acheni kuomba like mnazingua aiseeee

  • @VioletGerald-dl9wr
    @VioletGerald-dl9wr Před 23 dny +23

    Nimewah leo jaman wap like

  • @JacksonVicent-i1t
    @JacksonVicent-i1t Před 23 dny +10

    Shabiki no one member NN mm APA mkurya niso na baya tarime moja kichwa radi panga sheria nawakubali sana wakongwe kai zuh hii part unyama sana ❤❤❤

  • @JasminiSabun
    @JasminiSabun Před 23 dny +5

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭kumbe watoto wakubakwa ndo wako hivo

    • @adelinaomani9012
      @adelinaomani9012 Před 23 dny

      Wengi wao wasumbufu sabu ya waliomzalisha hiyo ndo ndo tabia sasa mtoto piahulisi

  • @MR_RAMSABOYTZ
    @MR_RAMSABOYTZ Před 23 dny +26

    Mnaoomba like mnaenda kupika kama mbogas au niadje

  • @Tumasalo99
    @Tumasalo99 Před 23 dny +3

    Busati Wamejua kuuvaa uhalisiaa bhnaaaa 🎉🎉🎉🎉Twende kazii 41......

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j Před 23 dny +1

    Waaaaah yan moto juu ya fire 🔥 tu saiii yan mngemuacha ajiue man anadharau sana huyo nawakubali sana much love from saudi ❤❤❤❤kai hapo usijishaulishe ukampenda tena fanya yote ila umutafute zuu kai ❤❤❤❤

  • @Asha-xc1nc
    @Asha-xc1nc Před 23 dny +1

    Yani Kila kukicha movi n 🔥🔥🔥nawapenda jaman sana🎉🎉🎉from🇰🇪🇸🇦

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z Před 23 dny +1

    Aisai sio kwa kibuli hicho,,kwa hpo ilipofika kuna kakitu kana kuja,waigizaji n mashabiki wenzang nawapendeni snaaa snaa ❤

  • @WeddyMithika
    @WeddyMithika Před 23 dny +3

    Much love from kenya🇰🇪

  • @MymunaMuna-qn5lo
    @MymunaMuna-qn5lo Před 23 dny +5

    hata kwenye tivi nyumbani wambieni wawape like kwenye tivi maana kwenye simu tumechoka like like khaaaa mnachosha

  • @VaneGesare-wf7oq
    @VaneGesare-wf7oq Před 23 dny +3

    Weuh kendi mbona humkatae mama kazi kwl kendi cio poa

  • @ShazzLizz
    @ShazzLizz Před 23 dny +4

    Hadi Mimi nataka likes jamani kutoka Kenya❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AjathSwaibu
    @AjathSwaibu Před 23 dny +23

    Leo nimekua wakwanza naombeni like jaman wapendwa na mpenda sana zuu na Kai

  • @LovenessValentine-nn7wm
    @LovenessValentine-nn7wm Před 23 dny +2

    Nimewahi Leo jamani maana house girl inanifanya nikeshe mie but nawapenda❤

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x Před 23 dny +3

    Wakwanza leo 😂😂team zuu miko juu

  • @christine7744
    @christine7744 Před 23 dny +4

    Waaa candy jamani weee hata kma ni move ata nalia much love you guys❤❤❤

  • @user-cy2rb4pf7e
    @user-cy2rb4pf7e Před 23 dny +3

    Safi sana kay, like tu jamani

  • @OfficialZuli-ve5kh
    @OfficialZuli-ve5kh Před 23 dny +2

    🎉🎉🎉 nzuriii yenyee kuvutia kuelimisha na kuburudisha

  • @aishaqassim1777
    @aishaqassim1777 Před 23 dny +4

    Leo nimewahi wakwanza ila nawapenda 😊😊😊mungu awabaliki kwakazi nzuli ❤❤❤❤

  • @mariamsalehabdulla6825
    @mariamsalehabdulla6825 Před 23 dny +5

    Wa kwanz mm leooo nilikuw naisubr kw hamuuu

  • @ShakilaHussein
    @ShakilaHussein Před 23 dny +1

    Mashallah move nzuli Sana mwenyezi mungu azidi kuwapa ufaham na ujuzi makubwa zaidi ya hapa inshallah nawapenda Sana ❤❤❤❤❤🙏🙏

  • @ElizabethOuma-j4s
    @ElizabethOuma-j4s Před 23 dny +2

    Isay mnabamba hapa mie Niko shule wee mnabadilsha matendo yanyu well done

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx

    Mnazingua banaaaa

  • @user-bg3it2pf6r
    @user-bg3it2pf6r Před 23 dny +3

    Naombeni mumuache candy ajiuwe😂😂😂mfungieni chumba afe kiroho safi😂😂😂

  • @sussymtunga3673
    @sussymtunga3673 Před 23 dny +1

    Mambo imechemka hku sana waaa aki 😂😂😂😂😂 candy uko na vitisho...... very interesting nangoja the next part 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Před 23 dny +3

    Huyo ndio shida bhana sio Candy tena duuuh

  • @PurityWaithira-ud2vj
    @PurityWaithira-ud2vj Před 22 dny +2

    Mie naombeni msamaha kazi imekuwa nyingi huku qatar😢, naombeni like tafadhali ingawa ni saa chelewa

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf Před 22 dny +2

    😂😂😂aty candy anaitwa nani??? Mama candy wewe ni bonge la mama sasa poor shida kubali 😂shida ni dramatic woman kajiue basi😅 nawapenda guys kwa kazi nzuri ❤❤

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 Před 23 dny +2

    Wapeni wenzenu hongera na sio kuomba like jamani kwani mnataka mzipeleke wapi hizo like mbona akili hamna

  • @Dayana-o4z
    @Dayana-o4z Před 23 dny +3

    😂😂😂waaah wewe sio cendy wewe n shida

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq Před 23 dny +2

    Mimi kama shabiki wa house girl naomben ata like kumi tuu mm sitajiuwa atamkininyima😂😂😂🎉🎉

  • @user-gy1tu7wv8d
    @user-gy1tu7wv8d Před 23 dny +2

    Candy kweli ni Shida😅😅😅si bure ya iyo kina lake😂😂😂😂si wamwache hajiue

  • @user-hp3vn4kc4s
    @user-hp3vn4kc4s Před 23 dny +2

    Kazi nzuri Mr. Kai

  • @AshaNzara
    @AshaNzara Před 23 dny +3

    😂😂😂kaeni kwa kutulia

  • @Jumambogo123
    @Jumambogo123 Před 23 dny +3

    Mimi sitaki like zenu

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx Před 23 dny +3

    Hii movie aky inamafunzo lkn sijui kama nayaona mm au pia nyinyi waomba like mnaona au nivip, anyway tuwapende wazz wetu na tusiwe wepesi wepesi wa kuamini marafika tukaacha mashauri ya wzz, napia kugawa sio poa unajidhalilisha 😂😂 yaaan kugawa kitumbuaaa 😂😂😂

  • @zanishaikhonge7296
    @zanishaikhonge7296 Před 23 dny +4

    Kidogo nimewahi jaman kazi nzur pamoja sana

  • @Franciscah-ks5zq
    @Franciscah-ks5zq Před 23 dny +8

    nilisubiria kwa hamu na ghamu hii

  • @Igra254
    @Igra254 Před 22 dny +2

    Uchungu wa mwana ajuaye ni mama usimdharau mama mzazi hata mamamlezi samahani ❤Kwa upendo likes za mamake candy

  • @SunGod-i4b
    @SunGod-i4b Před 23 dny +3

    Hizo like mnazo omba mnaenda kupanguzia mavi au, mnakera sana

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 Před 23 dny +4

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉 woyoo tupo chonjo team zuu

  • @MupaMumbo-fi4gu
    @MupaMumbo-fi4gu Před 23 dny +7

    Nimekuawa Kwanza Leo nipee like

  • @irenengowi8657
    @irenengowi8657 Před 23 dny +1

    Sahvi hta sio nzurii hii movie jaman zuu the way awamuonyeshi sana na kai

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Před 23 dny +2

    Candy alopiga mamake jiwe la kichwa kisa chakula kai ndie ulitarajia awe mkeo😢...inasikitisha, watoto tuwapende na kuwajali mama zetu hata watokee kutupata katika mazingira gani

  • @annwanalo7813
    @annwanalo7813 Před 23 dny +2

    Jamani Leo nimewai 🎉🎉❤jamani ata like Moja tu ❤

  • @dottonangemo2166
    @dottonangemo2166 Před 23 dny +2

    Huyo ndio candy ukisikia mwengine photocopy tupo sambamba na we candy mpaka radhi ikutafune😂

  • @user-sk4yh5kw9j
    @user-sk4yh5kw9j Před 23 dny +5

    Nmewahi jmn hata like 20 ntashkuru

  • @user-lu7vs8wd8v
    @user-lu7vs8wd8v Před 23 dny +1

    Mimba ya candy aka shida ilitakiwa kutibiwa na p 2 mapema sana

  • @NathanaelSimoni-cu4wk
    @NathanaelSimoni-cu4wk Před 23 dny +2

    Kazi nzuri sana

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj Před 23 dny +2

    Jamn msimlaumu cendy vile alivyo ni kwasababu cendy anababa sita yaan ajulikani baba😅

  • @chandigamoses05
    @chandigamoses05 Před 23 dny +3

    Wakwanza leo ❤❤❤

  • @nasmaramdhan-bf3bm
    @nasmaramdhan-bf3bm Před 23 dny +6

    Naomben like jaman

  • @jofumwakalambo1097
    @jofumwakalambo1097 Před 23 dny +3

    Kwanza mm jaman toka sumbawanga

  • @AidatAmadi
    @AidatAmadi Před 23 dny +2

    Iiih kipande ata sio nzur Yan maadis yamekuwamengi

  • @user-ky7cf6nm8d
    @user-ky7cf6nm8d Před 23 dny +2

    Mmewai ila namimi nimewai team kai 🎉🎉🎉🎉

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol Před 23 dny +1

    Aya Aya Tena kumekucha Tena Jiji amuogopi Aya wale wif zake zuu kutoka 🇴🇲🇴🇲 kwenda tz tujuwane bas ukiwa na waif za Bure za warabu raha busat tv akiweka nimooooo Hila pole sana mama cend

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 Před 23 dny +6

    Heee washajaa kila mahali

  • @user-sr7pk7vb8o
    @user-sr7pk7vb8o Před 23 dny +2

    Jamanii wa kwanza leooo😅

  • @Nailah736
    @Nailah736 Před 23 dny +2

    Yenye nimekumbuka kwa hii movie 😢😢😢😢😢eeeh mola nijazie neema na ujasiri 😢

  • @AnicethaLaurent
    @AnicethaLaurent Před 23 dny +1

    Aaaah nanyie mnatuma tusehemu tufupi sana ongezeeni dk kidogo bas...tunasublia sehemu ya 41 msitucheleweshee jamani

  • @user-lz1qv1xe4w
    @user-lz1qv1xe4w Před 23 dny +2

    😂😂😂😂😂leteni next episode nataka kujuwa shida ambaye ni candy atafanya nn hii kipindi emenifunza mengi sana

  • @LUKASNGOMBANIZA
    @LUKASNGOMBANIZA Před 23 dny

    Mnastahir sifa kwasababu kazi yenu ninzuri tunaipenda Sana ofcourse inatuelimisha wanajamii wenzenu. Ahsanten na mungu azidi kuwafunulia maarifa yakutoa mafundisho kwasababu tunaamini bado mnamengi yakutufunza zaidi.❤❤❤

  • @GivenessJamal
    @GivenessJamal Před 23 dny +1

    Hongerani kwa kutufunza na kutuburudisha

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 23 dny +1

    Jmn sofia ni mwiko wa pilau lkn kajeuri sanaa kimbaombao

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula Před 23 dny

    Shinda ana ujeuri kweli, Anyway hongera sana busati tv, Nimekua wa mwisho kutoka kenya 🇰🇪 Wale wa kwanza rudi mnipe likes kwanza❤❤❤❤

  • @user-gn6zc8wy7e
    @user-gn6zc8wy7e Před 23 dny +1

    Kumbe candy anaitwa shida alooo sikutarajia😂😂😂

  • @AgnesDavidmtalemwa
    @AgnesDavidmtalemwa Před 17 dny +1

    Nmechelewe jaman kai na timu yako gonga like