Video není dostupné.
Omlouváme se.

HOUSE GIRL EP 49 || love story💞💕

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • #bongomovie #housegirl

Komentáře • 734

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t Před měsícem +153

    Kama umeamka salama kabisa mwambie Mungu asante alafu like kidogo please 🙏🙏❤️😂

  • @user-wt1dn2dy6o
    @user-wt1dn2dy6o Před měsícem +118

    Wanaosubiria ndoa ya Kai na zuu kwa ham tujuanee hapanaa kwa like jamn❤❤

  • @CarolinePaschal
    @CarolinePaschal Před měsícem +50

    Leo nimeamua kucomment ❤ wanaompenda kai na zuuuh na baba kai gonga like😊

  • @davidkea5701
    @davidkea5701 Před měsícem +29

    Mwa ng'ang'nai ma like kweli badala ya kuliza mbona thamthilia zengine zengine kama SIKU MOJA BAADA YA NDOA HAIJAMALIZWA. toeni maoni badala ya kudai ma like

    • @HidayaMbodze
      @HidayaMbodze Před měsícem +1

      Nashindwa na hawa watu kabisa

    • @RogersRobert-x9w
      @RogersRobert-x9w Před měsícem

      Kwel yan hio sku 1 kabla ya ndoa at haielewek imefia wap

  • @jeskaoscar9423
    @jeskaoscar9423 Před měsícem +19

    Jamani nimegundua watu awalari. Jana nimeisubiri iiii mpka ety nakuja sahz nakuta watu wengi Atari. Pleas bc naombeni like mae ata5🙏🙏🙏❤️

    • @MariaFelix-le7ph
      @MariaFelix-le7ph Před měsícem

      Daa naombeni mtoe ep ya 50 saiv bas kwan aiwezekani inanoga afu dakika chache inaisha aise jitaidini bas nimeipenda hii muvi hatar kai na zuul nawapenda sana mnavyoigiza

  • @NchgFtma
    @NchgFtma Před měsícem +26

    Nimewahi leo hhhhh kabla ya lisali moja hebu naomba like zenu

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 Před měsícem +93

    Ambao jana tuliokuwa tunachungulia chungulia kila mara episod ya 49 gonga like tujuane........😅😅

  • @UmmyShabir
    @UmmyShabir Před měsícem +19

    Jamani Leo mm nimekuwa wa mwisho naòmbeni like pia😂😂😂

  • @pastorenockcharles8201
    @pastorenockcharles8201 Před měsícem +9

    Tokea nianze kuangali movie, hii movie ya house girl nimeipenda sana, ina funzo kubwa, inaburudisha pia. Hongereni kwa kazi nzuri

  • @ugenny125
    @ugenny125 Před měsícem +26

    Heeeee jamanii amlali jaman au mlikuwa mnasbria house girl daah movie Kali kweli hii msnipe like ila kama mnaikubali tia like hapa

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq Před měsícem +18

    Kai kua makin ucje kumbikiri mtt wa wa2 bado mdogo 😂😂😂😂

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx Před měsícem +103

    Sijawai pata like ata moja naombeni ata 5 tu❤

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ Před měsícem +114

    nyie watu mpo faster kama aitel nawakubali sana team Kai kama unawakubali kama mm tujuane kwa comment hapa sasa tuache kuomba like hazisaidii wazee

  • @user-jb7rq7fu8f
    @user-jb7rq7fu8f Před měsícem +3

    Hongereni kwa move nzuri yaan inashawish sana kuendelea kuiyonaa leteni muendelezo

  • @LinahAssey
    @LinahAssey Před měsícem +26

    Wa 12 leo nipeni like ata 3 tu

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc Před měsícem +5

    Jamani Kai hanataka hasali,, zuuh mwambia mwambia mumeo mutarajiwa mwanzo hafike nyumbani 🎉🎉🎉🎉nawapenda tu nyote

  • @TeresaSefu
    @TeresaSefu Před měsícem +5

    Chiko kitakulamba kwaza kabsa ile mimba kwa candy syo yako upoo😂 alafuu wew chkoo ndo huna kzazi alaaaaaaAaaaah😂😂😂😂

  • @IddyMohamedi-w7i
    @IddyMohamedi-w7i Před měsícem +3

    Chiko ndio hana uwezo wa kuzalisha alaf anamchukia mke wake tayar kashauponza kama nimepatia gonga like

  • @DianaAnatos
    @DianaAnatos Před měsícem +19

    Nasubli ndoa ya Kai na zuuuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @zanishaikhonge7296
    @zanishaikhonge7296 Před měsícem +4

    Ambao wamekesha kama mii tujuane kusubiliaa house gril ❤❤❤

  • @user-tu2sk1mo8q
    @user-tu2sk1mo8q Před měsícem +3

    Nawapenda sana ndugu zangu zuu nakupenda sana dadaangu hujambo like zangu ❤ from 🇰🇪

    • @busatitv
      @busatitv  Před měsícem +1

      ❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AsteriaThobias-w2t
    @AsteriaThobias-w2t Před měsícem +4

    Jaman team Kai big up Xana aiseee mpo vizur mnaachia Kwa wakat!!!!!!🎊

  • @user-pg8og1gp1u
    @user-pg8og1gp1u Před měsícem +16

    Wakwanza ku watch your video nipeni like zangu

  • @abelymzumbwe
    @abelymzumbwe Před měsícem +20

    Tulio subilia sana Toka Jana tujuane Kwa like 👉👉

  • @josephinepeter706
    @josephinepeter706 Před měsícem +24

    Chiko chiko chiko nimekuita mara 3 utaishia pabay chiko huna uwezo wa kuzalisha wew

    • @FaridaFocus
      @FaridaFocus Před měsícem +1

      Ila asavali kamubaribia candy

    • @DoriceDominic
      @DoriceDominic Před měsícem

      Nmecheka Kwa sauti😂😂😂😂😂

    • @mwanamisimwapula8392
      @mwanamisimwapula8392 Před měsícem

      Namuonea imani aki

    • @BabaBabalili
      @BabaBabalili Před měsícem

      Oya kend atajuta xana 😂 af chiko ameyakanyaga😢😢😢😢😢 hana ngv za kiume hahahaha 😅

    • @BabaBabalili
      @BabaBabalili Před měsícem

      Unazani chiko atafany nn endapo atagundua kuwa mimba ci yake😊😊

  • @user-yt3nn9gz8u
    @user-yt3nn9gz8u Před měsícem +15

    Wakumi Leo jamon naombeni like zenu Nami jomoni😂

  • @user-bu3wr7pi6s
    @user-bu3wr7pi6s Před měsícem +5

    Yani ukimuangalia kendi hata akiwa aongea inaonyesha kuwà hayupo sirias
    Muangalie machoni kwa umakini akiwa aongea 🤣🤣🤣🤣🤣 yani kama vile ataka kucheka

  • @officialijang
    @officialijang Před měsícem +8

    HAHAHA NGOJA KISA AUZE NYUMBA APITE NA HELAA MTAKUJA KUNIAMBIA 😂😂😂😂😂

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Před měsícem +17

    Ila mungekuwa mnaongeza dakk kdg au bas

  • @JaneChaula
    @JaneChaula Před měsícem +5

    Zuu kama hana D mbili😅😅😅ety ka kai😅

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b Před měsícem +7

    Hapo sasa mimba sio inababa wangapi kazi nzuri kend

  • @irenestephen399
    @irenestephen399 Před měsícem +15

    Wote hapa ifikapo 2099 tutakua tumekufa 😅au 3000😮

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx Před měsícem +7

    Sina tofauti na mzee magoma 😂😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊

  • @rubniyi3551
    @rubniyi3551 Před měsícem +12

    Kai jiongeze bhana mbona mihemuko huna 😂😂 hivi Kweli zuu unamuongelesha ukiwa mkavu hivo Kweli 😂😂

    • @tizojr7003
      @tizojr7003 Před měsícem

      Duh hatar 😂😂

    • @rubniyi3551
      @rubniyi3551 Před měsícem

      @@tizojr7003 kaniboa bhana ye zuu ashaambia asali wasiguse sasa kai nae anajifanya kama haelewi 😂😂

  • @edsonmakweta6347
    @edsonmakweta6347 Před měsícem +8

    “asilambe asali hiyo” bibi zuuh bana 😁🏃🏃🏃

  • @HidayaMbodze
    @HidayaMbodze Před měsícem +4

    Zuu atapata ujauzito😂😂 nani anafikiria kama mm. Akijaribu tu ndicho kitu

  • @jenniferzakaria3884
    @jenniferzakaria3884 Před měsícem +9

    Kuna wanaume wanaongombania mimba na Kuna wanaume wanokataa mimba mmmmh

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Před měsícem +1

      Ila asilimua kubwa ya wenye kugombania mimba hua hawazalishi😮

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z Před měsícem +8

    Hya pumziken lkn zuu n Kai mjue nahitaji kuitwa shangaz harak iwezekanvyo cha mtume badae 😂😂😂😂

  • @TimotheoNdonde
    @TimotheoNdonde Před měsícem +9

    Jamani Leo nimecherewa Ata like 1

  • @mwajumasuleiman9767
    @mwajumasuleiman9767 Před měsícem +3

    Jamani.msicheleweshe.
    Muv.tam.sana.hongereni.wapendwa

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 Před měsícem +10

    Endereea kujizma Data Candy! Ondoka na mume wako Chiko

  • @GabrielMroso
    @GabrielMroso Před měsícem +5

    Sjawah. Kuona. Mwanamke. Aliekosa. Haibu Kama Kendy

  • @BettyChriss
    @BettyChriss Před měsícem +6

    Mm wa70naombeni like ata 4

  • @ViolahKulwa
    @ViolahKulwa Před měsícem +6

    Chiko ameuwa mbavu zangu yeye king'ang'aniz kam mzee magoma

  • @HappfaniaJoseph-om8pm
    @HappfaniaJoseph-om8pm Před měsícem +2

    Jaman jana niliisubir sana mpak usik napenda sana hii story lov team kai na familia

  • @RaiyahHamis
    @RaiyahHamis Před měsícem +6

    Candy unanifurahisha sana 😂😂😂

  • @CastoChikoko
    @CastoChikoko Před měsícem +5

    We chiko ety king'ang'anizi kama magoma

  • @user-kn4pi7rj8j
    @user-kn4pi7rj8j Před měsícem +6

    Wangap wanasem chiko han uwez wa kuzaa tujuane

  • @asuminimiti
    @asuminimiti Před měsícem +7

    namim nimewah naomben like

  • @TonnyNyakile
    @TonnyNyakile Před měsícem +3

    Kwl wapo vzr Sana wanajitaid katika Kaz

  • @PastoryPaul-yp3up
    @PastoryPaul-yp3up Před měsícem +7

    Kashapigwa Candy hati imesepa hyo

  • @Reenkingu
    @Reenkingu Před měsícem +5

    Jmnii nipo naumwaaa but hiiii moviee najikza kuangalia

  • @Ummyrahy6666
    @Ummyrahy6666 Před měsícem +5

    Kay hupati kitu bnahhh asali yetu hailiwi hpo jitulze😂😂😂 afu unasema candy hana mamlaka wkati ushamkabdh nyumba hya kalalen aje awatimue😊😂

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 Před měsícem +3

    We chiko ww usimalize maneno utakuja kuumbuka ww ndo huna uwezo wa kuzalisha naona Mimi! Nimejifunza kitu hata mwanaume ni mgumba na mawifi punguzen gubu. Pole dada ila utazaa TU ❤❤❤

  • @MonicaCyprian
    @MonicaCyprian Před měsícem +4

    Kimekulamba kendy hahahaaa😅

  • @zaharahamadi3784
    @zaharahamadi3784 Před měsícem +3

    Candy 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ unanifurahisha sana

  • @zainabkutwaa3327
    @zainabkutwaa3327 Před měsícem +4

    Wakwaza nimewai naobeni laik zenu wadau❤❤❤ dazu ba kai

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 Před měsícem +3

    Hongera sana zuu EP 50 twaomba leo

  • @Hadija-mg8de
    @Hadija-mg8de Před měsícem +2

    Candy Badirisha Iyo Nguo Jamani Eeh😅😅😅😅 Ndio Ushavulugwa

  • @Oman-md4mz
    @Oman-md4mz Před měsícem +3

    Wa kwanza leo Masha Allah nipen like jmn

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 Před měsícem +2

    😂😂😂😂😂😂 bibi bana eti asirambe asali vile kai anauchu miezi sita candy alkuwa yuwambania

  • @WardaKhamis-gz5pk
    @WardaKhamis-gz5pk Před měsícem +2

    Hahaha Kisa akiuza nyumba na kukimbia na hizo pesa bila.shaka candy atakuwa chizi 😂😂😂

  • @WitnessMaile
    @WitnessMaile Před měsícem +1

    Jaman hii movie Kali sana nipen like zenu nazsubili🎉🎉

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je Před měsícem +3

    Ndoimekia Tamu SS nilikuwa Makini Na kuagalia nyanya naye Kaya malizia haruc tunayo. Zuu uckubali kupeana asali kai angoje asali akabithiwe Na Bibi Aile vizuri Kwa Makini. Asante Bibi Kwa mwito wako.

  • @BarnabaBenjamin
    @BarnabaBenjamin Před měsícem +2

    Good job

  • @user-td8td8ru1q
    @user-td8td8ru1q Před měsícem +2

    Upendo wa vuka mito ,, watu wawili katika mapenzi hata banda huwa nyumba 😊

  • @Chebaibaiever
    @Chebaibaiever Před měsícem +7

    Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 in the house anguka nayo

  • @user-go4uc4oe4p
    @user-go4uc4oe4p Před měsícem +5

    37.daaaa Kai maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it Před měsícem +2

    Tuaomba mtutorehe kwa wkt km mwanzo tunawapenda sana asateni kwa move mzuri

  • @MasioRizzy-fm5nt
    @MasioRizzy-fm5nt Před měsícem +6

    Leo nimewai jamani😂😂😂😂😂😂like 10 tu pekee

  • @user-xu7lv8dr7r
    @user-xu7lv8dr7r Před měsícem +3

    Imetishaaaa kaliii

  • @officialijang
    @officialijang Před měsícem +3

    Kisa cha chiko na mkeo naona kinaniingia akili sanaa

  • @Hidaya-os1pg
    @Hidaya-os1pg Před měsícem +3

    Candyyyyy😂 umeshikwa tai na chiko umekuwa mpole gafla😂

  • @user-kp4yg7sh7j
    @user-kp4yg7sh7j Před měsícem +1

    Jmn team zuu na team Kai tujuwane Kwa like jmn mambo moto❤❤❤❤😂

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Před měsícem +2

    Candy candy candy nmkuita mara tatu mwambie kibendu aache kutaka kumuuwa zuu mizimu itakufanya uchizi😂 chiko Mungu uwakuona utalipia kwa Kila unalolifanya😢

  • @SelemaniBaryambona
    @SelemaniBaryambona Před měsícem +1

    Jamani kiukweli nampenda sana chiko ni mzuli sana

  • @ElizabethShadrack-ig4mz
    @ElizabethShadrack-ig4mz Před měsícem +3

    Na dakika tano tu na mm mnipe like zanguu

  • @ModdestaGhati
    @ModdestaGhati Před měsícem +2

    Candy hyo nguo tumeichoka kabadilishe😅😅😅

  • @MauwaAsese
    @MauwaAsese Před měsícem +5

    alafu man akili sana ya kuendeleza season atar ongeren zen wajumba

  • @user-wz9ys9ki1f
    @user-wz9ys9ki1f Před měsícem +3

    Wa kwanza me nipeni likes zangu jamman

  • @FranklineBaya
    @FranklineBaya Před měsícem +1

    Ndugu zangu mumecheza kwa hii movie 💯

  • @user-xr1ru9li5t
    @user-xr1ru9li5t Před měsícem +4

    Huyu Bibi Yake Zuu kafanyaje hizo nywele zikawa nyeupe mbona bado kijana😂ila Candy ww umeshindikana kabisa 😅😅

  • @RazikeRara
    @RazikeRara Před měsícem +2

    Jaman nawapenda nmechelewa lakini naomba like moja

  • @rizikikivumbi6499
    @rizikikivumbi6499 Před měsícem

    Nawakubali sana team kai na nawapenda nyoote 🇰🇪🇰🇪

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 Před měsícem +3

    Nani kaona candy kachezwa na dadamachozi na mpenzi wake naona kwa mbali😅😅😅😅😅😅chiku chiku ,nakuita mara tatu aki😢😢😢😢

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ Před měsícem +9

    Dah nyie watu aisee nikajua Leo nitakua wakwanza of course nyie mko vizuri aisee huu ndo umoja aisa

  • @user-oy4ew3tp6r
    @user-oy4ew3tp6r Před měsícem +3

    Yaani mtoto wa watu nimengojea toka jana Hadi nimejanganyikiwa kweli nani amekua kaa mm jamani mziwe ivoo.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol Před měsícem +3

    Cend cend una nyumba Wala mimba cend ww dishi la yumba la cend wallah chiko chiko mimba ya papa hyoo utajuta ww chiko zatiti wa Tash kama Tasha ❤❤ pambe tu. Tuna harusi mbili mwaka huu ya zuuu na zatiti

  • @user-gl8ie5xj8h
    @user-gl8ie5xj8h Před měsícem +3

    Mshaanza kuboa sasa ipo kama ya kihindi haimalizi aaah

  • @Rahema123
    @Rahema123 Před měsícem +7

    Oyooooo 🤸‍♀️ penda shana mko vizuri manshaallah mfike mbali kwa uwezo wa allah 🎉🎉

  • @ZiyadaBakari
    @ZiyadaBakari Před měsícem +1

    Candy kanywe sumu,ao ukajitungike utokomeye mbali laana sumaka wew nyooo kwataharifa yako Ndoa tunayo 😂😂😂

  • @HappfaniaJoseph-om8pm
    @HappfaniaJoseph-om8pm Před měsícem +4

    Kitu kingne jaman BUSAT TV tunaomba muwe mnatuambia mda wa kutoka kipande jmn wengne tunakesha youtube hatuzim ata data

  • @StephansMbuthye
    @StephansMbuthye Před měsícem +3

    Wakwaza kutoka 🇰🇪

  • @Eunicemakokha-gc9ss
    @Eunicemakokha-gc9ss Před měsícem +1

    Wow so fast i really like the updates and the way pipo conduct yourselves in amovie

  • @HeavenlghtJohanson
    @HeavenlghtJohanson Před měsícem +1

    Chiko 😁😁😁😁et yeye ni king'ang'anizi 🤣

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b Před měsícem +3

    Mbona haifunguki mliowahi mmeshaiona

  • @DianaNafula-hg2hi
    @DianaNafula-hg2hi Před měsícem +4

    Jaman leo nmejaribu wapi likes 😢😢😢

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t Před měsícem +2

    kuchelewa kawaida yangu but bora nimefika like zenu team zuu n ka🎉🎉🎉

  • @NyamweruAlex
    @NyamweruAlex Před měsícem +1

    ❤❤❤❤🎉chko muàche utaj⁷uta😅 ķendy hùmjuwi etiiee

  • @MatridaamosiSichela
    @MatridaamosiSichela Před měsícem +2

    Ila chiko magoma kaingiaje sasa hap😂😂