HOUSE GIRL EP 50 || love story💞💕

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • #bongomovie #housegirl

Komentáře • 1K

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Před měsícem +39

    Hii movi himekua habariiiiiiiii ya mjini mpaka majirani wanaomba pooooooooooo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  Před měsícem +2

      Hatari sana 🤣🤣

    • @NasibuAlly-wb9uv
      @NasibuAlly-wb9uv Před měsícem +3

      @@busatitv hiii yamoto Sana 🔥🔥🔥 aiseee

    • @JumaAbdala-x2p
      @JumaAbdala-x2p Před měsícem

      😅😅😅😅😅

    • @yacnhassan1336
      @yacnhassan1336 Před měsícem +1

      Yaaan kaliii hatariiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @QadraQuraisha
      @QadraQuraisha Před 26 dny

      Acha zko😊😊😊😊

  • @user-gd8cx2ig9p
    @user-gd8cx2ig9p Před měsícem +51

    Tunaoamini cendy anaenda kutapeliwa na hao ndugu wa mchongo gonga like hapa😅

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ Před měsícem +46

    nawapenda sana mashabiki wa busati tv mungu azidi kutulinda ili tuweze kuwasapoti ndugu zetu najua sapoti sio kutoa pesa tu hata tunavyowahi hivi kuangalia muvi nisapoti tosha sana maana wasanii sisi tunategemea uwepo wa mashabiki Asanteni Allah atulinde SOTE tunaopenda busati tv

  • @LuluFwalo
    @LuluFwalo Před měsícem +199

    Jaman Kwa mala yakwanza kuwa wakwanzaa af sjawah pata ata like🎉🎉😂😂😂😂

  • @user-ri5gq1qc9z
    @user-ri5gq1qc9z Před měsícem +71

    Mimi tangi iyi sinem ihanze sijapata ata moja nipe liker moja basii❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh Před měsícem +39

    Jmn kendy tumupeee maua yakeee nafasiii yakeee aliyopewaaaa kuichezaaa ameifanyiaaa ipasavyooo ❤❤❤❤❤😂😂😂😂

    • @ShAMIMURASHIDI
      @ShAMIMURASHIDI Před měsícem +5

      Ata zuuh jmn 😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤

    • @RoseNjoka_23
      @RoseNjoka_23 Před měsícem

      Kabisa yan

    • @mwalisuleih1164
      @mwalisuleih1164 Před měsícem

      Kabxaa🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤Anafanya mmbo yake ipasavyo😂😂😂😂😂

    • @mwalisuleih1164
      @mwalisuleih1164 Před měsícem

      Kabxaa🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤Anafanya mmbo yake ipasavyo😂😂😂😂😂

    • @mwalisuleih1164
      @mwalisuleih1164 Před měsícem

      Kabxaa🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤Anafanya mmbo yake ipasavyo😂😂😂😂😂

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Před měsícem +88

    Wanaomuona candy akichizika siku za usoni tujuane apa...amegonga wrong nmber xai...KUTAKA kumuua nyanya 😅...it's like pointing a finger direct in the eyes of lord😅

  • @HappyJohn-zw5lu
    @HappyJohn-zw5lu Před měsícem +46

    Ila Kai umenifrahisha et we umeumia mbavu😂

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr Před měsícem +28

    Wee zuu uliambiwa na bibi usimpe asali kai😅😅 we umempa😮😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @yassatv2129
    @yassatv2129 Před měsícem +41

    Mnafuatilia house girl nawaombea kwa Mwenyezi mungu awape afya njema na mafanikio makubwa katika maisha yenu 🙏

  • @s.aaa-y8w
    @s.aaa-y8w Před měsícem +18

    Inabidi niseme kitu kwa Leo jaman mie nmefuatiilia zuu mda sana simu yangu ikaharibika nafuatilia na simu ya boss wangu wenye tuko Saudi Arabia tujuane wakenya wenzangu na ndugu zetu watanzania🎉🎉likes tukisonga❤❤

    • @anyona711
      @anyona711 Před měsícem

      You mean. Waiguru amekupea Simu yake ??? Eeh jamani Kuna mabosi wengine wazuri kweli

  • @AluthaCremence
    @AluthaCremence Před měsícem +35

    Woyooooo 😂nipo macho macho Kila mda kuangalia maana naipenda hii movie balaaa❤❤❤

  • @user-vm6kj2zx6p
    @user-vm6kj2zx6p Před měsícem +31

    Waau,,cendy hongera Kwa kuoga ,una afadhali😂😂😂

  • @user-yu5qf6tw3o
    @user-yu5qf6tw3o Před měsícem +20

    Ila wanawake twapitia magumu kwenye ndoa zetu dh mungu atusahidie inshallah tulioko kwenye ndoa

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 Před měsícem +27

    🎉🎉🎉 Ila leo umechelewa sana jmn twasubir weeeh ! Mnaoamin candi atalia kilio cha mbwa mwitu badae kuhusu nyumba tujuane hapa.

    • @siphamathew503
      @siphamathew503 Před měsícem

      😂😂 mimi nawaza yule jamaa kaisha ondoka na hiyo hati otherwise kakopa pesa alafu akasepa.

    • @Chebaibaiever
      @Chebaibaiever Před měsícem

      Mimi pia wazo langu hivyo​@@siphamathew503

    • @PaulineKawishe
      @PaulineKawishe Před měsícem

      Awez kurud yule😂😂😂

  • @6osh-372
    @6osh-372 Před měsícem +52

    Mm ata staki like...coz huwa hamnipi

  • @12omochildren
    @12omochildren Před měsícem +81

    Si mwandike mlicho jifunza sio kuombelea likes mwazingua

  • @RachelJoseph-dy2jh
    @RachelJoseph-dy2jh Před měsícem +26

    Jaman candy kweli mjinga anashindwa kuelewa hata vitu vidogo😮😮😮

  • @user-io9jt4ll5j
    @user-io9jt4ll5j Před měsícem +28

    😅😅😅😅😅😅zuu amevunjika mguuu na Kai amevunjika mbavu😅😅😅😅😅

  • @user-sx6zw1pr1w
    @user-sx6zw1pr1w Před měsícem +45

    Zuu umepeana asali😳 Kai kai umembaka mbna😭😳😁Halafu team strong 💪💪mko wapi jamn 🥲leo weekend kimeumana 😔😔

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 Před měsícem +36

    Ambao tuliokuwa tunasubira zuuh kama atampa asali kahi ngonga like tujuane....😅😅😅😅😅😅😅

  • @SuhaylaAazeem
    @SuhaylaAazeem Před měsícem +17

    Anayehisi zuuh atakua na mimba agonge like tukisonga

  • @user-uf2bh9oz5y
    @user-uf2bh9oz5y Před měsícem +3

    Hatimae juu kaliwa mmh ndo akome angezubir ndoa je alafu anavo jilizaa km hajainjoi vilee 😅😅 like kwa kaii😅

  • @user-wz8vt6xl2l
    @user-wz8vt6xl2l Před měsícem +16

    Jamani wakwanza leo liké zangu la ajili ya kai n'a zu Burundi njo nyumbani🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf Před měsícem +14

    Ila zuu kwani alipo fanya we ulikuwa umekufa au akili uliruka etii😅😅😅

    • @nolinepallz7934
      @nolinepallz7934 Před měsícem +1

      😂😂😂

    • @Nassrah737
      @Nassrah737 Před měsícem +1

      😂😂Apo sasa

    • @FghgRyy
      @FghgRyy Před měsícem

      We Hudhaima wewe😂😂😂😂😂

    • @hadhyaabdull2298
      @hadhyaabdull2298 Před měsícem

      Wee ana ng'ang'ania kai mpaka aiweze sio rahisi kukuachia

    • @NeemaNixon
      @NeemaNixon Před měsícem

      Chezea kurukwa na akili wew nusu uchiz hiyo kitu😂😂😂😂

  • @aishakimaro2795
    @aishakimaro2795 Před měsícem +2

    Mm acha niangalie kwa raha zangu nyie mnao kula like subirini mpewe mkazichemshe mle

  • @kimberlychales6032
    @kimberlychales6032 Před měsícem +1

    Jamn zuuu kanikumbusha mbali sanaaa. Nililiaa. Sanaaa aiseee 😢😢😢. Ila pole angekanda na maji motooo kidog❤❤❤

  • @GresGres-jg1kz
    @GresGres-jg1kz Před měsícem +10

    Zuuu Pole mara yakwanza kunakuanga hivyo but utazoea usimuache kai juu yaiyo ....hiyo nikawaida tu utazoea usijari kai anakupenda sana

  • @charlottemwami9566
    @charlottemwami9566 Před měsícem +18

    Jamani wakwanza leo like Zangu la ajili ya kai na zuu USA 🇺🇸

  • @user-gt6in2ru1b
    @user-gt6in2ru1b Před měsícem +18

    Pole pole jaman mnanikanyaga jaman wote mtacoment msiwe na haraka😂

  • @YusraThomas-cb6ll
    @YusraThomas-cb6ll Před měsícem +6

    Candy unaenda kupigwa na kitu kizito yan hati unabadil jina 😂😂😂Pole uduguu na hongera pia uhusika wako umecheza vzr sana👏🏻👏🏻

  • @user-ky7cf6nm8d
    @user-ky7cf6nm8d Před měsícem +30

    Jamani izisiku munachelea ila nawapenda ❤❤

  • @FailaQueen-qm4dt
    @FailaQueen-qm4dt Před měsícem +11

    Wa kwanza leo ❤❤jamani munipe like zangu 🎉🎉🎉🎉❤❤ from USA 🇺🇸

  • @MariamHamadi-z5l
    @MariamHamadi-z5l Před měsícem +11

    Kai kashapasua yai la zuu😂😂😂😂

  • @peninajohn4721
    @peninajohn4721 Před měsícem +14

    Hili li kendy dishi limeyumba😂😂😂

  • @PendoRobert-ph6ux
    @PendoRobert-ph6ux Před měsícem +2

    Zuuu anajichungulia half anaongez kulia😂🤣🤣😊

  • @ChekeshaTv
    @ChekeshaTv Před měsícem +15

    Zuu Umealibu sana Daaah

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 Před měsícem +15

    Ila jamani kai na zuuu wamependezana mnoo ❤❤❤❤

  • @MashaMbwana
    @MashaMbwana Před měsícem +10

    Watu hamumalizi ata kuangalia mshakomenti 😊😊😊😊

  • @Vincent0piyo-dc1qw
    @Vincent0piyo-dc1qw Před měsícem +1

    waaaah kendy kabadilisha mpaka na mavazi.....
    Ngojeni still waiting kimlambe

  • @maimuna9132
    @maimuna9132 Před měsícem +18

    Zuhu ushatoa kinyanyamshenzi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @JullyanaMathiasy-nt8op
    @JullyanaMathiasy-nt8op Před měsícem +6

    Kaiii kalambaaa asaliii ikiwaaa tam haswaaa😂😂😂😂😂

  • @isabellahchuma
    @isabellahchuma Před měsícem +7

    Paaap nimefika hapa leo jama😂wenye tulikesha jana tukiingoja kuja hapa tuko na gumzo kidogo 😂😂❤

  • @masikamarcelline8140
    @masikamarcelline8140 Před měsícem +1

    Yan asali imenoga kbx❤

  • @Johar903
    @Johar903 Před měsícem +4

    ❤❤❤❤waooo. Wapendanao zuuu umetoa Asali 😂😂😂😂 safi mpendane mzae na Katoto kazuriii😂😂 aumiee mwenye roho mbaya

  • @AshaNzara
    @AshaNzara Před měsícem +1

    Candy kichwa n fuvu hujabeba ata moja ww😂😂😂 hati watapeliwa mchana kweupe kwa hii dunia usinga'ang'anie mali ya mtu ww utakufa masikini tu candy 😂😂😂❤❤❤

  • @jamilamwarabu3890
    @jamilamwarabu3890 Před měsícem +6

    Mara hii hata dakika kum hazijaisha mshacoment zaid ya 1000 kweli tunafatilia

  • @MpokigwaEdwin
    @MpokigwaEdwin Před měsícem +1

    Candy akifanikiwa kuiuza tuu,, anatapeliwa na Hao ndugu wa mchongo

  • @Ngumukumezaaa
    @Ngumukumezaaa Před měsícem +7

    Wauuu Kai ame kula mzigoo 😅😅😅

  • @MonikaSaimoni
    @MonikaSaimoni Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂😂 jaman cendy unanifraisha san😂😂😂😂😂

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 Před měsícem +21

    Sijui hapa kaa bibi na zuu ataelewa.

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 Před měsícem

      𝐻𝑎𝑝𝑎 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑛𝑎𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑘𝑢𝑚𝑢𝑜𝑛𝑒𝑎 ℎ𝑢𝑟𝑢𝑚𝑎 𝑐𝑎𝑛𝑑𝑦 𝑒𝑡𝑦 𝑗𝑖𝑛𝑎 𝑙𝑎 ℎ𝑎𝑡𝑖 𝑙𝑖𝑏𝑎𝑑𝑖𝑙𝑖𝑠ℎ𝑤𝑒 𝑎𝑎𝑛𝑑𝑖𝑘𝑤𝑒 𝑘𝑖𝑠𝑎𝑎 ℎ𝑎𝑜𝑛𝑖 𝑑𝑎𝑎 𝑚𝑎𝑠𝑜𝑧𝑖 𝑛𝑎 𝑘𝑖𝑠𝑎 𝑑𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑖 𝑚𝑜𝑗𝑎🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣𝑝𝑙𝑎𝑛 𝐵

    • @nyamokizainabu205
      @nyamokizainabu205 Před měsícem

      ​@@priscahmahenzo642acha kimrambe😅😅

  • @JenniferTaitus
    @JenniferTaitus Před měsícem

    waoooooh ushauli nzuri sana kaka umetisha

  • @Merry-gv5dg
    @Merry-gv5dg Před měsícem +6

    😂😂ati nimefunjika mbafu😅 naww umeumia mguu😅😅😅 amjui bibi ninani eeeee😅😅😅😅😅😅❤❤

  • @user-jw7if9qm2l
    @user-jw7if9qm2l Před 26 dny

    Hongereni Sana Kai 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩☑️☑️

  • @emathumani2901
    @emathumani2901 Před měsícem +29

    Mnajua kutusubirisha Jmn 😢😢😢😢

  • @WendeMposola
    @WendeMposola Před měsícem +1

    Kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SarahBimuloko
    @SarahBimuloko Před měsícem +2

    Zuuu nawe unaliya Nini bwana wezanko tunakausha tu kama atujafanyiwa kitu wewe unaleta ushamba ata kama ni bikira ,Kai Safi sana

  • @Dianaf774
    @Dianaf774 Před měsícem +1

    Kai usimpatie candy nyumbq nawe😂

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Před měsícem +4

    Kai Kai hyo n dhambi kufanya na mtu bla kutaka yy,,,mbn zuu analia???

    • @glorykadzo
      @glorykadzo Před měsícem +1

      Anamuogopa bibi😂😂 maana aliambiwa asipeane kitumbua😂😂😂

    • @LatiffahHassan
      @LatiffahHassan Před měsícem +1

      ​@glorykad😂😂😂😂Asipeyane Asali

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx Před měsícem +1

    Hahahh jamn we maua ya zuu apewe maan anapoint kinoma noma❤🎉🎉🎉🎉

  • @NanaaHaji-qr1rk
    @NanaaHaji-qr1rk Před měsícem +7

    Zuu kasharumbuliwa😂

  • @josephwamalwa5547
    @josephwamalwa5547 Před měsícem +2

    Hi brother, I was waiting this episode for long.. you are doing a good job, am from 🇰🇪🇰🇪 Nairobi thika highway kimbo stage

  • @JenifaAnthony
    @JenifaAnthony Před měsícem +7

    Ila kai jaman 😂😂eti tumepata ajali kwenye pikipiki😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 Před měsícem +2

    Candy fala kweli eti zuu hujabadilisha nguo 😂

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u Před měsícem +2

    Nyooo da masozi mnajidanganya uweni mtakutana na bibi yake la bda afee ule bibi mmetoga usazi kumuuwa jee mtawezaa hhhhhhhh

  • @NyamweruAlex
    @NyamweruAlex Před měsícem

    😂😂😂we kay acha uongo eti bikra zuu lini tena c alidabhanguliwa na wale wahuni🎉uongoooooòooò huuùùùooòòooò!

  • @sarahchampions-wi8re
    @sarahchampions-wi8re Před měsícem +17

    Wow Leo nmewahi sana from Kenya 🇰🇪 kaz nzr ❤

  • @MwanamisiHassan-xh5fn
    @MwanamisiHassan-xh5fn Před měsícem +1

    Zuuu pole mara yakwanza kunakuanga hivyo but utazoea usinuache kai sawa juu yaiyo....hiyo nikawaida tu utazoea usijali kai anakupenda sana sawa. My ❤❤❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  Před měsícem +1

      😍😍🥰🥰🥰

  • @AbdulMussakabagambe-qd6lv
    @AbdulMussakabagambe-qd6lv Před měsícem +5

    Khai leo umenifurahisha sana kumwambia ukweli kendi kadri siku zinavyozidi kwenda ubogasi is tyiping to her🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf Před měsícem

    Kai amefanya Ile kitu😂😂😂 good Kai👏 yaani kwa hii series nmejifunza mengi nawapenda sana jamani,,❤

  • @Ummyrahy6666
    @Ummyrahy6666 Před měsícem +9

    Kwhio kay umekula asali 😂😂😂tna ikiwa sild kbsa

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u Před měsícem +1

    Safi sana zuu umemkaliya kimya sana uyo mie ningempa hata makofi uyo aka nitambuwa aaaa upole umekuzidi sana

  • @HadijaHamisi-yt3pn
    @HadijaHamisi-yt3pn Před měsícem +7

    Jman hamnipi paka nitafute, zuu Asali imeliwa iyo

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Před měsícem +1

    Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤

  • @gracenyevu8082
    @gracenyevu8082 Před měsícem +4

    Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @mughishajohn3287
    @mughishajohn3287 Před měsícem

    Love much this 🎥 💪💪🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯

  • @MwanakhamicElisha
    @MwanakhamicElisha Před měsícem +2

    Daaaah! Me wa mwisho jaman lkn msinitengee like tafadhal🙏🙏

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k Před měsícem

    Uiiiiiiiii kai ashadona mpunga🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂

  • @KinyamuuSalum
    @KinyamuuSalum Před měsícem +3

    Jaman kwa mara ya kwanza leo nakoment jaman mnachelewesha sana mwendelezo

  • @Rehaahaydar
    @Rehaahaydar Před měsícem

    Uyo kai jamani hajui kubembeleza ata kumkumbatia akamtuliza zuu ajuii ah😂😂😂😂😂😂

  • @Aishabeiby
    @Aishabeiby Před měsícem +5

    😂😂😂😂 leo nimecheka akih Zuu asali imelambwa😂😂😂

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi Před měsícem

      😂😂😂😂😂

    • @mamake998
      @mamake998 Před měsícem +1

      Kapeana mzogo 😂😂badae kaumia mguu

    • @Aishabeiby
      @Aishabeiby Před měsícem

      @@mamake998 ety ila bibi kashawajua 🤭 wao wanajifanya werevu

  • @JoyceMbaixi
    @JoyceMbaixi Před měsícem +1

    Zuu analia juu amedinywa 😂😂😂na vile mm niko apa na kutu kama chuma ya reli natamani kichwa tu😂😂😂😂

  • @KauthalyKayla
    @KauthalyKayla Před měsícem +9

    Jaman muwe mnatoa mapema mwendelezo daaaaa tunasubili mpaka bas

  • @barakamshefa6426
    @barakamshefa6426 Před měsícem +1

    Kai ameona vinono zuu utavumilia kweli😂😂😂

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 Před měsícem +8

    Zuu ushaliwa futa hapana chezea kai😂😂😂😂

  • @HusnaIha-by7rl
    @HusnaIha-by7rl Před měsícem +1

    Mwafurahisha kinoma kai eti umeumia mbavu😂😂😂🎉

  • @user-kn2qw5uy1w
    @user-kn2qw5uy1w Před měsícem +2

    Zuu umekiuka shalti la bibi umempa Kai asali😅😅😅

  • @shadyazitueni5338
    @shadyazitueni5338 Před měsícem +1

    😅😅😅😅 penda san zuu wakat wako sas wakumrusha roho candy 😂😂😂

  • @IsmaelOkongo13
    @IsmaelOkongo13 Před měsícem +3

    Wote walikua na upwiluuuuu lakini Kai na mingi 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto Před měsícem +1

    Kai❤❤❤❤❤candy ngojea icho kicheko kikukose ndo utajua na chiko utashangaa penzi la mkeo likikatika kabisa

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr Před měsícem +4

    Wakwanza leo jamani naomba like zenu kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před měsícem +1

    😂😂😂zuu unalia baada ya tendo kwani hukuenjoy, mwenzio anaugwadu wa mwaka mzima

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g Před 29 dny +1

      𝐘𝐰𝐚𝐣𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐭𝐮𝐮 𝐦𝐛𝐧𝐚 𝐚𝐤𝐮𝐩𝐠𝐚 𝐤𝐞𝐥𝐞𝐥𝐞 𝐮𝐬𝐤𝐮😂

  • @user-yh5wy8lb5k
    @user-yh5wy8lb5k Před měsícem +3

    hapo kweny kutolewa usichana ushindwe kutembea hap mmetudanganya😂😂

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Před měsícem

      Mwezetu ww uliweza kutembea maana wengine tulijulikana

    • @JaneKanini-eh7jk
      @JaneKanini-eh7jk Před měsícem +1

      Ukitolewa usichana ukiwa mkubwa inakua ivo

    • @user-yh5wy8lb5k
      @user-yh5wy8lb5k Před měsícem

      @@sharifabahar9905 ahaaa nilikuwa nipo vizuri kabisa

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Před měsícem

      @@user-yh5wy8lb5k basi ulitolewa ukiwa mdogo bikira inauma kutolewa ukiwa mkubwa

  • @beatricesway5782
    @beatricesway5782 Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂😂ety nagundua hauna akilii

  • @user-jr2ym5kk4o
    @user-jr2ym5kk4o Před měsícem +6

    Mlikuwa mmetuweka sana jameni🎉🎉🎉🎉

  • @AhmedNalyanya
    @AhmedNalyanya Před měsícem +1

    Lakini zuu kulia sana inafanya muvi inakua mbaya

  • @charitychadrek
    @charitychadrek Před měsícem +3

    Mm siombi like lkn hongeren kwakazi mzuri🎉🎉🎉🎉

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Před měsícem +1

    Zuu wamwambia kai angejizuia wasahau upwiru alokua nao jinsi candy alivyokua akimbania!😢 polee mamy😊

  • @user-ye2fy2mi2w
    @user-ye2fy2mi2w Před měsícem +2

    😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉kaumia mguu na mwengine ubavu😅😅😅

  • @Restuta-o8h
    @Restuta-o8h Před měsícem +1

    Napenda kuigiza ila nikifikia kwenye hiyo hatua ya kulia mhhh naona siwez kabsa