EXCLUSIVE: MAISHA YA WAHDZABE WANAVYOKULA NYANI "AKIFARIKI MTU ANALIWA NA FISI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 01. 2023

Komentáře • 114

  • @anordjoseph6644
    @anordjoseph6644 Před 11 měsíci +5

    Jamaa kaongea vizuri sana kiswahili

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 Před rokem +31

    Serikali muache kuwafanya vibonzo kwa kigezo cha kuonesha watalii wafanyeni wastaarabike hii sio sawa kabisa nao ni binadamu kama sisi muwasaidie hao watu waishi kibinadamu ndo maana wazungu bado wanatuona waafrika kama nyani ni kwa mambo kama haya …

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 Před rokem +9

      Daah umeongea kwa uchungu sana ingekuwa hizi comments zinazingatiwa nadhani hii ingeangalia zaidi

    • @robathcarlos8068
      @robathcarlos8068 Před rokem +4

      Daah kweli aisee

    • @DENISLEMA
      @DENISLEMA Před rokem

      Asili ni asiliii brooo ikifika stage watabadilika

    • @allymasubi9404
      @allymasubi9404 Před rokem +2

      Serikali imewapa Hadi maeneo wamekataa ila wao ni alama ya culture unaelewa Hilo ko usicoment usichofaham.zimefanyika Hadi documentary kubwa duniani kuwahusu kifupi ni Moja ya alama muhimu ya utamaduni wa wa tanzania we must be proud of them the way they are.

    • @RobbyDejan1234
      @RobbyDejan1234 Před rokem +2

      @@allymasubi9404 Usenge mtupu hata mm ningekataa unampa eneo Hadzabe ajenge na pumbu na hana shughuli yeyote yakumuingizia kipato mbona ww hauendi kujiunga na hiyo Culture.

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 11 měsíci +5

    Maisha haya niya hatari Sana...Bora serikali ingesimamia swala hili waweze kutoka uku maporini waishi. Kama watu wa kawaida ..hivi NI mateso ...

  • @KhamisNasoro
    @KhamisNasoro Před 2 měsíci +5

    Mbona wa maasai waishio ngorongoro wametafutiwa makazi handeni wilaya ya msomera serekali wasaidiwe hao wenzetu

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 Před rokem +5

    Baada ya miaka 15 mbele tutakutana na wadzabe wengi wakiongea kingeleza na tutegemee kukutana na vijana wasomi na walowezi

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Před rokem +5

    Nawaza tuu kama kuna siku watafurushwa kama wale wamasai

  • @user-or8zx1wv3n
    @user-or8zx1wv3n Před 11 měsíci +5

    Hivi wanajua hal ya nchi kwel 😂😂😂

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +2

    Subuhanallah.. Mtihani Allah awalinde maana hatadini. Hamjui hapo

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 Před rokem +3

    Aaaah kumbe wanakula ugali ila hawapati sasa wanakosaje mashamba wakati wanaishi porini ila bora msilime maana mkilima tu mwajanyang'anywa lakini tuiombe Serikali yetu iwafikirie hawa watu hii nikarne nyengine jamani daaah inauma sana

  • @Juke995
    @Juke995 Před rokem +2

    Huyo ndo mjanja wasichimbe kijiji Ila sasa ndo wasichimbe makaburi mtu akitoloka 😂 hadi uliwe na fisi jamani 😂nilitaka kuhamia Ila nimegaili. Serikal iwapatie majembe I can imagine hicho kipindi watalii wangekuwa wanakimbizana kila kona mtu katoloka kaachwa fisi wanajilia

  • @zulehaabubakar3574
    @zulehaabubakar3574 Před rokem +3

    Sasa je wakimuona mtu kabila tofaut hawamuuwi

  • @erastoerasto898
    @erastoerasto898 Před rokem +5

    Mtu mmoja arudie jina la dada tafadhari sijalipata vizurii😁😂🤣🤣🤣

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 Před rokem +2

    Duh kazi kweli kweli 🤔

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před 8 dny

    Hawa watu wamezoea haya maisha tulisha wasaidia na shirika linaitwa cuso tukawaleta wengine mjini kuwasomesha bt wakawa wanatoroka wanarudi huku

  • @BaliseleElias
    @BaliseleElias Před 5 hodinami

    Mwanamke anaitwa Shumunegono😂😂😂😂

  • @isakajoseph9926
    @isakajoseph9926 Před rokem +2

    Dah afadhali ata wanajua kiswahili mana kuna wengine ukiwakuta ukiongelesha kiswahili wanakushambulia

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před rokem +1

    Maskini uwa nawapenda Sana awa watu uwa Kuna ata adithi zao tumekua tunaadithiwa.

  • @salimumohammedsalimu1720

    😂😂😂huyo dada amejipindia

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Před rokem +1

    Vime niuma sana kuona serekali zetu kube wanzungu kwe watu wetu wakiasili sio vizuri jamani, Mme lipwa nini? na aho mapink?

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před rokem +2

    Twiga je hamuwindi ?

  • @nelykaaya6503
    @nelykaaya6503 Před rokem +2

    Daa ninomasana🤣💥💥💥💥

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před rokem +4

    Kwn mmekatazwa kuishi mjini 😣😣, bc msafishe meno

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před rokem +1

    Wanahitaji elimu ya dini kwa hiyo watalii wanakuja kutizama munavyo ishi kama wanyama na ndiyo nyie kunawafanya Waafrika wote waonekane hawana elimu wala akili ni sokwe nyie ndio chanzo.hebu serikali wapelekee mahitaji ya kibinaadamu nguo.ujenzi na vyakula

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Před 2 měsíci

    Hawa jamaa wanaishi maisha ya kishenzi...wana
    Dhalilishwa sana...wanaonekana kama sio binadamu wa kawaida...mbona wanosoma wakipata elimu hawarudi tena kuishi polini kama wanapenda maisha haya?...hatuwaonei huruma watoto zao....tunawaona kama kivutio cha watalii...mbona kuo
    Hamuwaondoi 🎉kama walivyowaondoa wamasai kwa kisingizio cha kuishi polini...hawa wanaachwa ni wanyama gani wanaitwa?

  • @user-xw9wo7nh6c
    @user-xw9wo7nh6c Před 2 měsíci

    masikini wezetu bd kabisa wanadumisha mila lakini serikali msiwafanye kama maonyesho

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Před rokem

    Kumbe kiswahili kipo kipo 😲

  • @MohamedAli-ho5fq
    @MohamedAli-ho5fq Před rokem

    Serekala yatu tukufu tuwawasaidie a wa watanzania wenzetu serekali wejengeeni ata vibanda vya kuisha .mvue ikinjesha wanakimbilia kwenje mapango ya mawe?
    Serekala waoneeni uruma .

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary1233 Před rokem

    Wazungu kwao hawaonyesh barabara hata moja mbovu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před měsícem

    Serikali iwawezeshe waanze kulima hii sio poa

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 Před měsícem

    Kumbe wanaongea kiswahili kizuri tuhh wanyama hawa😢

  • @mbunah255
    @mbunah255 Před rokem

    Ndomana kanye alisema waafrica utumwa wali jitakia wenyewe

  • @user-gc2bk4rq9k
    @user-gc2bk4rq9k Před 2 měsíci

    Elimu inahitajika..

  • @aash4145
    @aash4145 Před rokem

    Jina la dadaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @amanimusa5744
    @amanimusa5744 Před rokem

    Serikali iwasaidie wasiwafanye vituko kwa watalii.

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Před rokem

    Limeni mbona inawezekan

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Před rokem

    Sasa nyie sere kali zetu za Ki Africa mkoje nyie mnaogopa wanzungu? hizo ndo asili zetu za Ki Afrika kwa hiyo chenye mna takiwa kufanya muheshimu mila zetu. Wanzungu siokitu nirangi tu ata huku kwao wana hisha kwa magumu nibasi tu.from 🇨🇩🇸🇪

  • @ayubumwaipopo8203
    @ayubumwaipopo8203 Před rokem +1

    ..lakn haw ni hadzbe wa kisasa...wanjua had kxwahil 😂

  • @user-vy8of1cy5n
    @user-vy8of1cy5n Před 2 měsíci

    wana abudu nini?

  • @alenyema7738
    @alenyema7738 Před rokem

    Akunku kukuuu

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Před rokem

    Watu awa badowapo duuh nilikua zamazakaletu

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata3710 Před 2 měsíci

    Shumunekoono watoto 8 na bafo

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 Před rokem +5

    Wanaongea vizuri kiswahili kuliko Wachaga 😢

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n Před 23 dny

    HUYU JAMAA ANAONGEA KAMA WILLIAM RUTO RAIS WA KENYA

  • @Prince0fald
    @Prince0fald Před rokem +5

    Wabadilike, wawe kama binadamu wengine. Ustaarabu ni jambo zuri

    • @RobbyDejan1234
      @RobbyDejan1234 Před rokem +1

      Safi sana hii ila tatizo kwa serikali yetu wameshafanya vibonzo vya kuwaonesha watalii .

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 Před rokem

      Kwa nn msijenge polini miti mingi khaa🤔

  • @user-mc1ll4py3f
    @user-mc1ll4py3f Před 2 měsíci

    Awo watu wawe wanaenda shule

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před rokem +3

    Sasa km hamna mlango munapigana vp miti ?

  • @bosskimaro
    @bosskimaro Před rokem +2

    BAKI MWEUSI UKICHEPUKA HUONEKANI!
    czcams.com/video/FRqEIylZ9Qg/video.html

  • @escobar2111
    @escobar2111 Před rokem +3

    Awaa jamaa sio binadam kwa kweriii

    • @reubenkissinga5802
      @reubenkissinga5802 Před rokem +3

      Una mawazo ya hovyoo sanaa!!Kiufupi wewe ni kijana wa hovyoo hapa Tz!!

    • @victorjames3730
      @victorjames3730 Před rokem +1

      Kwanini?

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 Před rokem +1

      Hapo ni tumbili

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před rokem +2

      @@reubenkissinga5802 waty gani wanakula wanyama ambao hawafai kuliwa hawa hawachekan na wazungu wachina waphilipono wanakula wadudu wote

    • @vincentmokenye4465
      @vincentmokenye4465 Před rokem +1

      Chimbuko lao ni ethiopia na zudan kuna kabila linaitwa nyangatom wapo ethiopia wakatili hatari

  • @altaphonebypassofficial
    @altaphonebypassofficial Před rokem +2

    hivi hao watu bado wapo ??