TAZAMA SHANGWE LA JAMII YA 'WAHADZABE' WAKIPEWA KITOWEO CHA NYAMA YA PORI ILI WAHESABIWA SENSA 2022

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2022

Komentáře • 204

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 Před rokem +2

    namm sihesabiw had muniletee piza😍😍🏃‍♂️

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 Před rokem +2

    Hii Kali kwel Tz Nchi yà amani na mm nataka Nyama ya swala ndyo mnihesabu

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Před rokem

    Hongern wahanzabe wenzenu tumepigwa uku

  • @milleniumjunior4206
    @milleniumjunior4206 Před rokem +14

    Duuuh nilijua nimeona kila kitu kumbe bado aiseee🤣🤣🤣

  • @irenenyauhule6017
    @irenenyauhule6017 Před rokem

    Hongera mh

  • @faustinaurio3703
    @faustinaurio3703 Před rokem +2

    Na simngechukua na hao nyumbu halafu waendelee kusubiri mbuni dawa ..hawana asante

  • @adrianofesto7301
    @adrianofesto7301 Před rokem

    Daaaah atar

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Před rokem +11

    Kazi kweli kweli

  • @alphoncemayala4214
    @alphoncemayala4214 Před rokem +5

    Aaaa!!kumbeeee!!!! Ahaaa nimeelrewa sehemu walipo pishana wakulungwa walitaka mbuni yure ndege ila kulingana namazingila ya gafra bini vuu jamaa wakajikuta wanaagiza nyumbu 😂😂😂nyumbu wameletwa mhenga kakumbuka, wapi alipo kosea😂😂😂😂😂😂😂safi sana sema serkali mungewaacha2 wakaishi nawanyama popote pare, kwanza hawanashida yoyote wala hawaleti usumbufu oote kwa raia, 😂😂kesi yao kuu ni nyama2

  • @doza1031
    @doza1031 Před rokem +2

    ok sawa kamateni mbuni mutoe manyoya tu alafu muwawache waendelee na maisha yao

  • @aishawhite1107
    @aishawhite1107 Před rokem +10

    Nyama nyama ya Kuku nyama 🤣🤣🤣ya nyumbu nyama 😂😂😂😂love Tanzania hakuna kuhesabiwa Bure

  • @salamanhonya9677
    @salamanhonya9677 Před rokem +1

    Mama Samia Suluhu Oyeeeee!!! IPO vizuri. Amani ya Watanzania.

  • @tumainimtingitingi4883

    Ana leo wamependeza

  • @fatumasalum7973
    @fatumasalum7973 Před rokem

    Hii nnchi ina Uhuru Sana jaman

  • @milley7185
    @milley7185 Před rokem

    Nahitaji interview 🙌

  • @aristidestibaijuka3428
    @aristidestibaijuka3428 Před rokem +1

    Mama Samia na serikali yake ni s nikivu Sana ,naomba viongozi wengine waige kiongozi wetu na naomba NSSF itupatie chetu sisi wafanya kazi binafsi tulioacha kazi ili fedha zetu zitusaidie kwenye maisha haya magumu

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před rokem

      Kundanganya watu na nyama ya siku moja ndo usikivu? Hawatu wanatakiwa wapate elimu iliwaachane na utamaduni wakizamani

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Před rokem

      Tozo kwenye Miamala na. Mabenki hajasikia?

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega Před rokem

      Hawa wanasukilizwa Kwa sabab wanaingizia mapato serikali kuna makabila mengi ya asili Tanzania ila Ili ndo kabila marufu duniani

    • @yohanasport5929
      @yohanasport5929 Před rokem

      Sikivu na mitozo hiyo

  • @kagarukifred7372
    @kagarukifred7372 Před rokem +1

    Kuna mwenye jezi ya utopolo

  • @othumanichabai2906
    @othumanichabai2906 Před rokem

    Mimi ndomaana nmekataa. Kuhesabiwa

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem

    😀😀😀😀😀Hatary jamn

  • @godfreybahitwa4798
    @godfreybahitwa4798 Před rokem +6

    Magoya - Manyoya kwaajili ya Tambiko.
    Aisee! Twendeni tukatambikie mizimu.

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 Před rokem +2

    Imeishaiyooo

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Před rokem

    Dahh tabu kwa kweli

  • @lathifaa860
    @lathifaa860 Před rokem

    Kazi kwali kwali

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 Před rokem +1

    Mtasubir Sana mbuni yani mnsleta janja janja

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 Před rokem +1

    Mimi nileteeni nyama ya twiga sijawahi kula jamani nasikia ni mtam sana.

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa Před 4 dny

    Dudukwe Simuoni Yuko Wapi

  • @issakwisamwakisambwe4080
    @issakwisamwakisambwe4080 Před rokem +10

    😂😂😂😂😂 Ila nimependa mh mkuu wa mkoa wala hajawamind kawasikiliza kama wanachosema cha maana kumbe wanazingua 😂😂 minyama yote hiyo wao hawashukuru wanadai vingine wafimbo hawa

  • @godfreymsafiri6508
    @godfreymsafiri6508 Před rokem

    Mbn wanapelekesh selikal

  • @suedseif6495
    @suedseif6495 Před rokem +1

    Hawa nao wasiwaendekeze sana mbona huku tunahesabiwa bila hata ya nyama

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 Před rokem

    Mmmmh mbona wanadeka sana?aisee

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před rokem

    Daaa serikal mfanye kituu
    Wapatee elimu

  • @florenciamassawe4925
    @florenciamassawe4925 Před rokem

    TAWA hebu tupeni elimu juu ya hawa wenzetu Wahazabe na hii desturi yao ya kuwinda wanyama. Je sheria inasemaje. Wanaruhusiwa kumiliki wanyama hao au ikoje. Naomba kuelimishwa juu ya hili.

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega Před rokem

      Yaani unasema waruhusiwe , Kwaio unataka wasirusiwe kuwimda Ili na serikali ikose mapato ujui Ili kabila linaingizia serikali mapato kupitia kuwinda Kwaio afu unasema wazuiwe

  • @annavicter4326
    @annavicter4326 Před rokem +7

    Mhhh Yani mnavyojichekesha km vizur mariasili mnalishana kwa sababu ya sensa 😭😭mhhh hamna kazi amna bazi

    • @ludobudege1662
      @ludobudege1662 Před rokem

      Seeikali inatuuma nguvu nyingi ili watu wahesabiwe kama mtu hataki unaachana nae hii nchi siiyelewi kabisa

  • @paulochesco8675
    @paulochesco8675 Před rokem

    Senza hoooyeeeeeeeeeee

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Před rokem +3

    Oya Kuna jamaa mmoja anaitwa dudukwee sijamuona hao 😄😄😄

  • @mirajiramadhanikyande6173

    Wakipewa Mbuni watatosheka?

  • @adelaanteri337
    @adelaanteri337 Před rokem

    Hahahaaaa! Manyara hoyee. Penda sn. Jiran zangu

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Před rokem +2

    Uhuru uliopitiliza 😂😂😂😂

  • @agnessrichard253
    @agnessrichard253 Před rokem +3

    😆😆🤣🤣kwaio hawa maboss wameamua kutumikisha serikali 😅😅😅 hya kimbieni mtafte mbuni

  • @samsonmwampamba6180
    @samsonmwampamba6180 Před rokem +3

    Kwa uncle magu wangedai mbuni kweli?

  • @allytv1714
    @allytv1714 Před rokem +4

    Iv ndivo watawala manawadanganya at kwenye uchaguzi awajuii wanachokichagua cz hawana elimu chekii jamani wamepiwa nyama basi uchaguzi mtawapa kanga na kofia

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Před rokem

    Wapewe vyoo wapewe elimu

  • @tramyspinkiebee3536
    @tramyspinkiebee3536 Před rokem +1

    Hahahhahaaaaaaaaaa hiii nchi bana..so na mimi nikisema nigome nipewe mkwanja itakuwaje😂😂😂😂😂😂...jaman achen kwanza nicheke halaf ntarudi kuangalia

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před rokem

    Hawa wanahitaji wapigwe kama ngoma ndo wataelewaa

  • @kulwarahmu5031
    @kulwarahmu5031 Před rokem +1

    Awa nao mxiueee wanajikuta special wachafuuu weusii mxiueee

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před rokem +1

    Ivi kweli Nchi italikubali hili la kichawi kutambika Nchi ikitambika kwa kuwaeshimu watambikaji na sisi tunaemueshimu Mungu hatukubali kutambika

    • @chihomaempire8850
      @chihomaempire8850 Před rokem

      Kama unavo heshimu imani yako heshimu pia na imani za watu wengine hakuna mwenye hakika ya kweli tunaemuabudu yupo ama laa

    • @Kanyawela
      @Kanyawela Před rokem

      @@chihomaempire8850 sisi tunamwabudu aliyetuhumba tuna hakika kabisa ila wengine wanalazimishwa kuabudu vilivyoumbwa na Mungu hapo mpaka uambiwe unajionea mwenyewe

  • @shannylarry5181
    @shannylarry5181 Před rokem +23

    Elimu ndogo Sana, anaongea kwa ujasiri kabisa eti wanataka mbuni😂🤣😂🤣wenzenu tumehesabiwa kavu kavu huku!!

    • @mumukinga8327
      @mumukinga8327 Před rokem +1

      😀😀yaan km vile nchi Yao peke yao

    • @khamismgunya4519
      @khamismgunya4519 Před rokem

      wajinga kweli

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Před rokem

      Naomba wasiwaletee hizo mbuni.Maana amesema kuna mbadala wakujitibia magonjwa.Basi huo mpadala ndio watautumia wasitutie hasara ya mbuni.

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před rokem

      Hahaaa nimefurahi,wahasabe hongela

    • @khamismgunya4519
      @khamismgunya4519 Před rokem

      @@medimisi6930 njoo namm nikupe happyy

  • @chalechaletv8658
    @chalechaletv8658 Před rokem +1

    Bimkubwa km wana linga nyama lete uk dar na mchele kilo 1 wata niesabu mm ad miti yangu😂😂😂

  • @samwelsanga5339
    @samwelsanga5339 Před rokem +1

    Wapuuz kwel kwel hawa

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Před rokem +3

    😂😂😂😂😂Kazi ipo

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před rokem

    Mtihani muandishi kua makini na hao watu. Watuu wanao penda nyama ni hatari kweli

  • @suleshsneider8545
    @suleshsneider8545 Před rokem

    Maake kwanza ncheke. Sasa na cc wakwere tuleteeni PEMBE za ndovu.. La cvyo mtahesabu mapapai

  • @ibrahimabel8360
    @ibrahimabel8360 Před rokem +2

    Hii ndio Tz duuuuu,sijui kwann nimekubali kuhesabiwa bure

    • @zulfaissa7814
      @zulfaissa7814 Před rokem +1

      Mbona nchi wanao faidika nao niwachache

    • @ibrahimabel8360
      @ibrahimabel8360 Před rokem +1

      @@zulfaissa7814 wengine tuendelee kujikaza tu😭😭😭

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Před rokem

    Mbuni siwataisha sasa

  • @muuhviva241
    @muuhviva241 Před rokem

    Umeanza uwongo sasa milladi

  • @paschalurassa6648
    @paschalurassa6648 Před rokem +6

    Kumbe tungesema tozo,miamala,madini ya ruby kule Dubai kupungua kwa bei za bidhaa ajira kwanza kwa vijana tulio mtaani na mengn kama hayo yatekelezwe kwanza ndio tuhesabiwe tungefanikiwa aloo nimejifunza kitu....

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega Před rokem

      Hao wenzio wanasikilizwa kwasabab wanaleta watalii wengi nchini na serikali kupata mapato Sasa wewe una faida Gani kwa serikali adi usikilizwe we unafikili wachaga, wahaya , wasukuma,wanyampaa serikali haiwaoni .

  • @maryamconstantine2232

    Ambao na ss bado tujahesabiwa mje hata na bagga basi ili mchakato wa kuhesabiwa uende poa

  • @mosesshekalage597
    @mosesshekalage597 Před rokem +2

    Hawa wanabahati magu angekuwepo wangekula viboko wote saiv wanadeka

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Před rokem +7

    Wanadeka washenz

  • @merydavis3860
    @merydavis3860 Před rokem

    Last born wa Mama Samia ndio maana mnapendwa !

  • @chinischinis6371
    @chinischinis6371 Před rokem

    au wakikosa ao mbuni wawapelekee ata nyani tu ao jamaa mbona wanakulaga tu

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 Před rokem

    😀😀😀😀heeee

  • @comics3437
    @comics3437 Před rokem

    These people are very INTELLIGENT, Yaani wanajielewa na they know what they want

  • @allytv1714
    @allytv1714 Před rokem +6

    Wapeni elimu na maendeleo na siyo wanyama

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 Před rokem +2

    Magoya ni manyoya🤣🤣🤣🤣🤣

  • @johnmatiko5086
    @johnmatiko5086 Před rokem

    Kombe Kuna wababe wasiotishia jera endapo hutoesabiwa

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před rokem

    Heeeeeee hawa watu wanamajanga wanashariti kweli wanawapa mashariti kwa viongozi wao

  • @nasramkungwa3647
    @nasramkungwa3647 Před rokem

    Acheni upendeleo ao mbuni tuleteeni na sisi huku tuonje nyama yao sio tunaishia kuwaona kwenye TV 📺 tu

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 Před rokem +2

    Muwe na Shukrani Anapewa nyumbu anarazimisha apewe na Mbuni. Au mnajiona nyie peke yenu ndy mnahaki ya kutumia maliw asili za Tanzania.

    • @Baday_8
      @Baday_8 Před rokem +1

      Weunataka😂😂😂🙌

  • @jacksongidion5170
    @jacksongidion5170 Před rokem +1

    7

  • @nyangigenyabitwano1180

    Watu na misimamo yao

  • @user-vh8em2bj9t
    @user-vh8em2bj9t Před 4 měsíci

    Yombo

  • @floranceluqman2951
    @floranceluqman2951 Před rokem +3

    Wasituchanganye hao wehu kama hawataki kuhesabiwa kavu kavu peleka JWTZ wenyewe watahesabiwa bila kelele wanataka kukwamisha mpango wa serilkali tu

  • @cmantz8837
    @cmantz8837 Před rokem

    Pigeni bakola hao wanaipa mashariti serikali je jamii zote zikitoa masharti itakuwaje?

  • @sabastianraymond.6383

    TZ

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 Před rokem +2

    Sasa baada ya kuomba vifaa vya kiafya , kielimu ,kimiundombinu hii ni kuambudu Miungu hapa ndipo wazungu wanatuachia

  • @charlessomeke8992
    @charlessomeke8992 Před rokem +1

    Hawa nawafaham vizr hata kanisani kama hakuna chakula hawatakuja kusali pia shuleni watoto bila chakula hawatasoma

  • @dimiledimile5634
    @dimiledimile5634 Před rokem

    Kwahio Yanga inawakilishwa hadi huko

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 Před rokem

    Wahazabe kiboko yao

  • @Juke995
    @Juke995 Před rokem +5

    Kwa hiyo bila nyama wangewageuza watu Wa sensa kitoweo ama 😂kwanza walitaka mbuni Ila basi tu 🤣

  • @sndole445
    @sndole445 Před rokem +1

    Hahahaaa

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 Před rokem +1

    msilete ujinga

  • @ngwanamabande8036
    @ngwanamabande8036 Před rokem

    Serikali inakwama sisi tukisema tunataka tembo mtareta

  • @hamadimgaza9351
    @hamadimgaza9351 Před rokem

    Hawa viumbe watatumalizia wanyama wetu

  • @juniorjuma2562
    @juniorjuma2562 Před rokem +4

    kwahiyo hao nyumbu inakuaje sasa waludishwe ama🤪🤪🤪 hii nchi hii ya ovyoo sanaaa

    • @sadabahla7120
      @sadabahla7120 Před rokem

      Watakula nyama ila ngozi awana kazi n ayo

    • @juniorjuma2562
      @juniorjuma2562 Před rokem

      @@sadabahla7120 wakt wao wanataka mbuni wangu hujaelewa hapo,🤣🤣

  • @joycepima1844
    @joycepima1844 Před rokem +3

    HIVI INGEKUWAJE JAMII ZA NCHI NZIMA ZINGEDAI NYAMA KABLA YA SENSA? NYUMBU WANGEISHA NA TUNGEENDA KUAZIMA KENYA 🤣🤣🤣

  • @esterrobart9750
    @esterrobart9750 Před rokem

    Mh watu hawa bado wapo nyuma sana waelimishwe watakaa sawa

  • @dicktv8762
    @dicktv8762 Před rokem

    Nasisi dar tunataka chpc kuku ndo tuhesabiwe

  • @praygodijiko4969
    @praygodijiko4969 Před rokem

    wanadeka awa watu pori

  • @kastomwaipopo1763
    @kastomwaipopo1763 Před rokem

    Tanzania nchii yangu😁🙄

  • @donmoofmmawaidhaaudio4508

    Na mimi nataka KUAJILIWA. Nisipoajiliwa sihesabiwi 🤣🤣🤣

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega Před rokem

      Acha zako wenzio wanaingizia serikali mapato ndo mana wanasikilizwa wewe una faida Gani adi usikilizwe

  • @kissaemily9118
    @kissaemily9118 Před rokem

    Chapeni fimbo mbona wachache Tu hao

  • @faridaaloyce4330
    @faridaaloyce4330 Před rokem

    Nyumbu hoyeee...hahahahaaaa

  • @anessabinery5654
    @anessabinery5654 Před rokem

    Msije kunihesabu mpaka mniletee Simba ,,alaaaaa nataka nyama ya simba

  • @dyanamotz
    @dyanamotz Před rokem +1

    Kwani hawa hawana pisi ?? 😂😂

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Před rokem

    Acheni upumbavu msiue mbuni wetu Kwa ujinga wenu

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz Před rokem

    czcams.com/video/Rrtc4BO-RTA/video.html mdada wa kazi kafumaniwa wakifanya mapenzi na mlinzi jikoni duh dunia imevaa

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 Před rokem

    Du hatari

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 Před rokem

    Mziki awa jamaa si mchezo

  • @donmoofmmawaidhaaudio4508

    Angalia Nasheed Nzuri 👇❤🤍
    czcams.com/video/keekDotg4uM/video.html