Aaaa!!kumbeeee!!!! Ahaaa nimeelrewa sehemu walipo pishana wakulungwa walitaka mbuni yure ndege ila kulingana namazingila ya gafra bini vuu jamaa wakajikuta wanaagiza nyumbu 😂😂😂nyumbu wameletwa mhenga kakumbuka, wapi alipo kosea😂😂😂😂😂😂😂safi sana sema serkali mungewaacha2 wakaishi nawanyama popote pare, kwanza hawanashida yoyote wala hawaleti usumbufu oote kwa raia, 😂😂kesi yao kuu ni nyama2
Mama Samia na serikali yake ni s nikivu Sana ,naomba viongozi wengine waige kiongozi wetu na naomba NSSF itupatie chetu sisi wafanya kazi binafsi tulioacha kazi ili fedha zetu zitusaidie kwenye maisha haya magumu
😂😂😂😂😂 Ila nimependa mh mkuu wa mkoa wala hajawamind kawasikiliza kama wanachosema cha maana kumbe wanazingua 😂😂 minyama yote hiyo wao hawashukuru wanadai vingine wafimbo hawa
TAWA hebu tupeni elimu juu ya hawa wenzetu Wahazabe na hii desturi yao ya kuwinda wanyama. Je sheria inasemaje. Wanaruhusiwa kumiliki wanyama hao au ikoje. Naomba kuelimishwa juu ya hili.
Yaani unasema waruhusiwe , Kwaio unataka wasirusiwe kuwimda Ili na serikali ikose mapato ujui Ili kabila linaingizia serikali mapato kupitia kuwinda Kwaio afu unasema wazuiwe
Iv ndivo watawala manawadanganya at kwenye uchaguzi awajuii wanachokichagua cz hawana elimu chekii jamani wamepiwa nyama basi uchaguzi mtawapa kanga na kofia
@@chihomaempire8850 sisi tunamwabudu aliyetuhumba tuna hakika kabisa ila wengine wanalazimishwa kuabudu vilivyoumbwa na Mungu hapo mpaka uambiwe unajionea mwenyewe
Kumbe tungesema tozo,miamala,madini ya ruby kule Dubai kupungua kwa bei za bidhaa ajira kwanza kwa vijana tulio mtaani na mengn kama hayo yatekelezwe kwanza ndio tuhesabiwe tungefanikiwa aloo nimejifunza kitu....
Hao wenzio wanasikilizwa kwasabab wanaleta watalii wengi nchini na serikali kupata mapato Sasa wewe una faida Gani kwa serikali adi usikilizwe we unafikili wachaga, wahaya , wasukuma,wanyampaa serikali haiwaoni .
namm sihesabiw had muniletee piza😍😍🏃♂️
Hii Kali kwel Tz Nchi yà amani na mm nataka Nyama ya swala ndyo mnihesabu
Hongern wahanzabe wenzenu tumepigwa uku
Duuuh nilijua nimeona kila kitu kumbe bado aiseee🤣🤣🤣
Hongera mh
Na simngechukua na hao nyumbu halafu waendelee kusubiri mbuni dawa ..hawana asante
Daaaah atar
Kazi kweli kweli
Aaaa!!kumbeeee!!!! Ahaaa nimeelrewa sehemu walipo pishana wakulungwa walitaka mbuni yure ndege ila kulingana namazingila ya gafra bini vuu jamaa wakajikuta wanaagiza nyumbu 😂😂😂nyumbu wameletwa mhenga kakumbuka, wapi alipo kosea😂😂😂😂😂😂😂safi sana sema serkali mungewaacha2 wakaishi nawanyama popote pare, kwanza hawanashida yoyote wala hawaleti usumbufu oote kwa raia, 😂😂kesi yao kuu ni nyama2
ok sawa kamateni mbuni mutoe manyoya tu alafu muwawache waendelee na maisha yao
😂😂😂😂😂
Nyama nyama ya Kuku nyama 🤣🤣🤣ya nyumbu nyama 😂😂😂😂love Tanzania hakuna kuhesabiwa Bure
😂😂
Mama Samia Suluhu Oyeeeee!!! IPO vizuri. Amani ya Watanzania.
Wapelekeeni na Siku nyingine tena wajameni mweee!!
Amani mamitozo ya ajabu ajabu
Ana leo wamependeza
Hii nnchi ina Uhuru Sana jaman
Nahitaji interview 🙌
Mama Samia na serikali yake ni s nikivu Sana ,naomba viongozi wengine waige kiongozi wetu na naomba NSSF itupatie chetu sisi wafanya kazi binafsi tulioacha kazi ili fedha zetu zitusaidie kwenye maisha haya magumu
Kundanganya watu na nyama ya siku moja ndo usikivu? Hawatu wanatakiwa wapate elimu iliwaachane na utamaduni wakizamani
Tozo kwenye Miamala na. Mabenki hajasikia?
Hawa wanasukilizwa Kwa sabab wanaingizia mapato serikali kuna makabila mengi ya asili Tanzania ila Ili ndo kabila marufu duniani
Sikivu na mitozo hiyo
Kuna mwenye jezi ya utopolo
Mimi ndomaana nmekataa. Kuhesabiwa
😀😀😀😀😀Hatary jamn
Magoya - Manyoya kwaajili ya Tambiko.
Aisee! Twendeni tukatambikie mizimu.
Imeishaiyooo
Dahh tabu kwa kweli
Kazi kwali kwali
Mtasubir Sana mbuni yani mnsleta janja janja
Mimi nileteeni nyama ya twiga sijawahi kula jamani nasikia ni mtam sana.
Dudukwe Simuoni Yuko Wapi
😂😂😂😂😂 Ila nimependa mh mkuu wa mkoa wala hajawamind kawasikiliza kama wanachosema cha maana kumbe wanazingua 😂😂 minyama yote hiyo wao hawashukuru wanadai vingine wafimbo hawa
Mbn wanapelekesh selikal
Hawa nao wasiwaendekeze sana mbona huku tunahesabiwa bila hata ya nyama
Mmmmh mbona wanadeka sana?aisee
Daaa serikal mfanye kituu
Wapatee elimu
TAWA hebu tupeni elimu juu ya hawa wenzetu Wahazabe na hii desturi yao ya kuwinda wanyama. Je sheria inasemaje. Wanaruhusiwa kumiliki wanyama hao au ikoje. Naomba kuelimishwa juu ya hili.
Yaani unasema waruhusiwe , Kwaio unataka wasirusiwe kuwimda Ili na serikali ikose mapato ujui Ili kabila linaingizia serikali mapato kupitia kuwinda Kwaio afu unasema wazuiwe
Mhhh Yani mnavyojichekesha km vizur mariasili mnalishana kwa sababu ya sensa 😭😭mhhh hamna kazi amna bazi
Seeikali inatuuma nguvu nyingi ili watu wahesabiwe kama mtu hataki unaachana nae hii nchi siiyelewi kabisa
Senza hoooyeeeeeeeeeee
Oya Kuna jamaa mmoja anaitwa dudukwee sijamuona hao 😄😄😄
Cjomwona mtu anaitwa ndondoooo na oyeeee
@@samsoniitambu6230 😄😄😄 itakua wameenda kuwinda nyani
Wakipewa Mbuni watatosheka?
Hahahaaaa! Manyara hoyee. Penda sn. Jiran zangu
Uhuru uliopitiliza 😂😂😂😂
😆😆🤣🤣kwaio hawa maboss wameamua kutumikisha serikali 😅😅😅 hya kimbieni mtafte mbuni
Kwa uncle magu wangedai mbuni kweli?
Iv ndivo watawala manawadanganya at kwenye uchaguzi awajuii wanachokichagua cz hawana elimu chekii jamani wamepiwa nyama basi uchaguzi mtawapa kanga na kofia
Wapewe vyoo wapewe elimu
Hahahhahaaaaaaaaaa hiii nchi bana..so na mimi nikisema nigome nipewe mkwanja itakuwaje😂😂😂😂😂😂...jaman achen kwanza nicheke halaf ntarudi kuangalia
Angalia Nasheed Nzuri 👇❤🤍..
czcams.com/video/keekDotg4uM/video.html
Hawa wanahitaji wapigwe kama ngoma ndo wataelewaa
Awa nao mxiueee wanajikuta special wachafuuu weusii mxiueee
Ivi kweli Nchi italikubali hili la kichawi kutambika Nchi ikitambika kwa kuwaeshimu watambikaji na sisi tunaemueshimu Mungu hatukubali kutambika
Kama unavo heshimu imani yako heshimu pia na imani za watu wengine hakuna mwenye hakika ya kweli tunaemuabudu yupo ama laa
@@chihomaempire8850 sisi tunamwabudu aliyetuhumba tuna hakika kabisa ila wengine wanalazimishwa kuabudu vilivyoumbwa na Mungu hapo mpaka uambiwe unajionea mwenyewe
Elimu ndogo Sana, anaongea kwa ujasiri kabisa eti wanataka mbuni😂🤣😂🤣wenzenu tumehesabiwa kavu kavu huku!!
😀😀yaan km vile nchi Yao peke yao
wajinga kweli
Naomba wasiwaletee hizo mbuni.Maana amesema kuna mbadala wakujitibia magonjwa.Basi huo mpadala ndio watautumia wasitutie hasara ya mbuni.
Hahaaa nimefurahi,wahasabe hongela
@@medimisi6930 njoo namm nikupe happyy
Bimkubwa km wana linga nyama lete uk dar na mchele kilo 1 wata niesabu mm ad miti yangu😂😂😂
Wapuuz kwel kwel hawa
😂😂😂😂😂Kazi ipo
Mtihani muandishi kua makini na hao watu. Watuu wanao penda nyama ni hatari kweli
Maake kwanza ncheke. Sasa na cc wakwere tuleteeni PEMBE za ndovu.. La cvyo mtahesabu mapapai
Hii ndio Tz duuuuu,sijui kwann nimekubali kuhesabiwa bure
Mbona nchi wanao faidika nao niwachache
@@zulfaissa7814 wengine tuendelee kujikaza tu😭😭😭
Mbuni siwataisha sasa
Umeanza uwongo sasa milladi
Kumbe tungesema tozo,miamala,madini ya ruby kule Dubai kupungua kwa bei za bidhaa ajira kwanza kwa vijana tulio mtaani na mengn kama hayo yatekelezwe kwanza ndio tuhesabiwe tungefanikiwa aloo nimejifunza kitu....
Hao wenzio wanasikilizwa kwasabab wanaleta watalii wengi nchini na serikali kupata mapato Sasa wewe una faida Gani kwa serikali adi usikilizwe we unafikili wachaga, wahaya , wasukuma,wanyampaa serikali haiwaoni .
Ambao na ss bado tujahesabiwa mje hata na bagga basi ili mchakato wa kuhesabiwa uende poa
Hawa wanabahati magu angekuwepo wangekula viboko wote saiv wanadeka
😄😄😄🤣🤣🤣
Sasa kama wanaingiza mapato Kwa serikali kupitia watalii Kila siku kwanini wasideke
Wanadeka washenz
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka ujue
Tatizo mfumo wa maisha yao ni kuwinda kila uchao.
@@uledimtumwa2406 me maisha yangu kutafta hela....ko niidai serikali pesa ndo Inihesabu
@@laoiyadi1176 utafikiri wamefuga wao 😂
Last born wa Mama Samia ndio maana mnapendwa !
au wakikosa ao mbuni wawapelekee ata nyani tu ao jamaa mbona wanakulaga tu
😀😀😀😀heeee
These people are very INTELLIGENT, Yaani wanajielewa na they know what they want
Wapeni elimu na maendeleo na siyo wanyama
Magoya ni manyoya🤣🤣🤣🤣🤣
Kombe Kuna wababe wasiotishia jera endapo hutoesabiwa
Heeeeeee hawa watu wanamajanga wanashariti kweli wanawapa mashariti kwa viongozi wao
Acheni upendeleo ao mbuni tuleteeni na sisi huku tuonje nyama yao sio tunaishia kuwaona kwenye TV 📺 tu
Muwe na Shukrani Anapewa nyumbu anarazimisha apewe na Mbuni. Au mnajiona nyie peke yenu ndy mnahaki ya kutumia maliw asili za Tanzania.
Weunataka😂😂😂🙌
7
Watu na misimamo yao
Yombo
Wasituchanganye hao wehu kama hawataki kuhesabiwa kavu kavu peleka JWTZ wenyewe watahesabiwa bila kelele wanataka kukwamisha mpango wa serilkali tu
😂😂😂😂
Pigeni bakola hao wanaipa mashariti serikali je jamii zote zikitoa masharti itakuwaje?
Nashangaa Sna
TZ
Sasa baada ya kuomba vifaa vya kiafya , kielimu ,kimiundombinu hii ni kuambudu Miungu hapa ndipo wazungu wanatuachia
Tuwe na kiasi kila kitu kikosoa tu jamani
Hawa nawafaham vizr hata kanisani kama hakuna chakula hawatakuja kusali pia shuleni watoto bila chakula hawatasoma
🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Hahahaha,kwa hiyo tumbo kwanza
Kwahio Yanga inawakilishwa hadi huko
Wahazabe kiboko yao
Kwa hiyo bila nyama wangewageuza watu Wa sensa kitoweo ama 😂kwanza walitaka mbuni Ila basi tu 🤣
Kumbe naww umemuerewa😂😂😂😂😂😂 hatari sana
🤣
🤣
Hahahaaa
msilete ujinga
Serikali inakwama sisi tukisema tunataka tembo mtareta
Hawa viumbe watatumalizia wanyama wetu
kwahiyo hao nyumbu inakuaje sasa waludishwe ama🤪🤪🤪 hii nchi hii ya ovyoo sanaaa
Watakula nyama ila ngozi awana kazi n ayo
@@sadabahla7120 wakt wao wanataka mbuni wangu hujaelewa hapo,🤣🤣
HIVI INGEKUWAJE JAMII ZA NCHI NZIMA ZINGEDAI NYAMA KABLA YA SENSA? NYUMBU WANGEISHA NA TUNGEENDA KUAZIMA KENYA 🤣🤣🤣
Mh watu hawa bado wapo nyuma sana waelimishwe watakaa sawa
Mm sijui niombe nn ili nihesabiwa 🤣🤣
Nasisi dar tunataka chpc kuku ndo tuhesabiwe
wanadeka awa watu pori
Tanzania nchii yangu😁🙄
Naipenda
Na mimi nataka KUAJILIWA. Nisipoajiliwa sihesabiwi 🤣🤣🤣
Acha zako wenzio wanaingizia serikali mapato ndo mana wanasikilizwa wewe una faida Gani adi usikilizwe
Chapeni fimbo mbona wachache Tu hao
Nyumbu hoyeee...hahahahaaaa
Msije kunihesabu mpaka mniletee Simba ,,alaaaaa nataka nyama ya simba
Kwani hawa hawana pisi ?? 😂😂
Acheni upumbavu msiue mbuni wetu Kwa ujinga wenu
czcams.com/video/Rrtc4BO-RTA/video.html mdada wa kazi kafumaniwa wakifanya mapenzi na mlinzi jikoni duh dunia imevaa
Du hatari
Mziki awa jamaa si mchezo
Angalia Nasheed Nzuri 👇❤🤍
czcams.com/video/keekDotg4uM/video.html