Video není dostupné.
Omlouváme se.
MCHUNGAJI HANANJA ,SIRI YA KIFO FREEMASON ,UCHAWI MKUBWA KUZIKA MGOMBA BAADA YA MAREHEMU
Komentáře • 114
Další v pořadí
Automatické přehrávání
SIRI YA MANABII KUMILIKI UTAJIRI IMEFICHUKAWasafi Media
zhlédnutí 17K
HANANJA AMJIBU ZUMARIDI/ ANA UGOJWA WA AKILIWasafi Media
zhlédnutí 26K
MCHUNGAJI HANANJA AFICHUA SIRI ZA FREEMASON MIEZI YA KAFARA AJALI NYINGI.HABARI JAMII DIGITAL
zhlédnutí 92K
CO TVOJE TĚLO NEDOKÁŽE UDĚLAT (ALE MĚLO BY TO UMĚT) 😅🤣Stejk
zhlédnutí 248K
Ariška miluje Tary Camp! 🥰🤩Tary
zhlédnutí 449K
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصيرOne More Arabic
zhlédnutí 49M
VOLO VIA dallo staggio (elemento PROIBITO)😂🚀Sophialand
zhlédnutí 17M
SIRI YA FICHULIWA UONGO WA MIUJIZA WANAYO IFANYA EV PASCHAL CASSIANPASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
zhlédnutí 172K
#PART 2: "UKIONA MWANAMKE AMECHEPUKA, KUNA MLANGO MWANAUME AMEFUNGUA"- MCHUNGAJI HANANJA |HARD TALKGlobal TV Online
zhlédnutí 72K
MCH :HANANJA AMTOLEA UVIVU NABII KIBOKO YA WACHAWI SIRI ZA KUTOA MAPEPOBongo Touch
zhlédnutí 240K
HANANJA HAKUBALIANI NA ZUMARIDI, ASIMULIA ALIVYOWEKWA JELA RWANDA KUCHEZA BOXING NA KUISHI NA MATEJAMillard Ayo
zhlédnutí 139K
THAMANI YA MWANAUME IKO KWENYE MAENEO HAYA HAPA MCH HANANJA#MarriageRealLifeTalk | Rinazon Ministry
zhlédnutí 249K
ZANZIBAR ,MKASA WA KUSIKITISA MVUVI ALIYEKUTANA MCHAWI MZITO BAHARINI.HABARI JAMII DIGITAL
zhlédnutí 149K
MCHUNGAJI HANANJA AMJIBU MZEE WA UPAKO KUSEMA WAKRISTO WENGI HAWAJUI BIBLIA // INJILI HAIPO HIVO...PTVTANZANIA online
zhlédnutí 116K
Uděláme koncert, kde uvidite AINKU naživo??Frank Wild
zhlédnutí 603K
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRushalbert_cancook
zhlédnutí 131M
Llegó al techo 😱Juan De Dios Pantoja
zhlédnutí 63M
Inside Out 2: Test IQ Joy, Envy, Anger, Anxiety in One Line #shorts #animationAnythingAlexia
zhlédnutí 27M
Fast and Furious: New Zealand 🚗How Ridiculous
zhlédnutí 47M
Wait for the BOWLING BALL! 👀Josh Horton
zhlédnutí 51M
Yaani nacheka sana
Ila mzee yuko vizuri sana . Mungu aendelee kukutunza uishi miaka mingi
Nakupenda sana Baba Kwa ukweli unayosungumsa ❤❤❤❤hapa nimecheka tayari wah😂😂😂Mungu akubariki uishi miaka mingine mingi mbele
Msichoke wahandishi kwenda pastor Hananja maneno yake yana tuhelimisha mungu wetu yesuchristo atulinde
Mimi ni muislamu lakini nimevutiwz mawaidha ya Pastor Nahanja. Mungu ambariki.
Wow mchungaji Ananja, ni mwalimu mzuri kweli. Wow asante sana baba.Kama Kuna mchungaji anafaa kua mchungaji ni wewe, kwa ukweli Mungu akubari sana sana sana.uzidishiwe hekima na Mungu.❤
Upo vizuri Mchungaji Ameen
SIJAWAI KUACHA KUSIKILIZA MAHOJIANO YAKO ,IMANI NA UHALISIA ,SAFI SANA ,MUNGU AKUWEKE
Ubarikiwe mchungaji Mungu akupe wepesi ili uwe unatufundisha neno lake amen
Mungu akubariki saaana na akulinde saaana. Unagusa maisha ya wqtu nami nikiwemo.
❤Upo vizuri sana mahubiri yako mi sahihi Mungu akubariki Ameeen
Mchungaji nakukubali sana tena unaongea uhalisia natamani sana siku moja nikutane nae ana kwa ana pia niabudu kanisani kwake,mungu akubariki sana na akupe maisha marefu,hufanani na hawa wachungaji mihemuko ya unyonyaji
MSULI UNACHEZEA GWARIDE 😅😅HUYU MZEE KIBOKO NAMPENDA SANA ❤
Huyu mzee ananifanya nione siku nzuri....
Mimi nimejifunza udhaifu wetu kama mkristo but kupitia kwa mchungaji ni mejifunza kuishi kwa ukweli God bless you pastor 🙏🙏🙏
Uishi miaka 1000 nakupenda sana pastor mungu akutunze mafundisho yako mazuri
Mm sikuowa Nabii Nimeowa Mke Aiseeee Neno Dogo Ila Linamaana kubwa Sana Ahsante Baba Henanja Upo Kwenye Moyo Wangu❤
Mzee mungu Akupenguvu kwa ukweli unaotupa uendelee kuwepo hapa duniani wewe na mzee waupako
Ubarikiwe sana pastor 🙏 ❤🎉
Safi sanaa wapeukweli hao mzee unajua sanaa😂😂🎉
Napenda sana mahubiri ya mchungaji hananja abarikiwe
Mzee tusaidie ukristo siku hizi umeingiliwa na ujinga sana, mtu anaibuka tu mara nimeenga mbinguni mara nimeongea na Yesu live na watu wanaamini, upuzi mtupu
I really like the pastor he's educating en entertaining at the same time❤😂
❤ Mch Hananja waambie ukweli wakuelewe
Mchungaji alonyooka
Mzee mchungaji, unapendeza sana! WEWE NAONA Ni geneous tangu kuzaliwa kwako, Nakuomba utusaidie kuwa na vipindi vya kukosoa mapungufu mengi hasa kwenye dhehebu katoliki.
Achana na hayo mavichwa ya habari ya eti FREEMASON hananja sisi tunamsikikiza tu
Tungeli mtafuta mchungaji afungue channel youtube ya masomo ya maisha
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Daaah yaan anachekesha lakini anasema ukweli mtupu😂😂😂😂
😂😂mchungaji Mungu akubarik sana kwakuongea ukweli
Uko vizuri sana na unauwezo mkubwa mno Mzee wangu
😂😂😂😂 ukweli sana❤❤❤❤❤❤
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Daaah sema pastor nakukubali sana
🤣🤣🤣Huyu mzee kiboko, Barikiwa sanaa😂
I love this man.. Allah guide you to Islam my brother... one of the truthful
turn to Jesus Christ, Allah have no heaven to give you
@@stephanomaduhu5426 did Jesus A.S created any heaven?... show me a proof if you're truthful...
Allah it means God bt in Arabic languages bt JESUS is the only way to enter in the kingdom of heaven cause he is the one who carry all of our burdens on the cross
That's where u go wrong now!!😂😂😂to Islam to do what??listen to what he says about Christianity and the everlasting life. No life without Jesus Christ, He is the way, the truth and the life,no one goes to the Father God unless through Jesus,- John 14:6,so what will he go for in Islam???😂😂😂😂U r joking, accept Christ Jesus for eternal life my friend.
@@fredanunda7719 the Christians in the Palestine and Egypt they identify God as Allah... thats where the Christianity you claim to follow came from... Allah is the name is the one and only God that Jesus himself prayed to. ..
Nakupenda sana mchungaji Hanaja
Mungu akutunze mchungaji
Yupo mwokozi wa ukrito wa kweli tupe someone maana tumevamiwaaa ❤
Points 👉 👈 sana
Yaan huyu i mchungaji anatakent kubwa ❤❤😂😂😂
Nakubari Mzee mungu akuweke miaka 1000
Huyu mzee noma 😂😂😂
We baba Mungu akutunze mtumishi
😂😂😂❤ nakupenda sana babaa😂😂😂😂
mchungaji yuko straight sana
😅😅😅😅 unanifulaisha sana 🫰
Barikiwa sana 🇲🇿
Hatr kweli wana enda kwa kupitia maono na mafunuo
MUNGU mbaraki mwanao pr ananja
Uyu baba yani asante
Hananja kama hananja
ukweli , japo kwa ucheshi wa aina yake 😂😂
Hananja hana baya
Namkubali sana, amefanya biashara Brack market Tunduma na kununua Bonsoo Itaka huyu anastahili kumuelemisha Mtu kweli
Ukweli mtupu
🙏
Karibu katika uislamu kiongozi
Ungekua kiongoz wa wakristo wote wakristo wangekuwa kwenye mstar
Mchungaji hongera kwa utume wako
AMEEN MCHUNGAJI...
Eti mwili wa kubeba kifusi😅
Unaongea ukweli sana mtumishi, Mungu akutunze wewe ni hazina ya Mungu
Pastor unaongea vzur bblia waijua
Unakunywa soup ya pweza😂😂😂
Mchungaji unajua mpaka unaharibu
Mchungaji mahubiri yako yana uhalisia.
Mchungaji ubalikiwe
😂😂😂😂 kweli kweli 😂😂😂😂
Nikweli wanawake wana watharau waume zao wana kimbilio watumishi yuko bz
mi mkatokiki, ila nakubali mahubiri yako.
😂😂😂😂😂😂😂nakukubalia apo kbs kufufuka uongo
😅😅😅
Dah
Eti Amekausha Sauti Makusudi🤣🤣🤣Baba
Mbona Gwajima anawatoa Sana tu hao misukule au naye Ni mganga wa kienyeji? Au ni muongo?
Huyo ngwajima ndio nani muongo mkubwa bora hata huyu
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwakweli Mchungaji Upo Vizur, Maana Nimewai kwanda kwa Mchungaji mmoja kumuona tu anataka pesa kama hiyo.
Je Uyu yupo kiuchungaji au !?
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂❤❤
Kwahio unamaanisha bibilia ni uwongo kwa sababu hata Paulo Ali fufua yutiku?
Mzee uko poa saaana
Na Muomba Allaah amuongeze huyu mzee asilimu maana azungumza yalio nyooka
Asilimia nini sasa
@@user-wc5qb7tu1j😂😂😂😂 muulize tena
😂😂😂😂
😂😂😂
Humetisha nakupenda sana huishi miaka 10000000000000
Kama mtu akifa hafufuki mbona mnasema Yesu alikufa akafufuka? Au yeye sio mtu?
Apo sasa
Jitahidi sana kufahamu yanayo fundiswa toka katika bibilia ndipo utakapo jua ya kuwa Yesu alifanana na binadamu binadamu 28:15 28:18 28:19 28:21
Uko sawa mchungaji lakini jaribu kujifunza uislamu Ninathani utasilimu kwani ndio dini pekee ilio kubalika .
Mche MUNGU kwa roho na kweli udini weka pembeni...tengeneza moyo safi hiyo ndio dini safi.
Wewe usijidanganye mche Mungu ktk roho na kweli Dini Ni njia ya kumtafuta Mungu
Imekubalika na nani??😢
Uislam au ukristo haukupeleki mbinguni ila mahusiano yako binafsi na Mungu
Dini haitakupeleka mbinguni Ila utakatifu wako ndio utakupeleka
Yesu alisema fufueni wafu takaseni wakoma mme pewa Bure toeni Bure.
Sana mimi sipendi haya majitu yanayojiita manabii na mitume ni wajinga sana,hawatk kufundisha neno la Mungu zaidi nabii za kijinga
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂