ZANZIBAR ,MKASA WA KUSIKITISA MVUVI ALIYEKUTANA MCHAWI MZITO BAHARINI.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • FUATILIA MKASA WA MVUVI ALIVYOKUTAKA NA MKASA WA KUZAMA BAHARINI KWA SIKU 4 BILA MSAADA.

Komentáře • 95

  • @monicabalucci1624
    @monicabalucci1624 Před 7 měsíci +8

    Nimeumia jaman naona Hawa kama ndo babangu jamani …wanawake tuwaheshimu wanaume wanaotupambania jamani 😭Mungu awesimamie baba zetu awape ahueni kwenye maisha yenu

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf Před 8 měsíci +29

    Mzee nakukubali kumuweka Mungu mwazo kama hajapanga halikukuti jambo lolote

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 8 měsíci +2

      Anamtegemea Mwenyezi Mungu sw kielimu na sio kipumbavu kama unavyowaza wewe. Hapo lazima atizame malaika waliowakilishwa (nyota) na elimu za fani. Hakuna mvuvi mjinga, sasa jipeleke weye kichwa kichwa uone 😂

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 8 měsíci +1

      Hata mamba anatengezwa.

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf Před 8 měsíci

      @@hilalkhalfan1452 uwo wako usenge na ujinga wa kifikiri Mungu ndo kila kitu awo Malaika unozungumza ww hawawezi kufanya chochote mpaka wapate Izini kutoka kwa Mola wao hanisi ww kasome acha Kuja kucomment uhanisi wako hapa Mshirikina mkubwa

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Před 8 měsíci +31

    Nawafahamu sana hawa watu. Wamezaliwa, wamelelewa, wamekuzwa, wamekuwa na wanaishi baharini.
    Bahari ni kubwa ila Allah ni mkubwa zaidi.

    • @carroljames8692
      @carroljames8692 Před 8 měsíci

      What's papa in english?

    • @theteacherchance6750
      @theteacherchance6750 Před 8 měsíci

      @@carroljames8692 "papa" for Swahili speaking Zanzibaris means "shark 🦈" one of the deadly creature out there

    • @myself4128
      @myself4128 Před 8 měsíci

      Allah Hajaumba Kitu
      Nenda mecca utamkuta ametulia pale hata baharini hapajui...

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 Před 8 měsíci

      ​@@myself4128na yesu nae kashakufa hatumjui ata yuko wapi

    • @mduda_i
      @mduda_i Před 8 měsíci

      @@myself4128 pale utakapokuja kujuta sentesi itakayokutia natatani mbele ya muumba aliumba ardhi na mbingu ukiwemo wewe na yesu ndani yake. usamehewe ni upeo mdogo wa kiakili

  • @nairomcomoria5788
    @nairomcomoria5788 Před 8 měsíci +22

    🤲🤲🤲 mungu akufungulie kila la kheri mzee wangu

  • @azizirania63
    @azizirania63 Před 8 měsíci +20

    Maskin wazee wanateseka wanafaa kustaafu lkn ndio hivyo tena hawana namna😢

  • @tariqebenson
    @tariqebenson Před 7 měsíci +13

    Napenda watu wa Zanzibar, ni wa kweli hawaongei kutafuta sifa Wala umaarufu. Hapo angekuwa mtu wa bara ungesikia baharini nilikutana na wachawi wengi nikawakazia😂

  • @Sadickmbwambo
    @Sadickmbwambo Před 8 měsíci +10

    Mashaa Allah Mzee ana Taqwa sanaa
    Allah Amfungulie kila lenye Kheri na yeye

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db Před 7 měsíci +4

    IzaaArada Shaia An'yakula Lahu kun fayaqun,Allah Azd kukuhfadh🙏

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 8 měsíci +12

    Tatizo meli nyingi kubwa zinazopita katika Bahari zetu zinavua kisasa zinamaliza samaki kwa wavuvi wadogo wadogo.ndio mana samaki wanakua hadimu kupatikana kwa wavuvi wadogo.

  • @user-cx3zh1wi1y
    @user-cx3zh1wi1y Před 7 měsíci +1

    Alhamdulillah maashallah kwa kumtanguliza Allah

  • @JacfarNur
    @JacfarNur Před měsícem

    Ntapata mdada wa Zanzibari ❤❤❤

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l Před 8 měsíci +3

    Naomba Allah Anisaidie niweze kutoa msaada jmn toka mwaka 70??

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Před 8 měsíci +11

    Jamani wazee wetu wamesema kweli wamechoka kazi ngumu usiku mtu anashinda Bahraini kwakweli tufanyeni mango wa hizo machine za both na raising hussein mwinyi aangalie mitandao aone watu walivyokuwa nashida wasaidie jamani hate michango

  • @yahyamaabad9837
    @yahyamaabad9837 Před 8 měsíci +5

    Polen sana baba zangu😢😢😢

  • @shemsa_salum
    @shemsa_salum Před 7 měsíci

    Allah atufanyie wepesi wote ktk harakati zetu za halali za kutafuta rizki

  • @mwanashaali1109
    @mwanashaali1109 Před 7 měsíci

    Barakah llahu fiik

  • @Spagles
    @Spagles Před 8 měsíci +4

    HATARI kombo😂

  • @mwananganzi
    @mwananganzi Před 8 měsíci +15

    Watanzania wenye uqezo wamuwezeshe huyu mzee wamtafitie mradi wa vifaa aweze kukodisha na kuingiza kipato aachane na kuvua yy mwenyew .

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 Před 8 měsíci +1

      Hizo ndizo shughuli walizozoea wamwezeshe vifaa vya kisasa boti za mashine na nyavu app watakua wamemsaidia

  • @AgnesJackson-ts9or
    @AgnesJackson-ts9or Před 8 měsíci +4

    😂😂😂😂katisha

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 Před 8 měsíci +4

    Nimechoka😂

  • @tualiboicratualiboicratual4504
    @tualiboicratualiboicratual4504 Před 8 měsíci +2

    ❤❤

  • @CYRILTV2023
    @CYRILTV2023 Před 8 měsíci +1

    🙋

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Před 8 měsíci +2

    Vibwengo sindio walikuja kuwafuata utopolo kwajili ya kuwaloga al ahaly huko Zanzibar

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Před 8 měsíci +3

    Afu tukitaka kununua samaki tuna bargain ili kushusha bei tupate nafuu

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Před 8 měsíci +3

    Mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign4156 Před 8 měsíci +1

    Allah akufanyie wepes Mzee wang

  • @DuliBrillant-mr8er
    @DuliBrillant-mr8er Před 7 měsíci +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭me niachen nilie tu

  • @suleimanmatege3899
    @suleimanmatege3899 Před 8 měsíci +2

    😂😂😂😂noma sana

  • @rahmayasin9094
    @rahmayasin9094 Před 7 měsíci

    Subbahanna 😢

  • @fatumamasudi4963
    @fatumamasudi4963 Před 6 měsíci +1

    Allah atakulinda babaangu

  • @noahnsubc1666
    @noahnsubc1666 Před 8 měsíci +1

    muwasaidie mabaharia washastaafu

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Před 8 měsíci +2

    NshachoKKA 😢😭😢😭😢😭😢😭

  • @InvestorMtuiSamuel
    @InvestorMtuiSamuel Před 7 měsíci

    Mzee yupo vuzuri.

  • @KinanaSharif
    @KinanaSharif Před 8 měsíci +1

    🎉😢😢

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 Před 8 měsíci +2

    Mimi samaki sibagain kama simuezi naondoka

  • @jambojomba9042
    @jambojomba9042 Před 7 měsíci

    Assalaam alaikum, shukran sana shk Muhammad Bachu. Utawaambiaje hawa wanaoitakidi kuwa aina tatu za Tawheed eti ni UTATU?

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 Před 7 měsíci

    Haji Haji Ali.

  • @yahyamaabad9837
    @yahyamaabad9837 Před 8 měsíci +1

    Ndio mbumbwini mwezangu kipa kiarabu zo zetu sisi nimekuelewa

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před 8 měsíci +3

    DR MWINYI WACHA KUZIBITI PESA ZA WAZANZIBARI NA UCHUMI WAKO WA MWEUSI. WAPE WANYONGE NA WAO WAISHI KAMA UNAVYOISHI NA FAMILY YAKO! IMELETWA KUWAPA TIA TAABU WAZANZIBARI NA MAISHA YAO

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 8 měsíci

      Duùuu

    • @bindawood978
      @bindawood978 Před 8 měsíci

      Ulikuwa wapi@natafuta matatizo karibu tena naona umerudi kwa kasi!

    • @natafutamatatizo4382
      @natafutamatatizo4382 Před 8 měsíci

      @@bindawood978 MAISHA MAGUMU HAYANA MFANO, TOKEA HUDR MDHIBITI FEDHA WAWATOE WATU ROHO NA UTAWALA ZANZIBAR. NI UCHUMI MWEUSI KILA KONA NA SIJUI WAMETOKEA WAPI SHETANI HUYU KUWATAWALA WAISLAAM👀👀🤣

    • @bindawood978
      @bindawood978 Před 8 měsíci

      Duh hatari sana, pole ndugu yangu pambana na usikate tamaa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 8 měsíci +1

      Mjomba fahamu husipoitumia akili na maarifa yako uliyopewa na Mungu basi fahamu watu watakutumia, .. Huyo rais unayemtaja hapa ni binadamu km wewe nasi simba,... Acha kumtegemea binadamu

  • @carroljames8692
    @carroljames8692 Před 8 měsíci +3

    What's papa?

  • @redtk2971
    @redtk2971 Před 7 měsíci

    Huyu mzee sio mtu mzuri, jiazari sana na mtu anaetamja taja mungu kila muda kinywani mwake

  • @einsteinchacha5797
    @einsteinchacha5797 Před 7 měsíci

    Kichwa cha habari cha uongo nime unsubscribe

  • @tomondiek2839
    @tomondiek2839 Před 7 měsíci

    tukienda hivi sshahayayasshshejejej pumzika shshshshhshs wasi wasi gghsyysshshsh binadamu ggsyytshshsha maliza umeshika?

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 8 měsíci +5

    JAMANI NAULIZA KWA AYEJUWA UKWELI ATUPE MAARIFA KUHUSU HUYU PWEZA UKIMVUWA UKITIA NDIMU YANATOKEA MABALAA TUAMBIENI MABALAA GANI YANAYOTOKEA??? MIMI SIJUWI NA KUULIZA SIO UJINGA.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před 8 měsíci +1

      anakuuwa hawapatani

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 8 měsíci

      @@sabihaibrahim143 TUFANYE YUPO NCHI KAVU UKIMTIA NDIMU ANA KUUWA AU AKIWA MAJINI???

    • @babyrurashid2393
      @babyrurashid2393 Před 8 měsíci

      Sio kweli

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 8 měsíci +1

      Tuulize zaidi wenye elimu na kila mtu ana elimu yake. Nahau haifiki hapo😂, maana kuna VISHEHE kanzu skuizi jambo hawajui hawasemi sijui watakujibu ni Shirki au ujinga wao tu ila jibu hawana. Tafuta mwenye elimu yake

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 8 měsíci

      @@hilalkhalfan1452 LAZIMA ANAEJUWA AWE MVUVI MWENYE UMRI MKUBWA ATAKUWA ANAJUWA MAMBO KAMA HAYO KUNA WATU WANASEMA PWEZA ANA ASILI YA JINI KWA HIYO TUNAMLA JINI HAHAHAH.