Ukweli mchungaji Hananja Mungu akubariki mno mno maana unaenda na Biblia mkisema ile kweli na hiyo kweli itwaweka huru Hata mimi naungana na wewe mchungaji kwamba siju zote na miezi na miaka iko sawa kwa Mungu Isipokuwa ni tabia tu wanadamu tulivyo
Mchungaji tunashukuru sana kwakutupa elimu ya maisha sisi vijana Tunahitaji elim ya maisha kuacha elim ya darasani Hivyo uliyoyaongea nisahihi kabisa tunakushukuru sana Mungu akulinde sana sana
Na ili watanzania wakuelewe lazima ufanye kama anavyofanya 😂😂, yaani nikiona chochote kuhusu yeye lazima nimsikilize kasemaje. Ana vitu vingi sana vya kuelimisha maana anaongea uhalisia hana siasa.Mungu ambariki sana
" Hapo ni kweli sana mchungaji!! Nov/ Dacember 31 ni siku ya makafara! Mimi yalinikuta dec. 31 kuamkia mwaka huu 2024!! Naishi ulaya na nilitemani kusherehekea na ndugu/ jamii yangu kumbe nilikuwa nimepelekwa mizimuni nife siku hiyo!! Ghafla nilishikwa mbavu na kupoteza fahamu na kufungwa maneno na nikawaona ndugu zangu wakanipa kisu nishikile mkono kushoto ni chinje kitu!! Niliwaachia Mungu wáwahukumu!!
@@mwakipiano4568 Mchungaji haikuishia hapo! Tarehe 17. jan.2024, nilishikwa kabari na wakora hapo Mombasa GPO kwa nyuma! Walikua vijana 4 lakini kwa neema na ujasiri nilioupata kutoka juu, tulipambana na wakakimbia na waliwahi kuiba tu miwani! Baada ya week moja nikwa kijijini (Kilifi/ Malindi county) nilisakamwa ni mwiba wa samaki jioni tukila dinner!! Hali ilikua mbaya sana lakini kwa maombi maumivu yaliacha baada ya week 1/2!! Kwa kifupi mwaka huu niliponea vifo mara tatu, jee hiyo ni kawaida!?!! Na pia kuna mchumba ambaye natarajia kumuowa, jee yaweza kuwa kuna nuksi kwani tulikutana kimwili, kindly advice me!! Naishi Germany!
Namkubali sana ni true story yani sahihi, anamwamsha alielala,anampa nguvu alie kata tamaa, anamzindua aliedanganyika na anamfahamisha asiyejua kama hajui..
Ukisikiliza kwa makini, hapa utagundua ubinadamu is all about common sense... But very unfortunately common sense is not common to everybody. Hapo ndo shida inapoanzia.watu wengi leo hawana common sense ya ku deal na mazingira yao
Kazi halali kwa sababu unaweza kupata pesa kwa Short cuts but unadbitiwa matumizi yake hata dadako hurusiwi kumsaidia so pesa ya short cut hatariiiiii😊
Huyu mchungaji namkubali xana,anaongea ukweli mtupuuu 👏👏 MUNGU akupe maisha marefuuuu,be blessed pastor
Hekima na busara maarifa na ufahamu mkubwa unapatikana kwenye neno la Mungu.mzee wangu Mungu aendelee kukufanikisha.
Huyu mchungaji huwa namfananisha na yule kijana Godlove
Kwakwer mweny kuelew n aelew nabarikiw zaid mafundish mengn hat mzazi hawez kukwambia❤❤❤
Huyu mzee Aishi sana,maana anaongea ukweli na kama mtu utashindwa kumuelewa huyu basi tena.🎉🎉🎉🎉🎉
Ubarikiwe mno. Una kipaji Sana Pia huogopi kuongea ukweli.
Ukweli mchungaji Hananja Mungu akubariki mno mno maana unaenda na Biblia mkisema ile kweli na hiyo kweli itwaweka huru
Hata mimi naungana na wewe mchungaji kwamba siju zote na miezi na miaka iko sawa kwa Mungu
Isipokuwa ni tabia tu wanadamu tulivyo
Hananja mm ni muislamu lakini nakufuatilia sana coz unsmtaja mungu na mungu ndio wetu sote.shukrana jazaka allah kheir
amina amina sana mshauri mwema munguaku samee makosa uliyo yafanya kwanguvu zamwenyezi mungu kaza imaniyako pasta mungu akufungulie kilalaeri amina ❤🎉
Mchungaji tunashukuru sana kwakutupa elimu ya maisha sisi vijana
Tunahitaji elim ya maisha kuacha elim ya darasani
Hivyo uliyoyaongea nisahihi kabisa tunakushukuru sana Mungu akulinde sana sana
Thanks for give me point my pastor hananja
Hakika mchungaji uko vizuri sana. Hongera baba sichoki kukusikiliza kabisa
Mchungaji akiongea ni kama comedy lakini ni bonge la lesson. Nakupenda bure pastor
Na ili watanzania wakuelewe lazima ufanye kama anavyofanya 😂😂, yaani nikiona chochote kuhusu yeye lazima nimsikilize kasemaje. Ana vitu vingi sana vya kuelimisha maana anaongea uhalisia hana siasa.Mungu ambariki sana
Sophia mambo😊😊
@Wami😅o0 3:05 -Sababisho
Mimi na mpenda kwa mawaitha..safi kabisa watu uwongea nikama shetani ana mamlaka kushinda mungu
Nampenda sana uyu mchunganji comedian am watching from Qatar
I appreciate you mchungaji,wewe ni mkweli hata msikitini unaingia, kubwa sisi sote lengo ni moja,kuwa mnyenyekevu,mtiifu, kiasi na toba ❤❤❤
" Hapo ni kweli sana mchungaji!! Nov/ Dacember 31 ni siku ya makafara! Mimi yalinikuta dec. 31 kuamkia mwaka huu 2024!! Naishi ulaya na nilitemani kusherehekea na ndugu/ jamii yangu kumbe nilikuwa nimepelekwa mizimuni nife siku hiyo!! Ghafla nilishikwa mbavu na kupoteza fahamu na kufungwa maneno na nikawaona ndugu zangu wakanipa kisu nishikile mkono kushoto ni chinje kitu!! Niliwaachia Mungu wáwahukumu!!
Pole Sana ni Neema ya MUNGU
@@mwakipiano4568 Mchungaji haikuishia hapo! Tarehe 17. jan.2024, nilishikwa kabari na wakora hapo Mombasa GPO kwa nyuma! Walikua vijana 4 lakini kwa neema na ujasiri nilioupata kutoka juu, tulipambana na wakakimbia na waliwahi kuiba tu miwani! Baada ya week moja nikwa kijijini (Kilifi/ Malindi county) nilisakamwa ni mwiba wa samaki jioni tukila dinner!! Hali ilikua mbaya sana lakini kwa maombi maumivu yaliacha baada ya week 1/2!! Kwa kifupi mwaka huu niliponea vifo mara tatu, jee hiyo ni kawaida!?!! Na pia kuna mchumba ambaye natarajia kumuowa, jee yaweza kuwa kuna nuksi kwani tulikutana kimwili, kindly advice me!! Naishi Germany!
Hongera mchungaji mungu amekupa kipaji sana mistari ya bibilia unayo kichwani pia upo mkweli kuna vitu vya kujifunza na kujua unaishi VP na jamii
Mchungaji hananja hongera kwakuelimisha jamii
Nakukubali sana mchungaji wewe ni mwana filosofia
MChungaji yuko vizuri sana ana mafundisho sana NAMPENDA SANA KWA KUJUA BIBLIA YOTE KICHWANI BONGE LA MWALIMU WA KILA NYANJA MUNGU AMPE MAISHA MAREFU
Shibe kwannza baba.Mwenyezimungu ndio mwenye kuruzukuuu
Tanzania kuna watu weengi wanakukubali zunguka mikoa yote kama kina mwamposa,watu wa dini zote tu/watakufata na kukuona, Godbless you.....
Namkubali sana huyu mchungaji anachosema ni kweli
Mtoto faida , shukran mchungaji
Mungu akulinde xn pastor 🙌 🙏 nakuelewa xn unaongea ukweli xn❤
Sio sili mimi n Muslim lkni Huyu Mchungaji nampenda sana ksbb anaongeaga Ukweli sana k,k,t Sipeech zake
Nimekuelewa Sana baba hasa kwenye mafundisho ya hatua ya maisha point kubwa.
MCHUNGAJI HANANJA: Ubarikiwe sana kwa mahubiri yako yenye kujenga imani ya kweli. Hakika kila muumini yeyote anatamani kusikia somo lako
Mungu akubariki mchungaji🙏🙏🙏
God bless you pastor
nakukubali sana mchungaji wangu 🎉🎉 unatoa mafundisho ya kwely
Sana Bab tunakuombe tuombee tuvuke Salam 2024 nakupenda pastor hananja
I appreciate you
Mm ni muislam lkn huyu mchungaj namkubal sanaaa
Anajua sana
True ❤❤❤
Kweli kabisa upo sahihi kiukweli anaongea ukweli penye ukweli
Yap!
Anatabia za kudadis tunamuombea adadis uis lam aw muislam
Ubarikiwe endelea kuhubiri neno LA mungu
Mungu atulinde mchungaji hananja Wewe nimkufunzi mziri
ASANTE BABA HANANJA, NI KWELI HAKUNA MWEZI MBAYA, ILA SISI TUNAFANYA MAOVU VIPINDI VYOTE, KUFRU, KIBURI, ANASA WIZI NK. TUJIEPUSHE
Hananya unachekesha sana ishi miaka buku 😂😂😂
Asante sana Mchungaji
Tunakupenda sana
Huna baya baba mchungaji🙏🙏🙏
Balikiwa pastor
Estás de parabéns pastor 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Point nzur sana Mchungaji ❤
#HANANJA..Ishi sana baba miaka 650
Namkubali sana ni true story yani sahihi, anamwamsha alielala,anampa nguvu alie kata tamaa, anamzindua aliedanganyika na anamfahamisha asiyejua kama hajui..
Asante sana dhambi ni dhambi so ukifanya dhambi fanya dhambi bila huruma😊
A man himself pastor hananja go go go man of God
Rich billionea mchungaji of the world
Ahsante.baba.kama.unaniona.vile.mimi.sina.chochote.zaidi.ya.nguo.tuu
😊😊😊😂😂
Nam!
Ni Binadamu ndio hawazigatii Mazungumuzo ya Mch.HANANJA.
Vijana wengi wanataka maisha ya short cut
Huwa nakuelewa sana mchungaji
Nalipenda sana Kanisa Katoliki ❤❤❤❤ Bwana Yesu alisimamie thidi ya mbwa mwitu
Papa
Papa ni Binadamu Kama wewe na mapungufu Kama wewe hiyo ni kofia tu
MM HUYU NDIO MCHUNGAJI WANGU NAMBA 1 , ANATUMIA AKILI ZAKE VIZURI SANA
Dah! Nimejifunza kitu ila nimecheka sana😂😅😂.
Mchungaji aishi miaka mingi!!
Kweli siku zote ni sawa na zimeumbwa na Mungu bali tatizo letu ni kutaka kufanya mambo mengi katika muda mfupi! Hatuna subira!
Mchungaji mungu akubariki sn kwa huduma
Dah kwakweli mtumishi 🙏🙏
Nakubariki Mchungaji wewe kwa Jima la Yesu kristo,nakubali sana mafundisho yako
Amen.
Aisee ni kwel tunakunywa sana pombe tukisafiri na gari binafsi
Uko vizuri sana mchungaji
somo zuri mzee
😂😂😂😂😂😂 Ahwiiiiiiii eti biashara barabalani wanawake wa leo jamani wachokozi
👍👍🌹😁😁😁
Hongera
Sana.kwa.kuwaelimisha.watu.
Bba mungu akupe afya Zaid uwe na mwisho mwema na kutuachia urithi was neno hilo
Mungu akupe maisha marefu utupe matunda
Huyu mchungaji yuko smart sn🤝
Mchungaji Hanjani na kuheshimu na nakubali sana dini sio tatizo ila ufahamuuiu
Ukisikiliza kwa makini, hapa utagundua ubinadamu is all about common sense... But very unfortunately common sense is not common to everybody. Hapo ndo shida inapoanzia.watu wengi leo hawana common sense ya ku deal na mazingira yao
Shemeji ake babu
Money is the mother of all evil
The love of money
Napenda maneno Yako kabisa ❤❤
Bona mchugaji ni kama ajielewi mara hakuna freemason ni porojo mara kafara zinatolewa haaaa
Nakupenda sana mchungaj
Mchungaji Hananji kiboko sana.kuelekezwaaaa
Keep it bro Good interview
Wawili watapata moto kweli.sababu kijana anaebdelea na masomo lakini binti anaazirika na kutengwa.Dhambi ziko na darajaaa
Safi sana mzee
Safi mchungaji Rich......🔥🔥🔥
Natoka county ya Uasin Gishu asante mjungaji anafahamu maandiko kwelikeli
Mzee safii
Hahahahah mchungaji nimekuelewa saaaana
Baba hananja nahitaj uniombee maana napenda maombi yako
❤❤❤❤❤
Pastor to Remember forever in my century.
Nimekusikiliza sana.
Yaani Hananja kiukweli hua huniboi ata nikusikilizaje hingera sana mch
Mchungaji siku zote ulikua wapi mpaka twalishwa maepo ya upako bwana
Hujawahi kuniangusha hananja 😂😂😂
❤
Mchungaji je unakumbukaje mistari yote ya bibilia Bila ya kusoma?? Kipaji cha ajabu.
Huyu ana KIPAJI Cha kufafanua UKWELI na kutoa ELIMU tosha kiuhalisia na UKWELI .
Mch uko vzr
Naombeni namba ya simu ya huyu mchungaji
Hakuna jipya chini ya jua kweli Shukran kwa mafunzo 🇰🇪.
King Hananja
Kazi halali kwa sababu unaweza kupata pesa kwa Short cuts but unadbitiwa matumizi yake hata dadako hurusiwi kumsaidia so pesa ya short cut hatariiiiii😊
Safi sana