MCHUNGAJI HANANJA AFICHUA SIRI ZA FREEMASON MIEZI YA KAFARA AJALI NYINGI.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 162

  • @LivingAlfons
    @LivingAlfons Před 8 měsíci +10

    Huyu mchungaji namkubali xana,anaongea ukweli mtupuuu 👏👏 MUNGU akupe maisha marefuuuu,be blessed pastor

  • @user-nf5zo5nm7p
    @user-nf5zo5nm7p Před 8 měsíci +8

    Hekima na busara maarifa na ufahamu mkubwa unapatikana kwenye neno la Mungu.mzee wangu Mungu aendelee kukufanikisha.

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 Před 5 měsíci +3

    Huyu mchungaji huwa namfananisha na yule kijana Godlove

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhame Před měsícem +2

    Kwakwer mweny kuelew n aelew nabarikiw zaid mafundish mengn hat mzazi hawez kukwambia❤❤❤

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho Před 8 měsíci +20

    Huyu mzee Aishi sana,maana anaongea ukweli na kama mtu utashindwa kumuelewa huyu basi tena.🎉🎉🎉🎉🎉

  • @charleslambourne4831
    @charleslambourne4831 Před 5 měsíci +2

    Ubarikiwe mno. Una kipaji Sana Pia huogopi kuongea ukweli.

  • @loycep7785
    @loycep7785 Před 7 měsíci +2

    Ukweli mchungaji Hananja Mungu akubariki mno mno maana unaenda na Biblia mkisema ile kweli na hiyo kweli itwaweka huru
    Hata mimi naungana na wewe mchungaji kwamba siju zote na miezi na miaka iko sawa kwa Mungu
    Isipokuwa ni tabia tu wanadamu tulivyo

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 8 měsíci +2

    Hananja mm ni muislamu lakini nakufuatilia sana coz unsmtaja mungu na mungu ndio wetu sote.shukrana jazaka allah kheir

  • @savemeallah5180
    @savemeallah5180 Před 7 měsíci +2

    amina amina sana mshauri mwema munguaku samee makosa uliyo yafanya kwanguvu zamwenyezi mungu kaza imaniyako pasta mungu akufungulie kilalaeri amina ❤🎉

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 Před 8 měsíci +6

    Mchungaji tunashukuru sana kwakutupa elimu ya maisha sisi vijana
    Tunahitaji elim ya maisha kuacha elim ya darasani
    Hivyo uliyoyaongea nisahihi kabisa tunakushukuru sana Mungu akulinde sana sana

  • @ndera_boy_tz_acter4578
    @ndera_boy_tz_acter4578 Před 7 měsíci +2

    Thanks for give me point my pastor hananja

  • @ireneinnocent4128
    @ireneinnocent4128 Před 7 měsíci +2

    Hakika mchungaji uko vizuri sana. Hongera baba sichoki kukusikiliza kabisa

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před 8 měsíci +32

    Mchungaji akiongea ni kama comedy lakini ni bonge la lesson. Nakupenda bure pastor

    • @Wami-Sababisho
      @Wami-Sababisho Před 8 měsíci +4

      Na ili watanzania wakuelewe lazima ufanye kama anavyofanya 😂😂, yaani nikiona chochote kuhusu yeye lazima nimsikilize kasemaje. Ana vitu vingi sana vya kuelimisha maana anaongea uhalisia hana siasa.Mungu ambariki sana

    • @evaristmbuya6220
      @evaristmbuya6220 Před 8 měsíci

      Sophia mambo😊😊

    • @emmanuelsembua4282
      @emmanuelsembua4282 Před měsícem

      ​@Wami😅o0 3:05 -Sababisho

  • @PatriciaAkena
    @PatriciaAkena Před 7 měsíci +2

    Mimi na mpenda kwa mawaitha..safi kabisa watu uwongea nikama shetani ana mamlaka kushinda mungu

  • @leonardongwae8257
    @leonardongwae8257 Před 8 měsíci +6

    Nampenda sana uyu mchunganji comedian am watching from Qatar

  • @totomuyenjwa-wv6vi
    @totomuyenjwa-wv6vi Před 8 měsíci +2

    I appreciate you mchungaji,wewe ni mkweli hata msikitini unaingia, kubwa sisi sote lengo ni moja,kuwa mnyenyekevu,mtiifu, kiasi na toba ❤❤❤

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 Před měsícem +2

    " Hapo ni kweli sana mchungaji!! Nov/ Dacember 31 ni siku ya makafara! Mimi yalinikuta dec. 31 kuamkia mwaka huu 2024!! Naishi ulaya na nilitemani kusherehekea na ndugu/ jamii yangu kumbe nilikuwa nimepelekwa mizimuni nife siku hiyo!! Ghafla nilishikwa mbavu na kupoteza fahamu na kufungwa maneno na nikawaona ndugu zangu wakanipa kisu nishikile mkono kushoto ni chinje kitu!! Niliwaachia Mungu wáwahukumu!!

    • @mwakipiano4568
      @mwakipiano4568 Před 25 dny

      Pole Sana ni Neema ya MUNGU

    • @kuschprince3216
      @kuschprince3216 Před 24 dny

      @@mwakipiano4568 Mchungaji haikuishia hapo! Tarehe 17. jan.2024, nilishikwa kabari na wakora hapo Mombasa GPO kwa nyuma! Walikua vijana 4 lakini kwa neema na ujasiri nilioupata kutoka juu, tulipambana na wakakimbia na waliwahi kuiba tu miwani! Baada ya week moja nikwa kijijini (Kilifi/ Malindi county) nilisakamwa ni mwiba wa samaki jioni tukila dinner!! Hali ilikua mbaya sana lakini kwa maombi maumivu yaliacha baada ya week 1/2!! Kwa kifupi mwaka huu niliponea vifo mara tatu, jee hiyo ni kawaida!?!! Na pia kuna mchumba ambaye natarajia kumuowa, jee yaweza kuwa kuna nuksi kwani tulikutana kimwili, kindly advice me!! Naishi Germany!

  • @aminamjema-kf7qr
    @aminamjema-kf7qr Před 8 měsíci +4

    Hongera mchungaji mungu amekupa kipaji sana mistari ya bibilia unayo kichwani pia upo mkweli kuna vitu vya kujifunza na kujua unaishi VP na jamii

  • @user-bn8wj2lz1z
    @user-bn8wj2lz1z Před 8 měsíci +2

    Mchungaji hananja hongera kwakuelimisha jamii

  • @hilalmahrazi2287
    @hilalmahrazi2287 Před 7 měsíci +2

    Nakukubali sana mchungaji wewe ni mwana filosofia

  • @catherinemraishe3264
    @catherinemraishe3264 Před 8 měsíci +6

    MChungaji yuko vizuri sana ana mafundisho sana NAMPENDA SANA KWA KUJUA BIBLIA YOTE KICHWANI BONGE LA MWALIMU WA KILA NYANJA MUNGU AMPE MAISHA MAREFU

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 8 měsíci +2

    Shibe kwannza baba.Mwenyezimungu ndio mwenye kuruzukuuu

  • @totomuyenjwa-wv6vi
    @totomuyenjwa-wv6vi Před 8 měsíci +2

    Tanzania kuna watu weengi wanakukubali zunguka mikoa yote kama kina mwamposa,watu wa dini zote tu/watakufata na kukuona, Godbless you.....

  • @SimonLaswah
    @SimonLaswah Před 2 měsíci +2

    Namkubali sana huyu mchungaji anachosema ni kweli

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 8 měsíci +2

    Mtoto faida , shukran mchungaji

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 Před 7 měsíci +2

    Mungu akulinde xn pastor 🙌 🙏 nakuelewa xn unaongea ukweli xn❤

  • @hkmfurazuberiismael7952
    @hkmfurazuberiismael7952 Před 6 měsíci +2

    Sio sili mimi n Muslim lkni Huyu Mchungaji nampenda sana ksbb anaongeaga Ukweli sana k,k,t Sipeech zake

  • @ShukraniTulyanje-ql8ud
    @ShukraniTulyanje-ql8ud Před 8 měsíci +6

    Nimekuelewa Sana baba hasa kwenye mafundisho ya hatua ya maisha point kubwa.

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 Před 8 měsíci +2

    MCHUNGAJI HANANJA: Ubarikiwe sana kwa mahubiri yako yenye kujenga imani ya kweli. Hakika kila muumini yeyote anatamani kusikia somo lako

  • @fanuelhenrish2290
    @fanuelhenrish2290 Před 8 měsíci +2

    Mungu akubariki mchungaji🙏🙏🙏

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 Před 8 měsíci +10

    God bless you pastor

  • @yohanamsagara1999
    @yohanamsagara1999 Před 8 měsíci +4

    nakukubali sana mchungaji wangu 🎉🎉 unatoa mafundisho ya kwely

  • @emanueliwilison178
    @emanueliwilison178 Před 8 měsíci +2

    Sana Bab tunakuombe tuombee tuvuke Salam 2024 nakupenda pastor hananja

  • @totomuyenjwa-wv6vi
    @totomuyenjwa-wv6vi Před 8 měsíci +2

    I appreciate you

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před 8 měsíci +42

    Mm ni muislam lkn huyu mchungaj namkubal sanaaa

  • @EvalineRyoba-gr8xn
    @EvalineRyoba-gr8xn Před 8 měsíci +2

    Ubarikiwe endelea kuhubiri neno LA mungu

  • @alinotiwampe7420
    @alinotiwampe7420 Před 8 měsíci +2

    Mungu atulinde mchungaji hananja Wewe nimkufunzi mziri

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 8 měsíci +4

    ASANTE BABA HANANJA, NI KWELI HAKUNA MWEZI MBAYA, ILA SISI TUNAFANYA MAOVU VIPINDI VYOTE, KUFRU, KIBURI, ANASA WIZI NK. TUJIEPUSHE

  • @MTANGACOMEDYTZ
    @MTANGACOMEDYTZ Před 8 měsíci +10

    Hananya unachekesha sana ishi miaka buku 😂😂😂

  • @dicksondotto958
    @dicksondotto958 Před 8 měsíci +2

    Asante sana Mchungaji

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi49 Před 8 měsíci +2

    Tunakupenda sana

  • @salummgunda9122
    @salummgunda9122 Před 8 měsíci +4

    Huna baya baba mchungaji🙏🙏🙏

  • @jacksonjoseph2895
    @jacksonjoseph2895 Před 8 měsíci +2

    Balikiwa pastor

  • @IsacRobath
    @IsacRobath Před 8 měsíci +2

    Estás de parabéns pastor 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q Před 8 měsíci +2

    Point nzur sana Mchungaji ❤

  • @user-nd5jq9um5q
    @user-nd5jq9um5q Před 8 měsíci +4

    #HANANJA..Ishi sana baba miaka 650

  • @hasankasam5576
    @hasankasam5576 Před 8 měsíci +6

    Namkubali sana ni true story yani sahihi, anamwamsha alielala,anampa nguvu alie kata tamaa, anamzindua aliedanganyika na anamfahamisha asiyejua kama hajui..

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 8 měsíci

    Asante sana dhambi ni dhambi so ukifanya dhambi fanya dhambi bila huruma😊

  • @charlesmbena9121
    @charlesmbena9121 Před 8 měsíci +2

    A man himself pastor hananja go go go man of God

  • @user-br9zp6qr1f
    @user-br9zp6qr1f Před 8 měsíci +2

    Rich billionea mchungaji of the world

  • @Tito-dc6vy
    @Tito-dc6vy Před 8 měsíci +2

    Ahsante.baba.kama.unaniona.vile.mimi.sina.chochote.zaidi.ya.nguo.tuu

  • @ustadhsaidi3801
    @ustadhsaidi3801 Před 28 dny

    Nam!
    Ni Binadamu ndio hawazigatii Mazungumuzo ya Mch.HANANJA.
    Vijana wengi wanataka maisha ya short cut

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 Před 8 měsíci +2

    Huwa nakuelewa sana mchungaji

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 Před 8 měsíci

    Nalipenda sana Kanisa Katoliki ❤❤❤❤ Bwana Yesu alisimamie thidi ya mbwa mwitu

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Před 8 měsíci +6

    MM HUYU NDIO MCHUNGAJI WANGU NAMBA 1 , ANATUMIA AKILI ZAKE VIZURI SANA

  • @peterminde4037
    @peterminde4037 Před 8 měsíci +2

    Dah! Nimejifunza kitu ila nimecheka sana😂😅😂.
    Mchungaji aishi miaka mingi!!

  • @arjansonmloge5608
    @arjansonmloge5608 Před 8 měsíci +2

    Kweli siku zote ni sawa na zimeumbwa na Mungu bali tatizo letu ni kutaka kufanya mambo mengi katika muda mfupi! Hatuna subira!

  • @user-zk2qh8qn5v
    @user-zk2qh8qn5v Před 7 měsíci

    Mchungaji mungu akubariki sn kwa huduma

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 Před 7 měsíci

    Dah kwakweli mtumishi 🙏🙏

  • @Dominant97
    @Dominant97 Před 7 měsíci

    Nakubariki Mchungaji wewe kwa Jima la Yesu kristo,nakubali sana mafundisho yako
    Amen.

  • @erickgabriel6645
    @erickgabriel6645 Před 7 měsíci

    Aisee ni kwel tunakunywa sana pombe tukisafiri na gari binafsi

  • @ramadhanikigoto
    @ramadhanikigoto Před 8 měsíci

    Uko vizuri sana mchungaji

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Před 8 měsíci

    somo zuri mzee

  • @hkmfurazuberiismael7952
    @hkmfurazuberiismael7952 Před 6 měsíci

    😂😂😂😂😂😂 Ahwiiiiiiii eti biashara barabalani wanawake wa leo jamani wachokozi

  • @masudikhatibu9179
    @masudikhatibu9179 Před 8 měsíci +2

    👍👍🌹😁😁😁

  • @mauaabasi591
    @mauaabasi591 Před 8 měsíci

    Hongera
    Sana.kwa.kuwaelimisha.watu.

  • @mfirimassawe9023
    @mfirimassawe9023 Před 8 měsíci

    Bba mungu akupe afya Zaid uwe na mwisho mwema na kutuachia urithi was neno hilo

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w Před 8 měsíci

    Mungu akupe maisha marefu utupe matunda

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 Před 7 měsíci

    Huyu mchungaji yuko smart sn🤝

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 8 měsíci

    Mchungaji Hanjani na kuheshimu na nakubali sana dini sio tatizo ila ufahamuuiu

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Před 7 měsíci

    Ukisikiliza kwa makini, hapa utagundua ubinadamu is all about common sense... But very unfortunately common sense is not common to everybody. Hapo ndo shida inapoanzia.watu wengi leo hawana common sense ya ku deal na mazingira yao

  • @cadiaOnesmo-hd5lr
    @cadiaOnesmo-hd5lr Před 8 měsíci +2

    Shemeji ake babu

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 Před 8 měsíci +6

    Money is the mother of all evil

  • @user-pq9be8re6i
    @user-pq9be8re6i Před 8 měsíci

    Napenda maneno Yako kabisa ❤❤

  • @captainkastua4830
    @captainkastua4830 Před 7 měsíci

    Bona mchugaji ni kama ajielewi mara hakuna freemason ni porojo mara kafara zinatolewa haaaa

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny Před 8 měsíci

    Nakupenda sana mchungaj

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 8 měsíci

    Mchungaji Hananji kiboko sana.kuelekezwaaaa

  • @user-uz1jo9wz8n
    @user-uz1jo9wz8n Před 8 měsíci

    Keep it bro Good interview

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 8 měsíci

    Wawili watapata moto kweli.sababu kijana anaebdelea na masomo lakini binti anaazirika na kutengwa.Dhambi ziko na darajaaa

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 8 měsíci

    Safi sana mzee

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy7304 Před 8 měsíci

    Safi mchungaji Rich......🔥🔥🔥

  • @eminix2132
    @eminix2132 Před 8 měsíci

    Natoka county ya Uasin Gishu asante mjungaji anafahamu maandiko kwelikeli

  • @user-rb6pm4pu8v
    @user-rb6pm4pu8v Před 8 měsíci

    Mzee safii

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli1478 Před 4 měsíci

    Hahahahah mchungaji nimekuelewa saaaana

  • @AmmyKurunge
    @AmmyKurunge Před 8 měsíci +3

    Baba hananja nahitaj uniombee maana napenda maombi yako

  • @user-vc9pf9gn6t
    @user-vc9pf9gn6t Před 4 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @DanielMtafya-lh8mi
    @DanielMtafya-lh8mi Před 8 měsíci

    Pastor to Remember forever in my century.

  • @linetbogonko2868
    @linetbogonko2868 Před 8 měsíci

    Nimekusikiliza sana.

  • @ndaziharuna4820
    @ndaziharuna4820 Před 8 měsíci

    Yaani Hananja kiukweli hua huniboi ata nikusikilizaje hingera sana mch

  • @user-qb6rx6bw9p
    @user-qb6rx6bw9p Před 7 měsíci

    Mchungaji siku zote ulikua wapi mpaka twalishwa maepo ya upako bwana

  • @hansondaniel-nb2jn
    @hansondaniel-nb2jn Před 7 měsíci

    Hujawahi kuniangusha hananja 😂😂😂

  • @SebastianJugle-lb7ob
    @SebastianJugle-lb7ob Před 8 měsíci +2

  • @charleslambourne4831
    @charleslambourne4831 Před 5 měsíci

    Mchungaji je unakumbukaje mistari yote ya bibilia Bila ya kusoma?? Kipaji cha ajabu.

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před 8 měsíci

    Huyu ana KIPAJI Cha kufafanua UKWELI na kutoa ELIMU tosha kiuhalisia na UKWELI .

  • @ntobolomasanja9564
    @ntobolomasanja9564 Před 8 měsíci

    Mch uko vzr

  • @charleslambourne4831
    @charleslambourne4831 Před 5 měsíci

    Naombeni namba ya simu ya huyu mchungaji

  • @ellymzera2457
    @ellymzera2457 Před 8 měsíci

    Hakuna jipya chini ya jua kweli Shukran kwa mafunzo 🇰🇪.

  • @goodluckndimbo5628
    @goodluckndimbo5628 Před 8 měsíci

    King Hananja

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 8 měsíci

    Kazi halali kwa sababu unaweza kupata pesa kwa Short cuts but unadbitiwa matumizi yake hata dadako hurusiwi kumsaidia so pesa ya short cut hatariiiiii😊

  • @michaelseme7730
    @michaelseme7730 Před 8 měsíci

    Safi sana