HANANJA AMJIBU ZUMARIDI/ ANA UGOJWA WA AKILI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 39

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 Před rokem +1

    Mnatumia nguvu kubwa sana kumponda Zumaridi, fanyeni kazi zenu

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n Před 5 měsíci

    😂😂😂😂😂yaan huyo hajaenda mbingun huyo anachukuliwa na majin anapelekwa huko kweny ulimweng wa hao viumbe sema hajajijua tu😂😂😂

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Před rokem

    Uwiiii

  • @mozespatnam7469
    @mozespatnam7469 Před rokem +3

    😂😂😂safii sanaaa pastor fact sanaaaa

  • @joelyjoely7827
    @joelyjoely7827 Před rokem +4

    ZUMALID ASIWASUMBUE ANATATIZO LA AKILI

  • @fransisnyandoa8163
    @fransisnyandoa8163 Před rokem +1

    😂😂😂 nikweli kabisa 🙏

  • @zawaddembe9667
    @zawaddembe9667 Před rokem +1

    Maaskofu he nanyi mko kimya kwa upotovu huu wa zumalid

  • @ibrahipupa6231
    @ibrahipupa6231 Před rokem +1

    Wasukuma kwann wasimtie viboko huyo zumaridi au Wana muogopa

  • @godsonprosper6657
    @godsonprosper6657 Před 7 měsíci

    Mtashuka tuu, maana mmekalili maandiko

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 Před rokem

    Kuna viroja duniani😁

  • @masoudmasoud9345
    @masoudmasoud9345 Před rokem

    Kwa maoni yangu ukibisha Zumaridi hakwenda Mbinguni ni kwamba nawe ulikuwepo huko. Ungekuwepo ni rahisi kuthibitisha ulikuwepo na hakuwepo. Kama hukuwepo huko huwezi kutwambia hakuwepo. Kila mtu ana Karama zake alizopewa na Mungu. This is simple logic. Anayeweza kusema hakufika huko ni kwamba alikuwepo huko na hakumuona

  • @siwemamohamedi2119
    @siwemamohamedi2119 Před rokem

    Wewe mzee ni chizi na Moshi wa bangi umekuzuru unatafuta Kiki kupitia jina la Mfalme Zumaridi

  • @kimboo-nc2og
    @kimboo-nc2og Před rokem +2

    😂😂😂😂
    😂😂😂😂

  • @adampetermakombe5654
    @adampetermakombe5654 Před rokem +3

    Huyo amechaganyikiwa jela

  • @vero57
    @vero57 Před rokem +3

    Kwanini serikali ina ruhusu zumaridi kuzindi kupotosha wanaichi??

  • @faridithomas4859
    @faridithomas4859 Před rokem +2

    wakristo mna tabu kwelikweli

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem

    😂😂😂😂😂😂😂make kwanza ncheke😂😂😂😂

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před rokem

    IKIWA SERIKALI I.EMUAMINI HUYU BASI IFAFANUE VZR, HAKUNA UKWELI HUO ILA KUDHSLILISHA N KUPOTOSHA

  • @sophiamvungi1425
    @sophiamvungi1425 Před rokem

    Eti tuna uhuru wa kuabudù, kwa jinsi hii ya ķina zumaridì hakika wengi wataangamia

  • @ZagambaMnubi
    @ZagambaMnubi Před rokem

    Mnamuona Zumaridi tu hao matapeli wengine hamuwaoni ndy maana huwa narudia kusema Dini ni ufinyu wa fikra kila mtu anakuwa anajiona yuko sawa kwa upande wake lakini ukweli ni kwamba miongoni mwa watu wanalirudisha taifa hili ni viongozi wa Dini.

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Před rokem +2

    Kifupi huyu mzee mwenyewe kama ana tatizo la afya ya akili ...wote tu kama Zumaridi

    • @ZagambaMnubi
      @ZagambaMnubi Před rokem +1

      Kweli kabisa maana wanamuona Zumaridi tu akat matapeli yamejazana hawayasemi

    • @bennyngoye8707
      @bennyngoye8707 Před rokem

      Ina onekana na nyinyi mna matatizo ya akili😁😁😁😁

    • @perepetuasenga3875
      @perepetuasenga3875 Před rokem

      😁😁😁😁

    • @ZagambaMnubi
      @ZagambaMnubi Před rokem +1

      Gwajima nae kamuona Yesu huko sijui Yesu rangi yake ikoje au ndiyo wakwenye filamu

    • @ZagambaMnubi
      @ZagambaMnubi Před rokem

      @@bennyngoye8707 walio muona Yesu huko hamuwasemi watuambie rangi yake ni ipi je ninyeusi au nyeupe ama ndy wanamuona wa kwenye filamu

  • @bahatibushiri1610
    @bahatibushiri1610 Před rokem

    Zumaridi ilibidi arudishwe jela haraka

  • @ZagambaMnubi
    @ZagambaMnubi Před rokem

    Hakuna cha GerDav,Mwamposa,Gwajima,Kakobe,Mzee wa Upako,Mwakasege wala Mzee wa Neema habari ya mjini ni ZUMARIDI kama ni utapeli basi wote hawa ni matapeli

  • @zawaddembe9667
    @zawaddembe9667 Před rokem

    Askofu kakobe thanks neno Katina Hil I mtokambali tamka neno Katina Holi

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 Před rokem

    Yan zumalid Anaugongwa waakili so bure amerogwa

    • @ZagambaMnubi
      @ZagambaMnubi Před rokem

      Hujasikia huko na Gwajima kamuona Yesu me shida yangu siyo kumuona ila rangi yake ikoje au ndiyo wakwenye filamu ndiyo kamuona

  • @zawaddembe9667
    @zawaddembe9667 Před rokem +1

    Askofu kakobe tamka neno Katika Hil