PENZI JIPYA | NAMPENDA SANA MUONEKANO WAKE HELLO MR RIGHT

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 01. 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • Zábava

Komentáře • 271

  • @user-xo4xq6rr3f
    @user-xo4xq6rr3f Před 5 měsíci +36

    Uyu jamaa ameniboa na hiyo kutafuna tafuna😂

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 Před 3 měsíci +11

    Eliza na zarish 😂😂mtakaa hapo kama mabalozi wa nyumba kumi😂

  • @fayverenah
    @fayverenah Před 5 měsíci +16

    Duuuh masikini eliza haamini anachokiona😂😂😂😂amewakataa wengi sanaa😂😂😂

  • @SashaOscar
    @SashaOscar Před 5 měsíci +14

    😂😂😂😂😂😂😂😂 leo Eliza limemkuta jambo 😅😅😅😅😅weupe wake huwa unamdanganya xana

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Před 5 měsíci +13

    Uyo zarish atafte hela aache upuuzi😂😂😂et nahitaji hela nyoko zke...😂😂😂

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy Před 5 měsíci +16

    Lulu diva you're beautiful..congrats

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Před 5 měsíci +11

    We miso misondo umepigaje hapo kwa Eliza 😂

  • @RoseKesi-zj4yy
    @RoseKesi-zj4yy Před 5 měsíci +15

    We kaka unajuwa kuchangua apo umepata mke mwema ❤

  • @lydiagodfrey5959
    @lydiagodfrey5959 Před 5 měsíci +18

    eliza anajiona sana tena kakomeshwa kabisa anajiona yeye ndoo mzur dunia nzima

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 Před 5 měsíci +29

    Uyu zarich amna mtu kabisa Uta kaa Sana apo

  • @kakoxspgnewton
    @kakoxspgnewton Před 5 měsíci +6

    Najua mwenye ameona hii atanipea support

  • @Soan16
    @Soan16 Před 5 měsíci +5

    Eliza kapigwa n kitu kizito😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 Před 5 měsíci +7

    Eliza 😂😂😂yame mkuta na yeye

  • @irenemacha5661
    @irenemacha5661 Před 5 měsíci +6

    Eliz leo zamu yko kukataliwa😂😂😂😂

  • @jennet6484
    @jennet6484 Před 5 měsíci +7

    Eliza haamini kilichotokea😂😂😂

  • @eleanorkinadiali4721
    @eleanorkinadiali4721 Před 5 měsíci +7

    Chewing jamaniiii😢😢😢😢😢😢

  • @JoyceMwangangi-qh6tf
    @JoyceMwangangi-qh6tf Před 3 měsíci +1

    Mtafuno mwiiingi jamani 😢😮😂😂😂 sijapenda

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Před 5 měsíci +9

    😂😂😂 safiii sana Elizabeth kibibi alafu anajikuta kachaguliwa na wanaume wengi sana kawakataaaa safiii kbs, kibibi atabaki apooo😂

  • @stellatwaah3242
    @stellatwaah3242 Před měsícem

    Kwanza niwapokeze lulu ❤pamoja na viongozi wake jamnii nawapenda sana🥰🥰🫂🫂

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 5 měsíci +16

    ELIZA LEO KAACHWA ANAJIONA MZURI😂

  • @rhodarichard4494
    @rhodarichard4494 Před 5 měsíci +7

    " mim ni mwanamke mzuri naitaji matunzo bila hela siendi"
    Wanaume popote mlipo hebu jaribuni kuitafakari hii kauli😂😂😂,,

    • @user-bn1uv9ev9y
      @user-bn1uv9ev9y Před 5 měsíci

      hamna mke hapo atakutesa sana huyo daah yani wanawake wa ovyo kabisa

  • @user-od9jk1yq1e
    @user-od9jk1yq1e Před 5 měsíci +39

    Duuuh leo nimekuwa wakwanza nipeni like zang

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 5 měsíci +17

    Eliza malipo duniani 😂😂😂😂 kuna kaka uli mnanga

  • @salummakenzi4846
    @salummakenzi4846 Před 5 měsíci +4

    Leo lulu diva umevaa vzr umependeza dear love you

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 Před 5 měsíci +3

    Mr light nime mwelewa sana jama kaongea point hongela zake

  • @user-li1fl4jp3r
    @user-li1fl4jp3r Před 5 měsíci +7

    Eliza kaongea kama anaugomvi😂😂😂😂😂😂

    • @moussagiza3723
      @moussagiza3723 Před měsícem

      Namtafuta huyo eliza kama unazo contracts zake nisaidie

  • @user-sq1ew8pw3g
    @user-sq1ew8pw3g Před 5 měsíci +13

    Eliza umekoma unazidi kuchaguwa sana

    • @ashamjeni292
      @ashamjeni292 Před 5 měsíci +1

      Eliza aliringa sana na nilisema atakuja penda na asipendwe,pole yake😢😊😂

  • @francengosha7157
    @francengosha7157 Před 5 měsíci +5

    Unyama sana 🎉

  • @neemapaul9073
    @neemapaul9073 Před 5 měsíci +2

    Safiiiii sana mkaka my Hy ndie mkee wako

  • @janerachel1622
    @janerachel1622 Před 5 měsíci +5

    Eliza ULIKUWA unawakataa sana watu Sasa jifunze

  • @gangmusicband3012
    @gangmusicband3012 Před 5 měsíci +4

    Very nice 🎉

  • @isabellamichael1025
    @isabellamichael1025 Před 5 měsíci +2

    Hapa wakaka mnatakiwa mje magaidi tu 😂😂😂

  • @alhilayali4200
    @alhilayali4200 Před 5 měsíci +7

    Kumbe wakipenda wao ao wanawake kisha wakakataliwa huwa wanajickia vibaya ee uyo eliza alikuwa ana uhakika kuwa atachaguliwa yeye kwa uzuri wk kumbe hajui kuwa wanaume huwa hawaangalii sn uzuri wanaangalia maini me nimefrahi sn kukataliwa mn vipande vya nyuma yeye ndo mwanamke alie chaguliwa n wanaume zaidi y 5 wote kawakataa 😂 Leo kakataliwa yeye 😂😂😂

  • @jamesbutendeli4511
    @jamesbutendeli4511 Před 5 měsíci +4

    Careen is so pretty and cool

  • @Dorcaskiwale-ir6ec
    @Dorcaskiwale-ir6ec Před 2 měsíci

    Zarish ni mwehu kwa kweli

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před 3 měsíci

    Aaliah khaaaa!!!

  • @user-it6to6ws5r
    @user-it6to6ws5r Před 3 měsíci

    Syo mzuri uyo aliyo mchaguwa eliza beautiful ❤❤❤❤

  • @user-nt9zj3yk9x
    @user-nt9zj3yk9x Před 3 měsíci +1

    Cheko la Aliya 😂😂😂

  • @prijoseph4665
    @prijoseph4665 Před 4 měsíci +1

    😂😂😂 Huyu jamaa namfahamu

  • @Happinesabella3654
    @Happinesabella3654 Před 5 měsíci +4

    Glady na Eliza katafute wanaume mtaani hapo tumeshawachoka kila siku mpo halafu nyodo nyingi wenyewe wabayaaaaa khaaaa!!!

  • @user-be8lg5wb3m
    @user-be8lg5wb3m Před měsícem

    Mtu a natafuta Kama mbuzi 😂😂😂

  • @kizaikonsolat70
    @kizaikonsolat70 Před 5 měsíci +1

    We misomisondo umpepigaje apo🤣🤣🤣 Eliza haaminiiii anachokionaaaa🤭🤭🤭

  • @maurinemwesh5280
    @maurinemwesh5280 Před 5 měsíci +3

    Inaitwa not everyone cup of tea Eliza 😂

  • @nashatHashimmohamad
    @nashatHashimmohamad Před měsícem

    Inawezakana napi siowake

  • @user-wv9wc6yr1u
    @user-wv9wc6yr1u Před 5 měsíci +1

    Safi careen ni mzuri sana

  • @nashatHashimmohamad
    @nashatHashimmohamad Před měsícem

    Kupigwa ndio mapenz

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 Před 5 měsíci +3

    Maisha yanaenda kasiii sana huyu glady nae anakosoa wanaume😂 sura kama mkuki wa mmasai😂..huyo zarish si alisema kwa siku anaingiza laki 6😂😂 imekuaje tena kaja kwenye kipindi kudanga😂😂

    • @CelinCelineort
      @CelinCelineort Před 5 měsíci +1

      apo kwenye sura kama mkukii😅😅

    • @angelamgalula8457
      @angelamgalula8457 Před 5 měsíci

      Huyo glad angekua mzuri tungekoma😂😂😂 msomi lakin elimu yake Bado haija msaidia.. kingereza cha hovyo … pia pointless kila akiongea😂

  • @user-sj6qh3yr5t
    @user-sj6qh3yr5t Před 3 měsíci

    Elizabeth kuchamba kwingi ndio😮😮

  • @JosephDeogratias-up3im
    @JosephDeogratias-up3im Před 5 měsíci +2

    Eliza.... mwenyew ashaga mkataa mdau😂

  • @Lushinge27
    @Lushinge27 Před 5 měsíci +8

    Glady fanya uondoke umekaa mda mrefu sana

    • @bhokesamo6369
      @bhokesamo6369 Před 5 měsíci

      Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua

    • @bhokesamo6369
      @bhokesamo6369 Před 5 měsíci

      Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua

    • @bhokesamo6369
      @bhokesamo6369 Před 5 měsíci

      Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy Před 5 měsíci +4

    Eliza you're cute

  • @JumaMarwa-hc9te
    @JumaMarwa-hc9te Před 9 dny

    Zarish anamaanisha anajiuza arikua anataka hela kwa mme wake

  • @JackineMdugala-xs8ht
    @JackineMdugala-xs8ht Před 2 měsíci

    Eliza Leo kaachwa mzuri❤😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂

  • @ASUKULUNYASSA-hf6wk
    @ASUKULUNYASSA-hf6wk Před 5 měsíci +2

    Uyu zarish nimjuaji tu, kila mwanamume anakuàga na kasoro kwake yy kila kitu kwake tatizo ajui kuchanganua mambo.

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 Před 5 měsíci +47

    Eliza huo weupe unakuzuzua unafkiri utamchanganya kila mwanaume pole mwaya leo zamu yako kukataliwa😮😮

    • @amoslucas1247
      @amoslucas1247 Před 5 měsíci +2

      Malipo n hapa hapa

    • @user-yr5wj5bz4w
      @user-yr5wj5bz4w Před 5 měsíci +3

      Huyo eliza mshahili apo atafuti mume anatafuta danga Lizzy mdangaji mzuri huyu dada chamazi ukienda utamkuta sana

    • @roseafrael75
      @roseafrael75 Před 5 měsíci

      @@user-yr5wj5bz4w 🤣🤣🤣siyo vzr

    • @aceeofficial255
      @aceeofficial255 Před 5 měsíci +1

      Anachagua sana uyo eliza😂

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před 5 měsíci

      @@user-yr5wj5bz4w mwachen achague had azeek

  • @jumwablandina5773
    @jumwablandina5773 Před 3 měsíci

    Weeeeeh nkaliii hiii

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Před 5 měsíci +3

    Looo white and black ndo inanoga naona watu kumyari Eliza wa watu 😢

  • @mwanaimaagrey6857
    @mwanaimaagrey6857 Před 5 měsíci +3

    Kingine waking lulu na wenzie wapunguze kuongea sana wana kula muda wa kipindi

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 5 měsíci

    Eti mzuri nataka matunzo. Number huyo dada anajiuza. Shenzi

  • @user-tr5ld8sv8i
    @user-tr5ld8sv8i Před 3 měsíci

    Hhhhhhh elizaa jogoo mnyonge 😂😂😂

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Před 5 měsíci +5

    Hivi wanapimaga afya kwanza huyu kanywa alafu kamnywesha

  • @user-wh2bl8kk6j
    @user-wh2bl8kk6j Před 4 měsíci

    Hii mr. right wanawake ni walewale? Mbona wanawake waliyopata waume Mbona still wapo mjengoni?
    Ama kweli huu Ndio uongo uliyoenda shule 😂😂😂

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před 5 měsíci +7

    Huyo Eliza Acha akome wanaumme wengi wame mupenda lakini anawakata .kajiona mzuri sana kazaniya kwamba watamuchaguwa yeye ona sasa mubaya anaondoka unabaki nauzuri wako apo😃😃😃

  • @YazrinKajia-rk8fc
    @YazrinKajia-rk8fc Před 3 měsíci

    Mmmh Eliza wamuajiri tu auze hizo soda mana podium ishamzoeaa😂😂😂

  • @fabiannjovu2273
    @fabiannjovu2273 Před 5 měsíci +4

    HIVI HAWA WASICHANA WANAOENDA UKU WANA AKILI. KWELII HAWA

    • @user-qe5sk4gd6e
      @user-qe5sk4gd6e Před 5 měsíci +1

      Hata wanaume pia wanaowafuata huko wanaakilikweli

  • @Abdumfaume
    @Abdumfaume Před 5 měsíci +6

    Mr. Right anajua kuchagua kweli kaacha Eliza pisi kali..😅😅

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq Před 4 měsíci

    Brother nimekubali uchaguzi sahihi kabisa

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi8670 Před 2 měsíci

    😂😂Mimi nilijua tu.Eliza kutoboa ni issue,inabidi abadilike kwanza.Eliza kumuweka ndani shughuli

  • @abdulkarimaliissa4352
    @abdulkarimaliissa4352 Před 4 měsíci

    Dada lulu like beautiful ❤

  • @user-wu6dx3ho4e
    @user-wu6dx3ho4e Před 5 měsíci +3

    Uyu dada alikuja wakwake akawakataa akomae

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs Před 5 měsíci +1

    Hao wanaume ni waongo wangekua wanaulizwa na max wao wangeaibika

  • @gloriawambui5591
    @gloriawambui5591 Před 5 měsíci +2

    Eliza jamani😂

  • @jafthomthomas6420
    @jafthomthomas6420 Před 5 měsíci

    Ex mtamu ww🎉😂😂

  • @user-ok2pi9im3d
    @user-ok2pi9im3d Před 2 měsíci

    Dj mwendelezo jmn

  • @nashatHashimmohamad
    @nashatHashimmohamad Před měsícem

    Kupigwa ndio mapenz😮😮

  • @African511
    @African511 Před 5 měsíci

    Hakuna mke hapo bali kuna wake za watu walioachika kisa pesa,aloooo Dunia inaenda kasi sana.

  • @user-fr1ck1ii7p
    @user-fr1ck1ii7p Před 4 měsíci +1

    Aibuuu Kwa eliza

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 5 měsíci +2

    Yy si hodar kukataa wt ss leo kwa kwake

  • @danielndei5420
    @danielndei5420 Před 4 dny

    ASANTENI KWA KUTUBURUDISHA KWA MZIKI, AMBAO IS TOO LOUD THAN THE ACTUAL MANENO TUNAYOFAA KUYASIKIZA TOKA KWA THE CONTESTANTS...

  • @jumamarere9790
    @jumamarere9790 Před 2 měsíci

    Nainjoi sana

  • @DanielyLuyenga-zf1bb
    @DanielyLuyenga-zf1bb Před měsícem

    nakuja apo kumchukua eriza

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd Před měsícem

    Mbona anatafuna kama mbuzi aonyeshi awareness kwamba yuko sehemu ya interview

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy Před 5 měsíci +7

    Mr right .dont ever go to the show..chewing ,bad manners

  • @janemartine5967
    @janemartine5967 Před 5 měsíci

    Mbona wazeee

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj Před 5 měsíci +1

    Eliza mimi nampenda balaa

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před 3 měsíci

    WANAUme tunaangalia akili na tabia

  • @ombeniismail1140
    @ombeniismail1140 Před 5 měsíci +5

    Hivi kwanini asilimia kubwa ya Mr right wametendwa yani hakuna Mr right ambaye amecheat

  • @janemartine5967
    @janemartine5967 Před 5 měsíci

    Mbona Eliza mwenyewe mzeee

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 5 měsíci +2

    Eleza Unaonaje Mimi Nipo Kwaajiliyako...???

  • @jaelmusanga3111
    @jaelmusanga3111 Před 2 měsíci

    We za rush tafute kazi upate hela ile kuomba omba pesa ina shusha heshima. Usiwe pale ili kutafuta mtu atakaye kuwa anakupa pesa

  • @user-pg9dv9vo8p
    @user-pg9dv9vo8p Před 2 měsíci

    We zayrish una uzuri gani kimeo tu au urefu kwa mwanamke Ni uzuri siku izi

  • @LovelyCoastline-il1lr
    @LovelyCoastline-il1lr Před 3 měsíci +1

    Mr right unatafuta sana

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 5 měsíci +2

    Shoga haamini anachokiona

  • @kingthedon508
    @kingthedon508 Před 5 měsíci +1

    Yan hili li dayan lina dharau na linavaa uchi

  • @user-zm9sd4cm3d
    @user-zm9sd4cm3d Před 3 měsíci

    Jamani huyo zaylish atolewe maana anaker nakuharibu pia

  • @josierjosmail4195
    @josierjosmail4195 Před 4 měsíci

    Umeonaje hiyoo

  • @user-fr1ck1ii7p
    @user-fr1ck1ii7p Před 4 měsíci +1

    Zalishi simpendi

  • @bhokejaqulineelias4197
    @bhokejaqulineelias4197 Před 3 měsíci

    Nataka mwanaume mwenye six park awe mrefu handisome awe na funguo tatu za gari awe na nyumba ya ghorofa kumi plz im here waiting😢😢

    • @AliAbdalla-lb8su
      @AliAbdalla-lb8su Před 2 měsíci

      Umba wako unavotaka halafu umpe maokoto kisha akuoe mwenyewe

  • @ollenshamba
    @ollenshamba Před 3 měsíci

    Hapo kilicho mfanya huyo dada arudi kwa x wake ni kwa sababu alianzisha mahusiano akitaka kwenda kupoza maumivu ya kuachwa ko hakuna nampenda Mr right simple like that

  • @user-ep4hl6jd4q
    @user-ep4hl6jd4q Před 4 měsíci

    Nice