MI NATAKA MWANAUME ANIPE PESA KULIKO WANAUME WOTE, HESHIMA APELEKE KWAO - HELLO MR. RIGHT

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 02. 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • Zábava

Komentáře • 83

  • @geselaoscaremanuel6481
    @geselaoscaremanuel6481 Před 4 měsíci +4

    Doctor Leo umependeza sana

  • @bongoupdatestv9322
    @bongoupdatestv9322 Před 4 měsíci +11

    Mrembo wa kwanza kaongea kwa hekima na ni mrembo kweli kweli. Vijuso sasa😂😂😂

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 Před 4 měsíci +18

    Ila huyo Eliza hamna kitu anajiona mzuri alafu hana akili na huyo Zarish aende akajiangalie kwenye kioo vizuri

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas Před 4 měsíci +7

    eliza ni mrembo kweli rangi,sura vyote kajaaliwa ila hana akili

  • @user-rb3uz9mk5u
    @user-rb3uz9mk5u Před 4 měsíci +7

    Akuna wake apo. Au mke... hao ni wanawake

  • @flm1530
    @flm1530 Před 4 měsíci +8

    Wasichan wenzenu wanapamban mpk wanaongezewa cherehani na raisi nyie endeleen kujiuza kweny show ya mr right

  • @CelinCelineort
    @CelinCelineort Před 4 měsíci +1

    nimekupendaaa buree kipenz umeongea vzriii sanaaaa

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 Před 4 měsíci +5

    Yaan mtoto wamtu atafute hela zake kwa tabu hakuna kulala halafu nikale na mtoto wantu weeee😂😂 niufala acha nikale pesa zangu na yuleee aliye nizaa ndio mwanamke wapekee namuamin hapa dunian

  • @AgnesMwanisenga
    @AgnesMwanisenga Před 14 dny

    Huyo bibi mwenzangu ashuke stegni

  • @YusufHassan-tf1iw
    @YusufHassan-tf1iw Před 2 měsíci

    Huyu Dada anaongey pwet ila yup sip 2 siyo mzur nawakawaid 2❤

  • @mariamutowi7084
    @mariamutowi7084 Před 4 měsíci +3

    Huyo Christina kavaa kama kahaba puuuuh

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 Před 4 měsíci +2

    Hao sio wanawake nikausha damu😂😂

  • @dreadlocksspecialist7195
    @dreadlocksspecialist7195 Před 4 měsíci +1

    The secret is love pesa huwa inafata upendo ukifeli kupenda umasikini utakusumbua mpaka unakufa hawa wengi wa naonekana wametokea kwenye umasikini mkubwa

  • @user-cd7nk1yg9c
    @user-cd7nk1yg9c Před 4 měsíci

    Zarish ziwa saa 12 alafu unajishauwa Eliza ndo umri umeenda kabsa yaani ingekuwa mm ndo nipo hako kusema ukweli wa mungu napenda sana mwanaume mwenye mapenzi ya dhati ofu ya mungu na pia awe muaminifu ivyo ndo v2 vya muhimu kwa binafsi yangu unaweza kupata mwenye pesa ukakosa furaha pesa zinatafutwa ila mapenzi ya kweli hutoka moyoni

  • @joycenzilani5891
    @joycenzilani5891 Před 4 měsíci

    I love you lulu umewapa good advice

  • @massatujeli3158
    @massatujeli3158 Před 3 měsíci

    ivi hawa mademu wao wanategemea kupewa pesa tuu sawa huko kwenu mna maisha gani

  • @samwelyjulius7277
    @samwelyjulius7277 Před 4 měsíci +1

    Zarish ajiangalie vzr ana uzuri gani wa kuweka Sheria ya aina ya mume kutwa pesa tu utakesha hapo

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Před 4 měsíci +1

    Huyo dada mwenye wig la blue jaman ajion kwenye kioo

  • @user-ee8jo3qt4h
    @user-ee8jo3qt4h Před 4 měsíci +1

    Wamedanga wameona wanazeeka wakaona waje Mr right

  • @user-ek9eo5nf8r
    @user-ek9eo5nf8r Před 4 měsíci

    Lulu,hawa warembo wako hawako serious,kama this episode ya Leo 9th Feb,wameniboo,,Mr right wa mwisho wawili wa Leo walikua so cool nkt!

  • @ChristinaPeter-rl9wq
    @ChristinaPeter-rl9wq Před 4 měsíci

    Sijawai comment ila Leo apana Kwan mpaka wanakuj apo wamependeza lakini wanatak mwanaume mwenye pesa muhimu waangalie mwaume mwenye kujali na kupenda pesa wataenda tafuta pamoj garabe jaribu kuwaelewesha warembo wako

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před 4 měsíci +1

    😂😂😂 yani hawo wanataka tu kupewa pesa nakupendeza tu hawataki mapenzi ya kweli wala kujenga future so sad hakuna chawana wake apo kesho keshoyake mwana umme akikosa atakimbiya

  • @tabiangonyani3526
    @tabiangonyani3526 Před 3 měsíci

    Uyo aliesema anataka mapenzi hataki hela yupo sahihi na hajamainisha mwanaume asimpe hela coz hela ni majaliwa ya mungu mtatafuta wote mtapendeza2

  • @user-ek9eo5nf8r
    @user-ek9eo5nf8r Před 4 měsíci

    Alafu huyo wa Kununua nguo mpya daily,anunue wig basi

  • @godlovemanase3423
    @godlovemanase3423 Před 4 měsíci

    Ivi eliza bado hajapata andazi lake😂😂😂😂

  • @user-my1gw7fi9v
    @user-my1gw7fi9v Před 4 měsíci +1

    Mabox yote😂😂😂

  • @Lilian2023-pc1lr
    @Lilian2023-pc1lr Před 4 měsíci

    Kunawanawake wamekosa akili jaman😂😂Yan wanamuomba mungu awape wanamme wenye pesa 😏awajui zinatafutwa😊

  • @JacobTambara
    @JacobTambara Před měsícem

    Hilo dada la matumizi elf60 kwasiku silpendi kwanza baya

  • @beatricemtui8271
    @beatricemtui8271 Před 4 měsíci

    swala la ela limekuwa na upinzani mnoo😅😅😅😂😂😂😂

  • @halidhemed7524
    @halidhemed7524 Před měsícem

    Wengine goalkeeper hawatak kufny kaz

  • @user-li1fl4jp3r
    @user-li1fl4jp3r Před 4 měsíci

    Wanaume mnaowataka Tanzania bado wapo au mje mdange ugaibuni tu😂😂

  • @hassanhamady4870
    @hassanhamady4870 Před 4 měsíci

    Kwann wasipendeze kwa pesa zao wanataka kutgemea wanaume

  • @omuze1290
    @omuze1290 Před 4 měsíci +1

    Hakuna wanawake hapo wa kuoa. Gold diggers hao!

  • @iyanboy4786
    @iyanboy4786 Před 4 měsíci

    Hii ni biashara wallah😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shumbagirajames6508
    @shumbagirajames6508 Před 4 měsíci

    Maana wanapenda pesa kuliko mapenzi

  • @banguha
    @banguha Před 4 měsíci

    Hakuna mwanamke hapo Yan wanawake wote ni pesa pesa tu kwan nyie hamuwez kutafuta pesa achen ujinga

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 Před 4 měsíci

    Kila mbuz ale urefu wa kamba yake weeee 😂😂

  • @amoslucas1247
    @amoslucas1247 Před 4 měsíci

    Hamna mke hapo😢😢, wote wadangaji

  • @kutokakutoka8730
    @kutokakutoka8730 Před 3 měsíci

    Ikitaka pesa kuliko mapenzi pia ujue kuzitafuta si unataka pesa na hujui matumizi yake

  • @mwanaurujuma9254
    @mwanaurujuma9254 Před 4 měsíci

    Wa dada waache tamaa akuna mtu ameenuka akiwa tajiri muhimu mwanaume awe ana kupenda ukwel na kuheshimu,anajua thamani yako mengine pesa mtatafuta mkiwa wote almuhim anapata ya rizki na mambo madogo dogo

  • @UwajenezaJazira-cv7et
    @UwajenezaJazira-cv7et Před 4 měsíci

    Sasa mwanamuke wakunkankania urembo kupendeza kweri akuna mwanamuke hapa pesa nimugeni sasa akikuwoa akiwa nazo ikatokea zinaisha nainawezekana awa watakimbi Unyumba unamengi wakifika watashangaa

  • @halidhemed7524
    @halidhemed7524 Před měsícem

    Kuna wtu hawajui maana ya mapenz hpo

  • @nangasixmshamba
    @nangasixmshamba Před 4 měsíci +1

    Siku izi hapa munatangaza bishara ndiomana hata viewers wanapungua

  • @user-cy3vo2zj1c
    @user-cy3vo2zj1c Před 4 měsíci

    Ukipendwa ni lazima upendeze Acana na uyo kma ni Eliza

  • @peterelia2446
    @peterelia2446 Před 4 měsíci

    Nyiyi hamu taki ku tumika. Muna itaji pesa. Nyinyi shobo nini😂😂. Mnamke ni msaidizi. Kama una taka pesa tafuta na mumewo.

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np Před 4 měsíci

    Kwahiyo hamwazi kujenga mnawaza kupendeza Malaya kweli

  • @user-xg8nf7zp6g
    @user-xg8nf7zp6g Před 4 měsíci +1

    Mnahangaika nahao malaya npe nkupe

  • @timothmgata3636
    @timothmgata3636 Před 4 měsíci

    Camera man uwe una wazoom hao wa dada

  • @user-yd8vv2sz4f
    @user-yd8vv2sz4f Před 4 měsíci

    Nimegunduwa hawa wanawake wengi wao wapo hapa kwakujiuza

  • @timamulituto
    @timamulituto Před 4 měsíci

    Nilichoona akuna wakuoa apo SEMA tu Ayo madanga yamepata nafas yakujitangaza apo

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw Před 4 měsíci

    jaman muwe mnaangalia hata mavazi yao kidogo yani kama christina hapo kavaa bulazia yupo stegini

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 Před 4 měsíci +1

    Kama anatafuta pesa afanye kazi tu sidhani hapo kama sehemu sahihi ya kutafuta fedha

  • @macfarlanekattikiro6627
    @macfarlanekattikiro6627 Před 4 měsíci

    mbona huyo lolo anafanana na Nelly yule aliekuwa anakaa podium ya kwanza au ni mimi na maccho yanguu

  • @mercychepteekilovethismovi912

    Rita namekupenda bure sana uko Sawa kiakili kabisa

  • @nnedynshimirimana
    @nnedynshimirimana Před 4 měsíci

    Sijawahi Ku koment, Ila baadhi ya wanawake walipo hapa weng wao niwale waliotumika Kish wakatupwa kwakua niwajinga hawana fikra za kujenga

  • @shumbagirajames6508
    @shumbagirajames6508 Před 4 měsíci

    Mutawazowelesha vibaya hawo wanawake

  • @AbdallahRashid-ry9pb
    @AbdallahRashid-ry9pb Před 4 měsíci

    Wanaonekana wako kibiashara tu hawana future yoyote,apo wanatafute mume au masponser??

  • @shumbagirajames6508
    @shumbagirajames6508 Před 4 měsíci

    Muna penda pesa sanaa

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 4 měsíci

    Hizo pesa mnazotaka kupewa na wanaume nchi yenyewe hii ilivo ngumu hata na nyie mngekuwa nazo msingefika hapo

  • @user-ux4os3ln6m
    @user-ux4os3ln6m Před 4 měsíci

    Warembo wapo kazini hawapo kutaka mume wa kweli

  • @nangasixmshamba
    @nangasixmshamba Před 4 měsíci +1

    Sasa kama wanajiuza si waende wakadangue uko

  • @mariamsaid2535
    @mariamsaid2535 Před 4 měsíci

    60000 kwa lipi???Ukienda bar sh ngap unapata huduma ile ile

  • @hamisiismaili6342
    @hamisiismaili6342 Před 4 měsíci

    Nyie madada malaya sijui apo mnafanyaje kama mnataka pesa simkajiuze kweny madanguro uko mapenz napesa niwapi nawap kama nimavazi si nitakununulia yan hammna akili kabisa pumbavu sana nyie kama mnafanya biashara mseme kabisa

  • @mariamsaid2535
    @mariamsaid2535 Před 4 měsíci

    NA NINYI C MUTAFUTE PESA AU....MUPEWE PESA TU????

  • @isackmbade3181
    @isackmbade3181 Před 4 měsíci

    Hamjaja kutafuta wanaume mmekuja kuuza sura

  • @annabaraka-fo3mv
    @annabaraka-fo3mv Před 3 měsíci

    Kwan kujali maana yake nn?

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np Před 4 měsíci

    Yani akaibe anyanganye ili tu wewe upendeze hao Malaya kbs

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 4 měsíci

    Hao wote wadangaji umalaya.na hawana upendo cha wote.wsshatumika sana kuvuliwa chupi sasa wanatafuta waume na hao wanaokwenda kuwatafuta ni wale wale washkaji wahuni tu watawafunuwa na kukimbia.hebu kuoneshe alieolewa.kupitia hapo biashara munaoifanya ya kujiuza katika mitandao.

  • @vitaasumani4613
    @vitaasumani4613 Před 4 měsíci

    Hakuna wife material hapo

  • @user-ek9eo5nf8r
    @user-ek9eo5nf8r Před 4 měsíci

    Alafu huyo wa Kununua nguo mpya daily,anunue wig basi