MREMBO VICKIE ATAKUWA ANA GUNDU | AKOSA MR.RIGHT TENA
Vložit
- čas přidán 3. 06. 2023
- Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp.com/D8xC5Myxrkh...
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU - Zábava
This is a real man I see the truth trust faithfulness humbleness honesty love in him he has chosen a humble simple girl at of those ladies salute to this man Blessings in your marriage
Huyu msichana ameangukia mume sahihi ❤❤❤
This show looks superb and more decent than our in Kenya 🙄
Vicki Pol sana ipo siku utapata wako inshallah mamy nakupenda sana❤❤
Am watching from Uganda. Woww 😍,my favorite show this is so lovely couple of the day
Oluwirila? Nze mpurilamu mwambuzi mwambuzi ate selabyeemu gwenyinza nokugamba nti ayina embuzi😂😂😂
Team u
Kuna wanaume hawaangalii shepu ndo nimeamini kl mwanamke anataka shepu lkn Kuna wanaume wanapenda Mchele wa basmati namaanisha wembamba
Kabisa
😂😂😂😂😂😂kabisa
Dada ametuwqkilisha tusio na mashepu👀🤣🤣
Kwel aise sisi ambao tunayo ya kwendaa chooni tu
Awa waongo wanapanga kabsa ao wanalipwa😂
@@aishamjema49😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Sasa,my comment section ya IYibe ilikuwa na shida imerekenishwa Tu juzi..na hii ndio comment nasoma ya Kwanza..naona wakenya no walewale from tok you FB etc
The confidence I've gained from watching this!🎉❤
..you got evil confidence!!lol!
😂
I know .I didn’t expected that lol
Vicky my dear don't worry,.. There's someone out there for everyone
😢😮...
Fahima has a good heart 😊❤❤all shows girls don't allow there man to hug a lady..... I love your character and heart you are a good woman indeed
But kuna kitu kinaitwa kadari mpango mwenyezimungu aliomkadiria mtu,asikate tamaa kama anaamini kunamipango ya mungu huenda kuna kilicho bora zaidi mbele yake😢DON’t give up😢
Apo kweli bro umenena 👏👏👏
Beautiful Vickie... Mchumba wako yupo. . nakutabiria ndoa nzuri sana. Harusi yako jamani usisahau kunialika
Hiv inakuwaga ya kwel? Kwamba wakipatana hapo wanenda kuanzisha mahusiano??
😢😢 na mwangaliya sana huyu dada ushauri wangu kwake ahachane❤ na hayo mambo nikujiumiza bure na kujihona huna nyota ila tu hacha wakati wa Mungu hufike tu atashanga Mungu ajawahi kuwahacha walio wake na hiyo labda siyo njia sahihi kwake ila pole sana
Tatizo ni haga aliyo jiongeza na wanaume wa Sahi wanataka mrembo ambaye amerizika na mwili wake jinsi ulivyo
@@sharonkhayosa162 kajiongeza wapi jamani mdada kabarikiwa tu
Hajajiongeza jmn
Ukweli kabsa 😢😢😢
@@rosemahenge9071 Amna ilo si shepu lake kamili
Nimekupenda bure we kaka wao walizani shape ndio kishawishi
Vicky, never give up, good things always takes time, just belive in yourself and don't loose hope, God's timing is always the best. Hugs 😊
😮 don't mention God in this rubbish!
They don't understand English...use swahili
@@992_lions-vibes idiot!
In life try to be real
Kweli ukipania kitu hukipati...Subra ndo njia pekee katika maisha..
I wanna try this I might be lucky too😢😢😢😢
Beautiful .. much love from kenya
Ushauri kwa Vicky abadilishe mavazi
Ndio abadilishe anaweza akampata
Ila kweli umeongea point
Kweli kabisaaa
Ndio anyevaa kujistiri lkn mavaz ya ndan
BOYS WILL BE BOYS..YANI WANAUME TUHAKIKISHE WANAWAKE HAWAELEWI TUMATAKA NN😂
Kabisa😂😂😂
Wanaume siku hizi hatupendagi nyansh 😁
Sure mwanangu kwasbb wanaweng wameshajijengea kweny akili kua akiwa na shepu ama tako kubwa basi wanaume watamfatilia kumbe saivi atuangalii hayo
@@IdarousPossy Tuwavuruge
@@roddyfawaz8167 Wana haufagilii nyama siku izi
Hapa ndio naelewa ile msemo usililie uzur, lilia bahati 😊
Kweli
Kwakweli
Vicki's so beautiful ❤️
Vicky never give up your time will appear ❤❤❤
Mi nataka kujuwa naingiaje hapo jamani
Kwanza tako nalo kumbe silazima 😂😮
Nimeipenda sana hii couple mkaka yupo cool daah
Yeah 👍
Nakuombea upate
Jaman maskin vick 😔😔 mpole hata hug kanyimwa huyu kaka kwel mgumu😂😂
😂😂😂 hii ni ukweli ama ni kipindi
Siyo mgumu ,limbukeni na wale wanaohikumu sana kumbe sivyo ,Yani hapo kamwona vick labda aje kumbe hapana
😂😂😂😂this life no balance 😢😢
@@liannsambu7264nimp pol
Siamini leo mwenye TAKO kakataliwa😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂
Masha Allah ❤️❤️❤️
I find this more respectable than the Drama I see in Kenya
The drama makes it so fun and addictive yo watch😝😝
Kenyan show is hosted by people who have failed in marriages and hoes.
Kuna wanawake wa kuoa na wanawake wa kupiga nao picha Asante mwamba ungechagua umbo hilo ungepunguza hata miaka ya kuishi
Kivipi anaweza kupunguza miaka ya kuishi?
kwa wivu🤣🤣🤣
@@justinmbangukira7034 Siri ya kambi lkn stress nyingi mno kwa kweli
@@upendolema3323 😂😂😂
Huyu alimzalilisha jamaa mmoja Wacha wampe haki yake akae na tako lake
😅😅😅
Ila vicky kaniliza jamani, tumpe pole jmn
Tuachen tu wanaume wanawake wa style hii ni stress tup unaweza kufa mapema na asilimia kubwa akili zao zipo kwenye maumbo yao ila nimekuonea huruma pole dada
Umeongea kitu perfect wengi wako wanatwaliwa na maumbo yao kuona kwamba Kila mwanamme atamkamata kiurahisi wanawake wa aina iyo kumaliza siku hujafa sema Asante Mungu
@@OmarJuma-og4kd 😂😂😂😂
😂😂😂😂Umenijibia uwiii
😂😂😂 Kwa sababu wengi HAMJAMINI
Umeelewa vzur wao ni wa kustarehe nao tu
Jamni sijaelewa hiii Inakuje Mr Right.....Kunapesa mnatoaa au walio single wanataftiwa wenzi au mm sijaelewa
Walio single wanataftiwa wenz wao
Love doesn't say why it comes from anywhere wow a beautiful family ❤❤❤
Nywele ya kariakoo na pochi ya mbulaati😭😭😭😭😭😭
What's the problema??
😂😂😂😂
😂😂😂A man boarded a Taxi going home one evening but before the Taxi took off,he saw his wife entering a Lodge with another man. He quickly asked the Taxi Driver, "Do you want to make 50K In few Mins?".
The taxi Man Happily Answered, "Of Course Sir, what do I do For You?"
The man said,here is a photo of my wife. Go inside that Lodge and get me my Stupid wife as you Pull her by her hair.
Few mins later the man was surprised to see the Taxi Driver dragging out a different woman from the Lodge,slapping,kicking her terribly and the woman was screaming
The man shouted at the taxi driver, "Noo!!! Leave that woman alone,she's not my wife" The taxi driver answered "Relax Sir,this one is my own wife.Hold her for me while I go get yours"😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂kikaumana same day
😂😂😂
Asee
The guy ametuangusha hug ni kitu ya kunyima mtu kweli .kenya hug is normal
Msenge Sana Huyo! Sasa Huyo Demu Mwenye Tattoo Ndo Atamtenda Balaa!
TANZANIA HUG NI KUIBA BABU AU BIBI YA MTU,SISI SIO WAZUNGU...
Mwambieni vick nampenda xana na aje kwangu katika ulimwengu wa mahaba❤❤❤
🤣🤣🤣🤣😂😂😂
I adore that character in mr right ❤❤❤
Mr Right mzuri jmn🥰
Sanaa aiseeeee...kwanza macho yake mashallah!😍❤
Jaman mm naomba nipeni vick ❤❤❤❤ i love her
Khaaaaaaa Vzr sanaaa kipnd cha mr right hongereni inanipa hamasa ya kuja kwenu nipate mwenza Jmn ad rahaaaa
Huyu dada natamani ajaribu kuvaa kanguo kenye virinda kakumstiri hiyo hips atapata tuu
Umewaza kama mm
Umeonaeee
Nami nimehisi hivo,asionyeshe sana hips duuh!!huruma sana😌
Wadada jifunzen apo, ufahar wa umbo haukup mume.. ondoeni mioyo yenu kwenye uzur mlio nao, jambo la msingi ni kumuamn Mungu mpaji!
Naona umegeuka wa kuhukumu Tena nani kasema wanaringia maumbo kwani wanatofauti gani na hao flat ? Ni BAhati ya mtu tu mwingine uwnza mwingine uchelewa jamani wee
Mwijaku kaingea point
Hivi ni kweli na Mimi nikatafute huko😂😂😂😂😂
Good decision bro love the one you love you🇿🇦🇧🇮
🎉🎉🎉 lovely 🌹 couple in town 😮🎉🎉😅
Si hua wanaamini kuwa tako ndio mpango!!
Kumbe watu hawataki mahangaiko mengi 😂😂
Nimeipenda hiyoooo duuh
😂😂😂😂
Acha kudanganya watu aya maigizo tu
@@g_eazmusic1329 maigizo wakati mwanangu G anakaa na demu kampata hapo mpaka sasa
Mh
Vicky very cool 😎 and beautiful
Wooo this nice though I don't understand the language
The smaller Girl Looks So Innocent
Co wanaume wote wanapenda vbonge vikki utapata wa kwako.
Kwanza hawa vibonge hawajui kunyanduana style moja unapat tabu kishenz nguvu nyingi
@@poulmbogo1770 Ukiona hvyo na ww hujwez kale kamchezo wa2 wanakuwaga wepec shetan mwenyewe anakaa kuangalia game 🙈
@@poulmbogo1770 🤣
@@fatumajumanne5961 we utakua kibonge🤣🤣🤣🖐
@@nancyg8664 Co kbonge waseme 2 hawawez ku2andaa ukiandalwa unaweza kujkunja kama kambale 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Nancy ctak
Just a hug 😢..u this guy z heartless 💔
Wew ungekubal bwanako amhug demu anaetaman kuwa nae?
Mbona viki mzuri sana
Mwambuzi mwambuzi nze sinalabamu ayina embuzi wano naye 😂😂😂😂thnk you guys for the show
Osesa dear 😂😂😂
Love u viky❤❤❤❤ take care
Fayma ndio kasichana kanafaa KUANZA life KUWA mke,,kadogoo unakalea ila Vicky inaonekana amezunguka Sanaa na hafai KUWA mke
Mmmmmmh Jmn wewe😢😢😢😢😢
Ukimchukua uyo UTATOMBEWA TU 😛 ndo mana watu WANAMUOGOPA
,
hahaha 😂😂😂😂😂😂😂 aksaidiwe
Tena wanajionaga wazur hawakatai chchte hata kwasukwasu wao twende tu😅
Sis wenye shepu zetu na tabia nzur tunazo tunaolewa na kina nai😥😥
Nipo mie uku
Huwa mnanyodo sana
Hello Naitwa fatma naishi makumbusho dar es salaam nina 19years. Naomba kufahamu inapofanyikia mr right niwe nakuja kuangalia live au kushiriki kabisa namm naitaj mtu sahihi nimechoka kuumizwa
🎉nitafute
@@keamaoli no yako ya wtsp nipe
The Nyc show ever
Vicky beautiful don't worry
Mwijaku nae haaa....😅😅😅
Hiki kibaba ni kifala sana,,in kenya hug ni Normal.
It's in Kenya Darling 😁
The real Mr right❤
Jaman huyo vick nampenda sana
Wawo❤❤❤❤🎉
Wow the confidence I've gained from watching this video😅
Galabi jamboooo❤❤❤❤
Vicky shape la mchongo wahuni hawalitaki l hivo,
Mnaotaka kujiunga group la Mr Right comment no, niwaunge
😂😂😂Natamani namm kuingia huko niunge bas
Mimiiii
Umeonaa
Huyu kaka tukiwa chuo, kuna dada mmoja alikuwa mnene alikuwa akimuita dada wa watu comfy jamani 😁😁
🤣🤣🤣basi kumbe hakua interested na vibonge
Dahhhh
kasambaganya huyuhuyu
Pole sana Vicki
uyo vicky angejibugi DM zangu asingefika hukuu
Jameni ❤❤❤❤❤wanaenda kabisa
Be strong sister wako anakuna usinjali
Nice makalio sio kila kitu @
Ndiyo maana mimi nimeamua kuanza kuvaa vijola sasa hivi, na kuna harusi nimekuwa mwanakamati, kuna mtu kaniambia eti nishone gauni fupi ya kushepua lakini mimi nimeshashona gauni ya marinda inayofunika magoti.
😅
😁😁😁
Ila zile nyama Mzee wangu umezpga chini siokaz ndogo yataka moyo
Unaweza ukafa kibudu uku unajiona
Hajui kuchagua😂😂😂
Nawewe mwijaku acha ujinga kuongea ujinga
Handsome boy❤
Sana
Kweli mujama huu umenifurahisha sana
Mkiandika Vicky ana gundu ye mwenyewe haoni kweli?? Mbona mwamkatisha tamaa
Yani nikama kujiuza hapo yani ujeuchaguliwe kama mafungu ya nyanya niaibu sana unakataliwa kila mtu anaona🤣🤣😝
😂😂😂😂Aki staki kunona tena wacha nijikubali so beautiful couple ❤❤❤❤😂😂😊
😂😂😂😂😂 mm nilkuwa nawaza kunenepa nimegahir haki
Boys Are After Skinny Girl For Marriage.Hawa Wenye Minyama Mingi Just Kwa Kivutio Tu
That's Why mwanaume anadate Mwanamke Mzuri anaoa Wa Kawaida
Girls Thinking curvy Shape Is Major Factor Man Needs Solely.
@@amourworldbeats weeee kumbe
@@consolatamedard6593that's true 😊
haya mambo ni kwel ama? maana mm mpk sshv siamin naona kma maigizo tu jamn ni seriously watu wanaona kwel?
Not even a hug, at least she needed dat 😢
Etiii Nywele za kariakoo..pochi ya mburahati🤣🤣🤣🤣
God time is the best
😂❤mwijaku❤l kwa kuharibu
Vicky wanamtaka sana 😂lkn wanaogopa kuonekana wamepagawa an shape.
Uyo Vicky mzur Sana Ila ao wanaume wanamuogopa wanaona Kam itakua competition kwao
Viki nimzuri sana wana ume wenye hakili wanaogopa shep za wanawake
Kweli kabisaaa
Izi comedy au series!?? Mimi siamini kama ni Kweli
Mahips yameshuka😅😅😅
Shape sio kila kitu, macho ya mtazamaji huona yanachokitaka. By the way Vick endelea kusubiri wa kwako anakuja.
Mashaallah ❤❤🎉🎉🎉
Vicki umbo lake sio fahari kwa mwanaume.utafeli mama Vick jamani
😂
Uturuki vicki😂
Mungu ndo kamuumba hivo,basi tu siku yake bado😌😌😌
Wow nice couple ❤❤❤❤
Pole vick usikate tamaa utapata wako in nsha Alah
Matrako sio matatzo ya Kila mwanaume