wow!!!!!!! i jus found myself shading tears while smiling watching the show. am really filled with tears of joy. am always fan of this show but what i can say concerning this show is that: this is the BEST show ive ever seen. and thats why ive liked and commented on it. this is the only show that ive commented on. all the best to the couples. #kenyan boy @Juliey. love you soo much guys
Congratulations kabisa kaka nipe couple yako bro siku ya harusi niambiye ndakutoleya zawadi ya biza 🇨🇩from Uganda boda ya tanzania mutukula niko seriously bro nimeipe reaction
Kwani huyu jamaa Ni ndugu yake Stephen kanumba...jamani anamfanana😊sana ata sauti 😲Nani mwingine Kaona Kama Mimi???
Hata wewe umeona eeh
Sana yani
Mbona huyu ndie alimuoa yule Dada aliekua anatafuta mme kwa bango au macho yangu?
@@joanjosephat3776 ndie
Eeeh
Jamani Tanzania 😂😂😂😂 hakika watanzania tupo romantic mpaka rahaaa. Mungu awape royo ya uvumilivu katika ndoa yao.
Jaman huyu kakaa ndugu wa kanumba au 🤤🤤🤤🤤Mashallah hb boy
Umeona eh 😹
Jamni na mimi natamani kujiunga na mr light
Muda unakua Sio rafiki kwangu but na enjoy kipindi hongera kwake mbunifu ila hawa watu pia wapewe mwanga waishi sana i love this …
🏠👫💏👪
wow!!!!!!! i jus found myself shading tears while smiling watching the show. am really filled with tears of joy. am always fan of this show but what i can say concerning this show is that: this is the BEST show ive ever seen. and thats why ive liked and commented on it. this is the only show that ive commented on. all the best to the couples. #kenyan boy @Juliey. love you soo much guys
Mkaka mashaallah,,kwel Kila m2 hupata fungu lake kwa wakat sahihi,,naomba langu liwe linjian inshaallah,,
Nipo hapa
I have seen Kanumba's genes somewhere😂 watching from Kenya 🇰🇪
Yeah anafanana na kanumba
😂😂👍👍🔥 that is true
Exactly
Congratulations watching from kenya 🇰🇪
Mkaka amefanana jamn na Steve kanumba
Kabisaal
Kabisa
Kweli
C alipata mke yule wa bango huku tn vp
@@jescajulius8023 Mimi mwenyewe nimebaki kujiuliza tu jibu can!!
Beautiful. Mungu awabariki. Muishi vizuri. Maisha yenu yawe taa na Nuru kwa ulimwengu.
Hongera sana Fredy, yaani huyu mwamba yuko vizuri, wanaume wanaotaka wenza seriously wanataka wawe hivyo, mungu awabariki katika mahusiano yenu.
Hii kali sana kuliko zote ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Muda wa mungu ni sahihi kuliko mida yote
Uyo kaka hata mm nimempenda jamnnnnn 🙌🙌🙌
Ameshapata Sasa chagua mwingine
@@samwelboniphace5791 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣thawa
Jaman uyo kaka ana ndugu yake😂😂
Congratulations kabisa kaka nipe couple yako bro siku ya harusi niambiye ndakutoleya zawadi ya biza 🇨🇩from Uganda boda ya tanzania mutukula niko seriously bro nimeipe reaction
Daaah ,it's so amazing , I didn't know about Mr right
Love is a beautiful thing when u have the right queen...or king
Huyo bravo siye aliemvisha pete bby Nai na mwishowe akamtema
Eee ndiyo ndo yeye 2anatuektia hawa
Watu wamejipanga! Watching from Kenya .... thika medical college...the song huhu
Uko medical college ? Do u do Mbbs ?
mm nko kmtc ... enjoying the show
Mr right Kenya will always be the best 🥳😂😂
Kumbe tuko wengi
Shoo mbaya haina uhalisia AF watu wanaongea sana utasema bongo movie
Wow that' was amazing I really like watching your show you guys you are doing a great job congrats
Hello im from kenya.....naezaje nikapata mr right
Niko hapa
Congratulation watching kenya saudi❤
safi sana broo huo ndo wanaume
That guy is so romantic manze😘😚
Kaka ongera cn nimeipenda iyo tena hongera mkadum milele
Jamani mnapatikana wapi
Amazing wow I really love it
Dada huy ni kanumba au jmn hongr kaka
Hiiiii nimeipenda jamnii nlijiambia Moka nije nitafuteniangalie tena Kwa marudiooo kweli ulikuwa wakati sahihi WA mungu kuwakutanisha hapo
Woooooh nice big up broo
Kanumba mdogo ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu nijalie na mm jamanii nipate ....
I wish all te best.keep on trusting in God you will never leave you you will never forsake you
Very beautiful 🤩 beautiful 🤩 gorgeous wow all the best
Na mm natafuta mume nitapata
Maisha yanakwenda kasi sana dunia hii yaani wanawake wanapigwa mnada?du tumuombe mungu
Ukitak n mzngu kunasehem Yao unaenda pia
Mmepima ngoma au kajinywee kajitekee tu.
Watu Waongo Duniani 🤫🤫
Mwanamke unadanganywa hivi hivi
😂😂😂😂😂Bora umeonaaa mwenzang
😂😂😂😂bora umesema
Yani Pete bila wazazi kujua chochote tamaduni za kiafrika wapi jamani no mahari no wazazi yani ovyoooo
Hongera dadangu umepata mume bola nasi bola mume jamanii
Inamaana ni kwel au 🙄
Wow hadi raha na mwafanana sana
Nmependa manen ya mwmba 😊😊😊
Wow amazing this is real ❤️
Mwanaume mzur hata mim nimempenda❤
Aki nimependa sana moja boom 👊
Nakubali xan bro umetixha
Watching from kenya natamani......
Amefanana nakanumba
Jamani fred muigizaji sjui kama hana mtu na ustaa ote alonao
Katk haya kuna ukwel? Mbona dada zetu wepec kukubali matokeo. Una hakika gan kam huyo mwanaume hana mke, alaf wengne watu wazm kbs na familia zao.
MTU hawezi kuwa namke akaja kufanya madudu mbele ya camera,asilimia kubwa watakuwa niwanaume mafilauni walioshindikana!
😃😃Nyie Aibu Naona Mie😃🙌
😂😂😂😂😂we
Haki na Mimi nimeona aibu etii
Mi nimeona aiju had nimeona bora nisome coment
Aibu yanini Sasa
😂😂😂😂😂😂Naona aibu mm
Maishallah nimeipenda hyo
Masha Allah 🤲❤️😘💕💕 alfu mabruki dear.... jamani mbona nasipate na mm
Mimi ❣️
Yani uyo kaka kanifurahisha ❤❤❤❤
Wauouhh tu es vraiment chanceuse ma belle, ton est trop mignon et bon
mimi naomba kuuliza huwa wanapatikana wapi hapa dar es salam
Natamani kua hapa na mke wangu nampenda sana
Congratulations 🎈 watching from Kenya
Noma sana yani wanachaguliwa kama kuku soko la mapinduzi
Mr Right shows ya Tanzania iko more fire than ya kenya. Wakenya ni wingi wa kizungu na hawako romantic
Nimeipenda hii ❤
Jamanii huyu boy siniyule mume wayule dem.wakutembea na bangoo jamanii...nayupo hapo.pia Amina..jamanii
Ndio hata mm nimeshangaa jaman
Ni yeye
@@mohamedaden5881 ndio wa bebi nai eti
Mm ndo nlikua naona najiuliza pekeangu na nlikua naona niukweli huwa watu wanapata Mr right hapa wa maisha
Amina wa buza
Nimeipenda san .munaeza nialika
😍😍😍
Hadi raha jamani, hongera siyara
😂😂😂😂 jamn kumbe CIARA alivishwa Pete ilikuwaje Tena huyu Fred anatrend na Amina
Apo sasa
Hawa wahuni waigizaji tupu hamna ndoa yoyote hapa ni kipindi wameamua kutengeneza watazamaji wengi
Et huyu ni yule fred wa amina aliye tembea na bango au
Hiii Ndo ulikua pambe Ila saaiv Apana wadada mnaoleta Wana nyodo Sana.
Is this real au maigizo? Lakini naona kama kweli hivi. Gonga like niamini kama umeona kweli.Mungu awajalie.
Really jamaa anafanana Na Marehemu Kanumba
Duuh uyu dada anabahati kweli mapenzi sio sura
Nimependa sana kipindi chenu
This is wowoo 👏🏼👍❤🙏
Huyu jamaa kamufanana kanumba kbs au niyeye 🥺
😂😂😂😂
Mi nahic ni yy mweeee!
Amazing name siyara!!
Lkin fred sio poa ulivo fanya broo
Mkaka uyu nimempenda sana hadi amekuja na pete
Iyo machozi mnatoaga wpy Sasa mm Ady
Amezingua kwa sisi wapenda MATAKO
Wow that's amazing
siku zote mimi namtizama IRENE TU...tabasamu lake na uzuri wake nalo daaaah🤩
Tanzania tumefika mbali sana aisee
kwn hii Tanzania
@@sudaissaid8428 Ndiyo
Kanumba in the house 🏘️
Jaman naipenda sana hii app
Duuh wanaume anaongea htr hapa mdada kapigwa na kitu kizito hamna mme hapo
Aaaah kweli kapigwa na kitu kizito sio bure
Upo sahihi anaongea mno
Jamaa Livunja rekodi ni noma xana
Uyo mkaka nimempenda tyu bure
Kumbe amina alizma taaa mda alikuelewa mda sanaa
Mmh walah hii moto saaana
Me to naweza date lakini nikiomba mungu aseme si ww najikata
Sizani kama itatokea show tamu kama hii🤩🤩🤩
Kk ww nihensam sna usije uka mtesa dada wawatu
Kanumba wa pili....anza kucheza Movie
Hii ni maigizo mapya toka uko dar 😂😂🙏
Kwa kweli
Sijui nihamie tz😂
Huyu kamfanana Marehemu Stephen kanumba
Daaaaaah nimekubali hiii kipindi MR.RIGHT
Hiv inakuaga nikwel
Wow !!!!😮😮😮it was so Amazing,so Wonder full, congratulations again sister and brother 🎉🎉🎉😂😂❤❤❤❤❤.i wish you a long life
Mashallah sana wamependezana sana
Amaizing 🎉🎉🎉🎉
Jamani hili pambe nimelipenda
Jamn huyu ni kanunba au Mungu fundiii jamn watu wamefanana
Jaman samahani mm hapa mgeni hii TV mbona sielew hapa n nn hi
Hata mna fanana.