Bro waburundi hatuezi kufanya huo ujinga mwanangu sisi tu mila zetu hio tuaachie wa bongo vitu zao utachukua mtu hujui ni kahaba ama mwizi kisha kihelehele chako uchukue wende ueke ndani bro atapokenyea kila kitu wasichana wengiwao wezi 😂
ss wasukuma wambaya jaman hahahahahahahahahahaha jaman hhhhhhhhhhhhm duh nimefulahi sana kusikia hivyo ss wasukuma noma sana hata mm sicheleweshang akizingua anapita hivi asa huyo anayetaka watu wa mishahara fala tu
Kaka yangu huyu wasukuma hooooyee❤❤❤🎉🎉🎉yupo vizuri saana
Niimeipenda hii Kali kuliko duh mchumba hapo hapo npo Kenya I love Tanzania
ukabila hata mwalim nyerere alikua akipinga sana Watanzania tubadilike
Watching from Arabia Saudi
Love 💕💞💞 greetings to all
Thanks sana love from burundi 🇧🇮 tunawasubili
Bro waburundi hatuezi kufanya huo ujinga mwanangu sisi tu mila zetu hio tuaachie wa bongo vitu zao utachukua mtu hujui ni kahaba ama mwizi kisha kihelehele chako uchukue wende ueke ndani bro atapokenyea kila kitu wasichana wengiwao wezi 😂
@@vincentirakoze1047 mimi soon nafungua yangu burundi wewe kwako unaona ujinga
@@vincentirakoze1047 kweli kbx
nilikuwa najiuliza huyu jamaa waambalulu nilimuona wapi kumbe huku mr right 😂😂 inamaana walishindwana
Ahaaaa igoma moja home boy
One love ❤️😘❤️ form Kenya....I wish one day nije nipate na mm akii
I love it am watching from Kenya
Watching from saudi 🇸🇦 all the best
Hello
Niko congolaise 🇨🇩 but kwenye naishi 🇧🇮
Gara B ndo nini hivyo kunifanya nicheke hivyo🤣🤣🤣🤣 nikiwa na ripot kutoka huko juuu🤣🤣🤣
Jamani chotara wa kisukuma na chagga. Kaka wa watu mpole hana mambo mengi.
Siend hta kwa bunduk hpo
Bola saizi mnaweka ndefu kidogo mana mwanzo tulikuwa tunafika kwenye utamu ndo kanaishia asanteni sana
hello joy
Hiki kipindi kizuri sana
Mpumbavu ww eti sabab msuk, wasukuma wanapenda saana
Halafu hajui wasukuma plas wanyantuzu hiz combination mbili ni fire sema walishatupa title ya wasukuma washamba
Huyo dada mshamba tu wasukuma kaka zangu hawana tatizo
Pia mm natamani nipat chance
Mambo mengne nikujichosha2 izo ps mbili mbovu hicho kijema kifup na huyo mwenye sura mbovu ndio wanachagua wa kuwa oa hapo nicheke kwanza😂😂😂
Plz naomba kujua niwp mnapatikana
🤣🤣wasukumaaa..
Watching from Germany, I'm very impressed
Hy my sister how are you
Me Too Ka Faustine
Hy
Where Germany
Jmn hiki kipindi naenjoy balaa🤗
I love ❤ from Arusha Tanzania hellow
Nomaaaa
Kweli atangoja sana
This is it right or ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❣️👏👏👏👏
Jamani sisi wasukuma tuna nn 🥺🥺🥺🥺🥺
🥺🥺🥺🥺
Tunaupendo
Mm sio msukuma lakin wasukuma mna 💕 sana
Wasukuma Wanasukuma
Hhhhhhhhhh je na wahaya tusemeje sasa
Mnaongea sana wekeni na matukio ya tukio husika vide nyingi mnaweka nyie tu mnapiga stori fanyeni kama wafanyavyo Mr Right Kenya mwanzo mwisho
Haha haayaaaa kumekucha kwa mr right nami ninafunga safari nikasake wangu wa maisha haiwezekani bhana nipitwe
Na mpenda Neema kama hajaolewa nipo tayari inshaallah
🤣🤣🤣🤣🤣eti ngosha
Denice Mawala nakuona bhana 😂😂😂
Mshikajiiiiiii noma sanaaaaa
Mujitahidi kuweka ndefu bwana
Safi
Denice aiseee ngoja m ninyamaze bhana 🤐 ila utasubiri sana classmate 😂😂😂
jamaa code zake za tupa kule😀😀😀
Hatari
Maryam kasikia kazi
Kaka mzur Hana tatizo
hii kdg nzur, ni ndefu
Ngoshaaaaa
Nzuri Sana from kenya
Wasukuma wazee wakukimbia familiya hao
Wa Tanzania mnapeana chances mob sana mtu akisha Zima taa hafai kuwasha
Mbona amina apati mchumba
Hahahaah umefanya nianze kumtafuta alipo
It’s Gara b for me 🥰😅😅
Pia nataka mvurana mupoo from 🇧🇮🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭
Whoow
uyo Denice bado hajatoka
Wow
Yani ningekuwa ni Mimi,,,huyo FATMA ata kama asingezima taa ningeng'ang'ana nae huyo huyo,,, namkubali sana huyo sister
Maisha aya jamani 😀😀😀
😂😂😂😂😂😂wenye mishahara
Watching from kenya
Mmmmm wekeni kipande kizima bas
Ina maana gani mnijuze jaman
Et ka singilendi kanawakawaka
Jamanii na Mimi nataka kuwa mistsraiti wa mwanza
Huyo dada hajitambui
Hafadhali mda mmeongeza
Duh!
Pia Mimi ningependa mrembo mmoja..nitampataje?
Tafuta number ya Mr right
Mgetuletea na mrejesho kama wanafunga ndoa
Nawapenda 💛💚 sana mr right
Frida haeleweki
Ivi nikweli au maigizo
Name ov the song pleas
Unazani wenye mishahala ndio wanapesa poleeee
😂makubwa mishahara😊
Love from 🇴🇲 🇧🇮 💖 💖 but wekeni ndefu tafadhali je vous aimes beaucoup 💋 💋 na mimi Nipo Oman 🇴🇲 niko single Nataka Mme wa maisha Ishallah naitwa Mariam
❤
We nae acha kuwadadua wanaume wenzio
Hako kadadq kanajishauwq eti "nataka mwenye mshahara, serikalini "mfyu sura huna😢
Mm na Mtam’s Dinasi
Amini
Inalilah wainalilah rajiun
Yaan binti unasababi za kininga kweli et sababu msukuma dah 😭
Mwanamke ngumi zinamuusu
Mi prob is swahili otherwise I wld have joined the show...thankz
I will teaching you I'm Tanzanian
Maryam mwombe Mungu maanaa😢
Ee pesa wee
Hao ni malaya tu hakuna mapenzi hpo
Walichomfanyia wasukuma dkk 60 show show
jamn ivi nikwel hay mambo?
Airport ya nyoko n ufupi wake huo he mbona ye hafanyii airport atasubir saana
Ndo maana kalifupi nyooo
ss wasukuma wambaya jaman hahahahahahahahahahaha jaman hhhhhhhhhhhhm duh nimefulahi sana kusikia hivyo ss wasukuma noma sana hata mm sicheleweshang akizingua anapita hivi asa huyo anayetaka watu wa mishahara fala tu
Noooomah sanaa
Ajui wasukuma ndo Wenyewe kwenye mapenz
hii show mliiba kenya nyinyi
Kuiga mazuri so mbaya,,,kk wacha wakiwashe tu hatutaki wezi kwa taifa wacha wachape kazi
Iko Kila sehemu kwenye startime ari Nigeria
Dinice wewe unakazi looo mtabaki kwenu milele kwakutaka kitonga
Hapa sihalal kabisa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Jmni hii na mimi nataman nije kumchagua mchumba hapo
Njooo me nipo
Mm apa
Hahaha kumbe wahanga mpo wengi
Me Jay criss money Namimi natafuta Mpenzi Nipo Moshi
Naomba nafasi na mm kama kunauwezekano pls
Kipindi kinanibamba kiukweli 6:48 6:48
Denice yeye ana kipato gani?Maana asiwe anaweka demand kumbe yeye mwenyewe ni mzigo mzito,ambao una tafuta mbebaji.
ha ha ha ha
Ooh my god wasukuma wanapenda nyie achen nimeona kwa dada angu wana mapenz ya kweli
Hahahahahaahah!Wanaekti tyuu siikwer wasanii ata mim baba watoto wangu Msukuma
Jaman Mr right gb mbona hunijibu kaka dada Yako nimekuuliza je na weza mpata mchumba ama la
Naujue sio utani nikweli nahitaji mchumba
Namimi natafuta mume