DULVAN AVAMIWA STUDIO NA MWANAMKE ALIYEMPA UJAUZITO
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 11. 07. 2021
- WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
Nani mwingine yuko hapa kwa kusoma comments đ đ đ đ
Diva wewe! Mungu anakuona kwa kutufanya wapuuzi. Jaribu kufanya program yako iwe ya maana bwana acha kutuletea maigizo ya jukwaani. Tunamkumbuka sana Diva wa Ala Za Roho... Yuuu wapiiii???
Usikute ni kiki, hii c kweli Diva asingemruhusu huyu mwanamke aje moja kwa moja studio za wasafi, watu wa habari nao Wana maadili Yao eti
Waandishi wa habari nao wanatafuta kik jinga hawađ
Mbona huyo dada anaonekana km kamalaya fulani najua đłđłđ€Łđ€Ł
Na vile nampenda dullvanđđ
Watu wanajenga brand zao kwa gharama kubwa sana harafu mtu mmoja mjinga mjinga tu nakuja kuibomoa sekunde moja, pole sana Dully
Uy dada mpuuzi sana tyu
Wanatafuta umaalufu kupitia mastaa alee mimba tu
Amuache dull van wetu
Diva was suppose to ask for evidence to verify her story
Diva is trying so hard
Huyu Dada diva Yuko sensitive sana na Kaz yake.... Huwez amini huyo Dada na dulvan hawan kabisa mahusiano na ni kweli kabisa dulvan hamfaham ila huyo Dada diva ndo alimpanga kunogesha kipind.. Kwa ufund ni trick ku make a tension kwa watu wafatlie hii story.
@@restkalemile5274 tulia mzee acha kuongea kwa hsia zako binafsi .kwanza nikwambie mm namfahak vzr dully na huyo aliwah kua mwanamke wake na alimpa mimba kweli na kama ww ni unawez kusoma picha angalia reaction ya dully kipindi dem anaingia
Yan kama dully alisema hamfahamu hermonize dully alisema hamfahamu jaymond na unamtetea khaaaaaa.......oya ww humjui dully tuulize sis tunae kaanae dully anakukana macho makavu kabisa yani yan nmeshangaa kumtetea dully hv unayajua matukio yke anafanya na anakana hapo hapo muulize chatomandota ndo anamjua dully alimfanya nn na.akakana
Huyu si ndo yule dem amelowa wa harmonize au đłđ€Łđ€Ł
Kasichana kamalaya kalitegeshea mimba. Kuzaa lzm mkubaliane wote wawili inaonyesha maamuzi yako. Watoto wetu wa like kulala na mwanaume siyo kubeba mimba vya kujikinga vingi. Sasa Hilo unalo msichana đ„đ„
Pelekesha
Ukoooooo Iv mimbaaa hiziii unazan unaweza kuzipangia
Tafuteni namna ya kutengeneza uwiano wa mahojiano, kabla hamjamleta huyo dada hebu muulize muhusika unamfahamu fulani then ndio uwaombe kuwakutanisha...... Wasichana wa Sasa wamepagawa maisha magumu Sana kipindi kinakuww Cha uchonganishi sasa
Dulvan umenichekesha balaa!!
Hahaaaaaa dulvan umekutana nae wapi oh imen oh ah he toa maelezo ase yani mtangazaji na muhojiwaji lao moja
Ila hongereni kuwa wabunifu
Ni kweli kabisaaaaaađđKuna kimeonekana kashangaaa sana đkaongopa mhao
Dada Diva huna experience kushughulikia issues kama haya...maoni yangu
Ila wasafi nyiee Mungu anawaona... hivii vitu vyote mmetengeza tu
Umeona
Mwanamke mwenyewe hata hana sura! Hamfai kabisaa Dullvan
Dula vani na uyo dada mapichatu wote mabinti
Kiki tena jamani, yaani Dullvani naye anataka tosha nyimbo
đđ
đđđđđ
đ
đđ
O
Dulvan pokea tu matokea m mdogo wangu mim napendaga sana kitmtim usituangushe
Mhhhh mbona dull van anaonekana kama hamjuinkweli jamani đđđđđ
Icho kipindi si kipo usiku ndo maana kaamua kuvaa pajama moja moja.
Da Diva ujue mzinguaji dem kashoboka na umaarufu dullvani kastuka Ahahahađ€Łđ€Łđ€Ł
Huyu dada alimsingizia Dullvan,nimelowa nimelowa wa Harmonize
Yaaan hii redio aina cha maan zaid ya kiki tu NA ww mbuz unasem una mimba yaan mwezi 4 adi wa 7 ukabebe mimba alikwambia anatak mimba kiki izo maan maongezi na macho tofa uti
Diva ulileta mtu studio hakikisha uko na evidence bongo Kula drama na Kiki mingi sna
I'll matatizo matatizo
Kweli kabisaaaa
Ah kumamazenu acheni Kiki za kisenge matako nyinyi đđđđđđ
Fashen nyengine nazo we duli van iyo nguo siyakulalia ww aaa jamani
đđđ mtoko wa usiku jaman
Ndo ivyo ata na mm nimemwambiađ€Łđ€Ł
Hahaha đđ đ€Łđ€Łđđđđđ€Łđ€Ł duh đđđ
đđđđ
đđđ
Diva anajua kutengeneza movie kabisađđ
Dulvan mungu anakuona
Kikiiiiii, halaf Dem hajui kujieleza, mnatuboa tu
Mtaka yote hukose yote hongera dada Kwa tamaa yako haaa c ungebaki tu na mahusiano yako watu wengine bana....
Huyu mbona Sophie wa amelowađđđđ
Unaharibu intav Zak kwa kukutanisha watu hoji mtu kulingana na history ya mtu na mahusiano yake ya nyuma sio kukutanisha sio ishu unaharibu majina ya watu iko siku watu watashikana hayo mambo waachie shila wadu
Diva unavyofanya ni vzur mno kwa style ya kukutanisha watu studio ila itaboa Kama ni Kiki, plzzzzzzz tunaomba ziwe ni true story, tafit kwanza kusanya ushahidi utakaokulizisha then wakutanishe studio zisiwe Kiki kipindi kitaboa mno, ziwe ni true story tu apo utafanya kipindi chako kiwe juu mawinguni koz wabongo wengi tunapenda ubuyu.
Dully be gentle to that lady
Ye mwenyewe dem
Evidence ya mahusiano ipo wapi?
Nyie wasafi hususan hiki kipindi cha diva tutawachoka mnapenda Sana kitengeneza interview. Kipindi kinageuka Kama maigizo sasa. Achen hizo mambo
Kmaa kwel kadadaaa kan tamaaaa yan kisa super comedy starđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łtuachen umalay tutatombwa mpakaaa đ€Šââïžđ€Šââïžđ€Šââïž
Uyo dada amekosea sana Dulvan
Dulvan wew mpole au kitu gani... Adi unaboa
Ww dada sio mwaminifu, ww n malaya
Huyu Dada mbona ka mwehu mwehu hivi!?
đ€Łđ€Łđ€Ł
đđđđđ
Kiki hi my
Kisha mbona akamwacha mpenzi wake wa kitambo,hana msimamo
Kiki hii fala kwel
Mimba Gan tena s tulikubaliana wewe n mama chogođđđ sema hyo movie inayotoka n kali
Da Zuu kweli umekuwa mpolee.
Duvn vibaya ivyo
Dulvan mbona dada ni mzuri tu jaman Lea mimba mungu hapendi
Yatakuwa ya Lava lava na Lulu diva
Dullvan anajua aisee mpk kwny serious issue bado anachekeshaaa
Mbona rangi ya midomo sawa đđ
Sijapenda
Diva tell the girls to show the evidence
Hhhhhh
uki achwa achika naww dada zaa lea mtori wKo maisha ya endelee
Aonye sms walizochart na dulluvan au ambipu
Nakwambiya tz vituko haviishi ona ilo jicho la dulvany uta đđ
Ishia apo divaa izo ni feeling za watu achana na maisha y watu ata akikubr dulvan atampenda uyo mtoto .fight kwa kudisign vitu vingne
Uyo dullvan kavaa nguo za kulalia
Eti kwa nini anikatakeđđ uliacha mahusiano yako kisa tamaaa pambanađđ
Yaani jama kavaa nguo za kulalaa đźđźđźomg wabongo
Kwa nn kiengerezaa kingii wakatii unowahojii waswahilii wengii
Ye ndo kavamia studio hajavamiwa,Dada yuko real smart ye ndo alimficha na dada alimsikiliza now anaanza kumkataa y asiseme watu tujue
Sikujuiiii hiii!
đ€Łđ€Łhuyu si ni Sophia video vixen wa harmonize amelowa
đđ
Hahahaha
đ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€ŁAjulikani dada, muache tamaa kutaka wasanii wakat mna watu wenu nyooooo!!! Boya we daaaa pumbav
Nakupenda san dadang nataman one day niwe kam ww
Nyoooko Nyie mtajuwana wenyewe
Aaaaaaaa!we dada jamani daaah!muwe mnamuogopa Mungu basi kama kutuogopa sisi binadamu, yaani umezini na mtu kisirisiri unakuja mbele ya ummah kujitangazađ€Šaibu naona Mimi jamani ni fedheha gani hizi tunazozifanya?
Pole dullvan uyo chizi
Mnazinguaaa aiseeeeeeeeeh
Duur hapo dulvan amepatikana kwel kwel
Jamen ku(DM) m2 n vip, nataman kutafuta m2.
Yule kaka kule nyuma ya Dullah anamuangalia huyo Dada kwa dharau nimempenda bure
Kbisa yan
Mmmmh mbona kama sielewii
Hii dunia...đđđđ yaani mwanamke Muongo huyu...
đđđđ dullah nakubali akatezee mbelee hatutaki shoboo
ila haya mambo ni kuaibishana wallah unaweza muita mtu na akagoma kuja kama ndo ivo yani mnaharibu brand ya mtuđđ
diva na wasaf media mumuombe msamaha dilvan mwisho wa siku watu watakuwa wanaogopa kuja kwenye interview kwa kuhofia mnachokifanya
Wanajuwana hao wanafutata kiki tu we subir tutaskia yanayokuja km ya love love na Diva
Huyu mwongo!! đ Dada mwongo wewee
đđđWanwake sikuhizi tunakwama wapi mbn hivyo ss mapenzi yakumlazimishana hayo veeep jmn dah
Mbona huyu did ni kijikomavuuu tofauti na huyu kk dulvan
đ„°
Duuh hii noma sana
Uyo dully van mwenyewe Gash pela
Inamaana angepata mwnume zaidi y dullvan angemuacha
Kwel kw reaction hio mmb yk
Ndio mana nasemaga madeni wa mjini wauza uchi mjini apo ndio watanzania ndio mmeamini siku zote muuza uchi akiwa na mimba anaangaika sana kumtafuta wa kumpakazia mimba ilo ni tatizo sana
Mbona mdada anaonekana mkubwa kwa dullyvan
Dada mwehu,mwehu na ni mzee pia
Nguo za kulalia ni fashion skuiz?
đ€Łđ€Łđ€Ł
Yan ata dullavan amesuprise n kwel amji Yan dah ata mm nmeshangaaa jmn wa dada muwe mnatafuta watu wa kuwasingizia saa dullavan jmn
đđđeti jamani mtu anamnyari kabisađ€Łđ€Łđ€Ł
Dulvan mbwa uyo anajifanya hamjua akati kaingia 2 dulvan aka change
Hayo macho ya Kaka mwigizaji
Yeye ndie mwenye mimba watu wawili wamelala Pamoja utawajua tu so take your responsibility for your pregnancy
Hii radio mnaiyaribu ushauri msiifanye kama mnatazama wenyew sawa ila kama na sisi tunatazama mnaenda kuaribu hii
Nacheka aaaaStudio kugeuka mahakama au sehemu ya msutano mtangazaji ageuka kuwa hakimu
Hahahaaa mbona kutakana kwenye matv
Vanii vaniiii jmn dada kijach tuache kwanzaaa mnatukuzishaaaa bureee
Diva watu wataanza kukimbia interviews zako
Huyu kaka ni sukar ya warembo
Hahahahahahaaaa. Jmn nyie watu watakuja kupigana humo studio mfungiw tena wasafi
Jamani wakubwa tushaelewa huyo mdada na dulvan wamejigijigi hao dull asikatae