DULVAN AVAMIWA STUDIO NA MWANAMKE ALIYEMPA UJAUZITO

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 11. 07. 2021
  • WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 729

  • @nataliatheo4875
    @nataliatheo4875 Pƙed 2 lety +8

    Nani mwingine yuko hapa kwa kusoma comments 😅😅😅😅

  • @gamatajr3699
    @gamatajr3699 Pƙed 2 lety +17

    Diva wewe! Mungu anakuona kwa kutufanya wapuuzi. Jaribu kufanya program yako iwe ya maana bwana acha kutuletea maigizo ya jukwaani. Tunamkumbuka sana Diva wa Ala Za Roho... Yuuu wapiiii???

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 Pƙed 2 lety +22

    Usikute ni kiki, hii c kweli Diva asingemruhusu huyu mwanamke aje moja kwa moja studio za wasafi, watu wa habari nao Wana maadili Yao eti

    • @wamoroboy8963
      @wamoroboy8963 Pƙed 2 lety

      Waandishi wa habari nao wanatafuta kik jinga hawa😠

  • @damarisogoti316
    @damarisogoti316 Pƙed 2 lety +13

    Mbona huyo dada anaonekana km kamalaya fulani najua đŸ˜łđŸ˜łđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @nancymwangi6455
    @nancymwangi6455 Pƙed 2 lety +7

    Na vile nampenda dullvan😍😍

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Pƙed 2 lety +9

    Watu wanajenga brand zao kwa gharama kubwa sana harafu mtu mmoja mjinga mjinga tu nakuja kuibomoa sekunde moja, pole sana Dully

  • @mcfidel2927
    @mcfidel2927 Pƙed 2 lety +32

    Diva was suppose to ask for evidence to verify her story

    • @blessedemily3652
      @blessedemily3652 Pƙed 2 lety +1

      Diva is trying so hard

    • @restkalemile5274
      @restkalemile5274 Pƙed 2 lety +2

      Huyu Dada diva Yuko sensitive sana na Kaz yake.... Huwez amini huyo Dada na dulvan hawan kabisa mahusiano na ni kweli kabisa dulvan hamfaham ila huyo Dada diva ndo alimpanga kunogesha kipind.. Kwa ufund ni trick ku make a tension kwa watu wafatlie hii story.

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 Pƙed rokem

      @@restkalemile5274 tulia mzee acha kuongea kwa hsia zako binafsi .kwanza nikwambie mm namfahak vzr dully na huyo aliwah kua mwanamke wake na alimpa mimba kweli na kama ww ni unawez kusoma picha angalia reaction ya dully kipindi dem anaingia
      Yan kama dully alisema hamfahamu hermonize dully alisema hamfahamu jaymond na unamtetea khaaaaaa.......oya ww humjui dully tuulize sis tunae kaanae dully anakukana macho makavu kabisa yani yan nmeshangaa kumtetea dully hv unayajua matukio yke anafanya na anakana hapo hapo muulize chatomandota ndo anamjua dully alimfanya nn na.akakana

  • @asiamikidadi3835
    @asiamikidadi3835 Pƙed rokem +1

    Huyu si ndo yule dem amelowa wa harmonize au đŸ˜łđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @kellyngogo3319
    @kellyngogo3319 Pƙed 2 lety +2

    Kasichana kamalaya kalitegeshea mimba. Kuzaa lzm mkubaliane wote wawili inaonyesha maamuzi yako. Watoto wetu wa like kulala na mwanaume siyo kubeba mimba vya kujikinga vingi. Sasa Hilo unalo msichana đŸ”„đŸ”„

    • @naimakombo4576
      @naimakombo4576 Pƙed 2 lety

      Pelekesha
      Ukoooooo Iv mimbaaa hiziii unazan unaweza kuzipangia

  • @mcpaulmkopa4798
    @mcpaulmkopa4798 Pƙed 2 lety

    Tafuteni namna ya kutengeneza uwiano wa mahojiano, kabla hamjamleta huyo dada hebu muulize muhusika unamfahamu fulani then ndio uwaombe kuwakutanisha...... Wasichana wa Sasa wamepagawa maisha magumu Sana kipindi kinakuww Cha uchonganishi sasa

  • @zachbula624
    @zachbula624 Pƙed 2 lety +3

    Dulvan umenichekesha balaa!!

  • @bahatimboya3224
    @bahatimboya3224 Pƙed 2 lety +4

    Hahaaaaaa dulvan umekutana nae wapi oh imen oh ah he toa maelezo ase yani mtangazaji na muhojiwaji lao moja

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 Pƙed 2 lety +3

    Ila hongereni kuwa wabunifu

  • @rym5767
    @rym5767 Pƙed 2 lety +2

    Ni kweli kabisaaaaaa😃😃Kuna kimeonekana kashangaaa sana 😃kaongopa mhao

  • @queentermboka495
    @queentermboka495 Pƙed 2 lety +14

    Dada Diva huna experience kushughulikia issues kama haya...maoni yangu

  • @mrdaniel5223
    @mrdaniel5223 Pƙed 2 lety +14

    Ila wasafi nyiee Mungu anawaona... hivii vitu vyote mmetengeza tu

  • @esthermuthoni3763
    @esthermuthoni3763 Pƙed 2 lety +2

    Mwanamke mwenyewe hata hana sura! Hamfai kabisaa Dullvan

  • @alain2139
    @alain2139 Pƙed 2 lety +39

    Kiki tena jamani, yaani Dullvani naye anataka tosha nyimbo

  • @happyrems205
    @happyrems205 Pƙed 2 lety +1

    Dulvan pokea tu matokea m mdogo wangu mim napendaga sana kitmtim usituangushe

  • @evandosimboro1364
    @evandosimboro1364 Pƙed 2 lety +7

    Mhhhh mbona dull van anaonekana kama hamjuinkweli jamani 😂😂😂😂😂

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Pƙed 2 lety

      Icho kipindi si kipo usiku ndo maana kaamua kuvaa pajama moja moja.

  • @mr.pilipili5289
    @mr.pilipili5289 Pƙed 2 lety +4

    Da Diva ujue mzinguaji dem kashoboka na umaarufu dullvani kastuka AhahahađŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 Pƙed rokem +1

    Huyu dada alimsingizia Dullvan,nimelowa nimelowa wa Harmonize

  • @fanjafanja4022
    @fanjafanja4022 Pƙed 2 lety +1

    Yaaan hii redio aina cha maan zaid ya kiki tu NA ww mbuz unasem una mimba yaan mwezi 4 adi wa 7 ukabebe mimba alikwambia anatak mimba kiki izo maan maongezi na macho tofa uti

  • @suzanmukuhi2961
    @suzanmukuhi2961 Pƙed 2 lety +22

    Diva ulileta mtu studio hakikisha uko na evidence bongo Kula drama na Kiki mingi sna

  • @mahmoudma5930
    @mahmoudma5930 Pƙed 2 lety +1

    Ah kumamazenu acheni Kiki za kisenge matako nyinyi 😃😃😃😃😃😃

  • @yussufhussein1954
    @yussufhussein1954 Pƙed 2 lety +14

    Fashen nyengine nazo we duli van iyo nguo siyakulalia ww aaa jamani

    • @merryabiaza711
      @merryabiaza711 Pƙed 2 lety

      😂😂😂 mtoko wa usiku jaman

    • @sabrinasab2910
      @sabrinasab2910 Pƙed 2 lety

      Ndo ivyo ata na mm nimemwambiađŸ€ŁđŸ€Ł

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Pƙed 2 lety

      Hahaha 😂😂 đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ˜‚đŸ˜ƒđŸ˜‚đŸ˜‚đŸ€ŁđŸ€Ł duh 🙄🙄🙄

    • @ramearfe9509
      @ramearfe9509 Pƙed 2 lety

      😂😂😂😂

    • @ramearfe9509
      @ramearfe9509 Pƙed 2 lety

      😂😂😂

  • @Safibritney15
    @Safibritney15 Pƙed 2 lety

    Diva anajua kutengeneza movie kabisa😂😂

  • @waziriramadhani2198
    @waziriramadhani2198 Pƙed 2 lety

    Dulvan mungu anakuona

  • @shabanmakata7329
    @shabanmakata7329 Pƙed 2 lety +1

    Kikiiiiii, halaf Dem hajui kujieleza, mnatuboa tu

  • @sashabaya1770
    @sashabaya1770 Pƙed rokem +1

    Mtaka yote hukose yote hongera dada Kwa tamaa yako haaa c ungebaki tu na mahusiano yako watu wengine bana....

  • @elibarikiyohana2371
    @elibarikiyohana2371 Pƙed rokem +1

    Huyu mbona Sophie wa amelowa😂😂😂😂

  • @aminachingwalu2850
    @aminachingwalu2850 Pƙed 2 lety

    Unaharibu intav Zak kwa kukutanisha watu hoji mtu kulingana na history ya mtu na mahusiano yake ya nyuma sio kukutanisha sio ishu unaharibu majina ya watu iko siku watu watashikana hayo mambo waachie shila wadu

  • @davidbahati8327
    @davidbahati8327 Pƙed 2 lety +2

    Diva unavyofanya ni vzur mno kwa style ya kukutanisha watu studio ila itaboa Kama ni Kiki, plzzzzzzz tunaomba ziwe ni true story, tafit kwanza kusanya ushahidi utakaokulizisha then wakutanishe studio zisiwe Kiki kipindi kitaboa mno, ziwe ni true story tu apo utafanya kipindi chako kiwe juu mawinguni koz wabongo wengi tunapenda ubuyu.

  • @evalinmwita3193
    @evalinmwita3193 Pƙed 2 lety +4

    Dully be gentle to that lady

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 Pƙed 2 lety

    Ye mwenyewe dem

  • @debraholwal5069
    @debraholwal5069 Pƙed 2 lety +6

    Evidence ya mahusiano ipo wapi?

  • @rajimadope6465
    @rajimadope6465 Pƙed 2 lety

    Nyie wasafi hususan hiki kipindi cha diva tutawachoka mnapenda Sana kitengeneza interview. Kipindi kinageuka Kama maigizo sasa. Achen hizo mambo

  • @thresherjordan6829
    @thresherjordan6829 Pƙed 2 lety +7

    Kmaa kwel kadadaaa kan tamaaaa yan kisa super comedy starđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Łtuachen umalay tutatombwa mpakaaa đŸ€Šâ€â™€ïžđŸ€Šâ€â™€ïžđŸ€Šâ€â™€ïž

  • @janesiwingwa3142
    @janesiwingwa3142 Pƙed 2 lety

    Uyo dada amekosea sana Dulvan

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Pƙed 2 lety

    Dulvan wew mpole au kitu gani... Adi unaboa

  • @magrethkihiyo6414
    @magrethkihiyo6414 Pƙed 2 lety +2

    Ww dada sio mwaminifu, ww n malaya

  • @fitwithgeetyga5219
    @fitwithgeetyga5219 Pƙed 2 lety +31

    Huyu Dada mbona ka mwehu mwehu hivi!?

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 Pƙed 2 lety +4

    Mimba Gan tena s tulikubaliana wewe n mama chogo😂😂😂 sema hyo movie inayotoka n kali

  • @vailetatilio2493
    @vailetatilio2493 Pƙed 2 lety

    Da Zuu kweli umekuwa mpolee.

  • @nedmonad1175
    @nedmonad1175 Pƙed 2 lety

    Duvn vibaya ivyo

  • @Binladen48
    @Binladen48 Pƙed 2 lety

    Dulvan mbona dada ni mzuri tu jaman Lea mimba mungu hapendi

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi1141 Pƙed 2 lety +2

    Yatakuwa ya Lava lava na Lulu diva

  • @johnsonmosha4303
    @johnsonmosha4303 Pƙed 2 lety

    Dullvan anajua aisee mpk kwny serious issue bado anachekeshaaa

  • @sylviaqatarqatar8361
    @sylviaqatarqatar8361 Pƙed 2 lety +2

    Mbona rangi ya midomo sawa 😁😁

  • @maonitalk8554
    @maonitalk8554 Pƙed 2 lety

    Sijapenda

  • @suzanmukuhi2961
    @suzanmukuhi2961 Pƙed 2 lety +18

    Diva tell the girls to show the evidence

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 Pƙed rokem

    uki achwa achika naww dada zaa lea mtori wKo maisha ya endelee

  • @mayroseclemence99
    @mayroseclemence99 Pƙed 2 lety +4

    Aonye sms walizochart na dulluvan au ambipu

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 Pƙed 2 lety +1

    Nakwambiya tz vituko haviishi ona ilo jicho la dulvany uta 😀😀

  • @lazarosamweli5730
    @lazarosamweli5730 Pƙed 2 lety

    Ishia apo divaa izo ni feeling za watu achana na maisha y watu ata akikubr dulvan atampenda uyo mtoto .fight kwa kudisign vitu vingne

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 Pƙed 2 lety +1

    Uyo dullvan kavaa nguo za kulalia

  • @prinsecmerryprinsec3059
    @prinsecmerryprinsec3059 Pƙed 2 lety +3

    Eti kwa nini anikatake😀😀 uliacha mahusiano yako kisa tamaaa pambana😂😂

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 Pƙed rokem

    Yaani jama kavaa nguo za kulalaa 😼😼😼omg wabongo

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 Pƙed 2 lety +1

    Kwa nn kiengerezaa kingii wakatii unowahojii waswahilii wengii

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 Pƙed 2 lety +1

    Ye ndo kavamia studio hajavamiwa,Dada yuko real smart ye ndo alimficha na dada alimsikiliza now anaanza kumkataa y asiseme watu tujue

  • @najmanyoni2751
    @najmanyoni2751 Pƙed 2 lety

    Sikujuiiii hiii!

  • @amoskija6577
    @amoskija6577 Pƙed rokem +3

    đŸ€ŁđŸ€Łhuyu si ni Sophia video vixen wa harmonize amelowa

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Pƙed 2 lety +9

    đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁAjulikani dada, muache tamaa kutaka wasanii wakat mna watu wenu nyooooo!!! Boya we daaaa pumbav

  • @eglahjason6558
    @eglahjason6558 Pƙed 2 lety +1

    Nakupenda san dadang nataman one day niwe kam ww

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 Pƙed 2 lety +1

    Nyoooko Nyie mtajuwana wenyewe

  • @khafsayahya4066
    @khafsayahya4066 Pƙed 2 lety +7

    Aaaaaaaa!we dada jamani daaah!muwe mnamuogopa Mungu basi kama kutuogopa sisi binadamu, yaani umezini na mtu kisirisiri unakuja mbele ya ummah kujitangazađŸ€Šaibu naona Mimi jamani ni fedheha gani hizi tunazozifanya?

  • @aminangombe8815
    @aminangombe8815 Pƙed rokem

    Pole dullvan uyo chizi

  • @sadickgrace9
    @sadickgrace9 Pƙed 2 lety

    Mnazinguaaa aiseeeeeeeeeh

  • @ferdnandphilimonntunda3704

    Duur hapo dulvan amepatikana kwel kwel

  • @abokrarshamsan7963
    @abokrarshamsan7963 Pƙed 2 lety

    Jamen ku(DM) m2 n vip, nataman kutafuta m2.

  • @husnahamisi8947
    @husnahamisi8947 Pƙed 2 lety +4

    Yule kaka kule nyuma ya Dullah anamuangalia huyo Dada kwa dharau nimempenda bure

  • @lightnesstippe9006
    @lightnesstippe9006 Pƙed 2 lety

    Mmmmh mbona kama sielewii

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Pƙed rokem

    Hii dunia...😀😀😀😀 yaani mwanamke Muongo huyu...

  • @saadanswaleh2213
    @saadanswaleh2213 Pƙed 2 lety

    😂😂😂😂 dullah nakubali akatezee mbelee hatutaki shoboo

  • @fairamkhan4744
    @fairamkhan4744 Pƙed 2 lety +1

    ila haya mambo ni kuaibishana wallah unaweza muita mtu na akagoma kuja kama ndo ivo yani mnaharibu brand ya mtu🙆🙆

  • @davidmwango9388
    @davidmwango9388 Pƙed 2 lety +1

    diva na wasaf media mumuombe msamaha dilvan mwisho wa siku watu watakuwa wanaogopa kuja kwenye interview kwa kuhofia mnachokifanya

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 Pƙed 2 lety

      Wanajuwana hao wanafutata kiki tu we subir tutaskia yanayokuja km ya love love na Diva

  • @mishymorgani5966
    @mishymorgani5966 Pƙed 2 lety +1

    Huyu mwongo!! 😂 Dada mwongo wewee

  • @shrefa123moosa7
    @shrefa123moosa7 Pƙed 2 lety +4

    😁😁😁Wanwake sikuhizi tunakwama wapi mbn hivyo ss mapenzi yakumlazimishana hayo veeep jmn dah

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 Pƙed rokem

    Mbona huyu did ni kijikomavuuu tofauti na huyu kk dulvan

  • @mohammedmkapanda5646
    @mohammedmkapanda5646 Pƙed 2 lety +3

    đŸ„°

  • @remigiusrespicius1856
    @remigiusrespicius1856 Pƙed 2 lety

    Duuh hii noma sana

  • @hatibukhamisi133
    @hatibukhamisi133 Pƙed 2 lety

    Uyo dully van mwenyewe Gash pela

  • @magrethkihiyo6414
    @magrethkihiyo6414 Pƙed 2 lety

    Inamaana angepata mwnume zaidi y dullvan angemuacha

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 Pƙed 2 lety +4

    Kwel kw reaction hio mmb yk

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 Pƙed 2 lety

    Ndio mana nasemaga madeni wa mjini wauza uchi mjini apo ndio watanzania ndio mmeamini siku zote muuza uchi akiwa na mimba anaangaika sana kumtafuta wa kumpakazia mimba ilo ni tatizo sana

  • @annievibes8794
    @annievibes8794 Pƙed 2 lety

    Mbona mdada anaonekana mkubwa kwa dullyvan

  • @vanessagathoni8947
    @vanessagathoni8947 Pƙed 2 lety

    Dada mwehu,mwehu na ni mzee pia

  • @mozakamisa1490
    @mozakamisa1490 Pƙed 2 lety +3

    Nguo za kulalia ni fashion skuiz?

  • @bantonyjustin7642
    @bantonyjustin7642 Pƙed 2 lety +1

    Yan ata dullavan amesuprise n kwel amji Yan dah ata mm nmeshangaaa jmn wa dada muwe mnatafuta watu wa kuwasingizia saa dullavan jmn

    • @blackcolour8183
      @blackcolour8183 Pƙed 2 lety +1

      😂😂😂eti jamani mtu anamnyari kabisađŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 Pƙed 2 lety

    Dulvan mbwa uyo anajifanya hamjua akati kaingia 2 dulvan aka change

  • @rachelmliwa9830
    @rachelmliwa9830 Pƙed 2 lety

    Hayo macho ya Kaka mwigizaji

  • @reneejollie5117
    @reneejollie5117 Pƙed 2 lety

    Yeye ndie mwenye mimba watu wawili wamelala Pamoja utawajua tu so take your responsibility for your pregnancy

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Pƙed 2 lety

    Hii radio mnaiyaribu ushauri msiifanye kama mnatazama wenyew sawa ila kama na sisi tunatazama mnaenda kuaribu hii

  • @janechacky3810
    @janechacky3810 Pƙed 2 lety

    Nacheka aaaaStudio kugeuka mahakama au sehemu ya msutano mtangazaji ageuka kuwa hakimu

  • @ayoublupande3987
    @ayoublupande3987 Pƙed 2 lety +2

    Hahahaaa mbona kutakana kwenye matv

  • @thresherjordan6829
    @thresherjordan6829 Pƙed 2 lety

    Vanii vaniiii jmn dada kijach tuache kwanzaaa mnatukuzishaaaa bureee

  • @rayyanabdallah8343
    @rayyanabdallah8343 Pƙed 2 lety +1

    Diva watu wataanza kukimbia interviews zako

  • @petywoiso8909
    @petywoiso8909 Pƙed 2 lety

    Huyu kaka ni sukar ya warembo

  • @husnaali36
    @husnaali36 Pƙed 2 lety +3

    Hahahahahahaaaa. Jmn nyie watu watakuja kupigana humo studio mfungiw tena wasafi

  • @mzozofilmproductionm-f-p1744

    Jamani wakubwa tushaelewa huyo mdada na dulvan wamejigijigi hao dull asikatae