Mbarikiwa AMEMSIFIA MPINA. Huyo ni TAJIRI kuliko WABUNGE WOTE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024

Komentáře • 26

  • @MagrethKatondo-qs9oz

    Utu wema ni hazina kubwa mbele za mungu. Ee Mungu tusaidie kuenenda kwa kadiri ya mapenzi yako. Zaidi sana kutenda haki na kuwajali wanyonge ambao ndiyo mfano wa sura yako. Tunapokuabudu tukuabudu kwa moyo na kweli bila unafiki. Mungu utuhurumie

  • @Meiruzibwe
    @Meiruzibwe Před 9 dny +1

    Mungu amekuweka kwa wakati muhimu sana 🙏
    Mch. Mbarikiwa wewe umebarikiwa songa mbele ulipo nipo🙏✍️

  • @DaudLucas-qj3mp
    @DaudLucas-qj3mp Před dnem

    Sauti ya mungu hawezi kunyamazishwa na mwanadamu asieijua kesho yake.

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 9 dny +2

    Mm naombea sana sana tena sana ire ndege iriopita kure irani na malawi ingepita na huku tanzania ipunguze wezi

  • @josephkmarwa7425
    @josephkmarwa7425 Před 6 dny

    Mpina..umuhimu..wako..hapa..duniani..unaujua..watanzania..wengi..tuko..pamoja..kwa..mungu..ushi..maisha..marefu..amen

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 9 dny +2

    Be blessed 🙏🙏 mbunge mpina

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk Před 9 dny +2

    Mungu akusimamie mbarikiwa kwa kuliona hilo jamani.. Mpina tumchangia kea lolote..

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Před 9 dny +1

    Mungu azidi kukutumia kadri apendavyo! 🎉🎉🎉🎉

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i Před 9 dny +1

    Ubarikiwe mtumishi mpina ni mtu wakuingwa mfano wa Makufuli

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 Před 9 dny

    Nimekukubali Kweli na Ujumbe Umefika hata kama Awabadiliki Tuwashitaki kwa Mungu.

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv

    HAKIKA MPINA MUNGU AKUBALIKI SANA WATUMISHI WA MUNGU WANAKUOMBEA KAMA UNAVYO ONA

  • @KamardinTebe
    @KamardinTebe Před dnem

    Mpina alijitowa Sadaka kwa ajili ya watanzani

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před 8 dny

    Covid mnawaonea sana,mbona wabunge wa CCM ndo kimbelembe kumtosa Mpina na kushinddwa kuwatetea watanzania.

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o Před 8 dny

    Kweli gwakukaja Mpina waMemuonea sana.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 9 dny

    Kweli mubalikiwa ukiwa muoga kama ndugayi mama mama nimekosa kusema nchi imeuzwa

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 9 dny

    Mpina heli ufukuzwa kuliko kua chawa spika Baki na covd19

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 Před 9 dny

    Hakika atalipwa mbinguni na duniani

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 Před 10 dny

    Nimependa muda clip imeruka

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa  Před 9 dny

      Hahahaha baba bado tupo tunatafuta kufunua majina yetu

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 Před 9 dny +3

    Mchungaji huyu anaongea kweli

    • @SamackIshirin
      @SamackIshirin Před 9 dny

      Bwana yesu asifiwe sana mtumishi wa mungu mbarikiwa ongereni sana kazi ya mungu

    • @user-xh8kd9ze7o
      @user-xh8kd9ze7o Před 9 dny +1

      Anaongea kweli mtupu

  • @charlesphilipo3533
    @charlesphilipo3533 Před 7 dny

    Bakisha maneno ,,,unaonywa kila mara lakini wapi,,,,punguza matusi hubiri neno la Mungu achana na mambo ya siasa

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w Před 6 dny

      Ufahamu wako ni mdogo bila D mbili hutamuelewa mbarikiwa

    • @charlesphilipo3533
      @charlesphilipo3533 Před 6 dny

      @@user-qy7he6cl8w mmefeli sana nyie mnayemtukuza huyo mpuuzi wenu mbinguni hamuendi

    • @gasperelasto8842
      @gasperelasto8842 Před dnem

      😂😂😂😂😂umenichekesha sana​@@user-qy7he6cl8w