Helbeth Mlelwa 🎖️
Helbeth Mlelwa 🎖️
  • 1 592
  • 5 259 064

Video

BONIFACE JACOB AIBUKA NA SAKATA LA "DEUS SOKA" MAHAKAMANI; HUKUMU HII ni kama MMEHALALISHA UTEKAJI
zhlédnutí 21Před 4 hodinami
BONIFACE JACOB AIBUKA NA SAKATA LA "DEUS SOKA" MAHAKAMANI; HUKUMU HII ni kama MMEHALALISHA UTEKAJI
BUNGE NA MAHAKAMA KUU TANZANIA VIMEHALALISHA UTEKAJI KWA HUKUMU HII??
zhlédnutí 60Před 17 hodinami
BUNGE NA MAHAKAMA KUU TANZANIA VIMEHALALISHA UTEKAJI KWA HUKUMU HII??
BUNGE LAANZA KUWASHTUKIA WAHUBIRI WASIO NA UTU. LAMKALIA KOONI ASKOFU MWINGIRA wa EFATHA
zhlédnutí 180Před 5 hodinami
BUNGE LAANZA KUWASHTUKIA WAHUBIRI WASIO NA UTU. LAMKALIA KOONI ASKOFU MWINGIRA wa EFATHA
LIVE; MBARIKIWA AKIIMBA NYIMBO YA KINYAKYUSA KANISANI; NDONGOLELA KYALA GWANGU
zhlédnutí 55Před 5 hodinami
LIVE; MBARIKIWA AKIIMBA NYIMBO YA KINYAKYUSA KANISANI; NDONGOLELA KYALA GWANGU
Mbarikiwa amehamia rasmi kwenye Tenzi za kinyakyusa. Ndongolela Kyala ngwangu (Nitangulie Mungu wa..
zhlédnutí 49Před 5 hodinami
Mbarikiwa amehamia rasmi kwenye Tenzi za kinyakyusa. Ndongolela Kyala ngwangu (Nitangulie Mungu wa..
Tundu Lisu AMEMLIPUA RAIS SAMIA; Wewe ndiwe unayetuma watekaji KUTEKA WATU
zhlédnutí 384Před 7 hodinami
Tundu Lisu AMEMLIPUA RAIS SAMIA; Wewe ndiwe unayetuma watekaji KUTEKA WATU
MBARIKIWA AMPONGEZA NAY WA MITEGO KWA KUIMBA NYIMBO ZA INJILI
zhlédnutí 185Před 7 hodinami
MBARIKIWA AMPONGEZA NAY WA MITEGO KWA KUIMBA NYIMBO ZA INJILI
Mbarikiwa ampazia sauti mtoto wa DEO FILIKUNJOMBE aliyezulumiwa mali za baba na Serikali ya CCM.
zhlédnutí 180Před 10 hodinami
Mbarikiwa ampazia sauti mtoto wa DEO FILIKUNJOMBE aliyezulumiwa mali za baba na Serikali ya CCM.
Jinsi ya kuongeza effects za kufanya video ionekane vizuri. InShort video editor
zhlédnutí 43Před 12 hodinami
Jinsi ya kuongeza effects za kufanya video ionekane vizuri. InShort video editor
NICK SHABOKA, UMETUMWA NA KUZIMU KUHAMASISHA UVAAJI WA SURUALI MAKANISANI
zhlédnutí 137Před 12 hodinami
NICK SHABOKA, UMETUMWA NA KUZIMU KUHAMASISHA UVAAJI WA SURUALI MAKANISANI
Ati, MASANJA AWA MBOGO KWA MANABII WAHUNI. TUACHENI MAIGIZO YA INJILI JAMANI
zhlédnutí 106Před 17 hodinami
Ati, MASANJA AWA MBOGO KWA MANABII WAHUNI. TUACHENI MAIGIZO YA INJILI JAMANI
RPC MALLYA, ALIYEMDHALILISHA BINTI ALIYELAWITIWA, AKALIWA KOONI MPAKA WANAMTOA KITUONI
zhlédnutí 112Před 17 hodinami
RPC MALLYA, ALIYEMDHALILISHA BINTI ALIYELAWITIWA, AKALIWA KOONI MPAKA WANAMTOA KITUONI
TAMKO RASMI LA PADRE KITIMA (TEC) KUHUSU WATU WA NGORONGORO
zhlédnutí 78Před 17 hodinami
TAMKO RASMI LA PADRE KITIMA (TEC) KUHUSU WATU WA NGORONGORO
Ngorongoro kumechafuka tena. Mamlaka waangalieni watu hawa kwa jicho la tatu.
zhlédnutí 103Před 22 hodinami
Ngorongoro kumechafuka tena. Mamlaka waangalieni watu hawa kwa jicho la tatu.
UCHUNGU WAMSHIKA MBARIKIWA MADHABAHUNI. Angua KILIO akiendelea kuhubiri.
zhlédnutí 182Před 22 hodinami
UCHUNGU WAMSHIKA MBARIKIWA MADHABAHUNI. Angua KILIO akiendelea kuhubiri.
MFUMO WA UCHAGUZI TAG UNAACHA VIDONDA KWENYE MIOYO YA WATU
zhlédnutí 196Před 22 hodinami
MFUMO WA UCHAGUZI TAG UNAACHA VIDONDA KWENYE MIOYO YA WATU
HIVI HUU NI MCHANGO AU VIJEMBE??, CCM BAADA YA KUMCHANGIA TUNDU LISSU MIL 5.3
zhlédnutí 147Před dnem
HIVI HUU NI MCHANGO AU VIJEMBE??, CCM BAADA YA KUMCHANGIA TUNDU LISSU MIL 5.3
MAKONDA AANZA NA ZIARA YA KUSHTUKIZA AIRPORT; AKAGUA UJENZI UNAOENDELEA
zhlédnutí 171Před dnem
MAKONDA AANZA NA ZIARA YA KUSHTUKIZA AIRPORT; AKAGUA UJENZI UNAOENDELEA
Miisho ya wanasiasa ni ya laana sana kwasababu ya maisha yao
zhlédnutí 64Před 14 dny
Miisho ya wanasiasa ni ya laana sana kwasababu ya maisha yao
Utawala wa CCM waaibika DUNIANI KOTE. Je Rais Samia unaona CHOCHOTE CHA KUREKEBISHA??
zhlédnutí 273Před 14 dny
Utawala wa CCM waaibika DUNIANI KOTE. Je Rais Samia unaona CHOCHOTE CHA KUREKEBISHA??
Wimbo maalum wa kumpongeza na kumuombea HAKIMU aliyehukumu kwa haki kesi ya Mbarikiwa
zhlédnutí 141Před 14 dny
Wimbo maalum wa kumpongeza na kumuombea HAKIMU aliyehukumu kwa haki kesi ya Mbarikiwa
Mchungaji atoa TAMKO kuzuiliwa kwa TUNDU LISSU na VIJANA wa CHADEMA; Vijana wote nchi hii ni CCM?
zhlédnutí 413Před 14 dny
Mchungaji atoa TAMKO kuzuiliwa kwa TUNDU LISSU na VIJANA wa CHADEMA; Vijana wote nchi hii ni CCM?
Shamla Shamla za Ibada ya ndoa, KIKOSI KAZI CHA INJILI. Kumbe kanisa hili nalo hua wanaoa.
zhlédnutí 112Před 14 dny
Shamla Shamla za Ibada ya ndoa, KIKOSI KAZI CHA INJILI. Kumbe kanisa hili nalo hua wanaoa.
GODBLESS LEMA awashiwa moto na Mch KWA KUMTUKANA MAKONDA. LEMA ACHA ROHO MBAYA HIYO
zhlédnutí 345Před 14 dny
GODBLESS LEMA awashiwa moto na Mch KWA KUMTUKANA MAKONDA. LEMA ACHA ROHO MBAYA HIYO
BILA WOGA, AJITOKEZA KUMPINGA RPC. MULIRO. KWANINI ASKARI WALIOLAWITI NA KUBAKA HAWAJAKAMATWA??
zhlédnutí 289Před 14 dny
BILA WOGA, AJITOKEZA KUMPINGA RPC. MULIRO. KWANINI ASKARI WALIOLAWITI NA KUBAKA HAWAJAKAMATWA??
IPM USIINGIZE UGANGA WA KIENYEJI KANISANI. Hayo unayoyasema yako wapi kwenye biblia??
zhlédnutí 273Před 21 dnem
IPM USIINGIZE UGANGA WA KIENYEJI KANISANI. Hayo unayoyasema yako wapi kwenye biblia??
MBARIKIWA AMVAA IPM KWA KUTANGAZA ITIKADI ZA UGANGA KANISANI
zhlédnutí 946Před 21 dnem
MBARIKIWA AMVAA IPM KWA KUTANGAZA ITIKADI ZA UGANGA KANISANI
Mtoto wa Mbarikiwa aamua kuomba msamaha kwa Rev. Magembe na wahubiri aliowaambia WANALIUA KANISA.
zhlédnutí 1,8KPřed 21 dnem
Mtoto wa Mbarikiwa aamua kuomba msamaha kwa Rev. Magembe na wahubiri aliowaambia WANALIUA KANISA.
RAIS TLS; WAKILI MWABUKUSI APAZA SAUTI YAKE JUU YA KUKOSEKANA KWA MAKONDA
zhlédnutí 1,1KPřed 21 dnem
RAIS TLS; WAKILI MWABUKUSI APAZA SAUTI YAKE JUU YA KUKOSEKANA KWA MAKONDA

Komentáře

  • @user-hd6il8ni2f
    @user-hd6il8ni2f Před 3 hodinami

    Kwa majibu hayo na maelezo ya awali,, ni dalili tosha kua wananchi hayupo salama.

  • @joshuangonya-jt5dj
    @joshuangonya-jt5dj Před 4 hodinami

    Waziri mkuu mwenyewe, anaongea akiwa hajiamini.

  • @joshuangonya-jt5dj
    @joshuangonya-jt5dj Před 4 hodinami

    Spika jibu kwa habari ya wanao tekwa, sio watoto wanao panda chini ya magari na wanao hama nchi.

  • @theophilchangwa6537
    @theophilchangwa6537 Před 6 hodinami

    Hongera sana

  • @roselyimo3676
    @roselyimo3676 Před 8 hodinami

    HIVI KAKA HICHO KINYWA CHAKO WEWE KITAKUPELEKA MBINGUNI? KINYWA KINA UCHAFU MTUPU. UVAAJI WA MTU UNAKUHUSU NINI. ULIZA WALIOGUSA MWILI WA ZUMARIDI KWA MIKONO YAO WAKO WAPI SASA.

  • @josephmaduka-xv8yp
    @josephmaduka-xv8yp Před 9 hodinami

    Tuliipenda wenyewe chaguo letu milele, wacha tuisome namba

  • @josephmaduka-xv8yp
    @josephmaduka-xv8yp Před 9 hodinami

    Ccm oye

  • @joshuangonya-jt5dj
    @joshuangonya-jt5dj Před 9 hodinami

    Fact

  • @JuliusMakwengwe-x3e
    @JuliusMakwengwe-x3e Před 12 hodinami

    Hii ni hatari!!! Sasa

  • @JuliusMakwengwe-x3e
    @JuliusMakwengwe-x3e Před 12 hodinami

    CCM naona haitaki haki ila mungu naonba yasiwe endelevu haya mateso na maumivu

  • @stevensteven4513
    @stevensteven4513 Před 17 hodinami

    Wakenya Tujuane Apa

  • @EzekielCharles-j8x
    @EzekielCharles-j8x Před 19 hodinami

    Amina tunafutilia sana

  • @fridalyanguka1733
    @fridalyanguka1733 Před 22 hodinami

    Ukweli utajulikana Kwa wanaojiita watumishi wa Mungu

  • @AlfredAlfred-yd2mg

    Isaya 1:17

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l Před dnem

    nakweli anajizima data 😭😭lakini izo laana akalaliye kweli ana shindana namungu lakini izo laana zitamkuta mpaka kizazi chake watoto wake wanalala sehemu nzuri alafu watoto wawanawake wenziyo wanalala porini kwekweli subiri kitakacho kukuta tumlaani mpaka kizazi yake

  • @elijiusdaniel9817
    @elijiusdaniel9817 Před dnem

    Pole pole watu wataelewa ni kwanini waga tunawapinga hawa wahubili uchwala,na wao wameanza kuwashutukia.

  • @jimani4529
    @jimani4529 Před dnem

    20. Ninaye Rafiki Naye 1. Ninaye Ratiki naye Alinipenda mbele; Kwa kamba za pendo zake Nimefungwa milele; Aukaza moyo wangu, Uache mageule, Mimi wake, yeye wangu; Ndimi naye milele. 2. Ninaye rafiki ndiye Aliyenifilia; Alimwaga damu yake Kwa watu wote pia; Sina kitu mimi tena, Nikiwa navyo tele; Pia vyote ni amana Ndimi wake milele. 3. Ninaye ratiki naye Uwezo amepewa; Atanilinda mwenyewe, Ju tachukuliwa; Nikitazama Mbinguni, Hupata nguvu tele; Sasa natumika chini, Kisha juu milele. 4. Ninaye rafiki naye, Anao moyo mwema; Ni mwalimu, kiongozi, Mlinzi wa daima; Ni nani wa kunitenga Na mapenzi ya mbele? Kwake nimetia nanga, Nimi wake milele.

  • @FortunateAkaro
    @FortunateAkaro Před dnem

    Sema tupone

  • @user-lp5we9bn9b
    @user-lp5we9bn9b Před 2 dny

    Mungu alikuitaga namna hiyo baba yangu, kila unachokifanya naona roho mtakatifu kufurika ndani ya hicho unachofanya kwakweli, unaneema yakipekee Sana,

  • @LucasKaik-xt8qe
    @LucasKaik-xt8qe Před 2 dny

    Amina mtumishi, Mungu azidi kukutia nguvu.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 2 dny

    Ccm waisike wasisikie maandamano na sheria zake hutaki unataka twendeni tukaandamane kulinda maslai zetu haki zetu kujiondoa ktk utumwa kuwawjibusha viongozi wa bovu ktk serekali yetu maandamano na sheria zake

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 2 dny

    Umoja wetu ni ngumu na mafanikio hapo hapo temeka tulianisha na nguvu kubwa ili na sheria zake hutaki kuandamana kwa kwa umoja wetu tunakuazibu kukupa kinyesi au zaidi ya hayo huo ndio mfumo wa nchi zingine kulinda democracy kwa vyama vya upinzani Visio na serekali ni nguvu ya pamoja na sheria zake hutaki kuandamana tunakuazibu kinyesi au zaidi ya hayo uwe tajiri au masikini au ccm ktk eneo la maandamano unatafuta nn ktk eneo letu maandamano na sheria zake

  • @renatus5687
    @renatus5687 Před 2 dny

    Bangi zinawasumbua nyny akili 0 unt

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 Před 2 dny

    Ila wewe pastor unakuwa kigeu geu watu wakiongea ukweli unawatetea manabii😢 duh

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873

    Yasije kuwa kama Benny Saanane

  • @user-bs9zq8lw5x
    @user-bs9zq8lw5x Před 3 dny

    Dah Mungu akutie Nguvu baba wa Imani natamani hii Injili . Amen

  • @DjJohnBashir-oy7cx
    @DjJohnBashir-oy7cx Před 3 dny

    Mungu ajibu

  • @DjJohnBashir-oy7cx
    @DjJohnBashir-oy7cx Před 3 dny

    Mungu atatenda

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i Před 4 dny

    Kweli ccm nichama cha ajabu

  • @Evangelist-Joseph-sikanyika

    Amina sana May God bless you Servant of our Lord Jesus christ 🙏

  • @norahfrank
    @norahfrank Před 4 dny

    Mungu Atabaku kuwa Mungu tu. Hakuna mwovu atakaesalia bila adhabu ya Mungu

  • @JoycemsangiJoyce-go9su

    Sasa tufanyeje mwamposa pia ni mtume achen kumuhukumu mungu peke yake ndo anajua kweli iko wapi

  • @annajackson5245
    @annajackson5245 Před 4 dny

    Eeee Mungu wangu nifundishe kui ishi kweli yako. Nime kutenda dhambi mimi nirehemu eee Yesu wangu 😢😢😢😢. Niwe na mwisho mwema nika ione ile Mbingu mpya.

  • @benikayange2605
    @benikayange2605 Před 4 dny

    Tatizo dini zimekua nyingi uhuni tu

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 Před 4 dny

    Chura kiziwi

  • @TATUMSUMSA
    @TATUMSUMSA Před 4 dny

    Watanzania wana akili kubwa kuliko nyie mnavyosema nyie subirini uchaguzi

  • @joscamkulalinda6340

    Asante mungu awabaliki

  • @RodaSteven-ci6ne
    @RodaSteven-ci6ne Před 5 dny

    MUNGU simama na machozi ya Hawa wamama,yasilete laana katika Nchi

  • @healingclinic698
    @healingclinic698 Před 5 dny

    Magembe ungefungua huduma yako tu ungelea kizazi chenye kubeba chapa za kristo kama ulivyozibeba sasa changamoto unapigana vita ndani ya sehemu ya nyumba iliyobomoka

  • @GodfreySilvesta
    @GodfreySilvesta Před 5 dny

    Jamani hizi siki za mwisho ni hatariiii tutubu yesu yupo mlangoni....watu wamegeuza injili ....

  • @estafuraha
    @estafuraha Před 5 dny

    Ameeen sana

  • @elijiusdaniel9817
    @elijiusdaniel9817 Před 5 dny

    Amen mtumishi wa Mungu tunashukuru kwa mafundisho haya.

  • @user-nm4vp2tn7y
    @user-nm4vp2tn7y Před 5 dny

    Amina Mtumishi umeeleweka sana 🙏🙏🙏👍

  • @user-uv6km8dg1z
    @user-uv6km8dg1z Před 5 dny

    Aminaaaaa

  • @PauloPakasi
    @PauloPakasi Před 5 dny

    Mungu akubariki piya akukulinde na maadui

  • @user-xq5os3pn9d
    @user-xq5os3pn9d Před 6 dny

    Ubarikiwe mpendwa upendwaye na bwana

  • @Elishamollel-p9x
    @Elishamollel-p9x Před 6 dny

    One point umenena Sana 😢😢😢 rais katili Sana hana utu na watu

  • @user-jj3os9bx6m
    @user-jj3os9bx6m Před 6 dny

    Kwahiyo unamtuhumu mwamposa mzee unakosea

  • @user-jj3os9bx6m
    @user-jj3os9bx6m Před 6 dny

    Kwa tuambie maoni yako

  • @EliauMtishbi-os5ky
    @EliauMtishbi-os5ky Před 6 dny

    Mungu uwakumbuke hawa ndugu zetu Wamasai