Kigogo Chadema Tabora atimkia CCM, amfuata Mchungaji Msigwa akiondoka na wawili
Vložit
- čas přidán 8. 07. 2024
- Siku chache baada ya aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM), kigogo mwingine wa chama hicho mkoani Tabora amekikacha chama hicho na kujiunga CCM.
Kiongozi huyo aliyejiunga na CCM akitokea Chadema ni katibu wa chama hicho Wilaya ya Tabora, Maxmillian Jerome ambaye mpaka anajiunga na chama hicho alikuwa katibu wa chama hicho
Katibu huyo alijiunga na chama hicho jana Julai 8, 2024 na kupokewa na Mwenyekiti wa CCM Tabora, Said Nkumba. Nkumba alichaguliwa Julai 4 mwaka huu kuchukua nafasi ya Hassan Kasuvi aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho aliyefariki dunia Februari mwaka huu.
Hana umaarufu wowote
Tamaa huzaa dhambi....na dhambi huzaa mauti...
Kazi ya kununua watu imeanza fisiemu mlaaniwe
Mtanunuliwa saana ! Nyie si mizigo? Kuanzia wewe ni mzigo kwa Taifa na Sacco's ya mbowe akitaka kuuza ,anauza
maCCM watu wa ajabu sana sasa ukimnunua mtu mmoja ndio utairudisha nyuma chadema ni upuuzi mtupu