Kigogo Chadema Tabora atimkia CCM, amfuata Mchungaji Msigwa akiondoka na wawili

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Siku chache baada ya aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM), kigogo mwingine wa chama hicho mkoani Tabora amekikacha chama hicho na kujiunga CCM.
    Kiongozi huyo aliyejiunga na CCM akitokea Chadema ni katibu wa chama hicho Wilaya ya Tabora, Maxmillian Jerome ambaye mpaka anajiunga na chama hicho alikuwa katibu wa chama hicho
    Katibu huyo alijiunga na chama hicho jana Julai 8, 2024 na kupokewa na Mwenyekiti wa CCM Tabora, Said Nkumba. Nkumba alichaguliwa Julai 4 mwaka huu kuchukua nafasi ya Hassan Kasuvi aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho aliyefariki dunia Februari mwaka huu.

Komentáře • 5

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 16 dny +1

    Hana umaarufu wowote

  • @user-zg1hd6no9v
    @user-zg1hd6no9v Před 14 dny

    Tamaa huzaa dhambi....na dhambi huzaa mauti...

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 16 dny +2

    Kazi ya kununua watu imeanza fisiemu mlaaniwe

    • @MohammedAwadh-gq9si
      @MohammedAwadh-gq9si Před 16 dny

      Mtanunuliwa saana ! Nyie si mizigo? Kuanzia wewe ni mzigo kwa Taifa na Sacco's ya mbowe akitaka kuuza ,anauza

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před 16 dny

      maCCM watu wa ajabu sana sasa ukimnunua mtu mmoja ndio utairudisha nyuma chadema ni upuuzi mtupu