NJIA SAHIHI ZA KUWEKA AKIBA | Festo Amos
Vložit
- čas přidán 26. 07. 2022
- NJIA SAHIHI ZA KUWEKA AKIBA | Festo Amos:
Umeshajiuliza kwanini kwatu wengi jambo la kuweka akiba limekuwa ni gumu sana? Sasa kama nawe tatizo hili linakugusa tafadhali fuatilia mpaka mwisho wa somo hili.
.
Ungana na mwalimu Festo Amos akifafanua kwa undani somo hili muhimu kabisa katika elimu ya fedha kwenye maisha yetu.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA FESTO AMOS
Mkufunzi wa elimu ya fedha na mwadishi wa vitabu.
Instagram: @festoamos989
Facebook: Festo S.Amos
You tube: Festo Amos
Phone: (+255)766181367
Email:festoamos989@gmail.com
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ @footballskill01
.
VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
swahilivoiceovers.com
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA VITABU TELEGRAM (BURE):
Moja kwa moja bonyeza Link hii:
BONYEZA👉🏽 t.me/spnbookclub
.
KUPATA MATANGAZO:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Kuweka #Akiba #Festo
Hii nzuri sana
Nimekuelewa sana kaka maana mimi pia siwezagi kuweka akiba.mimi nikiweka akiba najikopaga sana mpaka hela inaisha alaf sijidaigi
Kaz nzr Broo, nahitaji kitabuu
Ahsante sana kaka
THATS TRUE...NA NDIO MAANA MAKING MONEY IS ACTION..
SAVING MONEY IS BEHAVIOR
BUT GROWING MONEY IS SKILL'S
SO TUJENGE TABIA YA KUSAVE PESA..
#ABELNTOBI
Nimekusoma
Asante sana Bro
Naptataje kitabu festo niko moshi kilimanjaro
Jamn Mimi ninatatizo moja nawekuanza kuweka akina lakin najikuta mwisho wa siku naitumia bila kujua
Nikweri 0:49
Asante sana Kwa fundisho lako ,nitafuata kanuni hizi mm ni mmoja wao Kwa Wale wameshindwa kuweka,now I'm ok
Shukrani sana
Vitabu vyako nivipateje
Vitabu vyako vinapatikana wapi na Kwa bei gani?
Me nakiri kua cwezag kueka akiba lakn kupitia SPN najitahid kdg saiv
Huyu Festo kajieleza vizuri ila hajatoa muongozo vitabu tunapataje?
All point ziko poa sana ila kaka punguza speed ya kuongea cause sisi wengine tunakua tunasikiliza neno hadi neno na kulichambua ila ushauri tu kaka
Jitahidi pia kuendana na spidi hiyo..Hiyo ni spidi ya kawaida na unaweza kuirudia video maana ipo tayari CZcams....Ni ushauri tu pia.
Ni ngumu kukariri jitahidi kuandika kwenye notebook unapoona kuna ujumbe unaoweza kukupa hatua, uzuri maneno yote yanasikika pia unaweza kuirudia tena hata zaidi ya mara tano ili uelewe zaidi. Asante sana
JINSI SAHIHI ZA KUWEKA AKIBA
1.Kubali kuwa una tatizo la kutokuweka akiba.
2.Kuwa na Dhamira(Nia) ya kuweka akiba.
3.Weka mkakati wa kujiwekea akiba;
a).Weka katika mfumo wa asilimia.
au
b).Akiba katika mfumo wa kiasi.
4.Anza kuweka akiba papohapo mara baada ya kuweka dhamira.
5.Fanya kwa Muendelezo.
Tanbihi; Mchuzi wa mbwa unywe ungali wa moto..🤣🤣🤣
Umetisha sana mkuu, chukua hatua sasa
Poua
Unaiuzaje kitabu