NJIA SAHIHI ZA KUWEKA AKIBA | Festo Amos

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 07. 2022
  • NJIA SAHIHI ZA KUWEKA AKIBA | Festo Amos:
    Umeshajiuliza kwanini kwatu wengi jambo la kuweka akiba limekuwa ni gumu sana? Sasa kama nawe tatizo hili linakugusa tafadhali fuatilia mpaka mwisho wa somo hili.
    .
    Ungana na mwalimu Festo Amos akifafanua kwa undani somo hili muhimu kabisa katika elimu ya fedha kwenye maisha yetu.
    .
    Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    WASILIANA NA FESTO AMOS
    Mkufunzi wa elimu ya fedha na mwadishi wa vitabu.
    Instagram: @festoamos989
    Facebook: Festo S.Amos
    You tube: Festo Amos
    Phone: (+255)766181367
    Email:festoamos989@gmail.com
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @youtubepesa255
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / @footballskill01
    .
    VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
    swahilivoiceovers.com
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA VITABU TELEGRAM (BURE):
    Moja kwa moja bonyeza Link hii:
    BONYEZA👉🏽 t.me/spnbookclub
    .
    KUPATA MATANGAZO:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    SIMU: (+255) 759 191 076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #Kuweka #Akiba #Festo

Komentáře • 23

  • @AmosiSanga-cn3kn
    @AmosiSanga-cn3kn Před 7 měsíci

    Hii nzuri sana

  • @sadikijoseph3064
    @sadikijoseph3064 Před rokem +5

    Nimekuelewa sana kaka maana mimi pia siwezagi kuweka akiba.mimi nikiweka akiba najikopaga sana mpaka hela inaisha alaf sijidaigi

  • @harunaathumani1672
    @harunaathumani1672 Před rokem +2

    Kaz nzr Broo, nahitaji kitabuu

  • @abdumadaha5348
    @abdumadaha5348 Před rokem +2

    Ahsante sana kaka

  • @abelntobi382
    @abelntobi382 Před rokem +1

    THATS TRUE...NA NDIO MAANA MAKING MONEY IS ACTION..
    SAVING MONEY IS BEHAVIOR
    BUT GROWING MONEY IS SKILL'S
    SO TUJENGE TABIA YA KUSAVE PESA..
    #ABELNTOBI

  • @bensontemu9356
    @bensontemu9356 Před rokem +2

    Nimekusoma

  • @charlesfaida1515
    @charlesfaida1515 Před rokem +2

    Asante sana Bro

  • @user-tu5re7du3i
    @user-tu5re7du3i Před 9 měsíci +2

    Naptataje kitabu festo niko moshi kilimanjaro

  • @user-fc9ox8rl3r
    @user-fc9ox8rl3r Před 6 měsíci

    Jamn Mimi ninatatizo moja nawekuanza kuweka akina lakin najikuta mwisho wa siku naitumia bila kujua

  • @CizaJuma-kq4ng
    @CizaJuma-kq4ng Před 7 měsíci

    Nikweri 0:49

  • @joycemugaka3039
    @joycemugaka3039 Před rokem

    Asante sana Kwa fundisho lako ,nitafuata kanuni hizi mm ni mmoja wao Kwa Wale wameshindwa kuweka,now I'm ok

  • @allybakari7888
    @allybakari7888 Před rokem

    Shukrani sana

  • @sayunielisha735
    @sayunielisha735 Před rokem

    Vitabu vyako nivipateje

  • @lucasmwalongo7725
    @lucasmwalongo7725 Před 9 měsíci +1

    Vitabu vyako vinapatikana wapi na Kwa bei gani?

  • @hadjayahaya7981
    @hadjayahaya7981 Před rokem +1

    Me nakiri kua cwezag kueka akiba lakn kupitia SPN najitahid kdg saiv

  • @ngogedecoration3649
    @ngogedecoration3649 Před rokem +3

    Huyu Festo kajieleza vizuri ila hajatoa muongozo vitabu tunapataje?

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 Před rokem +3

    All point ziko poa sana ila kaka punguza speed ya kuongea cause sisi wengine tunakua tunasikiliza neno hadi neno na kulichambua ila ushauri tu kaka

    • @fredma21x
      @fredma21x Před rokem +1

      Jitahidi pia kuendana na spidi hiyo..Hiyo ni spidi ya kawaida na unaweza kuirudia video maana ipo tayari CZcams....Ni ushauri tu pia.

    • @festoamos_tz
      @festoamos_tz Před rokem

      Ni ngumu kukariri jitahidi kuandika kwenye notebook unapoona kuna ujumbe unaoweza kukupa hatua, uzuri maneno yote yanasikika pia unaweza kuirudia tena hata zaidi ya mara tano ili uelewe zaidi. Asante sana

  • @fredma21x
    @fredma21x Před rokem +3

    JINSI SAHIHI ZA KUWEKA AKIBA
    1.Kubali kuwa una tatizo la kutokuweka akiba.
    2.Kuwa na Dhamira(Nia) ya kuweka akiba.
    3.Weka mkakati wa kujiwekea akiba;
    a).Weka katika mfumo wa asilimia.
    au
    b).Akiba katika mfumo wa kiasi.
    4.Anza kuweka akiba papohapo mara baada ya kuweka dhamira.
    5.Fanya kwa Muendelezo.
    Tanbihi; Mchuzi wa mbwa unywe ungali wa moto..🤣🤣🤣

    • @festoamos_tz
      @festoamos_tz Před rokem +2

      Umetisha sana mkuu, chukua hatua sasa

  • @MIBWA
    @MIBWA Před rokem +1

    Poua