JIFUNZE KUANDAA BAJETI YAKO VIZURI
Vložit
- čas přidán 15. 03. 2023
- Leo tutajifunza jinsi ya kuandaa bajeti vizuri. Bajeti ni muhimu sana katika kusimamia mapato na matumizi yetu ya kila siku. Katika video hii, nitakupa maelezo ya kina juu ya kuandaa bajeti yako kwa usahihi na kwa njia rahisi.
Tutajifunza jinsi ya kutambua na kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima, jinsi ya kupanga mapato na matumizi yako, na jinsi ya kuweka malengo yako ya kifedha na kuyafikia. Pia tutajadili vidokezo vya jinsi ya kuokoa pesa na kuwa na uwezo wa kuwekeza kwa mustakabali wako.
Nakuombea uwe na maisha yenye usimamizi mzuri wa fedha. Asante kwa kufuatilia!
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#jifunze #kuandaa #bajeti
Shukurani kwa somo zuri sana
Asante kwa somo zuri kweli pesa inataka nidhamu.
Budget dah Mungu nisaidie.
Barikiwa sana bro umetisha somo zuri sana
Asante Sana kaka
All Time
Kitabu
Umenipa akili mpya thanks 👍
bro thank you,nimependa point umepata mtu amekupenda kakupa laki mbili.nanukuu :akikupa chkua na huna haja yakuuliza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
nimeelewa sana mashaalah
Thanks bro🙏
Shukrani kaka
Asante kaka umenisaidia sana.
SAWA MWALIMU
Kitabi
Asante kwa somo bro Ezden 🙏
Karibu sana Dan
I get new ideas God bless you brother
Glad to hear that
Sasa mimi sijui ningesaidikaje law sbb nikiandika mara naacha
Vitabu
Asant kwa somo nzuri
Njia ya upatikanaji wa vtbu bado sijauelewa
Nitumie ujumbe kwenye What'sApp andika neno VITABU. Kwa urahisi zaidi bonyeza hapa uje moja kwa moja kwenye WhatsApp wa.me/255759191076
Umenipa akili mpya thanks 👍
Kitabu