EXCLUSIVE: MUHUBIRI DR. GEORDAVIE AFUNGUKA YOTE, KUTEMBEA NA WALINZI, KUPANGA KIWANGO CHA SADAKA N.K

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 04. 2022

Komentáře • 1,3K

  • @OLE8894
    @OLE8894 Před 2 lety +47

    Milad is super genius he's so confident .

  • @chumusamuel80
    @chumusamuel80 Před rokem +5

    Mtumishi hongera kwa maelezo mazuri na huduma njema ila kumbuka usipasahau madugike p/school kuweka alama yako kwa namna Mungu alivyokuinua

  • @AndrewGerayo
    @AndrewGerayo Před 3 měsíci +1

    Ubarikiwe nabii mkuu kwa huduma yako tuombee na sisi atuinue katika huduma zetu changa mchungaj andrew gerayo mwanza

  • @shedracksimbeye8460
    @shedracksimbeye8460 Před 2 lety +27

    🔥🔥🔥 So excellent interview ya kibabe Sana big up my brother Millard Ayo ufalme wa Mungu umewafikia wengi Heshima kwako Baba Mh Nabii Mkuu

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Před 2 lety +35

    Ni sihukumu ili nami nisije hukumiwa, Ee Bwana Yesu niombee pia niongoze imani yangu iongezeke kiroho 🙏🏽🙏🏽

    • @hancevalence4936
      @hancevalence4936 Před 2 lety

      omba lolote kwa jina lak nawe utapata,sio akuombee,akuombee wapi

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před 2 lety

      @@hancevalence4936 Unanitaka nn ndg yangu? Labd nikupe ili usinighabishe na kwann uparamie comment isio kuhusu? Sitaki kkujibu vibaya sawa

    • @japhethgeriad4519
      @japhethgeriad4519 Před 2 lety +3

      @@hancevalence4936 “Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye MWOMBEZI kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,

      - 1 Yohana 2:1 (Biblia Takatifu)

    • @maryaugustino8716
      @maryaugustino8716 Před rokem

      Amina docras umenena vyema

    • @ibrahimsokoine
      @ibrahimsokoine Před rokem

      ⌚️NASUBILI MAJIRA YA MUNGU KWAKWELI NIMEKUELEWA

  • @Alex_Anania
    @Alex_Anania Před 2 lety +3

    Asante Sana Prophet na Millard.

  • @isakamangola1617
    @isakamangola1617 Před 2 lety +1

    Very smart in all angles man of God ......I real appreciated you though I never come

  • @edwardzakayo3140
    @edwardzakayo3140 Před 2 lety +43

    Daaah., Mungu atabaki kuwa Mungu ,yoote aliyoongea mtu wa Mungu ni kweli kabisa ,Mwaka wa 1994 nilikuwa kiongozi wa vijana nyumban kwake sebuleni na nilikuwa nikipiga naye story ya Neno la Mungu kila baada ya Ibada ,alikuwa akifundisha Sana kuhusu kuwa na Maono makubwa Sana!!!!!Mungu ni mwema...ni Mimi Edward Zakayo!

  • @goodluckjustin8579
    @goodluckjustin8579 Před 2 lety +34

    Tunaishi kwenye dunia yenye dhambi ,Ambayo kwasasa hali ya dhambi mtaani imechukuliwa kua ya kawaida sana.Sitaki kuhukumu lolote ila ni kheri huyu anaeishi kwa neno la Mungu na kuiishi nalo kuliko wengi wetu tunaoishi kwenye dhambi ambayo tumezoea na kuona ni kawaida .
    Tuombe Mungu atupe neema na hekima ya kujua neno lake ili tuishi tukimtegemea yeye.🙏🏽

  • @ramadhanimasudi6904
    @ramadhanimasudi6904 Před 2 lety +37

    Kuna watu wanaweza kuponda watumishi ama watu wanaolitangaza neno la Mungu. Ila ukweli unabaki kua, ni heri hawa wanalifundisha neno la Mungu kuliko wewe unaeponda usie kua na mchango ama faida yoyote katika neno la Mungu.

    • @issamwakapiki5858
      @issamwakapiki5858 Před 2 lety

      It to

    • @ejelanta7829
      @ejelanta7829 Před 2 lety

      Umeongea kama wazee 20,hata mimi huwa nawaza hivyo hivyo.Hua najisemea bora yeye kuliko mimi hata kufanya usafi kanisani sifanyi

    • @castrokassoga7271
      @castrokassoga7271 Před 2 lety +1

      Heri asiyemjua Mungu kuliko wanaomposha na kuhubiri uongo hao Mungu anawaita mbwa.soma yohana 8:44 ufunuo 21:6:ufunuo 22:15

    • @eliasitairo9546
      @eliasitairo9546 Před rokem

      Siku hiyo Yesu atasema ondokeni kwangu Mimi (Yeye) siwajui mlio laaniwa, wao watasema tuliponja kwa jina lako nakufufua kwa jina lako tafakari hayo yakusaidie

  • @gracejosephy2242
    @gracejosephy2242 Před 2 lety +21

    Huyu baba ni mchungaji smart since day one tatizo watu wamezoea kuona watumishi wa Mungu wakiwa wamepauka..

    • @florahemmanuel8323
      @florahemmanuel8323 Před 2 lety +1

      Ndio tunapofail hapo yani
      Mitazamo haijabadikishwa

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 Před 2 lety

      Umepotea dada!! Kumbe hujui.

    • @gracejosephy2242
      @gracejosephy2242 Před 2 lety +1

      @@micamathew2595 hongera wewe unaejua Geordavie namfahamu tokea 2005 wewe ambaye umemuona sasa hivi mtandaoni ndo unashangaa na amekuwa role model wa wachungaji wengi.

    • @giuseppemanaos75
      @giuseppemanaos75 Před 2 lety +1

      Mimi naswali... Mwanzo alikuwa anasali wapi... Nini kimefanya afungue kanisa lake..? Why asingefanya ndani ya hilo.. Kanisa ambalo alikuwa anasali...?

    • @aishahemedi8452
      @aishahemedi8452 Před 2 lety

      Very smart ndani mpaka nje

  • @kyagaribabamwongera5271
    @kyagaribabamwongera5271 Před 2 lety +25

    Ubarikiwe Millard kwa kutufikishia HUYU baba I feel blessed

  • @yohanamhagama8975
    @yohanamhagama8975 Před 2 lety +20

    Huyu prophet ni mtoaji Sana namkubali ana moyo we kijitolea

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 Před 2 lety +6

    Nabii Mkuu, Kweli Mungu anakutumia Sana kwa miujiza mikubwa Sana,
    Nakumbuka ulifanya mkutano mkubwa Jijini mwanza vilema walitembea, vipofu waliona
    Lakini hata baada ya mkutano,
    Wagonjwa walipokanyaga eneo ulipokuwa mkutano waliponywa.

  • @user-ni7ke3hp1q
    @user-ni7ke3hp1q Před 5 měsíci +1

    Lovely interview God bless you both

  • @bestkimali216
    @bestkimali216 Před 2 lety +10

    Nmeheshimu kila kitu ulichokiongea mtumishi naku~respect sana na nmejifunza sana na ntasogea hatua moja katka huduma nuliyopewa na Mungu🙏🙏

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 2 lety +24

    Huyu alikuwa akijulikana kwa jina la George David Kasambala, enzi hizo anaimba sana nyimbo za Mungu. Anajua kuimba sana.

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Před 2 lety +4

    Millard jasiri kwel kumhoji nabii mkuu nadhan haikua kazi rahisi.congratulation millard.Mungu akubariki Nabii wa Bwana Mh.Geordavie.

    • @ericstephenm.844
      @ericstephenm.844 Před 2 lety

      Huo Ukuu wa Unabii wake aliuidhinisha nani? Akina Isaya, Ezekieli na manabii wengine mbona hawakujiita wao wenyewe majina ya kujitutumua kama hawa?

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 Před 2 lety

      @@ericstephenm.844 Sahihi

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official9216 Před 2 lety +17

    Baba muheshimiwa Nabii Mkuu Geordavie, Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu🙏

  • @yusterbmwaipungu929
    @yusterbmwaipungu929 Před 2 lety +12

    Ubarikiwe nabii wa Mungu nimekuelewa sana majibu yako

  • @benjaminmachange6239
    @benjaminmachange6239 Před 2 lety +2

    Hongera sana mtumishi umetoka mbali na miladi yupo vzr kwa mahijiano safi sana milad

  • @comradeambrocedaviemalai5871

    Kongole sanaa Comrade Doctor Geordavie, interview nzuri sana.watumishi wakubwa Wanyeyekevu wa MUNGU kama wewe ndiyo tunawahitaji katika Taifa Letu...Dumu kuiombea Taifa Letu na Chama Chetu CCM.

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 Před 2 lety

    Ahsante Sana Mirlad Ayo, ubarikiwe Sana, kwa kutuhabarisha Habari za ukweli,
    Nimefurahi kusikia na kuona Upo kwa Nabii Mkuu,
    Nabii Mkuu Geodav ndiye Nabii anayetumiwa Sana na Mungu kuwainua Watumishi wadogo,
    Nabii Mkuu Geodav Ni Nabii ambaye hana wivu. Anatamani Watumishi wengine pia wainuliwe
    Nabii mwenye Upendo na UKARIMU wa kimungu.

  • @glorythomas7650
    @glorythomas7650 Před 2 lety

    Love u Daddy 😘 am greatful God gave u to us 🤗

  • @farihiamass8739
    @farihiamass8739 Před 2 lety +13

    Mallard u rock it maaaaan!!

  • @shaluamagandi2184
    @shaluamagandi2184 Před 2 lety +5

    Interview nzuri sana. Ubarikiwe na MUNGU Dr Davies. Mungu akuinue zaidi na kufanyika baraka kwa watu wote.AMEN 🙏 🙏 🙏

    • @joycemalima2790
      @joycemalima2790 Před rokem

      Nabii mkuu, umesahau kutaja kiti chako cha ushuhuda, kiti Cha machozi Cha kuombea maono yako ya kazi, miaka 30 iliyopita. Ubarikiwe na mama Anna na watoto wenu

    • @mahubiritv
      @mahubiritv Před rokem

      czcams.com/video/sOhtHKQ6Cbc/video.html

  • @giftpamelagiftpamela4494
    @giftpamelagiftpamela4494 Před 2 lety +2

    Wow nice karibu tena mombasa tunakupenda sana

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Před 2 lety +2

    Hongera sn kwa kazi ya Mungu Nabii

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Před rokem +3

    Nimeipenda hii interview imeondoa maswali yangu na sasa namuamini nabii mkuu.Naomba rehema kwa kwa kuwaza tofauti.

  • @evasonlushaka767
    @evasonlushaka767 Před 2 lety +4

    Millard uko vizuri. Nimesikitika swali lakoulilotakakuuliza ukalisahau kutokanana maelezo " neno ngurumo lilikujaje" Othrwiseam proud you since day one. Stay blessed

  • @mariamthomas5554
    @mariamthomas5554 Před 2 měsíci

    Baba napenda sana huduma Yako naipenda mno mungu akulinde akupe maisha marefu akulinde nakila kitu kibaya

  • @janesiwingwa3142
    @janesiwingwa3142 Před 2 lety +1

    He's very smart... I love him so much.... Nabii mkuu

  • @irenesaigilu4214
    @irenesaigilu4214 Před 2 lety +11

    Best interview ever love you Daddy

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 Před 2 lety +3

    Mungu aendelee kukutuza Nabii wetu. Asiokuelewa basi sisi tunakuelewa

  • @joycesalvatory7768
    @joycesalvatory7768 Před 2 lety +1

    Amina
    Tutumike kama Bomba la Maji
    Mungu akubariki, utoaji Kwa wahitaji ndio Siri ya kupokea thawabu kutoka Kwa Mungu, wanaokuhukumu wanajitengenezea vitanzi maishani mwao na vizazi vyao, ACHA injili isonge mbele

  • @josephinemaendaenda3259

    Asante miradi hayo.naomba mwambie nabii mkuu dr jodev.mimi mwenyekiti wa mtaa janga mlandizi.mwambie nabii anisaidie mabat niezeke ofisi ya ser ya kitongoji.tunaitaji bat 80

  • @shekinahrevivalinternation6614

    Nimekukubati Baba ,nimesikia habari zako kwa ubaya miaka mingi sikukufuatilia Mungu Leo amenipa neema kupitia mahojiano haya kwa kweli nimemtukiza Mungu ,kwa hazina hii Tanzania .Mimi ni Askofu mkuu wa Shekinah Revival International mission Church [SRIMC] nitakutafuta Baba nimependa majibu yako .

  • @jamesobedy3687
    @jamesobedy3687 Před 2 lety +6

    bora udang'anywe na anaye tumia neno la Mungukuliko udang'anywe na mganga 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🇧🇮🇧🇮

  • @modeemojombo5662
    @modeemojombo5662 Před 2 lety

    Nabii Mungu aendelee kukutumia vema kutimiza agano lake kwako. Hongera sana.
    Milad God bless you man, unapambana mno , una bidii na ni jasiri pia

  • @danielladavid2251
    @danielladavid2251 Před 2 lety

    Wow Nabii Hongera sana sana ilikuwa one of the powerful Anointing Nabii mkuu

  • @oliversambala5999
    @oliversambala5999 Před 2 lety +7

    Namuomba Mungu atupe kibali na watoto wangu tufike Ngulumo ya upako tufunguliwe.Amen.

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 Před rokem

      Ufunguliwe nini sasa?

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 Před 6 měsíci

      ​@@noelbryson7840anataka akamuone mtu aliemuona yesu bro😂😂😂😂.

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 Před 2 lety +16

    Poor people made this man extremely rich!

  • @patrickacapel5494
    @patrickacapel5494 Před 2 lety +1

    Nabii wa Mungu,tumwombe Mungu atuzidishie hekima zaidi....nimebarikiwa sana

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 Před rokem

    Bonge la interview,nimeridhika. Hongeren, tuzidi kumtafuta Mungu..Mungu awabariki🙏

  • @edwinmaruchu5566
    @edwinmaruchu5566 Před 2 lety +25

    Hongera Miladi Ayo kwa kutuletea mahojiano na Nabii huyu ambae ni adimu sana kuonekana. Napenda sana mahubiri yake sababu hufundisha watu namna ya kuishi ,pia namna ya kufanikiwa. Namnukuu "Usipochosha akili ukiwa kijana utauchosha mwili ukiwa mzee" "Time the time before time time's you" Namkubali sana.

  • @gracejosephy2242
    @gracejosephy2242 Před 2 lety +3

    Nakumbuka 2006 nikiwa form two viwanja vya MRINGA Secondary ulikuwa unafundisha somo la imani.ilikuwa nzuri sana..

  • @joshuamolleli3471
    @joshuamolleli3471 Před 2 lety

    Congratulations Father

  • @abedkirway9020
    @abedkirway9020 Před 2 lety +1

    Nimesikiliz kwa umakin Mwenyez Mungu awabrik Mh nabii mkuu Geardav n milad ayo kwa kaz ya kutumikia jamii asanten san

  • @gesha4759
    @gesha4759 Před 2 lety +5

    Only God knows

  • @shedrackdamian2870
    @shedrackdamian2870 Před 2 lety +3

    Milad sautiii Jana iko powa sana

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo3615 Před 2 lety +2

    KAKA MILAD SIJAWAH KUKOMENTI KWAKO HAKIKA UMETISHA SANA.... UR SUPer super super zaidi... kunywa soda nitalipa

  • @gracekirway8720
    @gracekirway8720 Před 8 měsíci

    Shalom. ..Dad! I miss you so much also i miss NYU,nawapenda sana.,.mtumishi mwanafunzi Grace

  • @atukuzwelameck4324
    @atukuzwelameck4324 Před 2 lety +5

    Eheheeeeee😂💔🙌 Make apo kwanza ncheke😂 yesu angaliaga na watu wa kuwapa ufunguo basi😂

  • @iammichaellukindo
    @iammichaellukindo Před 2 lety +8

    Interview nzuri Sana. Mm nikianzia career ya kutangaza kwenye Radio ya Dr Geordavie 2009

  • @janethnkembo9194
    @janethnkembo9194 Před 2 lety +1

    Nakukubali sana nabii.mungu azidi kukupa mema

  • @aikashayo4305
    @aikashayo4305 Před 2 lety +1

    Barikiwa sana Millard kwa kutuletea Nabii Dr.Geodavie

  • @christineneema3008
    @christineneema3008 Před 2 lety +4

    This interview is very perfect

  • @luckyvenance4576
    @luckyvenance4576 Před 2 lety +10

    Huwa najiuliza mbona watu wakiona manabii wanafanya miujiza wanasema ni freemason,, kwani kwa Mungu Hakuna vitu vizuri!? Mpaka nabii awe anatumia nguvu za giza?, Mbona mtu akiambiwa kuna mganga kiboko na anataka pesa ya maana tu Ndo akuhudumiae asilalamike, lakini watumishi watu wanasema wanataka tu sadaka, Hakuna huduma inayoenda bila pesa

  • @rehemaedson5732
    @rehemaedson5732 Před rokem +1

    God bless you Man of God 🙏

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 Před 2 lety +1

    Ameen

  • @nassibabdallah566
    @nassibabdallah566 Před 2 lety +16

    Mwenyezi mungu atuokoe kwa watu kama hawa

  • @janetngui487
    @janetngui487 Před 2 lety +7

    Much blessed watching this,be blessed servant of God,from Kenya wish one day nitafika kanisani,am happy coz I was given the key ambazo amedescribe,I hope God atatenda kwangu pia,

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 Před 2 lety

    Miradi Ayo...wewe Ni super kjana 💪 kazi safi Sana aiseee una kpaji

  • @sarawinnerexaud4510
    @sarawinnerexaud4510 Před 2 lety +1

    millard kazi nzuri👏

  • @nessa4899
    @nessa4899 Před 2 lety +4

    Baba Geo Davie siku zote nakupenda, Mungu akuweke, akutunze na akubariki.

  • @jay-nyeye1900
    @jay-nyeye1900 Před 2 lety +12

    Atawadanganya wale ambao hawamjui Mungu na wale wasiomjua shetani

  • @sweetbertbichumu528
    @sweetbertbichumu528 Před 2 lety

    Doctar Nabii anazungumza Vizur Sana pia hongera Sana Milad Ayo,, kwa kuweza kumfikia mtumishi wa MUNGU,, HAKIKA MUNGU FUNDI

  • @jameskenny1808
    @jameskenny1808 Před 2 lety +4

    Starehe za duniani ni nyingi sawa na hali yenu ila vyote vina mwisho wao. Don’t forget about anything but remember that you have to pay back after everything you are doing

  • @goodluck373
    @goodluck373 Před 2 lety +12

    Interview bora sana kutokea. Asante sana Millard kwa unyenyekevu wako mbele ya Mtumishi wa Mungu. Una nidhamu mno na ustadi wa kutosha katika kazi yako. Hakika umetusaidia sana kufahamu mengi juu ya Nabii Mkuu, Mheshimiwa Dr. Geordavie. Hakika tumebarikiwa

    • @abelakabalimu4135
      @abelakabalimu4135 Před 2 lety

      Tuombee na as milad tutoke kama wewe. Nakukumbka sana milad mung akutie ngv

    • @emmdotsea
      @emmdotsea Před 2 lety

      Ni kiongozi wa manabii wa uongo.

    • @victoriajulius5072
      @victoriajulius5072 Před 2 lety

      @@emmdotsea usihukumu kabla hujaukumiwa lkn kama unauhakik ubarikiwe

    • @wemakingdaily1462
      @wemakingdaily1462 Před 2 lety

      @@emmdotsea Wewe muumini wa Zumaridi mfate sentro ondoka hapa

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 2 lety

      @@emmdotsea Zumaridi campany!

  • @luckyvenance4576
    @luckyvenance4576 Před 2 lety +1

    Millard yuko vizuri Jaman Mungu Akuzidishie

  • @williamraphael2881
    @williamraphael2881 Před rokem

    Mungu akubariki sana , nimekuelewa mno

  • @noelgodson691
    @noelgodson691 Před 2 lety +9

    Nabii mtu wa mungu namshukuru sana mungu wako kwa maisha yako ..asante sana baba umebadilisha sana maisha yangu

  • @petermollel1471
    @petermollel1471 Před 2 lety +25

    Wonderful man of God. Amina

  • @aishahemedi8452
    @aishahemedi8452 Před 2 lety +2

    Ukikutana na Nabii mkuu Geordavie, lazma maisha yako ya yabadilike. Kama ilivo kwangu.

  • @danielmrashani8710
    @danielmrashani8710 Před rokem

    Ubarikiwe Sana baba good interview

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 Před 2 lety +5

    Namshukuru Mungu kwa kunijaaliya kuwa muislam maana .....

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Před rokem

      Namshukuru mungu kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye uislamu laiti watu wangejua dhamani na neema ya uislamu wasingekubali kupotezwa kama wanavyopotezwa inasikitisha sana sana

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Před rokem +1

      Namshukuru Mungu kuniteua niwe mwanafunzi wa Yesu.Siambiliki kutangatanga kwa sababu yanayotokea yalitabiriwa.

  • @brother_majesty
    @brother_majesty Před 2 lety +12

    Spokesman of the Kingdom....much love Sir

  • @msafirimfilinge4308
    @msafirimfilinge4308 Před rokem

    I fill blessed jesus

  • @sanyajuutv2679
    @sanyajuutv2679 Před 2 lety

    Mungu awabariki sana

  • @johnuswege3979
    @johnuswege3979 Před 2 lety +23

    Nimesikiliza mahojiano haya vizuri sana na nimeona hekima ya mtumishi huyu, nimejifunza mengi na nimependa majibu yake yote.

  • @sarawinnerexaud4510
    @sarawinnerexaud4510 Před 2 lety +12

    I love u my spiritual dad God bless you forever through you we are being energetic

    • @mahubiritv
      @mahubiritv Před rokem

      czcams.com/video/sOhtHKQ6Cbc/video.html

  • @kelvinnassary6165
    @kelvinnassary6165 Před 2 lety

    Asante Millard Ayo kwa kunikutanish na nabii kupitia interview

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Před rokem

    Amina baba qd

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 Před 2 lety +3

    DADY 💯🥰❤️

    • @barakaelibarki9005
      @barakaelibarki9005 Před 2 lety

      Kama Wana bisha wameze viwembeeee nabii mkuuuu atabakii kuaa nabii mkuuuu

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před 2 lety +7

    Ila Hapo pa kumwona yesu live umetupiga na kitu kizito kichwani.
    Ila hongera na ubarikiwe kwa kazi yako.

  • @allanngoma1720
    @allanngoma1720 Před 2 lety

    Good interview

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 Před rokem

    Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati.Amen..................................................

  • @dallasmusic764
    @dallasmusic764 Před 2 lety +6

    Huyu jamaa Leo nimemuelewa ni mzur Sana kwenye kujibu maswali

  • @dynamicpreschoolschool434
    @dynamicpreschoolschool434 Před 2 lety +13

    Amen mtumishi wa mungu...real u are a man of God...I wish one day to attend your church...be blessed my prophetic man of God

    • @neemakombe67
      @neemakombe67 Před 2 lety +1

      Unaenda kupotea

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 Před 2 lety +1

      @@neemakombe67 jmn Ney acha bhna tunaokolewa kwa NEEMA ya MUNGU pkeeee

    • @neemakombe67
      @neemakombe67 Před 2 lety +1

      @@maryandason1815 yani mm hawa manabii hawa siwaamini mm ila imani yako inavyokutuma fanya vile upendavyo

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 Před 2 lety +1

      @@neemakombe67 kwa kweli MUNGU 🙏 atusaidieee mmaaaaaa

    • @magrethjohn8638
      @magrethjohn8638 Před 2 lety +1

      Karibu Sana tunakukaribisha

  • @msafirimfilinge4308
    @msafirimfilinge4308 Před rokem

    Ubarikiwe nabii mkuu prophet geor

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 Před rokem

    Yesssssssss ,,mh Jokate Mwegelo schools

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 Před 2 lety +8

    Ee Mwenyezi Mungu tupe macho ya rohoni tuijue kweli yako

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 Před 2 lety

      Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
      Shetani amepanda Magugu ktk mashina mbegu njema alizokwiaha panda Mpanzi.
      Tuaubiri siku ya mavuno.
      MWENYEMASIKIO ME ASIKIEEE

  • @florianakhweso5749
    @florianakhweso5749 Před 2 lety +16

    Thank you daddy, I proud you as my spiritual father,Your story is totally healing me. Glory to Jesus Christ who gave you.

    • @johnsonulomi993
      @johnsonulomi993 Před 2 lety +1

      Mwiz mijitu aina akil inaibiwa sana

    • @DBrownstain
      @DBrownstain Před rokem +1

      Millard Ayo, nimesikiliza mahojiano haya na yamenibariki sana, hongera kwa kuhoji vizuri kwa ufundi na kwa nidhamu safi. Nimejifunza vingi juu ya hekima ya mtumishi huyu. MUNGU AWABARIKI NYOTE

    • @meshacklekie4002
      @meshacklekie4002 Před rokem

      Karibu Europe baba 🙏🙏

  • @mariageorge5029
    @mariageorge5029 Před 2 lety +1

    Love you Daddy, I miss to see you face to face

  • @mazoenyongo1479
    @mazoenyongo1479 Před rokem

    Mtumishi wa Mungu mm ninashida sana nilikuwa nakuomba unisaidie laki mbili nijisaidie ninunue chakula mtumishi wa Mungu,

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 Před 2 lety +7

    Kwa miaka 10 nyuma nimemfahamu,I appreciate him and his services Mtumishi wa Mungu.

  • @kassebo
    @kassebo Před 2 lety +3

    Nimeipenda kazi yako millirdiayo ubarikiwe sanaaaaaa ✍️

  • @marcellyimo9292
    @marcellyimo9292 Před rokem

    Amen baba

  • @leahchalresi5632
    @leahchalresi5632 Před 2 lety +9

    Jamani ndungu naomba msipende kuwaziak watumishi sisi jukumu retu nikusikiliza tu ukiona umuerewi nibola uwache kumsikiliza kuliko kumuukumu

    • @vailethkinabo7961
      @vailethkinabo7961 Před 2 lety

      Kweli nakupongeza ndugu yangu kwa kusema ivyo ivii unawezaje kumuongelea vibaya Mtumishi wa Mungu haki Mungu atusameehee

    • @djwise1887
      @djwise1887 Před 2 lety

      @@vailethkinabo7961 kwani yeye ni mkamilifu?? Yeye ni mtu kama watu wengine Hata yesu alikosolewa akiwa ni Mungu. Je yeye ni nani?? Kinachotakiwa sisi sote tuwe wa unyenyekevu kwa Mungu na sio kuwapatia utukufu watumishi wa Mungu kama watu wengi wanavyowapatia heshima kubwa manabii kuliko Mungu. Na manabii hawa wengi hawana unyenyekevu kwa Mungu.

    • @jonathankyando2698
      @jonathankyando2698 Před 2 lety

      @@vailethkinabo7961 acha uoga wa kijinga😂

  • @laurakisasa3162
    @laurakisasa3162 Před 2 lety +6

    Jamani Sijaona Hekima iliotumika kujibu maswali ya Interview kama hii....
    He is Real a Man Of God.