Shaka iliyopo piga ua dar to sa kwa masaa 48 ni uongo, Rorry dar tunduma umewahi Sana na usiwe na breakdown kuharibika au toch za trafic ni masaa 19 /17. Ufike border nakonde kuna foleni ya kuvuka vibali kuna Lorry zaidi ya elfu zimepanga foleni ni Mara chache sana kuvuka siku hiyohiyo. Na ukivuka nakonde uitafute Lusaka Kama utapitia njia hiyo ni kilomita kibao masaa mengine kibao, utafute kuvuka tena Botswana sio siku hiyohiyo tena kuna foleni na ukivuka uitafute Gaborone then border ya south Ni maili kibao. Kaka hapo umeniacha Kodogo. Kumbuka hamkuwa na passport lazima kungekuwa na pandashuka nyingi njiani. Lakini okay
Huyo muongo Durban ni mkoa mwingine na Mpumalanga ni mkoa mwingine anazingua nauwezi kupitia Zimbabwe ukatokea Durban lazima ufike kwanza Johannesburg anaongopa huyo
Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu. Pole mwanangu hiyo ni mtihani. Mshukuru Sana mwenye Enzi mungu kukunusuru kwa kilaatua Amin. Mwenye Enzi mungu akufunguliye katika maisha yako Amin. Mwenye Enzi mungu akuongeze katika njia iliyonyoka Amina mwenye Enzi mungu akulinde na kila mabala ya dunia na Shari za ulimwenguni Amin.
Mwamba anaongea kilichomsibu sasa nyie mnaosema hajafika sauz kwani uko sauz ni mbinguni watu wengine hawawez fika mnafika nyinyi tu mwamba anaeleza alichokutana nacho ww km unamuon muongo piga ndich wabongo kibao tuko uko s.a na tunaona walivyokua mateja kwaio ww km ukubaliani na mwamba anachosimulia kausha usilet uchoko wa kishamba
Stori Kali sana ila mtangazaji boya mtu anapotoa stori ndefu kunamda anajichanganya mtangazaji KAZIYAKE nikumrudisha nakumueka sawa ili sisi walaji tupate stori nzima
Msenge Muongo mbaka hata haeleweki Mara ubungo yeye ndo alikuwa mkubwa Mara baadae mwenzie ndo Kawa mkubwa yy kawa mdogo yaani unaemuhoji ujui kuhoji msenge sijui South wala haijui fala huyo
ndg zanguni wotee mnaosema uyo kaka nimuongo sio kwer Tusipende kuhukumu Mungu Apendi❌ Binafsi yangu uyu Mwamba Nimemwelewa yani Nikwer hayo Anayoeleza ndoyalikuw mapito 🚶🚶 yake🎤pole sanaa kaka 🙆 kazana kumwomba🤲 Mungu Atakusaidiya Nautatoka hapo Ulipo,Nautabaki kuwa story ✍️
70% ya wabongo wengi wa sauz maskini tu wanalalaa mabeach 30% ndio wanajitambua ww huwez kusema mwamba anaongea uongo ikiwa alichokizungmza kinawagusa walala nje sauz na walal majumba ukweli unawauma mabaria machoko 🤣🤣🤣
huyu jamaa muongo nawewe mtangazaji nawewe hujui hata kuhoji 'ilikua unamkamata mapema tu kwenye ile safari kutoka Tz mpaka south inamaa huko njiani hata kusimamishwa kuulizwa hizo border ilitakiwa umuhoji 'nawewe pia fala mtangazaji
@@bakariamour6024huyo ni muongo wewe kakimya haujui chochote wala haujui south Africa sijui Zambia Zimbabwe hamna kitu hunajua unaitikiaitikia tu ndio ndio kila unachosikia unakubali tu kakimya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Acha uongo shoga wewe hakuna boda ngumu kama yakupitia Zimbabwe wewe upite tu bila kukamatwa na hakuna safari ndefu km kutoka tz had saith bus siku nne harafu wewe unatuambia suku2 kutoka dar had Zambia ni siku mbili kutoka Zambia Hadi harare ni 2 harare Hadi pitoria Siku moja jumlisha acha uongo
HUYU JAMAA SAUZ HAJAFIKA... HAIWEZEKANI IWE SAFARI YA LORI SIKU2 MPAKA,..ENDELEA KUTUDANGANYA MPO WENGI "SAMPUL" HIZI KISHA UTASIKIA MARA KATOA SINGO NAYE ⭐
Safari ya siku 2 inawezekana,inategemea alipanda Lori gani,kunamalori yanayoleta mzigo tz kutoka south Africa ,yanarudi yakiwa hayana mzigo,wanakesha usiku na mchana,ama kwa historia ya south afrika kwavijana wengi wa kitanzania,kwakweli wanaishi maisha ya ajabu Sana,nimaisha ya Pata potea,nimaisha ya liwalo na liwe ilimradi pesa ipatikane,maisha ya namba hiyo ,yamepelekea vijana wengi wa tz kuishia gerezani,kwasababu kazi zinazofanywa,nihizi Kuuza bangi Kuuza unga Kukaba Washawasha, namengine mengi yahatari,Mambo hayo yamepelekea kuishia kama wanyama porini,niwetanzania wachache Sana wametulia nawanafanya shughuli zao Kama kawaida.
Navijana wengi,wanaishi south afrika. Huku nyumbani tz walipotoka,wengi wao walikuwa tayari wameisha haribika tabia,na kwabahati mbaya Sana hatunaujuzi wa Aina yoyote,(kazi za mikono)unapokosa ujuzi kazi za kufanya za halali,inapelekea kuangukia kwenye kufanya kazi za hatari mwishowe,nikuishia jela,nenda Durban pale Beach ,vijana wakitanzania niwengi Sana,pale garden pia vijana niwengi Sana wanalala nje,nimeshuhudia mwenyewe kwamacho yangu, pale pritoria homeafear vijana wa tz wengi wanalala pale porini,halafu wanajiita wanajeshi,kiujumla maisha ya watanzani wengi wanaoishi south afrika,wanaishi maisha mabovu,sio wote wanamaisha mabaya lakini wengi wao wapo vibaya,,,,,,,
Impilo inzima mfuetu. Usebenzile kakhulu. Mzansi for sho. Uwenze kahle ubuyele ekhaya kini.
ROR HALIWEZI KUTEMBEA SIKU MBILI SOUTH AFRICA. NI UONGO
Shaka iliyopo piga ua dar to sa kwa masaa 48 ni uongo, Rorry dar tunduma umewahi Sana na usiwe na breakdown kuharibika au toch za trafic ni masaa 19 /17. Ufike border nakonde kuna foleni ya kuvuka vibali kuna Lorry zaidi ya elfu zimepanga foleni ni Mara chache sana kuvuka siku hiyohiyo. Na ukivuka nakonde uitafute Lusaka Kama utapitia njia hiyo ni kilomita kibao masaa mengine kibao, utafute kuvuka tena Botswana sio siku hiyohiyo tena kuna foleni na ukivuka uitafute Gaborone then border ya south Ni maili kibao. Kaka hapo umeniacha Kodogo. Kumbuka hamkuwa na passport lazima kungekuwa na pandashuka nyingi njiani. Lakini okay
Hata mm nmexhangaa mpaka na kufkiria inamana south pamekuwa karibu hvyo!!
Huyo muongo Durban ni mkoa mwingine na Mpumalanga ni mkoa mwingine anazingua nauwezi kupitia Zimbabwe ukatokea Durban lazima ufike kwanza Johannesburg anaongopa huyo
Huyu kaka nimesoma nae shule ya msingi mirerani alikuwa anaitwa okelo nimemkumbuka saiv alivyosema amemalizia Benjamin
Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu. Pole mwanangu hiyo ni mtihani. Mshukuru Sana mwenye Enzi mungu kukunusuru kwa kilaatua Amin. Mwenye Enzi mungu akufunguliye katika maisha yako Amin. Mwenye Enzi mungu akuongeze katika njia iliyonyoka Amina mwenye Enzi mungu akulinde na kila mabala ya dunia na Shari za ulimwenguni Amin.
Ndio kazi yasauzi afrik
Huyo muongo hakufika popote
From bongo to south Africa its take more than 2days by lorry
Mwamba anaongea kilichomsibu sasa nyie mnaosema hajafika sauz kwani uko sauz ni mbinguni watu wengine hawawez fika mnafika nyinyi tu mwamba anaeleza alichokutana nacho ww km unamuon muongo piga ndich wabongo kibao tuko uko s.a na tunaona walivyokua mateja kwaio ww km ukubaliani na mwamba anachosimulia kausha usilet uchoko wa kishamba
777
"BOYA mwengine"
Nimeipenda hio story na ndio inanipa motivation,(hamasa ) ya kundelea kutafuta japo sipo hayo maisha tena..
Anaulizwa habari ya south yy anaanza ya utoro shule mtagangaji nae ajui kuhoji maswali ya muhimu kwenye sotry mshamba ajawi fika uko mbweso mmoja
Mwenye kufanya hii interview hajui kumhoji mtu.Jamaa pia ni kama hajielewi
Huyo chizi,ukimuuliza hichi anarukia hichi,dishi linayumba 36:17
Ujafika bana hajawongo siku mbili south bwege kweli ww
Huyo fala Mala mpumanga Mara deben bichi wanakaa maskin kuma fala wakuumia wew huna disaplina unatuchora tuu hujui hata unachokiongea
Nawew ndan ya miez 6 bado upo ndani huwez kutoka nje sababu ya barid unaongopa
Stori Kali sana ila mtangazaji boya mtu anapotoa stori ndefu kunamda anajichanganya mtangazaji KAZIYAKE nikumrudisha nakumueka sawa ili sisi walaji tupate stori nzima
Mungu akulaze mahali pema peponi Charles
Vp msela amekufa ao?
Huyu hajielewi ht unachokiongea tu inaonekana fresh unakesi kiuni
Kumbe wenyenchi yenu mnaumia mkiambiwa beach Kuna maskini
Dada yangu huyo ni muongo asikuumiche kichwa
Story nzuri lakini mtangazaji (1)hujui kuuliza maswali ya msingi(2) pia hujui kumludisha mzungumzaji kwenye kipengele husika anapo hama ghafra.
Kweli kabisa
Duu jamani hii sio kweli muongo kahadisiwa
sio kweli kabisa,,ana lack details nyingi za msingi anavosimulia,,anarusha rusha tu
Msenge Muongo mbaka hata haeleweki Mara ubungo yeye ndo alikuwa mkubwa Mara baadae mwenzie ndo Kawa mkubwa yy kawa mdogo yaani unaemuhoji ujui kuhoji msenge sijui South wala haijui fala huyo
Mwandishi umetuharibia story, hujazngatia kanuni za interview, unainglia mazngumzo kbla jmaa hajamaliza
Anazinguwa huyu jamaa.. Hajielezei vizuri Uchafu M2tu huo
Presenter mdirect msimuliaji ili aweze kusimulia story yake kwa mtiririko Mzuri
Rest in peace chammy Chaz pumzika Kwa amiin mtangazaji wangu
✌️👍👊.
Rip chazi
Mwendelezo
Mwandishi mwenge sana
ndg zanguni wotee mnaosema uyo kaka nimuongo sio kwer Tusipende kuhukumu Mungu Apendi❌
Binafsi yangu uyu Mwamba Nimemwelewa yani Nikwer hayo Anayoeleza ndoyalikuw mapito 🚶🚶 yake🎤pole sanaa kaka 🙆 kazana kumwomba🤲 Mungu Atakusaidiya Nautatoka hapo Ulipo,Nautabaki kuwa story ✍️
Bangi ukivuta sana memory zinapotea bt dogo kweli kasafiri
acha utani bro, sauzi hajaenda uyo...ni muongo tu
Mwandishi unashindwa kuuliza maswali kwa mpangilio
Sura yako bado inasomeka kuwa bado wewe mwizi tu
Eti miaka 6 mdogo sugu tu ww wangapi wamelelewa na mama tu
Mtaniiiiii sikuamini kama ntakuja umu kwenye mitandao
Hujui mwaka wako wa majanga?
Akifanya story nadavister mata itapendeza sana
Kumbe Umu Watu Wanachukia Kisa Kusema Watanzania Wanaishi Bichi Kwa Kajamba Nani Acheni Wivu Uyu Mkweli Anafunguka Mkumbuke Walikua Wadogo Ivo Vigumu Kuwastukia
Awadhi huyu jamaa ni muongo sio kweli hanayo ongea sisi tukea 2000 tumeanza kusafiri hatujawahi kusikia mambo kama hayo
Huyo muongo asikuumize kichwa hamna kitu ni muongo mkubwa
70% ya wabongo wengi wa sauz maskini tu wanalalaa mabeach 30% ndio wanajitambua ww huwez kusema mwamba anaongea uongo ikiwa alichokizungmza kinawagusa walala nje sauz na walal majumba ukweli unawauma mabaria machoko 🤣🤣🤣
Muongo uyo kipapa. south hapajui na wala hajawai kufika fala huyo
Alafu na huyu mtangazaji nae ajui kitu
HUYU SIO BAHARIA/TRAVELLER
We nawee 😄
huyu jamaa muongo nawewe mtangazaji nawewe hujui hata kuhoji 'ilikua unamkamata mapema tu kwenye ile safari kutoka Tz mpaka south inamaa huko njiani hata kusimamishwa kuulizwa hizo border ilitakiwa umuhoji 'nawewe pia fala mtangazaji
Kwa iyo inavyoelekea nyinyi wengi wenu itakuwa mnafanya iyo kazi kwanini mnapanic mnasema sio kweli
@@bakariamour6024huyo ni muongo wewe kakimya haujui chochote wala haujui south Africa sijui Zambia Zimbabwe hamna kitu hunajua unaitikiaitikia tu ndio ndio kila unachosikia unakubali tu kakimya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wa Bongo mnashida kwani sauza mnapoongea kuna nini kinachosababisha huyu jama kutopafika warundi tunaingia bila wasi wasi aacha ujinga sauza nishafika kitambo hao mambo yapo
🤣🤣
Kweli mwana mtangaji nae boya angemgundua mapema tu akafrsh
Analiwa na mbwa nini hizo😂😂😂😂
Mungu wangu
Acha uongo shoga wewe hakuna boda ngumu kama yakupitia Zimbabwe wewe upite tu bila kukamatwa na hakuna safari ndefu km kutoka tz had saith bus siku nne harafu wewe unatuambia suku2 kutoka dar had Zambia ni siku mbili kutoka Zambia Hadi harare ni 2 harare Hadi pitoria Siku moja jumlisha acha uongo
Wewe muongo SANA. Mbona wabongo tuko vizuri Sana hapa South Africa
Uyoo choko
Muongo ajawai kufika uku kwetu
Au na wewe ulikuwa unanya iyo kazi ndio maana umemaind
muongo huyo
Hivi kwenu ni wapi aacha ujinga sauza kawaida kufika mbona warundi wapo wengi kibao
@@israelnibigira4990 kwani Warundi wote njia hawaiju!
@@israelnibigira4990 kwani Warundi wote njia hawaiju!
Nijikute natunziwa hela
Muongo huyo Sanaa,Sauzi Mambo hayo Amna ,na huyu ajawahi fika Sauzi choko huyo
😂mbona mclam
F
Jambazi la kaloti🥕🥕🤣🤣🇹🇿🇬🇷
Muongo tizama body language yuatupanga huyu.
Acha Uongo Shoga Wewe!
Pikipiki Na Sauzi Wapi Na Wapi?
Lugha Unayoongea Ni Mbovu Kabisa
Haujuwi Even Mwaka Uliosafiri
Uyo ajawai kizamia kwanza asingeonges ivyo kwanza anamuonekano wakuzamia chezea wazuru wewe mtoto mbaga saba kabisa
Wewe uliyezamia njoo utuhadisie
Choko muongo,,,,,,,
Choko wewe muongo akuna mambo hayo South Africa
Acha uongo dogo
Wewe mavi yaumbwa kweli🙄
HUYU JAMAA SAUZ HAJAFIKA...
HAIWEZEKANI IWE SAFARI YA LORI SIKU2 MPAKA,..ENDELEA KUTUDANGANYA MPO WENGI "SAMPUL" HIZI KISHA UTASIKIA MARA KATOA SINGO NAYE ⭐
Safari ya siku 2 inawezekana,inategemea alipanda Lori gani,kunamalori yanayoleta mzigo tz kutoka south Africa ,yanarudi yakiwa hayana mzigo,wanakesha usiku na mchana,ama kwa historia ya south afrika kwavijana wengi wa kitanzania,kwakweli wanaishi maisha ya ajabu Sana,nimaisha ya Pata potea,nimaisha ya liwalo na liwe ilimradi pesa ipatikane,maisha ya namba hiyo ,yamepelekea vijana wengi wa tz kuishia gerezani,kwasababu kazi zinazofanywa,nihizi
Kuuza bangi
Kuuza unga
Kukaba
Washawasha, namengine mengi yahatari,Mambo hayo yamepelekea kuishia kama wanyama porini,niwetanzania wachache Sana wametulia nawanafanya shughuli zao Kama kawaida.
Navijana wengi,wanaishi south afrika. Huku nyumbani tz walipotoka,wengi wao walikuwa tayari wameisha haribika tabia,na kwabahati mbaya Sana hatunaujuzi wa Aina yoyote,(kazi za mikono)unapokosa ujuzi kazi za kufanya za halali,inapelekea kuangukia kwenye kufanya kazi za hatari mwishowe,nikuishia jela,nenda Durban pale Beach ,vijana wakitanzania niwengi Sana,pale garden pia vijana niwengi Sana wanalala nje,nimeshuhudia mwenyewe kwamacho yangu, pale pritoria homeafear vijana wa tz wengi wanalala pale porini,halafu wanajiita wanajeshi,kiujumla maisha ya watanzani wengi wanaoishi south afrika,wanaishi maisha mabovu,sio wote wanamaisha mabaya lakini wengi wao wapo vibaya,,,,,,,
Huyu mzushi tuu mpumalanga mbali sana na Durban natal
Show kali
Ipo mpumalanga ya durban(hammasdale