Nilikuwa Mwizi Niliiba Mamilion ya Pesa Africa Kusini / Nilizamia

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 94

  • @lulungutambwe143
    @lulungutambwe143 Před 3 lety +6

    Impilo inzima mfuetu. Usebenzile kakhulu. Mzansi for sho. Uwenze kahle ubuyele ekhaya kini.

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Před rokem +2

    ROR HALIWEZI KUTEMBEA SIKU MBILI SOUTH AFRICA. NI UONGO

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 Před 3 lety +5

    Shaka iliyopo piga ua dar to sa kwa masaa 48 ni uongo, Rorry dar tunduma umewahi Sana na usiwe na breakdown kuharibika au toch za trafic ni masaa 19 /17. Ufike border nakonde kuna foleni ya kuvuka vibali kuna Lorry zaidi ya elfu zimepanga foleni ni Mara chache sana kuvuka siku hiyohiyo. Na ukivuka nakonde uitafute Lusaka Kama utapitia njia hiyo ni kilomita kibao masaa mengine kibao, utafute kuvuka tena Botswana sio siku hiyohiyo tena kuna foleni na ukivuka uitafute Gaborone then border ya south Ni maili kibao. Kaka hapo umeniacha Kodogo. Kumbuka hamkuwa na passport lazima kungekuwa na pandashuka nyingi njiani. Lakini okay

    • @abedysteven4930
      @abedysteven4930 Před rokem

      Hata mm nmexhangaa mpaka na kufkiria inamana south pamekuwa karibu hvyo!!

  • @jumasaidy
    @jumasaidy Před 5 měsíci +1

    Huyo muongo Durban ni mkoa mwingine na Mpumalanga ni mkoa mwingine anazingua nauwezi kupitia Zimbabwe ukatokea Durban lazima ufike kwanza Johannesburg anaongopa huyo

  • @jolinejoely8001
    @jolinejoely8001 Před 3 lety +4

    Huyu kaka nimesoma nae shule ya msingi mirerani alikuwa anaitwa okelo nimemkumbuka saiv alivyosema amemalizia Benjamin

  • @biashasuleimanabdalla481
    @biashasuleimanabdalla481 Před 3 lety +3

    Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu. Pole mwanangu hiyo ni mtihani. Mshukuru Sana mwenye Enzi mungu kukunusuru kwa kilaatua Amin. Mwenye Enzi mungu akufunguliye katika maisha yako Amin. Mwenye Enzi mungu akuongeze katika njia iliyonyoka Amina mwenye Enzi mungu akulinde na kila mabala ya dunia na Shari za ulimwenguni Amin.

  • @momahamba7467
    @momahamba7467 Před 3 lety +2

    From bongo to south Africa its take more than 2days by lorry

  • @africano98.
    @africano98. Před 3 lety +13

    Mwamba anaongea kilichomsibu sasa nyie mnaosema hajafika sauz kwani uko sauz ni mbinguni watu wengine hawawez fika mnafika nyinyi tu mwamba anaeleza alichokutana nacho ww km unamuon muongo piga ndich wabongo kibao tuko uko s.a na tunaona walivyokua mateja kwaio ww km ukubaliani na mwamba anachosimulia kausha usilet uchoko wa kishamba

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 10 měsíci

    Nimeipenda hio story na ndio inanipa motivation,(hamasa ) ya kundelea kutafuta japo sipo hayo maisha tena..

  • @STUARTRULAZI
    @STUARTRULAZI Před 21 dnem

    Anaulizwa habari ya south yy anaanza ya utoro shule mtagangaji nae ajui kuhoji maswali ya muhimu kwenye sotry mshamba ajawi fika uko mbweso mmoja

  • @muragegatimu6926
    @muragegatimu6926 Před 3 lety +2

    Mwenye kufanya hii interview hajui kumhoji mtu.Jamaa pia ni kama hajielewi

  • @user-oe2ty7ds4g
    @user-oe2ty7ds4g Před 3 dny

    Huyo chizi,ukimuuliza hichi anarukia hichi,dishi linayumba 36:17

  • @STUARTRULAZI
    @STUARTRULAZI Před 21 dnem

    Ujafika bana hajawongo siku mbili south bwege kweli ww

  • @shafiisaidygongoro7181
    @shafiisaidygongoro7181 Před 3 lety +1

    Huyo fala Mala mpumanga Mara deben bichi wanakaa maskin kuma fala wakuumia wew huna disaplina unatuchora tuu hujui hata unachokiongea

  • @jumasaidy
    @jumasaidy Před 5 měsíci

    Nawew ndan ya miez 6 bado upo ndani huwez kutoka nje sababu ya barid unaongopa

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 Před 8 měsíci

    Stori Kali sana ila mtangazaji boya mtu anapotoa stori ndefu kunamda anajichanganya mtangazaji KAZIYAKE nikumrudisha nakumueka sawa ili sisi walaji tupate stori nzima

  • @ErickCharles-yd7lp
    @ErickCharles-yd7lp Před 11 měsíci

    Mungu akulaze mahali pema peponi Charles

  • @abuubakarmasoud4185
    @abuubakarmasoud4185 Před 3 lety +1

    Huyu hajielewi ht unachokiongea tu inaonekana fresh unakesi kiuni

  • @vickilenad1406
    @vickilenad1406 Před 3 lety +3

    Kumbe wenyenchi yenu mnaumia mkiambiwa beach Kuna maskini

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 3 lety

      Dada yangu huyo ni muongo asikuumiche kichwa

  • @kelvinevarist8801
    @kelvinevarist8801 Před 3 lety +1

    Story nzuri lakini mtangazaji (1)hujui kuuliza maswali ya msingi(2) pia hujui kumludisha mzungumzaji kwenye kipengele husika anapo hama ghafra.

  • @ikirammaliki1320
    @ikirammaliki1320 Před 3 lety +1

    Duu jamani hii sio kweli muongo kahadisiwa

    • @user-vc3pt5tm5s
      @user-vc3pt5tm5s Před 8 měsíci

      sio kweli kabisa,,ana lack details nyingi za msingi anavosimulia,,anarusha rusha tu

  • @shafiisaidygongoro7181

    Msenge Muongo mbaka hata haeleweki Mara ubungo yeye ndo alikuwa mkubwa Mara baadae mwenzie ndo Kawa mkubwa yy kawa mdogo yaani unaemuhoji ujui kuhoji msenge sijui South wala haijui fala huyo

  • @kisaboytv8589
    @kisaboytv8589 Před 3 lety

    Mwandishi umetuharibia story, hujazngatia kanuni za interview, unainglia mazngumzo kbla jmaa hajamaliza

  • @musabukasa3713
    @musabukasa3713 Před 3 lety +2

    Anazinguwa huyu jamaa.. Hajielezei vizuri Uchafu M2tu huo

  • @goodluckseverine541
    @goodluckseverine541 Před rokem +1

    Presenter mdirect msimuliaji ili aweze kusimulia story yake kwa mtiririko Mzuri

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 9 měsíci

    Rest in peace chammy Chaz pumzika Kwa amiin mtangazaji wangu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 8 měsíci

    ✌️👍👊.

  • @user-fo5ox5wq6l
    @user-fo5ox5wq6l Před 4 dny

    Rip chazi

  • @user-xz2yu4hv4w
    @user-xz2yu4hv4w Před 7 měsíci

    Mwendelezo

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 3 lety +1

    Mwandishi mwenge sana

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Před rokem

    ndg zanguni wotee mnaosema uyo kaka nimuongo sio kwer Tusipende kuhukumu Mungu Apendi❌
    Binafsi yangu uyu Mwamba Nimemwelewa yani Nikwer hayo Anayoeleza ndoyalikuw mapito 🚶🚶 yake🎤pole sanaa kaka 🙆 kazana kumwomba🤲 Mungu Atakusaidiya Nautatoka hapo Ulipo,Nautabaki kuwa story ✍️

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 Před 10 měsíci

    Bangi ukivuta sana memory zinapotea bt dogo kweli kasafiri

    • @user-vc3pt5tm5s
      @user-vc3pt5tm5s Před 8 měsíci

      acha utani bro, sauzi hajaenda uyo...ni muongo tu

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 3 lety +1

    Mwandishi unashindwa kuuliza maswali kwa mpangilio

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 Před 3 lety +4

    Sura yako bado inasomeka kuwa bado wewe mwizi tu

    • @omanabcd9249
      @omanabcd9249 Před 3 lety

      Eti miaka 6 mdogo sugu tu ww wangapi wamelelewa na mama tu

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson6698 Před 2 lety

    Mtaniiiiii sikuamini kama ntakuja umu kwenye mitandao

  • @emeresianamichael5163
    @emeresianamichael5163 Před 3 lety +1

    Hujui mwaka wako wa majanga?

  • @newchanel6154
    @newchanel6154 Před 3 lety +1

    Akifanya story nadavister mata itapendeza sana

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 3 lety +3

    Kumbe Umu Watu Wanachukia Kisa Kusema Watanzania Wanaishi Bichi Kwa Kajamba Nani Acheni Wivu Uyu Mkweli Anafunguka Mkumbuke Walikua Wadogo Ivo Vigumu Kuwastukia

    • @beezydundobeezydundo1931
      @beezydundobeezydundo1931 Před 3 lety

      Awadhi huyu jamaa ni muongo sio kweli hanayo ongea sisi tukea 2000 tumeanza kusafiri hatujawahi kusikia mambo kama hayo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 3 lety

      Huyo muongo asikuumize kichwa hamna kitu ni muongo mkubwa

    • @africano98.
      @africano98. Před 3 lety

      70% ya wabongo wengi wa sauz maskini tu wanalalaa mabeach 30% ndio wanajitambua ww huwez kusema mwamba anaongea uongo ikiwa alichokizungmza kinawagusa walala nje sauz na walal majumba ukweli unawauma mabaria machoko 🤣🤣🤣

  • @salumabdallah7009
    @salumabdallah7009 Před 3 lety +2

    Muongo uyo kipapa. south hapajui na wala hajawai kufika fala huyo

  • @fahadjinni5845
    @fahadjinni5845 Před 3 lety +1

    HUYU SIO BAHARIA/TRAVELLER

  • @amourabdallah2978
    @amourabdallah2978 Před 3 lety +3

    huyu jamaa muongo nawewe mtangazaji nawewe hujui hata kuhoji 'ilikua unamkamata mapema tu kwenye ile safari kutoka Tz mpaka south inamaa huko njiani hata kusimamishwa kuulizwa hizo border ilitakiwa umuhoji 'nawewe pia fala mtangazaji

    • @bakariamour6024
      @bakariamour6024 Před 3 lety

      Kwa iyo inavyoelekea nyinyi wengi wenu itakuwa mnafanya iyo kazi kwanini mnapanic mnasema sio kweli

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 3 lety

      @@bakariamour6024huyo ni muongo wewe kakimya haujui chochote wala haujui south Africa sijui Zambia Zimbabwe hamna kitu hunajua unaitikiaitikia tu ndio ndio kila unachosikia unakubali tu kakimya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @israelnibigira4990
      @israelnibigira4990 Před 3 lety +1

      Wa Bongo mnashida kwani sauza mnapoongea kuna nini kinachosababisha huyu jama kutopafika warundi tunaingia bila wasi wasi aacha ujinga sauza nishafika kitambo hao mambo yapo

    • @evancemayala1576
      @evancemayala1576 Před rokem

      🤣🤣

    • @STUARTRULAZI
      @STUARTRULAZI Před 21 dnem

      Kweli mwana mtangaji nae boya angemgundua mapema tu akafrsh

  • @innosgramonline2470
    @innosgramonline2470 Před 3 lety +1

    Analiwa na mbwa nini hizo😂😂😂😂

  • @humphreymapundatechbless7360

    Mungu wangu

  • @jumasaidy
    @jumasaidy Před 5 měsíci

    Acha uongo shoga wewe hakuna boda ngumu kama yakupitia Zimbabwe wewe upite tu bila kukamatwa na hakuna safari ndefu km kutoka tz had saith bus siku nne harafu wewe unatuambia suku2 kutoka dar had Zambia ni siku mbili kutoka Zambia Hadi harare ni 2 harare Hadi pitoria Siku moja jumlisha acha uongo

  • @tonyruhinda5475
    @tonyruhinda5475 Před 3 lety +1

    Wewe muongo SANA. Mbona wabongo tuko vizuri Sana hapa South Africa

  • @mosesoziambo432
    @mosesoziambo432 Před 3 lety +2

    Uyoo choko
    Muongo ajawai kufika uku kwetu

  • @emeresianamichael5163
    @emeresianamichael5163 Před 3 lety

    Nijikute natunziwa hela

  • @jamesshao538
    @jamesshao538 Před 3 lety +2

    Muongo huyo Sanaa,Sauzi Mambo hayo Amna ,na huyu ajawahi fika Sauzi choko huyo

  • @user-co4xl8br6x
    @user-co4xl8br6x Před 11 měsíci

    😂mbona mclam

  • @Fans_gavana
    @Fans_gavana Před 3 lety

    F

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Jambazi la kaloti🥕🥕🤣🤣🇹🇿🇬🇷

  • @alumanjr.4747
    @alumanjr.4747 Před 3 lety

    Muongo tizama body language yuatupanga huyu.

  • @vedamadalla6309
    @vedamadalla6309 Před 3 lety +1

    Acha Uongo Shoga Wewe!
    Pikipiki Na Sauzi Wapi Na Wapi?
    Lugha Unayoongea Ni Mbovu Kabisa
    Haujuwi Even Mwaka Uliosafiri

  • @psj1564
    @psj1564 Před 3 lety

    Uyo ajawai kizamia kwanza asingeonges ivyo kwanza anamuonekano wakuzamia chezea wazuru wewe mtoto mbaga saba kabisa

  • @mudualawa3569
    @mudualawa3569 Před 3 lety +1

    Choko muongo,,,,,,,

  • @mbalifathuma178
    @mbalifathuma178 Před 3 lety +3

    Choko wewe muongo akuna mambo hayo South Africa

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 Před 3 lety

    HUYU JAMAA SAUZ HAJAFIKA...
    HAIWEZEKANI IWE SAFARI YA LORI SIKU2 MPAKA,..ENDELEA KUTUDANGANYA MPO WENGI "SAMPUL" HIZI KISHA UTASIKIA MARA KATOA SINGO NAYE ⭐

    • @kudraalmasi3061
      @kudraalmasi3061 Před 3 lety +1

      Safari ya siku 2 inawezekana,inategemea alipanda Lori gani,kunamalori yanayoleta mzigo tz kutoka south Africa ,yanarudi yakiwa hayana mzigo,wanakesha usiku na mchana,ama kwa historia ya south afrika kwavijana wengi wa kitanzania,kwakweli wanaishi maisha ya ajabu Sana,nimaisha ya Pata potea,nimaisha ya liwalo na liwe ilimradi pesa ipatikane,maisha ya namba hiyo ,yamepelekea vijana wengi wa tz kuishia gerezani,kwasababu kazi zinazofanywa,nihizi
      Kuuza bangi
      Kuuza unga
      Kukaba
      Washawasha, namengine mengi yahatari,Mambo hayo yamepelekea kuishia kama wanyama porini,niwetanzania wachache Sana wametulia nawanafanya shughuli zao Kama kawaida.

    • @kudraalmasi3061
      @kudraalmasi3061 Před 3 lety +1

      Navijana wengi,wanaishi south afrika. Huku nyumbani tz walipotoka,wengi wao walikuwa tayari wameisha haribika tabia,na kwabahati mbaya Sana hatunaujuzi wa Aina yoyote,(kazi za mikono)unapokosa ujuzi kazi za kufanya za halali,inapelekea kuangukia kwenye kufanya kazi za hatari mwishowe,nikuishia jela,nenda Durban pale Beach ,vijana wakitanzania niwengi Sana,pale garden pia vijana niwengi Sana wanalala nje,nimeshuhudia mwenyewe kwamacho yangu, pale pritoria homeafear vijana wa tz wengi wanalala pale porini,halafu wanajiita wanajeshi,kiujumla maisha ya watanzani wengi wanaoishi south afrika,wanaishi maisha mabovu,sio wote wanamaisha mabaya lakini wengi wao wapo vibaya,,,,,,,

    • @momahamba7467
      @momahamba7467 Před 3 lety

      Huyu mzushi tuu mpumalanga mbali sana na Durban natal

    • @aronnyboy_tz7785
      @aronnyboy_tz7785 Před 3 lety +2

      Show kali

    • @chensigns6748
      @chensigns6748 Před rokem

      Ipo mpumalanga ya durban(hammasdale