MKE WA DR MWAKA, WATOTO WANGU NALEA MWENYEWE ,SINA MPANGO NA NDOA KWA SASA , BIASHARA TU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 10. 2023
  • KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE CZcams CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
    TWITTER: shorturl.at/luzLZ
    FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv
  • Zábava

Komentáře • 76

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Před 9 měsíci +8

    Hasbiallah waneemal wakeel Bismillah Mashallaah yani wewe dada ni mzuri mpaka mzuri tena kama umetoroka peponi wallah

    • @aminajuma4743
      @aminajuma4743 Před 7 měsíci

      @zawadidadzie2600nadhan hujamuelewa hajamaanisha kwamba kwa Dr mwaka ni peponi kasema urembo wake kama mrembo flan alietoroka peponi

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Před 8 měsíci +6

    Background drums zimeharibu interview

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před 7 měsíci +2

    Nimeipenda hiyo "nice one".😂😂😂

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 7 měsíci +3

    Kama kweli DR Mwaka alikuwa mbaya kihivyo mbona jina lake Ndo huwa kichwa cha habari? Dr Mwaka sio Malaika hukosea kama binadam wengine, kama kweli hamtumii nyota yake muwe mnamtaja mtalaka wake Kwa jina lake , namuombea kila la Kheri Ila asikubali mahojiano yanayohusi x wake , hata nyinyi waandishi msipende saana kuchonganisha, DR Mwaka kumuoa huyu binti imekuwa kama adhabu Sasa kwake , mwacheni dada apambane na Mungu Ndo mtoa rizk Ila msipende kuweka vichwa habari vya Dr Mwaka huku hapo hausiki tena

  • @user-sj7fn1wt6d
    @user-sj7fn1wt6d Před 8 měsíci +12

    NEEMA YA MUNGU IKUTEMBELEE UMRUDIE YESU.

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Před 7 měsíci

      Na sjui Kwa nn mnapenda kumtaja yesu kweny comment mhhh

    • @neemadaniel9209
      @neemadaniel9209 Před 7 měsíci +1

      ​@@nahlahassan-fd6lekwani Kuna ubaya

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 Před 7 měsíci

      ​@@nahlahassan-fd6lehata watu hupenda kumtaja Allah sijui kwa nini?

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Před 9 měsíci +9

    Mungu akuepushe na Hassad za walimwengu

  • @rukiaabdul7191
    @rukiaabdul7191 Před 24 dny

    Wewe huna uislam wowote.Mwanamke wa kiislam anajistiri.

  • @user-zd6lv4il1t
    @user-zd6lv4il1t Před 7 měsíci

    Yes Dada lazima uwe matured

  • @christinamwangoc4779
    @christinamwangoc4779 Před 6 měsíci +1

    Sasa anahojiwa kama mwanamke alie achana na shujaa, sijapata point

  • @user-rg8wj6tu1m
    @user-rg8wj6tu1m Před 7 měsíci +2

    Interview yenu inakelele sana haijatulia

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 Před 7 měsíci

    Hongera rangi ya yellow unaipenda kwa nguo na ngozi yellow

  • @hawaomary1957
    @hawaomary1957 Před 7 měsíci

    Kwa hapo Umekomaa kiakili my dear hasa upande wa dini hujaweza kuyumba kwenye dini umebaki na msimamo uleule wa kubaki kwenye uislam kwa ajili ya kuepuka kuyumbisha watoto kwenye dini allah akufanyie wepesi na atakulipa maana ameona moyo wako. Na usilazimishe mtu ajue moyo wako.akijua mungu inatosha

  • @zulekhaal-mandhry757
    @zulekhaal-mandhry757 Před 5 měsíci +1

    Masha Allah keep going lea watoto wako usirudi nyuma

  • @Mateen7912
    @Mateen7912 Před 7 měsíci +1

    Jamani mjukuu wa bibi yangu Mama Masanja wa Kisosora Tanga Lulu Masanja RIP ndio mama yako kina Osca Masanja

  • @user-ix9rn5yh4l
    @user-ix9rn5yh4l Před měsícem

    hata iwe vipi usijekumdai matumizi ya watoto

  • @user-ix9rn5yh4l
    @user-ix9rn5yh4l Před měsícem

    mpeni kichwa hio uzuri ina mwisho

  • @samiramohamed5925
    @samiramohamed5925 Před 7 měsíci

    The music is so loud

  • @jyjang6155
    @jyjang6155 Před 7 měsíci

    Waooo kijitonyama sekindari nimesoma pia❤

  • @aminajuma4743
    @aminajuma4743 Před 7 měsíci

    Sauti ya music ipoh jus hatak mtumba haskii.vzr ukiongeza Saudi keeler zinazid

  • @mbaroukrashid6201
    @mbaroukrashid6201 Před 7 měsíci

    ELIMU KUBWA KWA BINADAMU KWANZA NI KUMTAMBUA MOLA WAKE UMEVUA MITANDIO UPO UCHI THEN UNAJISIFIA 😅😅

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 Před 3 měsíci

    mtangazaji nisaidie kumpata huyo hata kama anakataa Tena ndoa nisaidie

  • @ummuraw6372
    @ummuraw6372 Před 7 měsíci

    Muonea huruma sana huyu dada hta kma alipta matatizo kwa mume hakutakiwa amkere na mola wake nahisi katangaza vita na Mola wake. Allah amuongoe hamkomoi dr mwaka anakomoa nafsi yke ikiwa hakubadilika atakuja kujuta

    • @jacqueli18
      @jacqueli18 Před 7 měsíci +1

      Sawa mwaya😂😂😂😂😂njaa itakuua

    • @stellafurael2925
      @stellafurael2925 Před 7 měsíci +1

      Dada queen sio muislam mwenzio alibadili dini kwaajili ya ndoa

  • @liliantemu2709
    @liliantemu2709 Před 7 měsíci

    Mshauri awe ba duka lake la nguo na urembo atatoboa

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 Před 3 měsíci

    naomba unijb

  • @stellacosmacy4785
    @stellacosmacy4785 Před 7 měsíci

    Nikuombee tufanye kazi wote

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před 7 měsíci +2

    Muislam gani ama muislam wa kisasa maana ujajisitiri sura

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Před 8 měsíci +1

    Huna mpango wa ndoa lkn kuzini ndio mnapenda

  • @CatherineKabelege-te3yo
    @CatherineKabelege-te3yo Před 8 měsíci +2

    Uyu dada ana akili

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 Před 3 měsíci

    mmeachana kwer ? nichk in Bobo bc

  • @elizabethmuli5911
    @elizabethmuli5911 Před 8 měsíci

    Karibu Kenya kwa pastor Ezekiel wa new life church,ufuguliwe kwa vile ulikuwa mchepuko kwa hio ndoa,kwa maana ulikuwa umeoleka mke wa pili,njoo uvunje Roho ya taraka na upate ndoa ya kwako peke yako iyo ya ku shere

    • @onlyonetztv610
      @onlyonetztv610 Před 8 měsíci +2

      Acha utapeli wewe

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 7 měsíci +2

      Hiyo ndoa ya mke mmoja lakini huyo mwanaume wa mke mmoja ana michepuko kila kona tofauti ipo wapi maana nawashangaa mimi nyinyi wenye ndoa moja lakini hamutulii na huyo mmoja bado munawaendea nje

    • @vailethmbulule8339
      @vailethmbulule8339 Před 7 měsíci +1

      ​@@FatimaAli-of4ghkuna baba ana wake watatu lkn anachepuka mpaka na mabint wadogo😂😂

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 Před 8 měsíci +1

    Bui bui liko wapi Leo ?

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 8 měsíci +2

    Uroho wa umaarufu una mwisho wake. Ndoa umeikataa mwenyewe na ukadai talaka kwa nguvu sasa kazana kulea watoto maana kila jambo zuri lina ubaya wake pia.

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Před 7 měsíci +2

      Hayajakufika ila siku yakikufika ndo utaelewa, utatambua kama hakuna mwanamke anaekataa ndoa pasi na sabab za msingi, narudia Tena, hayajakufika na uombe yaskufike

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 Před 7 měsíci

      Mh!

    • @theresiamwandara7990
      @theresiamwandara7990 Před 7 měsíci +2

      Km unaona kwako ndoa ndio maisha endelea nayo na acha kuyaangalia ya wengine

    • @pueblo148
      @pueblo148 Před 7 měsíci +2

      Aliacha mwaka kulea watoto.mwaka mzima hatoi matumizi Sasa si Bora uwe huri ujipange badala ya kua na nfoabjiba?

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 Před 7 měsíci +1

      ​@@nahlahassan-fd6leKweli umesema sawa.

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 Před 8 měsíci +3

    Peponi tena usinichekeshe😅😅

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Před 8 měsíci

      Chiz huyo hajielew wana wake wa pepon ata mfano wake tu huku duniani hamna

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 8 měsíci +1

      @@awadhally1052 Aache kufuru...wazuri hawajitembezi😃

  • @TimciTanzania
    @TimciTanzania Před 8 měsíci

    Mwandishi mbona kama na wewe unamtamani mama wa watu

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 Před 8 měsíci

    Ndowa ya nini nawewe mzuri na tendo la ndowa au zinaa siunafanya freshi tu pesa ndokila kitu mungu aloamrisha watu waoane hana maana pumbavu zako

    • @user-ih9xy5vd5d
      @user-ih9xy5vd5d Před 6 měsíci +2

      Ebwana umesoma shule gani aisee? Hata kuandika kuwezi duuu😅😅

  • @user-ix9rn5yh4l
    @user-ix9rn5yh4l Před měsícem

    ndio maana

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Před 9 měsíci +2

    Hasbiallah waneemal wakeel Bismillah Mashallaah yani wewe dada ni mzuri mpaka mzuri tena kama umetoroka peponi wallah

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 Před 7 měsíci

    Mtangazaji akiri yake inasema daah bonge la lishangaziiii😀😀😀

  • @elizabethmuli5911
    @elizabethmuli5911 Před 8 měsíci

    Karibu Kenya kwa pastor Ezekiel wa new life church,ufuguliwe kwa vile ulikuwa mchepuko kwa hio ndoa,kwa maana ulikuwa umeoleka mke wa pili,njoo uvunje Roho ya taraka na upate ndoa ya kwako peke yako iyo ya ku shere