MKE WA DR MWAKA, WATOTO WANGU NALEA MWENYEWE ,SINA MPANGO NA NDOA KWA SASA , BIASHARA TU
Vložit
- čas přidán 10. 10. 2023
- KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE CZcams CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
Follow Us On:
INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
TWITTER: shorturl.at/luzLZ
FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv - Zábava
Hasbiallah waneemal wakeel Bismillah Mashallaah yani wewe dada ni mzuri mpaka mzuri tena kama umetoroka peponi wallah
@zawadidadzie2600nadhan hujamuelewa hajamaanisha kwamba kwa Dr mwaka ni peponi kasema urembo wake kama mrembo flan alietoroka peponi
Background drums zimeharibu interview
Nimeipenda hiyo "nice one".😂😂😂
Kama kweli DR Mwaka alikuwa mbaya kihivyo mbona jina lake Ndo huwa kichwa cha habari? Dr Mwaka sio Malaika hukosea kama binadam wengine, kama kweli hamtumii nyota yake muwe mnamtaja mtalaka wake Kwa jina lake , namuombea kila la Kheri Ila asikubali mahojiano yanayohusi x wake , hata nyinyi waandishi msipende saana kuchonganisha, DR Mwaka kumuoa huyu binti imekuwa kama adhabu Sasa kwake , mwacheni dada apambane na Mungu Ndo mtoa rizk Ila msipende kuweka vichwa habari vya Dr Mwaka huku hapo hausiki tena
NEEMA YA MUNGU IKUTEMBELEE UMRUDIE YESU.
Na sjui Kwa nn mnapenda kumtaja yesu kweny comment mhhh
@@nahlahassan-fd6lekwani Kuna ubaya
@@nahlahassan-fd6lehata watu hupenda kumtaja Allah sijui kwa nini?
Mungu akuepushe na Hassad za walimwengu
Wewe huna uislam wowote.Mwanamke wa kiislam anajistiri.
Yes Dada lazima uwe matured
Sasa anahojiwa kama mwanamke alie achana na shujaa, sijapata point
Interview yenu inakelele sana haijatulia
Hongera rangi ya yellow unaipenda kwa nguo na ngozi yellow
Kwa hapo Umekomaa kiakili my dear hasa upande wa dini hujaweza kuyumba kwenye dini umebaki na msimamo uleule wa kubaki kwenye uislam kwa ajili ya kuepuka kuyumbisha watoto kwenye dini allah akufanyie wepesi na atakulipa maana ameona moyo wako. Na usilazimishe mtu ajue moyo wako.akijua mungu inatosha
Masha Allah keep going lea watoto wako usirudi nyuma
Jamani mjukuu wa bibi yangu Mama Masanja wa Kisosora Tanga Lulu Masanja RIP ndio mama yako kina Osca Masanja
❤❤❤❤
hata iwe vipi usijekumdai matumizi ya watoto
mpeni kichwa hio uzuri ina mwisho
The music is so loud
Waooo kijitonyama sekindari nimesoma pia❤
Sauti ya music ipoh jus hatak mtumba haskii.vzr ukiongeza Saudi keeler zinazid
ELIMU KUBWA KWA BINADAMU KWANZA NI KUMTAMBUA MOLA WAKE UMEVUA MITANDIO UPO UCHI THEN UNAJISIFIA 😅😅
mtangazaji nisaidie kumpata huyo hata kama anakataa Tena ndoa nisaidie
Muonea huruma sana huyu dada hta kma alipta matatizo kwa mume hakutakiwa amkere na mola wake nahisi katangaza vita na Mola wake. Allah amuongoe hamkomoi dr mwaka anakomoa nafsi yke ikiwa hakubadilika atakuja kujuta
Sawa mwaya😂😂😂😂😂njaa itakuua
Dada queen sio muislam mwenzio alibadili dini kwaajili ya ndoa
Mshauri awe ba duka lake la nguo na urembo atatoboa
naomba unijb
Nikuombee tufanye kazi wote
Muislam gani ama muislam wa kisasa maana ujajisitiri sura
Huna mpango wa ndoa lkn kuzini ndio mnapenda
Tulia ww shoga wa kiume
Unaongea tu kw avile. Aliopoitia we ujapitia
@@deboramartin8111Tena shogale😅
Ujuwi mtu anapitia Nini akuna mwanamke asie taka kuolewa kaka
Amekwambia anapenda uzinzi???😢
Uyu dada ana akili
mmeachana kwer ? nichk in Bobo bc
Karibu Kenya kwa pastor Ezekiel wa new life church,ufuguliwe kwa vile ulikuwa mchepuko kwa hio ndoa,kwa maana ulikuwa umeoleka mke wa pili,njoo uvunje Roho ya taraka na upate ndoa ya kwako peke yako iyo ya ku shere
Acha utapeli wewe
Hiyo ndoa ya mke mmoja lakini huyo mwanaume wa mke mmoja ana michepuko kila kona tofauti ipo wapi maana nawashangaa mimi nyinyi wenye ndoa moja lakini hamutulii na huyo mmoja bado munawaendea nje
@@FatimaAli-of4ghkuna baba ana wake watatu lkn anachepuka mpaka na mabint wadogo😂😂
Bui bui liko wapi Leo ?
Buibui ndio nn na ww😂😂😂😂
Ataonekana vipi nawadogozake mwaka Duniani😂😂
@@salamasaidi6620😂😂😂the
Uroho wa umaarufu una mwisho wake. Ndoa umeikataa mwenyewe na ukadai talaka kwa nguvu sasa kazana kulea watoto maana kila jambo zuri lina ubaya wake pia.
Hayajakufika ila siku yakikufika ndo utaelewa, utatambua kama hakuna mwanamke anaekataa ndoa pasi na sabab za msingi, narudia Tena, hayajakufika na uombe yaskufike
Mh!
Km unaona kwako ndoa ndio maisha endelea nayo na acha kuyaangalia ya wengine
Aliacha mwaka kulea watoto.mwaka mzima hatoi matumizi Sasa si Bora uwe huri ujipange badala ya kua na nfoabjiba?
@@nahlahassan-fd6leKweli umesema sawa.
Peponi tena usinichekeshe😅😅
Chiz huyo hajielew wana wake wa pepon ata mfano wake tu huku duniani hamna
@@awadhally1052 Aache kufuru...wazuri hawajitembezi😃
Mwandishi mbona kama na wewe unamtamani mama wa watu
Yani😂😂ila wangependezana ee
@@BerthaModest San tu
Yaani mtangazaji mroho huyo
Ndowa ya nini nawewe mzuri na tendo la ndowa au zinaa siunafanya freshi tu pesa ndokila kitu mungu aloamrisha watu waoane hana maana pumbavu zako
Ebwana umesoma shule gani aisee? Hata kuandika kuwezi duuu😅😅
ndio maana
Hasbiallah waneemal wakeel Bismillah Mashallaah yani wewe dada ni mzuri mpaka mzuri tena kama umetoroka peponi wallah
Subuhanallah...lntakillah
Mtangazaji akiri yake inasema daah bonge la lishangaziiii😀😀😀
Karibu Kenya kwa pastor Ezekiel wa new life church,ufuguliwe kwa vile ulikuwa mchepuko kwa hio ndoa,kwa maana ulikuwa umeoleka mke wa pili,njoo uvunje Roho ya taraka na upate ndoa ya kwako peke yako iyo ya ku shere
Acha utapeli wewe Tapeli mchanga
MMMHHHH
@@onlyonetztv610😂😂😂😂
@@nahlahassan-fd6le 😂😂😂