PART 1: DR. MWAKA AIBUKA, HAJAKUBALI NDOA KUVUNJWA, AMVAA SHEIKH WA DSM "HAYA NI MATAPISHI, AIBU".

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 930

  • @deejulesdonatha4107
    @deejulesdonatha4107 Před rokem +28

    Baby lets go vacation ukiachwa achika mwanamke mpaka adai talaka ujue kavumilia mengi

    • @vaskosamweli3556
      @vaskosamweli3556 Před rokem

      Sio Kavumilia mwanamke akipataga mwanaume wakumdanganya anaanza kudai taraka kwa nguv sio kma anakua ananyanhaswa

  • @nemecymsanya4952
    @nemecymsanya4952 Před rokem +31

    Bro Acha na social network endelea na maisha yako na biashara zako cha msingi lea watoto wako. Ushauri wa bure Dr mwaka piga kazi askari wangu.

    • @jescadeogratias5292
      @jescadeogratias5292 Před rokem +1

      Akitaka janja janja ya kukwepa kulea.Talaka ishatoka,na unapangiwa matumizi ya watoyo

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 Před rokem

      Sio suala la social media. Yule Mwanamke amefanya katika social media ili kumuhaibisha Dokta Mwaka. Kuna watu wamekatwa masikio na wengine wamekatwa Uume, lakini hatuja wahinkuwasikia mambo yao ya kuachana. Yule Mwanamke anajua fika kwamba dokta mwaka social media guy and I don't agree with most of things anavyoongea kwenye vipindi vyake. Ila hili hapa hiyo ndio ilikuwa dawa yake yule Mwanamke

    • @amirishauur5795
      @amirishauur5795 Před rokem

      apo kuna mali iningia pasu babuu uspoongea unaeza ukapishana

  • @tmt2642
    @tmt2642 Před rokem +12

    Jamaa kachanganyikiwa huyu..hajakubali kuachwa😂😂😂😂

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir3363 Před rokem +6

    Ushauri wangu kwako Mwaka. Kwakua Mke wako ameshasema kwamba kwambahakutaki na anataka talaka yake ni bora ukampa talaka yake kwa kheri na salama mukatengana kuliko kuja kulazimisha kutomuacha kisha aidha wewe ama mke wako mmoja wapo akaja kufanya jambo kisha akaja kulijutia maisha yake yoooote.

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 Před rokem

      Kaka hapo utambue Jambo 1.la msngi dr hakatai kuachana na mkewe ila hapo kuna Jambo nyuma ya pazia analihofia kua yawezekana wabaya Wake wakatumia nafasi hiyo ya ugomvi na mkewe kumuarest anachotaka ni vipengele vya sheria ya mungu kufuatwa

  • @krintonnyembo4759
    @krintonnyembo4759 Před rokem +23

    Kaka uliambiwa uombe radhi ukagoma,hata kama huna nywele Kaa,tulia wakunyoe vyema sasa.

    • @nathalieswedy3653
      @nathalieswedy3653 Před rokem +1

      🤣

    • @fadhilhelebula664
      @fadhilhelebula664 Před rokem +1

      😂😂😂😂

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 Před rokem +2

      😂😂😂😂 hilo neno

    • @betridajulias7676
      @betridajulias7676 Před rokem

      Nyie wanaume Mungu tu awasaidie tena nyaza tu.Nyie upenda kunyanyasa wanawake nasi tumeumbwa tunamoyo pia ndokashachoka mwenzio.Ukiachwa achika,ulitaka umuache mke maana ndo imekuwa kawaida ila mwanaume kuachwa niaibu

    • @betridajulias7676
      @betridajulias7676 Před rokem

      We siunzonga pesa sasa umeumbuka

  • @zuwenaadja2261
    @zuwenaadja2261 Před rokem +10

    Unachokilalamikia nini Dr hapa😂 ukiachwa achika basi.

  • @universitylink
    @universitylink Před rokem +5

    Doctor mwaka uko right kwa haya unayoyaongea tunakuomba uwende usuluhishe issue ya mkeo kifamilia na kwa kadhi vizuri sana Allah awalipe kheir wote nyie

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +45

    Mwaka mzima hujamgusa mkeo 🙄 huduma huna lakini kumtumia police pia hapana ndoa hapo muache atapata mwengine 😄 mwanamke mzuri kama yule

    • @augustkisaka5107
      @augustkisaka5107 Před rokem

      Kama amuneshi mwelekeo

    • @buthainaayoub9107
      @buthainaayoub9107 Před rokem +2

      Wewe hujui chochote hebu olewa ndo utajuwa anachoongelea mwaka, mnaishi na maboyfriend mnaacha kihuni huni basi unadhani pia ndoa zinaenda hivyo

    • @mwanatz5980
      @mwanatz5980 Před rokem +1

      @@buthainaayoub9107 Pole sana usichokijua sawa na usiku wa kiza mimi naijua ndoa ndio maana nikajibu ndoa sio vita ndoa nimakupaliano ya watu 2 mmoja akichoka hakuna ndoa hapo

    • @mwanatz5980
      @mwanatz5980 Před rokem

      @@buthainaayoub9107 hivi wewe mwanamme alie oa anawezaje ukishi na mwamke bila kumgusa wakati ndio kilicho waunganisha wakaingia kwenye ndoa tendo la ndoa

    • @amosiabdulallh7965
      @amosiabdulallh7965 Před rokem

      Hao mashehe anafunjwa ndoa yako kwasababu,hio ndoa alifunga ndo mashehe hao ,ww nenda kwenye mahakama wao atagawa Mali,kama ww muislamu kweli kama ujakaa nae mkeo Kwa cku 40 basi hio ndoa imefunjwa ww mwenyewe

  • @iam_mobam
    @iam_mobam Před rokem +8

    Dr. Maisha Hayana Tafsiri Kaka.🤝🏾

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 Před rokem +33

    3. Popote mtakapoenda mkeo atakuwa mshindi kwasababu tu hataki
    4. Kitendo cha mkeo kushinda kinaleta tafsiri kuwa wewe unalazimisha mapenzi kitu ambacho wewe unapigania taratibu
    5. Wanawake by nature sio watu wenye uoni mkubwa wa mbali Kama huyo mkeo japo sijamsikiliza saana hoja zake kubwa unapopishana na mwanamke jst get cool for some while
    6. Jambo lengine unaongea fact but unataja vitengo vingi Kwa wakati mmoja , mufti, qaadhi, haiat ulaamaa
    Kitu ambacho hizo department zengine hazifanyi kazi ya uqaadhi but wanakazi labda za kufutu masaala na mfano wake
    7. Andika barua kwenda kwenye tanzu tofauti ili kulipush Jambo lako ni educative way more than the way you move cs you can't learn from wrong doers

    • @nyungurehassan2779
      @nyungurehassan2779 Před rokem

      Wewe unjua huy hatuelewani kwnn uwehakimu? wahivyo mmmmmmmm

    • @tonygee5680
      @tonygee5680 Před rokem

      Kabisaa

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 Před rokem +1

      Ameshasema hana tatizo la kumuacha yule Mwanamke. Alikuwa tayari pamoja hakutaka yeye amuache. Anampenda lakini hataki kuishi naye.
      Lakini Mwanamke kwenye Uislamu anaweza kumuacha mwanamme kwa kusema tu na kumrudishia Maali yake na kusema. Ila unajua adhabu za Allah kwa mwanamke anaye muacha Mwanamme kwa mambo ya kidunia?? Pamoja Mwanamke hana Haqqi yankutoa taraka kwani taraka iko kwa Mwanaume. Kwani hakuna Nwanamke au Wanawake walioomba taraka kwa kurudisha maali yake wakati wa mtume Muhammed SAW na maswahaba ?? Ndio maana Mwanaume akapewa Haqqi yankutoa taraka wewe Maulidi usiwe kama Kuffar. Kwa sababu angalau sisi tuna logic and thinking via our brain not emotions. Una uhakika mwanamke alikuwa hapati matumizi wewe??
      Wanawake wengi sasa hivi wanaangalia Maslahi ndugu yangu. Kama hauna kitu kwangu pakavu tia mchuzi, wala usijali kwani huna kitu anyway. Lakini kama una hali nzuri ya kiuchumi, kiwa mwangalifu ndugu yangu.
      Huyu Mwanamke ni Gold digger na ana ndugu wale ukiwaangalia wote they are after money and wealth.
      Mali ni za Dokta Mwaka na akiamua kumpa chochote yule mwanamke kwa sababu tu tuachane kwa wema tu. Watoto wake dokta mwaka ni wakubwa above 7 years old. Anaweza kuishi nao na yule mwanamke kutambaa zake.
      Pili, dokta Mwaka amesham replace yule Mwanamke na alikuwa tayari amepanga kumuacha lakini kuna issue za mali kwani yule Mwanamke alikuwa amekabidhiwa mali ambazo zina fungamana na watoto wengine. Kwanza mtu wenyewe ameshakuwa mzee yule. Dokta mwaka ameshakamata katoto kazuri, kabichi cha miaka 20s huko...😂😂😂😂. Kudadeki..... High Value Man always has options. Wewe ukisusa watu wanakubadilisha tu.
      Marekani na Ulaya watu kama akina dokta Mwaka, wanawa sainisha Wanawake zao kitu kinachoitwa PRENUP PAPERS. Yaani, ikitokea ndoa imekufa, Mwanamke anaondoka na nguo zake kama alivyokuja tu. Kwani wanaume wamechoka kudhulumiwa mali kutokana na kisingizio cha ndoa. A lot of men in the western countries, lost everything because of divorce. Tena huko nwanamke amepewa taraka mkononi. Wanawaacha Waume zao right and left. Women walk away with kids, money and wealth. Men remain bankrupt. Tena hapo bado child support and spouse support on top of it. Sisi tuna geza tu.
      I know these kinds of women.
      They are Gold digger..... Wanakuzalia watoto wawili au watatu na halafu wanasingizia huwapi matumizi, unawanyanyasa , umpendi au sababu yeyote ile na kudhalilisha mbele za watu kama vile.
      Bora Mwaka afuate sheria aliache lile zee na kuleta chombo kipya. Wazuri wanazaliwa kila siku.
      Hata mimi wacha nikaongeze Mke wa 3 sasa hivi. ... 😋😋😋😋😋
      Yule mwanamke sio mpumbavu anajua adhabu ya

    • @cheka480
      @cheka480 Před rokem +1

      @@hamidudongo1879 hakuna atakaeingia kaburini kijana, jaribu kuangalia vidole vya mkono uloumbiwa na Allah

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Před rokem

      💯%

  • @chumaulete7273
    @chumaulete7273 Před rokem +7

    Kwa ninavyo kuona tutasikia suala la watoto umepelekwa tena mahakamani....

  • @ahmedsalim4930
    @ahmedsalim4930 Před rokem +5

    Well said brother ilikua haina haja kuiweka vedio kidunia ur in good thinking tomorrow may Allah protect you

  • @jeybullaz9323
    @jeybullaz9323 Před rokem +42

    DOCTA MWAKA UNAPENDA FUJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
    Ukiskiliza vizuri shekh Alhad alichokiongea utamuelewa vzuri tu.
    1- Baraza la maulamaa(MASHEKHE) lipo chini ya utaendaji wa bakwata.
    2-baraza la maulamaa pia lina dhamana ya kusuluhisha kesi za ndoa kutoka ktk ofc ya kaddhi.ckiliza Vzur dakika 5:18
    3-Kaddhi mwenyewe anaesuluhisha kesi nimwanachma husika ktk baraza la maulamaa,,na ktk kutoa suluhu hii uliopewa na yeye alikuepo. Ckikiza Vzur dakika ya 5:44
    4- nahuyo shekh Alhad unaemtuhumu kua hana mamlaka,,ujue yeye ndio MWENYEKITI WABARAZA HILO lamaulamaa waliokaa na kutoa hukumu hio,akiwepo kadhi. Ckiza dkk 5:55
    5 - KIUFUP HILO NI BARAZA LA MASHEKHE WA BAKWATA na akiwemo kadhi ndani ndio wamevunja ndoa yako,, ckiza vzur dkk 7:47
    6- naukitaka kuamin kua huyo kadhi unaemtaka wewe ndio avunje ndoa yako na yeye alikuepo kwenye kikao ckiliza vzur dkk 8:8
    7- dakika ya 8:21 shekh Alhad amesema wao kama ofc ya Baraza la BAKWATA mkoa,,wanakupa ruhusa ya kukata rufaa ndan ya cku 30...
    Maanayake nikwamba rufaa yako peleka ofc za bakwata ukiwandikia Baraza la maulamaa waliovunja ndoa YAKO,,mana hata kadhi unaemtaka nae yumo humo humo ndan ya Baraza hilo.
    8- Akasema tena Shkh Alhad,,kunzia dakika 9:9,,,lengo la vikao hivyo ni jema na ndio utaratibu unaotunika ktka ndio zote.
    9- Akaendelea tena kusema Shekh Alhad ,swala hili limekuja ktk sura tofaut ndiomana na sisi tumelileta kwanjia ile ile ya tofauti.
    MAANA YAKE NIKWAMBA
    Baraza hilo Halina utaratibu wakutanga talaka zawatu ktk vyombo vya habari,,Ispokua kwakua Swala hili lako limekuja kimitandao ndiomana na sisi tumelileta kimitandao Ili watu wote wapate kujua na kufahamu.
    SASA DOKTA MWAKA AMBACHOHUJAELEWA HAPO NI NN KAMA SIO WEWE UNAPENDA SHARI NA SHEIKH ALHAD...KUBALI YAISHE DOKTAAAAA

    • @ireneassey2022
      @ireneassey2022 Před rokem +2

      Anaona atapata aibu

    • @mashulano4362
      @mashulano4362 Před rokem +3

      Alhad na mwaka hawapatani, kwahyo kama Mmoja wapo anakuwa hakimu wa mwenzie lazma amnyonge tu

    • @mariamjuma4136
      @mariamjuma4136 Před rokem +2

      Yaani anatea ata aibu kila kitu kiko wazi sijui kilele za nini mpaka anakera
      Yeye yake yanaenda anaendelia na maisha yake na wake zake wengine
      Queen ajieliwe yuko wapi
      Mjeuri mbishe sijui utamsaidia nini. Mwanamke mwenyewe ndio anataka talaka anataka ata BAKWATA pia wammbembelizi
      Kubari kushuka Dr Mwaka acha kilele

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem +1

      Kaka wewe ni noumer😅

    • @hajihamisi6929
      @hajihamisi6929 Před rokem

      kweny uislam hakuna kitu kinaitwa shekh wa mkoa shekh alhadi anakosa kuwa na mamlaka coz sharia ya uislamu haijampa mamlaka hayo never someni fiqhi vizur👌👌👍
      ila kadhi anaruhusiwa kuvunja ndoa na pia sio kwa taraka ila ni kwa fiqhi ina vipengele vinavyolazimu ndoa kuvunja ikiwa mmoja aridhiki na mwenzie na hakuna uwezo wa kupatana hata kwa kuvumiliana basi ndoa inavunjwa na mwanamke anakaa eda na eda pia inagaramiwa na huyo huyo mume.
      ikiwa imeshindikana pande zote maelewano basi mwanamke pia anaruhusiwa kujivua kwa kulipa nusu mahali then hakuna ndoa hapo...hiyo ni sheria ya kiislamu..
      LAKIN PIA KWA HEKMA TUUU DOKTA MWAKA AACHANE NAE TUUU HUYO MWANAMKE KWA NIN ASUMBUE WATU KAMA ANAMPENDA ATAFUTE SOLUTION BAINA YAO WALA ASILETE MITANDAONI WANAITIA AIBU DINI
      alhayaau minal iiman...
      ALAFU NASHAURI KWA KILA MUISLAM TARAKA NA MAMBO YA NDOA SI YA KUWEKA HADHARANI ALLAH HAPENDI KUTOLEANA AIBU ZA NDANI YA NYUMBA KILA MTU AMSTIRI MWENZIE THEN MNATENGANA KWA AMANI KILA MTU AISHI MAISHA YAKE
      Allah atuongoze sote waislamu inshaallah.

  • @neemashuma5595
    @neemashuma5595 Před rokem +6

    Ngazi ya familia ya nini muache Queen aendelee na maisha na wewe na baby let’s go vacation endeleeni

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 Před rokem +9

    Queen anatakiwa Baba 🤣🤣🤣🤣

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 Před rokem +8

    Usituchoshwe kama umeona ujatendewa haki mufti kasema ukate rufufaa kwendaaa

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Před rokem +7

    mwanamke hakutaki toa taraka bhana

  • @gaudencemihungo4348
    @gaudencemihungo4348 Před rokem +63

    Kama unataka kuongea na muft kwa nini usiende kuonana naye ofisini kwake, hapa uongei na muft, unaongea na umma kwa lengo la kuleta vurugu.
    Kama mke ulimshawishi wewe mpaka mkafunga ndoa, unashindwaje kumshawishi mkeo arudi kwako?
    Nadhani umeshindwa kukaa na mkeo.
    Kwa sasa huna ndoa na Queen, mlianza sirini mnamaliza hadharani, tena mitandaoni.
    Acha vurugu, tunajua una bifu na Shekhe wa mkoa.
    Jitahidi kuuza dawa zako achana na Shekhe wa mkoa.
    Queen ameenda,

    • @ramadhanyusuf2401
      @ramadhanyusuf2401 Před rokem +3

      Huyu ndoa imemshinda

    • @mercynadia3140
      @mercynadia3140 Před rokem +4

      Hii msg ikufikie Mwakastress kubali matokeo sio mume mzuri

    • @zigzag4487
      @zigzag4487 Před rokem +1

      Huyu sheikh wa mkoa aliekua anamuita magu ni Mungu au yupi

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 Před rokem +1

      Ushabiki

    • @gd1926
      @gd1926 Před rokem

      Kweli wewe kiazi kweli kweli kwaiyo hata huoni kuwa huyo sheikh kakosea

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Mume na mke ndio wanahusika na suluhu na kiukweli sio vizuri kufanya haraka kwenye talaka ila ingetakiwa wawaite wakae pamoja family ikishindikana kabisa yote talaka itoke au ajivue ndani ya ndoa mke kwa kumrudishia mahar yake, maana sisi ni binaadam na ndoa siku hizi watu huhujumiana katika ndoa kuharibiana kama wana vinyongo na mtu akapata nafasi ya kuharibu ndoa ya mwingine. Kisheria mwanaume ana haki zaidi katika sulhu yeye na mke wake n mazungumzo yangesimamiwa ikishindikana ndipo itoke, ila umashuhuri nao na macho ya watu. husda na uchawi n.k huchangia mengi watu wakachukiana bila sababu. tusishabikie maana ndoa sio kitu chepesi maana kuna wapambe wengi na mahasidi kila pande. sio vyemakushabikia ugomvi maana hujui tatizo liko wapi nje au ndani au kutokana na remote za kichawi

    • @zuwenaadja2261
      @zuwenaadja2261 Před rokem

      Alivyokua anatamba marekani na mke mwingine hakujua anamgogoro akatengeneze kwanza na mwanamke wake kwa familia mbona mda wakutamba aliupata? Ndoa ina mwaka akiwa kwenye vurugu kwanini mme yeye asingelipushi kifamilia zaidi anadai kupushi sasa hivi by the way mke kakataa kushuruhishwa hata wangeenda popote kama ameshaamua kuachana unadhani kuna mtu angemstopisha pale maana mke ndie alie amua sio ngazi yoyote ilioamua akiachwa akubari kuachika maana popote atakapoenda kudai matoke yatatoea tu kupewa taraka yake maana ndie hataki kuishia nae sasa na mapenzi hayarazimishi…

    • @yousuphnzira3209
      @yousuphnzira3209 Před rokem +1

      Fact

    • @amarually5457
      @amarually5457 Před rokem +1

      Nduguyangu wewe umeongea walichotakiwa kuongea wahusika lakini wahusika ndio wanachochea talaka baada ya kusuluhisha wao wanashabikia sasa sijui inaleta imanigani kwetu mtu anaetakiwa kupatanisha anafarakanisha hakuna mkamilifu mtu anakosea mpenimaelekezoiliajue alipokosea nini maana ya usuluhisho

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Před rokem

      @@zuwenaadja2261 ila unajua kitu kimoja kama ushawahi kukaa katika ndoa au ukasuluhisha migogoro ya ndoa kuna maneno mengine yanayosemwa na.mmoja wapo au wote ya kusikia kutoka kwa mtu fulani anamuambia mke wako.kafanya kadha wa kadha au mume wako kasema.kadha wa kadha na kumbe mtu akachukulia kw kuwa.wana ugomvi na wakautoa wapo wachonganishi wazuri na wakati wa sulhu wakiitwa wanakimbia, pili kuna maneno ya dhana kabisa mtu anaweza akamdhania mwenzie kupitia vitu fulani au kuona akadhania tu, na tatu kuna maneno ya kutengeneza.mtu akoleze chumvi aonekane yupo sawa na pia katika pande zote hasira huwa juu kila.mmoja anataka mwenzie ajishushe na kuna kahuruma pengine na mapenzi yapo nimeshuhudia ndoa mtu katoa talaka.mpaka tatu na anampemda mkewakena mke bado anampenda mume lakin kuna tishia nyau tu. mnaweza kukuta mambo yanabadilika kwa wengine, mambo ya kuingia sana na kuwasemea wana ndoa yashaumbua baadhi ya wazazi. kuna watu eamepeana talaka tatu kitu ambacho hawaruhusiwi tena kuish pamoja mpaka ipite ndoa mke aolewe na mtu mwingine kisha aachike mtu anafanya hadaa na kumwambia rafiki yake aoe kisha amuache siku mbili waweze kuoana tena na hii haramu. sio kila wanaotaka kutalikiana wanachukiana wakati mwingine wanaopendana hugombana na siku mbili washakuwa pamoja, wangapiwanatiana magumi lakin wanapendana sana. kuna jamaa walishabikia ugomvi wa ndoa ya dada yao na shemej yao wakawa wanamuna shemej yao kama taka na wakakuta siku chache mbele wenzao wanarudiana na kuitana wapenzi na wao wanaonekana washenzi, mapenzi ni kama lenzi, hu zoom moyo wa mwenzi, wakigombana wapenzi, hata wakipigana konzi, usijejitia tanzi kwa kuingilia penzi, wakipatana wapenzi, watakuita mshenzi,

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Před rokem

      Ni rahisi kuongea huwezi kujua maisha ya hyu dada

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 Před rokem

    Tatizo lugha zako sio nzuri na ujuwaji mwingi siungi mkono yote ila jitambuwe kabla ilitokea matatizo wew na huyo sheikh wa mkoa sasa unawaingiza wengine kuwa wahuni. Kauli sio nzuri

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi Před rokem +8

    Kwan huyu Mwaka kwann hataki kutoa talaka? Tuanzie hapo kwanza, maana kupelekwa bakwata ni kuwa kagoma kutoa talaka na bado anaonesha hataki kutoa talaka! Sasa kwann usimpe mwenzio talaka awe huru? Haupo nae zaid ya mwaka mzima, hakutaki nawe humtaki kwann usimpe talaka? Unaonekana kama tahira flan hv, manaume ya hv ni masenge sana, linakung'ang'ania na wkt hampo pamoja. Shame on u Mwaka

    • @lissamnyingi6457
      @lissamnyingi6457 Před rokem

      Siri anaijua yy Dr Mwaka Kama alikuwa anatembelea nyota ya qeen akisha muacha Kila kitu kinamfuata muhusika.

    • @joharikasuwi6973
      @joharikasuwi6973 Před rokem +1

      Tena yeye anajiona Yuko sawa wakati alishampeleka mwenzie polisi. Usingeenda polisi kaka wanawake tukichoka tumechoka usiombe yakukute sasa vumilia

  • @ramadhanfara2302
    @ramadhanfara2302 Před rokem +9

    Mwaka mzima hautumi hela ya matumizi ya watoto

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Před rokem +12

    Huna tatizo kuvunjika kwa Ndoa kwa sababu unajua Utaenda kuoa Mwanamke mwingine Umchezee tena. Watu kama nyie ndio mkikatwa neti zenu mnalalamika kumbe ni history na tabia chafu za kucheza na maisha ya wanawake

    • @eliaskahory7116
      @eliaskahory7116 Před rokem

      Mmmm vp yamekukuta

    • @lissamnyingi6457
      @lissamnyingi6457 Před rokem

      Kabisa wanatuona hatuna akili unavumilia weee mwenzio anaendelea kula Raha, Mwanamke akishasema Baasi Mzee utahis unaota ila ndo uhalisia si wanadhan mapenzi ni Pesa waoe Bank sasa kunguru wasio fugika

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 Před rokem

      @@eliaskahory7116 😆😆😆😆😆

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 Před rokem

      Kwan kutoa taraka kuna kaz kwanza maan ukiona mtu anaitaj taraka ujue amekuchoka

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 Před rokem +2

    Kuna mambo ya kukushauri dk. Mwanak
    1. Jambo la Kwanza fitna huzimwa kwa uchamungu japo kupigania heshima yako Ni sehemu katika jihadi
    2. Ndoa inaweza ikavunjwa na qaadhi au hata sheikh ikiwa hamna qadhi ndio maana katika sheria Kuna anaitwa muhakkam kiujumla Ni mjuzi wa mambo ya kisheria
    3. Jambo la tatu shida sio sheikh wa mkoa shida Ni mkeo cs popote mtakapoenda

  • @richardmaimu9596
    @richardmaimu9596 Před rokem +4

    I am sooooo confused here!

  • @pendo8082
    @pendo8082 Před rokem +3

    Penz kiberiti washa 🤣🤣ukiachwa achika by barnaba classic

  • @banajuliana758
    @banajuliana758 Před rokem +3

    Uliacha kuwahudumia ukifikiri unawakomoa sasa jnalalamika nini? Koma msosi 👌

  • @rehmamoshi4693
    @rehmamoshi4693 Před rokem +6

    😄😄😄pole sana labda unaogopa kugawa mali sasa kama mwanamke hakutaki shekhe afanyaje

    • @hannanommy302
      @hannanommy302 Před rokem +1

      Rehma umenena huyu anaugomvi na Shekh Alhad apuuziwe mke hamtaki hamtaki ,yeye anaugomvi na Shekhe, Naona Aibu mimi wallah wake wa mwaka wamevumilia mnooo huyu baba ananogwa anajua kutesa hajui kuacha,

    • @vincej9275
      @vincej9275 Před rokem

      @@hannanommy302 kweli kabisa

    • @cdeleo9336
      @cdeleo9336 Před rokem +1

      Ndio anataka kuchukua kila kitu mwanamke asibaki na kitu

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem +1

      Kabisa na hasa hyo nyumba aliomuandikia ndio inayomuumiza kichwa uyu mali ndio inayomtolea mate kusema hapa

  • @amraniramadhani4148
    @amraniramadhani4148 Před rokem +7

    Soma vizuri katiba ya bakwata, baraza la masheikh la mkoa lipo ktk katiba, hio ishu imeisha Isha uza TU dawa

  • @hoseamgema9107
    @hoseamgema9107 Před rokem +9

    Mwalim wa ndoa za wengine ame fail kwenye ndoa yake . .

  • @ummimohammed-pn1oz
    @ummimohammed-pn1oz Před rokem +2

    Talaka ni haki mwanamke akikukata ni haki yake muhimu akurejeshee mahari yako aendelee na maisha yake. Nimemuona kwa macho yangu mwanamke mwenzangu akilia anadai talaka yake mpe usimsumbue maisha mafupi usihadaike na pumzi sote tutakufa na vyote tutaviacha mwacha mwanamke aende salama.

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před rokem +6

    Tia talaka unaongea sana kama mwanamke

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 Před rokem +3

    Kamuowe monalisa. Janaume gani lina wanawake 3 ila bado wazini na wazaa hadi watoto.

  • @salimiddy7769
    @salimiddy7769 Před rokem +8

    Pole sana doctor Mwaka kwa madhila yalio kukuta

  • @mohameddjair1739
    @mohameddjair1739 Před rokem +1

    Good point

  • @ameirothman805
    @ameirothman805 Před rokem +1

    Umekosea sana kuwaita viongozi wahuni dah kaka ni ngumu sana viongozi kukuunga mkono pia ndoa inapo ingia dosari ni muhimu kutatua ttz ila kesi ishakua kubwa cha muhimu stay humble ila usisusie watt chengine zingatia sheria za dini Kuna wakt utaingia mattz bila ya kujua muachie mungu wasichn wpo wengi sana

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Před rokem +3

    Mara paaaap shehe wa dar kumuoa mke wa Mwaka

  • @sashambonde7258
    @sashambonde7258 Před rokem +6

    naludia Tena mwaka acha kelele Wala so we will be Qeen anaolewa mwezi ujao na mchumba ndio mm akutaki amesema mbele ya Shee wetu wa mkoa tuwachie nafasi na sisi tumuudumie Qeen wewe umeshindwa Tena ukiendelea ntakushitak kwasasa Qeen ni mke mtalajiwa acha fujo kumtunza ulishindwa acha tukuoneshe maisha ya mke anavo tunzwa mwaka ukiachwa achika

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Před rokem +2

    Mwanamke mrembo Sana aisee

  • @thadeikafaranga7744
    @thadeikafaranga7744 Před rokem +15

    ❤❤😂😂😂😂😂 mganga hajigangi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @faizaldaud7628
    @faizaldaud7628 Před rokem +6

    Huyu jamaa anaboa

  • @Boyhoodking
    @Boyhoodking Před rokem +6

    Mwezi March nafunga ndoa na queen. Mtoto mashaallah. Acha sisi tumuhudumie wewe si umeshindwa bwan kaa kwa kutulia. Mwanamke hakutaki Sasa unalizmisha mzee!? Mwaka mzima hujamgusa una haki gani kuwa mume? Fakeni taipu😂

    • @asmamwadini3127
      @asmamwadini3127 Před rokem +1

      Hahahaa

    • @habibaomary3834
      @habibaomary3834 Před rokem

      Haaaahaaaa ukiona cha nini wenzio wasema nitakipata lini ,shamba limekushinda kulima waache wenzio waliiime ,Achia ngazi

    • @habibaomary3834
      @habibaomary3834 Před rokem

      Watu oyoooo hutakiwa bhana km dollar dollar zako muache mrembo wa watu

  • @dicksoncosmas1368
    @dicksoncosmas1368 Před rokem +1

    Mimi nakuelewa sana dokt #yatapita

  • @ameirothman805
    @ameirothman805 Před rokem +1

    Mukiendelea na mvutano huo watt mtawapa wakt mgumu sana endelea na matibabu kwa wagonjwa pia nafc unayo ya kuoa mke mwengine usimize kichwa mpe haki yke mkeo kitokea nyumba Fata taratibu za dini n nchii pia uc force kusema ndoa haijavunjika ila kk kosa kuwaita viongozi wahuni inauma sana hakuna sehemu utakayo enda ukashinda juu y hii kesi

  • @mohammedmakarani2802
    @mohammedmakarani2802 Před rokem +12

    Uko sahihi doctor ila ulijisahau sana shekh wangu vitu vyako ulivianika sana mambo mengine siri ila mambo ya kifamilia yanahitaji siri sana uliyaanika sana hazarani hukujua kua kuna hasadi ila ushauri wangu mwache aendee hapo hakuna tena mapenzi shekh

  • @msakuzikondo536
    @msakuzikondo536 Před rokem +4

    Yupo sahii kabisaa.Chombo pekee chenye uwezo wa kutoa talaka ni Mahakama tu.Sheria ndio inavyosema.Maamuzi ya Bakwata haina mamlaka ya kuvunja ndoa.

    • @madawamchuwa8253
      @madawamchuwa8253 Před rokem

      Kwass waislam hatutambui kitu kinaitwa mahakama labda km mumefunga ndoa ya kiserikali. Huyu mwamba kasitisha huduma mwaka mzima kampeleka mkewe polis ili atoke nyumbani na watt huyu Jamaa ni zaidi ya mnyama

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 Před rokem +3

      Acha uzwazwa,Bakwata ina mamlaka ya kuvunja ndoa kupitia Kadhi,Ndoa zenu za kikristo ndio zinavunjwa na mahakama

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před rokem

      Usilete udini apakichaa wewe

    • @ailenyanthony1550
      @ailenyanthony1550 Před rokem +1

      Mhmhm, Nani aliyekudanganya? Hata hiyo Sheria unayoijua wewe haiwezi kutoa talaka kwa ndoa zote mpaka wapitie masuluhishi sehemu mlipofungia ndoa

    • @mnyamamkalitv6575
      @mnyamamkalitv6575 Před rokem

      Wew iyo serikali nikwanyie makafir

  • @FREENETNAME
    @FREENETNAME Před rokem

    Huyu mume si mwema wallahi sikiza kicheko chake cha uwadui Subhan’Allah mungu amlinde Queenie na wanawe oenfine aliona mkewe hawezi kumuacha ndio kihere here munaendeleya mungu anaona kila kitu ndani ya nafsi na moyo wake anaweza hata kumuawa huyu mama na watoto wake kwa hasira na nyuso za uadui na unyanyasaji na udhalilishaji mungu amuongoze siratul mustaqeen ammiyn

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před rokem +2

    Toka hapa bwana umekaa mwaka mzima hutoi matumiz na ukamshitaki mkeo eti amekutapeli nyumba ukamtumia police, tulia dawa ikuingie

  • @mariamjuma4136
    @mariamjuma4136 Před rokem +4

    Mlaumu aliyekuwa mke wako yeye ndio alitangaza kwenye social media
    Usitupigee kilele bwana
    Mwaka mmoja umeshindwa kuweka Sawa migogoro ya ndoa yake
    Mpaka limekuja social media wewe uko wapi? Iyo aibu yako ibebe tu kubari kushuka
    Muungwana akivuliwa nguo uchutama

  • @vincej9275
    @vincej9275 Před rokem +7

    Ndoa sio kwa lazima , kama mkee amechoka na wewe, mwache aendelee na maisha yake. We can try to save our marriage but it's wrong to force one party to stay if they no longer want to.

    • @btylove1870
      @btylove1870 Před rokem

      Kunywa soda nitalipa. Nimesema hivyo hivyo kwani maneno yote ya nini?? Mtu kaomba talaka yake mpee!

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 Před rokem +2

    Umeambiwa kwenye hilo baraza kadhi nae yumo kaka usipanic tuliza kichwa wanaokushauri kufanya hili wanakupotosha muungwana akivuliwa nguo huchutama

  • @othumaniabdallah6848
    @othumaniabdallah6848 Před rokem +2

    Ndugu yangu sheikh alhad mussa amekurupuka Allah akupe subra

  • @jeanmusamba3253
    @jeanmusamba3253 Před rokem +5

    baraza halijakosea kaka wameshughurikia tatizo ni wazoefu sana kina Mufti na mashekhe katika mambo hayo na wana hikima.wewe mfuate mke wako mweke sawa anaonekana napenda sana kuheshimiwa na hapendwi tukanwa,ila pole naelewa una machungu na kuachana si jambo jemaa kma ulivyosema,Mungu akupe busara zaid katika hili

    • @manhajsalafafrica
      @manhajsalafafrica Před rokem

      Katiba ya Bakwata haimpi mamlaka Sheikh yoyote wa Bakwata kuvunja ndoa,

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 Před rokem +5

    Akili nyingi point nyingi!mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!Mwaka yupo sahihi

  • @malolatshahala
    @malolatshahala Před rokem

    Aww. My mwaka anaona mbali japo pia penzi bado lina tawala nafsi yake 90%. Kuvunjika kwa ndo ni maamuzi kati ya mke kuolewa na mume maana hao 2 ndio wana ndowa.kwanza mke alipo wapokea wajumbe kutaka suluhu akakataa,alipokwenda kudai talaka ina maana hataki ndoa tena maana si kwamba amekurupuka,hayo ndio maamuzi yake kutoka moyoni. Familia zote 2 pia na vyombo vyote vyo sheria havina maamuzi zaidi ya hayo yy kama yy kutoka moyoni mwake. Anaweza akageuza maamuzi kwa kuwaokopa wazazi ao yeyote anae mweshim ,mkarudisha ndoa yenu lakin maisha yako yatakuwa hatarini. Kwanza: hatokubali tena kuzaa na wewe,pili:akikuondoa duniani kwa njia yeyote,atakuwa amefanikiwa katika yale mapungufu yako yanayomkera na kudai sasa balaa limeondoka na sasa ntaijoy. Nb.achana nae.

  • @nervenb2831
    @nervenb2831 Před rokem

    Hakuna. Cakurudiana. Muace atapata. Rizkiyake. Weye. Sulimuaca mkaenda ulaya. Kula upepu ataposho hamkumupa uyo. Alikuwa. Mke. Akirudi. Atakuwa. Amezalilisha. Masheikh🙏

  • @khamiskiandiko2965
    @khamiskiandiko2965 Před rokem +4

    Ofisi ya kadhi sio wahuni kwanza inabidi uombe msamaha ndio mufti atakujibu maswali yako bila hivyo sidhani

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory7116 Před rokem +7

    Acha Story Kaka sema Ufundishwe Jinsi yakuishi na Mwanamke, Wew Endelea kuwaelekeza watu jins yakupata watoto.

  • @deuslucas2256
    @deuslucas2256 Před rokem +1

    Unajiaabisha mwanamke hakutaki usi force

  • @samiahmlimanzila6406
    @samiahmlimanzila6406 Před rokem

    Dr ushauri wangu kwa maelezo ya mkeo ki dini unamakosa iletu. Mwaka mzima hupo nae wakati matalaa sio haki kikubwa toa taraka maisha yaendelee kingine ki misingi ya kidini bado unamkosea Mungu kusema mashekhe kua ni wahuni

  • @azizimkwawa7711
    @azizimkwawa7711 Před rokem +6

    Shekh Muhuni dah to be honest kaka umetutukana waislam wote kwa kifupi umekosea sana na umejikweza sana nakushauri jishushe kaka mbele za Mungu na atakusamehe

    • @idrisargevar4557
      @idrisargevar4557 Před rokem

      Sheikh muhuniii mimi nimesemaa😎

    • @coin9007
      @coin9007 Před rokem

      @@idrisargevar4557 Mkiachwa achikeni 😂😂😂

    • @idrisargevar4557
      @idrisargevar4557 Před rokem

      @@coin9007 hivi mtu kama dr mwaka akabembeleze demu? Demu mwenyewe yule😂😂😂
      Mafiiiiii

  • @jabahmagai9030
    @jabahmagai9030 Před rokem +4

    Hapa mwaka imekula kwake.

  • @zuwenaadja2261
    @zuwenaadja2261 Před rokem +1

    Mke kaita matarumbeta muachane sasa mkirudiana huohuo ataita matarumbeta atufahamishe sio Shehe unacho mhukumu…😂😂

  • @bupeisaya9063
    @bupeisaya9063 Před rokem +1

    Ongea yooote lkn kumbuka,,tulikuheshimu ila umejivunjia heshima pia ungekata rufaa iko wazi usingekuja hapa kujitetea,,,.mwanamke mwaka mzima hakuna huduma ???????
    Mungu akujaalie queen upatege ridhiki Kwa ajiri ya wanao

  • @soudbako5925
    @soudbako5925 Před rokem +4

    Mwaka kapigwa na kitu kizito kumbe bado anampenda

  • @henrymushi8340
    @henrymushi8340 Před rokem +8

    Huyu jamaa anajifanya kufundisha Mambo ya ndoa,kumbe anamnyanyasa mke asee ni hatari,usimwamini mtu

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Před rokem

      Ndomana watu tunaambia tuache kuangalia watu kwenye TV wakitufundisha ndoa wakati wao awajaolewa

  • @angelbarnabas7075
    @angelbarnabas7075 Před rokem +1

    You are wife she is not happy let her go , ujuaji mwingi mno maneno mengiii mke wako atakufa na brood presha and she don’t want to be with you . Thank you

  • @adammwamba9177
    @adammwamba9177 Před rokem +1

    Kunywa maji sheikh wangu....mke kisha kutoka,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @aminaseif9577
    @aminaseif9577 Před rokem +7

    Mwanaume kupe huyu.... Ndoa imekushinda.. Sasa nini keleleeeeee bhana, hebu usituchoshe😄

  • @safiahassan6121
    @safiahassan6121 Před rokem +4

    Hii ndo ile mtu hakutaki na bado hataki kukuona ukiwa kwa mtu mwingine kwasabab anajua yeye ndo mwenye makosa

    • @hassanmohamedi9966
      @hassanmohamedi9966 Před rokem

      Yote ni yote Dr Kubali yaishe, Viongozi wetu wa BAKWATA naomba muwe maki I ktk kufanya maamuzi hasa yahusiyo ogogoro baina ya mnaotuongoza hasa ya ndoa,mara nyingi mueni wapatanishi ili kujijengea imani na heshima kwetu sisi mnaotuongoza Kwa kweli mnatusimamia vizuri .Endeleeni kusimamia HAKI

  • @ameirothman805
    @ameirothman805 Před rokem +1

    Stamina kashasema ndoa za bongo zinafungiwa chumbani na zinavunjikia instaa

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 Před rokem +2

    Wataka kulazimisha na hakutaki jii laumu mwenyewe kaka si bakwata wala sakata😂

  • @kaharikinyere9681
    @kaharikinyere9681 Před rokem +5

    Ukiachwa kubali TU mzee

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před rokem +4

    Kwanza adabu huna yani leo masheikh unawaita wahuni, subhanallah

  • @piusjuma7384
    @piusjuma7384 Před rokem +2

    Kisheria barza la kiislam Lina mamlaka ya kusulh8sha tu kwa kitendo Cha barza kutamka kuwa ndoa imecunjika ni kinyume na sheria

  • @mariamsengi2478
    @mariamsengi2478 Před rokem +1

    Wewe mwaka acha kujizalilisha kwenye mtandao umeachika acha ujinga

  • @rajabmadebo5570
    @rajabmadebo5570 Před rokem +4

    Kadhi kaoa kungwi lakini bado ndoa yayumba 🤣🤣🤣

    • @julianajeremiah4353
      @julianajeremiah4353 Před rokem

      Hahahahaha hata me nimejiuliza hii inakuaje hawa watu walipishana inakuaje Tena anahusika hp

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 Před rokem +3

    Nazani kama ulioa kwakufuata shelia yadini basi angalia dini inasemaje kuhusu ndoa nasheliazake utajua muongozo ukoje hiki unachofanya unatokakwenye misingiyadini muogopemungu natendahakipale inapopaswa

  • @mariamswalehe3312
    @mariamswalehe3312 Před rokem +2

    Huna lolote. Unajitetea tu.kwahiyo wewe ulifurahia kile kitendo cha ofisi za dini kuchafuliwa?

  • @georgeigogo9259
    @georgeigogo9259 Před rokem +5

    unaitaji kutufundisha au unajitetea kama mwanammke kaamuwa miachane basi mwache afanye yake

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 Před rokem +5

    Usimwite Shekh wetu Muhuni ,ndoa huna bwana, hakuna wahuni muhuni ni wewe, Mimi ningekuwa Shekh wa Mkoa Namuoa Gueen harakaaaaa 🤸‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @suphianiissaswabury4695

    Kama anampenda mwanamke asingeweza kukaa mwaka mzima bila kuwa karibu nae.wala hapingi kuachana na mke wake, utaratibu uliotumika kuvunja ndoa ndo analalamikia.mueleweni basi sio mnacomment bila kuelewa

  • @husseinaziz8284
    @husseinaziz8284 Před rokem

    Ok

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Před rokem +7

    Ww wake zako uliwatangaza kwa press sasa ili watu wajue mzee hauko tena pale lazima ifanywe press , tena ingetakiwa ilipiwe iwe promoted , mashekh huyu mtu anawaibisha sana

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před rokem

      Si ndo hapo na wakirejeana chumbani ataita yy Mwaka ataita press km kawaida yake, tena nn???

  • @boaskabate1229
    @boaskabate1229 Před rokem +11

    Dr. Mwaka mi naona suluhisho la haya yote ufike foreplan clinic ubungo plaza wakutatulie tatizo lililoko kwny ndoa yako.

  • @fatma2496
    @fatma2496 Před rokem +1

    Tatizo wanaume kama nyie mnapenda kuwatesa wanawake kwa kuwanyima talaka zao wanawake, mnamueke mtu hajijui yupo kwenye ndoa hau aupo? Huwezi hata kumove on kwa sababu mnagoma kutoa talaka

  • @youandme1593
    @youandme1593 Před rokem

    Kwa kiwango chochote ambacho Dr Mwaka amemkosea mke wake hakifikiii kiwango ambacho sheikh wa mkoa kaukosea uislam na waislam!!!He doesn’t deserve to be on that chair!

  • @adildewji
    @adildewji Před rokem +8

    MashaAllah. Absolutely spot on.

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 Před rokem

      Hizi ndoa za kiislamu ni lazima wabadilishe sheria hii ya ukandamizaji kwa wanawake, mwanamme anaweza kumpa talaka mwanamke kwa maneno tuu ila mwanamke lazima aende bakwata au serikalini. Wanawake wa kiislamu amkeni mkatae huu unyanyasaji dhidi yenu. Wanaume wamejipendelea kwa kuwaoa wanawake wengi na kulala na nyie kwa zamu pia talaka mpaka atoe kadhi?

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Před rokem

      @Ngoni good point lakin ukiona watu wameganda kwenye special waislam ujue wanafata sheria ya Allah. Na ukimona muislam anaacha sheria ya Allah ujue ameamua sasa atuwezi vunja sheria ya Allah .

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 Před rokem +3

    Afu nyie c mnabifu lenu..ngoja tuwaache

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Před rokem +2

    Somesha watoto 😂😂

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 Před rokem

    Mimi ni Mkristo ila Dr. Mwaka ameuliza maswali mazuri sana kwa kuwasaidia waislam japo wengine wanashindwa kumuelewa,sijawahi ona sehemu yoyote Duniani Kiongozi wa dini anatangaza kwenye Press kuvunjika kwa ndoa tena na miwani ya kutoa aibu,pia Kisheria ndoa hiyo haijavunjika mpaka pale mahakama tiakapotamka ndoa imevunjika Bakwata ni sehemu ya Ushahidi tu

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 Před rokem +4

    Wewe mpumbavu kuwatusi mashekhe na kuwadharau...mpe haki mkeo acha kupiga mdomo

    • @donjb3178
      @donjb3178 Před rokem

      Acha mihemko swala la ndoa ni swala la watu wawili sasa mashekh wako wanaingilia vp, tena kwa kutoa conclusions wameivunja ndoa how comes ni mahakama ndio inayomamlaka ya kuvunja ndoa tena kwa makubaliano ya pande zote mbili na ikitokea pande moja imegoma talaka haitolewi

    • @ramadhanyusuf2401
      @ramadhanyusuf2401 Před rokem

      @@donjb3178 kwani ndoa aliji fungisha wepia vipi si hawa viongozi wake wa dini ndio aliwaendea...

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před rokem

      @@donjb3178 wanaingilia mwanamke ndio kaenda kutoamalalamiko bakwata

    • @donjb3178
      @donjb3178 Před rokem

      @@ramadhanyusuf2401 mfungishaji wa ndoa hana mamlaka yyte kwenye ndoa mana yeye alifungisha tu ndoa na kwa lugha nyepesi naweza sema mfungishaji wa ndoa anakua kama shahidi wa upatanisho kati ya pande mbili lkn tofauti na hapo hana mamlaka nyingine yyte kwenye ndoa

    • @deusisindwa616
      @deusisindwa616 Před rokem

      @@donjb3178 ukiachwa achika
      Amekuwa wa kwnza dunian
      Wengi wameshaachwa hafu maisha yanaendelea,,,swala la ndoa mkishindwa kuelewana wawili ndan mkaipeleka kwenye mabalaza hiyo cyo ndoa Tena,,
      Hata mkiipeleka kwenye familia hiyo cyo ndoa,,kat ya wawili hao Kuna mmoja ataongea uongo Ile balaza limuone Hana hatia,,
      Hapo ndo kuvunjika Kwa ndoa,
      Malizanen wawili mukisindwankuelewana bc kila mmoja aangalie maisha yake cyo kujizalilisha,,kila cku alikuwa anajifanya yeye nimushauli wa ndoa nani kakwambia ndoa inaushauli,,nyambafu

  • @ommythetruth5449
    @ommythetruth5449 Před rokem +11

    Kakate Rufaaa acha kutuchosha sisi kama ni meseji kwa Mufti c uende oficn kwake au umpigie simu yanini kutupigia kelele huku mtandaoni ,,Kwani ndoa lazima mdada wa watu kakuchoka hakutaki Tena muache aende zake acha kutia Huruma mitandaoni

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 Před rokem +2

    Pale tunapoiacha njia ya Mungu ndio haya sasa...kweli Dunia ni starehe za muda mfupi

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před rokem

    Daaaah nashangaa saaana, ndoa inashinikizwa kuachanishwa hasa na viongozi wa kiislam, badala ya kuunganisha ndoa ya Dr, acheni umate umate kwenye ndoa za watu.

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Před rokem +3

    Real TALK
    Wahuni nenda nao KIHUNI

  • @mbarikiwambarikiwa6479
    @mbarikiwambarikiwa6479 Před rokem +3

    Lkn inavyoonekana mkeo queen hakutaki tena.
    So ni sawa tu kupewa mkeo talaka.

    • @donjb3178
      @donjb3178 Před rokem

      Talaka hazitolewi kuolela na kwanza hairuhusiwi kwa Mungu

    • @mbarikiwambarikiwa6479
      @mbarikiwambarikiwa6479 Před rokem

      @@donjb3178 mapenzi yakifika mwisho huwa hakuna mjadala ndg, ukilazimisha sn huwa kuna matukio makubwa yanakuja.
      So ni vyema kuachana Tu.

  • @issabaruni7616
    @issabaruni7616 Před rokem

    mnafiki uyo shekhe ndio maana anamacho manne na mimi nakuambia mwaka shika iyo uyo shekhe anamtaka mkeo mjinga sana uyo shekhe

  • @irenegeorge3501
    @irenegeorge3501 Před rokem +1

    Wewe ni mkorofi tunakujua unatukanaga adi mashehe kwenda uko kuonea tu mwanamke wako ovyo🤨

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Před rokem +8

    Mungu awape kheri mlimalize , maana kesi ya ndoa ni ya wawili wenye ukweli na wakitaka kulimaliza ni wao wenyewe . Rudini pale mlipoanzia kutongozana ,rudieni yale maneno mliyokuwa mkiambiana ,kumbukeni yale mahaba yenu , mkalimalize hili mlee familia yenu. Yooote mtafurahisha watu tu na kujiabisha na kuwaaaibisha viongozi wenu, mambo ya ndoa yamalizeni wenyewe yoote haya mengine ni kama kucheza segere wakati ngoma yako mdundiko.

    • @hawamashauri1218
      @hawamashauri1218 Před rokem

      Swadaqt 👌👌

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před rokem

      Umesema safi sana,na mimi nakuongezea,Mwanaadamu atabaki kuwa mwanadamu tuu,hata akisoma vitabu vyote vya dunia na akawa na shahada kila pembe ya ukuta wa sitting room yake na akashika nyakfa za juu kabisa,nusla ya kuabudiwa, BASI usimwabudu,hana tofauti na wewe darasa la pili unayelima mihogo kijijini ba huenda una amani tele na ni kipenzi cha mwenyezi Mungu.bibilia inasema, waacheni watoto wadogo wake kwangu.tafsiri yangu ni kwamba,hata Mungu kachoshwa na hawa watu wanaojiita WASOMI.