#EXCLUSIVE

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 25. 08. 2024
  • #EXCLUSIVE: QUEEN MASANJA AFUNGUKA KUTOVAA STARA - ''MWANAMKE USIOGOPE KUANZA UPYA''...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yakođŸ“Č, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!đŸ€đŸ‘đŸ’°
    ============================================================
    ⚫ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫ OUR PLAYLISTS:
    ⚫ MICHEZO na BURUDANI: ‱ Habari zote za michezo...
    ⚫ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáƙe • 229

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Pƙed rokem +3

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yakođŸ“Č, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

    • @fatimahwazir9179
      @fatimahwazir9179 Pƙed rokem

      Hi Habari, sorry napata je no ya uyu dada queen?

    • @user-md6ll9mm2m
      @user-md6ll9mm2m Pƙed 9 měsĂ­ci

      Maashallh dadaangu umeweza mungu akutie nguvu ktk upambanaji wako

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 Pƙed rokem +10

    Jichanganye mdogo wangu maisha yaendelee kambi popote unavaa kawaida tu kwani kuweka nywele vizuri kuna ubaya gani. Bila ya mme inawezekana. Pambana na enjoy maisha utajua hujui.

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 Pƙed rokem +15

    Ishi utakavyo qeen ,mbinguni unaenda mwenyewe,na watoto unalea mwenyewe,ko go on❀❀❀❀

  • @rithaferdinand3738
    @rithaferdinand3738 Pƙed rokem +12

    Ila kuna watu wanajua kuwahukumu wenzao kaaah, hv nyie mabaya yenu nani anawahukumu? Mungu ni wa wote jamani, kila mtu ana imani yake. Hongera sn mdada na Mungu atazidi kukubariki dada.

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 Pƙed rokem +1

    Queen is 100/100 she is soooo perfect ! Mungu akupe mume sahihi dada đŸ„°â€ïž

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 Pƙed rokem +17

    Kwanza qeen ni mkristu alikuwa muislam alipokuwa na doctor mwaka ndio kabadili dini acheni kumfuatilia mdada was watu

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 Pƙed rokem +4

    Wanaume mnakosea Sana mnapo oa mke mpe elimu y kimaisha mpe frusa mkeo usimbane mkeo mpe nafasi y kufanya biashara mpe mtaji mkeo kidogokidogo mke anaweza akaona vingi vingi biashara mkafanya wote mke na mume mkafanikiwa siyo ukambana asifanye kazi alafu unamuolea mke huku unamdharau siyo vizuri mpe mkeo elimu ykujituma aone vingi vyakufanya

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 Pƙed rokem +16

    Queen nakuombea sana usipande na mambo mengi ,chukua machache sana panda nayo juu,mungu akuongozee

    • @hawaamohammed6687
      @hawaamohammed6687 Pƙed rokem +1

      Anatapa tapa huyu.Nahic anavstress anahitaji ushauri nasaha

    • @mgayamecky7380
      @mgayamecky7380 Pƙed rokem +2

      @@hawaamohammed6687 kweli wanawake tunachukuana sana loh

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 Pƙed rokem

      Ni kweli anatapatapa kwa standard yake hakupaswa kuingia huku kwenye uigizaji wengi wana tabla za ajabu wanalalana wenyewe kwa wenyewe, anaepinga hili atakua ameamua tu lkn ndio ukweli, alitakiwa afanye biashara na matangazo yenye heshima sababu yuko kwa ndoa zaidi ya miaka 10 sio msichana tena

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 Pƙed rokem

      ​@@khadijamahmoud4365Kwa Hiyo Bibi Mwenda Analalana uigizaji unakila staji silazima uwe msichana Ila kikubwa ajieshimu na kuekti sehemu zenye heshima Na Maadili ili airline heshima Yake na kutomkosea MUNGU ,

    • @tukuswigaikasu5227
      @tukuswigaikasu5227 Pƙed 8 měsĂ­ci

      ​@@hawaamohammed6687 khaa mtu anatafuta riziki yake halali mwasema anatapatapa na stress. Kama ni hivyo basi watapajitapaji tupo wengi mjini hapa

  • @mgayamecky7380
    @mgayamecky7380 Pƙed rokem +11

    Manamsema sana dada wa watu ohh anatembea uchi alivyokuwa kwa dr mwaka na huku alipo wapi alikuwa anaenda utupu mwacheni mtu aishi maisha yake mlitaka apate kichaa cha ndoa hebu mwachen apate fresh air ,dada piga kaz fanya kile kinachokupa furaha ilmradi humuumiz mtu

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 Pƙed rokem

      Kabisaa amuuzi mtyu wala MUNGU.anapambania Maisha ya Wanae Nayeye Mwanadamu kila ulifanyalo awezi lizika lazima watasema Tyuu

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 Pƙed rokem

      Kiumbe mwanadamu muacheni alivyo. Ya kwetu hatuyaonagi

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Pƙed rokem +10

    Kweli sijui wanaume wanangaliaga nn this woman is 10/10

  • @BhokeWarioba
    @BhokeWarioba Pƙed rokem +9

    Kila mtu anaishi apendavyo nakupenda buree da queen

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Pƙed rokem +4

    What is delay is not denied ❀❀❀

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo Pƙed rokem +18

    Ila jamani mwaka kapoteza dhahabu, mrembo,kauli njema na mwenye akili tulivu,pole sana Dr mwaka, natamani mrudiane huyu mwanamke SI wa kumpoteza tafadhali

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 Pƙed rokem

      Sasa, dhahabu ni ipi hapo

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 Pƙed rokem

      @@bakariomari8758 kama unamwona wa maana mchukue wewe ukae nae kwenuđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 Pƙed rokem +1

      @@julianapeason6254 sasa mm jamani mtu mkongwe yule nimpeleke wapi mabinti walojaa tele

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 Pƙed rokem

      @@bakariomari8758 ndo nawe ushangae watoto wamejaa tele uhangaike na bibi

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Pƙed rokem +1

      Kizuri anakijua alichukuwa nacho akakiacha

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc Pƙed rokem +19

    Naona sura ya zari kwa mbali mara inakuja mara inakataa

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Pƙed rokem +1

    Wajina utafika mbali mno na doctor mwaka uko aliko anajuta MUNGU akuongoze vyema in sha Allah

  • @user-nk3ei2vb5i
    @user-nk3ei2vb5i Pƙed rokem +2

    Uyu Dada ni mzuri

  • @gabbyhenrgy1157
    @gabbyhenrgy1157 Pƙed rokem +2

    Mbn kavaa vizur sana au avae magunia 😳 kisha achika na msisahau kabla ya kuolewa alikua na maisha yake na ndo haya anayaishi sasa. Muacheni afanye yake kwa amani katoka Misri jmn mpeni kiti apumzike msisahau na maua yake ya kunukia vizur 😊

    • @sedekiabilijite5516
      @sedekiabilijite5516 Pƙed rokem +1

      Umeongea point kabisaaaa!!! Ametoka misiri , ndoa ikisha kuwa mbaya haina tofauti na misiri😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Pƙed rokem +6

    igiza my wenye wivu wajinyonge

    • @bahathmuro7145
      @bahathmuro7145 Pƙed rokem

      Tena hata aolewe sisi tutashika pembe
      Mwanaume ana wanawake wengi na hata akiachana na kuwa na mwanamke mwingine hawamjadili kuwa mtovu ila mwanamke sasa amoveon weeeeee utajuta kuzaliwa!

  • @annalyimo8462
    @annalyimo8462 Pƙed rokem +2

    Daaa huyu dada nimempenda anajua kutafuta

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Pƙed rokem +1

    Mashallah,umenenepa Dada.

  • @fatmaabdi7192
    @fatmaabdi7192 Pƙed rokem +1

    Ooooh kama karudi ktk dini yake ya zamani hapo sawa

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 Pƙed rokem +6

    Sofitanzania@ hebu muache mwanamke mwenzio! Comments zako zaidi ya 10 kumsema dada wa watu mbona amejieleza vizuri tu.

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 Pƙed rokem

      Hakuna cha kujieleza ndio ukweli huyu kwa standard ya maisha aluyokua na mume wake si kijana sana alitakiwa achaque kazi za kufanya sio kucharuka kama hv huyu kama ana stress anataka kuwaaminisha watu kua yuko happy lkn sio kweli huku ni kucharuka hasta ukizingazia kua amekua muislam uislam una mipaka yake, na ww ni muislam unajua hilo

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Pƙed rokem

      ​@@khadijamahmoud4365sasa hapo kacharuka nini mbona wivu wa wazi kabisa nimeamini mchawi wa mwanamke ni mwanamke khaa 😼

    • @cookwithdoublev2654
      @cookwithdoublev2654 Pƙed rokem

      @khadijamahmoud4365 huna akili wewe ni mpuuzi wa mwisho yani mtu anatafuta ugali wa watoto wake unaingiza mambo yakidini bila shaka wewe ni mwanamke gol kiper wewe hunakazi yakufanya zaidi yakugogwa na mwanaume wako ndio maana unaleta makasiriko sasa apo amecharuka ni nini na yupo kazini anaingiza pesa zakulisha wanae au ulitamani umuone analia mitandaoni kila siku kuomba msaada na anamikono na miguu yake acha roho mbaya fala wewe huna akili taira wa mwisho unaleta mambo ya mipaka ya dini kwenye riziki za mtu mwingine unajielewa kweli wee fala sana 😂

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Pƙed rokem +6

    Ama kweli mwanamke ni kiumbe dhaifu na ambaye hubadilika kulingana na mazingira alionao kwa kipindi hicho. Hii ni utashi wangu na siyo sheria.

    • @Kidotii
      @Kidotii Pƙed rokem +1

      You very right! Chochote utakachompa au kumsababishoa mwanamke atakizalishaa mara Mia!😊

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 Pƙed rokem

      Dhaifu maana yake ni Nini,binadamu anaishi kutegemeana n'a mazingira n'a siomwanamke

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Pƙed rokem +10

    mnalazimisha ajistiri kwani lazima nani aloenda kaburini na kurudi kusema kuna zambi nyingi.acheni uboya kama mnaona donge jistirini nyie 😏😏😏hamna lolote na wengine hata kuswali hawajui kutwa kubadirisha mabwana ,wasikuzingue queen kama vipi rudi kwenye dini yako, tafuta pesa dada achan na maboya hao kwanza hawana msaada wanaongea midomo mirefu .

    • @adamndilanna1562
      @adamndilanna1562 Pƙed rokem +1

      Akuongoze Allah

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Pƙed rokem +1

      Sasa Stara ni lazima huwezi juwa utafia wapi

    • @joyce55727
      @joyce55727 Pƙed rokem +2

      ​​@@khadidjasuleiman8006apo yupo uchi??

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 Pƙed rokem +4

      @@joyce55727 watu wana wivu kweli sio lazima usikut hao wanaojistili wamalaya hatari

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Pƙed rokem

      ​@@joyce55727ndo tushangae wivu mbaya jamani

  • @CatherineKabelege-te3yo
    @CatherineKabelege-te3yo Pƙed 9 měsĂ­ci

    Big up sis

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Kapotea njia

  • @juliethmunhambo4116
    @juliethmunhambo4116 Pƙed rokem +1

    Tusihukumu maana hata sisi sio wakamilifu mbele ya Mungu

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Pƙed rokem +5

    Stara ni lazima hatta kwawasio kuwa uislam mbona mwabishana kha 🙌

    • @Kalssambabo-gv6uh
      @Kalssambabo-gv6uh Pƙed rokem +1

      Sheytwan kishaa tawala dunia

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Pƙed rokem +1

      Kwa hiyo hapo yuko uchi

    • @cookwithdoublev2654
      @cookwithdoublev2654 Pƙed rokem +2

      Unashida kichwani wewe sio bure kama unaijua stara mitandaoni unafanya nini bahna wee peleka mahubiri yako yasiokua na tija kahaba mmoja tu wewe umemuandama binadamu mwenzio kumuhukumu kama wewe ndio Mungu unaejua haki na baya na zuri ni lipi peleka usenge wako na umasikini wako uko babu ee usituchanganye kahaba mmoja wee😂😂😂😂😂

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 Pƙed 11 měsĂ­ci

      Hii ndio sababu mungu anachukia talaka ,ulistirika ss unajivua

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Pƙed rokem

    ❀❀go on

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Naona mtangazaji analazimisha ujibu unajutia maisha ya NDOA....!
    Bi dada Nyota yako imeng'ara mshukuru MUNGU, ila jihadhari sana usiwatie wanawake wengine ujinga....NDOA NI STARA, bila ndoa stara hakuna, hautakua na tofauti na MPIRA wa KONA.!

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Pƙed rokem +26

    Jmn hijabu sio utakatifu Kuna watu wanavaa hijabu lakini Ni wazinzi,wambea, wanafiki

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 Pƙed rokem +1

      washamba achana nao usikute wanamuonea donge

    • @pendokomba8322
      @pendokomba8322 Pƙed rokem

      Tena sanaaa ni wachafu kwelikweli

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 Pƙed rokem

      @@pendokomba8322 binadamu wana wivu sana kujistili huko kwiyooo

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Pƙed rokem +9

      Kujistiri ni hijabu kuzini au kusengenya ni kufanya zambi utapambana na Mungu ila hijambu ni stara na kwenda uchi ni zambi kama hizo ulizozitaja

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Pƙed rokem +10

      @@pendokomba8322 wewe sema tu unalopenda ila hijambu ni stara ya mwanamke tena kufanya uchafu hio ni zambi lakini stara ni kustiri mwili kwa mwanamke sema hamulitaki basi ila usiseme porojo

  • @RahmMudram-ys5pt
    @RahmMudram-ys5pt Pƙed rokem

    Allah akuongoze jmn dunia imeisha

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr Pƙed rokem +1

    jumbe kweni mdogo ata kwa doctar cheni

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 Pƙed 2 měsĂ­ci

    Hivi mnaosema hajistri jaman kwa hyo ss wakristo wote ni wadhambi muacheni dada wa watu apambanie wanae kwani kajiuza mpumzishen bas😱😱

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr Pƙed rokem +3

    Wanawake wapambanaji wote ndoo tunamuelewa nini Ana maanisha

  • @user-gr2ec5uj1s
    @user-gr2ec5uj1s Pƙed rokem +2

    Asma rajabu uko muzuri wambie kilamtu ataenda nalwake wanamuonea wivu mdada wawatu mzuri mwenyewe wacha waseme Queen wape kba ngozi mbwa izo zinzo koment ujinga

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Pƙed rokem

    🎉🎉🎉

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Pƙed rokem +6

    Kwin we Ni mkristo ishi kikisto aliye kusilimisha kakuacha ishi vile moyo wako unataka

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 Pƙed rokem

      Hata wakristo wanatakiwa kujistiri hakuna kitabu kimeruhusu mwananmke kujianika sana

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Pƙed rokem

      ​@@khadijamahmoud4365halafu wewe dada mbona unaroho mbaya sana na wivu wa wazi kumchukia mtu pasipo na sababu ni matumizi mabaya ya moyo au ndg yangu mchawi khaa sasa hapo kajianika vipi jamani halafu wewe si mwanamke au jina tu punguza kijiba cha roho utakufa vibaya pia mwogope Mungu pia maana mwenye mamlaka ya kuhukumu ni Mungu na wewe

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Pƙed rokem

    Shaitwani rajiim,mnafiki wewe subiria kidogo moto wa Allah unakusubiri

    • @patriciacarlo7236
      @patriciacarlo7236 Pƙed rokem

      You are not God.fool

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 Pƙed rokem +1

      Shindwa wewe peleka laana zako kwa familia yako

    • @juliethmunhambo4116
      @juliethmunhambo4116 Pƙed rokem

      Usimuhukumu si vyema,naomba umwachie Mungu tu

    • @petronillajosephat91
      @petronillajosephat91 Pƙed rokem +1

      Kafie huko shetan la kike lililokimbia kuzimu peleka milaana yako kwenye ukoo wako nyoooo

    • @madamaisha1641
      @madamaisha1641 Pƙed rokem

      Mashaitwani wenzake wamekuja juu hahahaha imewagusa sana ila moto wa Allah unawasubiri wahuni wakubwa

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Pƙed rokem

    đŸ˜Šâ€

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem +6

    Mihani umepoteza stara jamani kwa pesa

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Pƙed rokem +2

    Hivi huy ndie Ex wa mwaka au wamefanan mnijuze

  • @user-ei7br1fw9m
    @user-ei7br1fw9m Pƙed 11 měsĂ­ci +1

    Kwa hiyo mtu akivaa hijabu ndio mkamilifu na hana dhambi?

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem +1

    Dunia ishakubadilisha

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Pƙed rokem +6

    Kuna wakati nilisikiayeye hakukulia
    Kwenye Uislamu.
    Sijui kama ni kweli.

    • @maryamathman8917
      @maryamathman8917 Pƙed rokem +2

      Yeah yy sio muslim alifanya kuslimu alipo olewa so vile ameachika amerudi kwa dini yake

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 Pƙed rokem +2

      Subhanaallah

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 Pƙed rokem

      Hajarudi ktk ukristo na hajatamka hilo achen kumsingizia

    • @shamzone388
      @shamzone388 Pƙed rokem

      @@maryamathman8917haja sema kama karudi dini ya kikiristo yupo ni muislam

    • @rahmahersi6584
      @rahmahersi6584 Pƙed rokem

      Samahani hakuna mtu
      Atakaye mhukumu binadamu
      Mwenzake.
      Elena sentensi inasema nini??
      Kuna swali kabla ya hapo
      Mimi nilitoa nyongeza.
      Swali ilikuwa kwanini
      Avue hijabu kwa ajili ya
      Majukumu anayoanza
      Kuyafanya.???
      Soma comments.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem +4

    Mtihani utu wamwanamke unazidi kupotea

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem +2

    Sio kila fursa kuzikimbilia huko.bongo movie uhuni mtupu

  • @pendodaniel3612
    @pendodaniel3612 Pƙed rokem

    Wamuweke huba pia

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Pƙed rokem +8

    Queen ishi maisja yako..utupu utupu utupu upi huo? Mwachrn dada wa watu..mkivaa nijuba yenu mnaona mbingu hii hapa..chefuu

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu Pƙed rokem +1

      😂😂😂😂 agiza soda nakuja kulipa

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx Pƙed rokem +2

    Daa maskini anajiona kawini maskini kuvua hijab mmmh

    • @irineemanuel9749
      @irineemanuel9749 Pƙed rokem

      Huyu ni mkristo hijabu la nini .amerudi kwenye ukristo kwani unatakaje

    • @estherjustine8251
      @estherjustine8251 Pƙed rokem +1

      Hijabu ni nguo tu km nguo zingine, issue ni roho ya mwenye kuvaa ijabu, km ni chafu hiyo hijabu haimpi kuwa Mtakatifu
      Wengi wa wavaa ijabu tumewaona kwa matendo yao yako kinyume na Mungu ......umalaya, uzinzi, uchawi, wezi nk

  • @aliemdogo
    @aliemdogo Pƙed rokem +4

    Ishi utakavyo wasikuendeshe hao wapuuz

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Pƙed rokem +2

    Mrembo wa kisukuma watu wana .akasiriko juu hako achana nao songa mbele weMZURI MDOGO WANGU

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem +5

    Kumbe Quen ulitakani maisha yakwenda utupu

    • @josephselesitine224
      @josephselesitine224 Pƙed rokem

      Kwan hapo yupo utupu muachen dada wa watu jaman

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Pƙed rokem

      @@josephselesitine224 wewe mpuuzi atikwani mpaka avuwe nguo ndio uone.kenda utupu mpumbavu we

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Pƙed rokem

      @@josephselesitine224 eti muache dadawawatu nahuko kaburini attachable kweli

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Pƙed rokem

      Halafu koma wewe kusapoti ujinga huko alikojiingiza tunasubiri azalilike

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Pƙed rokem

      @@josephselesitine224 usojielewa we sasa apo manywele wazi ndio sio utupu au ulitaka uone tako ndio ujuwe uchi mwananke viungo vyake vyote uchi usojielewa we

  • @Kakwasi
    @Kakwasi Pƙed 10 měsĂ­ci

    Maisha niyake Queen tena umemuacha mume wa kiislamu Sasa uko huru

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Pƙed rokem +3

    Mtihani ewe mola wetu tusamehe waja wako maana duniya imesha tufunika

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn Pƙed rokem

      AmeenđŸ˜ąđŸ˜ąđŸ˜ąâ€

  • @moudys
    @moudys Pƙed rokem +1

    Kwani kipaji chake hapo hukiona kila mwanaume anakiona ni namna kila mwanaume vile ataweza kumshawishi akitumie kipaji chake.

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Pƙed rokem +1

    Nyota imeng'ara kwako umakamo 😂

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Dah mpaka mandonga anaigiza đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 Pƙed rokem +8

    enjoy queen wasikupangie maisha eti utupu? 🙄 wap alipo utupu, mwacheni, nyie msio na dhambi kazaneni kumuona yeye ndio mwenye zambi

    • @FatmaMohammed-ry8yo
      @FatmaMohammed-ry8yo Pƙed rokem +2

      Ww pia ni mpotovu ndio unaona km anasemwa .anakumbushwa km anapotea dini alikubali sasa ww hujitambui

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu Pƙed rokem +1

      Wanajikuta miungu watu,

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 Pƙed rokem

      @@FatmaMohammed-ry8yo huyo ni mkristo unataka avae mijuba

    • @mgayamecky7380
      @mgayamecky7380 Pƙed rokem +1

      Alivyo kuwa kwa dr alikuwa anavaa majuba?siwalikuwa wanavalishwa vibukta ama mmesahau ila waja loh

    • @joyce55727
      @joyce55727 Pƙed rokem +1

      Kbs anfanye anacho taka huo utupu mm pia siuon ❀❀❀❀ Queen

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Pƙed rokem +1

    Sijui Barnaba naye akiachwa atarudi kanisani đŸ€«đŸ€­đŸ€”đŸ€§đŸ˜Ș😬

  • @elineswai2933
    @elineswai2933 Pƙed rokem

    Ulianza kufanana na mmeo had midomo

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem +2

    Unahangaika sana dada duhh huko ulikokimbilia heshima yko ishapotea

    • @michaelmillinga5064
      @michaelmillinga5064 Pƙed rokem +2

      Wewe mbona unajiuza makaburini na hakuna anayekusema.. takataka kabisa wewe

  • @harodphilipo8228
    @harodphilipo8228 Pƙed rokem

    Kwaiyo mnatakaje sasa nyie mnao mjaji kuhusu dini hebu tembeeni mbele

  • @syliviakente9460
    @syliviakente9460 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Huyu alibadili dini.kuolewa na Mwaka

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Pƙed 10 měsĂ­ci

      Vizuri ako huru.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem +4

    Dunia hii pesa inapoteza utu wa wamtu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Pƙed rokem +1

    Mnamlazimisha avae mashuka shuka kwa ni mwarabu huyo ? Tanzania si nchi yakidini watu wanaoumizwa na swala la mavazi waende wakaishi Afghanistan au Brunei au Somali katika kundi la alshaab

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Pƙed rokem +4

    Si lazima hijabu

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 Pƙed rokem +2

    Nakupongeza sana kwa uamuzi wako mzuri ,wewe ni mwanamke jasiri kazana usirudi nyuma

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 Pƙed rokem

      kabisa azidi kushinda hapo ili wanochonga waumie

    • @ashamahadi5281
      @ashamahadi5281 Pƙed rokem

      Ndio mnaambiwa kaka zetu wa kiislamu mnapowabadilisha dini wanawake mkaee nao kwa amani ili keaho muwe shahidi Ona sasa karudi kundini muacheni mrembo wa watu.

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Pƙed rokem +1

    Kaa kwa utulivu mama umri ushaenda

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem +3

    Ulivyovaa hijab ulikuwa nimwanqmke wastara ila sasa kama shetani wakuletwa

  • @allydingi9736
    @allydingi9736 Pƙed rokem +4

    Mama hii dunia unaona unaikimbiza lakini yenyewe inakukimbiza kuliko unavyoikimbiza utakuja kujuta

  • @hidayah3405
    @hidayah3405 Pƙed rokem +4

    Sasa kam kuanza upya ndo uvue hijab 😏😏😏😏😏😏

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Pƙed rokem +1

      Ukivaa wewe inatosha mihijab yenu

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Pƙed rokem +1

      @@masalakulwa7601 Hata Mariamu mama wa Yesu alivaa stara sasa wewe mwenzangu vp??!!

    • @aminamollel3571
      @aminamollel3571 Pƙed rokem +2

      Kwani kuvaa hijabu ndiyo utakaktifu?acheni ujinga acheni kuhukumu mwacheni dada wawatu aishi apendavyo acheni maneno maneno

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu Pƙed rokem

      ​@@masalakulwa7601❀

    • @immaculathaemmanuel8240
      @immaculathaemmanuel8240 Pƙed rokem

      Tena hao wenye mihijabu yao wengi ndo hovyo kabisa ila waambie kujua kuhukum wenzao tu

  • @OlgaBembeleza-eq3hx
    @OlgaBembeleza-eq3hx Pƙed rokem

    Huyu mwandishi sijui mtangazaji ananikera Sana...hatumii R na L Kwa usahihi eti ongela jamani khaaaa.... woiiiiiiiii sijui kasoma chuo gani

    • @AshaMakame-zg9xi
      @AshaMakame-zg9xi Pƙed rokem

      Kwani mwenzangu hizi TV on-line zinamambo hawajui Kiswahili cha mjini na huko alikotoka akija mjini sifa tu kujifunza laaa

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Pƙed rokem

      Ugonjwa wa Tanzania matumizi ya R na L utasikia Lais

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Pƙed rokem

    Sku ile alipotoa machozi , sababu Watanzania wengi ni madunduka. hua wanadhani machozi ndio haki walimshambulia sana dct mwaka. ila mm tokea kipindi kile niliona Huyu ana tatazo.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem

    Wasanii wote malaya tu

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Pƙed 10 měsĂ­ci

      Hatujui unachofanya kwa bedroom yako

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem +2

    Manywele wazi kama jini wakuletwa

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Pƙed rokem +1

      Sema unaona wivu

    • @devothamturi7571
      @devothamturi7571 Pƙed rokem +1

      Anamakasilikooo huyooo

    • @aliemdogo
      @aliemdogo Pƙed rokem +2

      Kwan ulizaliwa umevaa hijabu,ulitoka uchi utarud uch

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Pƙed rokem +4

      Ameshatoka kwenye majini hijabu ya nini? Mwache na uhuru wake na wewe Baki na hijabu yako huku ukiwa umejaa unafikhi, Hila na uzinzi Moyoni!

    • @faudhiamushi2233
      @faudhiamushi2233 Pƙed rokem +2

      Duh unaamini wewe ni mwema sana kwakuwa unavaa hijabu? Honestly? Kama ni hivyo utakuwa mkuu wa hayo majini bila shaka! Nani kakupa nafasi ya kuhukumu?

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Pƙed rokem +1

    Mbona kavaa vizuri nguo sio fupi wala maziwa kuhonekana ni very classy feminine,mzuri sana Dada wa watu na anajielewa Sana ,

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Pƙed rokem

    Ama kweli dunia hupoteza yule atakae kumpoteza dada ushapotea maana apo utawekwa uchi dahh

    • @khadijayusuph2634
      @khadijayusuph2634 Pƙed rokem

      Duh'" we mtu umetumwa😼unahukumu utadhani funguo za mamlaka umepewa wewe!!!😼 Isitoshe utaungua wewe ye asalimike duh'''