QUEENMASANJA AFUNGUKA KUICHUKIA NDOA NA DR MWAKA/SINA MAHUSIANO/NATONGOZWA/KUIMBA NA ZUCHU/HARMONIZE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Tumepiga Story na Queen Masanja

Komentáře • 125

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy Před 11 měsíci +35

    Some how Queen anafanana na Zari the boss lady!

    • @gabbyhenrgy1157
      @gabbyhenrgy1157 Před 11 měsíci

      Sanaaaaaaa

    • @user-zt3et5kl5m
      @user-zt3et5kl5m Před 11 měsíci +2

      Wanafanan kabisaa ila hutu dada kamzidi zari kwa uzuri asee

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Před 11 měsíci

      Halafu yeye ni mnatural kila mahali

  • @rahmaoman470
    @rahmaoman470 Před 11 měsíci +16

    Uyu dada anajielew sana Allah akujaliy kweny kaz zko na akutunze 🥰🥰

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 Před 11 měsíci

      Anajielew nn? hakuna checho te hapo, huyo kunamtu nyuma yake ukitaka kujua hilo sikiliza majib anayo yatoa kuhusu ndoa akitoka kwa mwaka kwa sababu tayar alijua anapo elekea

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před 11 měsíci +3

    Nampendaga huyu Dada Ni Queen kweli kam jina lake yuko very classy feminine yan huwa nawmanglia sana anatufundisha waweza kuvaa classy na ukapendeza mzuri bila kuonesha sana

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Před 11 měsíci +4

    Wewe mzuri sana mwaka alikua mnyanyasaji uyo

  • @anisanassoro5246
    @anisanassoro5246 Před 11 měsíci +6

    Inshallah mungu amsaidie huyo dada mie Huwa nampenda sana mungu amuongoze apate mume mwema nikiwa kama mzazi mungu akubariki kipenzi

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias9289 Před 9 měsíci +1

    Nakupenda dear sister queen ❤❤

  • @MatildsChami
    @MatildsChami Před 11 měsíci +1

    Kwakweli nakukubali sana na najifunza kupitia wew sana natamani nipate mawasiliano yako Mungu akulinde daima

  • @CalisternongiHaule-vk6ch
    @CalisternongiHaule-vk6ch Před 11 měsíci +27

    Kunabaadhi ya watu ukiachana nao katika maisha milango lazima ifunguke

    • @user-nd8gg4ig7m
      @user-nd8gg4ig7m Před 11 měsíci +2

      ❤❤❤❤❤natamani nikupe zawadi umenigusa mno

    • @iddymohammed1890
      @iddymohammed1890 Před 11 měsíci +4

      milango ipi mzeee?? unadhani ni yeye hapo au unadanganya watu waachane na sehem sahihi walizopo waige kutoka kwemye ndoa waje warande mitaan... huyo ni mtu mzima saiv kutangaza mapensi mapaja nje haina maana na huo sio uhuru..
      msikilize vizur yeye mwenyew anachoongea usipoteshe watu.. NDOA ni kitu cha heshima sana subiri uoe au uwe na mtoto aolewe then itokee aachike ndo utajua vzr pia kama huna cha kusema kaa kimy ni bora zaid kwako
      anasema hafikirii tena ndoa ila ana mahusiano ya kawaida, je wewe ungependa mwanao awe kweny ndoa au mahusiano ya kawaida?? SHIRIKISHA AKILI KABLA HUJANYANYUA ULIMI WAKO UKAJIFANYA UNA INSPIRE SANA

    • @matridamwandambo9656
      @matridamwandambo9656 Před 11 měsíci

      Kabisa mm nilikuwa na mpenz toka niachane nae 😊😊❤❤❤walah na enjoh

    • @monicaissah5662
      @monicaissah5662 Před 11 měsíci

      ​@@iddymohammed1890mmmh ayo simaoni yake

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před 11 měsíci

      ​@@iddymohammed1890umeongea maneno mazito sna ila madada wa uko wnawaza uhuru wa kujitofikiria kuna kesho yke ndio hao

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Před 11 měsíci +4

    Mama safi 🎉

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m Před 11 měsíci +4

    Queen NAKUPENDA SANA. ULIPITIA MAGUMU❤❤SASA UNA LIFE YKO MUNGU AKUONGOZE. UR SO BEAUTIFUL

  • @ashamonamachicha8653
    @ashamonamachicha8653 Před 11 měsíci +1

    Allah akulinde na kila unachopamba

  • @salimnassor3212
    @salimnassor3212 Před 11 měsíci +1

    what a germ huyu ni mwanamke ukisikia anavyojibu na alivyo muonekano kitabia anastahili heshima nimempenda sana

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 10 měsíci

    Mimi nampendaaa yaaaan sisemiii NI mkweri. SANA.❤❤❤❤

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 10 měsíci

    Uyooo NIII original ❤🎉🎉

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe4061 Před měsícem

    Nakupenda sana dada

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 Před 2 měsíci

    Mungu akulinde malkia wang uish sana

  • @user-ex6kk5jb4y
    @user-ex6kk5jb4y Před 9 měsíci

    Love😂 U so much my dear unatia moyo sana ww dada ujui tu

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 10 měsíci +2

    Nyie WAACHENI USHAMBAAA. WASWAHILII WAKUBWA. UYO BINTI SIO MZEEE LOOOO NA NGUO AU MAVAZI AYANA UZEEEEE. SIO MKUBWA NA SIO MZEEEE DUUUU WABONGOOOOO

  • @Kakwasi
    @Kakwasi Před 11 měsíci

    Very beautiful mama

  • @JeniferMassawe-lu3de
    @JeniferMassawe-lu3de Před 11 měsíci +6

    Mzuri sana

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt Před 11 měsíci +1

      Sana wanaume wanatuchakaza ingawa sio wote

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před 25 dny

    Kwani hata akiwa na mtu hao wanaume hawawezi kumtaka bado acheni kunganganiza watu kuhusu maswali binafsi

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 10 měsíci

    Mzuri SANAAAA Jamani khaaaa

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 Před 11 měsíci +3

    Una damu ya nguo,in short unapendeza Sana.

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Před 11 měsíci +3

    Huyo mtangazaji hana adabu,mbona anamusogelea huyo dada kishenzi hivyo?Na hayo maswali yake mengi ovyo ovyo tuu.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 11 měsíci

    Ongera dada!

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Před 11 měsíci +1

    Hivi kwelii hata kama amekuzidi umri una ubavu wa kumkata?
    Ni hatarii sana huyo

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias9289 Před 9 měsíci

    Mungu akutunze wewe na wanao

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Před 11 měsíci

    Wow mom🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪

  • @lindahjoseph8360
    @lindahjoseph8360 Před 11 měsíci

    You look like mama tiffah

  • @user-zn3un8gs3d
    @user-zn3un8gs3d Před 11 měsíci +1

    Dada naomba mawasiliano nataka kununua nguo unazitangaza nipo huku Iringa

  • @nassirsalim6679
    @nassirsalim6679 Před 11 měsíci +2

    Ila dada mgumu kukubali uyu mm pia mmoja wapo narusha msg sana 😅😅😅

  • @jacklineanthony5191
    @jacklineanthony5191 Před 10 měsíci

    Napenda majibu yako

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před 11 měsíci +1

    Umri ukienda isia zina pungua yupo Sawa

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 11 měsíci +3

    Wasukuma wazuri jamani

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii Před 11 měsíci +4

    Abaya zipo hadi za 30000 kwani.lazima za pesa ndefu mbona sie tunavaa na hatujachujika😅😅

  • @Kakwasi
    @Kakwasi Před 11 měsíci

    WAOH WAOH.

  • @happypetro2948
    @happypetro2948 Před 11 měsíci +1

    Kama dokta mwaka anammezea mate hapo

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Před 11 měsíci +5

    Piga kazi dada uachane na ndoa kwa sasa

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před 11 měsíci +2

    Roja anajarb kutupa ndoano

  • @rudiaeliakim2172
    @rudiaeliakim2172 Před 11 měsíci +1

    🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @MohonoMwita
    @MohonoMwita Před 9 měsíci

    Unatafuta kiki lakini huna jipya kama umeachana na mwaka kwanini bado unamoongelea mitandaoni huna akiri ila punguza maneno kwenye mitandao

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Před 11 měsíci

    ❤🔥

  • @fedhandunga5935
    @fedhandunga5935 Před 11 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Před 11 měsíci +2

    Dr mwaka alimpuuzia mwanamke mwenye hekma na akili

  • @user-ix9rn5yh4l
    @user-ix9rn5yh4l Před 3 měsíci

    hakuna zaidi ya ushabiki wa kidini

  • @jojotz1210
    @jojotz1210 Před 11 měsíci

    ❤❤❤🎉🎉🎉😊

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Před 11 měsíci +1

    Na picha ya hamo na zuchu imekukaje, harafu watangazaji wa mutanzania Ni mpenzi tu kuriko aanze na Swari la maana anaanza na mpenzi😂😂😂😂😂

    • @farida4595
      @farida4595 Před 11 měsíci +1

      Mm nlipoona picha ya hamo ndio nmekuja kumbe hkuna kinachoendlea

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 9 měsíci

    Ulikua unataka kuvua stara tu sio?? Uko huru sasa uhuru wa kishetwan

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii Před 11 měsíci +6

    Huyu mwanamke ame change sana masikini roho yake alikuwa mtu mwenye kujistiri asaivi amekuwa upande wa shetani

    • @munirahassan5969
      @munirahassan5969 Před 11 měsíci

      Mkiritu uyu dada.

    • @zayanazayana5353
      @zayanazayana5353 Před 11 měsíci +1

      Ni Wanaume Wajinga Wanasababisha hayo Mwanamke Anakubali Kusilimu Anakufata kwnye Dini yko Anakuzalia Watoto Jicho lke linakuangalia ww vp Aishi Matokeo yke Mwanamme wnyw Bilisi hana hata kimoja anachokift kwny Dini yke wl hana Mapenzi Wengi Wanard kwny Dini zao na Watoto wao kw sbb ya Ufisadi Wanaukuta

    • @happymarwa4517
      @happymarwa4517 Před 11 měsíci +1

      Utashangaa wewe unaingia motoni yeye peponi

    • @wardamohamood
      @wardamohamood Před 11 měsíci

      Mungu mtu

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty Před 11 měsíci

      Mbona sioni ziwa hapo wala mguu wala uchi mbona kavaa kieshima sana mwenzio anafanya kazi watoto wapate kula

  • @MwandigaRuhobe-fm3it
    @MwandigaRuhobe-fm3it Před 11 měsíci +1

    Unaumbile la kapendeza bala

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 11 měsíci +8

    Mwaka alikuzeesha nahisi umeondoka na nyota yako maana siku hizi hasikiki

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 Před 11 měsíci +1

      Ata post Sion skuhizi😂

    • @florangido202
      @florangido202 Před 11 měsíci

      Ni kweli kabisa

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 11 měsíci

      Hataki tu malumbano baba wa watu kaamua kukaa kimya huo ndo uungwana...hongera Dr. Mwaka kwa kukaa kimya...

    • @HappyMakoga
      @HappyMakoga Před 11 měsíci

      Queen bado kijana hana utuuzima jamani bado sana nyie mnajua mtu mzima nyie

  • @JafariAbdallah-ot9gp
    @JafariAbdallah-ot9gp Před 11 měsíci

    Dunia imechukua chake hapo

  • @user-us8gy5pz6w
    @user-us8gy5pz6w Před 11 měsíci +3

    Jamani mdada mzuri Mashallah alikuwa akivaa hijabu mwenyewe alipokuwa na Dr sasa kavua Mungu ajaalie wasuluhishe waendelee kuwa pamoja rudianeni jamani

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 Před 11 měsíci +6

      Hata alipokua na dr mwaka alikua havai hijabu muda wote alikua anavaa akienda kwenye interviews ila muda mwingi alikua anavaa kichwa waz n jeans michaniko

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 Před 11 měsíci +3

      Ulikuwa humfatilii wewe wakati anaishi SA... Alikuwa anavaa vinjunga kinyamwez nouma

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 11 měsíci +2

      Warudiane ili iweje

    • @happinesshezron6633
      @happinesshezron6633 Před 11 měsíci +1

      Mwache aishi maisha yake ya furaha.

    • @anisanassoro5246
      @anisanassoro5246 Před 11 měsíci

      Anatafuta mabwanaaa huyo Hana lolote kaishiwa na umri huo Hana aibu!!!!

  • @ahmedbashash3672
    @ahmedbashash3672 Před 11 měsíci

    Umalaya tu ndio uzeeni

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Před 11 měsíci +1

      Ni mzuri ni mrembo. Tena huyu sio muislamu tena

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 11 měsíci +1

    Dr mwaka kaachia chombo kizuri alikua mshauri wa ndoa yule

  • @shaaden-
    @shaaden- Před 11 měsíci +1

    Ila dada usirudi kuva vile vinguo vifupi miguu yako hairuhusu😢

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 11 měsíci +1

      Mbona anapendeza sana

    • @khadijajuma6271
      @khadijajuma6271 Před 11 měsíci +1

      Anapendeza mnoo acha makasiriko t

    • @winnerlucas5924
      @winnerlucas5924 Před 11 měsíci

      Miguu yake haipendezi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 weeeeeeeeee

    • @shaaden-
      @shaaden- Před 11 měsíci

      @@khadijajuma6271 acheni kumdanganya

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Před 11 měsíci

      Miguu kapewa na Mungu. Unataka aombe ingine wapi. Ukona miguu ya kumpa

  • @anisanassoro5246
    @anisanassoro5246 Před 11 měsíci +1

    Hana lolote....

  • @anisanassoro5246
    @anisanassoro5246 Před 11 měsíci +2

    Namuonea huruma sna maskini Sasa amekua anajinadi mwili wake mpka no ya simu anatoa hakika amepotea mungu amuongoze alikua amestirika kwa mwkaa umri wake umeenda anajinadi huyo Hana lolote hata kama mzuri sio sawa anachokifanya ni uchafu mtupu!!!!anatafuta wanaume wenye pesa Hana lolote huyo....

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 Před 11 měsíci +3

      Wewe nawe makasiriko tuuu, amesitirika wakati alikuwa ananyanyasika wewe kama umezoea mateso sio wote wanataka ,

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 Před 11 měsíci +4

      Unamuonea huruma wewe kama nani, unadhani anatangaza biashara za sh mbili, za mamilioni acha ujinga maisha ni mtandao funguka

    • @glory.patrickkitigwa4564
      @glory.patrickkitigwa4564 Před 11 měsíci +1

      Vipi huwa mnadanga nae mbona unamzungumzia as if unamjua sana😅

    • @glotysadiki3425
      @glotysadiki3425 Před 11 měsíci +1

      Acha makasiliko ww ndouna lolote

    • @wardamohamood
      @wardamohamood Před 11 měsíci +2

      Nenda wew basi uko kwa mwaka mbona mnapenda kuingilia maisha ya watu

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd Před 11 měsíci

    Afu ni lika la zar uyu ila zar kujikana sasa